Mara ya kwanza kabisa kutazama mechi nikiwa jukwaani katika huo uwanja na cha kufurahisha zaidi SIMBA SC ikashinda Kumbukumbu nzuri sana kwangu ❤🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿
Kama refa angekuwa fea kwenye hii mech canavaro angepewa kadi nyekundu alicheza madhambi Ila kadi akapewa yondan na huenda refa alifanya hivi ili kuwabeba yanga wasicheze pungufu kwasababu tial nadir haroub canavaro alikuwa na kadi ya njano
Hii game nakumbuka nilikuwa Dom ila kiukweli ilikuwa furaha Sana. Simba ilikuwa na wachezaji wadogo Sana kwa umri,lakini walihimili mikimiki ya msuva n.k,
2024 tena
2024
Tunakukumbuka okwi mungu akuongezee baraka katika maisha
❤❤❤❤❤ nguvu mojaaa
Ila mohamed hussein huyu mtu ni chuma dah😋😋
ilove simba yangu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🦁🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏
Mara ya kwanza kabisa kutazama mechi nikiwa jukwaani katika huo uwanja na cha kufurahisha zaidi SIMBA SC ikashinda
Kumbukumbu nzuri sana kwangu
❤🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿
Anae angalia Leo like ❤❤
Kiukweli nmeangalia hii nmepata matumaini ya simba ya sasa ya vijana nakubali xn
Kitambo Sana
Jezi ya simba ilikuwa nzuru sana
❤❤❤❤❤
Simba imeonesha hangar Bado inamutihani murefu wakufanya.
good day
2024 like hapa
Simba ya vijana ilivyokuwa hatari dhidi ya Yanga Mapesa....ila wakt huo Simba ilikuwa na vijana wengi kutoka Simba B
Simba leo
Nikolas😅😅😅😅😅😅apa ww nan brooo😊
😂Simba ilikuwa ya Moto kabisa yanga hawatasahau siku hiyo.
yanga mapesa ila soka bado sana
Jmn mbn vituko na huyu goal kila wetu simba kama Babu madevu😅😅😅😅
Hili goal angefunga Morrison siku ya trh 8- sijui ingekuwaja simba wasingetoka uwanjan siku hiyo maana
Simba ingekuwa na huyo mwalimu mpaka Leo ingekuwa inatisha sana
Saanaa okwii enziii izooo
Simbaaaaa
Waandishi wa hbr walikuwa na kaz
Yanga wanazngua mech hiyo nimeiyonea chigugu
😅😅😅😅😅😅😅😅
Duhhh waligongewa pas hadi dk ya mwisho dadek simba duhh
Wanaitaj pongezi msimbazi aiseeeee
Kama refa angekuwa fea kwenye hii mech canavaro angepewa kadi nyekundu alicheza madhambi Ila kadi akapewa yondan na huenda refa alifanya hivi ili kuwabeba yanga wasicheze pungufu kwasababu tial nadir haroub canavaro alikuwa na kadi ya njano
exactr
Hii ni tarehe 8
This is Simba
Premier
2025 Januar
Mpenja alileta mabadiliko makubwa katika utangazaji
Lucas
Mwamnyeto atua yanga
Sipati pic hili goal la Okwi Mpenja angetangazaje.
Kipa alienda kununua sigara
Mwemwemweeeeeee asaliiiii
Yaan duuh
Simba ya vijana ni moto wa kuotea mbali tarehe nane yanga njooni tu
2024
Kikosi cha zahabu hiko
Mbona wachezaji karibu wote wamepewa card za njano
Nimecheka san hawa watsngazajinwanapiga story Hadi laha
Walipigwa pasi kama sio vyasi mana wingi wa pasi ni vyasi
Umetisha
PIESTA MAMA WAS AS I'LL
Kuujaza uwanja nijadi yetu
ajali ya mologolo
Kipidi hiko watangazaji walikua hamna kabisa
HD xan
Yanga wamepigiwa boli LA ulaya hapa.
BES
Simba vs biashala
acha uwongo ww
Mis tanzania
Hii siku mbungi ilipigwa asee dakika 2 watu wanagonga pasi tu
Tujuane tunao angalia 2024😂
Tupo
@@deusmajura5259 pamoja 🫂
Nilikuwepo uwanjan
Tazaya v 4:01 a Malawi
Walifuga gap
Zilipingwa pasi 32 kabula ya mwamuzi kuhitimisha mpira kwenye hizo dakika tatu zilizoongezwa
Mbungi ilichezwa ya ukweli
Wauwe
Kumbe yanga Ni wakorofi toka kitambo yaan jazba nying mno nguvu bila maarifa.
Nlichogundua zamani kulikuwa hakuna watangazaji wa mpira
Kweri kabisa
vzr
Hii game nakumbuka nilikuwa Dom ila kiukweli ilikuwa furaha Sana.
Simba ilikuwa na wachezaji wadogo Sana kwa umri,lakini walihimili mikimiki ya msuva n.k,
Bonge la game undava tu
Siachi kushambikia munyama
Hw watangazaj walikuwa hawatangaz mpira bali wakipiga stori t
This is______
Kampeniyaraisimakufuri
MTU alikuwa hatariii
Tayari
OK sew
Nip hap
Iigi yamabigwa
UTOPOLO hajawah kuwa timamu miaka yotee
Aaa
Hawatokaa waisahau hiii
Bmko
Jjj
B
Ok
l
Kikosi cha zahabu hiko