MZEE SAID |😂 YANGA KWENYE TIMU YAO WAOGOPE SANA | PA OMARY JOBE KASALIMIE NYUMBANI😂 | TUTAWAFUNGA😂

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024

Комментарии • 254

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад +22

    Mimi Yanga,lkn nampenda sana Mzee Said! Namsubiri tarehe 9 baada ya kula 😂😂😂

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Месяц назад +23

    Mzee Kahamuw Kutema Cheche Sas Yan Mpak Wamkome Mzee Said Mwaka Huu🙌🙌🙌🔥🔥🔥

  • @LinusSirayo
    @LinusSirayo Месяц назад +8

    Chagamba mm nitajitoleaa kunuliaa jez mzee said no yako naomba tafadhalii🤙🤙 34:49

  • @BarakaMagesa-b2j
    @BarakaMagesa-b2j Месяц назад +1

    Mzee Mungu akupe maisha malefu nakukubali sana mzee wangu

  • @YusufSuleiman-th2hg
    @YusufSuleiman-th2hg Месяц назад +18

    Habari jaman,huyu mzee said na chagamba ikiwezekana wajiunge crown media ila tuwape maua yao🎉 na like nyingi

  • @MpembaMayunga
    @MpembaMayunga Месяц назад +55

    Mzee said huwa anaongea uhalisia kabsa kama ndugu zangu mnamkubali Mzee said naomba like zenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JosephMwita-g2d
    @JosephMwita-g2d Месяц назад +6

    Huyu mzee mungu amlinde sana anaongea point😂😂😂😂😂😅🎉

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819
    @mwlhalimoja.ekingunza1819 Месяц назад +19

    Wowww tuliokuwa tunasubiri interview ya Chagamba na Mzee Side tujuane aisee. 😂

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Месяц назад +6

    Ahsant Sana mzeee wangu nakukubali mnooooo hakika nimefurah❤❤🦁🦁🦁🦁

  • @elicktilia4430
    @elicktilia4430 Месяц назад +6

    Hii media utam wangu mzeeee said🎉🎉🎉🎉 only

  • @PaulSengo
    @PaulSengo Месяц назад +5

    mwandishi wa habari na mzee side wanashinda mda wote mpaka saiz wamekua kama na patterns 🤣😆😆😆😆😆

  • @AmaniMadata
    @AmaniMadata Месяц назад +4

    Ningekuwa na mjomba kama mzee said Haki hakuna makasiliko maisha yangu yote.nikiwa na huzuni nikumcheki tu mzee said 🤣🤣🤣

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Месяц назад +6

    Nakukubali sana mzee saidi nakufatilia nikiwa dubai kweli wewe unatisha

  • @mengiiblahim4215
    @mengiiblahim4215 Месяц назад +1

    Mzee sde safisana nakupenda bure

  • @laithalfairuz1189
    @laithalfairuz1189 Месяц назад +9

    Mzee said leo umefurahi kicheko cha halooooooo 😂😂😂😂😂 Hatari kweli babu kiboko ww

  • @ashurasaid1315
    @ashurasaid1315 Месяц назад +13

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 babuuu mungu akujaalie maisha maref inshaallah

  • @user-gr6xq8je5p
    @user-gr6xq8je5p Месяц назад +7

    mzé saidi c est mon préféré

  • @JohnWick-h4z
    @JohnWick-h4z Месяц назад +1

    Nakupend san mzee said na chagamb

  • @kelvinakyoo3737
    @kelvinakyoo3737 Месяц назад +2

    ila mzee saidu🤣🤣

  • @edozumba5339
    @edozumba5339 Месяц назад +2

    UZURI WA TANZANIA KICK NI SIKU 5 TU KWAHIYO HATA HILI KWA YANGA INSHA'ALLAH LITAPITA

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 Месяц назад +1

    Namkubali mzee said

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад +5

    Mzee said nimekuelewa sana Hadi mpinzani ameona kua Injinia Hersi Said ni mtu Muhim sana

  • @kefangendwa3336
    @kefangendwa3336 Месяц назад +8

    Mzee hadi mrusi😂😂

  • @Shadia544
    @Shadia544 Месяц назад +73

    Jamaniii jamaniii jamaniii 😂nilikuwa namsubili mzee saidi jamaniii chagamba na mzee saidi 😂😂😂LIKE 10 kama na wewe tunamsubili mzee saidi 😂😂😂😊

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Месяц назад +1

    Yaani nimemtafuta mzee said,mpaka nilikosa Raha hu nimefurahi kumuona😂😂

  • @KizingiliRamadhani-gh5gq
    @KizingiliRamadhani-gh5gq Месяц назад +1

    Daaa mzee saidi hua unanifuriisha xana

  • @alfredymalata269
    @alfredymalata269 Месяц назад +2

    Magoma kaulizwa kuwa anatambua nani ndio kiongozi wa Yanga kajibu Hersi, kaulizwa kivipi unamtambua Hersi wakati kawekwa na katiba ambayo Unasema huitambui, Mwamba kakata Simu😂😂

  • @LinusSirayo
    @LinusSirayo Месяц назад +4

    Chagambaaa nilikuwa nasubir sana mzee saidiii😅😅😅😅😅

  • @DullahMapesa
    @DullahMapesa Месяц назад +6

    Mzee Ibrahim ajibu alifanyaje alitoka wapi akaenda wapi😅😅

  • @user-rr9kv1cu7m
    @user-rr9kv1cu7m Месяц назад

    Mzee said husifurahie sana yanga kuvurugwa, haya ndo maisha ya yanga na simba,leo linawaka yanga kesho linawaka simba.

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Месяц назад +4

    Safii sana mzee saidy 😂😂😂😂 mbn pagumu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 Месяц назад +1

    Aisee nilimmis sana mzee saidi chagamba safiiiiii

  • @officialbenzanboy
    @officialbenzanboy Месяц назад +4

    Chagamba huyu Mzee saidi usimuweke mbali anachangamsha sana nganga shene😂😂😂😂

  • @zainaburamadhani1444
    @zainaburamadhani1444 Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂chagamba mwambie mzee saiid tukutane tareh 9/8 baada ya matokeo mana naona anafurahia magoma kuleta vurugu

  • @ReginaSungura
    @ReginaSungura Месяц назад +13

    Mzeee wetu wanguvu alituaidi 🐐 koleo tuandae meno 2🎉🎉😂

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 Месяц назад +1

    ila mzee said bana amemsahau Emmanuel Okwi😅😅😅😅😅😅😅

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 Месяц назад +3

    kama umecheka kabla uja msikilisa mzee sadi gonga like hapo 😂😂😂

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 Месяц назад +1

    Jamni nimecheka apo kwenye kutupiwa viazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @andrewwilly-bu1wi
    @andrewwilly-bu1wi Месяц назад +2

    Mzee wangu wa faida😂

  • @izdorythadeo4636
    @izdorythadeo4636 Месяц назад +1

    Sina hata haja ya kuwasikiliza wachambuzi huhyu mzee said 🎉🎉 mauwa yake

  • @arondotto
    @arondotto Месяц назад +1

    Mzee masatu unanikosha sana mengi kupigwana na viazi nimecheka sana hongela Mzee wangu heshimayako

  • @hossanamwakasita
    @hossanamwakasita Месяц назад +5

    Mzee saidi yanga day tunakutambulisha maana unatupa sifa za ukweli your welcome mzee
    Jiandae yanga day unatambulishwa

  • @franktarimo271
    @franktarimo271 Месяц назад +1

    Mzee said uko vizuri sana tunakukubaliiii

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 Месяц назад +1

    Yanga Asili na Yanga Kampuni. Siyo Yanga Asili na Yanga Original. Asili na Original Zina maana Moja.🤣🤣🤣🤣

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho Месяц назад +1

    Mzee wa soccer anayeweza kuongea ukweli na uhalisia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉. Mzee Saidy ishi miaka mingi sana maana huna mambo ya kona kona.

  • @emmaaugustine5606
    @emmaaugustine5606 Месяц назад +2

    Mzee magoma anataka ofis ya Ally Kamwe sasa hapo ndo utaskia kazn kwa ally kuna kaz na kazi ya mzee magoma ana taka kazi ally kamwe atarudi tandare kwa tumbo 😂😂 muda si mrefu
    Mzee saidi kwamba CHAMA anamsalimia mzee MPIRI shikamoo babu 😂😂 hii kali sana..

    • @ashabakari1448
      @ashabakari1448 Месяц назад +1

      Anafanya interview hko global anasema hersi, Simon na ally hawataki ni simba

    • @emmaaugustine5606
      @emmaaugustine5606 Месяц назад +1

      @@ashabakari1448 Ahahaha huyu mzee ni hatari anatak time awe rais yey

    • @emmaaugustine5606
      @emmaaugustine5606 Месяц назад +1

      @@ashabakari1448 huyu mzee ni hatari na tishio sana anatak nafas pale yanga anasema hawatambui engineer heris kapita kwa kifungo ngan cha sheri na anasema waljpokuw kwny mkutano mkuu wakasoma katiba baade walipomaliza mkutano engineer na watu wakaenda kubadilisha vifungu vya katiba na wakaipeleka Tff kwny kupitishwa bila kurudishwa kwa wana chama na anadai engineer alikuchaguliwa na wanachama akupgiwa kula kuna wajumbe wachache ndo walimpitisha ahahahah anaona kuna ulaji wamemnyima yeye mzee wa watu....anatak timu ya wazee ile anaona wachache wananufaika wengi wanakosa pesa

  • @charlesmtamala4912
    @charlesmtamala4912 Месяц назад +1

    dah huyu mzee saidi interview zake hazichoshi kuzitazama😊😊😊😊😊😊

  • @nassorabdul6703
    @nassorabdul6703 Месяц назад +12

    Mm ni Simba dam❤ ....ila sipendi migogoro ana affect mpira wetu,,, Kwan hao wazee hata wakiachiw Tim Hawana uwezo kulipa hata mchezaji mmoja.....

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Месяц назад +7

    😂😂😂mzee said unaijua yanga kuliko sis tunavyojijua daima mbele nyuma mwiko hersi tunae na tunatamba nae na chamaatacheza na mtafungwa taree 8 ila nimecheka kama vile siumii Kwa hik kinachoendelea kwenye tim angu

  • @sikatendedidas7255
    @sikatendedidas7255 Месяц назад +1

    😂😂😂😂 sinachasema mzee saidi duh

  • @ChumaBoy-v6c
    @ChumaBoy-v6c Месяц назад +4

    Mwambie mzee saidi anitafute nita mnunulia hizo jersey za SIMBA na nauli ya SIMBA DAY

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Месяц назад +1

    Mzee SAIDI mtaalam sana maashaAllah

  • @user-cw8yt9pr8j
    @user-cw8yt9pr8j Месяц назад +2

    😂😂😂 ww mze uwishi miyaka mingi nime jikuta nashindwa kujizuia nacheka 🎉🎉😅😅

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b Месяц назад +14

    Chagamba anazingua sanaaa yan. Unamalza wiki haujaenda kumtembelea mzee said 😅😅😅😅😅

  • @JumaMasalu-dm5nu
    @JumaMasalu-dm5nu Месяц назад +2

    Ila huyu mzee❤❤❤❤

  • @isackjeremiahabarimkuu7212
    @isackjeremiahabarimkuu7212 Месяц назад +1

    Huyo Mzee ataomba mwenye ulinzi Kwa masikari

  • @Abdul-zg7ci
    @Abdul-zg7ci Месяц назад +3

    Namkubali sana huyu mzee Allah akujalie kher na baraka tele

  • @saidamour4791
    @saidamour4791 Месяц назад +6

    Mwambie mzee saidi asikope anitafute nitamlipia jezi 1

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +1

    BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ndomtajua lile neno ubaya ubwela😅😅

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 Месяц назад +5

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jaman huyu mzee apewe tuzo ya kuongeza maisha kwamashabiki wa Simba😅😅 Chagambaaaaaa usiwe unakaa siku3 bila kumuhoji huyu mzee plz😅😅

  • @CheerfulDrumKit-du7qk
    @CheerfulDrumKit-du7qk 12 дней назад

    Hili zee zee KWELI tena lileeeeee la kihistoria

  • @user-rr9kv1cu7m
    @user-rr9kv1cu7m Месяц назад

    Hapo mzee Said umesema kweli,hawawezi kuiongaza Club,wataishia kuiharibu tu,na ndo wanachotafuta. Ila hawataweza kuiharibu Yanga kwa jina la yesu

  • @zainabumlozi2764
    @zainabumlozi2764 Месяц назад +4

    Kumbuka wanakes ya jinai ya kugushi sahihi za watu.!

  • @mamuumamuu7743
    @mamuumamuu7743 Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂mola mueke huyu mzee kwa ajili ya furahaa

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w Месяц назад +1

    Ulituhaidi mbuzi pa Omar job akiondoka tunataka mbuzi wetu tule supu mzee saidi ahadi ni deni

  • @IssamarusuIssa
    @IssamarusuIssa Месяц назад +2

    Mzee said umesahau ajibu alitoka Simba akaja yanga ila akarud kwenu Simba au sio Simba yenu😂😂😂 nakukubali ila chagamba nahis kasau angekumbuka angekuambia sema nn umetshutua tutatulia kabla ya tareh ya nane 😅😅

  • @kefangendwa3336
    @kefangendwa3336 Месяц назад +5

    Mtangazaji wa yanga🎉🎉🎉😂

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 Месяц назад +2

      😂😂😂😂Mzee Said bana

  • @imanimwampagama8390
    @imanimwampagama8390 Месяц назад +1

    Hapo mzee said Tukukumbushe tu ajibu, okwi, kaseja wote walitoka Simba kwenda Yanga na wakarudi Tena Simba kuchukua mafao

  • @mwanaidimtengo8151
    @mwanaidimtengo8151 Месяц назад +1

    Mzee Saidi tarehe 8 unafumuliwa,utamnunia Chagamba akija kwenye Interview,Hahahaaaaaaaaaa

  • @saidjumanne7029
    @saidjumanne7029 Месяц назад +1

    Ivi kile Kioo pale nyuma si kipo mbali 😅kisije kumchoma wajina

  • @marthastephen6600
    @marthastephen6600 Месяц назад +1

    Lakin mzee Said mbona na nyie mlimchukua morrison na niyonzima kipind sis tunajitafuta iweje nyie mseme sisi tumewadhulumu chama

  • @jumannemwakalinga2586
    @jumannemwakalinga2586 Месяц назад +2

    Mzee Saidi leo umepwaya sana, unasema vitu usivyovijibu.

  • @ashrafchande869
    @ashrafchande869 Месяц назад +1

    Mzee amewageuka wazee😅😊😅 chukuw maua yak🎉🎉

  • @rashadymuhamad6293
    @rashadymuhamad6293 Месяц назад +2

    Ah! Mzee Saidi na hizo unazo hizoo? Nasikia He heeee! Haloooo!!! Ah! Wee kiboko aisee.

  • @zakariazakaria3853
    @zakariazakaria3853 Месяц назад +3

    Chagamba hicho kioo na huo upara wa Mzee Said ni hatari sana

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Месяц назад +3

    mzee said utasubili sana magoma asumbui watu haki yake kusikilizwa mahakamani lakini si kusikizwa upande mmoja

  • @HusseinIdrissa-ed6tl
    @HusseinIdrissa-ed6tl Месяц назад +3

    Yes mzee said

  • @JelemiaPanja
    @JelemiaPanja Месяц назад +2

    Uko sawa mze said

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Месяц назад +3

    mzee said magoma ana hata kadi kadi aliyonayo ya mwaka 1990 wakati katiba ya mwaka 90 aipo tena

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 Месяц назад +1

    Huyo pimbi hata family yake hawezi kuendesha sembuse team kubwa kama yanga hohohohoho huyo katumwa tu kuiyumbisha yanga kama mayele na asipo kuwa makin mwisho wake utakuwa mbaya sana maana anagusa wananchi wenye team yao itamgharim pimbi mmoja hawez kutusumbua vichwa,mzee saidi eris kachaguliwa hajajiweka pili hao watu wapo watatu sasa ktk wanachama elfu 80 hao pimbi watatu wao ndio wametumwa kuleta ukuda wote huo”pili hawa wakuda sio wanachama halali wa yanga niwafawizi tu hohohohoho

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад +2

    Mzee said upo sahihi hao wazee ni wawili tu. Tena sio wanachama hai.

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla Месяц назад +2

    ukiwekwa uchaguzi wamchaguwe mzee mpili wamuweke awe kiongozi

  • @edsonmalcel4478
    @edsonmalcel4478 Месяц назад +2

    Leo mzeee hapo umeupigaaa mwingii

  • @user-mq4yq6rw1w
    @user-mq4yq6rw1w Месяц назад +2

    Mzee said hawatoki hao.

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 Месяц назад +2

    Ajibu alitoka wap akaenda yanga na katika yanga akaenda wap 😂😂😂😂

  • @BrackPetharm
    @BrackPetharm Месяц назад +2

    Kule juma magoma huku mangungu patamu hapo😂😂😂😂😂

  • @Fundirichie
    @Fundirichie Месяц назад +2

    Leo nimechelewa kumusikiliza Mzee wangu.

  • @yahayabakari9387
    @yahayabakari9387 Месяц назад

    Relax thrn rough😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 mxee side 😂

  • @yanquefaustinodaipo8878
    @yanquefaustinodaipo8878 Месяц назад +2

    Chagamba uyo mze Saidi kwanzia sasa aitwe Debora .

  • @alisharif570
    @alisharif570 Месяц назад

    Hahhhhhhhhhhaaaaaaaaaa we mzeee saidi wee

  • @mczoo-g4t
    @mczoo-g4t Месяц назад +2

    😂😂😂😂😂 mzeeee said😂😂😂

  • @YusuphTabibu-jy4re
    @YusuphTabibu-jy4re Месяц назад +2

    Mzee said tuna injoi kwakwel

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 Месяц назад +3

    Mzee Saidi injinia awezi chomoka iyo ishinayo

  • @SophiaManeno-hc8hl
    @SophiaManeno-hc8hl Месяц назад

    Chagamba utuambiage mzee said unamuhoji lini na lin tujue 😂😂😂

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад +3

    Hivi mzee anajua kwa nini wale walienda mahakamani???anajua waligudushi sahhi ( kesi ya jina,) wele watafukuzwa yanga,harudi hata mmoja pale

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 Месяц назад +1

      Lazima watafute pakushabikia sio Yanga tena

  • @jumannemohamedy1456
    @jumannemohamedy1456 Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd Месяц назад +7

    Yani juma magoma apewe team aiongoze😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-cb1cq3wh2k
    @user-cb1cq3wh2k Месяц назад +3

    Mzee said nakubali

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Месяц назад

    😂😂😂 Bongo Rahaa Sana hii sheria za kukumbilia kisutu bs ata washabiki wa smba waende 😂ili wapate viongoz wapnguze makelele😂😂😂

  • @hamisimtupa7327
    @hamisimtupa7327 Месяц назад +3

    Ila hao wazee usije kuwaombea msamaha wana kesi ya jinai wamefoji saini za watu hao