GB 64 Athibitisha USAJILI WA MPANZU MASHINE YA MAGOLI/SIMBA MPYA TISHIO/ MO ATUMA TIKETI KUTUA MISRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 88

  • @JeniphaFocus
    @JeniphaFocus Месяц назад +2

    Kama kweli mpenzu katua simba saluti kwa mo deuji pamoja na viongozi wengine 😊🎉❤

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Месяц назад +12

    Aisee hiyo nimeipenda,Ubaya Ubwela,,,,,NSSF ni wanga sana😮😮,,,mwaka huu tuwarinde wachezaji wetu,,,,kwa visomo vya mana

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 Месяц назад +1

    Wanarogwa Sana, NAYANGA

  • @user-sk6qd8hx6u
    @user-sk6qd8hx6u Месяц назад

    Elaa

  • @JumaJuma-u2t
    @JumaJuma-u2t Месяц назад +3

    Yani Simba rahaaaaaa sana ukisikia Kaz naumri ndosimbaa ii tupo kazni kwasaaa niushind tu

    • @Kambi-c1w
      @Kambi-c1w Месяц назад

      Kazin kwa aucho.kuna kazi

  • @AjensiKauzeni
    @AjensiKauzeni Месяц назад +2

    Simba nguvu moja

  • @wailesmsongole1914
    @wailesmsongole1914 Месяц назад

    Waooooo

  • @ROBERTJOHN-yg3zt
    @ROBERTJOHN-yg3zt Месяц назад +2

    Gb 64 we noma Simba nguvu moja

  • @manmanonline6394
    @manmanonline6394 Месяц назад +1

    Simba nguvu moja ❤❤❤❤❤

  • @Paschalmaganga-v5p
    @Paschalmaganga-v5p Месяц назад

    Simba nguvu mojaaaa❤❤

  • @AidaniMwaipaja
    @AidaniMwaipaja Месяц назад +1

    Nice Gb 64

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp Месяц назад +3

    Ww sahiv mm sikuamin tena

  • @MachameMachame-tx3bk
    @MachameMachame-tx3bk Месяц назад

    🎉🎉🎉simba nguvu moja

  • @EDWINLWEZAULA
    @EDWINLWEZAULA Месяц назад +1

    Kaka umetisha

  • @SalumuMajidi-iq9sp
    @SalumuMajidi-iq9sp Месяц назад

    Kama mpanzu katua unyamani bac sas mateso bac welcome mpanzu

  • @ErickJohnfredy
    @ErickJohnfredy Месяц назад

    ❤❤❤

  • @andrewkitema9838
    @andrewkitema9838 Месяц назад

    Ni muhimu muongee yote sasa hivi, Kwani ligi ikianza ni muda wenu wa kutoa matusi kwa viongozi wenu. MANGUNGU, TRYAGAIN n.k. Endelea kupayuka na kuropoka sasa.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад

    Simba nguvu moja🎉🎉🎉❤❤❤

  • @EliyaKudaga-u4q
    @EliyaKudaga-u4q Месяц назад

    I love you SIMBA

  • @kichenjewillian5720
    @kichenjewillian5720 Месяц назад +1

    GB 360

  • @sirajally8356
    @sirajally8356 Месяц назад +1

    chama alikua mlija wa yanga katuuza sana

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 Месяц назад

    KWELI, wachezajiwetu WAZIR lkn wanarohwa Sana NAYANGA Ili kupoteza vipajivyao.

  • @PauloMole-lv4tf
    @PauloMole-lv4tf Месяц назад +1

    mimi ni simba hila staki maneno mpaka niwaone uwanjani hisije kuwa kina jobe

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 Месяц назад

      Gb 64 Yeye Ana Mawasiliano Ya Simu Za viongozi Moja kwa Moja Data Anazimegewa Vizuri Kwa Hiyo Elia Mpanzu Ni Mnyama

  • @DorcusMalimi
    @DorcusMalimi Месяц назад

    Hatari

  • @user-to1iw6es6y
    @user-to1iw6es6y Месяц назад

    Ubaya ubwela, maanayake ni ubaya umerudi

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy Месяц назад +1

    Tuliosikia neno ubwaya ubwela naombeni like zenu jmn😂😂😂

  • @user-bc5sd9qv8w
    @user-bc5sd9qv8w Месяц назад

    Haaaaa umenichesha kwel

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 Месяц назад

    Lingi ikiisha Mwakani kuna uwezekano Mkubwa Simbasc ikauza wachezaji wengi sana ulaya

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 Месяц назад

    Umetisha Gb 64 waeleze wajue.ubaya ubwela

  • @user-fl8ws8ey3y
    @user-fl8ws8ey3y Месяц назад

    Safi mkuuu

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Месяц назад +1

    I love Simba, but what drugs is this guy on? Are they available at Kariakoo markets?

  • @SAfiSAfitz
    @SAfiSAfitz Месяц назад

    Ametshaaa

  • @twahambowe440
    @twahambowe440 Месяц назад

    Chama hana jipya ktk ligi yetu. Kubwa kwa sasa wachezaji wapewe KIAPO cha UAMINIFU kwa SIMBA, ili mashabiki waondoshe sintofahamu juu ya wachezaji wao kuihujumu timu.

  • @fadhiryomary9492
    @fadhiryomary9492 Месяц назад

    Kwanza manula nmuskie segelea 5 zilikuwa nyingi alaumiwe manula na chama na kenedi na inonga

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад +1

    Magoli mwenyewe amekanusha

  • @AbasiKharid
    @AbasiKharid Месяц назад

    Mbona yanga walisajili msimu mmoja na msimu huohuo wakachukua ubigwa

  • @hildarichard7019
    @hildarichard7019 Месяц назад

    Saf kaka❤❤❤❤❤❤

  • @JeniphaAnthony-cw9dm
    @JeniphaAnthony-cw9dm Месяц назад

    Nice

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад

    Magufuli alikuwa ana akili sana kutimua walimu hewa, sasa wanafunzi wangeambulia nini.

  • @user-fv7qi9zp1s
    @user-fv7qi9zp1s Месяц назад

    GB64 tutatumia carbon fourteen,umetisha baba

  • @user-pn8ux8of7f
    @user-pn8ux8of7f Месяц назад

    G B ACHA MANENO TUNATAKA UKWELI ERIYA MPA,ZU

    • @user-pn8ux8of7f
      @user-pn8ux8of7f Месяц назад

      Baba hakuna cha mpazu wa faiasli wewe nunuwaga tu vocha

  • @user-he1bm8xm9y
    @user-he1bm8xm9y Месяц назад

    Sana kakaaaaaa

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 Месяц назад

    Tena na jezi ya mkude kapewa Chama,mkude chaliiiii

  • @user-pn8ux8of7f
    @user-pn8ux8of7f Месяц назад

    Gb 64 kumbuka yakuwa ngombe hazeeki maini talehe 8 ndipo tutakapo juwa

  • @Emmanuelmoke-k5s
    @Emmanuelmoke-k5s Месяц назад

    Sisi simba tuna maneno jamani

  • @ZawadiSimyota
    @ZawadiSimyota Месяц назад

    Gb natamani sku Moja nikuone kwenye bodi ya wakurugenzi na itatimia

  • @jumapmateli
    @jumapmateli Месяц назад

    kweli

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад

    UBWELA UBAYA ❤❤❤❤❤❤ MPAKA MAJI WAITE MMAAA 😂😂😂😂

  • @JEREMIAHSAMBAI
    @JEREMIAHSAMBAI Месяц назад

    hu ni mwaka wa full mikazo t

  • @RodrickMosha
    @RodrickMosha Месяц назад

    Wenzetu wamesajili mwalimu sio mchezaji ambaye ni chama

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Месяц назад

    Babra kumbe yupo na hamsemi GB friji bovu

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo Месяц назад

    Wanasimba tubakize maneno na chama amesema tukutane uwanjani

  • @zahiruhamisi4162
    @zahiruhamisi4162 Месяц назад

    Mwanzoni ilikuwa nakuamin sn ila cku izi ni muongo kupindukia

  • @shabanfelix4273
    @shabanfelix4273 Месяц назад

    Tena chama alisein nawino mwingine aliunywa kwasaba anajua aliko enda hakupendi

  • @florentinigawday1094
    @florentinigawday1094 Месяц назад

    Tunakukubali gb64

  • @user-zu6ec8nh1q
    @user-zu6ec8nh1q Месяц назад +1

    GB 64 ubaya ubwela

  • @KenesiKomba
    @KenesiKomba Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei Месяц назад

    We call him Deborah (dibrah)

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Месяц назад

    Muoongo wewe kaziyenu iyoiyo kuwadanganya mashabiki wewe ulikuwepo wakatiwausajili wakati kinashabarara hawajalipwa elazao za mishahara mpkaleo wachezaji wote mliowasajili hamnahata wamilioni miambiliapo nahuyompanzu atajuta kusajiliwa Simba wenzie kinaonana wameshaanza kukataliwa na kocha

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 Месяц назад

    Hili kweli gb 64 hizo data ni sahihi na hajalikodi popote mpeni maua yake jamani huyu jamaa kiboko😅😅😅😅😅😅😅

  • @HusseinRamadhan-f7m
    @HusseinRamadhan-f7m Месяц назад

    Hakika niushid 2

  • @AbelOmary
    @AbelOmary Месяц назад

    Watasema utoporo

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n Месяц назад

    Viongozi chonde wachezaji muwe nao makini ,,pini jamani

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y Месяц назад

    Nyuma mwiko Wana mambo yajabu jamani tupate mwaka wa fulaha popote pale tetea nembo ya simba simba ndotim kubwa

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus Месяц назад

    raha kidog mpaka wataelewa msimu uu

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp Месяц назад

    Muongo ww simba hakuna ht mchezai 1 alofika dola laki 1 wachezaj wote wadogo wale hlf ww kesho t unabadilika sikuamin tena ww bwege 😂

  • @KeraryoGamaha
    @KeraryoGamaha Месяц назад

    GB 64 wewe ni wamba kweli kweli

  • @HamisiKafuluma-m5o
    @HamisiKafuluma-m5o Месяц назад

    Mwamba unaongea sana tena vizur ila usiwaswifu sana wachezaj

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh Месяц назад

    Machine ya maneno ila watu wa Simba 😁

  • @AishaaMamaa-zh3cf
    @AishaaMamaa-zh3cf Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂 atutaki mleviiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂

  • @swaleheukwaju2225
    @swaleheukwaju2225 Месяц назад

    Ikifika mwezi wa 12 usije itisha waandishi ooh hatumtaki mangungu. Yanga inao wachezaji mahiri sana watawafunga tena nyie endeleeni Mambo ya ushirikina 😂😂

  • @SimonMwanali
    @SimonMwanali Месяц назад

    Gb64 nimsala

  • @BakariShemagembe
    @BakariShemagembe Месяц назад

    😂😂😂wemwamba ni hatari

  • @kiumbeharuna
    @kiumbeharuna Месяц назад +1

    chama aondoke tu

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 Месяц назад

    Awesu tena???

  • @PauloMole-lv4tf
    @PauloMole-lv4tf Месяц назад

    tatizo wewe kigeugeu

  • @DavidKibaha
    @DavidKibaha Месяц назад

    Izi video za kucopy jau

  • @awamhusen1054
    @awamhusen1054 Месяц назад

    Jjh

  • @user-to1iw6es6y
    @user-to1iw6es6y Месяц назад +1

    Ubaya ubwela, maanayake ni ubaya umerudi

  • @lukiaanatory4598
    @lukiaanatory4598 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤