MIRAJI AFIA KWA DEBORA FERNANDEZ |SIMBA KUPIGANIA UBINGWA BADO | ZILE STORI 4 KALI |LAWI ANANIVURUGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024

Комментарии • 117

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 10 дней назад +20

    Miraji leo umetema madini mnoooo❤❤❤❤❤

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert 9 дней назад +3

    Mzee saidi tunamtaka 😊😊😊

  • @abrahamchengula8137
    @abrahamchengula8137 10 дней назад +6

    CHAGAMBAA! MIRAJI NA MZEE SAID WANAKUPAISHAA SANAAA.JAMAA WANAJUAA

  • @MakukaNyango
    @MakukaNyango 10 дней назад +16

    Kaka mirsj na chagamba,,mi nawaombea maisha marefu na afya njema, miraji mi yanga lakin nakuelewa sana kwa madini Yako hadhiiiimu

  • @Rashidimilanzi
    @Rashidimilanzi 10 дней назад +9

    Mraji napenda sana kukufatilia Mungu akupe maisha malefu

  • @MartinMilinga-f4j
    @MartinMilinga-f4j 10 дней назад +12

    miraji anapata shida sana kukaa mbali na chagamba kazoea kumchapa mabega,chagamba kaona bora iwe ivo

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 10 дней назад +2

      😅😅😅😅

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 9 дней назад +2

      😂😂😂 umenichekesha

    • @omarMchoya
      @omarMchoya 9 дней назад +1

      Chagamba amejiongeza kaona hap mabega yatalala yote

    • @sarahkinyashi6213
      @sarahkinyashi6213 8 дней назад

      Ila mikofi Ile weeee🤣🤣🤣🤣haisahauliki aieseee

  • @AishaMshamu
    @AishaMshamu 10 дней назад +8

    Miraji anapata tabu sana kukaa na chagamba mbari kamiss kumpga mikofi ya mabega😂

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 10 дней назад +6

    MUNGU IBARIKI SIMBA , ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉,WAKALI WA KARIAKOO

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 9 дней назад +5

    Leo mbona mmekaa mbalimbali Changamba sogea kidogo ili Miraji akutandike tandike begani.😂😂😂

    • @BernaDf
      @BernaDf 7 дней назад

      😂😂😂😂

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 10 дней назад +24

    😂😂😂 ety halikisasi hakhaa 🙌🙌miraji mtapigwa kama ngoma huu msimu kwa hii yanga ubingwa watupe ata Leo ngao ya jamii mpe alikamwe ata kesho fa taree 15 tupeni tusipoingia nusu final msimu huu sisi yanga atutawai ingia tena

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 10 дней назад +5

    Miraj nao wako wawili (#miraj wautani&miraj wa serious)

  • @richardmhando2994
    @richardmhando2994 10 дней назад +7

    oy mzee chabamba pamoja miraj simba inakuja kuwa timu tisho next time alf vip kuhusu 24 jez ya simba

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 10 дней назад +3

    Mlete hapo mzee Saidi mfanyie Interview...Miraji na Chagamba, Mzee Saidi, na mzee Masatu..hawa watu raha sana

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 9 дней назад +1

    Hii combination ya miraji na chagamba ni hatari saaaanaaaaaa😂😂😂😂❤❤❤

  • @MpwanguJr
    @MpwanguJr 10 дней назад +4

    Leo wamekaa chini bega limepona

  • @user-ty6pz1mi3j
    @user-ty6pz1mi3j 10 дней назад +5

    Dogo Chagamba, style yako nimeikubali hasa unapo ojiana na Miraji

  • @suleymanyaasin
    @suleymanyaasin 10 дней назад +5

    Apange na wachezaji wa akiba,,,,, hatari

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 10 дней назад +3

    Huyu mashaka mzuri kweli namtabiria makubwa mtamuona tu

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 6 дней назад

    Miraji 😂Ninaraha mpaka nalia kikosi hatalii❤🦁

  • @frontoffice8676
    @frontoffice8676 10 дней назад +2

    Hii ya kusimama cjaipenda naipenda ile ya kusimama huku milaji akiwa anapigapiga mabega ya chagamba😂😂😂

  • @iddydule2287
    @iddydule2287 10 дней назад +5

    HALIKISASA AKHAAAAAAA😂😂😂

  • @kingofrich6813
    @kingofrich6813 10 дней назад +2

    Daaah kuna jamaa hatukuwa na bahati nae fundiiii cramoo😢😢😢

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 10 дней назад +3

    Hiv azizi ki msimu mpya hatokuwepo tena yanga, someni nyakati vizuri waknachagamba😅

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq 10 дней назад +2

    Mzee said jamoon😂😂😂

  • @jamessamson3848
    @jamessamson3848 10 дней назад +3

    Mamaaeee kutetena bei ghali sana sisi kama lunyasi hilo jambo hatulimudu

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 10 дней назад +2

    Simba kote tuko sawa bado tu mabeki ndio bado kidogo

  • @AndersonMokiwa-is5ch
    @AndersonMokiwa-is5ch 8 дней назад

    Shida ya milaji huwa anasifia sana mchezaji mgeni kabla ya kucheza likitokea sasa utaona anavyowakqtaa

  • @FabriceKadege
    @FabriceKadege 8 дней назад

    Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq 10 дней назад +2

    Chagamba tupeleke kwa mzee saidi😂😂😂

  • @babupiza641
    @babupiza641 10 дней назад +1

    Miraji hapo kwa kikosi hicho Cha simba 6 zinawahusu

  • @YonaMashaka-xb2ym
    @YonaMashaka-xb2ym 10 дней назад +2

    Miraji unachekesha ase

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela4889 10 дней назад +2

    Mgunda anapasha nusu ya msim tuu anakabiziwa timu

  • @FakiSuleiman-sv4ee
    @FakiSuleiman-sv4ee 8 дней назад

    Miraji Safi Sana jitahidi kaka

  • @mizanitalentspro213
    @mizanitalentspro213 10 дней назад

    Maestro mara moja❤

  • @Shadia544
    @Shadia544 7 дней назад

    😂😂😂Miraji na chagamba jamaniii sasa miraji leo umbali kidogo leo bega limepona 😂😂😂

  • @MoiseMishenyimateranya
    @MoiseMishenyimateranya 9 дней назад

    Kikik😂leo ilikuwa vizuri

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 10 дней назад +2

    Chagamba mabega yamepona vibao leo,Miraji hasira zoote anajizaba mwenyewe😂😂😂😂

    • @isiaka7930
      @isiaka7930 10 дней назад

      check dk ya 25...hayajapona...labda sio maramoja

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 9 дней назад

      @@isiaka7930 aisee jamaa mvumilivu🤣🤣 si kwa vibao vile na alivyo kimbau! 🤣🤣
      Nilikua na mshikaji mmoja,yule eti mmefurahi uumpe mkono agonge, kudadeki,lazima furaha iishe alafu alikua na bonge la kiganja🤣🤣🤣

  • @amehassan3128
    @amehassan3128 9 дней назад

    Ww Miraji kwann usiwe mchambuzi maana mpira unaujua

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 10 дней назад +1

    Miraji tunakuomba ulipigie hili kelele arubadili isomwe ndo wachezaji vizuri

  • @brunomtweve8073
    @brunomtweve8073 10 дней назад +2

    Debora

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k 10 дней назад +4

    Ogopa mataperi azizik miaka miwiri jangwani

  • @jamalinuru5503
    @jamalinuru5503 7 дней назад

    Chagamba emu tutaftie mzee Saidi kwanza mwambie Aziz bado yupo

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t 10 дней назад +2

    Kisasu haqu

  • @rizyoneboffi3662
    @rizyoneboffi3662 9 дней назад

    Kweli simba na azam wanafanana ndio maana wanapambana wote kugombea nafasi ya pili na bado

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 10 дней назад +1

    💚💛💛💛💛💪

  • @SulemaniNassor
    @SulemaniNassor 9 дней назад

    Chagamba tulety mze said wachana na hawo machwa wanawo tafuta kik

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 5 дней назад

    Moraj, miraji, Miraji nakuita maratatu hayo maneno yako utayakumbuka, Umesahau lete mzungu? Jobe,Fungafunga au Chikwende?

  • @IbuniKilapaya
    @IbuniKilapaya 10 дней назад

    Hatar sana🎉🎉🎉

  • @ElishaFabiani-qs7qb
    @ElishaFabiani-qs7qb 10 дней назад +1

    Ata me chama haingii kwenye kikos

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 9 дней назад +1

    WANANCHIIIIIIIIIII

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 8 дней назад

    Kiongozi mwenyewe hajui mpira ila ana hela. Wataishia kuwapangia benchi la ufundi timu. Haya niko paleeee!

  • @McbarakaeventsTz
    @McbarakaeventsTz 9 дней назад

    Huyo Debora muombee wana Simba afanye vizuri, Ila akiboronga na hilo jina lake atakoma matusi yake...

  • @UmarRachideMussa
    @UmarRachideMussa 9 дней назад

    Nikweli ndomana chagamba kajitenga anamuogopa sana milaji kwamakofiyake

  • @hyginuskabanda474
    @hyginuskabanda474 10 дней назад

    😂😂😂..Jean kaondokajee.!

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 10 дней назад +1

    Wakina onana watakaa mbao ndefu mpaka wakome labda wawapige misumari wachezaji wenzao

  • @UmarRachideMussa
    @UmarRachideMussa 9 дней назад

    Tema madini baba iyo niakiyako cema kwanini uami kwamakoro

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj 10 дней назад

    ❤❤❤❤

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 10 дней назад +1

    Sema Maramoja leo kidogo umeongea kishabiki kiasi

  • @DicksonMato-mp9nq
    @DicksonMato-mp9nq 9 дней назад

    Hakika🎉🎉🎉🎉

  • @floriankasalya269
    @floriankasalya269 10 дней назад

    Huyo mtu Fernandes ni kama Edgar Davids Dutch vile😂😂

  • @rajabumachemba7321
    @rajabumachemba7321 9 дней назад

    What passing around😂😂😂😂

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 10 дней назад

    Chagamba usisahau kumwambia miraji asifieeeee weee ila wajiwahi kuungana vinginevyo wasije kusema GSM anawezaje kufadhiri timu saba 😮😮

  • @salummkicha6636
    @salummkicha6636 9 дней назад

    maua yenu wazeeee🎉

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 9 дней назад

    Miraji unamadini sana na sio mnafiki.

  • @user-yh7oc9sg6k
    @user-yh7oc9sg6k 9 дней назад

    Afadhari leo chagamba bega litapoa sio mikofi ile

  • @mohamedmohamedy8311
    @mohamedmohamedy8311 10 дней назад

    leo mmeamua mkae ili ukwepe makofi ya miraji

  • @OmariialiiOmarii
    @OmariialiiOmarii 10 дней назад

    Kwahicho kikosi chayanga mi shabiki wayanga akuna anemueka benchi apo chama ata shabik wasimb anajuw hilo

  • @billywilliammyovella2202
    @billywilliammyovella2202 10 дней назад

    Gamba muulize Miraji zile THANK YOU 2 anazo zitaka zimetimia au bado?

  • @Emmanuel-cu7yu
    @Emmanuel-cu7yu 9 дней назад

    Miraji tuambie thank you zako 2 zimetimia au bado?

  • @evaristponcian9397
    @evaristponcian9397 10 дней назад

    Na kramo vipi ishu yake ❤

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 10 дней назад

    Interview yenu safi sn! Yani mpo free km hamna camera. Mnaongea friendly sn.

  • @abrahamchengula8137
    @abrahamchengula8137 10 дней назад

    KwaLAWI HAPO HATA MIMI NIMECHEKAAA

  • @user-mj2ut6ud9x
    @user-mj2ut6ud9x 10 дней назад

    Ila Leo chagamba umempata
    miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 10 дней назад

    miraji wewe mtuuuu...! inabidi simba wakufikirie hata kwenye kitengo chochote kaka, achana na akina GB 64 walevi wale....!

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 10 дней назад

    Milaj nakukumbusha wambie viongoz wachezaji wetu walindwe

  • @KiseembeBilali
    @KiseembeBilali 10 дней назад

    Al kisasi hakan 😅😅😅😅

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 10 дней назад

    Maramoja usiwapambe sana tutakuja kukukosa sisi wadau wako

  • @JohnMzia
    @JohnMzia 10 дней назад

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @agnessgodfrey6557
    @agnessgodfrey6557 10 дней назад +1

    Chama first 11 yanga simuoni

  • @user-kb7qr5gy1b
    @user-kb7qr5gy1b 9 дней назад

    Kaka miraji 😂😂😂

  • @user-ib3rm6wg1c
    @user-ib3rm6wg1c 10 дней назад

    Miraji yule mchome anaejifanya shabik wa simba yule ndio anaharibu wachezaji wa simba anatumwa yule kwaio afanyiwe kazi yule

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 10 дней назад

      Sasa afanyiwe nini?
      Kuwa na stahamala ndugu hilo ndio soka kuna kudhiana kukerana na kutaniana

  • @OBSGroup-ps9es
    @OBSGroup-ps9es 9 дней назад

    😂😂😂😂mabega mabegaa chagambaa

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 9 дней назад

    Xavi mtupu

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY 9 дней назад

    KIPINDI BORA SAANA

  • @MariaMnthax
    @MariaMnthax 10 дней назад

    Chagamba kafurai mwenywe

  • @JoshuaMbena
    @JoshuaMbena 10 дней назад +1

    Chagamba anasalimika makofii

  • @immanuelwilson9414
    @immanuelwilson9414 10 дней назад

    Kachoka makofi chagamba😅

  • @andersonnkini7298
    @andersonnkini7298 10 дней назад

    Mpanzu vipi familia?

  • @AnnaBeda-g9k
    @AnnaBeda-g9k 10 дней назад +1

    Yani kwa kikosi hicho cha simba mnapigwa kumi na yanga

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 10 дней назад

    😂😂😂😂

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela 10 дней назад

    Ngoma una mweka wap cja mckia hapo

  • @SengeMtukaz
    @SengeMtukaz 10 дней назад

    hahaaahaaàaaaaa

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 10 дней назад

    Miraji Leo umebolonga 😂😂

  • @NlembugunKotira
    @NlembugunKotira 10 дней назад

    Wasenge nyny Kila mara Simba na yanga

  • @FabriceKadege
    @FabriceKadege 8 дней назад

    Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea

  • @user-mj2ut6ud9x
    @user-mj2ut6ud9x 10 дней назад

    Ila Leo chagamba umempata
    miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba

  • @KiseembeBilali
    @KiseembeBilali 10 дней назад

    Al kisasi hakan 😅😅😅😅

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k 10 дней назад

    Reo umetema madini Sana milaji Mimi mfaasi wako

  • @costantinomhonda8394
    @costantinomhonda8394 10 дней назад +2

    😂😂😂😂

  • @user-mj2ut6ud9x
    @user-mj2ut6ud9x 10 дней назад

    Ila Leo chagamba umempata miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba