Steven Mukwala Usajili Simba Cheki uwezo wake Wakufunga_ Mukwala skills

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июн 2024
  • Steven Mukwala Usajili Simba Cheki uwezo wake Wakufunga
    #stevenMukwala
    #usajiliSimba
    #mukwala
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 43

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 29 дней назад +3

    Hapa sasa naanza kumuelewa Mo,safi sana

  • @selestiniasenga
    @selestiniasenga 18 дней назад +1

    Mukwala ni mchezaji mzuri ,atawafunga yanga mabao yakutosha yanga wajipange.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 12 дней назад +2

    Mo Boss wetu hawa wakiludi toka Misri wasomowe dua nzito. Wenzetu wa upande wa pili Uchawi upo. Ila sisi siku zote hatutaki kuamini kuwa uchawi upo.Wacheza wanakuwaaga hawana tatizo. Tatizo uchawi tu. Ninaiombea sana timu yangu simba iwe inapata ushindi wa kishindo siku zote.❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏👍👍👍👍

  • @mkombevuai7161
    @mkombevuai7161 17 дней назад +1

    Hamna akili mnaowasifia wachezaji wakat timu wanalocheza nalo hamlijui ubovu wake😂😂

  • @jumakidunda78
    @jumakidunda78 28 дней назад +2

    Nawajuza tu style yake y kushangilia anaruka kavu,,,, style hiyo ya kushangilia wachezaji wanafunga sana

  • @IBRAHIMU-z2u
    @IBRAHIMU-z2u 29 дней назад +3

    mukwala ni shida

  • @oscarvumbama
    @oscarvumbama 19 дней назад

    Hapana jamaa Yuko vizuri

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 12 дней назад

    Simba bado hatujawajua inaweza kuwa timu bora sana au ikawa hamna kitu ni viziri kusubiri ligi ndo tutajua mbichi na mbivu

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d 29 дней назад +1

    Kuna jamaa namba nane nimemuona anajua sana uyo alitoa asist tungemchukua pia sa tunamleta peke😂 nan anamlisha ss

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 15 дней назад +1

    Misumari ni mingi kwenye ligi yeti,yaani ushirikina,angalia ata Ile Simba mbovu msimu uliopita tulikua yunafungwa ovyo ovyo hapa kwenye ligi lakini timu Ile Ile inapokwenda nje inacheza tafauti kabisa,yanga wanaamini ushirikina sana ata mayele aliliweka wazi jambo ilo

    • @igihamanuel1
      @igihamanuel1 14 дней назад

      hakuna hicho kitu ww. Sasa hivi ligi yetu imebadilika imekuwa nguma sana. Wachezaji top wa Afrika wengi wanachezea kwetu ukienda hata tabora United, Mashujaa n.k unawakuta tofauti na zamani. Achana na mawazo mgando ya kujifariji!

  • @albertlambert2810
    @albertlambert2810 17 дней назад +1

    Mi najua . Mnao kejeli viwango vya wachezaji wa Simba sio shabiki wa Simba..ni wanafiki

  • @chrismedah2133
    @chrismedah2133 14 дней назад

    Wewe ndio huna akili maana hata mpira hujawahi kucheza

  • @kelvinmikida
    @kelvinmikida 19 дней назад +2

    wachezaji wanaokuja simba ni wazuri ila wakishacheza na yanga tu, ubovu unaanza kuonekana🤓🤓🤓maana kipicho sa sahihi kwa vilabu za nje na ndani ya tanzania ni kucheza na yanga

    • @fj8317
      @fj8317 18 дней назад

      Akili yako IPO matakoni

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 17 дней назад

      Nikajuwa unataka kusema yanga wachawi

  • @ZachariaCharles-xk2uf
    @ZachariaCharles-xk2uf 6 дней назад

    Ubovu unatokea wap Mzee

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 18 дней назад

    MKWALA MZURI ALIKOKUWA LAKINI KWA SIMBA ATAFELI KWA SABABU SIMBA HAWANA UVUMILIVU MCHEZAJI AKIFANYA MAKOSA.

  • @SteveAvelinBuretter
    @SteveAvelinBuretter 29 дней назад +1

    Nimtuuu✊✊

  • @danielimalaki
    @danielimalaki 29 дней назад

    Daaaa

  • @user-gk7pz4re6h
    @user-gk7pz4re6h Месяц назад

    Hatari

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 29 дней назад +1

    Mbele ya Bacca, Job, Kwasi na Boka, halafu wanalindwa Aucho, kazi atakuwa nayo, aje tu😂

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 29 дней назад

      Kweli Uto umeanza kutetemeka....yaani umeitaja safu yako yoooote ya Ulinzi kumkaba .😅😅😅 😅😅😅

    • @songorosongoro9927
      @songorosongoro9927 20 дней назад

      Mm nakuambia kuweni makin hao waking job mtakuja kwakataaa

  • @IbrahimWinjoness
    @IbrahimWinjoness 13 дней назад

    Wanafl nnyi sio wanadomba ninyi

  • @FranceMwanilyela
    @FranceMwanilyela 29 дней назад

    Simba mpya hyo aludi uchebe basi

  • @neemajoseph4345
    @neemajoseph4345 17 дней назад

    😃😃

  • @iddybora1876
    @iddybora1876 29 дней назад

    Eti job baca chura tuu

  • @SHIJAJITIJA
    @SHIJAJITIJA 29 дней назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 10 дней назад

    Mnajipima kwa vibonde tafuten timu kubwa

    • @vicentbunzal7342
      @vicentbunzal7342 2 дня назад

      Njoo hata wewe tujipimie kwako uuone huo mziki

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 27 дней назад

    MBONA HILO GOLI HATA MIMI MSHABIKI NAFUNGA! TUACHE KUWASIFIA SANA WACHEZAJI TUSUBILI LIGI IANZE NDIPO WACHEZE NASI TUTAONA KWA MACHO YETU

  • @iddybora1876
    @iddybora1876 29 дней назад +1

    Uyo kibaca chura tuu

  • @AshirafuRajabu-uz4bt
    @AshirafuRajabu-uz4bt 17 дней назад

    Lazima 5 zirudi