🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • ‪@nyundotv‬

Комментарии • 29

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 3 месяца назад +1

    Huyu mzee inaonekana hakumlea mwanae. Mzee hovyo!!
    Too much information!

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Год назад +3

    Baba hukutakiwa kusema mapungufu ya mwanao katika mitandao umeshamjengea picha mbaya tayari kumbuka ww ni baba ungetumia hekima kunyamaza

  • @abdulatifumuyango9800
    @abdulatifumuyango9800 Год назад +3

    Hapa sina chakuwe nasoma komenti🙄

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 6 месяцев назад

    Mzeee waakizamani sanaaa uyuuuuuu mamboo ayoo yakizamani achaaa Mtoto yukoo kazini

  • @jumasaidi8157
    @jumasaidi8157 Год назад +2

    MZEE KAMWE HATAHAYO MAHOJIANO NI KWA SABABU YA ALLY ,

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Год назад +1

    Na ww mwandishi mbona mbea hivo ukimgombanisa ali na baba yake utapata nini acha unafiki

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 3 месяца назад

    Mzee unachofanya sio sahihi! Hayo unazungumza kwenye mitandao sio mahala pake! Unamapungufu makubwa!!!

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 4 месяца назад

    Huku kuhojiwa kila mara tena na waandishi wasiokuwa hata na hoja za msingi ni kujitafutia migogoro tu, sasa unaenda kuhoji mahusiano ya familia za watu au kuhusu mpira? Father ajiangalie anamuongelea mwanae kwa chuki ya wazi kwenye media bila kufikiri namna gani vinaweza kuibomoa familia yake. Inavyoonekana hawako sawa ila ss ukivileta kwenye media ni kuongeza tatizo.

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132 4 месяца назад

    Bila Ally ungehojiwa kakuheshimisha sana Ally

  • @AsmaMussa-zr3og
    @AsmaMussa-zr3og 4 месяца назад

    Mzee manara alikua Hekima sana

  • @HeliDilunga
    @HeliDilunga 5 месяцев назад

    Mzee mwanao yupo kazini acha kuongea sana mtoto ananyonya

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Год назад

    Hapa sasa nimeelewa, kuna tatizo. Ndiyo maana Ali Kamwe anaropoka ovyo kiasi hata cha kuiaibisha yanga sababu ni kwamba hana radhi na Mzazi. Na akiendelea hivyo atakuja kufika mahali maisha yatampiga ili akili imrudie. Wazazi ni Mungu wa pili duniani. Na anachowafanyia sasa ndicho atakachofanyiwa na wanae na hata zaidi ya hivyo.

  • @lubuvamgosi720
    @lubuvamgosi720 7 месяцев назад

    Uko sahihi baba

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 7 месяцев назад

    Safi sana mzee ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @josephtibu4591
    @josephtibu4591 Год назад

    simba nguvu moja ❤❤❤❤❤👍

  • @shadoomarymtibo2191
    @shadoomarymtibo2191 Год назад +1

    we mzee unakosea wanakugombanisha awo wandishi

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 Год назад

    Mzee wangu umekosea ungemwita mwanao pembeni ili mzungumze nae,

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 7 месяцев назад

    Mtoto atenganishe kazi na nidhamu kwa mzazi atajiadhibu

  • @lubuvamgosi720
    @lubuvamgosi720 7 месяцев назад

    Uko

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 11 месяцев назад +1

    Mwandishi huna akili hata kidogo mambo ya familia haya kuhusu acha umbea uliza maswali ya msingi wewe utakuwa ulisomea umbea yani wandishi wengine bana hawana akili kabisa

  • @jafarirajabukemo1218
    @jafarirajabukemo1218 Год назад

    Mzee kaongea ukweli mtupu

  • @bernadethamugetalazaro7579
    @bernadethamugetalazaro7579 7 месяцев назад

    Nyie huyu mchaga hakumlea Ali asiongope Ali ka kulia kwingine baada ya kupata hiyo nafasi ndo anajipendekeza tushawachoka wazee wa mjini

  • @SaidMohd-l9y
    @SaidMohd-l9y Год назад +1

    Mtoto

  • @MohammedHaji-ew9wo
    @MohammedHaji-ew9wo Год назад

    Mimi nasema hakukosea kwasababu mtoto ni mtoto tu kwa mzee wake hata uwe milionea hata uwe superster kiasi gani mazali imezaliwa wewe bado ni mtoto kiburi kinakupeleka pabaya na radhi ya mzee sio lazima akutamkie akiwa hajaridhika tu na style yako ya maisha basi hiyo ni radh

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Год назад

    Narudia tena baba unakosea na pia unamuharibia mwanao

  • @SaidMohd-l9y
    @SaidMohd-l9y Год назад

    So ajabu tunachokiona Kwa ally kamwe

  • @salimbilal6786
    @salimbilal6786 10 месяцев назад

    Mzee kamwe lakini kumbuka ahamed aliwahi kumkosea hata mungu kwa usemaji huo huo kivipi aliwahi sema nitaikamua yanga kama maiti hapo vip wewe ni shekhe nini haki za maiti

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 7 месяцев назад

    Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 7 месяцев назад

    Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi