MZEE SAID | VIJANA WA HOVYO WANAULIZIA KWA MAGOMA NI WAPI | MIMI NA WATU WA SIMBA TUNA LUGHA TOFAUTI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 192

  • @MichaelMwambango
    @MichaelMwambango Месяц назад +17

    Chagamba uwe unamuhoji Mala Nyingi huyu Mzee Said anaongea point Saana 🔥🔥🔥

  • @user-tc7fh1mv8f
    @user-tc7fh1mv8f Месяц назад +11

    Mzee said ni tofauti na mzee msatu kweli

    • @victorernest7702
      @victorernest7702 Месяц назад

      Said masatu na masatu ni kaka yake hao ni ndugu

    • @user-tc7fh1mv8f
      @user-tc7fh1mv8f Месяц назад

      Sawa lakini mzee saidi anaongea pointi lakina mzee masatu ameegemea simba tu

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Месяц назад +3

    Mzee mwangu miaka 💯 yn nkiwaga na stress nkikusikilza tu stress shila asant kwa kujua kunifrahisha❤❤❤❤

  • @BenjaminMwakigomba
    @BenjaminMwakigomba Месяц назад +4

    Mzee said. Nakubali sana maujiano yko na chagamba

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 Месяц назад +16

    Duhh aisee hatari sana vijana wanauliza nyumbani kwake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @DM_15
    @DM_15 Месяц назад +3

    Mzee anataka kutoa thank you kwa gsm😂😂😂😂😂

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 Месяц назад +4

    😂😂😂 Magoma kitakita Mzee Said unavunja mbavu

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Месяц назад +2

    Mzee Said mashallah unajua sana .ila huyu magoma msenge katumwa kuangusha bei za jezi zetu hatu babaiki tunashusha uzi wa ukweli utizame jumamosi anakufa mjerumani

    • @user-fg8hg9fe1w
      @user-fg8hg9fe1w Месяц назад

      Yanga wakishusha jezi zao mzee magoma shush t shert zako za bichwa lako hilo umevaa kibaraghashia utapiga hela tembelea upepo huo huo magoma

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 Месяц назад

      @@user-fg8hg9fe1w 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣watampiga huyu mzee na wenzeake watampachika majipu yasio kwisha kuna vita za wazee ni vikali sana

  • @allydaud612
    @allydaud612 Месяц назад +24

    Magoma zama kale za kusema sababu wewe ni mkongwe kusema uwe unafaidika na hela za timu yalishapitwa na wakati pambana na hali yako

  • @hbizoclassic4142
    @hbizoclassic4142 Месяц назад +7

    Mzeeee said bnaaaa upunguzee masiharaaa bnaa unatuvunjaa mbavuuu

  • @andrematubiko1167
    @andrematubiko1167 Месяц назад +2

    Sio Burundi tu Adi Congo magoma katubowa

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w Месяц назад

    Huyu mzee saidi Ana elewa sana na ukimfatilia interview zake Zina maana sana , huyu na miraji nawakubali sana wananyoosha hivi vilabu visiwe na ubabaifu, nakuelewa sana mzee saidi

  • @Ibrahimlundenga
    @Ibrahimlundenga Месяц назад +2

    Uyo Mzee magoma Hana point,mapato ya club yamesomwa juzi TU na budget yote,yule wanamfunga maana amegushi Saini za watu ndio maana alibaki nayo hukumu yake

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 Месяц назад

      Aligushi hadi Kuma la mama yako, magoma ni noooma!!

  • @user-tz3rc8dx2j
    @user-tz3rc8dx2j Месяц назад

    uyu mzee said mungu amuwe sena uwa ana nifurahisha sana

  • @AchileusNshekanabo
    @AchileusNshekanabo Месяц назад +2

    hahahahaha mzee said unafurahsha sanasana

  • @salumtiba2339
    @salumtiba2339 Месяц назад

    Mzee side namkubali sana

  • @juma6253
    @juma6253 Месяц назад +2

    Hao ni yanga😊😊😊

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Месяц назад +1

    Ana kadi za KLINIKI HUYO SIYO MWANACHAMA KADI HULIPII ADA HUNA KITU NI BOYA TU

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Месяц назад

    Napenda sana mzee Said kwakweli

  • @ephesongailo8564
    @ephesongailo8564 Месяц назад +2

    Mapato na matumizi yanasomwa.....! Sema mzee anataka awe anapewa fedha kwa kigezo cha uzee! Haiwezekani team iwe inalipa watu ambao hawafanyi kazi.

    • @enockjlory1814
      @enockjlory1814 Месяц назад

      Yani huyu Mzee amezoea kulelewa na yanga Sasa injinia kafunga njia za kula Sasa alilia mze

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 Месяц назад

    Wananiita monica😂

  • @twaibujuma5023
    @twaibujuma5023 Месяц назад

    Nakukubali ww sanaaa

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Месяц назад +7

    MSIPOANGALIA SIMBA TAREHE 8 FURAHA YENU IATAKUWA TAAAABU.

    • @ZubedaAlly-k9y
      @ZubedaAlly-k9y Месяц назад

      Kwani ww mungu au mtabili wa hari ya hewa tupishe tuache na Simba yetu nyau ww mpuhuzi mjinga wee😅😅😅😅😅😅😅😅 hunateseka my wetu utoporo

  • @taufiqis-haq536
    @taufiqis-haq536 Месяц назад +1

    Chagamba ww ñi Yanga mtupu SEMA unazuga Tuu 🤣

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama Месяц назад +1

    Ally ni yangaaaaàaa

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Месяц назад +1

    Hawa watu wasio na elimu ndo wanaozichelewesha hizi timu na shida kubwa wanaamini hizi timu ni sehemu ya vyanzo vya kupata vijisenti wakati ukweli ni kwamba timu ikupe furaha na burudani baasi wewe kama mwanachama ama shabiki ndo uichangie timu yako kwa namna rasmi.....Mzee Said unajichanganya issue ya sio idadi ya watu kuhudhulia mkutano issue ni haki na uwakilishi wenye mantiki kitu ambacho katiba ya timu imeelekeza vizuri na sio suala la maamuzi ya watu ni misingi ya haki ya kisheria. Hao wanachama 95 wanahaki sawa na wale 5 ila hao 5 wanaingia kwenye mkutano mkuu kwa kuchaguliwa miongoni mwa wanachama 100 kwasababu sio rahisi kuwa na mkutano wa wanachama wote nchi nzima. Hebu fikiria watanzania wote kipindi cha bunge wawe wanahamia Dodoma kuhudhuria bunge hali itakuaje?. Huna shule basi tumia akili ya kuzaliwa ama busara ili uweze kuishi. Acheni chokochoko mpira wetu ukuwe.

  • @nelsonbenitho8050
    @nelsonbenitho8050 Месяц назад

    Huyu Mzee anafurahisha Sana ni comed tosha

  • @officialbenzanboy
    @officialbenzanboy Месяц назад

    Mzee magoma🤣🤣🤣

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Месяц назад +2

    😂😂😂mzee said nawaambia ukweli hiki kipindi ni chenu fanyeni kila kitu taree 8 sio mbali walai nyie jadilini magoma madisco mtakoma sisi ndo yanga

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan Месяц назад

      😂😂😂tuwangoje tuu

    • @adrianorayner6551
      @adrianorayner6551 Месяц назад

      Simba hii ifungwe na nani mbona mnakalili

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan Месяц назад

      @@adrianorayner6551 na prison na kagera ila makolo akili zenu mnazijuaga wenyew

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b Месяц назад

    😂😂😂😂😂ila mzee said 🔥🔥🔥

  • @feisalmohamed2848
    @feisalmohamed2848 Месяц назад

    Mbona we mzee Saidoo ulimdhihaki sana mpaka katolewa 😂 acha hizo bhana

  • @user-wg2vl1rh4l
    @user-wg2vl1rh4l Месяц назад

    We mzee Saidi acha woga

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂chagambaaaa usichoke kutuletea huyu mzee side bhana
    Chagambaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf Месяц назад +1

    Magoma kajichanganya 😅😅😅😅😂😂😂

  • @user-wz5yo1sp3v
    @user-wz5yo1sp3v Месяц назад

    magoma ana kitu asikilizwe kuna siku watu wata mkumbukw

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 Месяц назад

    Yaaaaaaan iko hivi hao watano wanaokwenda kwenye mkutano mkuu wanaokwenda na maoni ya tawi zima

  • @philemonloy874
    @philemonloy874 Месяц назад +2

    Baba uko viziri ila mzee magoma ajitambue furaha yetu ni uo gozi wa injinia ache ufala

  • @salimkadenge3231
    @salimkadenge3231 Месяц назад

    Safi babu

  • @user-iz1dx3gs6d
    @user-iz1dx3gs6d Месяц назад +1

    Huyo magoma ukimchunguza zaidi hata kadi yake haijalipiwa mda mrefu tatizo njaatu

  • @user-hk6ms7vo1h
    @user-hk6ms7vo1h Месяц назад

    Yani uskilize Mzee Saidi badalaa ukasirike wachekaa😂😂😂 Ila Mzee Saidi 😂😂😂

  • @Alex-du6ru
    @Alex-du6ru Месяц назад

    😅😅😅Kwenye kidishaaa!!!! Mzee Side bhanaa

  • @JosephmoleliMoleli-iz5jt
    @JosephmoleliMoleli-iz5jt Месяц назад

    Mzee saidi unaongea ukweli

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Месяц назад

    Mm naona bora simba na yanga zife2 maana sielewi kabisa lig yetu ipoje kwaajili ya simba na yanga.

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Месяц назад +2

    Apana Mzee said Ali kamwe ni nyuma mwiko dam

  • @JumaRachide-kn2vx
    @JumaRachide-kn2vx Месяц назад

    Jamani mm Leo wapil ❤❤

  • @manyotanyanguleti2058
    @manyotanyanguleti2058 6 дней назад

    Said nipe namba yako acha mane Mimi manyota katoro geiita

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Месяц назад +1

    Wewe Mzee Said Utaisema Yanga Kwa Wema Bwana?😛😛😛😛

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 Месяц назад

    Mapato na matumizi yanasomwa kwenye mkutano mkuu na ndio siku next budget inasomwa na kila kitu kina wekwa wazi mkorofi wake tu

  • @ramadhanimpapalika7131
    @ramadhanimpapalika7131 Месяц назад

    Kwani yanga hawatoi mapato na matumizi??

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад +2

    Babu jinga lile

  • @user-zp3ek4cj5i
    @user-zp3ek4cj5i Месяц назад

    😂😂 magoma wa simba😂😂

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f Месяц назад

    Mzee Said 🤣🤣🤣Uyo Mzee Magoma atanyamaza tu huyo

  • @geraldndosi2083
    @geraldndosi2083 Месяц назад

    Mzee akili nyingi nataman nikutane naye

  • @yusuphsaidi4460
    @yusuphsaidi4460 Месяц назад

    Ila mzee saidi na wewe muongo sana, mapato na matumizi Yanga walisoma mkutano mkuu na zikikaguliwa na CAG, Na magoma hakuwa na hoja hiyo😅😅😅😅

  • @barnabasmalima4823
    @barnabasmalima4823 Месяц назад

    mzee said samahani vilabu vyetu haviendeshwi na wanachama bali wafadhili wanachama wako kwa ajili ya ku saport na kupata furaha kiasi tunachochangia akitoshi hata kusajili timu

  • @user-fq5lh1uu6d
    @user-fq5lh1uu6d Месяц назад

    Mzee Said anakubal kama ali kamwe simba ajue kuwa Ahmed ali pia ni yanga kindakindaki na pcha zipo tena za ukubwani kabsa akitaka ataoneshwa

  • @edinamwanasenga1584
    @edinamwanasenga1584 Месяц назад

    Mzee said Ali kamwe ni yanga magoma kayakayaga😂😂😂😂😂

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho Месяц назад

    Chagamba usije ukamuacha huyu mzee bhana,huyu ndiye anajua maswala ya mpira haongei kwa Mihemko. Mm ni Yanga lakini mzee Said anachoongea simpingi 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GelardThomas
    @GelardThomas Месяц назад

    Magoma kitakita......😂💔

  • @HumboJacob
    @HumboJacob Месяц назад

    Juwata msondo ngoma mtindo magoma kitakita79hiyo

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 Месяц назад

    Mzee Said babu kavurugwa😅😅😅

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Месяц назад +3

    subiri goli saba, tano haziwatoshi, halafu tutakuuliza haji na Ally ni yanga au simba.

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 Месяц назад

      ivi nyiynyi mashabiki wa yanga mnajielewa maada nyingine wew umeng'ang'nia magoli bwege wew

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Месяц назад +2

    Atakuwje nahoja wakati magoma sio mwanachama wa yanga

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 Месяц назад +1

    Aya weweeee😂

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Месяц назад +1

    Kitakita aleta balaaaah

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d Месяц назад +3

    Mshenz uyo auwawe tu

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Месяц назад

    MZEE SAIDI HIYO MAGOMA KITA KITA NI MTINDO WA BENDI YA JUWATA MSONDO NGOMA. MTINDO ULIKUA MAGOMA KITA KITA. 😅

  • @user-nx1ne6fd2w
    @user-nx1ne6fd2w Месяц назад +1

    Wanataka kujua anapoishi labda wanataka kwenda kumuoa❤❤❤😂😂

  • @emmanuelpaul5704
    @emmanuelpaul5704 Месяц назад

    Unajua timu inapotokea chini na mnataka kwenda juu lazima mkubali kudhulumiwa baadh ya vitu ila yanga itakapo fikia ukubwa ule bas kila kitu kitakua sawa

  • @user-ds3wk8cq1e
    @user-ds3wk8cq1e Месяц назад

    Tena tulitarajia furaha ingezidi zaidi mwaka huu Lkn mpuuzi mmoja katia doa furaha yetu

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 Месяц назад +2

    Uyo mzee atakufa mda simrefu

  • @RashidyDaniely
    @RashidyDaniely Месяц назад

    Ataje tu anakaa wap huyo mzee

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Месяц назад

    Mzee Saidy bhn na enjoy 😂😂😂😂 ni kiwa Cape Town

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 Месяц назад

    Kumbukeni furaha yenu yakutolewa na mamelod na tuliporudi tukakutana,,mama kmyaaa,,endeleen😂😂

  • @user-kr2zi7du7y
    @user-kr2zi7du7y Месяц назад

    😅😅😅😅 mzee saidi

  • @pinielloilole4340
    @pinielloilole4340 Месяц назад

    Kwa upande wa mapato na matumizi hapo mzee said umedanganya kila mwaka zinasomwa Magoma njaa njaa tu

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Месяц назад +2

    Hii dunia ya I.T wazee kaa pembeni...vijana walete mafanikio ya mpira...

  • @charlesngalya4525
    @charlesngalya4525 Месяц назад

    Umeongea point hat tukifngwa tutulie timu tunayo nzur

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Месяц назад

    Chagamba Mzee Said anajua.mm ni yanga damu damu .ni kweli Simba kwatazamo wa wachezaji wanaonekana wana kitu.pia nitafurahi ligi itakua na utamu .

  • @Shadia544
    @Shadia544 Месяц назад +1

    😂😂😂😂Mzee saidi maana anafurahi sana kuona yanga inapata misukosuko 😂😂😂Mzee saidi haya bhana magoma 😂😂

    • @SadatiRajabu
      @SadatiRajabu Месяц назад

      Shadia tayari umeshafika 😂😂😂 kiboko kabisa

    • @Shadia544
      @Shadia544 Месяц назад

      @@SadatiRajabu nishafika kipenzi changu 🤣🤣🤣🤣

  • @user-fw6si9yd6x
    @user-fw6si9yd6x Месяц назад

    Lakin Mzee Said Yanga wametoa mapato na matumizi yao bila kificho. Lakin kuhusu hoja ya idadi ya jezi zinaozouzwa hilo ni jambo la kiutendaji. Ndo maana wamepata hesabu na kuiingiza kwenye vitabu vya Yanga. Kimsingi hana hoja

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 Месяц назад +1

    Wanachama milion 30 kuna ukumbi gani unaingz wat milion?

  • @petrowililo
    @petrowililo Месяц назад

    haahaaa wenye MONICA Mje jaman😅

  • @JohnValle-xn1dx
    @JohnValle-xn1dx Месяц назад

    Yule mzee ana hoja hawa wahuni hawana hoja wanalopokatu

  • @user-uw8de9yu8o
    @user-uw8de9yu8o Месяц назад

    Mzeee fala kweli huyu uwe unamhoji kila siku

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj Месяц назад

    Mzee said kafurahi sana 😅😅😅

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 Месяц назад

    Marquez du zaire magoma kitakita😂😂

  • @manyotanyanguleti2058
    @manyotanyanguleti2058 6 дней назад

    Said tuangarie tunneku nafasi kubwa kaa nakuni

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 Месяц назад

    Sasa Mzee Said ww mtoto??😅😅😅

  • @mosah2851
    @mosah2851 Месяц назад

    Huyu mzee mtu sana yani.Unamwaga closs

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Месяц назад

      Hana lolote huyu mzee kuhusu mapato Mkutano umeeleza kila kitu mauzo ya jezi yamewekwa wazi, pesa za wadhamini ziliwekwa wazi, mapato ya mlangoni yakiwekwa wazi, kila kitu na matumizi kambi mishahara, na safari vyote vimewekwa wazi yeye anaongea wapi mkutanoni hakuja wa juzi maana siyo mwanachama mnamtetea nyie kolokwinyo fc ndo mnamuunga mkono kweli nyani haoni KUNDULAKE MZEE KILOMONI ALIONGEA VIZURI KUHUSU MWEKEZAJI MO NI MZEE WA SIMBA KACHEZA SIMBA SASA HUYO MAGOMA KACHEZA WAPI NAMBA NGAPI AFADHALI HATA KILOMONI UKIMWITA MZEE WA SIMBA NI SAWA SIYO MAGOMA KENGE TU HANA HISTORY NA YANGA MZEE MSUMI ANA KADI 9 TOKA MWAKA 1964.

  • @manarakassimmanara3132
    @manarakassimmanara3132 Месяц назад +1

    Huyu jamaa anaye Hana akili kumuhoji huyu mwehu, nyote wapumbavu, wakati kitwana.sunday kassim, tunacheza, yanga nilikuwa simjui hanijui na hajatokea mtu yoyote aliye kuwa rafiki yangu, anaye itwa magoma, kwanza muongo haji hamjui Mimi hanijui Sunday hamjui kitwana pia hamjui Leo ANATOKEA mpumbavu MMOJA Hana rafiki yoyote katika familia ya manara, kutafuta umaarufu tu kapitia utambulisho WA kuwadanganya watu tu, kama kweli yeye ni yanga Toka mwaka1968. akitaje kikosi cha yanga kilicho mfunga sundalend sc.goli 5 0 kisha pia ataje kikosi cha sundeland sc aache uongo

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 Месяц назад

      Kuma la mama yako unadhani kukariri kikosi kilichoifunga Sunderland ndo mwanachama halisi, hata mtu wa Simba anaweza kutaja hicho kikosi

  • @ELIZABETHLUKULA-y2z
    @ELIZABETHLUKULA-y2z Месяц назад

    Hahahahaaaaaaa magoma huyu n hatar

  • @juma6253
    @juma6253 Месяц назад

    Watakutafuta kizungu😅😅

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Месяц назад

    Hata Wabunge Wanawawakilisha Wananchi Wao. Bungeni Hatuwezi Kwendaa Wote. 68 Imeshapita Hii Ni 2024.

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Месяц назад

    Uyo kagoma Nina amulu akaamie bulundi

  • @peterchande957
    @peterchande957 Месяц назад

    Ali Kamwe ni Yanga lia lia sana Magoma hajui vzrAli Kamwe

  • @user-pp7im3us3v
    @user-pp7im3us3v Месяц назад +2

    BED LUCK😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa9887 Месяц назад

    Mzeee Said nitumie number zako nikutumie pesa, ili usikose kwenye mechi hio, please Chagamba mzee wagu asikose kwenye mech hio

  • @johnmsengi7161
    @johnmsengi7161 Месяц назад +1

    Huyu mbumbumbu anafurahisha kijiwe tu

    • @kitaurosalim6562
      @kitaurosalim6562 Месяц назад +1

      Lugha chafu haisaidii.Mzee anatoa tu hoja zake.

  • @sadikiwilliam823
    @sadikiwilliam823 Месяц назад

    Yanga mbona wao atumsemi Engel wao