MCHOME MAPOVU APANGA KIKOSI CHA YANGA CHA MAANGAMIZI | CHAMA,PACOME NA AZIZ KI WOTE NDANI|MOTO BALAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • #livestreaming #jobe #jezimpya #mayele #hafiz #manara #pyramid #buza #dabi #derby #mamelodi #luismiquissone #yanga #mkude #leo #simba #mwananchi #jezimpya #mandonga #simbasc #skudu #lilepo #Yangasc #ngoma #mayele #simbaday #derby #barnaba #wasafibet #Mletemzungu #azamfc #chama #no6 #mtibwasugar #namungo #dabi #derby #job #dickson #kibabage #kariakoo #kiama #namungo #wydadathleticclub #riversunited #medeama #mkapastadium #mkapa #azamfc #tff #alahly #benjaminmkapa #marumogallant #inonga #onana #musonda #mahop #simbaday #okrah #yangaday #gamondi #mkwakwani #tanga #skudu #almerrikh #kramo #ihefu #afl #mbwaduke #sankara #msuva #karabaka #diamondplatnumz #mwijaku #moloko #dullamakabila #taifastars stars #crbelouizdad
    The Official RUclips Channel Account J&R Mtita From Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA)
    Booking : jrmtitatv@gmail.com
    Contact : +255 747 384 250
  • СпортСпорт

Комментарии • 25

  • @MariamKilimba
    @MariamKilimba 21 день назад +9

    ww mchome nakukubali sn kaka mungu akulinde sn

  • @user-gs3pb8iu3u
    @user-gs3pb8iu3u 21 день назад +4

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unatisha sana mchome

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 21 день назад +4

    Mchome nakupa Maua Yako.
    Ukiona mpangaji TIMU anaanza na washambuliaji jua Huyo anaona Mbali.

  • @VeronicaWillism
    @VeronicaWillism 21 день назад +2

    Yan wee unajua sana kkaa si uje. tuu yangaa

  • @lameckmayalaihobesadickmayala
    @lameckmayalaihobesadickmayala 21 день назад +2

    Kaka mapovu, to me nashindwa hata kukutabili, najuwa kuwa ww nimwasimba, lkn ukweli nikwaa, unafaa kuwa mchambuzi, hongera sana, huna usimba nauyanga, ila mpira unaujuwa hasa

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 21 день назад +3

    Kaka upo vizuri sana muda woote unaongea ukweli

  • @TonnyKapela
    @TonnyKapela 21 день назад +2

    Nakubaliiiiiii mchome ww waaaabie ukweli maaana hamna namna 😂😂😂😂😂😂😂

  • @ShabaniMcharo
    @ShabaniMcharo 20 дней назад +1

    Yote tisa kumi ligi kuu itaongea yanga au simba nani kasajili vizuri lakini heris hakosei

  • @LucasHaile-dy9kd
    @LucasHaile-dy9kd 18 дней назад +1

    Ww jamaa mchesh sana japo wanamsimbaxi hawakuamin kabisa kama ni mwenzao

  • @user-gy5fo6zv6w
    @user-gy5fo6zv6w 21 день назад +2

    Kikosi cha simba hakipangiki,,

  • @galatonetz
    @galatonetz 21 день назад +1

    Mzee upo sawa

  • @user-lw6on7dd7h
    @user-lw6on7dd7h 21 день назад +1

    Usijhe ukajuta kwa maneno Yako Simba msimu ujao itafanya vizuri na ubingwa mwakani unaenda msimbazi

    • @dicksonpaschal8247
      @dicksonpaschal8247 21 день назад

      Endelea kuota ubingwa unadhani ni mihogo ya kununua kwa jero eeh😂

  • @MariamKilimba
    @MariamKilimba 21 день назад +2

    😅😮😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @user-qp8hv7rh8p
    @user-qp8hv7rh8p 21 день назад +1

    Akanye uko uyo mnafki akapange na kikosi cha family yake

  • @CharlesNdege-om5oe
    @CharlesNdege-om5oe 20 дней назад

    MCHOME HUNA BAYA KAKA WEWE NI MKWELI SANA NA NI MTU WA BOLI KWELI KWELI

  • @alexndihokubwayo8010
    @alexndihokubwayo8010 21 день назад

    Acheni kujifaliji simba hamuna timu wale marasita mani wenu nima papaye tu

  • @JuliethKisonga
    @JuliethKisonga 21 день назад

    Ngoja inyeshe tutajua panapo vuja

  • @BorySaronge
    @BorySaronge 20 дней назад

    Wewe zungumza vyovyote vile na uwafurahishe hao rafiki zako ila nakupa ukweli kwamba mfumo ule wa mwaka Jana wa slow motion ndio mwisho na hapo ndipo utakapo just kuwa wewe ni boya lisilo okoa

  • @Daudi-b7n
    @Daudi-b7n 20 дней назад

    utazoea tu

  • @Barakah2590
    @Barakah2590 21 день назад

    😮😮😮😮

  • @user-ef2nz7ce9r
    @user-ef2nz7ce9r 21 день назад

    Bw. Mchome wasaidie washabiki wa tz, kuongea mpira. Si vema mwanaume kuitwa chawa. Hivi mwanao akikuuliza kuwa '' Baba kwa nini unaitwa Chawa? Utajibuje????

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 21 день назад

    Acheni. Ujinga. Mle. Hamuna. Kocha. Ikifika. Xmas. Hajafukuzwa. Nipo. Pale. Kocha. Msaidizi. Kuwa. Kocha. Mkuu. Wapi

  • @lameckmayalaihobesadickmayala
    @lameckmayalaihobesadickmayala 21 день назад

    Kaka mapovu, to me nashindwa hata kukutabili, najuwa kuwa ww nimwasimba, lkn ukweli nikwaa, unafaa kuwa mchambuzi, hongera sana, huna usimba nauyanga, ila mpira unaujuwa hasa