Ni muhimu muongee yote sasa hivi, Kwani ligi ikianza ni muda wenu wa kutoa matusi kwa viongozi wenu. MANGUNGU, TRYAGAIN n.k. Endelea kupayuka na kuropoka sasa.
Chama hana jipya ktk ligi yetu. Kubwa kwa sasa wachezaji wapewe KIAPO cha UAMINIFU kwa SIMBA, ili mashabiki waondoshe sintofahamu juu ya wachezaji wao kuihujumu timu.
Ikifika mwezi wa 12 usije itisha waandishi ooh hatumtaki mangungu. Yanga inao wachezaji mahiri sana watawafunga tena nyie endeleeni Mambo ya ushirikina 😂😂
Kama kweli mpenzu katua simba saluti kwa mo deuji pamoja na viongozi wengine 😊🎉❤
Aisee hiyo nimeipenda,Ubaya Ubwela,,,,,NSSF ni wanga sana😮😮,,,mwaka huu tuwarinde wachezaji wetu,,,,kwa visomo vya mana
Wanarogwa Sana, NAYANGA
Elaa
Yani Simba rahaaaaaa sana ukisikia Kaz naumri ndosimbaa ii tupo kazni kwasaaa niushind tu
Kazin kwa aucho.kuna kazi
Simba nguvu moja
Waooooo
Gb 64 we noma Simba nguvu moja
Simba nguvu moja ❤❤❤❤❤
Simba nguvu mojaaaa❤❤
Nice Gb 64
Ww sahiv mm sikuamin tena
🎉🎉🎉simba nguvu moja
Kaka umetisha
Kama mpanzu katua unyamani bac sas mateso bac welcome mpanzu
❤❤❤
Ni muhimu muongee yote sasa hivi, Kwani ligi ikianza ni muda wenu wa kutoa matusi kwa viongozi wenu. MANGUNGU, TRYAGAIN n.k. Endelea kupayuka na kuropoka sasa.
Simba nguvu moja🎉🎉🎉❤❤❤
I love you SIMBA
GB 360
chama alikua mlija wa yanga katuuza sana
KWELI, wachezajiwetu WAZIR lkn wanarohwa Sana NAYANGA Ili kupoteza vipajivyao.
mimi ni simba hila staki maneno mpaka niwaone uwanjani hisije kuwa kina jobe
Gb 64 Yeye Ana Mawasiliano Ya Simu Za viongozi Moja kwa Moja Data Anazimegewa Vizuri Kwa Hiyo Elia Mpanzu Ni Mnyama
Hatari
Ubaya ubwela, maanayake ni ubaya umerudi
Tuliosikia neno ubwaya ubwela naombeni like zenu jmn😂😂😂
Zanini wakati wote tumesikia?
Haaaaa umenichesha kwel
Lingi ikiisha Mwakani kuna uwezekano Mkubwa Simbasc ikauza wachezaji wengi sana ulaya
Umetisha Gb 64 waeleze wajue.ubaya ubwela
Safi mkuuu
I love Simba, but what drugs is this guy on? Are they available at Kariakoo markets?
Ametshaaa
Chama hana jipya ktk ligi yetu. Kubwa kwa sasa wachezaji wapewe KIAPO cha UAMINIFU kwa SIMBA, ili mashabiki waondoshe sintofahamu juu ya wachezaji wao kuihujumu timu.
Kwanza manula nmuskie segelea 5 zilikuwa nyingi alaumiwe manula na chama na kenedi na inonga
Magoli mwenyewe amekanusha
Mbona yanga walisajili msimu mmoja na msimu huohuo wakachukua ubigwa
Saf kaka❤❤❤❤❤❤
Nice
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Magufuli alikuwa ana akili sana kutimua walimu hewa, sasa wanafunzi wangeambulia nini.
GB64 tutatumia carbon fourteen,umetisha baba
G B ACHA MANENO TUNATAKA UKWELI ERIYA MPA,ZU
Baba hakuna cha mpazu wa faiasli wewe nunuwaga tu vocha
Sana kakaaaaaa
Tena na jezi ya mkude kapewa Chama,mkude chaliiiii
Gb 64 kumbuka yakuwa ngombe hazeeki maini talehe 8 ndipo tutakapo juwa
Sisi simba tuna maneno jamani
Gb natamani sku Moja nikuone kwenye bodi ya wakurugenzi na itatimia
kweli
UBWELA UBAYA ❤❤❤❤❤❤ MPAKA MAJI WAITE MMAAA 😂😂😂😂
hu ni mwaka wa full mikazo t
Wenzetu wamesajili mwalimu sio mchezaji ambaye ni chama
Babra kumbe yupo na hamsemi GB friji bovu
Wanasimba tubakize maneno na chama amesema tukutane uwanjani
Mwanzoni ilikuwa nakuamin sn ila cku izi ni muongo kupindukia
Tena chama alisein nawino mwingine aliunywa kwasaba anajua aliko enda hakupendi
Tunakukubali gb64
GB 64 ubaya ubwela
❤❤❤❤❤❤
We call him Deborah (dibrah)
Muoongo wewe kaziyenu iyoiyo kuwadanganya mashabiki wewe ulikuwepo wakatiwausajili wakati kinashabarara hawajalipwa elazao za mishahara mpkaleo wachezaji wote mliowasajili hamnahata wamilioni miambiliapo nahuyompanzu atajuta kusajiliwa Simba wenzie kinaonana wameshaanza kukataliwa na kocha
Hili kweli gb 64 hizo data ni sahihi na hajalikodi popote mpeni maua yake jamani huyu jamaa kiboko😅😅😅😅😅😅😅
Hakika niushid 2
Watasema utoporo
Viongozi chonde wachezaji muwe nao makini ,,pini jamani
Nyuma mwiko Wana mambo yajabu jamani tupate mwaka wa fulaha popote pale tetea nembo ya simba simba ndotim kubwa
MWIKO WA NYUMA NUKSI SANA
raha kidog mpaka wataelewa msimu uu
Muongo ww simba hakuna ht mchezai 1 alofika dola laki 1 wachezaj wote wadogo wale hlf ww kesho t unabadilika sikuamin tena ww bwege 😂
GB 64 wewe ni wamba kweli kweli
Mwamba unaongea sana tena vizur ila usiwaswifu sana wachezaj
Machine ya maneno ila watu wa Simba 😁
😂😂😂😂😂😂 atutaki mleviiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
Ikifika mwezi wa 12 usije itisha waandishi ooh hatumtaki mangungu. Yanga inao wachezaji mahiri sana watawafunga tena nyie endeleeni Mambo ya ushirikina 😂😂
Umetoa mwiko mzee?
Bado anahangaika nao huyo😂😂@@muksinimbaruku1233
Gb64 nimsala
😂😂😂wemwamba ni hatari
chama aondoke tu
Awesu tena???
tatizo wewe kigeugeu
Izi video za kucopy jau
Jjh
Ubaya ubwela, maanayake ni ubaya umerudi
❤❤❤❤❤