Exclusive: BABA MZAZI WA ALI KAMWE AFICHUA/ SIKUPENDA ALI AWE YANGA ALIIKATAA JEZI YA SIMBA UTOTONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • #BATTLETV

Комментарии • 72

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Месяц назад

    M/Mungu akujaalie amani kwenye familia Inshaallah

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 9 месяцев назад

    TUNAKUSHUKURU BABA KWA KUMZAA MTOTO MWENYE MAPENZI YA DHATI NA YANGA YETU

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Год назад +2

    Wazazi kwanza, vijana acheni mizaha kunbukeni wazazi wenu

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Год назад +3

    Ali kamwe kumbe choko kweli hakuna Cha jemedari Wala nini yeye ni kubwa jinga nimsemaji wa timu ya siasa au timu ya ubwabwa jemedari anaongea ukweli kuusu maandazi wakipewa ubwabwa hata mke wake mwanayanga anamtoa mkewe waroho sana njooni vigwaza Kuna shuuri ya mtoto

    • @user-nn5sq8ol4g
      @user-nn5sq8ol4g Год назад

      Ahamed ally ndio ovyo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      UTOPOLO MATUNDU YAO YA MKUNDU HAYOOOOOOOOOOO HAYANA MARINDA KWA KUPENDA MTEE 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​@@user-nn5sq8ol4gMARINDA HAYOOOOOOOOOOO KWA KUPENDA MTEE 😂😂😂😂😂😂

  • @nghomanohosea9251
    @nghomanohosea9251 6 месяцев назад

    Wewe mzee mwanao hawezi kumfikia ahamedi Ali . Mrudishe shule alajifumze hekima

  • @RoidaAsilia
    @RoidaAsilia 9 месяцев назад

    Saw saw baba

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 9 месяцев назад

    Mzee nilitaka niseme jambo lakini nimesita usijenielewa vibaya

  • @josephndaki8003
    @josephndaki8003 Год назад

    "KILA mchezaji wa Yanga mgeni akitua Airport tunamchukuwa".. AHMED ALL

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 Год назад +1

    Yule mtoto hana adabu,kumbe hata kwenye familia yenyewe hayuko vizuri. Huyu mtoto.akajifunze adabu.

    • @ahmedmukolwe43
      @ahmedmukolwe43 Год назад

      Stop being an idiot

    • @user-nn5sq8ol4g
      @user-nn5sq8ol4g Год назад

      Wewe pia wako unawakosea ume msikia akimtukana babaake au mama kama una akilii nenda kwenye mahojiano yakwanza ya uyu mzee alichokua alikifanya huko nyuma waandishi wengine wapuzi tu mzee kua makini usilete ushabiki wasimba ali akiwa kwenyekz ilenikaz kama wampenda mwanao bas ungehama yanga lakini hayo unao ulizwa huo wako pia ni ushabiki tu

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Год назад

    Ali Kamwe mwenyewe ni wa Simba SC.

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 9 месяцев назад

    WANAKUSUMBUA ILI WAMHARIBIE KAZI MWANAO

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Год назад +2

    Hapo ninachokiona ni simba na uyanga

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 9 месяцев назад

    AHMEDY ALI HAJAPEVUKA?ANAWEZAJE KUSEMA YANGA NI MAITI,HUU SIO UTOTO?????

  • @msafirishabani6701
    @msafirishabani6701 Год назад

    🎉toto harina adabu hilo

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Месяц назад

    Heee Ally nae chizi .

  • @issaburhani3455
    @issaburhani3455 Год назад

    Mhmm hatari yaani mapenzi ya simba na yanga yanasababisha baba na mwana kutokuwa na ukaribu imebaki yule baba yule mtoto. Kiimani Kumdharau Baba/Mama ni matatizo ambayo yanapotokea hujui kuwa hiyo ndiyo sababu. Kwa ufupi haipo sawa mpaka kwa Mungu

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w 9 месяцев назад

    Mzee hizi timu hazina fadhila kwa familia , familia yako ni bora kuliko hizi timu ukiwa kama mzazi unapoongea na vyombo vya habari kuwa makini na matamshi yako vinginevyo wewe ndio ndio utaonekana hamnavyo maana ni mzazi ni mtu mzima

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Год назад +1

    MZEE KAMWE NAKUELEWA SANA.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      UNGEMUELEWA BILA YA KUULIZWA NGURUWE MLA MIHOGO WEWE.

  • @lawiyorambwiza4100
    @lawiyorambwiza4100 Год назад

    Mzee ,Simba na Yanga"huweziii ukafanya Simba ety kamwe aiseme Vibayaaaa"@--Hilo jambo halitokaa sawa ...

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Год назад +1

    Baba kwa nini upate taabu kujibu na wewe si umuulze baba yake na yeye alikuwa mtangazaji ?

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j Год назад +1

    Mzee kuwa na hikmaa na kujuwaa wewe ni baba ya familiaa nyumbani

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j Год назад

    Ndio kocha Nabi alikuwa akiwaambia ulizeeni maswali ya msingii

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j Год назад

    Watangazaji kuweni na uweledii wa komhoji mtuu umeenda na ya mpiraa unatafuta ya ndani ya5familiaa

  • @bundalamabula6264
    @bundalamabula6264 Год назад +1

    Bila Ally wasingekutafuta kumbuka hilo

    • @robertndebate5462
      @robertndebate5462 Год назад

      Ujumbe umemfikia mzee acha hasira Hao waandishi wanataka kukuchafua na mwanao wewe unaona sifa watakuja kuvikata vipande vya hovyo watavipost

    • @issaburhani3455
      @issaburhani3455 Год назад

      Wacha hiyo wewe usisupport tu je kama huyo Mzee asingepata Haki yake Kwa mamaye ingekuaje?

    • @issaburhani3455
      @issaburhani3455 Год назад

      Kama siyo mbegu ya huyo Mzee huyo jamaa mngemjulia wapi?

  • @user-kx9xn4tw8l
    @user-kx9xn4tw8l Год назад

    Taanyekundu inaonekani kwa mbali baina yamzazi na mtoto

  • @user-op8rf8xo6q
    @user-op8rf8xo6q Год назад

    Huyu kamwe anarana ya babaake

  • @yonaelias5638
    @yonaelias5638 Год назад +2

    Kolo ni kolo tu hadi Siri za familia linatoa.!!

    • @user-kx9xn4tw8l
      @user-kx9xn4tw8l Год назад

      Mzee ni mzee bwege wewe

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      SIRI KAMA IPI KAITOWA MPUMBAVU NGURUWE MLA MIHOGO WEWE

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      ​@@user-kx9xn4tw8lBABAKO MZEE BWEGE NA WEWE MWENYEWE

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Год назад +3

    HALAFU NYIE WAANDISHI MNA MAMBO YA KIPUUZI SANA MBONA MNAENDA KUMHOJI MZAZI WA MTU,MKIJUA NI KOLO?

  • @fortunatafelician5625
    @fortunatafelician5625 Год назад

    Wa Cuba tushaelewa Mzee anaongea utani wabongo wanachikulia seriously Mzee congolee kwa kuwazuga hao waandazi mwisho umempa mwanao maua Yake yupo vzuri

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j Год назад

    Mzee zungumza mambo ya mpiraa sio mambo ya familiaa

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm Год назад

    Mazee ya kipare

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 Год назад +1

    Wazee wanaoongea sana wanawahalibia watoto

  • @lawiyorambwiza4100
    @lawiyorambwiza4100 Год назад +1

    Hahhahahahahaahahha----mzeee ,Kijana yupooo kazini ,mwachee afanye kaziiiii

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      KWANI KAMKAMATA MASHATI??? UTOPOLO WEWE

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g Год назад

    😂😂

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Год назад

    Mzee muanche mtoto afanye kazi yake 🔥🔥

  • @robertndebate5462
    @robertndebate5462 Год назад

    Mzee unaonekana unakinyongo Sana na mwanao Sema nn endelea na Hao waandishi wa Habari watakusaidia unaulizwa Habari za family na ww unaropoka tu mzee ogopa Sana Hao waandishi muulize mama FEI aliropoka ivyo ivyo pole mzee kunjua roho kwa mtoto wako

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 Год назад

      Kwani baya gani alilosema mzee mbona yuko sawa

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 Год назад

      Mzee anaongea point saaana"shida ya watu wa yanga hawajielew"went akil c wawil tu tunajua

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt Год назад

      Hakika umenena kweli, mpila unatugombanisha amwache mwanae afanye kazi hayo mengine hayana tija

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Год назад

    ALLY KAMWE NDIO AWE SIMBA NA UJANJA WOTE HUO ? SIMBA WALIMCHANGIA FEISAL AENDE CAS WAKATI HUO HUO KWAO SIMBA WACHEZAJI WAO WAKIWA NA MGOMO BALIDI WA POSHO..LAKINI SIMBA AWAKUWACHANGIA... MPAKA ALIPOLIWEKA WAZI AHAMED ALLY MAANA ILIFANYWA SIRI..HAO NDIO SIMBA BHANA

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      MLIPENI MZUNGU ALIOWAITA NYANI KWANZA HALAFU UONGEE NYANI WEWE NYIE NDIO UTOPOLO WALA MIHOGO 😂😂😂😂

    • @emmanuelamos6686
      @emmanuelamos6686 Год назад

      Nashukulu mzee meishoni umejitambuwa kuwa upo kwenye mtego usmkanye mtoto kwakutumia mitandao wanakutege ili uhalibu familiya mtoto akikosa mwite nyumbani kwako.hao wandishi mbona wao haujawaji wanaishije na wazazi wao mengine.umeongea.point walipo kuchanganya padogo Sana ukaAnza kutumia hakili zao itavywi.ongea naneno kidogo yasiwe mengi.utahalibu

    • @emmanuelamos6686
      @emmanuelamos6686 Год назад

      Hapo mzee mtoto wakumzaa usiogope kumuita nyumban uspost chochote mtandaoni hata ufanyiwe vibaya punguza jaziba mungu atakubalik

    • @johnurassa3209
      @johnurassa3209 Год назад

      Vijana Aminini hii Fanya ufanyavyo upate radhi ya wazazi haijalishi wapoje baada ya Mungu ni wazazi,Imeandikwa waheshimu baba yako na mama yako siku zako zipate kuwa nyingi ktk nchi upewayo na bwana Mungu wako.

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 Год назад

    Huyu kolo kweli

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      NA WEWE JITOPOLO KWELI NGURUWE MLA MIHOGO WEWE

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Год назад

    ALIKUA ANAWAONGEA WAJINGA WALIOZAMIA UBWABWA KAMA JEMEDARI YULE ANAEISEMA YANGA KILA SIKU.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ANA HAKI GANI YA KUONGELEA WENGINE WAKATI YEYE MWENYEWE KA ALIKWA KWANI NYUMBANI KWAKE PALE??? AACHE UJINGA WA KITOPOLO.

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i Год назад

    Hivi ni mtoto wake kweli wa kumzaa?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      NDIO LAKINI MAMA WA KAMBO KAMHARIBU MTOTO HUYO KAMGEUZA UTOPOLO 😂😂😂😂😂

    • @user-xy8kl9wd2i
      @user-xy8kl9wd2i Год назад

      @@salimmalaka256 duuh kwaiyo huyo baba ana wake wawili

  • @issufomabbetto321
    @issufomabbetto321 Год назад

    kwani mzee kusema ukweli ni tatizo mzeee ni simabasc na yeye aliy ni yanga,sasa tatizo lipo wapi,kwenhe kazi baba anampenda mwanae,na kwenhe ushabiki baba ni simbasc na aliy ni yanga.

  • @bundalamabula6264
    @bundalamabula6264 Год назад +1

    Halafu mzee unapokuwa na waandishi wa habari kuwa makini wanaweza kukuhalibia familia yako, maswali mengine uyaepuke