MUHINDI APAGAWA NA USAJILI FADLU DAVIDS NDANI YA SIMBA TUNAENDA KUFANYA MAKUBWA WASALITI WAMEONDOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Комментарии • 48

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf 5 дней назад +6

    Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 4 дня назад +2

    Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa 5 дней назад +4

    Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka

  • @LenatussylivesterPetro
    @LenatussylivesterPetro 5 дней назад +4

    Umeongea point san

  • @frankkiundo3240
    @frankkiundo3240 Час назад

    very good mr mhindi

  • @tanzaniakwanzamaadili5083
    @tanzaniakwanzamaadili5083 5 дней назад +2

    Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 дня назад

    Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 5 дней назад +9

    Maduka yote bye bye byee🖐️🖐️

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 4 дня назад +1

      Mi naona kama bado Kuna mmoja hivi hajatolewa bado.

  • @alenjoel3777
    @alenjoel3777 4 дня назад +1

    Hata mimi nilifrahia chama kujiona kama Mungu

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 5 дней назад +1

    Chama kumbe alituumiza sana,
    Huyu Chama na Manara ni maadui wa Simba 😂😂

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 5 дней назад +2

    Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua

  • @HarunaMbwana-s6y
    @HarunaMbwana-s6y 3 дня назад

    Safi sana mwarabu

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 4 дня назад

    Kabisa kaka manala nikirusi

  • @user-ve7kb4jm2r
    @user-ve7kb4jm2r 5 дней назад +2

    Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 5 дней назад +1

    Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao

  • @MlekwaMlekwa-d1k
    @MlekwaMlekwa-d1k День назад

    Upo sawa

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 5 дней назад +1

    Yanga wanachukua tusiowataka

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 5 дней назад +3

    TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 дней назад +1

      SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 5 дней назад +2

    Ninaomba viongozi was Simba sc na wanachama mrinde wachezsji wetu

  • @DM_15
    @DM_15 5 дней назад +1

    Chama ndio alimpiga msumari kramo. Now cramo atacheza

  • @shabaninangomwa4136
    @shabaninangomwa4136 4 дня назад +1

    Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 5 дней назад +2

    Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el День назад

    Pmj sanaa

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m 5 дней назад +1

    Viongizi wachezaji mualinde na na misunari kwani upande wapili hawapendi maendeleo ya blandi yetu Wana taka waishushe

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 5 дней назад +1

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shimoamos9109
    @shimoamos9109 3 дня назад

    mimi napenda sauti ya haka ka dada jamani khaaa ,,,,,,, na anajua kuongea kweli yaan

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y 4 дня назад

    Uko poa mkuu simba nguvu moja

  • @SalumMkugwa-i9i
    @SalumMkugwa-i9i 5 дней назад +1

    Points

  • @neemaben9989
    @neemaben9989 5 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏🧠🧠🧠🧠🧠🔐

  • @HairuIssa-f9y
    @HairuIssa-f9y 4 дня назад

    Upo xahih mtu wa maan xan

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s 4 дня назад

    Wachezaji wajengewe sprit ya kupambana na sio kusaini simba ilimradi

  • @user-pn3wz2eb5z
    @user-pn3wz2eb5z 5 дней назад +1

    Hawa ndio wachezaji wafanya biashara wote bye bye

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 5 дней назад

    Yani simba mazumbu kuku huyu muhindi eti kina jobeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 4 дня назад

    mbona makofi machacheeeeee....?

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 5 дней назад +1

    Toa maduka yote ,Used wote , wasaliti wote, wazee wote , peleka Utopoloni ,

  • @IssaDede
    @IssaDede 5 дней назад

    kweli kabisaa tusome albadirii

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s 4 дня назад

    Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 5 дней назад

    Kasomeni al badiri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mumechanganyikiwa hahahahahahahaha

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 5 дней назад +1

    Sawa sawa chama hakua wetu

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 5 дней назад

    Ndio maana mangungu hatumtaki yeye wachezaji wanarogwa yeye amekaa tu kama mshipa mjingasana huyo

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 5 дней назад

    Hahahahahahahahahaha yani Simba ni birudani sana ndani ya nchi yetu adi raha simba ni litimu limoja ambalo limejaa machizi hahahahahahahahahaha mpira umebadilika fedhaaa baba pesa mahesabu mijitu imekaa inaropokwa mgogoro mwingi yule anasema hivi yule vile .😂😂😂😂😂😂😂😂😂.umeona wapi yanga tumekaa tunapiga kelele watu wako mahofisini yani Yanga majuu pesa kuna nukia njuruku pesa pesa

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 5 дней назад

    Simba muna wewe seka .yanga mchezaji akicheza chini ya kiwango dirisha dogo kwaheri na bench anakalia Yanga mziki mpana.sisi ndio yanga tuko kamili any time tasisi inafanya kazi tunaenda kwa tarehe timu nnnzimaaaa

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 5 дней назад

    Huyu mwarabu wa kayenze hajui kitu kwenye mpira mwambie akale pilipili