Chaggamba big up ❤ kwa kumleta tena kwenye interview Mzee Said.Ananipa raha sana ns maneno yake ya kuchekesha yanayoumiza kwa wahusika. Mlete kila siku aendeee kutupa raha,kabarikiwa kipaji cha kuzungumza mbele ya camera ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂
Mimi mshabiki wa Simba lakini Saidi ni meama kweliii jamani, Nikiona mahojiano ya Mzee Saidi huwa na hamu mzee wetu Said aongee na nimsikie nakuombeaa uishi miaka 200 maua yako 🌺🌹🌸🥀🌻
Nlikua cjaona mnachekea nini adi nimejikuta nacheka ndo nikajua kumbe Mzee Said anatupa raha huku😅😅😅😅 anyway bigup kwake maisha haya hayahitaji hasira wala kukaza sana fuvu unajiachia tu yaendelee
Mzee saidi vita na saidoo imeisha sasa hivi imehamia kwa fred funga funga na Jobe, kama hii interview hawatatajwa hawa watu, basi huyu mzee saidi fake😂😂😂😂😂😂😂😂saidoo,fred, jobe vs mzee saidi
dah kiukweli nafuahi sana nikiingiaaga youtube napendaga sana inter view za chagamba na mzee saidi tuu raha sana nachekaga sana maana mzee saidi ana muhofia sana k azizi
Mzee Said haki ya Mungu usife mapema😂😂😂😂 we are enjoying with my family
Chagamba anainjoi sanaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Miee nainjoi sana nimecheka jamaniii leo LIKE 10 KAMA NA WEWE unainjoi 🤣
Kama upo IG emb nipe username yako tusalimiane huko
Jaman hahhahahah
😂😂😂😂😂😂😂😂
Haaa
Nimecheka
😂😂😂tujuane wanao furahishwa na mzee said,,,gonga like hapa 😂❤
Kiukweli nafurahi sana chagamba na Mzee Said. Mim nipo Zanzibar
Yupo vizur sana
Bububu apa
Mungu azidi kukupa afya njema Mzee said
Chaggamba big up ❤ kwa kumleta tena kwenye interview Mzee Said.Ananipa raha sana ns maneno yake ya kuchekesha yanayoumiza kwa wahusika. Mlete kila siku aendeee kutupa raha,kabarikiwa kipaji cha kuzungumza mbele ya camera ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂
Nilikuwa nakusubiri kwa hamu mzee wetu Said uishi miaka 1000
Mzee said Kama ustres Niangalie yeye like zangu apa
Mzee said
THE ONLY LIVING LEGEND
KWANZA ANA DATA NA ANAJUA
Dah huyu mzee very funny MUNGU azidi kukupa afya njema 🙏🙏🙏
Mzee said n mmoja tu mtandaoni 🔥🔥✊
Ningeshangaaa sana kama saidooo,fred na jobe wasitajwe kwenye hii interview😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu mzee Mwehu😂😂
Mungu azidi kukupa afya njema Mzee said
❤❤
Mzee ananikumbusha zamani saana,mzee mswahili saana,maisha ya uswazi raha saana
Da mi nacheka sana mzee saidi😅😅😅😅.
Toa ahadi Mzee side ukiona thenk you paa omari jobe unafanya nini 😂😂😂
Said kama said mwamba nakukubali sana baba angu
Ila mzee said bhana kabla hujaongea nishacheka❤❤❤😂😂😂
To be honest mzee said M/mungu akupe maisha marefu 🙏your such a wonderful man 🙏
Eti atapeleka Mangungu timu😂😂 ila huyu mzee ni noma 😂😂 unacheka hadi raha 😅😅
Mzeee said na chagamba big up
Mzee Saidii Ni M’moja Tu Tanzania🔥🔥
Saidi ❤
😂😂😂😂ila Mzee said jmn siku moja nimecheka ety atupeleki timu uwanjani
Mzeee Saidy aaaah jamazako wa dodoma kizota tunakufatiriaa bana
Dah leo mze said umenifanya nicheke sana leo😂😂😂😂😂😂
😅😅 Huyu Mzee bana anatufanya tunacheka wenyewe watu wanashangaa jamaa SHISHA nn kumbe Said😅
Mzee saidi kwa kweli unatoa burudani
Mzee Said anamfunika Miraji siku hizi
Nimefurahi peke angu mzee said shikamooo
Gambaaa moja ya kituu na penda san ww na mzee saidy 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kasato wa umalila stakusahau mzee said umejijengea histolia nzuli sana nakupa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅
Huyu mzee tunamwelewa sana
Huyu dingi huwa namkubali sana
😂😂😂😂😂 Mzee Said dah, yaan umenipunguza stress
Chagamba nainjoi sana ukiongea na mzee saidi mzee nananifurahisha sana anaona mbili
Chukua Hiyo Kutoka Kwa Mzee Said Sitaki Mwenzie Basi.
Kujeni huku jaman mzee saidi anataka kulihutubia taifa kuhusu simba😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
nilijua ya saidoo yameisha baada ya kuondoka😂😂😂
Mzeee said namkubali sanaaa…. Sanaaaaa … sanaaaaaaa!
Hii familia siondoki mzee saidi anafurahisha sana 😂😂
Nawafata saaana hapa Marekani ,ila huyu mzee Saidi ni mwisho.
😂😂😂 Daah... Eti Mpira umeikuta Miguu
...mangungu utapeleka timu mwenyewe 😂😂😂😂....
😂😂😂😅😅😅😅
Mzee said unanipa rahasana yanacheka mwenyewe
Mze anachekeshaa huyu jamani 😂😂😂😂😂😂
Mzee Saidi ni mhmu Dunia hyo ya TZ sisi tupo KWETU KENYA
Mzee said aongezewe hela
Mimi mshabiki wa Simba lakini Saidi ni meama kweliii jamani, Nikiona mahojiano ya Mzee Saidi huwa na hamu mzee wetu Said aongee na nimsikie nakuombeaa uishi miaka 200 maua yako 🌺🌹🌸🥀🌻
mwacheni mzee saidi awaze msimu ujao
Atapeleka mangungu😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzee Saidi mbavu zangu
Aki mzee said unanifurshisha sana ❤❤
Hongera sana kwa karama hiyo 😂😂😂
Hahaha wewe nawe Asante mzee Said kwa uchambuzi nzuri. Yanga Bingwa 2024/2025
Unanifulahisha sana Mzee said
Jamani tabu iko pale pale 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzee said kwa Aziz Ki humwambii kitu 😂😂😂😂
daaaaaah mzeee we ni hatr xnaa😅😅😅😅😅
Mzee xaidi mungu anakuona😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
Hatari na nusu...😂😂😂
Namuelewaga sana uyu mzee said jamani😂😂😂😂❤
Huyu Mzee Balaa Sana 🤣😂😅😅😅😂🤣🤣😂
Nacheka adi nimesaau .Kam nadaiwa ela ya Kodi 😁😁😁😁😁👍
Mzee saidi dah nakuelewa sana😂😂😂
😂😂😂😂😂 eti mashabiki wanakwepa mpira utafikiri wao ndo wamepigiwa😅😅😅😅🙌🙌
I'm waiting
😂😂😂😂😂😂Mimi ni mwananchi ila huyu mzee namkubali sana🙌🙌🙌🙌
Jaman nataka 😂😂😂😂 nataka namba ya mzee saidi
Nipeni likes nami😂😂nampenda huyu baba nikija ntamtafuta
Nlikua cjaona mnachekea nini adi nimejikuta nacheka ndo nikajua kumbe Mzee Said anatupa raha huku😅😅😅😅 anyway bigup kwake maisha haya hayahitaji hasira wala kukaza sana fuvu unajiachia tu yaendelee
Ulikuwa hujaona eeeeh...vinu vya nyukilia😂😂😂😂😂😂😂
Mzee njoo yanga jezi mpya nitakununulia
😅
said nimefurai kaka nakukubali
Chama haendi yanga anawasunbua Simba tu ili apate mkata mzuri ila la wao hawajielewi yamekaa km mbumbumbu
No and yes 😂😂
Mzee saidi vita na saidoo imeisha sasa hivi imehamia kwa fred funga funga na Jobe, kama hii interview hawatatajwa hawa watu, basi huyu mzee saidi fake😂😂😂😂😂😂😂😂saidoo,fred, jobe vs mzee saidi
😅😅😅😅 mzee said bhana😅
Eeee sa itakuwaje
Mzee saidi nakukubali Sana man ww n msema kweli hata kama mm n mwananchi
😂😂😂😂😂😂 mzee side asante
Mavunde 😂😂😂
Kisugu awezi kuongea point kama zako mzee said maana unaonge ukweli una uchungu na Simba cyo hao wengine wanaiangamiza simba Kwa kujali masilahi yao
Wazima jameni, naomba number za Chagamba, mimi nipo Amerca nafurahiyaga kipindi chake saaana pamoja nauyo mzee Saidi
Ziko hapo kwenye video upande wa kulia chini
😂 😂 😂 😂 Daaah uyuu mzeee 🤣🤣🤣
Mzee saidi nacheka😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Sana kuona chagamba anakuoji
Shida sio chama kuondoka, tatizo anakwenda wapi. Hiyo ndo ki2 watu wa simba hawataki aondoke aende yanga
okwi amisi tambwe yondani migomba kaseja na wengi neo ndiyo mpila mzee komaa kisoka usim pende mchezaji penda simba
Saidia mimi fred niko Msumbiji nakupenda sana ukweli wako
Et mzee chama😂😂
Kwnn babacar paaa😂😂😂😂 lkn ucpomsikiliza ucpoelewa😅
Huyo mzee❤❤❤❤
dah kiukweli nafuahi sana nikiingiaaga youtube napendaga sana inter view za chagamba na mzee saidi tuu raha sana nachekaga sana maana mzee saidi ana muhofia sana k azizi
Waooooooo mzeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mzee said anafurahisha sana
Mnaanza prison lini😂
Nimecheka hapa balaa😅😅😅
Mzee said ishi miaka mingi baba yangu
Ila Mzee Said duuuh
Mzee saidi nomaa sana
Binafsi me naona msim ujao tutafanya vzr kuliko msim huu
Kumbe simba kuna bakari paa na hamsemi😅😅
Ila huyu mzee ni shida 😂😂😂
😂 @kuku