Oeee oyaaaa waliotegea mtoto w boss km mm mko wapi jmn acheni moyo wa mtu upende pale unapopenda😢😢love from team strong team donta family 😮😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Wauuu SASA tunaeza pumua our bro Kelvin how KENYANS were waiting for these part 5, u really delay us bt nice now we have that heart of breathing. Keep it up our brothers and sisters , Kelvin and lovness get my greetings love u
Daaahh jaman Love anatia huruma sana màana hakuna mwenye upendo nae zaidi ya kaka Kelvin na Candy lkn piah huyo mama Tina sijui ana mpango gani na hiyo familia ya Kelvin
Hongereni Sana kwakazi yenu nzuri ya pamoja. Mnazidi kutufunza mengi wanajamii wenzenu hatuna lakuwaambia ila zaidi tunawaombea Kwa mungu mzidi kuimarika siku Hadi siku. Pole Sana Mr. KEVIN kwamagum unayoyapitia ila mungu yupo atakuongoza upate kilicho Bora kwamoyo wako.
Tina sio mwanamke mzuri kama anampenda kelvin kwa nini anatumia uongo,na mama kelvin kuwa makini sana usidhani rafiki yako huyo mwenye unaamini anampango kwenu tofauti na ndoa yenye wewe unapanga
Quand je regarde vos œuvres j'en suis absolument convaincu ;courage et bonne chance mes amours. Je suis à Bukavu-ville, en République démocratique du Congo.
JAMANI MAMA TINA ?? KWANI ANAMPANGO GANI HUYU MAMA??? 😢
Yani tina kwa ukali alionao hafai kua mke
anataka pesa
Kelvin kaz nzuri halafu hio nyimbo naeza ipata wapi plz
Wanampango wakuwafirisi mali zenu kua makini kelvin Tina si mwanamke sahihi kwako huyo ni mdangaji,,,
Anataka kukuangamiz ila mnachelewesh san Kelvin kaz nzur🎉
Sema loveness anajua mpaka anakela like za loveness ❤❤
Yeah loveness kiboko 🎉🎉🎉🎉
We acha mimi napenda love na kevi wanajua mpaka wanakera tena wakiwa kwnye mahusiano wanapendeza sana
❤
@@user-ji6cp1ng8gwe acha tu
8❤❤❤
Donta famili nawapenda sana kevin kazi nzuri sisi wafanyikazi wa dani tunayapindia sana❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴
❤
Namba moja nimimi kutokea swideni tunao omba dada wakazi aholew na kelvin like apa❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Sio aholewe sema aolewe 😂😂😂😂
kujibu comment za watu kuandika ya kwako aaaaa😂😂😂
Daaa nipen like 100 Kama unampenda Kelvin Mr plan
Kutokea Sweden ya wapi hiyo? 😅😅😅😅
😂😂😂😂😂@@spesiozabisansaba6424
Watu mnawahi walahi Aya Mimi wa 303 naomba basi like ata kumi
Nitafurah sana ikiwa Kelvin atamuoa love
Yeah
Yeah
Mama kelvin hanabusara sana hangekuwa mwingine hangemfukuza direct ❤❤❤ like kwe mam kelvin
anaependa kuomba like bila kuangalia kwanz tujuane apo
Kazi nzuri kelvin ila mnachelewesha san muendelezo😌🌹🇧🇮🧚♂️
Kelvin usimwache love nakapenda sana pokea love km jina lako lilivyo ❤❤❤
Ila lavenes na kelvin ndio wanapendezana kuwa pamoja na Tina hata hawaendani kabisa gonga like Kawa unawakubali🎉
Hata maman Tina Hana adabu hata kidogo
@@GraceVISAMAYANI-gj1xm Yani sijui anamipango ngani.ambayo hataki kuisema
Naomba likes za dada wa kazi from Kenya
🎉
Jaman anaekubari kelvin amuowe loveness weken like hapa much love from Uganda ♥️♥️♥️♥️
❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤❤
napenda wote mnafanya vizuri ila mnatucheleweshea kutoa Season zinazofwata jamani mjitahid sana nawatakia kazi njema
Oeee oyaaaa waliotegea mtoto w boss km mm mko wapi jmn acheni moyo wa mtu upende pale unapopenda😢😢love from team strong team donta family 😮😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Hongeren sana Kelvin na team nzima movies zenu siyo tu kufurahisha ila zina mafundisho mengi,be Blessed
Jamn like ya kelvin hat moja 2 maana nimewahi leo katika ukumbi 🎉😂😂😂😂😂🎉
😂❤ video
@@StellaKugomwa🌺🇹🇿🥀🌼🌾😍🇹🇿
@@SilvaMwamba-fw4rj eeeeh kaukumbi siunajua tena 2nawahi nafasi
@@SilvaMwamba-fw4rj vip uko pouw
😂❤❤
Any Kenyan here 🇰🇪🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kazi mzuri Kelvin keep it up 🎉
Niko hapa ❤
@@WinnieSyombua-ka 🇨🇩🇺🇬🥀🇰🇪🧎🇹🇿🌻🥀🌹🌼🌾🌍😍🇿🇲
Npo 🇰🇪🇰🇪
Tupoo
❤❤❤ kilivi
Mmmmhh sem kuwai nawapend wana donta na marafiki zangu mnipe like ata 5 km mwanipend pia marafiki🎉🎉❤
❤
❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉
Vp
❤❤
Namuelewa sana kelvin na love ila Tina atasngukia tumboooooooooooooooooooooooo 😂😂
The one who produced this story is very professional❤
Very correct
Following from the United States of Kenya🤩🤩🤩🤩🤩, one of the best series in E. Africa
Kelvin film yako ni nzuri nayi penda lakini usimuache laveness
Malizia kwa kumwambia from Burundi 🎉🎉
Ila nikwl asimwache loveness paka amuoe
@@niyokwizerajiribrt7161I'm going
Kevin said to Tina beauty lies on the eyes of beholder. Hilarious. Kevin is handsome, smart and well behaved gentleman ❤❤❤❤❤❤❤
Nawaomba miwahi kuitoa iyo ya 6 mm mwenzenu jobless ko muda mwing nafatilia donta TV kuona muendelezo huu, piah Hongereni Kwa kazi nzúr jmn🥳🥳
Mimi wa99 naombeni like Bax jaman sjapenda kuchelewa
Co poa kelvin anajua san naomba like hapa jamn 😂😂
Jamani 1 minutes ago kadhani wakwanza kumbe watu wanalala apa wakikesha apa congratulations 🎉 #Dontatv
Wauuu SASA tunaeza pumua our bro Kelvin how KENYANS were waiting for these part 5, u really delay us bt nice now we have that heart of breathing. Keep it up our brothers and sisters , Kelvin and lovness get my greetings love u
Donta tv munajua nawapenda wote❤❤❤
By CADODO🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Daaahh jaman Love anatia huruma sana màana hakuna mwenye upendo nae zaidi ya kaka Kelvin na Candy lkn piah huyo mama Tina sijui ana mpango gani na hiyo familia ya Kelvin
Dr Kevin khan mimi kutoka kenya..hahaha hapo sawa umecheza kama wewe..06 tuna ingoja hongera..ep.
Dah, movie kali sana hii. Kelvin number 1 bongo movie ❤❤❤❤❤❤❤
Hivyo ndivyo mnaongeleanga mbekitatu kwani kukosa pesa kunamfanya mwanamke asiwe na dhamani??uwa sipendi dada wa nyumba akifanya kama tambara bovu😢😢
Kevin and lovenes nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nahisi uchungu nikiskia ety loveness hajui kuoga wee inaniuma kweli loveness ndo mwanamke mrembo na anaweza ana sifa zote za kua mwanamke wa kelvin❤
Amini
Wanaompenda lovennes kama mm tujuane kwa like
Nina wivu na mapezi lakini haya ya tina yamezidi kama wewe n kama mm nipe like
🙌🙌🔥
🎉🎉🎉🎉
Mm napenda hivyo vimacho vilivyobebeshwa makope
C tapeli😂😂😂
Huyu sio wivu analia mission yake inabuma😅😅
Hongereni Sana kwakazi yenu nzuri ya pamoja. Mnazidi kutufunza mengi wanajamii wenzenu hatuna lakuwaambia ila zaidi tunawaombea Kwa mungu mzidi kuimarika siku Hadi siku. Pole Sana Mr. KEVIN kwamagum unayoyapitia ila mungu yupo atakuongoza upate kilicho Bora kwamoyo wako.
Asante sana
@@Dontatv255 oky. Kazi njema kaka.
Congratulations 👏 kelvin umewahi nakukubali mara mia ❤kutoka🇰🇪
Jamani nyie hii movie ni tamu ebu nipe na mimi like guys ni tamu mpaka bsi nyie 🎉🎉🎉
Napenda loveness akiyingiya kwenye mapezi na keV 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mh🎉
Wallah nimeipenda sana hi movie Allah awaongoze kiukweli najifunza kitu hapa
❤❤
Na huyu Tina si anapenda kusema uongo? Yaani anaamini mpaka aongeze uongo ndio aeleweke
Umeonaeee 🤔
😂😂 😅😅 lazima uongeze chumv kdg 😂
😂😂😂@@KemmyPrince-r4l
Kevi umeongea point uyu kamwona uyo ni mbaya lakini huyo kamwona uyu ni mzuri ,vizuri xana kevi
Nimekua na hamu ya kuona hii part ili nijue kinacho endea,mola awabariki na umaarufu mnapo endelea na maigizo ,familia yote kwa jumla
Huy dad nimbay
Munch awapo ngungu muendeleze ivoivo nawapenda nyote
Kev na love si muoane tu jamaan mbona munaendana saan❤❤❤❤❤❤
Donta jamani mnachelewa Sana ... naomba mjitahidi kuwahisha kidogo
Mama tina kama simuelewi anampango gan na familia ya kina kelvin,,,, anyway kaz nzr jmn
Wakwaza nipeni like zangu 🎉
🙌🙌
Jaman huu wimbo nimeupenda kaimba nan 🥰🙏@@Dontatv255
Hivi watoto wa maboss wote ndo wanavaa kama tina,hata kama uboss nguo zingine nisawa na kutembea uchi tu, hata kama mtabisha bisheni tu ukweli ndo huo
🎉
Kabisa Wala sio vinzur kwa mwanamke
@@user-py5sn3sx2h yaani wanajiendekeza sana Hawa wakishua mpaka wazazi wanaona wawaache tu hawana namna
Fundisho nzuri kweli 🎉🎉🎉🎉maua yenu wana donta family 💝
Kabisa mama
Wapi like za wakenya wow wapi like ya kevin kmpenda dada wakazi
Waoooo piga kelele kwa Riziki wa kwanza Kelvin nipe mauwa yangu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kwani hizo like huwa mnakula au hebu nipeni nionje na mm leo😂
😂😂😂
Wadada wa kazi wanazaraulika jamani eti kidada hakijui hata kuoga duu ila ni kazi kama kazi zingine tu mbona
Yani kwa hii movie inanibamba Ile noma naipenda pongezi kwenu kelvin mungu awalinde MN xidi kusonga
Jmni nampenda loveness n kelvin❤❤
Ata mimi nikinoma noma
Jaman tinah we muongo kam raisi wetu ruto😂😂😂upendwi bc ya nn uongo my dr😊
Hahaha hapendwi kama rais wenu ruto jmn jmn duuh au basi tu ninyamaze
😂😂
jamn mama Tina vp kwani hongereni nyote donta tv❤❤🎉😊
Jmn msicherewe bs mnanifanya nachungulie2 muda wote,😊😊😊😊
Wa kwanza naomba likes zangu kumi tuu
Sawa 🙌🙌
Please Eva from Kenya naomba kelvin ahowe dada wa kazi ❤
Tina akikaa kwenye kamati ya roho mbaya mtaalam sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊
😅😅😅 na wanampatiaga kweli
Leo nimechelewa😂❤mama anataka mali
Kevin n'a lovenness kama sio wapenzi inaweza niuma saaana kweli munapendezana saaaana wallah wooooow
Huu mpango Gani🤔🤔🤔 tunao tamani kujua like jamani
Ata mimi natamani
Wa kwanza kuview mouse kwa haraka tuburudike sojaomb like mie
Jaman jamaan loveness kweny hii series hatakiw kubadilishwaaa kabsaaa maana ndo kabeba series nzimaaa hiii Yuko Vzur maua yakee🎉🎉🎉
Yees naami namuunga mkono lav na braun❤🎉❤🎉%mwaaa tuwahishie series zifatazo
Nmewahi Leo ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Asante
Mambo
Kelvin nakuoendea bur kwamucezo wako na loveness allah awazidishie kabkisa😂🎉🎉
Good job Mr Kelvin Khan may God bless you all🙏
Kazi safi Sanaa ❤❤,ama kwel nmejifunza kumbe waeza kuwa mrembo ila ucipendwe 😢noma Sanaa💔💔💔,somtym u4c moyo kupenda asie kupenda ehh moyo komaaa
Tina naye anaongeza sana watching from Kenya
Msicheleweshe episode 06 jamani mwatuumiza sana kuwa na hamu yakuagalia please
Mtoto wa kiume kuomba like ni upungufu wa nguvu za kiume 😂🤌🏾
Acha nikupe mauua yako ulicho kuongea umenifurahish🎉🎉
nami nakupa maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉
Aisee umetisha sana mzee wangu 😅😅😅wewe
@@AllySaidy-tn4iu Wanakera bhn 🚮🚮
😂😂😂
Wooooow couple ninao yipenda saaana Kevin n'a lovenness n'a maukweli apana ya film munapendezana kwa kweli
Jaman Kelvin anamambo duuh😊
😂😂😂😂😂😂😂michezo ya mama Tina ni hatarii xna leteni ya moto😂😂😂 nawapnda xna wana Donta❤❤❤🎉🎉
Like zangu ziko wapi jamani
Wee Kelvin ushamueka kweny matatizo mwenzako n huo mkufu 😂😂😂😂
Oya kazi nzuri like nyingi
Amina amependa jameni Kevin amewarowa roho wanawake 😂😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮
mama Tina anamupango ukiferi atakua amepoteza nawe kevin ukioa tina basi wazazi wako watapata shida😂😂😂
Yaan mimi kama loveness sicheleweshi mambo namkubali Kevin kiboss😂
Jmn wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉🎉nipewe mauwa yangu❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉
Kelvin nakupa hongera sana pita na loveness mapezi sio pesa 🇰🇪 af utupe ep 7 hivi karibuni 🇰🇪🤙
Tina sio mwanamke mzuri kama anampenda kelvin kwa nini anatumia uongo,na mama kelvin kuwa makini sana usidhani rafiki yako huyo mwenye unaamini anampango kwenu tofauti na ndoa yenye wewe unapanga
Nyie kunawatu waongo watafika binguni wamechoka tina jaman 😢😢😢😂😂
Tina unalia sana,ila moyo wa kelvin ndyo haipo kwako sasa dada😎
Bon travail frère, from RDC,🇨🇩😘🇧🇷
Sema Kelvin ni mzuri ❤
Kabitha anaendana na loveness
Of course
Ingekua Mimi ningeshaondoka Tina kevi hakupendi nendankwenu kwan umeuwa kwenu? Nenda nampenda San love na kelvin nawpa mauwa Yao ❤🎉🎉🎉
From Kenya no1 missoke
Jamani, tuleteeni haraka jamani inayofuata
Love wangu jaman mbona mnakanyima fulaha hadi nakahulumia ❤❤
Jamani Tina ww Pepo utaiskia to lkn kuingia no 🤣🤣 wasema umewaona washikana viuno 🤣🤣🤣🤣 we kiboko kweli
Kevni pambana na jik lako ilo usje kuliachia nidada w kaz ila wakaz kwel ❤❤❤❤
😂😂😂😂😂
Jamani Tinah ananichekexha na uongo wake😂
Enyewe Kelvin anampenda loveness wala si tina❤❤❤❤
Quand je regarde vos œuvres j'en suis absolument convaincu ;courage et bonne chance mes amours. Je suis à Bukavu-ville, en République démocratique du Congo.