PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 05 | Love Story

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024

Комментарии • 1,4 тыс.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  Месяц назад +401

    JAMANI MAMA TINA ?? KWANI ANAMPANGO GANI HUYU MAMA??? 😢

    • @issahaji8715
      @issahaji8715 Месяц назад +26

      Yani tina kwa ukali alionao hafai kua mke

    • @FrankMaendeleo247
      @FrankMaendeleo247 Месяц назад +6

      anataka pesa

    • @RehemaKatana-hb4ei
      @RehemaKatana-hb4ei Месяц назад +17

      Kelvin kaz nzuri halafu hio nyimbo naeza ipata wapi plz

    • @HusnaOmarry
      @HusnaOmarry Месяц назад +6

      Wanampango wakuwafirisi mali zenu kua makini kelvin Tina si mwanamke sahihi kwako huyo ni mdangaji,,,

    • @user-tq7gp3ue7g
      @user-tq7gp3ue7g Месяц назад +8

      Anataka kukuangamiz ila mnachelewesh san Kelvin kaz nzur🎉

  • @JenifaNyamhanga
    @JenifaNyamhanga Месяц назад +165

    Sema loveness anajua mpaka anakela like za loveness ❤❤

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi Месяц назад +3

      Yeah loveness kiboko 🎉🎉🎉🎉

    • @user-ji6cp1ng8g
      @user-ji6cp1ng8g Месяц назад +1

      We acha mimi napenda love na kevi wanajua mpaka wanakera tena wakiwa kwnye mahusiano wanapendeza sana

    • @loveness_actress
      @loveness_actress Месяц назад +1

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e Месяц назад

      ​@@user-ji6cp1ng8gwe acha tu

    • @Ysga-s5b
      @Ysga-s5b Месяц назад

      8❤❤❤

  • @Christine-ho5us
    @Christine-ho5us Месяц назад +48

    Donta famili nawapenda sana kevin kazi nzuri sisi wafanyikazi wa dani tunayapindia sana❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 Месяц назад +345

    Namba moja nimimi kutokea swideni tunao omba dada wakazi aholew na kelvin like apa❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

    • @officialbasheer13_tz
      @officialbasheer13_tz Месяц назад +3

      Sio aholewe sema aolewe 😂😂😂😂

    • @GentilKakule-rd2pz
      @GentilKakule-rd2pz Месяц назад +6

      kujibu comment za watu kuandika ya kwako aaaaa😂😂😂

    • @user-qy4hw7ip6q
      @user-qy4hw7ip6q Месяц назад +7

      Daaa nipen like 100 Kama unampenda Kelvin Mr plan

    • @spesiozabisansaba6424
      @spesiozabisansaba6424 Месяц назад +5

      Kutokea Sweden ya wapi hiyo? 😅😅😅😅

    • @MercieWahome
      @MercieWahome Месяц назад

      😂😂😂😂😂​@@spesiozabisansaba6424

  • @InezaFainess
    @InezaFainess Месяц назад +40

    Watu mnawahi walahi Aya Mimi wa 303 naomba basi like ata kumi

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Месяц назад +83

    Nitafurah sana ikiwa Kelvin atamuoa love

  • @user-un9eh6xn6c
    @user-un9eh6xn6c Месяц назад +7

    Mama kelvin hanabusara sana hangekuwa mwingine hangemfukuza direct ❤❤❤ like kwe mam kelvin

  • @user-fw2zn2os8g
    @user-fw2zn2os8g Месяц назад +61

    anaependa kuomba like bila kuangalia kwanz tujuane apo

  • @hawababy120
    @hawababy120 Месяц назад +19

    Kazi nzuri kelvin ila mnachelewesha san muendelezo😌🌹🇧🇮🧚‍♂️

  • @user-gx4vx5ru2u
    @user-gx4vx5ru2u Месяц назад +43

    Kelvin usimwache love nakapenda sana pokea love km jina lako lilivyo ❤❤❤

  • @user-up1fi9ce9n
    @user-up1fi9ce9n Месяц назад +62

    Ila lavenes na kelvin ndio wanapendezana kuwa pamoja na Tina hata hawaendani kabisa gonga like Kawa unawakubali🎉

    • @GraceVISAMAYANI-gj1xm
      @GraceVISAMAYANI-gj1xm Месяц назад +1

      Hata maman Tina Hana adabu hata kidogo

    • @user-up1fi9ce9n
      @user-up1fi9ce9n Месяц назад

      @@GraceVISAMAYANI-gj1xm Yani sijui anamipango ngani.ambayo hataki kuisema

  • @Emmajose-t8t
    @Emmajose-t8t Месяц назад +92

    Naomba likes za dada wa kazi from Kenya

  • @JabanFranklin
    @JabanFranklin Месяц назад +9

    Jaman anaekubari kelvin amuowe loveness weken like hapa much love from Uganda ♥️♥️♥️♥️

  • @HadijamasudiTanotano
    @HadijamasudiTanotano Месяц назад +17

    napenda wote mnafanya vizuri ila mnatucheleweshea kutoa Season zinazofwata jamani mjitahid sana nawatakia kazi njema

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Месяц назад +77

    Oeee oyaaaa waliotegea mtoto w boss km mm mko wapi jmn acheni moyo wa mtu upende pale unapopenda😢😢love from team strong team donta family 😮😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @user-tn6ir6ew9o
    @user-tn6ir6ew9o Месяц назад +13

    Hongeren sana Kelvin na team nzima movies zenu siyo tu kufurahisha ila zina mafundisho mengi,be Blessed

  • @StellaKugomwa
    @StellaKugomwa Месяц назад +150

    Jamn like ya kelvin hat moja 2 maana nimewahi leo katika ukumbi 🎉😂😂😂😂😂🎉

  • @WinnieSyombua-ka
    @WinnieSyombua-ka Месяц назад +36

    Any Kenyan here 🇰🇪🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kazi mzuri Kelvin keep it up 🎉

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g Месяц назад +73

    Mmmmhh sem kuwai nawapend wana donta na marafiki zangu mnipe like ata 5 km mwanipend pia marafiki🎉🎉❤

  • @TitoMichael-np2kh
    @TitoMichael-np2kh Месяц назад +16

    Namuelewa sana kelvin na love ila Tina atasngukia tumboooooooooooooooooooooooo 😂😂

  • @JeromeCadeau-jv6xs
    @JeromeCadeau-jv6xs Месяц назад +61

    The one who produced this story is very professional❤

  • @stevenmutava5485
    @stevenmutava5485 Месяц назад +10

    Following from the United States of Kenya🤩🤩🤩🤩🤩, one of the best series in E. Africa

  • @user-hy2ts9zm5s
    @user-hy2ts9zm5s Месяц назад +75

    Kelvin film yako ni nzuri nayi penda lakini usimuache laveness

    • @AliphonceMartina
      @AliphonceMartina Месяц назад +1

      Malizia kwa kumwambia from Burundi 🎉🎉

    • @niyokwizerajiribrt7161
      @niyokwizerajiribrt7161 Месяц назад +1

      Ila nikwl asimwache loveness paka amuoe

    • @SilvaMwamba-fw4rj
      @SilvaMwamba-fw4rj Месяц назад

      ​@@niyokwizerajiribrt7161I'm going

    • @ayaanhassan9536
      @ayaanhassan9536 Месяц назад

      Kevin said to Tina beauty lies on the eyes of beholder. Hilarious. Kevin is handsome, smart and well behaved gentleman ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ashamrisho1322
    @ashamrisho1322 Месяц назад +9

    Nawaomba miwahi kuitoa iyo ya 6 mm mwenzenu jobless ko muda mwing nafatilia donta TV kuona muendelezo huu, piah Hongereni Kwa kazi nzúr jmn🥳🥳

  • @user-gg9wi7oi8h
    @user-gg9wi7oi8h Месяц назад +29

    Mimi wa99 naombeni like Bax jaman sjapenda kuchelewa

  • @DeogratiasBuretta
    @DeogratiasBuretta Месяц назад +11

    Co poa kelvin anajua san naomba like hapa jamn 😂😂

  • @EmilyZainab
    @EmilyZainab Месяц назад +22

    Jamani 1 minutes ago kadhani wakwanza kumbe watu wanalala apa wakikesha apa congratulations 🎉 #Dontatv

  • @josephineachitsa
    @josephineachitsa Месяц назад +15

    Wauuu SASA tunaeza pumua our bro Kelvin how KENYANS were waiting for these part 5, u really delay us bt nice now we have that heart of breathing. Keep it up our brothers and sisters , Kelvin and lovness get my greetings love u

  • @user-cm6jd9sx2y
    @user-cm6jd9sx2y Месяц назад +27

    Donta tv munajua nawapenda wote❤❤❤
    By CADODO🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @NuruenezaJosephEnock
    @NuruenezaJosephEnock Месяц назад +3

    Daaahh jaman Love anatia huruma sana màana hakuna mwenye upendo nae zaidi ya kaka Kelvin na Candy lkn piah huyo mama Tina sijui ana mpango gani na hiyo familia ya Kelvin

  • @user-gq4yf4ky9f
    @user-gq4yf4ky9f Месяц назад +19

    Dr Kevin khan mimi kutoka kenya..hahaha hapo sawa umecheza kama wewe..06 tuna ingoja hongera..ep.

  • @GastonvillaPalange
    @GastonvillaPalange Месяц назад +4

    Dah, movie kali sana hii. Kelvin number 1 bongo movie ❤❤❤❤❤❤❤

  • @janemumbua4683
    @janemumbua4683 Месяц назад +26

    Hivyo ndivyo mnaongeleanga mbekitatu kwani kukosa pesa kunamfanya mwanamke asiwe na dhamani??uwa sipendi dada wa nyumba akifanya kama tambara bovu😢😢

  • @PriscarGodrick
    @PriscarGodrick Месяц назад +11

    Kevin and lovenes nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-qc9xc3ff3e
    @user-qc9xc3ff3e Месяц назад +44

    Nahisi uchungu nikiskia ety loveness hajui kuoga wee inaniuma kweli loveness ndo mwanamke mrembo na anaweza ana sifa zote za kua mwanamke wa kelvin❤

  • @Emeraldlady16920
    @Emeraldlady16920 Месяц назад +3

    Wanaompenda lovennes kama mm tujuane kwa like

  • @japhethmutumwa
    @japhethmutumwa Месяц назад +107

    Nina wivu na mapezi lakini haya ya tina yamezidi kama wewe n kama mm nipe like

  • @LUKASNGOMBANIZA
    @LUKASNGOMBANIZA Месяц назад +3

    Hongereni Sana kwakazi yenu nzuri ya pamoja. Mnazidi kutufunza mengi wanajamii wenzenu hatuna lakuwaambia ila zaidi tunawaombea Kwa mungu mzidi kuimarika siku Hadi siku. Pole Sana Mr. KEVIN kwamagum unayoyapitia ila mungu yupo atakuongoza upate kilicho Bora kwamoyo wako.

  • @user-qc9xc3ff3e
    @user-qc9xc3ff3e Месяц назад +14

    Congratulations 👏 kelvin umewahi nakukubali mara mia ❤kutoka🇰🇪

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Месяц назад +18

    Jamani nyie hii movie ni tamu ebu nipe na mimi like guys ni tamu mpaka bsi nyie 🎉🎉🎉

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi Месяц назад +22

    Napenda loveness akiyingiya kwenye mapezi na keV 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @user-ii2bt7lt1z
    @user-ii2bt7lt1z Месяц назад +13

    Wallah nimeipenda sana hi movie Allah awaongoze kiukweli najifunza kitu hapa

  • @rosekalu309
    @rosekalu309 Месяц назад +21

    Na huyu Tina si anapenda kusema uongo? Yaani anaamini mpaka aongeze uongo ndio aeleweke

  • @GodleenGodifrey
    @GodleenGodifrey Месяц назад +7

    Kevi umeongea point uyu kamwona uyo ni mbaya lakini huyo kamwona uyu ni mzuri ,vizuri xana kevi

  • @user-ix8hj8zf4h
    @user-ix8hj8zf4h Месяц назад +17

    Nimekua na hamu ya kuona hii part ili nijue kinacho endea,mola awabariki na umaarufu mnapo endelea na maigizo ,familia yote kwa jumla

    • @ZuheriMshan
      @ZuheriMshan Месяц назад

      Huy dad nimbay

    • @gddgfhjh1434
      @gddgfhjh1434 28 дней назад +1

      Munch awapo ngungu muendeleze ivoivo nawapenda nyote

  • @BhutemiMapalala
    @BhutemiMapalala Месяц назад +3

    Kev na love si muoane tu jamaan mbona munaendana saan❤❤❤❤❤❤

  • @JacklinePaul-oq3ws
    @JacklinePaul-oq3ws Месяц назад +9

    Donta jamani mnachelewa Sana ... naomba mjitahidi kuwahisha kidogo

  • @user-xr7rr2rf6e
    @user-xr7rr2rf6e Месяц назад +3

    Mama tina kama simuelewi anampango gan na familia ya kina kelvin,,,, anyway kaz nzr jmn

  • @user-iu5mt4tm4h
    @user-iu5mt4tm4h Месяц назад +25

    Wakwaza nipeni like zangu 🎉

  • @AlesiaKayoka
    @AlesiaKayoka Месяц назад +6

    Hivi watoto wa maboss wote ndo wanavaa kama tina,hata kama uboss nguo zingine nisawa na kutembea uchi tu, hata kama mtabisha bisheni tu ukweli ndo huo

    • @user-ds9dw3bt6r
      @user-ds9dw3bt6r Месяц назад

      🎉

    • @user-py5sn3sx2h
      @user-py5sn3sx2h Месяц назад

      Kabisa Wala sio vinzur kwa mwanamke

    • @AlesiaKayoka
      @AlesiaKayoka Месяц назад

      @@user-py5sn3sx2h yaani wanajiendekeza sana Hawa wakishua mpaka wazazi wanaona wawaache tu hawana namna

  • @janemumbua4683
    @janemumbua4683 Месяц назад +24

    Fundisho nzuri kweli 🎉🎉🎉🎉maua yenu wana donta family 💝

  • @ZainabZen-lx1dq
    @ZainabZen-lx1dq Месяц назад +13

    Wapi like za wakenya wow wapi like ya kevin kmpenda dada wakazi

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +7

    Waoooo piga kelele kwa Riziki wa kwanza Kelvin nipe mauwa yangu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ShabanKhamis-ri3yt
    @ShabanKhamis-ri3yt Месяц назад +5

    Kwani hizo like huwa mnakula au hebu nipeni nionje na mm leo😂

  • @HusnaOmarry
    @HusnaOmarry Месяц назад +10

    Wadada wa kazi wanazaraulika jamani eti kidada hakijui hata kuoga duu ila ni kazi kama kazi zingine tu mbona

  • @user-no8sz5nx7b
    @user-no8sz5nx7b Месяц назад +7

    Yani kwa hii movie inanibamba Ile noma naipenda pongezi kwenu kelvin mungu awalinde MN xidi kusonga

  • @iqruuznurayn3710
    @iqruuznurayn3710 Месяц назад +10

    Jmni nampenda loveness n kelvin❤❤

  • @user-pn5sj7qo1l
    @user-pn5sj7qo1l Месяц назад +5

    Jaman tinah we muongo kam raisi wetu ruto😂😂😂upendwi bc ya nn uongo my dr😊

  • @HudhaimatHaji-wf8nh
    @HudhaimatHaji-wf8nh Месяц назад +9

    jamn mama Tina vp kwani hongereni nyote donta tv❤❤🎉😊

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Месяц назад +7

    Jmn msicherewe bs mnanifanya nachungulie2 muda wote,😊😊😊😊

  • @rakenmontes7981
    @rakenmontes7981 Месяц назад +8

    Wa kwanza naomba likes zangu kumi tuu

  • @evalineboit
    @evalineboit Месяц назад +4

    Please Eva from Kenya naomba kelvin ahowe dada wa kazi ❤

  • @user-tz9iq5df7l
    @user-tz9iq5df7l Месяц назад +4

    Tina akikaa kwenye kamati ya roho mbaya mtaalam sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano Месяц назад +2

    Leo nimechelewa😂❤mama anataka mali

  • @PascalNiyonkuru-gs8dr
    @PascalNiyonkuru-gs8dr Месяц назад +3

    Kevin n'a lovenness kama sio wapenzi inaweza niuma saaana kweli munapendezana saaaana wallah wooooow

  • @ZuwenaRamadhan-v2f
    @ZuwenaRamadhan-v2f Месяц назад +8

    Huu mpango Gani🤔🤔🤔 tunao tamani kujua like jamani

  • @MartinaAgustino-fp5eo
    @MartinaAgustino-fp5eo Месяц назад +10

    Wa kwanza kuview mouse kwa haraka tuburudike sojaomb like mie

  • @deborajacob3598
    @deborajacob3598 Месяц назад +4

    Jaman jamaan loveness kweny hii series hatakiw kubadilishwaaa kabsaaa maana ndo kabeba series nzimaaa hiii Yuko Vzur maua yakee🎉🎉🎉

    • @AzzizozyRantown
      @AzzizozyRantown Месяц назад

      Yees naami namuunga mkono lav na braun❤🎉❤🎉%mwaaa tuwahishie series zifatazo

  • @user-uq8ey8bz3t
    @user-uq8ey8bz3t Месяц назад +15

    Nmewahi Leo ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr Месяц назад +1

    Kelvin nakuoendea bur kwamucezo wako na loveness allah awazidishie kabkisa😂🎉🎉

  • @usterbae
    @usterbae Месяц назад +9

    Good job Mr Kelvin Khan may God bless you all🙏

  • @monicahjoseph2528
    @monicahjoseph2528 Месяц назад +4

    Kazi safi Sanaa ❤❤,ama kwel nmejifunza kumbe waeza kuwa mrembo ila ucipendwe 😢noma Sanaa💔💔💔,somtym u4c moyo kupenda asie kupenda ehh moyo komaaa

  • @user-cj9pe5ts6c
    @user-cj9pe5ts6c Месяц назад +8

    Tina naye anaongeza sana watching from Kenya

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr Месяц назад +7

    Msicheleweshe episode 06 jamani mwatuumiza sana kuwa na hamu yakuagalia please

  • @SobiTz
    @SobiTz Месяц назад +7

    Mtoto wa kiume kuomba like ni upungufu wa nguvu za kiume 😂🤌🏾

    • @ShamimAbdul-tf3fw
      @ShamimAbdul-tf3fw Месяц назад

      Acha nikupe mauua yako ulicho kuongea umenifurahish🎉🎉

    • @narutonaruto4303
      @narutonaruto4303 Месяц назад

      nami nakupa maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @AllySaidy-tn4iu
      @AllySaidy-tn4iu Месяц назад +1

      Aisee umetisha sana mzee wangu 😅😅😅wewe

    • @SobiTz
      @SobiTz Месяц назад

      @@AllySaidy-tn4iu Wanakera bhn 🚮🚮

    • @user-ov5ku3uc1m
      @user-ov5ku3uc1m Месяц назад

      😂😂😂

  • @PascalNiyonkuru-gs8dr
    @PascalNiyonkuru-gs8dr Месяц назад +3

    Wooooow couple ninao yipenda saaana Kevin n'a lovenness n'a maukweli apana ya film munapendezana kwa kweli

  • @user-vm8yn6uv2j
    @user-vm8yn6uv2j Месяц назад +8

    Jaman Kelvin anamambo duuh😊

  • @user-ju8gz4zm8y
    @user-ju8gz4zm8y Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂michezo ya mama Tina ni hatarii xna leteni ya moto😂😂😂 nawapnda xna wana Donta❤❤❤🎉🎉

  • @RashidKhanOmar
    @RashidKhanOmar Месяц назад +9

    Like zangu ziko wapi jamani

  • @Nadzuwamangale
    @Nadzuwamangale Месяц назад +4

    Wee Kelvin ushamueka kweny matatizo mwenzako n huo mkufu 😂😂😂😂

  • @MoshiLajabu-ib2tm
    @MoshiLajabu-ib2tm Месяц назад +7

    Oya kazi nzuri like nyingi

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe Месяц назад +1

    Amina amependa jameni Kevin amewarowa roho wanawake 😂😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @mateka367
    @mateka367 Месяц назад +4

    mama Tina anamupango ukiferi atakua amepoteza nawe kevin ukioa tina basi wazazi wako watapata shida😂😂😂

  • @JanethEmmanuel-dd6eb
    @JanethEmmanuel-dd6eb Месяц назад +4

    Yaan mimi kama loveness sicheleweshi mambo namkubali Kevin kiboss😂

  • @BimkubwaOthman
    @BimkubwaOthman Месяц назад +7

    Jmn wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉🎉nipewe mauwa yangu❤❤❤❤

  • @PhilipMulei
    @PhilipMulei Месяц назад +1

    Kelvin nakupa hongera sana pita na loveness mapezi sio pesa 🇰🇪 af utupe ep 7 hivi karibuni 🇰🇪🤙

  • @EvalineKadogo-eb5xr
    @EvalineKadogo-eb5xr Месяц назад +4

    Tina sio mwanamke mzuri kama anampenda kelvin kwa nini anatumia uongo,na mama kelvin kuwa makini sana usidhani rafiki yako huyo mwenye unaamini anampango kwenu tofauti na ndoa yenye wewe unapanga

  • @faudhiahassan7907
    @faudhiahassan7907 Месяц назад +4

    Nyie kunawatu waongo watafika binguni wamechoka tina jaman 😢😢😢😂😂

  • @Hypertz169
    @Hypertz169 Месяц назад +5

    Tina unalia sana,ila moyo wa kelvin ndyo haipo kwako sasa dada😎

  • @user-fy3zy6wc2q
    @user-fy3zy6wc2q Месяц назад +1

    Bon travail frère, from RDC,🇨🇩😘🇧🇷

  • @naomikisaba5785
    @naomikisaba5785 Месяц назад +4

    Sema Kelvin ni mzuri ❤

  • @user-kx2kr8mp3e
    @user-kx2kr8mp3e Месяц назад +4

    Ingekua Mimi ningeshaondoka Tina kevi hakupendi nendankwenu kwan umeuwa kwenu? Nenda nampenda San love na kelvin nawpa mauwa Yao ❤🎉🎉🎉

  • @MISSOKE.254
    @MISSOKE.254 Месяц назад +9

    From Kenya no1 missoke

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 Месяц назад +2

    Jamani, tuleteeni haraka jamani inayofuata

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y Месяц назад +4

    Love wangu jaman mbona mnakanyima fulaha hadi nakahulumia ❤❤

  • @user-fr4lj7jw9g
    @user-fr4lj7jw9g Месяц назад +3

    Jamani Tina ww Pepo utaiskia to lkn kuingia no 🤣🤣 wasema umewaona washikana viuno 🤣🤣🤣🤣 we kiboko kweli

  • @YahyaSalim-jh9po
    @YahyaSalim-jh9po Месяц назад +4

    Kevni pambana na jik lako ilo usje kuliachia nidada w kaz ila wakaz kwel ❤❤❤❤

  • @user-vb2co6cs9k
    @user-vb2co6cs9k Месяц назад +3

    Jamani Tinah ananichekexha na uongo wake😂

  • @liliancherop5227
    @liliancherop5227 Месяц назад +4

    Enyewe Kelvin anampenda loveness wala si tina❤❤❤❤

  • @ChristianKasereka-v7r
    @ChristianKasereka-v7r Месяц назад +1

    Quand je regarde vos œuvres j'en suis absolument convaincu ;courage et bonne chance mes amours. Je suis à Bukavu-ville, en République démocratique du Congo.