VILIO VYATAWALA, MAMA NA BABA WAFARIKI WAKITOKA KUCHUKUA MWILI WA MTOTO WAO ARUSHA MWINGINE AVUNJIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 437

  • @zainajirani5296
    @zainajirani5296 2 месяца назад +88

    Duniani Kuna mitihani... Mwenyezi MUNGU nipe Mwisho Mwema inshallah 😢😢

  • @Misanyahidaya
    @Misanyahidaya 2 месяца назад +71

    Mpaka mwili umenisisimuka daah.yarabii tujalie mwisho mwema

  • @himnakhatib1050
    @himnakhatib1050 2 месяца назад +85

    Kwa hakika kifo kinasiri nzito sana hatjuw mda wala saaa wala dkk ya kuondok dunian tumuombe Allah atujaalie mwisho mwema in sha Allah

    • @zainajirani5296
      @zainajirani5296 2 месяца назад

      Aamin inshallah 😢

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 2 месяца назад

      Amin inshallah 😢😢😢😢nawaza ntakavyo muhacha mwanangu pekeaake​@@zainajirani5296

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 2 месяца назад

      Amiin Allahumma Amiin

    • @sheikhanasser4714
      @sheikhanasser4714 2 месяца назад +2

      INNA LILAH WA INNA ILYGI RAJIOUN ALLAH AWALAZE PEMA PEPONII JANNAT FIRDOUS 🤲🤲

    • @LatifaLatifa67-ho1zr
      @LatifaLatifa67-ho1zr 2 месяца назад

      Amen

  • @vickytango5591
    @vickytango5591 2 месяца назад +32

    Nimeumia moyo ndugu zangu hatujui saa wala siku hivyo tujiweke tayari

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 2 месяца назад +22

    Poleni sana ndugu jamaa na marafiki mungu awalaze mahali pema peponi 🙏

  • @NeemaDanieli-qo1pk
    @NeemaDanieli-qo1pk 2 месяца назад +8

    Polen Sana Mwenyez Mungu Awatie Nguvu Hakika Kifo Ni Fumbo Sote Tutalejea Kwa Mola Wake,😭😭

  • @Zenamkuta
    @Zenamkuta 2 месяца назад +6

    Poleni sana wafiwa kifo ni fumbo allah tujaalie mwisho mwema ila huyu sijamuelewa hapa kwenye baba shangazi!

    • @happysindani6708
      @happysindani6708 2 месяца назад

      Baba mdogo alikuwa ni mume wa shangazi yake( baba shangazi).

  • @ImeldaSaire-ye2xq
    @ImeldaSaire-ye2xq 2 месяца назад +3

    Poleni sana jamani ndugu zetu, Mungu akawe faraja kwenu kipindi hiki cha majonzi. Raha ya milele uwape ee Bwana, na mwanga wa milele uwaangazie. Wapumzike kwa amani, Amina

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +9

    Polen sana baba yangu Mungu awatie nguvu

  • @fatmaOmmy
    @fatmaOmmy 2 месяца назад +40

    Dah Tanzania yangu Vifo vimekuwa vingi mno japo kufa ni ahadi.mungu atujaalie mwisho mwema😢

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 2 месяца назад +3

      Uchaguz karibu

    • @maseleenaesleen8149
      @maseleenaesleen8149 2 месяца назад +1

      😢😢😢Sio Tanzania peke yake dear Kenya idadi ya vijana wanao kufa ni kubwa mno😢

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 2 месяца назад

      😭😭😭😭

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 2 месяца назад

      @@fatmamsiliwa8485sasa ajali inahusika vp na uchaguzi😢

  • @AmAlialaa
    @AmAlialaa 2 месяца назад +10

    Poleni sana wafiwa wote kazi ya mungu haina makosa

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 2 месяца назад +7

    Innallillah wainna illaih rajioon😢 Maziito haya semeki, na speed zina changia Barabarani! Japo na wakati ulishafika hakuna kitakacho zuiya. Allahu Akbar. Na kuna Roho hazitakagi kuondoka peke yake ipo hiyo.💔

  • @Feitens
    @Feitens 2 месяца назад +3

    Hapa Kuna maneno .life is spiritual Sana....... ..

  • @richardkubanda6627
    @richardkubanda6627 2 месяца назад +3

    Mungu akawe mfariji mkuu katika familia. Hakika mnapitia nyakati ngumu mno kwa msiba mkubwa. Poleni sana na wapumzike kwa amani. Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na Kwake tutarejea.😭💔🤲

  • @Sarah-o5u9t
    @Sarah-o5u9t 2 месяца назад +2

    Pole sana ndugu zetu Mungu awatie nguvu

  • @EnockNanyaro-lk1zi
    @EnockNanyaro-lk1zi 2 месяца назад +10

    Polen sana familia hakika inauma sisi wote ni wa mwenyenzi Mungu na kwake tutarejea.

    • @jadetoto
      @jadetoto 2 месяца назад +1

      Dah! YESU WANGU TUOKOE

  • @christermlewa8471
    @christermlewa8471 2 месяца назад +1

    Raha ya milele uwape Ee Bwana na mwanga wa milele uwaangazie,wapumzike kwa amani🙏🙏

  • @OleLucas
    @OleLucas 2 месяца назад +1

    Poleni sana tena sana MUNGU awatie nguvu zaidi watu wa MUNGU

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila 2 месяца назад

    Dah!poleni sana sana tunamuomba Mungu awalinde ktk safari mfike salama

  • @geofreykayombo401
    @geofreykayombo401 2 месяца назад +5

    Poleni sana wana family,mungu awape nguvu ndugu wote katika kipindi hiki.

  • @ZumrathWande-jw4jq
    @ZumrathWande-jw4jq 2 месяца назад +1

    😢😢😭 ALLAH AKBAR,ewe Mola wape subra wanafamilia na uwapumnzishe marehemu wote mahala pema peponi ,amen🤲

  • @JanethMollel-wk5th
    @JanethMollel-wk5th 2 месяца назад +1

    Duuuh Mungu awatie nguvu familia hiyo.poleni sana familia

  • @SamsungA03core-tz7sz
    @SamsungA03core-tz7sz 2 месяца назад +3

    SISI SOTE NI WA ALLAH NA SOTE KWAKE TUTAREJEA, poleni sana ndugu zangu MUNGU awasamehe marehemu wote.

  • @RahelYohani
    @RahelYohani 2 месяца назад +2

    Dah polen sana mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu amina

  • @SalmaMakuka
    @SalmaMakuka 2 месяца назад +2

    Poleni cna mungu awatie nguvu kwa msiba huo mzito

  • @RehemaOoko
    @RehemaOoko 2 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu awatie nguvu.., poleni sana

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w 2 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu uwe mfariji katika familia hii

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o 2 месяца назад +1

    Poleni sana ndugu zetu aisee mtihani kweli mngu hukosei japo twaumia alhamdulillah allaah kull hali..🙏😭

  • @cosmascastory9193
    @cosmascastory9193 10 дней назад

    Daaaah poleni sana ndugu zetu mungu awatie nguvu katika kipindi hicho kigumu

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 2 месяца назад +1

    Inalilah wainalilah rajighun poleni sana ndugu zangu mwenyez mungu atie nguvu katika kipindi hichi kigumu yaarabi

  • @mwanjaarashidi7402
    @mwanjaarashidi7402 2 месяца назад +1

    Duuh mwenyezi mungu nipo mwisho mwema na wafiwa poleni sana

  • @Halima-z1u
    @Halima-z1u 2 месяца назад

    M.Mungu haicheleweshi nafsi yeyote muda wake unapofila.Na hatuna budi kusema,Innaa lillahi wanna ilayhi raajiuun.ALLAH AWAPE KAULI THAABITI INSHAAALLAH.

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 2 месяца назад +22

    Inalillahi waina ilayhi rajioun
    Allah awalaze pahala pema kwenye wema.
    Amin ya Rab 🤲

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 2 месяца назад

      Amiin🤲🤲🤲🤲

  • @PamelahRaster
    @PamelahRaster 2 месяца назад +1

    Poleni sana ndugu zangu mungu akawatie ñguvu kwa kipindi hiki kigumu

  • @DannyMasuka-ut4oq
    @DannyMasuka-ut4oq 2 месяца назад +1

    Poleni ndugu zetu inauma sana ila mungu wetu atasimama nanyinyi katika kipindi hichi kigumu

  • @Umu-khansaa.
    @Umu-khansaa. 2 месяца назад +2

    Pole mkazamjomba umepoteza dada mtoto na shemeji kwa wakati mmoja, Allah awajalie subra nasi tujaalie mwisho mwema Yarabb😢

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 2 месяца назад +1

    Issa poleni sana Mungu akawe faraja kwenu ktk wakati huo mgumu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 месяца назад +2

    Innalilah wainnaylilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni sana wafiwa!

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 2 месяца назад +1

    Pole san baba kazi ya mungu hain makos innalillah wainnaa lillahi rajiun

  • @ZaynabMajid-w7y
    @ZaynabMajid-w7y 2 месяца назад +1

    Allah awahifadhi na awakinge na adhabu za kaburi...wana bonga ni msiba uliogusa mioyo ya watyu...ni zaidi ya maumivu

  • @AllyTingi
    @AllyTingi 2 месяца назад +1

    Daah class ment wangu jamani Allah awape kauli thabiti wote walio tangulia mbele ya haki

  • @bu.hamad.aldarei7651
    @bu.hamad.aldarei7651 2 месяца назад +1

    Mungu alazeroho zamarehemuwote amina

  • @ukweli255
    @ukweli255 2 месяца назад +3

    ..kuna situation omba sana isipige kwenye Familia yenu !

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Mungu awafariji sana wapendwa wetu. Tunawaombea faraja ya Mungu.

  • @jazilambaji2789
    @jazilambaji2789 2 месяца назад +1

    Innalillahi wainnaa ilayhi rajiuun 'inauma jaman bba shukuru umeenda'Allah akusamehe dhambi zako pmj na ndgu zako

  • @saddiqsaddiq6880
    @saddiqsaddiq6880 2 месяца назад +2

    Poleni sana familia Mungu awape subra

  • @martinihharry6948
    @martinihharry6948 2 месяца назад +2

    Pole Sana familia Mnyaruge Mungu Akawwe faraja yenu

  • @rosejoseph4141
    @rosejoseph4141 2 месяца назад +2

    Eeh Mungu watie nguvu wafiwa wote.Amin.

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 2 месяца назад +1

    Poleni sana poleni sana Mungu ana mipango yake

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Месяц назад +1

    Subhanna Allah 😭 innalilaah wainnalilaah lajiun 😢😢😢😢

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 2 месяца назад +6

    Ipo nguvu au siri fulani katika hoi familiya. Mungu Baba aingilie kati 😢.

  • @sylvestermlunga3721
    @sylvestermlunga3721 2 месяца назад +1

    Mungu awapumzishe mahali pema peponi

  • @shakiramwinjuma1338
    @shakiramwinjuma1338 2 месяца назад +1

    Poleni Sana Allah awape Moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki kigumu😢

  • @nauwarykabuma3793
    @nauwarykabuma3793 2 месяца назад +3

    Mungu awape moyo wa subira ndugu wote wa marehemu

  • @jameskeraryo1144
    @jameskeraryo1144 2 месяца назад +1

    Poleee sana kwa kuwapoteza wapendwaa wenu

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 2 месяца назад +1

    Innalilah waina ilaih rajiun..allah awape kauli thabit.awafungulie milango ya janna.🤲

  • @pendobundala-t7f
    @pendobundala-t7f 2 месяца назад +1

    Polen San mungu awatie nguvu

  • @lubuvahussein5556
    @lubuvahussein5556 2 месяца назад +2

    Innalillah Wainnailayh Raniuun...Allah awajaalie qauli thaabit min thaabit almarhum wote

  • @ramadhaniabdulkadry288
    @ramadhaniabdulkadry288 2 месяца назад +2

    Yarabi tunaomba tunajalie mwisho MWEMA sisi na familia zetu.inalillah wainallah rajughun

  • @etropialangai6415
    @etropialangai6415 2 месяца назад +1

    Polen sana jmn Mwenyezi Mungu awatie nguvu

  • @aishaabdalla7624
    @aishaabdalla7624 2 месяца назад +1

    Innaa lillahi wainna ilayhi raajiun
    Hakika msiba mzitoooooo
    M'mungu awape subra wafiwa wote ktk kipindi hiki kigumu

  • @saidkibendera8640
    @saidkibendera8640 2 месяца назад +2

    Poleni sana ndugu zanguni mungu awatie nguvu ktk kipind kigumu

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 2 месяца назад +7

    Wallah sijui hata niseme nini zaidi yakusema Allah awepe kauli thabiti AMIIN

    • @umumuhammad8741
      @umumuhammad8741 2 месяца назад

      Aamiyn Aamiyn Aamiyn
      Nasis Allah atupe mwisho mwema

    • @sheikhanasser4714
      @sheikhanasser4714 2 месяца назад

      ​@@umumuhammad8741ALLAHUMA AAMEEN YAARB ALAAMEEN NA ISLAAM JAMII 🤲

    • @SamsungA03core-tz7sz
      @SamsungA03core-tz7sz 2 месяца назад

      Amiin thumma Amiin ​@@umumuhammad8741

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 месяца назад +1

    Pole ni sana mungu awatie guvu

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 2 месяца назад +1

    Inna lilah wahinna ilah rajiun Allah awarehemu maiti zetu pole sana ndugu zetu Allah awape subra

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 2 месяца назад +3

    POLENI SANAA. Marehemu kafa mara mbili.. 😢😢😢huzuni sana na huyo mama angezikwa hapo pamoja na mumewe na mwanae😢😢

    • @BakariMaulidi-rn8pj
      @BakariMaulidi-rn8pj 2 месяца назад

      Simumewe nishemeji Yake na iyo mama alienda kuzikwa kwao

  • @azizambise
    @azizambise 2 месяца назад +6

    Mungu tunaomba utupe mwisho mwema, roho za marehemu zilazwe pema peponi

  • @sozmabula5125
    @sozmabula5125 2 месяца назад +1

    Mungu awatie nguv polen xana

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 2 месяца назад +1

    Poleni sana kwa msiba Mungu awafariji, may their souls rest in perfect peace, quick recovery

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад +2

    Inalillahi wainailahi rajuun. Allah awape kaulithabity naawapokee kwa amani awape pepo yarabiaalamyn. Allahu akibarr

  • @ImeldaNtsg
    @ImeldaNtsg 13 дней назад

    Poleee nisanaaa mungu awatie nguvu

  • @ZaudiaAli-d4j
    @ZaudiaAli-d4j 2 месяца назад

    Eee mungu wapatie nguvu wowote Hawa ngugu wamarehemu mungu Aziweke rohozao mahalipema peponi Amin

  • @FaudhiaMohamed-m1t
    @FaudhiaMohamed-m1t 2 месяца назад +1

    Innaa Lillah wainnaa ilayhi raajiuun poleni sana ndugu zetu allah awape subra ktk kipindi kigumu hiki mnacho pitia.Hakika sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea inshaallah 😭😭 kweli baki allah nasi tulio baki allah atujaalie mwisho mwema inshaallah 🙏😭😭😭

  • @evesilayo740
    @evesilayo740 2 месяца назад

    Poleni sana wafiwa mungu awatie nguvu

  • @AishaIbrahim-z2w
    @AishaIbrahim-z2w 2 месяца назад +1

    Dah Inna lillaahi wainnaa ilaihi raajiuun m'mungu tupe mwisho mwema

  • @marrynessbarthazary3144
    @marrynessbarthazary3144 2 месяца назад

    Mungu nipe mwisho Mwema na familia yangu Amina

  • @MarryIsaac-y1s
    @MarryIsaac-y1s 16 дней назад

    Poleni sana mungu hawatie nguvu katika kipindi hiki kigumu

  • @ziadayasin711
    @ziadayasin711 2 месяца назад +1

    Innalillah waina lillah rajuuni Allah awape nguvu wafiwa subhnallah

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 2 месяца назад

    Polen sana wana familia mungu awape subra ktk kipindi hichi cha majonzi

  • @ShaiduTwahil
    @ShaiduTwahil 2 месяца назад +1

    Pole sana ndugu zangu mwenyezi mungu awape roho ya subira

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Mungu wafariji watoto wako Baba wa Mbinguni. Sina cha kusema waguse najua wema wako ni mkubwa sana.

  • @deymanyusuphu228
    @deymanyusuphu228 2 месяца назад +1

    Poleni sana

  • @DismasMaturine
    @DismasMaturine 2 месяца назад +1

    Poleni Sana familia Mungu awape nguvu ni wakati mgumu sana

  • @KasmBange
    @KasmBange 29 дней назад

    Polen ndugu zangu Allah awape subla

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 2 месяца назад

    Poleni sana Mungu awape faraja 🙏🏽

  • @saidramadhan71
    @saidramadhan71 2 месяца назад +2

    Poleni sana ndugu zetu kwa ujumla

  • @feydatmjeda
    @feydatmjeda 2 месяца назад

    Poleni ndugu zetu

  • @IssaTabibu
    @IssaTabibu 2 месяца назад

    Poleni Sana daah mungu atiye nguvu dugu na jamaa?

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 месяца назад +9

    Ss sote waja wake na kwake tutarejea
    .Allah awape subira.

  • @Top_GamesZone
    @Top_GamesZone 2 месяца назад

    Mungu awatie nguvu 🙏🙏🙏

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 2 месяца назад +1

    Lusifa yuko kazini!!
    Yesu pekee anaweza kutufuta machozi

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi 2 месяца назад +9

    Inna lillah wainna ilaihi rajiuun ALLAH akupeni subra ndugu zetu msiba mzito

  • @ZainbAbubakary
    @ZainbAbubakary 2 месяца назад

    Innalillah Wainna ilayah Rajiun poleni sana Familia najua maumivu mnayopitia poleni sana MUNGU awatie nguvu

  • @FauziaMohamedi
    @FauziaMohamedi 15 дней назад

    Inalilah wa inalillah rajiun poleni sana ndugu mungu awalaze mahali pena pepon

  • @EdnaMbowe
    @EdnaMbowe 2 месяца назад +9

    Hakika tuombe kuna hali ambayo siyo ya kawaida Arusha hii😭

    • @magrethmollel1078
      @magrethmollel1078 2 месяца назад +1

      We vipi umeona arusha tu ndiyo kuna Vifo ama ajali

  • @lovenessmollel9099
    @lovenessmollel9099 2 месяца назад

    Said Pole sana kwa pigo hili kaka

  • @annahlewia
    @annahlewia 2 месяца назад

    Poleni sana Mungu awatie nguvu

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 2 месяца назад +1

    Allahumma bikhusnul khaatima Yaa Allah

  • @GraceSikulo-p4m
    @GraceSikulo-p4m 2 месяца назад +4

    Yaha ya milele uwape ee bwana na mwanga wa milele uwangazie wapumzike Kwa aman

  • @mwanamwendy9265
    @mwanamwendy9265 2 месяца назад

    Wapumzike kwa Amani
    Poleni Sana familia