Mzee Said mashallah unajua sana .ila huyu magoma msenge katumwa kuangusha bei za jezi zetu hatu babaiki tunashusha uzi wa ukweli utizame jumamosi anakufa mjerumani
Huyu mzee saidi Ana elewa sana na ukimfatilia interview zake Zina maana sana , huyu na miraji nawakubali sana wananyoosha hivi vilabu visiwe na ubabaifu, nakuelewa sana mzee saidi
Uyo Mzee magoma Hana point,mapato ya club yamesomwa juzi TU na budget yote,yule wanamfunga maana amegushi Saini za watu ndio maana alibaki nayo hukumu yake
Hawa watu wasio na elimu ndo wanaozichelewesha hizi timu na shida kubwa wanaamini hizi timu ni sehemu ya vyanzo vya kupata vijisenti wakati ukweli ni kwamba timu ikupe furaha na burudani baasi wewe kama mwanachama ama shabiki ndo uichangie timu yako kwa namna rasmi.....Mzee Said unajichanganya issue ya sio idadi ya watu kuhudhulia mkutano issue ni haki na uwakilishi wenye mantiki kitu ambacho katiba ya timu imeelekeza vizuri na sio suala la maamuzi ya watu ni misingi ya haki ya kisheria. Hao wanachama 95 wanahaki sawa na wale 5 ila hao 5 wanaingia kwenye mkutano mkuu kwa kuchaguliwa miongoni mwa wanachama 100 kwasababu sio rahisi kuwa na mkutano wa wanachama wote nchi nzima. Hebu fikiria watanzania wote kipindi cha bunge wawe wanahamia Dodoma kuhudhuria bunge hali itakuaje?. Huna shule basi tumia akili ya kuzaliwa ama busara ili uweze kuishi. Acheni chokochoko mpira wetu ukuwe.
mzee said samahani vilabu vyetu haviendeshwi na wanachama bali wafadhili wanachama wako kwa ajili ya ku saport na kupata furaha kiasi tunachochangia akitoshi hata kusajili timu
Chagamba usije ukamuacha huyu mzee bhana,huyu ndiye anajua maswala ya mpira haongei kwa Mihemko. Mm ni Yanga lakini mzee Said anachoongea simpingi 🎉🎉🎉🎉🎉
Unajua timu inapotokea chini na mnataka kwenda juu lazima mkubali kudhulumiwa baadh ya vitu ila yanga itakapo fikia ukubwa ule bas kila kitu kitakua sawa
Lakin Mzee Said Yanga wametoa mapato na matumizi yao bila kificho. Lakin kuhusu hoja ya idadi ya jezi zinaozouzwa hilo ni jambo la kiutendaji. Ndo maana wamepata hesabu na kuiingiza kwenye vitabu vya Yanga. Kimsingi hana hoja
Hana lolote huyu mzee kuhusu mapato Mkutano umeeleza kila kitu mauzo ya jezi yamewekwa wazi, pesa za wadhamini ziliwekwa wazi, mapato ya mlangoni yakiwekwa wazi, kila kitu na matumizi kambi mishahara, na safari vyote vimewekwa wazi yeye anaongea wapi mkutanoni hakuja wa juzi maana siyo mwanachama mnamtetea nyie kolokwinyo fc ndo mnamuunga mkono kweli nyani haoni KUNDULAKE MZEE KILOMONI ALIONGEA VIZURI KUHUSU MWEKEZAJI MO NI MZEE WA SIMBA KACHEZA SIMBA SASA HUYO MAGOMA KACHEZA WAPI NAMBA NGAPI AFADHALI HATA KILOMONI UKIMWITA MZEE WA SIMBA NI SAWA SIYO MAGOMA KENGE TU HANA HISTORY NA YANGA MZEE MSUMI ANA KADI 9 TOKA MWAKA 1964.
Huyu jamaa anaye Hana akili kumuhoji huyu mwehu, nyote wapumbavu, wakati kitwana.sunday kassim, tunacheza, yanga nilikuwa simjui hanijui na hajatokea mtu yoyote aliye kuwa rafiki yangu, anaye itwa magoma, kwanza muongo haji hamjui Mimi hanijui Sunday hamjui kitwana pia hamjui Leo ANATOKEA mpumbavu MMOJA Hana rafiki yoyote katika familia ya manara, kutafuta umaarufu tu kapitia utambulisho WA kuwadanganya watu tu, kama kweli yeye ni yanga Toka mwaka1968. akitaje kikosi cha yanga kilicho mfunga sundalend sc.goli 5 0 kisha pia ataje kikosi cha sundeland sc aache uongo
Chagamba uwe unamuhoji Mala Nyingi huyu Mzee Said anaongea point Saana 🔥🔥🔥
Mzee said ni tofauti na mzee msatu kweli
Said masatu na masatu ni kaka yake hao ni ndugu
Sawa lakini mzee saidi anaongea pointi lakina mzee masatu ameegemea simba tu
Mzee mwangu miaka 💯 yn nkiwaga na stress nkikusikilza tu stress shila asant kwa kujua kunifrahisha❤❤❤❤
Mzee said. Nakubali sana maujiano yko na chagamba
Duhh aisee hatari sana vijana wanauliza nyumbani kwake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee anataka kutoa thank you kwa gsm😂😂😂😂😂
😂😂😂 Magoma kitakita Mzee Said unavunja mbavu
Mzee Said mashallah unajua sana .ila huyu magoma msenge katumwa kuangusha bei za jezi zetu hatu babaiki tunashusha uzi wa ukweli utizame jumamosi anakufa mjerumani
Yanga wakishusha jezi zao mzee magoma shush t shert zako za bichwa lako hilo umevaa kibaraghashia utapiga hela tembelea upepo huo huo magoma
@@user-fg8hg9fe1w 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣watampiga huyu mzee na wenzeake watampachika majipu yasio kwisha kuna vita za wazee ni vikali sana
Magoma zama kale za kusema sababu wewe ni mkongwe kusema uwe unafaidika na hela za timu yalishapitwa na wakati pambana na hali yako
Mzeeee said bnaaaa upunguzee masiharaaa bnaa unatuvunjaa mbavuuu
Sio Burundi tu Adi Congo magoma katubowa
Huyu mzee saidi Ana elewa sana na ukimfatilia interview zake Zina maana sana , huyu na miraji nawakubali sana wananyoosha hivi vilabu visiwe na ubabaifu, nakuelewa sana mzee saidi
Uyo Mzee magoma Hana point,mapato ya club yamesomwa juzi TU na budget yote,yule wanamfunga maana amegushi Saini za watu ndio maana alibaki nayo hukumu yake
Aligushi hadi Kuma la mama yako, magoma ni noooma!!
uyu mzee said mungu amuwe sena uwa ana nifurahisha sana
hahahahaha mzee said unafurahsha sanasana
Mzee side namkubali sana
Hao ni yanga😊😊😊
Ana kadi za KLINIKI HUYO SIYO MWANACHAMA KADI HULIPII ADA HUNA KITU NI BOYA TU
Napenda sana mzee Said kwakweli
Mapato na matumizi yanasomwa.....! Sema mzee anataka awe anapewa fedha kwa kigezo cha uzee! Haiwezekani team iwe inalipa watu ambao hawafanyi kazi.
Yani huyu Mzee amezoea kulelewa na yanga Sasa injinia kafunga njia za kula Sasa alilia mze
Wananiita monica😂
Nakukubali ww sanaaa
MSIPOANGALIA SIMBA TAREHE 8 FURAHA YENU IATAKUWA TAAAABU.
Kwani ww mungu au mtabili wa hari ya hewa tupishe tuache na Simba yetu nyau ww mpuhuzi mjinga wee😅😅😅😅😅😅😅😅 hunateseka my wetu utoporo
Chagamba ww ñi Yanga mtupu SEMA unazuga Tuu 🤣
Ally ni yangaaaaàaa
Hawa watu wasio na elimu ndo wanaozichelewesha hizi timu na shida kubwa wanaamini hizi timu ni sehemu ya vyanzo vya kupata vijisenti wakati ukweli ni kwamba timu ikupe furaha na burudani baasi wewe kama mwanachama ama shabiki ndo uichangie timu yako kwa namna rasmi.....Mzee Said unajichanganya issue ya sio idadi ya watu kuhudhulia mkutano issue ni haki na uwakilishi wenye mantiki kitu ambacho katiba ya timu imeelekeza vizuri na sio suala la maamuzi ya watu ni misingi ya haki ya kisheria. Hao wanachama 95 wanahaki sawa na wale 5 ila hao 5 wanaingia kwenye mkutano mkuu kwa kuchaguliwa miongoni mwa wanachama 100 kwasababu sio rahisi kuwa na mkutano wa wanachama wote nchi nzima. Hebu fikiria watanzania wote kipindi cha bunge wawe wanahamia Dodoma kuhudhuria bunge hali itakuaje?. Huna shule basi tumia akili ya kuzaliwa ama busara ili uweze kuishi. Acheni chokochoko mpira wetu ukuwe.
Huyu Mzee anafurahisha Sana ni comed tosha
Mzee magoma🤣🤣🤣
😂😂😂mzee said nawaambia ukweli hiki kipindi ni chenu fanyeni kila kitu taree 8 sio mbali walai nyie jadilini magoma madisco mtakoma sisi ndo yanga
😂😂😂tuwangoje tuu
Simba hii ifungwe na nani mbona mnakalili
@@adrianorayner6551 na prison na kagera ila makolo akili zenu mnazijuaga wenyew
😂😂😂😂😂ila mzee said 🔥🔥🔥
Mbona we mzee Saidoo ulimdhihaki sana mpaka katolewa 😂 acha hizo bhana
We mzee Saidi acha woga
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂chagambaaaa usichoke kutuletea huyu mzee side bhana
Chagambaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Magoma kajichanganya 😅😅😅😅😂😂😂
magoma ana kitu asikilizwe kuna siku watu wata mkumbukw
Yaaaaaaan iko hivi hao watano wanaokwenda kwenye mkutano mkuu wanaokwenda na maoni ya tawi zima
Baba uko viziri ila mzee magoma ajitambue furaha yetu ni uo gozi wa injinia ache ufala
Safi babu
Huyo magoma ukimchunguza zaidi hata kadi yake haijalipiwa mda mrefu tatizo njaatu
Yani uskilize Mzee Saidi badalaa ukasirike wachekaa😂😂😂 Ila Mzee Saidi 😂😂😂
😅😅😅Kwenye kidishaaa!!!! Mzee Side bhanaa
Mzee saidi unaongea ukweli
Mm naona bora simba na yanga zife2 maana sielewi kabisa lig yetu ipoje kwaajili ya simba na yanga.
Apana Mzee said Ali kamwe ni nyuma mwiko dam
Jamani mm Leo wapil ❤❤
Said nipe namba yako acha mane Mimi manyota katoro geiita
Wewe Mzee Said Utaisema Yanga Kwa Wema Bwana?😛😛😛😛
Mapato na matumizi yanasomwa kwenye mkutano mkuu na ndio siku next budget inasomwa na kila kitu kina wekwa wazi mkorofi wake tu
Kwani yanga hawatoi mapato na matumizi??
Babu jinga lile
😂😂 magoma wa simba😂😂
Mzee Said 🤣🤣🤣Uyo Mzee Magoma atanyamaza tu huyo
Mzee akili nyingi nataman nikutane naye
Ila mzee saidi na wewe muongo sana, mapato na matumizi Yanga walisoma mkutano mkuu na zikikaguliwa na CAG, Na magoma hakuwa na hoja hiyo😅😅😅😅
mzee said samahani vilabu vyetu haviendeshwi na wanachama bali wafadhili wanachama wako kwa ajili ya ku saport na kupata furaha kiasi tunachochangia akitoshi hata kusajili timu
Mzee Said anakubal kama ali kamwe simba ajue kuwa Ahmed ali pia ni yanga kindakindaki na pcha zipo tena za ukubwani kabsa akitaka ataoneshwa
Mzee said Ali kamwe ni yanga magoma kayakayaga😂😂😂😂😂
Chagamba usije ukamuacha huyu mzee bhana,huyu ndiye anajua maswala ya mpira haongei kwa Mihemko. Mm ni Yanga lakini mzee Said anachoongea simpingi 🎉🎉🎉🎉🎉
Magoma kitakita......😂💔
Juwata msondo ngoma mtindo magoma kitakita79hiyo
Mzee Said babu kavurugwa😅😅😅
subiri goli saba, tano haziwatoshi, halafu tutakuuliza haji na Ally ni yanga au simba.
ivi nyiynyi mashabiki wa yanga mnajielewa maada nyingine wew umeng'ang'nia magoli bwege wew
Atakuwje nahoja wakati magoma sio mwanachama wa yanga
Aya weweeee😂
Kitakita aleta balaaaah
Mshenz uyo auwawe tu
MZEE SAIDI HIYO MAGOMA KITA KITA NI MTINDO WA BENDI YA JUWATA MSONDO NGOMA. MTINDO ULIKUA MAGOMA KITA KITA. 😅
Wanataka kujua anapoishi labda wanataka kwenda kumuoa❤❤❤😂😂
Unajua timu inapotokea chini na mnataka kwenda juu lazima mkubali kudhulumiwa baadh ya vitu ila yanga itakapo fikia ukubwa ule bas kila kitu kitakua sawa
Tena tulitarajia furaha ingezidi zaidi mwaka huu Lkn mpuuzi mmoja katia doa furaha yetu
Uyo mzee atakufa mda simrefu
Kwelii kabisaa maaaan kazingua sana
Ataje tu anakaa wap huyo mzee
Mzee Saidy bhn na enjoy 😂😂😂😂 ni kiwa Cape Town
Kumbukeni furaha yenu yakutolewa na mamelod na tuliporudi tukakutana,,mama kmyaaa,,endeleen😂😂
😅😅😅😅 mzee saidi
Kwa upande wa mapato na matumizi hapo mzee said umedanganya kila mwaka zinasomwa Magoma njaa njaa tu
Hii dunia ya I.T wazee kaa pembeni...vijana walete mafanikio ya mpira...
Umeongea point hat tukifngwa tutulie timu tunayo nzur
Chagamba Mzee Said anajua.mm ni yanga damu damu .ni kweli Simba kwatazamo wa wachezaji wanaonekana wana kitu.pia nitafurahi ligi itakua na utamu .
😂😂😂😂Mzee saidi maana anafurahi sana kuona yanga inapata misukosuko 😂😂😂Mzee saidi haya bhana magoma 😂😂
Shadia tayari umeshafika 😂😂😂 kiboko kabisa
@@SadatiRajabu nishafika kipenzi changu 🤣🤣🤣🤣
Lakin Mzee Said Yanga wametoa mapato na matumizi yao bila kificho. Lakin kuhusu hoja ya idadi ya jezi zinaozouzwa hilo ni jambo la kiutendaji. Ndo maana wamepata hesabu na kuiingiza kwenye vitabu vya Yanga. Kimsingi hana hoja
Wanachama milion 30 kuna ukumbi gani unaingz wat milion?
haahaaa wenye MONICA Mje jaman😅
Yule mzee ana hoja hawa wahuni hawana hoja wanalopokatu
Mzeee fala kweli huyu uwe unamhoji kila siku
Mzee said kafurahi sana 😅😅😅
Marquez du zaire magoma kitakita😂😂
Said tuangarie tunneku nafasi kubwa kaa nakuni
Sasa Mzee Said ww mtoto??😅😅😅
Huyu mzee mtu sana yani.Unamwaga closs
Hana lolote huyu mzee kuhusu mapato Mkutano umeeleza kila kitu mauzo ya jezi yamewekwa wazi, pesa za wadhamini ziliwekwa wazi, mapato ya mlangoni yakiwekwa wazi, kila kitu na matumizi kambi mishahara, na safari vyote vimewekwa wazi yeye anaongea wapi mkutanoni hakuja wa juzi maana siyo mwanachama mnamtetea nyie kolokwinyo fc ndo mnamuunga mkono kweli nyani haoni KUNDULAKE MZEE KILOMONI ALIONGEA VIZURI KUHUSU MWEKEZAJI MO NI MZEE WA SIMBA KACHEZA SIMBA SASA HUYO MAGOMA KACHEZA WAPI NAMBA NGAPI AFADHALI HATA KILOMONI UKIMWITA MZEE WA SIMBA NI SAWA SIYO MAGOMA KENGE TU HANA HISTORY NA YANGA MZEE MSUMI ANA KADI 9 TOKA MWAKA 1964.
Huyu jamaa anaye Hana akili kumuhoji huyu mwehu, nyote wapumbavu, wakati kitwana.sunday kassim, tunacheza, yanga nilikuwa simjui hanijui na hajatokea mtu yoyote aliye kuwa rafiki yangu, anaye itwa magoma, kwanza muongo haji hamjui Mimi hanijui Sunday hamjui kitwana pia hamjui Leo ANATOKEA mpumbavu MMOJA Hana rafiki yoyote katika familia ya manara, kutafuta umaarufu tu kapitia utambulisho WA kuwadanganya watu tu, kama kweli yeye ni yanga Toka mwaka1968. akitaje kikosi cha yanga kilicho mfunga sundalend sc.goli 5 0 kisha pia ataje kikosi cha sundeland sc aache uongo
Kuma la mama yako unadhani kukariri kikosi kilichoifunga Sunderland ndo mwanachama halisi, hata mtu wa Simba anaweza kutaja hicho kikosi
Hahahahaaaaaaa magoma huyu n hatar
Watakutafuta kizungu😅😅
Hata Wabunge Wanawawakilisha Wananchi Wao. Bungeni Hatuwezi Kwendaa Wote. 68 Imeshapita Hii Ni 2024.
Uyo kagoma Nina amulu akaamie bulundi
Ali Kamwe ni Yanga lia lia sana Magoma hajui vzrAli Kamwe
Nahisi anamtaja privadinho ndo inasemekana ni Simba
BED LUCK😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzeee Said nitumie number zako nikutumie pesa, ili usikose kwenye mechi hio, please Chagamba mzee wagu asikose kwenye mech hio
Huyu mbumbumbu anafurahisha kijiwe tu
Lugha chafu haisaidii.Mzee anatoa tu hoja zake.
Yanga mbona wao atumsemi Engel wao