PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 06 | Love Story

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • #love #lovestory

Комментарии • 1,6 тыс.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  Месяц назад +1510

    LEO NA MIMI NIMEKUA WA KWANZA NIPENI LIKE ZANGU JAMANI 😂❤❤

  • @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
    @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj Месяц назад +142

    Kelvn muoe loveness we ndo chanzo pka kafukuzwa kazi mwenzio usimuache kma wakubali love Ness na kelvn goga like ata6

  • @NeemaLisu
    @NeemaLisu Месяц назад +91

    Maajabu leo nmewahi watu wa like leo mko wapi,Kelvin kaz nzur sana. 🎉🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako pamoja na love❤❤❤

  • @NyandwiAnnemarie-f5m
    @NyandwiAnnemarie-f5m Месяц назад +55

    Kelvin unaweza xn bro naomba hata like moja tuu from Burundi 🇧🇮

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Месяц назад +423

    Ambao tunapenda loveness.....aolewe na Kelvin please...gonga like tujuane....😂😂😂😂😂

  • @user-ec6ow2cx7c
    @user-ec6ow2cx7c Месяц назад +26

    Tuliopo katika upande wa Kevin tuko wangapi bro Kevin umeweza kiukweli mapenzi yanaingililia vip na umaskini jameni ivyo maskini atusitahili kupendwa maua yako kaka 🎉🎉🎉❤❤

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g Месяц назад +142

    Nanyi hamkawii kufik ila nimewai pia likes bas wenye mtakuja nyuma yangu ila kelvin unachelewesha san adi tunaanza kuboeka ila hongeren kaz nzuri🎉 nawapenda marafik zangu pia❤

  • @Emeraldlady16920
    @Emeraldlady16920 Месяц назад +46

    Wanaomwombea kelvin abak na msimamo wake gonga like tujuani❤❤❤

  • @Saidahkims
    @Saidahkims Месяц назад +90

    Akuna ata kugoja ikiwa motomoto team kelvin na loveness anguka nayoo❤❤❤

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Месяц назад +1

      Tunaselebukanayo na sio kuanguka tena 😂😂😂😂

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e Месяц назад

      ​@@user-sv6zy3hc8o😂😂😂jmn nyie

    • @Saidahkims
      @Saidahkims Месяц назад

      @@user-sv6zy3hc8o 😂😂kabisaaa Hadi dakika ya mwisho alaaa

  • @Vastieboy_tz
    @Vastieboy_tz Месяц назад +37

    Movie nzur jamaa una aidia mungu azidi kukupa maisha marefu ukavunje rekodi ya Steve kanumba unapita mlemle

  • @RamaOmar-lq1uu
    @RamaOmar-lq1uu Месяц назад +240

    Wa kwanza kutoka kenya nipeni likes zenu japo tano 🇰🇪

    • @dorcaskiragu4306
      @dorcaskiragu4306 Месяц назад +3

      🇰🇪🇰🇪

    • @MaxmillahAdema
      @MaxmillahAdema Месяц назад +1

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @MaryKijo
      @MaryKijo Месяц назад +1

      🇰🇪🇰🇪🇮🇶🇮🇶

    • @ayaanhassan9536
      @ayaanhassan9536 Месяц назад +3

      Nitakupa, na mimi pia nimetoka Kenya ❤❤❤❤❤❤❤lakini nimezaliwa Tanzania. Kenya yetu hakuna matata.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇬🇧🇬🇧

    • @user-ik4jx7ye5x
      @user-ik4jx7ye5x Месяц назад +1

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DieudonneSylvain
    @DieudonneSylvain Месяц назад +21

    NJO YA KWANZA MINA TIZAMA FILME ZENU NI ZA BIEN SANA VRAIMENT 7 Partie isi kawe 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @anitamollel8982
    @anitamollel8982 Месяц назад +381

    Walio kuwa wanaisubir kwa ham kama mm tujuane kwa like nyingi ❤😅

  • @Ednakim-fu1wc
    @Ednakim-fu1wc Месяц назад +9

    Team kelvin na loveness anguka nayo kazi nzuri sana❤❤❤

  • @user-vb2co6cs9k
    @user-vb2co6cs9k Месяц назад +35

    Loveness umenifany nilie jamani... Nakupenda we dada❤

  • @ZainabuAlly-e3l
    @ZainabuAlly-e3l Месяц назад +7

    Na mimi leo nimewaiii🤣 nipeni like moja

  • @RashidKhanOmar
    @RashidKhanOmar Месяц назад +68

    Wakwanza leo jamani wapi like zangu kwa mashabiki wa DONTA TV🎉🎉🎉

  • @Mamygumbo
    @Mamygumbo Месяц назад +8

    Wooow ni nzuri sana japo nimechelew lkn mwenyez mungu azidi kuwatia nguvu kila iitwapo leo mtuletee mamb mazuri penda sana hii movie❤❤❤❤❤

  • @jobsimpamba71
    @jobsimpamba71 Месяц назад +124

    Wangapi wanataka kelvin amuowe lovnes nawomba like hapa asante❤

  • @ayaanhassan9536
    @ayaanhassan9536 Месяц назад +5

    This Kevin is a man and a half. What a gentleman. Straight forward. Very handsome with dignity. Who wouldn’t love him. I’m watching from. London UK❤❤❤❤❤❤.

  • @JoyceMutua-eu5nw
    @JoyceMutua-eu5nw Месяц назад +53

    Ata kama nmechelewa aji ntieni nguvu na like jameni ata kumi tu

  • @user-kx2kr8mp3e
    @user-kx2kr8mp3e Месяц назад +14

    Kumfukuza love sio suluhisho nafuuungemwacha tuu akae kwasababu we mama ulishaambiwa walikutana kabla hakuna kwako kwahiyo hujafanya kitu kabisa kumbuka hisia zakev zipi kwa love nasio Tina nakupenda Sana kevi nalove❤❤❤❤

  • @user-rr4sq6mu8g
    @user-rr4sq6mu8g Месяц назад +51

    Wakwanza jmn naombeni like zangu 😂😂❤❤

  • @Shaahamedy
    @Shaahamedy Месяц назад +4

    Jamni anaemkubali loveness tujuane hapa make huyu dada sio kwa kuigiza yupo selious na kazi tunaomkubali tujuane❤️🌹

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Месяц назад +29

    Hii movie inafundsha ktu kkubwa sanaaaah hatujuw tu,

  • @LUKASNGOMBANIZA
    @LUKASNGOMBANIZA Месяц назад +6

    Kazi yenu nzuri naipenda sana. Ila mjitahidi muda usiwe mrefu sana episode 1 kwenda inayofuata. Najua si rahisi kama ambavyo wengi wetu tunatamani iwe lakin kupitia maombi yetu watazamaji pamoja na juhudi zenu zapamoja tunaamini kila jambo linawezekana kwauwezo wa mungu. Ahsanten nawatakia kazi njema. MR KELVIN KEEP IT UP NICE TOO.

  • @SaidiKiemke-g2k
    @SaidiKiemke-g2k Месяц назад +148

    Leo mm ndo wakwanza nipeni like

  • @user-fq4ts8gd8h
    @user-fq4ts8gd8h Месяц назад +1

    Loveness ..u r the best actress,,alafu unajua ku switch to n frm diffrnt characters,,unlike the rest wana maintain tu character moja kila movie🎉

  • @KijanaMwepexi
    @KijanaMwepexi Месяц назад +93

    Kutoka Kenya nipeni likes zangu watu wangu nawapenda sana

  • @EstherMulindwa-fp3ml
    @EstherMulindwa-fp3ml Месяц назад +7

    Nani kasikiya kama mimi maneno ya Kelvin kwa kendi, ❤❤❤mimi natafuta mke, sitafute mkwe kwenye hi familia🤔🤔🤔💪💪

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Месяц назад +60

    Wa kwanza team fulus mko wapi unategea ukiwa wapi mpendwa 🇰🇪🇸🇦🥰🥰🥰❤️❤️ team donta family Gen z ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰🥰❤️❤️❤️❤️

  • @user-ix8hj8zf4h
    @user-ix8hj8zf4h Месяц назад +4

    Nilikua. Imesuniri sana,mola awabariki kwa huu umaarufu familia yote kwa jumla

  • @ReyJuma-xn4ux
    @ReyJuma-xn4ux Месяц назад +49

    Yeap!!! Na sisi tuliochelew mnipe like jamn

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb Месяц назад +1

    Napenda sana vyenye Kelvin anamjibu dadake ama kweli mpenzi sio wa kwa mtajiri tu na moyo upenda umeshapenda nawapenda bure Kelvin na loveness from Kenya❤❤❤

  • @GeoffreyNyachae-gj1eg
    @GeoffreyNyachae-gj1eg Месяц назад +50

    Kenya 🇰🇪 wa kwanza leo wapi like yenu guys.

  • @user-eo9iy1vw1o
    @user-eo9iy1vw1o Месяц назад +3

    Jaman mbona sa mnachelewesha muendelezo m natak nione loveness akiwa na kelvin❤

  • @basheerunurdeen5113
    @basheerunurdeen5113 Месяц назад +28

    SHE PLAYED HIS CHARACTER VERY WELL ❤ @Loveness

  • @JabanFranklin
    @JabanFranklin Месяц назад +15

    Mm wakwanza kutoka Uganda nipen like jaman

  • @petersiengo8040
    @petersiengo8040 Месяц назад +61

    Leo wa kwanza jaman nipe like zangu hata 20😢😢

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx Месяц назад +1

    Mpk nimetokwa na machozi 😢vile house girls hawana nafasi wala kauli kwa maboss 😢 MUNGU tubariki ss wote tunao hustle kwa manyumba ya watu ili nasi tumiliki zetu 🙏🙏 bigup sana wana Donta TV 🎉🎉🎉

  • @FelisterMukina-rk4th
    @FelisterMukina-rk4th Месяц назад +33

    Mnipee likes jameni😊walio upande wa loveness

  • @CollinsNyamweya-jg6oj
    @CollinsNyamweya-jg6oj Месяц назад +3

    Kutoka Kenya nipe likes zangu plz am the topest guy commenting to donta TV movies

  • @AsiaJasphone
    @AsiaJasphone Месяц назад +22

    Hakika Kelvin ni mwalimu bora Sana wa maalifa wane mkubali Kelvin tujuwane🎉🎉🎉🎉

  • @shedy_marie
    @shedy_marie Месяц назад +1

    Huu mwaka mtachukua tuzo walah 🎉🎉🎉 naomba isiishe

  • @Inglide-star
    @Inglide-star Месяц назад +46

    Leo kita waka kbx nawaomba muwe muna yitowa kwa siku munipe like zangu🎉🎉🎉

  • @user-iv8bo2he7c
    @user-iv8bo2he7c Месяц назад +2

    Loveness jamani nakuoenda mdogo wangu,Mungu aendelee kukuza kipaji chako unajitahidi sana kwenye nafasi yako❤❤❤❤❤

  • @GerrardNdola
    @GerrardNdola Месяц назад +18

    Safi sana bro unafanya kazi nzur sana ❤ nimewamwagia like nying na mm naomba ata kumi tuh from USA

  • @user-xs2yr3zd1j
    @user-xs2yr3zd1j Месяц назад +1

    Loveness umeniliza kwa raha mamako❤❤❤ good job ❤️ my lovely daughter 😍

  • @MoniqueIrakose
    @MoniqueIrakose Месяц назад +15

    Habikuwagi tena gucaguriyana kelvin fata isiya zako Nami naomba like zangu toka congo🎉🎉

  • @NgomanzizaIssa
    @NgomanzizaIssa 23 дня назад +1

    Hiyi kabs ni noma labda niseme hivi
    Félicitations
    I'm issa from🇧🇮🇧🇮

  • @GladysOmwando
    @GladysOmwando Месяц назад +22

    Pia nmewayi nawatch nikiwa 🇸🇦like hata kamoja 🎉🎉🎉😂

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Месяц назад +2

    Jamani nyie mbn hii episode ni tamu mno ongereni Kwa kweli na mung abariki Kwa kazi zenu wape nguvu Kila kukucha 🎉🎉🎉

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k Месяц назад +26

    Kama unampenda love gonga likes hapa

    • @ZaharaAbdalah
      @ZaharaAbdalah Месяц назад +1

      Nimekupenda sana love 💘 ❤

  • @patriciawakio-yy7gm
    @patriciawakio-yy7gm Месяц назад +2

    leo mm ni wa tatu likes zangu jamen😂😂😂❤❤❤

  • @MetodMakungu
    @MetodMakungu Месяц назад +14

    Love nes wewe hauna mfano kwahii dunia uko pekeako enderea kupambana ww ni mtu mkubwa ❤❤❤❤❤❤😭😭😭😪😪😪😭😭♥️♥️♥️♥️😭😭😭😭😪😭😭😭😭♥️♥️♥️😭😭😭😪😪😭♥️♥️♥️😭😭😪😪♥️♥️♥️😭😪😪😪😭♥️♥️😪😪😭♥️♥️

  • @user-ju9qw7ik9c
    @user-ju9qw7ik9c 26 дней назад +1

    Kazi nzuri sana Mr. Kelvin💞💕💞

  • @sakinabudi
    @sakinabudi Месяц назад +10

    Naipenda sana hii move ila ombi langu muwe mnawahi kutoa tunasubili sana ,,,ila move ipo 🔥🔥

  • @BennyMabendi
    @BennyMabendi Месяц назад +3

    Loveness unajua kuigiza jamani kazi nzuri sana

  • @MisanaSelemani-fb5xy
    @MisanaSelemani-fb5xy Месяц назад +40

    Jmn sijawah kupat like naomben n mm like jmn

  • @user-kp4yg7sh7j
    @user-kp4yg7sh7j Месяц назад +2

    Poleee sana my dear lovenes 😢😢❤❤❤jmn mama mbona huna huruma 😭

  • @user-eo1qy1zh7r
    @user-eo1qy1zh7r Месяц назад +12

    Movie nzuri sana master ❤❤😂😂🎉🎉😢😢😮😮😅😅😊😊😊

  • @user-pn5sj7qo1l
    @user-pn5sj7qo1l Месяц назад +6

    Maskin lavnec umenitia uruma adi chozi naiyo nyimbo ndio kabisa 😭😭dunian kuna mengi mabaya yarab😢

  • @SophiaMdoe-lk1to
    @SophiaMdoe-lk1to Месяц назад +5

    Mbona mim nachelewa nawakati nilikua naivizia inaonekana tupo maelf tuliokua tukiisubiria😂😂 nawapenda wote🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @MbulaMary-qe3ux
    @MbulaMary-qe3ux Месяц назад +2

    Kwani kumkataa shin ngapi😂😂😂😂😂 from kenya here

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu Месяц назад +6

    Mauwa yenu hao 🌹🌹🌹kwa team nzima ya Donta tv 🎉🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @EmmyNemia
    @EmmyNemia Месяц назад +1

    Uyu dada anajuwa kuigiza sana mungu amzidishie kipaji chake kizidi kusonga mbele❤❤❤

  • @johncenamakori2000
    @johncenamakori2000 Месяц назад +12

    Leo mimi mkisii wakwanza ... leo nipeeni likes 5 to❤❤❤ napenda donta tv

    • @user-ec3bz5qp1c
      @user-ec3bz5qp1c Месяц назад

      Pia mm nko hapa ❤❤

    • @JaphetiBless
      @JaphetiBless 27 дней назад

      Nampendaaa. L❤xanaaa kevooo love ndo wakwakooo❤❤❤❤

  • @AgnessLuwata
    @AgnessLuwata Месяц назад +1

    Loveless jamniii mpka umenitoa mchoxiii hongelaaa mungu akuongeze hatua me napendaaa uwe na Kevin mmependezana sana

  • @user-fn8sy3kb1b
    @user-fn8sy3kb1b Месяц назад +15

    Kelvin khan mwambie mtoto ukweli brw

  • @user-zp8um1bx9s
    @user-zp8um1bx9s Месяц назад +1

    Jameni mbona umu munalamukiy😂😂😂alafu wenye wanaon yakwamba dada wakazi atakuja kumpend mtoto wa boss ebu munipe 👍👍👍

  • @MiriamCheptanui
    @MiriamCheptanui Месяц назад +21

    Nimewai Leo wapi like yangu😂😂😊

  • @LevinaRespicius
    @LevinaRespicius 17 дней назад

    Kelvin Iko safi nimekupenda bure!! Mapenzi ni chaguo la mtu sio kuchaguliwa na wazazi. Kelvin na Lovenes nichahuo sahihi. Big up!!

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Месяц назад +7

    Love pole uhuska wako mngum daah,

  • @user-uc6ch5fy3l
    @user-uc6ch5fy3l Месяц назад +1

    Mm naiona kabisa ndoa ya kevi na loveness❤🎉

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Месяц назад +11

    Kaka wenye wivu wakae kwakutulia ww muvi zako unajua kutuelimisha nakupnda sana

    • @saumwaithira
      @saumwaithira Месяц назад +1

      Hawa wazazi wakevin hawajielewi kwaza kama baba hafai kuwa nauamuzi

  • @KubelwaIlungaMardochéeSalama
    @KubelwaIlungaMardochéeSalama Месяц назад +2

    Leo mimi ndio wa kwanza apa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipeni likes zangu

  • @Lucy001-j2g
    @Lucy001-j2g Месяц назад +7

    Leo nimejaribu kuingia mapema jamani nipeni like ata moja

  • @kakamama5104
    @kakamama5104 Месяц назад +1

    Saf bro kaz nzuri sana🎉🎉❤❤

  • @HudhaimatHaji-wf8nh
    @HudhaimatHaji-wf8nh Месяц назад +4

    wow donta tv nilikuwa nasbr kwa hamu nawapenda wote sna ❤❤

  • @valentinekemunto6348
    @valentinekemunto6348 Месяц назад +1

    Nimechelewa but naomba likes zenu jamani😅❤,

  • @bakarysalimu7012
    @bakarysalimu7012 Месяц назад +7

    Bravo

  • @MusaninkaFuraha-lj3uk
    @MusaninkaFuraha-lj3uk Месяц назад +3

    Wenye tunamukumbuka kunambi na rashidi tujuwane kwenye like

  • @HappynessMkatika-wm5zl
    @HappynessMkatika-wm5zl Месяц назад +5

    Me wa kwanzaa....naipenda xan hii movie

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w Месяц назад +1

    Pole cn love ❤️ Ness kipenzi mungu Atakusaidia inshahalla Kevin Atakutafuta tuu

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi Месяц назад +4

    Namimi reo wakwaza lak kwa loveness 🎉🎉🎉 from south Africa ❤❤❤

  • @user-wk9dr4uf5w
    @user-wk9dr4uf5w Месяц назад +1

    Naona kelvin atamufwata lovoness tena ndo watakuwa na muda wa kuongea vizuri .❤

  • @user-xr7rr2rf6e
    @user-xr7rr2rf6e Месяц назад +4

    Yan jmn mnachelewexha sanaa, ila anyway mnatufurahixha na kutuelimixha xana hongeren kwa kaz nzr

  • @asiakabingo7052
    @asiakabingo7052 Месяц назад +3

    Lovenes amejua kuniliza Dha kweri anakipaji❤

  • @IsayaTarakwa
    @IsayaTarakwa Месяц назад +4

    First born mimi leo nawakubali wananguu wanguvu

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c Месяц назад +2

    Jaman nimechelewa lakin nimefika naomba like hata kumi tu 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MercyKahindi-go2nr
    @MercyKahindi-go2nr Месяц назад +4

    Wooow Wa Kwanza leooo nimewaiii😂😂 kudadeeki Na sitaki likes zenuuuu❤❤❤❤

  • @user-oj2bd9td6r
    @user-oj2bd9td6r Месяц назад +1

    Waouh ❤napenda sana kevin usiitike maneno ya wazizazi wako 😂na hizo Rupita uwachane nazo mi Niko upande wa lovenes ❤❤❤❤Jaja 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @Ased-qy7sh
    @Ased-qy7sh Месяц назад +6

    Jaman haka ka movie 👌👌🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @SiddharthSource
    @SiddharthSource Месяц назад

    Kweli siya nikitu kinafanya mtuu ✅ awe kama chizi
    Movies zako imenifundisha mambo mengi sana kaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @EverlyneRioba
    @EverlyneRioba Месяц назад +6

    Good job wah

  • @numpefikimwaipopo
    @numpefikimwaipopo Месяц назад +1

    Wewe Kelvin unastaili like Mimi wanaonikera ni wale wanaomba like wakati hamjafanya kitu 😂❤

  • @imraniside4327
    @imraniside4327 Месяц назад +11

    Wakwanza ni mm Leo like zangu wajamen 😊

  • @user-vt3zt9cd4y
    @user-vt3zt9cd4y Месяц назад

    Wakwanza leo pia nipeni like za time strong.much love from kenya🎉

  • @IsaacCharo-s5w
    @IsaacCharo-s5w Месяц назад +6

    Sanaa kipaji kipo jamaa zangu Sana hapo SEMA mnachelewesha episode kutoa

  • @user-fy3zy6wc2q
    @user-fy3zy6wc2q Месяц назад

    Mon frère, pour cette travaille, tu me rends heureux ! Je te souhaite un bon travail. From RDC 🇨🇩 always 🇧🇷🌳🇹🇿