FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
Mzee saidi sio yanga tu waswahili simba mmezidi uswahili yanga tushatoka uko hohohoho,mzee saidi kula chuma hicho simba imebaki siasa tu kama una D mbili utakuwa umenielewa,mbili hiyo kikosi ya yanga mim yanga naiyogopa mzee saidi huogopi? iko na mafundi tupu hohoho kuna team itakula 10 msimu ujao hohoho nimekaa pale hohohohoho
Mwambie mzee saidi anasema kuhusu ndumba yanga,robo zenu tuliona vituko bus kurudi kinyume nyume (sumu)mlienda kimataifa,fidmarsheal kashalaza sana watu makaburini muacheni atubu vipaji vichezee, watoto wa jangwani tunawasubiri tunataka mpira biashara na vipaji .... Kuna mungu bahati na uchawi mungu akisema kunfayakun. ..
FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
pamoja familia
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
Ondoa shaka familia
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
Poa gamba
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana
Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!!
Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
❤ kumbe na wewe umoo
Mambo mrembi
@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
Sawa Oman wa Tz😂😂
😂😂😂
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
Yanga binwa msimu huu
Asante MUNGU 🙏♥️
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
Nipo USA 🇺🇸 Nipe number yako
Kaka nipe namba yako nashida nawewe
@@Kuminamoja1995kaka nipe namba yako nashida naww
Nipe namba yako kaka nashida naww
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua
Mhuuuu😂😂
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
Kumekucha kumekucha na mzee Said
Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana
Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥
IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA
😂😂😂😂 xhenzi zako
Daaah ebana hapo sasa afadhar nimepata furaha ya moyo.pamoja sana gamba mpe salam mzee said
Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu
Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?
Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅
BOKA TENA??
WAMELETA MWINGINE??
JANA??
ANAITWA BOKA!!
KATOKA WAPI???
EEEH!😢😢
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
Kkkkkkk
Mzee Saidi nakupata vizurii nikiwa Kampala.
Wazingue team!!!
Makoe,kutunguluka,juijuijuii!!!!
Kkkkkkkkkkk,misemo Yako,kweli nimeingia kamsi nimepotea...
Tulikumiss sanaaaa xema saiz chagamba anazingua 😂😂😂😂😂😂
Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂
Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
Huyu mzee nampendaaa sanaaaa
Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo
Mzee Said bado hujasema 😂😂
Mzee wetu said tunampenda sanaa
Yaani tunampenda vibaya mnoooo!!!
Hongereni sana kwa kipindi kizuri,mzee saidi namkubali sana....msema ukweli
Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃
Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.
Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko
😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂
Mzee said umeongea point Sana viongozi wa Simba wachukue Huu ushauri
Nikiwa from uganda I love said o
Mzee Said muwe mnamlipa hela kama hamuwezi wekani namba
Kweli bwana mzee hata fridge Hana
Mzee saidiiiìii unanichekesha mpaka basi,nawapata kutokea mascat Oman,
Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri
Chagamba unatukosea weka namba tuchangie hela ya maji kwa mzee said na miraji mahojiano mazuri sana 🎉🎉
Nilitaka kushangaa bila kumtaja saidoo
Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Deboraaaaaaah Hahahaaaaaaaaaaa
Hongera sana Mzee saidi wewe ni mkweli siku zotee
Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗
Nakuelewa sana mzee said
Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa
Thank you so much said I love you me I live from yuganda
Mimi yanga ila mzee Saidi na ENJOY kumsikiliza,,
Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅
Mzee Said yuko safi mbona Jobe haongelewi?
Mzee Said upo sasa kabisa
Watakuwa wanaijua daby Kwan hata kwao kuna daby
Chagamba hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupata vilivyo....😂😂
Mzee saidi unanipa rahaha sana mm ni mwananchi😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee
mzee saidi ni shidaa sana mjini
Mi mwemyewe mzee sis nimemc sana
Mzeee said kwann wakuite Deborah 😂😂😂
Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa
Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa
Upo umran mm nipo Umqan
Nimejikuta nimecheka kwa sauti ety nyooo😂😂
mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
Mzee saidi saidiya simba yako
Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako
Mzee said ni 🔥🔥🔥
wakikuita debora na wew waite joicy
Chagamba yupo kama kunguni vile anang'ata huku anapuliza taratibu 😂😂😂😂🙌🙌🙌
Kwa kweli, hivyo hivyo yaaaniii.
Gambaaa una enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sem mzee Saidy
Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu
Noma sana mkuu mzee saidi huyu
Mzee saidi sio yanga tu waswahili simba mmezidi uswahili yanga tushatoka uko hohohoho,mzee saidi kula chuma hicho simba imebaki siasa tu kama una D mbili utakuwa umenielewa,mbili hiyo kikosi ya yanga mim yanga naiyogopa mzee saidi huogopi? iko na mafundi tupu hohoho kuna team itakula 10 msimu ujao hohoho nimekaa pale hohohohoho
Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako
Mambo yashaaanza uku😂😂😂
Changaba unakuwa unamcheleweaha sana Mzee saidi
Timu yakwanza kusifiwa namashabiki pinzani YANGA kila mtu anamsfia haijalishi yuko timu gani
Mzee said bana we leo umeamua je
Nasema tena, Mzee Saidi hamia Yanga roho yako itulie mzee wangu
Mwambie mzee saidi anasema kuhusu ndumba yanga,robo zenu tuliona vituko bus kurudi kinyume nyume (sumu)mlienda kimataifa,fidmarsheal kashalaza sana watu makaburini muacheni atubu vipaji vichezee, watoto wa jangwani tunawasubiri tunataka mpira biashara na vipaji .... Kuna mungu bahati na uchawi mungu akisema kunfayakun. ..
😂😂😂 mzee wetu saidi leo anaongea kwa uchungu sana
Gamba kwanini malizia ukuta wa yeriko😂😂😂😂😂
Mzee wangu Said 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦mimi ni shabiki yako kindakindaki, ila mimi YANGA 😂😂😂😂😂
Mzee said bn nakukubali sna
Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana
Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂
Sasa😂😂😂😅 jamani mzee said, huyo chagamba kakosea nini? Usimpige huyo
Mzee said uende pale msimbazi ukashauri watakusikia. 😅😅Mungu tusaidie jamani Mzee anatutisha sana jamani 😢😢
Ila ni ikitokea TU Simba au yanga kapigwa lazima kupoteana
Mzee Saidi wanasema sema goli nane, sijui badala ya Tano au ndio nje ndani cjui
Nakukubali Sana mzee said
Mzee said anajua sana mpira