😂😂😂 ety halikisasi hakhaa 🙌🙌miraji mtapigwa kama ngoma huu msimu kwa hii yanga ubingwa watupe ata Leo ngao ya jamii mpe alikamwe ata kesho fa taree 15 tupeni tusipoingia nusu final msimu huu sisi yanga atutawai ingia tena
@@isiaka7930 aisee jamaa mvumilivu🤣🤣 si kwa vibao vile na alivyo kimbau! 🤣🤣 Nilikua na mshikaji mmoja,yule eti mmefurahi uumpe mkono agonge, kudadeki,lazima furaha iishe alafu alikua na bonge la kiganja🤣🤣🤣
Miraji leo umetema madini mnoooo❤❤❤❤❤
Mzee saidi tunamtaka 😊😊😊
CHAGAMBAA! MIRAJI NA MZEE SAID WANAKUPAISHAA SANAAA.JAMAA WANAJUAA
Kaka mirsj na chagamba,,mi nawaombea maisha marefu na afya njema, miraji mi yanga lakin nakuelewa sana kwa madini Yako hadhiiiimu
Mraji napenda sana kukufatilia Mungu akupe maisha malefu
miraji anapata shida sana kukaa mbali na chagamba kazoea kumchapa mabega,chagamba kaona bora iwe ivo
😅😅😅😅
😂😂😂 umenichekesha
Chagamba amejiongeza kaona hap mabega yatalala yote
Ila mikofi Ile weeee🤣🤣🤣🤣haisahauliki aieseee
Miraji anapata tabu sana kukaa na chagamba mbari kamiss kumpga mikofi ya mabega😂
MUNGU IBARIKI SIMBA , ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉,WAKALI WA KARIAKOO
Leo mbona mmekaa mbalimbali Changamba sogea kidogo ili Miraji akutandike tandike begani.😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂 ety halikisasi hakhaa 🙌🙌miraji mtapigwa kama ngoma huu msimu kwa hii yanga ubingwa watupe ata Leo ngao ya jamii mpe alikamwe ata kesho fa taree 15 tupeni tusipoingia nusu final msimu huu sisi yanga atutawai ingia tena
Ww
@@AishshibnShibani mm
We hujui mpira mihemuko inakusumbua
Mtschukua ubingwa kwa wazee wale
Unapanga matokeo huo mpira unacheza wewe shabiki wa daraja la chini
Miraj nao wako wawili (#miraj wautani&miraj wa serious)
oy mzee chabamba pamoja miraj simba inakuja kuwa timu tisho next time alf vip kuhusu 24 jez ya simba
Na leo saa 7 mashine ingne ina tua
Mlete hapo mzee Saidi mfanyie Interview...Miraji na Chagamba, Mzee Saidi, na mzee Masatu..hawa watu raha sana
Hii combination ya miraji na chagamba ni hatari saaaanaaaaaa😂😂😂😂❤❤❤
Leo wamekaa chini bega limepona
Dogo Chagamba, style yako nimeikubali hasa unapo ojiana na Miraji
Apange na wachezaji wa akiba,,,,, hatari
Huyu mashaka mzuri kweli namtabiria makubwa mtamuona tu
Miraji 😂Ninaraha mpaka nalia kikosi hatalii❤🦁
Hii ya kusimama cjaipenda naipenda ile ya kusimama huku milaji akiwa anapigapiga mabega ya chagamba😂😂😂
HALIKISASA AKHAAAAAAA😂😂😂
Daaah kuna jamaa hatukuwa na bahati nae fundiiii cramoo😢😢😢
Hiv azizi ki msimu mpya hatokuwepo tena yanga, someni nyakati vizuri waknachagamba😅
Mzee said jamoon😂😂😂
Mamaaeee kutetena bei ghali sana sisi kama lunyasi hilo jambo hatulimudu
Simba kote tuko sawa bado tu mabeki ndio bado kidogo
Shida ya milaji huwa anasifia sana mchezaji mgeni kabla ya kucheza likitokea sasa utaona anavyowakqtaa
Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea
Chagamba tupeleke kwa mzee saidi😂😂😂
Miraji hapo kwa kikosi hicho Cha simba 6 zinawahusu
Miraji unachekesha ase
Mgunda anapasha nusu ya msim tuu anakabiziwa timu
Miraji Safi Sana jitahidi kaka
Maestro mara moja❤
😂😂😂Miraji na chagamba jamaniii sasa miraji leo umbali kidogo leo bega limepona 😂😂😂
Kikik😂leo ilikuwa vizuri
Chagamba mabega yamepona vibao leo,Miraji hasira zoote anajizaba mwenyewe😂😂😂😂
check dk ya 25...hayajapona...labda sio maramoja
@@isiaka7930 aisee jamaa mvumilivu🤣🤣 si kwa vibao vile na alivyo kimbau! 🤣🤣
Nilikua na mshikaji mmoja,yule eti mmefurahi uumpe mkono agonge, kudadeki,lazima furaha iishe alafu alikua na bonge la kiganja🤣🤣🤣
Ww Miraji kwann usiwe mchambuzi maana mpira unaujua
Miraji tunakuomba ulipigie hili kelele arubadili isomwe ndo wachezaji vizuri
Debora
Ogopa mataperi azizik miaka miwiri jangwani
Chagamba emu tutaftie mzee Saidi kwanza mwambie Aziz bado yupo
Kisasu haqu
Kweli simba na azam wanafanana ndio maana wanapambana wote kugombea nafasi ya pili na bado
💚💛💛💛💛💪
Chagamba tulety mze said wachana na hawo machwa wanawo tafuta kik
Moraj, miraji, Miraji nakuita maratatu hayo maneno yako utayakumbuka, Umesahau lete mzungu? Jobe,Fungafunga au Chikwende?
Hatar sana🎉🎉🎉
Ata me chama haingii kwenye kikos
WANANCHIIIIIIIIIII
Kiongozi mwenyewe hajui mpira ila ana hela. Wataishia kuwapangia benchi la ufundi timu. Haya niko paleeee!
Huyo Debora muombee wana Simba afanye vizuri, Ila akiboronga na hilo jina lake atakoma matusi yake...
Nikweli ndomana chagamba kajitenga anamuogopa sana milaji kwamakofiyake
😂😂😂..Jean kaondokajee.!
Wakina onana watakaa mbao ndefu mpaka wakome labda wawapige misumari wachezaji wenzao
Tema madini baba iyo niakiyako cema kwanini uami kwamakoro
❤❤❤❤
Sema Maramoja leo kidogo umeongea kishabiki kiasi
Sasa yeye s shabiki wa simba
@@monifrank347 ushasema mkuu
Hakika🎉🎉🎉🎉
Huyo mtu Fernandes ni kama Edgar Davids Dutch vile😂😂
What passing around😂😂😂😂
Chagamba usisahau kumwambia miraji asifieeeee weee ila wajiwahi kuungana vinginevyo wasije kusema GSM anawezaje kufadhiri timu saba 😮😮
maua yenu wazeeee🎉
Miraji unamadini sana na sio mnafiki.
Afadhari leo chagamba bega litapoa sio mikofi ile
leo mmeamua mkae ili ukwepe makofi ya miraji
Kwahicho kikosi chayanga mi shabiki wayanga akuna anemueka benchi apo chama ata shabik wasimb anajuw hilo
Gamba muulize Miraji zile THANK YOU 2 anazo zitaka zimetimia au bado?
Miraji tuambie thank you zako 2 zimetimia au bado?
Na kramo vipi ishu yake ❤
Interview yenu safi sn! Yani mpo free km hamna camera. Mnaongea friendly sn.
KwaLAWI HAPO HATA MIMI NIMECHEKAAA
Ila Leo chagamba umempata
miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba
miraji wewe mtuuuu...! inabidi simba wakufikirie hata kwenye kitengo chochote kaka, achana na akina GB 64 walevi wale....!
Milaj nakukumbusha wambie viongoz wachezaji wetu walindwe
Al kisasi hakan 😅😅😅😅
Maramoja usiwapambe sana tutakuja kukukosa sisi wadau wako
😢😢😢😢😢😢😢
Chama first 11 yanga simuoni
Kaka miraji 😂😂😂
Miraji yule mchome anaejifanya shabik wa simba yule ndio anaharibu wachezaji wa simba anatumwa yule kwaio afanyiwe kazi yule
Sasa afanyiwe nini?
Kuwa na stahamala ndugu hilo ndio soka kuna kudhiana kukerana na kutaniana
😂😂😂😂mabega mabegaa chagambaa
Xavi mtupu
KIPINDI BORA SAANA
Chagamba kafurai mwenywe
Chagamba anasalimika makofii
Saivi tu ngoja wahame hapa
Kachoka makofi chagamba😅
Mpanzu vipi familia?
Yani kwa kikosi hicho cha simba mnapigwa kumi na yanga
😂😂😂😂
Ngoma una mweka wap cja mckia hapo
hahaaahaaàaaaaa
Miraji Leo umebolonga 😂😂
Wasenge nyny Kila mara Simba na yanga
Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea
Ila Leo chagamba umempata
miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba
Al kisasi hakan 😅😅😅😅
Reo umetema madini Sana milaji Mimi mfaasi wako
😂😂😂😂
Ila Leo chagamba umempata miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba