Tuliopo katika upande wa Kevin tuko wangapi bro Kevin umeweza kiukweli mapenzi yanaingililia vip na umaskini jameni ivyo maskini atusitahili kupendwa maua yako kaka 🎉🎉🎉❤❤
Nanyi hamkawii kufik ila nimewai pia likes bas wenye mtakuja nyuma yangu ila kelvin unachelewesha san adi tunaanza kuboeka ila hongeren kaz nzuri🎉 nawapenda marafik zangu pia❤
This Kevin is a man and a half. What a gentleman. Straight forward. Very handsome with dignity. Who wouldn’t love him. I’m watching from. London UK❤❤❤❤❤❤.
Kumfukuza love sio suluhisho nafuuungemwacha tuu akae kwasababu we mama ulishaambiwa walikutana kabla hakuna kwako kwahiyo hujafanya kitu kabisa kumbuka hisia zakev zipi kwa love nasio Tina nakupenda Sana kevi nalove❤❤❤❤
Kazi yenu nzuri naipenda sana. Ila mjitahidi muda usiwe mrefu sana episode 1 kwenda inayofuata. Najua si rahisi kama ambavyo wengi wetu tunatamani iwe lakin kupitia maombi yetu watazamaji pamoja na juhudi zenu zapamoja tunaamini kila jambo linawezekana kwauwezo wa mungu. Ahsanten nawatakia kazi njema. MR KELVIN KEEP IT UP NICE TOO.
Napenda sana vyenye Kelvin anamjibu dadake ama kweli mpenzi sio wa kwa mtajiri tu na moyo upenda umeshapenda nawapenda bure Kelvin na loveness from Kenya❤❤❤
Mpk nimetokwa na machozi 😢vile house girls hawana nafasi wala kauli kwa maboss 😢 MUNGU tubariki ss wote tunao hustle kwa manyumba ya watu ili nasi tumiliki zetu 🙏🙏 bigup sana wana Donta TV 🎉🎉🎉
Love nes wewe hauna mfano kwahii dunia uko pekeako enderea kupambana ww ni mtu mkubwa ❤❤❤❤❤❤😭😭😭😪😪😪😭😭♥️♥️♥️♥️😭😭😭😭😪😭😭😭😭♥️♥️♥️😭😭😭😪😪😭♥️♥️♥️😭😭😪😪♥️♥️♥️😭😪😪😪😭♥️♥️😪😪😭♥️♥️
LEO NA MIMI NIMEKUA WA KWANZA NIPENI LIKE ZANGU JAMANI 😂❤❤
❤❤
Xema broo unachelewexha xana
😂😂
😂😂😂😂 we ulpoachia tu umetuwah
Congratulations 🎉🎉🎉f🎉🎉
Kelvn muoe loveness we ndo chanzo pka kafukuzwa kazi mwenzio usimuache kma wakubali love Ness na kelvn goga like ata6
Love,ness muoe plz🎉
Kelvin muowe please ❤❤❤🎉🎉
Maajabu leo nmewahi watu wa like leo mko wapi,Kelvin kaz nzur sana. 🎉🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako pamoja na love❤❤❤
Kelvin unaweza xn bro naomba hata like moja tuu from Burundi 🇧🇮
Ata mimi jamani nipeni like yangu🎉❤
Ambao tunapenda loveness.....aolewe na Kelvin please...gonga like tujuane....😂😂😂😂😂
Mimi hapa nampenda sana lovenes
@@user-ce9gj6op8j😅
Nipo pamoja na wew
@@Jacklini-wy6dw😅😅😅😅😅
❤❤❤to loveless
Tuliopo katika upande wa Kevin tuko wangapi bro Kevin umeweza kiukweli mapenzi yanaingililia vip na umaskini jameni ivyo maskini atusitahili kupendwa maua yako kaka 🎉🎉🎉❤❤
Nanyi hamkawii kufik ila nimewai pia likes bas wenye mtakuja nyuma yangu ila kelvin unachelewesha san adi tunaanza kuboeka ila hongeren kaz nzuri🎉 nawapenda marafik zangu pia❤
Mambo
@@JuliusTivave poa
Wanaomwombea kelvin abak na msimamo wake gonga like tujuani❤❤❤
Akuna ata kugoja ikiwa motomoto team kelvin na loveness anguka nayoo❤❤❤
Tunaselebukanayo na sio kuanguka tena 😂😂😂😂
@@user-sv6zy3hc8o😂😂😂jmn nyie
@@user-sv6zy3hc8o 😂😂kabisaaa Hadi dakika ya mwisho alaaa
Movie nzur jamaa una aidia mungu azidi kukupa maisha marefu ukavunje rekodi ya Steve kanumba unapita mlemle
Wa kwanza kutoka kenya nipeni likes zenu japo tano 🇰🇪
🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇮🇶🇮🇶
Nitakupa, na mimi pia nimetoka Kenya ❤❤❤❤❤❤❤lakini nimezaliwa Tanzania. Kenya yetu hakuna matata.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇬🇧🇬🇧
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
NJO YA KWANZA MINA TIZAMA FILME ZENU NI ZA BIEN SANA VRAIMENT 7 Partie isi kawe 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Walio kuwa wanaisubir kwa ham kama mm tujuane kwa like nyingi ❤😅
❤
😅
Mm hapa
🙏tuko pamoja
@JacksonchizkpupuuoupoppuoupildaChiza
Team kelvin na loveness anguka nayo kazi nzuri sana❤❤❤
Loveness umenifany nilie jamani... Nakupenda we dada❤
Hata mimi nimelia kwa,kweli😢😢
Na mimi leo nimewaiii🤣 nipeni like moja
Wakwanza leo jamani wapi like zangu kwa mashabiki wa DONTA TV🎉🎉🎉
2po
2po
Wooow ni nzuri sana japo nimechelew lkn mwenyez mungu azidi kuwatia nguvu kila iitwapo leo mtuletee mamb mazuri penda sana hii movie❤❤❤❤❤
Wangapi wanataka kelvin amuowe lovnes nawomba like hapa asante❤
Mmm ✋✋ cz mapenzi sipesa
Mimi pia nataka sana❤❤
❤
Me nampenda sana lovenes aolew na Kevin
Napenda saaaan love aolewe na kelvin
This Kevin is a man and a half. What a gentleman. Straight forward. Very handsome with dignity. Who wouldn’t love him. I’m watching from. London UK❤❤❤❤❤❤.
Ata kama nmechelewa aji ntieni nguvu na like jameni ata kumi tu
Kumfukuza love sio suluhisho nafuuungemwacha tuu akae kwasababu we mama ulishaambiwa walikutana kabla hakuna kwako kwahiyo hujafanya kitu kabisa kumbuka hisia zakev zipi kwa love nasio Tina nakupenda Sana kevi nalove❤❤❤❤
Wakwanza jmn naombeni like zangu 😂😂❤❤
Jamni anaemkubali loveness tujuane hapa make huyu dada sio kwa kuigiza yupo selious na kazi tunaomkubali tujuane❤️🌹
Hii movie inafundsha ktu kkubwa sanaaaah hatujuw tu,
Kazi yenu nzuri naipenda sana. Ila mjitahidi muda usiwe mrefu sana episode 1 kwenda inayofuata. Najua si rahisi kama ambavyo wengi wetu tunatamani iwe lakin kupitia maombi yetu watazamaji pamoja na juhudi zenu zapamoja tunaamini kila jambo linawezekana kwauwezo wa mungu. Ahsanten nawatakia kazi njema. MR KELVIN KEEP IT UP NICE TOO.
Leo mm ndo wakwanza nipeni like
Loveness ..u r the best actress,,alafu unajua ku switch to n frm diffrnt characters,,unlike the rest wana maintain tu character moja kila movie🎉
Kutoka Kenya nipeni likes zangu watu wangu nawapenda sana
mkenya mwezangu😂😂
Nani kasikiya kama mimi maneno ya Kelvin kwa kendi, ❤❤❤mimi natafuta mke, sitafute mkwe kwenye hi familia🤔🤔🤔💪💪
Ni ukweli😂😂
Wa kwanza team fulus mko wapi unategea ukiwa wapi mpendwa 🇰🇪🇸🇦🥰🥰🥰❤️❤️ team donta family Gen z ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰🥰❤️❤️❤️❤️
Tupo mpenzi😂❤😂😂😂❤🎉🎉
Tupo ,nko Saudi
Tanzania kigom
Tupo bibi mzuri 😂😂😂😂
Tuko kenya
Nilikua. Imesuniri sana,mola awabariki kwa huu umaarufu familia yote kwa jumla
Yeap!!! Na sisi tuliochelew mnipe like jamn
Napenda sana vyenye Kelvin anamjibu dadake ama kweli mpenzi sio wa kwa mtajiri tu na moyo upenda umeshapenda nawapenda bure Kelvin na loveness from Kenya❤❤❤
Kenya 🇰🇪 wa kwanza leo wapi like yenu guys.
Jaman mbona sa mnachelewesha muendelezo m natak nione loveness akiwa na kelvin❤
SHE PLAYED HIS CHARACTER VERY WELL ❤ @Loveness
The comment that I was looking for ❤❤❤
@@lilimoswambu9934 😃
his or her
Mm wakwanza kutoka Uganda nipen like jaman
Leo wa kwanza jaman nipe like zangu hata 20😢😢
Mpk nimetokwa na machozi 😢vile house girls hawana nafasi wala kauli kwa maboss 😢 MUNGU tubariki ss wote tunao hustle kwa manyumba ya watu ili nasi tumiliki zetu 🙏🙏 bigup sana wana Donta TV 🎉🎉🎉
Mnipee likes jameni😊walio upande wa loveness
Kutoka Kenya nipe likes zangu plz am the topest guy commenting to donta TV movies
Hakika Kelvin ni mwalimu bora Sana wa maalifa wane mkubali Kelvin tujuwane🎉🎉🎉🎉
Anakipaji kabisaaa
Huu mwaka mtachukua tuzo walah 🎉🎉🎉 naomba isiishe
Leo kita waka kbx nawaomba muwe muna yitowa kwa siku munipe like zangu🎉🎉🎉
Loveness jamani nakuoenda mdogo wangu,Mungu aendelee kukuza kipaji chako unajitahidi sana kwenye nafasi yako❤❤❤❤❤
Safi sana bro unafanya kazi nzur sana ❤ nimewamwagia like nying na mm naomba ata kumi tuh from USA
Loveness umeniliza kwa raha mamako❤❤❤ good job ❤️ my lovely daughter 😍
Habikuwagi tena gucaguriyana kelvin fata isiya zako Nami naomba like zangu toka congo🎉🎉
Hiyi kabs ni noma labda niseme hivi
Félicitations
I'm issa from🇧🇮🇧🇮
Pia nmewayi nawatch nikiwa 🇸🇦like hata kamoja 🎉🎉🎉😂
Jamani nyie mbn hii episode ni tamu mno ongereni Kwa kweli na mung abariki Kwa kazi zenu wape nguvu Kila kukucha 🎉🎉🎉
Kama unampenda love gonga likes hapa
Nimekupenda sana love 💘 ❤
leo mm ni wa tatu likes zangu jamen😂😂😂❤❤❤
Love nes wewe hauna mfano kwahii dunia uko pekeako enderea kupambana ww ni mtu mkubwa ❤❤❤❤❤❤😭😭😭😪😪😪😭😭♥️♥️♥️♥️😭😭😭😭😪😭😭😭😭♥️♥️♥️😭😭😭😪😪😭♥️♥️♥️😭😭😪😪♥️♥️♥️😭😪😪😪😭♥️♥️😪😪😭♥️♥️
Kazi nzuri sana Mr. Kelvin💞💕💞
Naipenda sana hii move ila ombi langu muwe mnawahi kutoa tunasubili sana ,,,ila move ipo 🔥🔥
Loveness unajua kuigiza jamani kazi nzuri sana
Jmn sijawah kupat like naomben n mm like jmn
Poleee sana my dear lovenes 😢😢❤❤❤jmn mama mbona huna huruma 😭
Movie nzuri sana master ❤❤😂😂🎉🎉😢😢😮😮😅😅😊😊😊
Maskin lavnec umenitia uruma adi chozi naiyo nyimbo ndio kabisa 😭😭dunian kuna mengi mabaya yarab😢
Mbona mim nachelewa nawakati nilikua naivizia inaonekana tupo maelf tuliokua tukiisubiria😂😂 nawapenda wote🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Kwani kumkataa shin ngapi😂😂😂😂😂 from kenya here
Mauwa yenu hao 🌹🌹🌹kwa team nzima ya Donta tv 🎉🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
Uyu dada anajuwa kuigiza sana mungu amzidishie kipaji chake kizidi kusonga mbele❤❤❤
Leo mimi mkisii wakwanza ... leo nipeeni likes 5 to❤❤❤ napenda donta tv
Pia mm nko hapa ❤❤
Nampendaaa. L❤xanaaa kevooo love ndo wakwakooo❤❤❤❤
Loveless jamniii mpka umenitoa mchoxiii hongelaaa mungu akuongeze hatua me napendaaa uwe na Kevin mmependezana sana
Kelvin khan mwambie mtoto ukweli brw
Jameni mbona umu munalamukiy😂😂😂alafu wenye wanaon yakwamba dada wakazi atakuja kumpend mtoto wa boss ebu munipe 👍👍👍
Nimewai Leo wapi like yangu😂😂😊
❤❤❤❤❤
Changeee cheptanui
@@Robert-f6p chamengee 🥰
Kelvin Iko safi nimekupenda bure!! Mapenzi ni chaguo la mtu sio kuchaguliwa na wazazi. Kelvin na Lovenes nichahuo sahihi. Big up!!
Love pole uhuska wako mngum daah,
Mm naiona kabisa ndoa ya kevi na loveness❤🎉
Kaka wenye wivu wakae kwakutulia ww muvi zako unajua kutuelimisha nakupnda sana
Hawa wazazi wakevin hawajielewi kwaza kama baba hafai kuwa nauamuzi
Leo mimi ndio wa kwanza apa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipeni likes zangu
Leo nimejaribu kuingia mapema jamani nipeni like ata moja
Saf bro kaz nzuri sana🎉🎉❤❤
wow donta tv nilikuwa nasbr kwa hamu nawapenda wote sna ❤❤
Nimechelewa but naomba likes zenu jamani😅❤,
Bravo
Wenye tunamukumbuka kunambi na rashidi tujuwane kwenye like
Me wa kwanzaa....naipenda xan hii movie
Pole cn love ❤️ Ness kipenzi mungu Atakusaidia inshahalla Kevin Atakutafuta tuu
Namimi reo wakwaza lak kwa loveness 🎉🎉🎉 from south Africa ❤❤❤
Naona kelvin atamufwata lovoness tena ndo watakuwa na muda wa kuongea vizuri .❤
Yan jmn mnachelewexha sanaa, ila anyway mnatufurahixha na kutuelimixha xana hongeren kwa kaz nzr
Lovenes amejua kuniliza Dha kweri anakipaji❤
First born mimi leo nawakubali wananguu wanguvu
Jaman nimechelewa lakin nimefika naomba like hata kumi tu 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wooow Wa Kwanza leooo nimewaiii😂😂 kudadeeki Na sitaki likes zenuuuu❤❤❤❤
Waouh ❤napenda sana kevin usiitike maneno ya wazizazi wako 😂na hizo Rupita uwachane nazo mi Niko upande wa lovenes ❤❤❤❤Jaja 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jaman haka ka movie 👌👌🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Kweli siya nikitu kinafanya mtuu ✅ awe kama chizi
Movies zako imenifundisha mambo mengi sana kaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good job wah
Wewe Kelvin unastaili like Mimi wanaonikera ni wale wanaomba like wakati hamjafanya kitu 😂❤
Wakwanza ni mm Leo like zangu wajamen 😊
Wakwanza leo pia nipeni like za time strong.much love from kenya🎉
Sanaa kipaji kipo jamaa zangu Sana hapo SEMA mnachelewesha episode kutoa
Mon frère, pour cette travaille, tu me rends heureux ! Je te souhaite un bon travail. From RDC 🇨🇩 always 🇧🇷🌳🇹🇿