mashaAllah upo simple sana umetoka mbali Mngu mkubwa. Ila shoga angu Nguo chafu nunua Tunga lile la plastic lenye mashimo shimo, usunguo kuchanganya nguo safi na chafu.
Mzee wa ngenga 🙏🙏👏👏❤❤❤❤❤he's always so funny I like how he makes people laugh and happy with his words a.k.a michambo but always he's telling people the truth ❤❤❤❤❤
🤣😂🤣Huyu jamaa kibokoooo lakini 🤔🤔Wifi yetu nae mbona hatuona make cup zakeeee🤔🫣Toka kabatini Shostiiii na kwa kweli ni muigizaji mzuri na muimbaji mzuri Sauti nzuri namependa Hafake maisha 💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌🙌.
Jamani naomba mnisaidie Natafuta taarabu aliimba Mzee wa ngenga inamistari hii "Kama ni uhuni walianza bibi na babu zako vipi la ajabu uloliona kwa wana wa wenzako" hiyo aliyoimba hapo INAITWAJE NAOMBA MNITAJIE WIMBO WA HIYO TAARABU
His true, his handsome, simple and himself....
I really enjoyed his simple life style❤❤❤
Kaimba vizuri Mzee wa ngenga masha'allah...mngu atuongoze ktk. Kheri hakuna mkamilifu📌🙏
Mashaa allah napenda ❤❤❤❤❤vile unasoma Quran kaka mungu akupe kila lakher kuondoshee la shari 🙏
MashaaAllah kitu ambamcho usikose ndani ni masihafu
❤❤❤mzee ngenga safi sana nimepata elimu kutoka kwako👍👍👍👍👍
Mzee wa ngenga mtunzi mzuri sana MashaAllah
Ngenga ni msafi jmn anajipenda mashaallah na hafeki maisha
Wallah umenifurahisha iyo nyimbo udugu wangu pambeeeee aswaaaaaaaaaa
Since start watching your show Saleh today you made my day 😂😂😂
😂 hata au shetani wanqongozana
Leo saleh kapatikana kakutana na mtu anaongea kama charahan Hajaulizwa kashajibu 😂😂😂 safi sana mzee wa ngenga
Kweli mtangazaji umedakwa hata hupati nafasi kwa mzee wa Ngenga.....utanyooshwa 😂
I love it. Feni naitaka😂😂😂
Saleh kapatikana leo
Mzee WA ngenga ni NOMA❤❤❤❤😂😂😂😂ANAJUA KUIMBA
Mtangazaji leo yupo likizo.kakutana na wall master. 😂😂😂😂.
Leo salehe umepatikana🤣🤣🤣chezea mzee wa ngenga😂
mashaAllah upo simple sana umetoka mbali Mngu mkubwa. Ila shoga angu Nguo chafu nunua Tunga lile la plastic lenye mashimo shimo, usunguo kuchanganya nguo safi na chafu.
Uko vzr mzee wa ngenga weye ni msafi asa waonekana kaka ang
Mzee Wa ngenga kachangamka kwel Yan mchachuuu😂😂😂🥰🙌
MashaAllah tabarakallah, napenda sana unaendana na Mungu ❤ aisee nakukubali sana natamani nikutane nawewe Dini yako usiiyache endelea nayo..
Nimependa hio sehemu imetulia vizuri
Hapo mondi umenikoxha kujipendekeza sio kwa huyo anaemiliki kope😂😂😂
Una nyumba kubwa usiweke nguo chafu chumbani weka kule kwenye chumba cha makorokoro kwenye tenga ushauri tu bimependa kwako kuzuri mashallah
Hongera njoo kwetu burundi
Mashallah ❤🎉 Hassan Ally Allah akupe mwisho mwema
Muandishi wa habari amefanyiwa interview yeye😅😅
😅😅😅😅 kwakweli
😂😂😂😂😂😂
Nimependa jikoni anapaelezea bila kuulizwa mambo yangu nimemuelewa mzee wa ngenga ❤😂
ahahahahaha wachamba kinomaaa mzee wa Ngenga akeee😂😂😂
😂😂😂😂😂 salehe leo kapatikana yeye ndio anahojiwa namzeee wa ngenga
😂😂😂😂
😂😂😂😂cheza na Mzee wa Ngenga nn😂
Mzee ngenga ni msafi mashallah
Mzee wa ngenga 🙏🙏👏👏❤❤❤❤❤he's always so funny I like how he makes people laugh and happy with his words a.k.a michambo but always he's telling people the truth ❤❤❤❤❤
Hassan ally umkute anaimba qaswida utalia mashallah mashallah❤❤❤
Leo upele umepata mkunaji😂😂😂
Leo saleh umepatikna hahhhhh
😅😅😅😅😅😅😅
Utaniweza wapi umalaya nimeanza zamani mwenzakoooo👌👌👌👌❤️❤️❤️❤️😀😀😀😀😀jmn hebu endelea kupiga
Wanaume wanazidi kuisha dar😢😢 Allah tunusuru ss na vizazi vyetu
Weeee hatuishi hata iweje wanapambana kutumaliza lakini haiwezekani kwa uwezo wa Mungu
Kwani wakike uyo
@@nassercurtis9579 good man leo nimepata jibu zuri co wote,na hamtoisha insha allah mmbakie mtabaki na wanawake wapate stara
Mzee wa ngenga una bayaaa❤❤
Mzee wa ngenga umejuwa kumuweza bwana swarehe ,,umechangamka Sana Mzee wa ngenga ,,nimekupenda bure
Ana saut mpaka raha
Ila huyu kaka huyu hawezi kuishi na mwanamke msafi sana
Kwanini😂😂😂
Salehe kwisha hbr yako,maneno kushney huna lolote apeche alolo😂😂😂😂nakuchamba saleh Leo huna neno mzee wangenga ndokawa mtanfazaji 😂😂😂
MashaAllah Asani Ally nakupenda mnoo❤❤❤❤
Kaka Hassan mcheshi na ongera umempokea kaka salehe vizuri sana
Uko vizuri mzee wa nenga
Masha Allah tabaraq Allah mzee wangenga kusoma quran pia uko Sawa
Msipende kuhuku hamjui keshoyenu wala vizazi vyenu
Follow you calling and you shall reach.
Find out who you are, very true❤❤
Kaimba vizur mashallah
Mashallah Mashallah HASBUNALLAH ❤
Kwenye zoezi la tumbo hapo mwamba kajamba😂😂😂😂 nina wasiwasi na malinda km yapo yote😂😂😂😂😂😂
Aaaah nkweli kajamba tena mara mbili😅😅
Jamani nimecheka kwa nguvu 😂😂😂😂
Dah hiibdunia we acha tu
Mashallah.😅😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤namupendauyukaka.anafanyamamboyake.ilaanamuku.mbukamungu..napendaanavyoongea😅😅😅😅😅😅
Dah mi siwez det na mwanaume wa ivi yupo ujiuji subhanallah
Ongea yake anavyo tembea anavyo rusha mikono eee mungu nisitr na zana mbaya
Hata yeye hapendi mwanamke kama weye umekakamaa kama gogo la mnazi pia hakupendi. Ngoma drown
😅😅😅😅😅@@MwanaishaShattry
@@MwanaishaShattry umeniona kama nimekakamaa
@@MwanaishaShattry😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@MonaAlmona-c1nAchana nae hao c wanapenda kutetea ujinga
Kaka salehe mungu akuweke
Tunasubiria kwao paula na kajala
Halafu utasikia wanawake ni wengi duniani kuliko wanaume, sio kweli kabisa. Wote tupo sawa sema tu wanaume wengi sio riziki.🙃
🤣😂🤣Huyu jamaa kibokoooo lakini 🤔🤔Wifi yetu nae mbona hatuona make cup zakeeee🤔🫣Toka kabatini Shostiiii na kwa kweli ni muigizaji mzuri na muimbaji mzuri Sauti nzuri namependa Hafake maisha 💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌🙌.
Kijora chake anatudanganya 😂😂 ATI cha baby 😂😂😂
@@Mina.15 😂🤣😂🤣
Mbona kama ct lotions kopo lake😂😂
Imefanyeje sas?
Sijui nawaza nn Mungu anisamehe 😢😅😅😅😅
Sijalogwa sio shida zangu nshavuka 🤣🤣🤣🤣🤣Mzee wa Ngenga
😂😂😂😂pole sele 😂😂 huyu ndio mzee wa ngenga aishiwi maneno
Waukae napenda maisha yako uko vzr san ❤❤❤
Uduguu,Asante Hassan love your songs penda sanaa,keep it up uko juu kaka.
Maashallah
Kaimba vizuri sana
Leo umekutanizaa nduguu mpka unaitwa dada😂😂😂
Swalehe Leo umepatikana mtu anaongea kama cherehani ya umeme 😂😂😂😂😂
Kwakweli😂😂😂😂😂
Yani salehe leo huna kazi m kaka kajieleza kamaliza yan ukitaka kuleta swali anakudaka😂😂😂😂
Yani imeninogea😮
Jamani kanifurahisha Mzee wa ngenga yupo vizuri daaa jaman yupo vizuri ajarogwa😅😅
Mashaallh❤
Mzee wa ngenga halafu ni kaka mzur anafanaba na kaka mmoja mwarabu mpemba wanafanana
Yupo naishi vizuri jamani
Njoo fanya ww shenzi type chezea mazoezi😂
Safi sana mungu kwanza
Ivi uyu nimwanaume kweli
Nakupenda haswaaa😅😅
Jamani naomba mnisaidie
Natafuta taarabu aliimba Mzee wa ngenga inamistari hii "Kama ni uhuni walianza bibi na babu zako vipi la ajabu uloliona kwa wana wa wenzako" hiyo aliyoimba hapo INAITWAJE NAOMBA MNITAJIE WIMBO WA HIYO TAARABU
Nice view, kama uko Spain vile kulivyo tengezwa nje
Mupitie na kwangu wapenzi watazamaji❤❤
Yaani sio mchezo masha Allah
Mzee wa ng'eng'a❤❤❤❤❤
Akome sio kazi rahis ataukimaliza kuangalia uhoi kucheka😂
Mzee ngeee mamboo bulbuliiii tenaaa❤
Leo kazi ipo 😂😂😂😂❤❤❤
Nipeni namba ya iyo boda boda
Anajua sana
Huyu ka left, ni basi tu ana jificha ficha
Ulimuona au
Masha'Allah
Huyu upinde kitambo tu ..nyie hamuoni hio bracelet alovaa mkononi🙄
Alivyokuwa anafanya mazoezi kama kajamba😂
Mapazia mazuri kama pazia letu.😅msafi kama mimi napejda usafi
"Wigi linawasha" naupenda huu wimbo kufaa❤❤
Weuwee 🎉🎉🎉 udugu ..saanthaa.. kanyimbo mulele..nakukubaligi Hassan Ally❤
Yaan katika woote wa showbize huyu kanifurahisha na Asha boko😂😂😂
Salehe leo anataman iishe hii show
😂😂😂Watu wajue nna boxer nyingi
Mwanang Saleh baada ya kua star umeanza kuvaa heren😂
😂😂😂❤❤❤❤nimeipendaa🎉
Mzee wa ngenga anapaka CT plus😂😂😂 anajichubua
Yaan mh
Kweli mzee wa ngenga kachangamka akaa😂😂😂😂
Samahani jamani huyu mwenzetu ama alijitoa "nachumbani pia"
😂😂😂😂 leo saleh kapatikana
Duh mzee wa ngenga unapakaa ct
Yaan anajchubua dah aiseee