MZEE SAID | BASI JINYONGENI KWA AJILI YA CHAMA | YANGA WAKISAJILI WOTE HAO HATUPEKEKI TIMU UWANJANI😂

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июн 2024

Комментарии • 274

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554 10 дней назад +29

    Mzee Said haki ya Mungu usife mapema😂😂😂😂 we are enjoying with my family

  • @Shadia544
    @Shadia544 10 дней назад +116

    Chagamba anainjoi sanaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Miee nainjoi sana nimecheka jamaniii leo LIKE 10 KAMA NA WEWE unainjoi 🤣

  • @luckstarofficial3876
    @luckstarofficial3876 10 дней назад +59

    😂😂😂tujuane wanao furahishwa na mzee said,,,gonga like hapa 😂❤

  • @SalehMikidadi
    @SalehMikidadi 10 дней назад +48

    Kiukweli nafurahi sana chagamba na Mzee Said. Mim nipo Zanzibar

  • @FatmaSalm-jn4xu
    @FatmaSalm-jn4xu 10 дней назад +23

    Mungu azidi kukupa afya njema Mzee said

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 10 дней назад +25

    Chaggamba big up ❤ kwa kumleta tena kwenye interview Mzee Said.Ananipa raha sana ns maneno yake ya kuchekesha yanayoumiza kwa wahusika. Mlete kila siku aendeee kutupa raha,kabarikiwa kipaji cha kuzungumza mbele ya camera ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂

  • @user-lc6te2pe2l
    @user-lc6te2pe2l 10 дней назад +28

    Nilikuwa nakusubiri kwa hamu mzee wetu Said uishi miaka 1000

  • @DullaMasharubu
    @DullaMasharubu 9 дней назад +21

    Mzee said Kama ustres Niangalie yeye like zangu apa

  • @jokertv3073
    @jokertv3073 10 дней назад +26

    Mzee said
    THE ONLY LIVING LEGEND
    KWANZA ANA DATA NA ANAJUA

  • @elvismabena7630
    @elvismabena7630 10 дней назад +17

    Dah huyu mzee very funny MUNGU azidi kukupa afya njema 🙏🙏🙏

  • @kapondadr5840
    @kapondadr5840 10 дней назад +36

    Mzee said n mmoja tu mtandaoni 🔥🔥✊

  • @tanzaniabusesupdates5311
    @tanzaniabusesupdates5311 10 дней назад +28

    Ningeshangaaa sana kama saidooo,fred na jobe wasitajwe kwenye hii interview😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @FatmaSalm-jn4xu
    @FatmaSalm-jn4xu 10 дней назад +16

    Mungu azidi kukupa afya njema Mzee said
    ❤❤

    • @abuumohamed7090
      @abuumohamed7090 9 дней назад

      Mzee ananikumbusha zamani saana,mzee mswahili saana,maisha ya uswazi raha saana

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 10 дней назад +15

    Da mi nacheka sana mzee saidi😅😅😅😅.

  • @idrisaabeid2913
    @idrisaabeid2913 10 дней назад +12

    Toa ahadi Mzee side ukiona thenk you paa omari jobe unafanya nini 😂😂😂

  • @user-tx3wd4rw8d
    @user-tx3wd4rw8d 10 дней назад +14

    Said kama said mwamba nakukubali sana baba angu

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 10 дней назад +11

    Ila mzee said bhana kabla hujaongea nishacheka❤❤❤😂😂😂

  • @rafaissa2873
    @rafaissa2873 9 дней назад +5

    To be honest mzee said M/mungu akupe maisha marefu 🙏your such a wonderful man 🙏

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 10 дней назад +12

    Eti atapeleka Mangungu timu😂😂 ila huyu mzee ni noma 😂😂 unacheka hadi raha 😅😅

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 10 дней назад +19

    Mzeee said na chagamba big up

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 9 дней назад +5

    Mzee Saidii Ni M’moja Tu Tanzania🔥🔥

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r 10 дней назад +16

    Saidi ❤

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 10 дней назад +14

    😂😂😂😂ila Mzee said jmn siku moja nimecheka ety atupeleki timu uwanjani

  • @AndrwFelix
    @AndrwFelix 10 дней назад +17

    Mzeee Saidy aaaah jamazako wa dodoma kizota tunakufatiriaa bana

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 10 дней назад +13

    Dah leo mze said umenifanya nicheke sana leo😂😂😂😂😂😂

  • @reinfridlipili5666
    @reinfridlipili5666 10 дней назад +11

    😅😅 Huyu Mzee bana anatufanya tunacheka wenyewe watu wanashangaa jamaa SHISHA nn kumbe Said😅

  • @allynayomo485
    @allynayomo485 10 дней назад +11

    Mzee saidi kwa kweli unatoa burudani

  • @mrtalents5863
    @mrtalents5863 10 дней назад +16

    Mzee Said anamfunika Miraji siku hizi

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 9 дней назад +7

    Nimefurahi peke angu mzee said shikamooo

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 10 дней назад +16

    Gambaaa moja ya kituu na penda san ww na mzee saidy 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @grolyligola8959
    @grolyligola8959 10 дней назад +13

    Kasato wa umalila stakusahau mzee said umejijengea histolia nzuli sana nakupa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅

  • @user-nj7yx5yy4n
    @user-nj7yx5yy4n 10 дней назад +11

    Huyu mzee tunamwelewa sana

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 10 дней назад +13

    Huyu dingi huwa namkubali sana

  • @nasseraljahwri6310
    @nasseraljahwri6310 10 дней назад +18

    😂😂😂😂😂 Mzee Said dah, yaan umenipunguza stress

  • @jumambwambo
    @jumambwambo 10 дней назад +7

    Chagamba nainjoi sana ukiongea na mzee saidi mzee nananifurahisha sana anaona mbili

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 10 дней назад +10

    Chukua Hiyo Kutoka Kwa Mzee Said Sitaki Mwenzie Basi.

  • @tanzaniabusesupdates5311
    @tanzaniabusesupdates5311 10 дней назад +23

    Kujeni huku jaman mzee saidi anataka kulihutubia taifa kuhusu simba😂😂😂

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 9 дней назад +6

    nilijua ya saidoo yameisha baada ya kuondoka😂😂😂

  • @marcphd360
    @marcphd360 10 дней назад +8

    Mzeee said namkubali sanaaa…. Sanaaaaa … sanaaaaaaa!

  • @nacetsiringa1334
    @nacetsiringa1334 9 дней назад +4

    Hii familia siondoki mzee saidi anafurahisha sana 😂😂

  • @mossiombeni4204
    @mossiombeni4204 10 дней назад +5

    Nawafata saaana hapa Marekani ,ila huyu mzee Saidi ni mwisho.

  • @user-fz6dl9rv7f
    @user-fz6dl9rv7f 10 дней назад +6

    😂😂😂 Daah... Eti Mpira umeikuta Miguu

  • @chrispinkabola2023
    @chrispinkabola2023 10 дней назад +11

    ...mangungu utapeleka timu mwenyewe 😂😂😂😂....

  • @SjsShemjata
    @SjsShemjata 10 дней назад +11

    Mzee said unanipa rahasana yanacheka mwenyewe

  • @EzekielMnyawami
    @EzekielMnyawami 9 дней назад +4

    Mze anachekeshaa huyu jamani 😂😂😂😂😂😂

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 4 дня назад +1

    Mzee Saidi ni mhmu Dunia hyo ya TZ sisi tupo KWETU KENYA

  • @gelarisjonathan7081
    @gelarisjonathan7081 10 дней назад +8

    Mzee said aongezewe hela

  • @thomaslyimo9556
    @thomaslyimo9556 9 дней назад +3

    Mimi mshabiki wa Simba lakini Saidi ni meama kweliii jamani, Nikiona mahojiano ya Mzee Saidi huwa na hamu mzee wetu Said aongee na nimsikie nakuombeaa uishi miaka 200 maua yako 🌺🌹🌸🥀🌻

  • @kamanapeter4751
    @kamanapeter4751 10 дней назад +12

    mwacheni mzee saidi awaze msimu ujao

  • @bmkmpenja1951
    @bmkmpenja1951 10 дней назад +8

    Atapeleka mangungu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdallahsaidi7287
    @abdallahsaidi7287 10 дней назад +6

    Mzee Saidi mbavu zangu

  • @mbarakmarombarakmaro5721
    @mbarakmarombarakmaro5721 6 дней назад +1

    Aki mzee said unanifurshisha sana ❤❤

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 9 дней назад +4

    Hongera sana kwa karama hiyo 😂😂😂

  • @HalimaIssa-pu4yt
    @HalimaIssa-pu4yt 9 дней назад +2

    Hahaha wewe nawe Asante mzee Said kwa uchambuzi nzuri. Yanga Bingwa 2024/2025

  • @AbdusidMohammed-hi5ib
    @AbdusidMohammed-hi5ib 9 дней назад +4

    Unanifulahisha sana Mzee said

  • @SafiaWimana
    @SafiaWimana 10 дней назад +9

    Jamani tabu iko pale pale 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @tallwhitesuperdesigner634
    @tallwhitesuperdesigner634 9 дней назад +3

    Mzee said kwa Aziz Ki humwambii kitu 😂😂😂😂

  • @Majaliwa-qt8tz
    @Majaliwa-qt8tz 10 дней назад +4

    daaaaaah mzeee we ni hatr xnaa😅😅😅😅😅

  • @user-ne9sk5br3l
    @user-ne9sk5br3l 5 дней назад +1

    Mzee xaidi mungu anakuona😅😅😅😅

  • @abdallahmwanga5792
    @abdallahmwanga5792 10 дней назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂
    Hatari na nusu...😂😂😂

  • @christinalaurent7513
    @christinalaurent7513 4 дня назад

    Namuelewaga sana uyu mzee said jamani😂😂😂😂❤

  • @apostleisaacnyika4669
    @apostleisaacnyika4669 6 дней назад +1

    Huyu Mzee Balaa Sana 🤣😂😅😅😅😂🤣🤣😂

  • @issamkilikiti20
    @issamkilikiti20 9 дней назад +1

    Nacheka adi nimesaau .Kam nadaiwa ela ya Kodi 😁😁😁😁😁👍

  • @ThomasKapinga-v5x
    @ThomasKapinga-v5x 3 дня назад

    Mzee saidi dah nakuelewa sana😂😂😂

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 8 дней назад +1

    😂😂😂😂😂 eti mashabiki wanakwepa mpira utafikiri wao ndo wamepigiwa😅😅😅😅🙌🙌

  • @hamisingova
    @hamisingova 10 дней назад +6

    I'm waiting

  • @warrenkilimber4013
    @warrenkilimber4013 9 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂Mimi ni mwananchi ila huyu mzee namkubali sana🙌🙌🙌🙌

  • @user-cj7lx5ze4d
    @user-cj7lx5ze4d 8 дней назад +1

    Jaman nataka 😂😂😂😂 nataka namba ya mzee saidi

  • @qrrrqtqt9976
    @qrrrqtqt9976 6 дней назад +1

    Nipeni likes nami😂😂nampenda huyu baba nikija ntamtafuta

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 8 дней назад +1

    Nlikua cjaona mnachekea nini adi nimejikuta nacheka ndo nikajua kumbe Mzee Said anatupa raha huku😅😅😅😅 anyway bigup kwake maisha haya hayahitaji hasira wala kukaza sana fuvu unajiachia tu yaendelee

  • @RoseDaudi-u5t
    @RoseDaudi-u5t 7 дней назад +1

    Mzee njoo yanga jezi mpya nitakununulia
    😅

  • @user-dq5cm1xy5t
    @user-dq5cm1xy5t 8 дней назад +1

    said nimefurai kaka nakukubali

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz 10 дней назад +6

    Chama haendi yanga anawasunbua Simba tu ili apate mkata mzuri ila la wao hawajielewi yamekaa km mbumbumbu

  • @D_sound22
    @D_sound22 9 дней назад +2

    No and yes 😂😂

  • @tanzaniabusesupdates5311
    @tanzaniabusesupdates5311 10 дней назад +5

    Mzee saidi vita na saidoo imeisha sasa hivi imehamia kwa fred funga funga na Jobe, kama hii interview hawatatajwa hawa watu, basi huyu mzee saidi fake😂😂😂😂😂😂😂😂saidoo,fred, jobe vs mzee saidi

  • @TmKt-kx7pq
    @TmKt-kx7pq 10 дней назад +2

    😅😅😅😅 mzee said bhana😅

  • @nelsonkunambi532
    @nelsonkunambi532 10 дней назад +5

    Eeee sa itakuwaje

  • @HassanMpinda-sr5fu
    @HassanMpinda-sr5fu 9 дней назад

    Mzee saidi nakukubali Sana man ww n msema kweli hata kama mm n mwananchi

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 10 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂 mzee side asante

  • @JenniferMjie
    @JenniferMjie 10 дней назад +3

    Mavunde 😂😂😂

  • @TadeiMassawe
    @TadeiMassawe 5 дней назад

    Kisugu awezi kuongea point kama zako mzee said maana unaonge ukweli una uchungu na Simba cyo hao wengine wanaiangamiza simba Kwa kujali masilahi yao

  • @mossiombeni4204
    @mossiombeni4204 10 дней назад +2

    Wazima jameni, naomba number za Chagamba, mimi nipo Amerca nafurahiyaga kipindi chake saaana pamoja nauyo mzee Saidi

    • @JosephineItambu
      @JosephineItambu 9 дней назад

      Ziko hapo kwenye video upande wa kulia chini

  • @ProsperMwasomola
    @ProsperMwasomola 6 дней назад

    😂 😂 😂 😂 Daaah uyuu mzeee 🤣🤣🤣

  • @daudimakongoro781
    @daudimakongoro781 5 дней назад

    Mzee saidi nacheka😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Sana kuona chagamba anakuoji

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 10 дней назад +7

    Shida sio chama kuondoka, tatizo anakwenda wapi. Hiyo ndo ki2 watu wa simba hawataki aondoke aende yanga

    • @user-md7sd3hk6l
      @user-md7sd3hk6l 10 дней назад +1

      okwi amisi tambwe yondani migomba kaseja na wengi neo ndiyo mpila mzee komaa kisoka usim pende mchezaji penda simba

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana 6 дней назад

    Saidia mimi fred niko Msumbiji nakupenda sana ukweli wako

  • @davidwilbert5094
    @davidwilbert5094 10 дней назад +3

    Et mzee chama😂😂

  • @user-ux3jj1er3e
    @user-ux3jj1er3e 3 дня назад

    Kwnn babacar paaa😂😂😂😂 lkn ucpomsikiliza ucpoelewa😅

  • @ashirugonza350
    @ashirugonza350 9 дней назад +1

    Huyo mzee❤❤❤❤

  • @kimarobeatus
    @kimarobeatus 9 дней назад +1

    dah kiukweli nafuahi sana nikiingiaaga youtube napendaga sana inter view za chagamba na mzee saidi tuu raha sana nachekaga sana maana mzee saidi ana muhofia sana k azizi

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 9 дней назад

    Waooooooo mzeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @OmaryYassin-m5i
    @OmaryYassin-m5i 7 дней назад

    Mzee said anafurahisha sana

  • @mlowejohn8481
    @mlowejohn8481 10 дней назад +5

    Mnaanza prison lini😂

  • @ShakiraMasoud-ox5tj
    @ShakiraMasoud-ox5tj 6 дней назад

    Mzee said ishi miaka mingi baba yangu

  • @jacksonmatenga9184
    @jacksonmatenga9184 10 дней назад +2

    Ila Mzee Said duuuh

  • @amidubebedou3637
    @amidubebedou3637 9 дней назад

    Mzee saidi nomaa sana

  • @BarnabaJaphet
    @BarnabaJaphet 10 дней назад +1

    Binafsi me naona msim ujao tutafanya vzr kuliko msim huu

  • @ashrafhamza9988
    @ashrafhamza9988 9 дней назад +1

    Kumbe simba kuna bakari paa na hamsemi😅😅

  • @azizakhairy689
    @azizakhairy689 10 дней назад +1

    Ila huyu mzee ni shida 😂😂😂

  • @jumazubeir5787
    @jumazubeir5787 10 дней назад +3

    😂 @kuku