ANAPOISHI MZEE WA NGENGA KUNA FENI LINA MAMBO MATATU/JIKONI KUNA MAFRIJI MAWILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 366

  • @Amani-l7d
    @Amani-l7d 8 месяцев назад +4

    His true, his handsome, simple and himself....
    I really enjoyed his simple life style❤❤❤

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 9 месяцев назад +13

    Kaimba vizuri Mzee wa ngenga masha'allah...mngu atuongoze ktk. Kheri hakuna mkamilifu📌🙏

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 9 месяцев назад +20

    Mashaa allah napenda ❤❤❤❤❤vile unasoma Quran kaka mungu akupe kila lakher kuondoshee la shari 🙏

  • @Fatma-wi2co
    @Fatma-wi2co 9 месяцев назад +7

    MashaaAllah kitu ambamcho usikose ndani ni masihafu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 8 месяцев назад +3

    ❤❤❤mzee ngenga safi sana nimepata elimu kutoka kwako👍👍👍👍👍

  • @Zuulito
    @Zuulito 9 месяцев назад +15

    Mzee wa ngenga mtunzi mzuri sana MashaAllah

  • @estherdavidjohn-py7hh
    @estherdavidjohn-py7hh 5 месяцев назад +1

    Ngenga ni msafi jmn anajipenda mashaallah na hafeki maisha

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 9 месяцев назад +11

    Wallah umenifurahisha iyo nyimbo udugu wangu pambeeeee aswaaaaaaaaaa

  • @mervissakalu4163
    @mervissakalu4163 9 месяцев назад +16

    Since start watching your show Saleh today you made my day 😂😂😂

    • @zainabomar7236
      @zainabomar7236 9 месяцев назад

      😂 hata au shetani wanqongozana

  • @eyshermohammed2236
    @eyshermohammed2236 9 месяцев назад +5

    Leo saleh kapatikana kakutana na mtu anaongea kama charahan Hajaulizwa kashajibu 😂😂😂 safi sana mzee wa ngenga

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 6 месяцев назад +2

    Kweli mtangazaji umedakwa hata hupati nafasi kwa mzee wa Ngenga.....utanyooshwa 😂

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 8 месяцев назад +2

    I love it. Feni naitaka😂😂😂
    Saleh kapatikana leo
    Mzee WA ngenga ni NOMA❤❤❤❤😂😂😂😂ANAJUA KUIMBA

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 8 месяцев назад +4

    Mtangazaji leo yupo likizo.kakutana na wall master. 😂😂😂😂.

  • @ireneallen9547
    @ireneallen9547 9 месяцев назад +11

    Leo salehe umepatikana🤣🤣🤣chezea mzee wa ngenga😂

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 9 месяцев назад +4

    mashaAllah upo simple sana umetoka mbali Mngu mkubwa. Ila shoga angu Nguo chafu nunua Tunga lile la plastic lenye mashimo shimo, usunguo kuchanganya nguo safi na chafu.

  • @ZuhuraMohamed-q2f
    @ZuhuraMohamed-q2f 2 месяца назад +1

    Uko vzr mzee wa ngenga weye ni msafi asa waonekana kaka ang

  • @racheljohn2216
    @racheljohn2216 9 месяцев назад +6

    Mzee Wa ngenga kachangamka kwel Yan mchachuuu😂😂😂🥰🙌

  • @ashuu7972
    @ashuu7972 9 месяцев назад +5

    MashaAllah tabarakallah, napenda sana unaendana na Mungu ❤ aisee nakukubali sana natamani nikutane nawewe Dini yako usiiyache endelea nayo..

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 9 месяцев назад +5

    Nimependa hio sehemu imetulia vizuri

  • @ZuhuraMohamed-q2f
    @ZuhuraMohamed-q2f 2 месяца назад +1

    Hapo mondi umenikoxha kujipendekeza sio kwa huyo anaemiliki kope😂😂😂

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 9 месяцев назад +3

    Una nyumba kubwa usiweke nguo chafu chumbani weka kule kwenye chumba cha makorokoro kwenye tenga ushauri tu bimependa kwako kuzuri mashallah

  • @AdmiringGrazingCows-im1kh
    @AdmiringGrazingCows-im1kh Месяц назад +1

    Hongera njoo kwetu burundi

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo 8 месяцев назад +2

    Mashallah ❤🎉 Hassan Ally Allah akupe mwisho mwema

  • @ramadhanmohammed6474
    @ramadhanmohammed6474 9 месяцев назад +12

    Muandishi wa habari amefanyiwa interview yeye😅😅

  • @jikonikwamamaSwaumu
    @jikonikwamamaSwaumu 9 месяцев назад +12

    Nimependa jikoni anapaelezea bila kuulizwa mambo yangu nimemuelewa mzee wa ngenga ❤😂

  • @mwaka308said7
    @mwaka308said7 2 месяца назад +1

    ahahahahaha wachamba kinomaaa mzee wa Ngenga akeee😂😂😂

  • @WemaOmary-of6to
    @WemaOmary-of6to 8 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂 salehe leo kapatikana yeye ndio anahojiwa namzeee wa ngenga

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 8 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe Месяц назад

      😂😂😂😂cheza na Mzee wa Ngenga nn😂

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 8 месяцев назад +2

    Mzee ngenga ni msafi mashallah

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 7 месяцев назад

    Mzee wa ngenga 🙏🙏👏👏❤❤❤❤❤he's always so funny I like how he makes people laugh and happy with his words a.k.a michambo but always he's telling people the truth ❤❤❤❤❤

  • @Atb300
    @Atb300 9 месяцев назад +1

    Hassan ally umkute anaimba qaswida utalia mashallah mashallah❤❤❤

  • @aishahasan7722
    @aishahasan7722 9 месяцев назад +4

    Leo upele umepata mkunaji😂😂😂
    Leo saleh umepatikna hahhhhh

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe Месяц назад

      😅😅😅😅😅😅😅

  • @fatmahrashidi1533
    @fatmahrashidi1533 8 месяцев назад

    Utaniweza wapi umalaya nimeanza zamani mwenzakoooo👌👌👌👌❤️❤️❤️❤️😀😀😀😀😀jmn hebu endelea kupiga

  • @Abuuabdillah259
    @Abuuabdillah259 9 месяцев назад +3

    Wanaume wanazidi kuisha dar😢😢 Allah tunusuru ss na vizazi vyetu

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 9 месяцев назад +3

      Weeee hatuishi hata iweje wanapambana kutumaliza lakini haiwezekani kwa uwezo wa Mungu

    • @FatmaMwinyi-jt2rr
      @FatmaMwinyi-jt2rr 9 месяцев назад

      Kwani wakike uyo

    • @MapeKhamis
      @MapeKhamis 8 месяцев назад

      ​@@nassercurtis9579 good man leo nimepata jibu zuri co wote,na hamtoisha insha allah mmbakie mtabaki na wanawake wapate stara

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 9 месяцев назад +6

    Mzee wa ngenga una bayaaa❤❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 9 месяцев назад +8

    Mzee wa ngenga umejuwa kumuweza bwana swarehe ,,umechangamka Sana Mzee wa ngenga ,,nimekupenda bure

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 9 месяцев назад +3

    Ana saut mpaka raha

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 9 месяцев назад +3

    Ila huyu kaka huyu hawezi kuishi na mwanamke msafi sana

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 9 месяцев назад +4

    Salehe kwisha hbr yako,maneno kushney huna lolote apeche alolo😂😂😂😂nakuchamba saleh Leo huna neno mzee wangenga ndokawa mtanfazaji 😂😂😂

  • @fetreshazKhamisi
    @fetreshazKhamisi 9 месяцев назад +3

    MashaAllah Asani Ally nakupenda mnoo❤❤❤❤

  • @MayarashidiMayarashidi
    @MayarashidiMayarashidi Месяц назад

    Kaka Hassan mcheshi na ongera umempokea kaka salehe vizuri sana

  • @ameenaameena784
    @ameenaameena784 9 месяцев назад +5

    Uko vizuri mzee wa nenga

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 9 месяцев назад +1

    Masha Allah tabaraq Allah mzee wangenga kusoma quran pia uko Sawa

  • @HusnaMeiteng
    @HusnaMeiteng 9 месяцев назад +2

    Msipende kuhuku hamjui keshoyenu wala vizazi vyenu

  • @Amani-l7d
    @Amani-l7d 8 месяцев назад

    Follow you calling and you shall reach.
    Find out who you are, very true❤❤

  • @munirasalim148
    @munirasalim148 9 месяцев назад +5

    Kaimba vizur mashallah

  • @sweettumatuma8116
    @sweettumatuma8116 9 месяцев назад +2

    Mashallah Mashallah HASBUNALLAH ❤

  • @salvatorymillinga991
    @salvatorymillinga991 9 месяцев назад +6

    Kwenye zoezi la tumbo hapo mwamba kajamba😂😂😂😂 nina wasiwasi na malinda km yapo yote😂😂😂😂😂😂

    • @LuluLevy
      @LuluLevy 9 месяцев назад

      Aaaah nkweli kajamba tena mara mbili😅😅

    • @arafaomari1832
      @arafaomari1832 8 месяцев назад

      Jamani nimecheka kwa nguvu 😂😂😂😂

    • @fikiliibrahim9720
      @fikiliibrahim9720 7 месяцев назад

      Dah hiibdunia we acha tu

  • @لبااتتاا
    @لبااتتاا 9 месяцев назад +2

    Mashallah.😅😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤namupendauyukaka.anafanyamamboyake.ilaanamuku.mbukamungu..napendaanavyoongea😅😅😅😅😅😅

  • @MonaAlmona-c1n
    @MonaAlmona-c1n 9 месяцев назад +3

    Dah mi siwez det na mwanaume wa ivi yupo ujiuji subhanallah
    Ongea yake anavyo tembea anavyo rusha mikono eee mungu nisitr na zana mbaya

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 9 месяцев назад +3

      Hata yeye hapendi mwanamke kama weye umekakamaa kama gogo la mnazi pia hakupendi. Ngoma drown

    • @aminakazogolo2229
      @aminakazogolo2229 9 месяцев назад

      😅😅😅😅😅​@@MwanaishaShattry

    • @MonaAlmona-c1n
      @MonaAlmona-c1n 9 месяцев назад

      @@MwanaishaShattry umeniona kama nimekakamaa

    • @LizyOzil-e8v
      @LizyOzil-e8v 9 месяцев назад

      @@MwanaishaShattry😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @salmabinyaga2357
      @salmabinyaga2357 9 месяцев назад

      ​@@MonaAlmona-c1nAchana nae hao c wanapenda kutetea ujinga

  • @MayarashidiMayarashidi
    @MayarashidiMayarashidi Месяц назад

    Kaka salehe mungu akuweke

  • @pattymartha8508
    @pattymartha8508 9 месяцев назад +6

    Tunasubiria kwao paula na kajala

  • @btylove1870
    @btylove1870 9 месяцев назад +3

    Halafu utasikia wanawake ni wengi duniani kuliko wanaume, sio kweli kabisa. Wote tupo sawa sema tu wanaume wengi sio riziki.🙃

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 9 месяцев назад +1

    🤣😂🤣Huyu jamaa kibokoooo lakini 🤔🤔Wifi yetu nae mbona hatuona make cup zakeeee🤔🫣Toka kabatini Shostiiii na kwa kweli ni muigizaji mzuri na muimbaji mzuri Sauti nzuri namependa Hafake maisha 💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌🙌.

    • @Mina.15
      @Mina.15 8 месяцев назад +1

      Kijora chake anatudanganya 😂😂 ATI cha baby 😂😂😂

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 8 месяцев назад +1

      @@Mina.15 😂🤣😂🤣

  • @husnamchumia5084
    @husnamchumia5084 9 месяцев назад +4

    Mbona kama ct lotions kopo lake😂😂

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 8 месяцев назад +1

    Sijui nawaza nn Mungu anisamehe 😢😅😅😅😅

  • @EdnaMbowe
    @EdnaMbowe Месяц назад

    Sijalogwa sio shida zangu nshavuka 🤣🤣🤣🤣🤣Mzee wa Ngenga

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 9 месяцев назад +2

    😂😂😂😂pole sele 😂😂 huyu ndio mzee wa ngenga aishiwi maneno

  • @AyshaSsh
    @AyshaSsh 9 месяцев назад +2

    Waukae napenda maisha yako uko vzr san ❤❤❤

  • @zenajustus5731
    @zenajustus5731 9 месяцев назад

    Uduguu,Asante Hassan love your songs penda sanaa,keep it up uko juu kaka.

  • @malkiakinyemi5282
    @malkiakinyemi5282 9 месяцев назад +1

    Maashallah

  • @tourismtourism9204
    @tourismtourism9204 9 месяцев назад +1

    Kaimba vizuri sana

  • @fatumaramadhani8221
    @fatumaramadhani8221 8 месяцев назад

    Leo umekutanizaa nduguu mpka unaitwa dada😂😂😂

  • @miriyamasanja6766
    @miriyamasanja6766 9 месяцев назад +1

    Swalehe Leo umepatikana mtu anaongea kama cherehani ya umeme 😂😂😂😂😂

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 9 месяцев назад +1

    Yani salehe leo huna kazi m kaka kajieleza kamaliza yan ukitaka kuleta swali anakudaka😂😂😂😂

  • @mariamkatalika9536
    @mariamkatalika9536 8 месяцев назад +1

    Yani imeninogea😮

  • @NeemaDotto-f2j
    @NeemaDotto-f2j 7 месяцев назад

    Jamani kanifurahisha Mzee wa ngenga yupo vizuri daaa jaman yupo vizuri ajarogwa😅😅

  • @jamilajamila183
    @jamilajamila183 8 месяцев назад

    Mashaallh❤

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 9 месяцев назад +1

    Mzee wa ngenga halafu ni kaka mzur anafanaba na kaka mmoja mwarabu mpemba wanafanana

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 9 месяцев назад +1

    Yupo naishi vizuri jamani

  • @EdnaMbowe
    @EdnaMbowe Месяц назад

    Njoo fanya ww shenzi type chezea mazoezi😂

  • @MariamAbuubakar-e5o
    @MariamAbuubakar-e5o 9 месяцев назад +5

    Safi sana mungu kwanza

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 8 месяцев назад +1

    Ivi uyu nimwanaume kweli

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 8 месяцев назад +1

    Nakupenda haswaaa😅😅

  • @iamhuzaina4588
    @iamhuzaina4588 7 месяцев назад

    Jamani naomba mnisaidie
    Natafuta taarabu aliimba Mzee wa ngenga inamistari hii "Kama ni uhuni walianza bibi na babu zako vipi la ajabu uloliona kwa wana wa wenzako" hiyo aliyoimba hapo INAITWAJE NAOMBA MNITAJIE WIMBO WA HIYO TAARABU

  • @innat04
    @innat04 8 месяцев назад

    Nice view, kama uko Spain vile kulivyo tengezwa nje

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 9 месяцев назад +1

    Mupitie na kwangu wapenzi watazamaji❤❤

  • @safiajamaa4054
    @safiajamaa4054 8 месяцев назад

    Yaani sio mchezo masha Allah

  • @MarrylinellyMshana
    @MarrylinellyMshana 9 месяцев назад +3

    Mzee wa ng'eng'a❤❤❤❤❤

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t 7 месяцев назад

    Akome sio kazi rahis ataukimaliza kuangalia uhoi kucheka😂

  • @zainababdullsadik1247
    @zainababdullsadik1247 8 месяцев назад

    Mzee ngeee mamboo bulbuliiii tenaaa❤

  • @nishamwenendi-vh4wk
    @nishamwenendi-vh4wk 9 месяцев назад +3

    Leo kazi ipo 😂😂😂😂❤❤❤

  • @khaijakadija2082
    @khaijakadija2082 9 месяцев назад +3

    Nipeni namba ya iyo boda boda

  • @JudithDeogratius
    @JudithDeogratius 6 месяцев назад

    Anajua sana

  • @feezdidthis2220
    @feezdidthis2220 9 месяцев назад +2

    Huyu ka left, ni basi tu ana jificha ficha

  • @aishamdinku9129
    @aishamdinku9129 9 месяцев назад

    Masha'Allah

  • @shazmapinky9012
    @shazmapinky9012 9 месяцев назад +1

    Huyu upinde kitambo tu ..nyie hamuoni hio bracelet alovaa mkononi🙄

  • @sayraasma-r7m
    @sayraasma-r7m 9 месяцев назад +2

    Alivyokuwa anafanya mazoezi kama kajamba😂

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 9 месяцев назад +1

    Mapazia mazuri kama pazia letu.😅msafi kama mimi napejda usafi

  • @zenamwasekaga7460
    @zenamwasekaga7460 9 месяцев назад +1

    "Wigi linawasha" naupenda huu wimbo kufaa❤❤

  • @MeraiOmar-ok8bo
    @MeraiOmar-ok8bo 9 месяцев назад

    Weuwee 🎉🎉🎉 udugu ..saanthaa.. kanyimbo mulele..nakukubaligi Hassan Ally❤

  • @HalimaBakari-g7x
    @HalimaBakari-g7x 6 месяцев назад

    Yaan katika woote wa showbize huyu kanifurahisha na Asha boko😂😂😂

  • @AsiaIjumaa-i2t
    @AsiaIjumaa-i2t 9 месяцев назад +1

    Salehe leo anataman iishe hii show

  • @biommy6700
    @biommy6700 17 дней назад

    😂😂😂Watu wajue nna boxer nyingi

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 8 месяцев назад

    Mwanang Saleh baada ya kua star umeanza kuvaa heren😂

  • @josephinesisso6598
    @josephinesisso6598 4 месяца назад

    😂😂😂❤❤❤❤nimeipendaa🎉

  • @LeylaHamisi-qh3kb
    @LeylaHamisi-qh3kb 9 месяцев назад +1

    Mzee wa ngenga anapaka CT plus😂😂😂 anajichubua

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 9 месяцев назад +1

    Kweli mzee wa ngenga kachangamka akaa😂😂😂😂

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 9 месяцев назад

    Samahani jamani huyu mwenzetu ama alijitoa "nachumbani pia"

  • @Khadija-ne8ul
    @Khadija-ne8ul 9 месяцев назад +2

    😂😂😂😂 leo saleh kapatikana

  • @MwajabuRajabu-l1p
    @MwajabuRajabu-l1p 9 месяцев назад +1

    Duh mzee wa ngenga unapakaa ct