Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

KUMBUKIZI: SIMBA WAKIWA PUNGUFU WALIVYOICHAPA YANGA 2 KWA 1 HUKU YANGA WAKITANGULIA KUPATA GOLI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июл 2021
  • #Simba #Yanga #Kumbukizi

Комментарии • 180

  • @salimusemkuya3086
    @salimusemkuya3086 6 месяцев назад +78

    ambao umaiangalia hii had mwaka huu 2024 gonga likes

  • @SmartOman-lp9uj
    @SmartOman-lp9uj 19 дней назад +5

    Tunaonrudia Leo 2024 mwezi WA 7 th 26 tujuane❤❤❤❤❤❤

  • @khalidfesto8518
    @khalidfesto8518 5 месяцев назад +6

    HII KITU INANIFANYAGA NIMKUBALI KICHUYAAAA POPOTE ALIPO MPKA LEO HIII🙌🙌🙌 ameacha alama kwenye maisha ya wana simba🙌🙌🙌💯💯

  • @fredyjoackimu-bk1tf
    @fredyjoackimu-bk1tf 5 месяцев назад +2

    Yes, I ❤ simba kwa sababu ndio team pekee yenye mafanikio.

  • @MariamuYusuphu
    @MariamuYusuphu 7 месяцев назад +9

    I love ❤ simba🦁🦁🦁

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara2789 3 года назад +11

    Simba baba laoooo

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 4 месяца назад +4

    Simba walipaswa kuwa naye kichuya hata km kiwango chake kimeshuka kwani bado umri unamruhusu.Hy ni damu ya Simba,na ndio mana sichoki kuiangalia hii mechi

  • @jordanbarweta3429
    @jordanbarweta3429 27 дней назад

    Daaah Simba Yetu..Naipenda hii Club ♥
    Still watching July/2024❤❤❤

  • @MaimunaSaidi-tu2hs
    @MaimunaSaidi-tu2hs 6 дней назад

    Kichua bonge la mchezaji naanaipenda sana simba

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 11 месяцев назад +19

    Hakika kichuya nitaendelea kumpenda naiomba simba impatient heshima ya uongozi pale atakapo staafu

  • @IZAACManyonyi
    @IZAACManyonyi 7 месяцев назад +3

    Daah simba tulitoka nayo mbali❤❤❤❤❤❤❤

    • @Zowazowa-xu1gk
      @Zowazowa-xu1gk 7 месяцев назад

      Utopolo fc waliyatimba wallah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @humphrelemaa7630
      @humphrelemaa7630 Месяц назад

      Sanaaaa

  • @AbelWales
    @AbelWales Месяц назад +2

    Naitw Edgar Toka mwanza Simba dam

  • @shanmlawa
    @shanmlawa 11 месяцев назад +12

    Jamani shiza alikua mtu😘🥳🦁

  • @petrosamike420
    @petrosamike420 5 месяцев назад +5

    Ambao leo mnaangalia hii 19/2/2024 tujuane mapema.

  • @NasibuChobanga
    @NasibuChobanga 10 месяцев назад +7

    huwezi amini hiyo siku ndio nilinza kuishangilia simba mpaka kesho simba sihami

  • @zunguofficial610
    @zunguofficial610 5 месяцев назад +15

    Tunae iangalia ihii gem 15 .3 .2024 tujuane

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 11 месяцев назад +6

    Alieskia Sauti ya Salim Kikeke Kama mimi like plz

  • @user-bn3cs8lf7t
    @user-bn3cs8lf7t 11 месяцев назад +87

    Hiyo siku naikumbka sanaa katika family yangu tupo watoto4 ukijumulisha nawazazi watu6 pekeangu ni simba hiyo siku nilinyimwa chakula😅😅😅😅😢

  • @mariamshibanda3358
    @mariamshibanda3358 4 месяца назад +1

    Ilikua tam sana🦁💪

  • @sigwamkinga6236
    @sigwamkinga6236 11 месяцев назад +5

    Simba wa nyika ❤

  • @zalhathasaid2060
    @zalhathasaid2060 3 года назад +12

    Wakumbushe baba utopolo wepesi wa kusahau

  • @rajabuwazirishekigenda5924
    @rajabuwazirishekigenda5924 6 месяцев назад +1

    yanga Hana historiya ya kumfunga Simba akiwa pungufu. hakika hii ni record ya kipekee kwa hao Simba..

  • @user-tz6ds8rq1i
    @user-tz6ds8rq1i 6 месяцев назад +1

    Well done lion

    • @eliamwanamayo3596
      @eliamwanamayo3596 6 месяцев назад

      😂😂😂 na wew upo hapa muda huu😂😂🙌🙌

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 Месяц назад +1

    Hii penati ilkw ya mchongo ila Mungu akalipa palepale uwanjani,malipo ni duniani

  • @user-zu3sq8ph4e
    @user-zu3sq8ph4e 11 месяцев назад +5

    yanga kwa simba ni wadogo sana basi tu ni timu ya waswahili hawaishiwi maneno

  • @MajaliwaBugota
    @MajaliwaBugota Месяц назад

    hii mechi kiukwel huwaga nailudiaga Hadi mwili unanisisimkaga aise ❤💪💪

  • @geofreysolomon3728
    @geofreysolomon3728 11 месяцев назад +15

    Kochuya ana nafasi yake ndani ya mashabiki wa Simba😂😂😂

  • @GozberthOnesmo
    @GozberthOnesmo 9 дней назад

    Hiii ilikuwa noma

  • @papaahussein5263
    @papaahussein5263 3 месяца назад

    Mm mpaka sasa ni mchezaji mzuri sana ujinga tu wa viongozi wa simba

  • @yohanayohanaadamu6483
    @yohanayohanaadamu6483 3 года назад +17

    Utopolo walishasau tuvyowagonga tukiwa pungufu

  • @user-vg7rz2yj1n
    @user-vg7rz2yj1n 11 месяцев назад +4

    KichuyaBado anaitajika simba

  • @Shantxhanta
    @Shantxhanta 22 дня назад +1

    Alf hapo tulikua tunavijana wengi kuliko hao vyura na wazee wao

  • @user-ri4ys2vn7r
    @user-ri4ys2vn7r 5 месяцев назад

    Nice moment by kichuya

  • @magembekisabo9632
    @magembekisabo9632 11 месяцев назад

    Dah Mo Ibrahim

  • @LaurentKarugura
    @LaurentKarugura 28 дней назад

    Daah mbal san nakmbuka kichuya mwamba kwel kwel

  • @SalumKalindajr
    @SalumKalindajr 12 дней назад

    Wehu Hao na wasbili trh 8

  • @user-ru1vo9qz6w
    @user-ru1vo9qz6w 5 месяцев назад

    Hakuna kama simba🎉❤🥴👹

  • @user-vi7fg3yz6o
    @user-vi7fg3yz6o 11 месяцев назад +1

    Mimi ni simba damu

  • @emmanuelngesi5429
    @emmanuelngesi5429 7 дней назад

    Hi ilikuwa jumamosi tarehe 17 mwez february 2017..💪

  • @ivonobedy6732
    @ivonobedy6732 Месяц назад

    Daah inasisimua

  • @abdoulrahimmigomba3885
    @abdoulrahimmigomba3885 Месяц назад

    Dah!

  • @Tamimsaid-xq2ct
    @Tamimsaid-xq2ct 4 месяца назад

    Goooal

  • @thomassaguda5559
    @thomassaguda5559 7 месяцев назад +1

    Ya kale....

    • @user-rb5pc1qw1r
      @user-rb5pc1qw1r 5 месяцев назад

      Vyakale vinathamani Kama ndomana Somo LA historia lipompkaleo shule ilikuwakumbusha watu Kama nyinyi !!

    • @frankpatroba4821
      @frankpatroba4821 Месяц назад

      Ni dhahabu

  • @jerryxeventeen5345
    @jerryxeventeen5345 7 месяцев назад

    TBT la kibabeee🎉

  • @user-du2lt5th7x
    @user-du2lt5th7x 10 месяцев назад

    Mechi ilikuwaga safi sana

  • @oscarmtocar7681
    @oscarmtocar7681 29 дней назад

    Simba sasa inapaswa kurudi

  • @VitalisNyami
    @VitalisNyami Месяц назад

    Tuko hapa

  • @RajabuHassani-q4e
    @RajabuHassani-q4e 6 дней назад

    Hatali

  • @ezrakenyanya7399
    @ezrakenyanya7399 3 года назад +3

    Wape salam utopolo

  • @gaudencehaule7398
    @gaudencehaule7398 11 месяцев назад +1

    Viongoz wa Simba huwa wana kiburi ssna.
    Lufunga hakuwa na hadhi hata ya kukaa benchi Simba. Binafs nlishukuru sana alivoondoka na nafas yake kuchukuliwa na Salim Mbonde

  • @flova7022
    @flova7022 11 месяцев назад +1

    Nomaaa

  • @sillassadiki
    @sillassadiki Месяц назад

    Mnaoangalia hiii kitu tar 10,7,2025 tujuane😂😂😂😂

  • @yasinshaban4933
    @yasinshaban4933 3 года назад +4

    Utopolo wanajisahaulisha kila siku

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 11 месяцев назад

    Nimpenda goal Keeper wa Yanga alivyomuonesha Mchezaji wa Simba kiatu

  • @pianamkai4620
    @pianamkai4620 3 года назад +5

    Tena mara 2 tunawauwaga hawa tukiwa pungufu

  • @abdulisiwa4118
    @abdulisiwa4118 11 месяцев назад +1

    Wasema tu

  • @franktazuba
    @franktazuba 10 месяцев назад

    Simba

  • @AjhidKakuru-hg7gw
    @AjhidKakuru-hg7gw 10 месяцев назад

    Jaman kichuy Mmmhhh

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 3 месяца назад

    Jifariji tu kwa yaliyopita

  • @mrgujarat8391
    @mrgujarat8391 Месяц назад

    Hapo kabla hawajaijua pesa

  • @hermankawea9204
    @hermankawea9204 11 месяцев назад +1

    Kichuya aje asitafie simba

  • @isayamwanja4333
    @isayamwanja4333 Месяц назад

    Tupo wengi tu

  • @user-mf4cc3tp9y
    @user-mf4cc3tp9y 6 месяцев назад

    mmH au bas

  • @carolineonesmo2345
    @carolineonesmo2345 10 месяцев назад +1

    Shiza kichuya na mguu wake wa kushoto utampenda

  • @RashidRashidihamisiyona
    @RashidRashidihamisiyona 12 дней назад

    Muhuza

  • @JeshKikove-xw1bh
    @JeshKikove-xw1bh 4 месяца назад

    simba ya kichuya

  • @KalistusKofiambaya
    @KalistusKofiambaya 18 дней назад

    huwa naikumbk xn hii game

  • @mecksedeckkauzeni5703
    @mecksedeckkauzeni5703 3 года назад +1

    Tena yanga ya kampa kampa tena

  • @nellymichael4713
    @nellymichael4713 10 месяцев назад

    Wakuiponda simba waiponde Ila wakiifuatilia watajua ni team ya namna gani

  • @Tamimsaid-xq2ct
    @Tamimsaid-xq2ct 4 месяца назад

    Goal

  • @ClatusChama
    @ClatusChama Месяц назад

    Sitahisahau hiyo mechi

  • @user-cf6ly2fn8g
    @user-cf6ly2fn8g 6 месяцев назад

    keel yanga Tam jaman😮😮😮

  • @ALOIIOMUMBA
    @ALOIIOMUMBA 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @samuelMatanga
    @samuelMatanga 3 месяца назад

    Kumbukizi😂😂

  • @KefaGeorge-oo1jw
    @KefaGeorge-oo1jw 3 месяца назад

    talehe 5 mrikura tano bado talehe 20 sijui mtakura 20

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 10 месяцев назад

    Shiza hakubahatika kupata Wakala mzuri. Alikua ni wa kucheza Ulaya!

  • @user-nq1nc3jt8f
    @user-nq1nc3jt8f 5 месяцев назад

  • @CostantinoJanuary-pp5ck
    @CostantinoJanuary-pp5ck 4 месяца назад

    Watisha xana

  • @Cavengermichael
    @Cavengermichael 3 месяца назад

    F❤❤❤❤❤

  • @SamikeSunhwamachimagi
    @SamikeSunhwamachimagi 4 месяца назад

    Mmh kichuya kona

  • @user-hn1jo7zd5e
    @user-hn1jo7zd5e 7 месяцев назад

    Goli 5 zitawasumbua sana.

  • @alfayomcharo9473
    @alfayomcharo9473 3 часа назад

    Je wananga wanakumbuka hii?

  • @user-vi5us1lt1s
    @user-vi5us1lt1s 11 месяцев назад

    kichuya noma xana

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 10 месяцев назад

    Hivi Manara anaikumbuka hui 😂😂

  • @frimasonidunia86
    @frimasonidunia86 6 месяцев назад

    Mpira saf

  • @msafirilucianmpangile7183
    @msafirilucianmpangile7183 11 месяцев назад

    Uto Huwa wanazimia zimia sana wakicheza na Simba😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-sk2mj6nj9f
    @user-sk2mj6nj9f 7 месяцев назад

    Hata mm siji kusahau hii siku

  • @AlfajiliMuhagama
    @AlfajiliMuhagama 4 месяца назад

    Saf

  • @stephanopeter9698
    @stephanopeter9698 4 месяца назад

    23.03.2024

  • @kateadam8204
    @kateadam8204 10 месяцев назад

    hii ndo mechi nloamini dawa zpo ndo maana hili litimu linavaa nguo nyekundu huwaambii kitu😂

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 3 года назад +3

    UTOPOLO hawanaga chaoo

  • @hajiMfundo
    @hajiMfundo 4 месяца назад

    Mh san tu

  • @user-tk7cg4kt9k
    @user-tk7cg4kt9k 6 месяцев назад

    Nan anaweza kufanya maajabu haya kama SI Mnyama

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je 11 месяцев назад +1

    Nilikesha hii mechi

  • @mursallusinde9189
    @mursallusinde9189 3 года назад +6

    Simba hajawahi kua paka ila ukimbahatisha ni mara moja kwa mwaka 😀 yanga walidhani wanaweza kushinda Darby mara mbili ndani ya muda mfupi ila so mbaya yanga walichagua point 3 simba ikachagua kombe na point 3 😂

  • @HafidhRwambo-hm3jt
    @HafidhRwambo-hm3jt 5 месяцев назад

    Goof

  • @user-px5gf4tq7z
    @user-px5gf4tq7z 5 месяцев назад

    Live

  • @RubenDaudi
    @RubenDaudi Год назад +1

    ❤🎉

  • @DenisAllan-kk4pt
    @DenisAllan-kk4pt 10 месяцев назад

    Ebwana eeeeeee!!

  • @keymwanyika840
    @keymwanyika840 4 месяца назад

    Wanaumbaaa mje ukuuu muone vitu