Huku kuhojiwa kila mara tena na waandishi wasiokuwa hata na hoja za msingi ni kujitafutia migogoro tu, sasa unaenda kuhoji mahusiano ya familia za watu au kuhusu mpira? Father ajiangalie anamuongelea mwanae kwa chuki ya wazi kwenye media bila kufikiri namna gani vinaweza kuibomoa familia yake. Inavyoonekana hawako sawa ila ss ukivileta kwenye media ni kuongeza tatizo.
Hapa sasa nimeelewa, kuna tatizo. Ndiyo maana Ali Kamwe anaropoka ovyo kiasi hata cha kuiaibisha yanga sababu ni kwamba hana radhi na Mzazi. Na akiendelea hivyo atakuja kufika mahali maisha yatampiga ili akili imrudie. Wazazi ni Mungu wa pili duniani. Na anachowafanyia sasa ndicho atakachofanyiwa na wanae na hata zaidi ya hivyo.
Mwandishi huna akili hata kidogo mambo ya familia haya kuhusu acha umbea uliza maswali ya msingi wewe utakuwa ulisomea umbea yani wandishi wengine bana hawana akili kabisa
Mimi nasema hakukosea kwasababu mtoto ni mtoto tu kwa mzee wake hata uwe milionea hata uwe superster kiasi gani mazali imezaliwa wewe bado ni mtoto kiburi kinakupeleka pabaya na radhi ya mzee sio lazima akutamkie akiwa hajaridhika tu na style yako ya maisha basi hiyo ni radh
Mzee kamwe lakini kumbuka ahamed aliwahi kumkosea hata mungu kwa usemaji huo huo kivipi aliwahi sema nitaikamua yanga kama maiti hapo vip wewe ni shekhe nini haki za maiti
Huyu mzee inaonekana hakumlea mwanae. Mzee hovyo!!
Too much information!
Baba hukutakiwa kusema mapungufu ya mwanao katika mitandao umeshamjengea picha mbaya tayari kumbuka ww ni baba ungetumia hekima kunyamaza
Hapa sina chakuwe nasoma komenti🙄
Mzeee waakizamani sanaaa uyuuuuuu mamboo ayoo yakizamani achaaa Mtoto yukoo kazini
MZEE KAMWE HATAHAYO MAHOJIANO NI KWA SABABU YA ALLY ,
Na ww mwandishi mbona mbea hivo ukimgombanisa ali na baba yake utapata nini acha unafiki
Mzee unachofanya sio sahihi! Hayo unazungumza kwenye mitandao sio mahala pake! Unamapungufu makubwa!!!
Huku kuhojiwa kila mara tena na waandishi wasiokuwa hata na hoja za msingi ni kujitafutia migogoro tu, sasa unaenda kuhoji mahusiano ya familia za watu au kuhusu mpira? Father ajiangalie anamuongelea mwanae kwa chuki ya wazi kwenye media bila kufikiri namna gani vinaweza kuibomoa familia yake. Inavyoonekana hawako sawa ila ss ukivileta kwenye media ni kuongeza tatizo.
Bila Ally ungehojiwa kakuheshimisha sana Ally
Mzee manara alikua Hekima sana
Mzee mwanao yupo kazini acha kuongea sana mtoto ananyonya
Hapa sasa nimeelewa, kuna tatizo. Ndiyo maana Ali Kamwe anaropoka ovyo kiasi hata cha kuiaibisha yanga sababu ni kwamba hana radhi na Mzazi. Na akiendelea hivyo atakuja kufika mahali maisha yatampiga ili akili imrudie. Wazazi ni Mungu wa pili duniani. Na anachowafanyia sasa ndicho atakachofanyiwa na wanae na hata zaidi ya hivyo.
Uko sahihi baba
Safi sana mzee ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
simba nguvu moja ❤❤❤❤❤👍
we mzee unakosea wanakugombanisha awo wandishi
Mzee wangu umekosea ungemwita mwanao pembeni ili mzungumze nae,
Mtoto atenganishe kazi na nidhamu kwa mzazi atajiadhibu
Uko
Mwandishi huna akili hata kidogo mambo ya familia haya kuhusu acha umbea uliza maswali ya msingi wewe utakuwa ulisomea umbea yani wandishi wengine bana hawana akili kabisa
Mzee kaongea ukweli mtupu
Nyie huyu mchaga hakumlea Ali asiongope Ali ka kulia kwingine baada ya kupata hiyo nafasi ndo anajipendekeza tushawachoka wazee wa mjini
Mtoto
Mimi nasema hakukosea kwasababu mtoto ni mtoto tu kwa mzee wake hata uwe milionea hata uwe superster kiasi gani mazali imezaliwa wewe bado ni mtoto kiburi kinakupeleka pabaya na radhi ya mzee sio lazima akutamkie akiwa hajaridhika tu na style yako ya maisha basi hiyo ni radh
Narudia tena baba unakosea na pia unamuharibia mwanao
So ajabu tunachokiona Kwa ally kamwe
Mzee kamwe lakini kumbuka ahamed aliwahi kumkosea hata mungu kwa usemaji huo huo kivipi aliwahi sema nitaikamua yanga kama maiti hapo vip wewe ni shekhe nini haki za maiti
Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi
Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi