Комментарии •

  • @Finestonline
    @Finestonline 22 дня назад +165

    FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏

    • @RukhayyahMtutuma
      @RukhayyahMtutuma 22 дня назад +8

      pamoja familia

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 22 дня назад +11

      Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.

    • @DM_15
      @DM_15 22 дня назад +4

      Ondoa shaka familia

    • @Finestonline
      @Finestonline 22 дня назад +6

      @@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏

    • @salimkadenge3231
      @salimkadenge3231 22 дня назад +1

      Poa gamba

  • @MpembaMayunga
    @MpembaMayunga 21 день назад +13

    Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉

  • @stevenobure8241
    @stevenobure8241 22 дня назад +25

    Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana
    Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 22 дня назад +38

    Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.

  • @christophermbuga9623
    @christophermbuga9623 22 дня назад +20

    Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!!
    Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo

    • @Shuu_mwak
      @Shuu_mwak 20 дней назад

      An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂

  • @Shadia544
    @Shadia544 22 дня назад +87

    Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂

    • @mjumbemwanda9666
      @mjumbemwanda9666 22 дня назад +2

      Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤

    • @abasikusaga6132
      @abasikusaga6132 22 дня назад

      ❤ kumbe na wewe umoo

    • @MwanzoNyedeche
      @MwanzoNyedeche 22 дня назад +2

      Mambo mrembi

    • @Shadia544
      @Shadia544 22 дня назад

      ​@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu

    • @Shadia544
      @Shadia544 22 дня назад +1

      ​@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 22 дня назад +24

    Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌

  • @OmanAlkamil-nl2zw
    @OmanAlkamil-nl2zw 22 дня назад +21

    Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi

  • @user-we3cm7db2h
    @user-we3cm7db2h 22 дня назад +12

    Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 22 дня назад +17

    Yanga binwa msimu huu
    Asante MUNGU 🙏♥️

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 22 дня назад +10

    Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥

  • @YusuphMayunga-z8l
    @YusuphMayunga-z8l 22 дня назад +13

    Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana

  • @alikawinga2289
    @alikawinga2289 22 дня назад +51

    Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga

    • @Kuminamoja1995
      @Kuminamoja1995 22 дня назад +1

      Nipo USA 🇺🇸 Nipe number yako

    • @derimkongwa5965
      @derimkongwa5965 22 дня назад +1

      Kaka nipe namba yako nashida nawewe

    • @derimkongwa5965
      @derimkongwa5965 22 дня назад +1

      ​@@Kuminamoja1995kaka nipe namba yako nashida naww

    • @derimkongwa5965
      @derimkongwa5965 22 дня назад +1

      Nipe namba yako kaka nashida naww

  • @GodblessMushi-e6y
    @GodblessMushi-e6y 22 дня назад +8

    Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja

  • @BADILIJUSTUS-fs3oo
    @BADILIJUSTUS-fs3oo 22 дня назад +23

    Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 22 дня назад +4

    Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 22 дня назад +8

    Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 22 дня назад +10

    😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo

  • @michaelmduba5931
    @michaelmduba5931 22 дня назад +15

    Kumekucha kumekucha na mzee Said

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 22 дня назад +15

    Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 22 дня назад +9

    Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y 22 дня назад +7

    Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤

    • @trice_yanga
      @trice_yanga 21 день назад

      nakuona mchawi umetoaa maoni😂

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 21 день назад

      Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 22 дня назад +11

    Nimecheka jamani 😂😂 mzee said

  • @MichaelMwambango
    @MichaelMwambango 22 дня назад +8

    Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥

  • @GIFT37tv
    @GIFT37tv 21 день назад +4

    IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA

  • @BarnabaJaphet
    @BarnabaJaphet 22 дня назад +3

    Daaah ebana hapo sasa afadhar nimepata furaha ya moyo.pamoja sana gamba mpe salam mzee said

  • @deogratiaspmwolo1942
    @deogratiaspmwolo1942 22 дня назад +15

    Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu

    • @evansmoshi1923
      @evansmoshi1923 22 дня назад

      Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?

    • @VedastinaVedarian
      @VedastinaVedarian 21 день назад

      Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅

  • @kelvinkumila4708
    @kelvinkumila4708 22 дня назад +4

    BOKA TENA??
    WAMELETA MWINGINE??
    JANA??
    ANAITWA BOKA!!
    KATOKA WAPI???
    EEEH!😢😢

  • @zakayomgaya2758
    @zakayomgaya2758 22 дня назад +5

    😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake

  • @leoncengabo5799
    @leoncengabo5799 22 дня назад +5

    Kkkkkkk
    Mzee Saidi nakupata vizurii nikiwa Kampala.
    Wazingue team!!!
    Makoe,kutunguluka,juijuijuii!!!!
    Kkkkkkkkkkk,misemo Yako,kweli nimeingia kamsi nimepotea...

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b 22 дня назад +8

    Tulikumiss sanaaaa xema saiz chagamba anazingua 😂😂😂😂😂😂

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq 22 дня назад +7

    Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @chumaramadhani.7581
    @chumaramadhani.7581 22 дня назад +5

    Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh 21 день назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️

  • @emaculatemakoi8226
    @emaculatemakoi8226 22 дня назад +12

    Huyu mzee nampendaaa sanaaaa

  • @PeterTelemka
    @PeterTelemka 22 дня назад +4

    Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 22 дня назад +12

    Mzee Said bado hujasema 😂😂

  • @user-ls2pp5hi6m
    @user-ls2pp5hi6m 22 дня назад +7

    Mzee wetu said tunampenda sanaa

  • @nelsonlugaimukamu6611
    @nelsonlugaimukamu6611 22 дня назад +1

    Hongereni sana kwa kipindi kizuri,mzee saidi namkubali sana....msema ukweli

  • @cleophasmkungu623
    @cleophasmkungu623 22 дня назад +2

    Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃

  • @PlanetLeo721
    @PlanetLeo721 21 день назад

    Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.

  • @Sadick-vb5gg
    @Sadick-vb5gg 22 дня назад +10

    Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko

  • @MariamMbonde-v1e
    @MariamMbonde-v1e 22 дня назад +3

    😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂

  • @taufiqis-haq536
    @taufiqis-haq536 22 дня назад +1

    Mzee said umeongea point Sana viongozi wa Simba wachukue Huu ushauri

  • @tamariamisi3540
    @tamariamisi3540 16 дней назад

    Nikiwa from uganda I love said o

  • @MohammedIsmail-fw9vn
    @MohammedIsmail-fw9vn 22 дня назад +4

    Mzee Said muwe mnamlipa hela kama hamuwezi wekani namba

  • @user-tk5wi3gi5o
    @user-tk5wi3gi5o 22 дня назад +3

    Mzee saidiiiìii unanichekesha mpaka basi,nawapata kutokea mascat Oman,

  • @christophermbuga9623
    @christophermbuga9623 22 дня назад +8

    Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri

  • @nacetsiringa1334
    @nacetsiringa1334 21 день назад

    Chagamba unatukosea weka namba tuchangie hela ya maji kwa mzee said na miraji mahojiano mazuri sana 🎉🎉

  • @user-pw4hw5sx6e
    @user-pw4hw5sx6e 22 дня назад +4

    Nilitaka kushangaa bila kumtaja saidoo

  • @mwanaidimtengo8151
    @mwanaidimtengo8151 22 дня назад +2

    Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Deboraaaaaaah Hahahaaaaaaaaaaa

  • @gideonchipepo8405
    @gideonchipepo8405 22 дня назад +1

    Hongera sana Mzee saidi wewe ni mkweli siku zotee

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 22 дня назад +2

    Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗

  • @WilliamStanley-m8u
    @WilliamStanley-m8u 22 дня назад +9

    Nakuelewa sana mzee said

  • @EliasMyeya
    @EliasMyeya 22 дня назад +2

    Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa

  • @tamariamisi3540
    @tamariamisi3540 16 дней назад

    Thank you so much said I love you me I live from yuganda

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 22 дня назад +3

    Mimi yanga ila mzee Saidi na ENJOY kumsikiliza,,

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 22 дня назад +2

    Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian 22 дня назад +2

    Mzee Said yuko safi mbona Jobe haongelewi?

  • @EdsonMdagachule
    @EdsonMdagachule 22 дня назад +4

    Mzee Said upo sasa kabisa

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 22 дня назад +3

    Watakuwa wanaijua daby Kwan hata kwao kuna daby

  • @user-lr6kf6bf9l
    @user-lr6kf6bf9l 22 дня назад +3

    Chagamba hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupata vilivyo....😂😂

  • @HarimaAbdallha
    @HarimaAbdallha 7 дней назад

    Mzee saidi unanipa rahaha sana mm ni mwananchi😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o 22 дня назад +7

    😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 22 дня назад +2

    mzee saidi ni shidaa sana mjini

  • @EmmanuliM.lugembe
    @EmmanuliM.lugembe 22 дня назад +3

    Mi mwemyewe mzee sis nimemc sana

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 22 дня назад +2

    Mzeee said kwann wakuite Deborah 😂😂😂

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha3143 22 дня назад +3

    Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 22 дня назад +2

    Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa

    • @hyy4114
      @hyy4114 21 день назад

      Upo umran mm nipo Umqan

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 21 день назад +1

    Nimejikuta nimecheka kwa sauti ety nyooo😂😂

  • @nasibumuya4504
    @nasibumuya4504 21 день назад

    mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩

  • @chrispinallan3683
    @chrispinallan3683 22 дня назад +1

    Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang

  • @user-zq2tj9gr6r
    @user-zq2tj9gr6r 22 дня назад +5

    Mzee saidi saidiya simba yako

  • @claragodfrey2985
    @claragodfrey2985 22 дня назад +2

    Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd 21 день назад +1

    Mzee said ni 🔥🔥🔥

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 22 дня назад +3

    wakikuita debora na wew waite joicy

  • @HanafyTuwa
    @HanafyTuwa 21 день назад +1

    Chagamba yupo kama kunguni vile anang'ata huku anapuliza taratibu 😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 22 дня назад +3

    Gambaaa una enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sem mzee Saidy

  • @harunimsangi7770
    @harunimsangi7770 21 день назад

    Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu

  • @jofreymsomba4652
    @jofreymsomba4652 22 дня назад +2

    Noma sana mkuu mzee saidi huyu

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 22 дня назад +3

    Mzee saidi sio yanga tu waswahili simba mmezidi uswahili yanga tushatoka uko hohohoho,mzee saidi kula chuma hicho simba imebaki siasa tu kama una D mbili utakuwa umenielewa,mbili hiyo kikosi ya yanga mim yanga naiyogopa mzee saidi huogopi? iko na mafundi tupu hohoho kuna team itakula 10 msimu ujao hohoho nimekaa pale hohohohoho

  • @HassanHassan-vh6pc
    @HassanHassan-vh6pc 22 дня назад +2

    Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 22 дня назад +6

    Mambo yashaaanza uku😂😂😂

  • @EmmanuliM.lugembe
    @EmmanuliM.lugembe 22 дня назад +2

    Changaba unakuwa unamcheleweaha sana Mzee saidi

  • @AnordJoseph-e2e
    @AnordJoseph-e2e 13 дней назад

    Timu yakwanza kusifiwa namashabiki pinzani YANGA kila mtu anamsfia haijalishi yuko timu gani

  • @kingslove7772
    @kingslove7772 22 дня назад +3

    Mzee said bana we leo umeamua je

  • @assumedprivacy3940
    @assumedprivacy3940 22 дня назад +5

    Nasema tena, Mzee Saidi hamia Yanga roho yako itulie mzee wangu

  • @MauBonde
    @MauBonde 21 день назад

    Mwambie mzee saidi anasema kuhusu ndumba yanga,robo zenu tuliona vituko bus kurudi kinyume nyume (sumu)mlienda kimataifa,fidmarsheal kashalaza sana watu makaburini muacheni atubu vipaji vichezee, watoto wa jangwani tunawasubiri tunataka mpira biashara na vipaji .... Kuna mungu bahati na uchawi mungu akisema kunfayakun. ..

  • @geraldndosi2083
    @geraldndosi2083 22 дня назад +1

    😂😂😂 mzee wetu saidi leo anaongea kwa uchungu sana

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 22 дня назад +3

    Gamba kwanini malizia ukuta wa yeriko😂😂😂😂😂

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi7750 22 дня назад +1

    Mzee wangu Said 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦mimi ni shabiki yako kindakindaki, ila mimi YANGA 😂😂😂😂😂

  • @jamesmakaranga1170
    @jamesmakaranga1170 22 дня назад +2

    Mzee said bn nakukubali sna

  • @AllyMaketa
    @AllyMaketa 22 дня назад +1

    Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana

  • @rozamabagala6242
    @rozamabagala6242 12 дней назад

    Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂

  • @musamwakalibule3383
    @musamwakalibule3383 22 дня назад +4

    Sasa😂😂😂😅 jamani mzee said, huyo chagamba kakosea nini? Usimpige huyo

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 21 день назад

    Mzee said uende pale msimbazi ukashauri watakusikia. 😅😅Mungu tusaidie jamani Mzee anatutisha sana jamani 😢😢

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 19 дней назад

    Ila ni ikitokea TU Simba au yanga kapigwa lazima kupoteana

  • @mwinalmou2978
    @mwinalmou2978 12 дней назад

    Mzee Saidi wanasema sema goli nane, sijui badala ya Tano au ndio nje ndani cjui

  • @KhatibuMadizii
    @KhatibuMadizii 17 дней назад

    Nakukubali Sana mzee said

  • @harmyally2713
    @harmyally2713 22 дня назад +2

    Mzee said anajua sana mpira