Chagamba nisipo msikilizaga mzee said huwa naona bundle langu sija litendea haki kutwa nzima leo nlikua natafuta clipu zake za leo mpaka sasa ndo namwona
Mavunde itabidi akutane na Mzee Side ampe milioni moja kumpoza 😂😂😂😂😂 mzee Said bhana anakwambia Hersi kachinja kisogoni. hawaonei huruma anapiga pale pale Kahangaika na chama baada ya miaka saba
@@moherai9120Kwa sababu za kiusalama na faragha ya mtu hawezi tu kutoa namba kirahisi hivyo...kama unamtaka Mzee Said kuna namba ya chagamba kwenye video zilizopita upande wa kulia chini,ukimpata chagamba utaongea nae kuhusu shida yako na Mzee Said na atakusaidia
Huyu Mzee anamachungu na chama kama mm yaan chama ameniuma Sana jaman sema basi.Ubahili wa viongoz wa Simba mmmh umepitiliza ndo maana nilishaur wasiogope kupitisha bakuli Ili kuchangisha pesa za usajil huenda tungembakisha hata chama
Makolo wenye akili watamkubali mzee Said lkn wale akina Mzaramo,kichuguu,Pass 1 na yuko shetani mtoto bado wanaamini Chama ni mchezaji wao sababu ya kupenda kwa kijinga.
Halafu huyu mzee Said kajiuliza maswali ya msingi sana,na nasaha alizozitoa ni muhimu mno,sijawasikia wachambuzi wakiongea haya "Nini kitatokea SIMBA msimu ujao " (1) Paformence ya SIMBA itakuwaje (2) Kariakoo derby itakuwaje,chama ndani,jezi No 17,dakika ya 88;45 Score bord inasoma Yanga 5 SIMBA 0 " Moto utawaka msimbazi "
Wananchi leo tumchangie Mzee Said. Amepiga promo kubwa kwa Yanga. Chagamba tuwekee namba ya Mzee Said tumpige miamala ya nguvu akanywe supu. Halafu tufanye mpango wa kumleta Yanga huyu Mzee. Tutafaidika kwelikupitia hii Online TV ya Chagamba!
Una jipya unakwenda mbele unarudi nyuma,wewe Ni yanga hata kwa maongezi yako.mgunda kaingia na watoto Chama njee.na viongozi wa Simba hawasajiri mbadala wa Chama Bali wanaosajiri timu bora.na wewe pia umechukukitu kidogo pamoja na kina Chama,maduka yote tupa kuleee.vaa fulana zako hizo
Anaehitaji namba ya Mzee Said anitafute kupitia 0782100162 nimpatie namba yake
Sawa gamba
Ila we chagamba unajuakuoji watu mungu akufikishe mbali🎉🎉🎉🎉🎉 mzee saidi wa atali
Jamaniii jamaniii jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi jamaniii 😂😂 CHAGAMBA ANAINJOI NA MZEE SAIDI LIKE 10 😂😂😂
Umeonaeeee yaani mie mwenyewe nilikuwa namngojea mzee said tu
Nimemtafuta mnooo nimefurahi namsikia😂😂
@@reinfridlipili5666 mie tangu asubuhi kila saa nachungulia lakini ola
Veep
@@SadatiRajabu 🤣🤣🤣tunainjoi na mzee saidi
Chagamba nisipo msikilizaga mzee said huwa naona bundle langu sija litendea haki kutwa nzima leo nlikua natafuta clipu zake za leo mpaka sasa ndo namwona
Tulokua tunamsubiri Mzee Saidi tujuane😂
😂😂😂😂😂
Tupo wengi yani uyu mzee
@@ChartyCharz pamoja😂💪
Roho yangu imesuzika kumsikia mzee said toka Asubuh
Nilipooona tu post ya CHAMA nikakumbuka duuh Mzee Said .
Mzee anajua sana, mshabiki Bora wa mwaka huyuu🎉
we ndo unajua mpira sio wakina masatu kisugu ni kumtukana ety kawaujumu Asante Mzee said jmn acha tungoje Miraji kesho inshallah
Mzee said weee umepigaje hapoooo😂😂😂❤
Mavala tusaidie mzee Said akutane na mhe. Mavunde kwa uvumba na ubani. Naona kabisa jinsi watavyokuwa na furaha kukutana.
Huyu ni Chagamba sio Mavala
Mavala ndio nani?
Yaani nimeweka bando kwa ajili ya mzee said
Usiongee sana mzee Said utawaamusha viongozi wa Simba acha walale
😂😂😂
Mpe heshima yake mzee Saidi kwa mujibu wa kiafrika
Toka asubuhi nachungulia huku mpaka saiv nimefanikiwa kukuona kipenz changu mzee said
Mavunde itabidi akutane na Mzee Side ampe milioni moja kumpoza
😂😂😂😂😂 mzee Said bhana anakwambia Hersi kachinja kisogoni.
hawaonei huruma anapiga pale pale
Kahangaika na chama baada ya miaka saba
Hahahah, Mama wewe Yumo mule mule 😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 tunamuona mzee saidi kipenz chetu
Mzee Saidi Mimi Hua nakuelewa Sana uposawa Sana we Mzee wetu ni mshabiki WA ukweli
Chagamba naomba namba yamzee said nimtumie vocha
Tulishaomba hiyo namba ya mzee mpaka tumechoka
@@moherai9120Kwa sababu za kiusalama na faragha ya mtu hawezi tu kutoa namba kirahisi hivyo...kama unamtaka Mzee Said kuna namba ya chagamba kwenye video zilizopita upande wa kulia chini,ukimpata chagamba utaongea nae kuhusu shida yako na Mzee Said na atakusaidia
Mpigieni chagamba atawapa no, no ya chagamba iko kwenye video za miraji upande wa kulia chini
Mbona hata hapa juu comment Yake ya juu ameipin kaweka no Yake kasema mwenye shida na mzee amcheki yeye ili apewe namba@@wisdomcharis7227
@@moherai9120katoa namba awatumie
Mzee SAIDI lete raha weeer
Jaman mzeee said nakukubali sana
huyu mzee nomaa😂
Ila mzee said bhana pole Sana side timu lenu porojo Sana
Dah yanga hawana huruma et
Mzee anaongea kwa hisia sana daaaah hii mipira itakuja kuua watu na presha
mzee uyu yupo Humble sana kiufupi ni mwana Soccer
Dah! We mzee anajua kuongea ukweli. Hongera Sana. Chama karibu Sana yanga.
Pamoja sn
𝙻𝚊𝚣𝚒𝚖𝚊 𝚌𝚊𝚖𝚎𝚛𝚊 𝚖𝚊𝚗 𝚊𝚗𝚊𝚔𝚞𝚏𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚔𝚒𝚌𝚑𝚎𝚔𝚘😂😂
Chagambaa tumemsubiri sana Mzee wetuu
Ila huyu Mzee ana point sana mungu amuweke inshaallllah Mzee wetu Mzee saidi
Kila mtu alikuwa anasubilia Mzee Said
mzee side ❤❤
Mzee saidi mim huwa nakuelewa sana mzee wangu
Hiri zee rinahatari kwenye kuongea big up mzee said
mzee said bhana eti unaenda wapi😂😂
Hii BURUDANI ya Mzee Said! Tumtumiage hata Buku buku za Vocha TUNAENJOY Sana
Pole Sana mzee
MIMI KWANGU KAWAIDA TU NILICHO SIKITIKA NI KUUKOSA MKUNDU WA MCHOME ALIAHIDI ASIPOENDA KWAO UTOPOLONI MACHOGO FC ATATUPA MKUNDU 😂😂😂😂
uyuuu mzee I q mingi sana
Apa umepigaje nilikuwa nimemumiss sana mzee said namupenda sana naitwa jackson
Watu wana rooho mbaya kwa kweli mzee Saidi ALLAH azidi kukupa afya.
Sema mzee said anampenda aziz ki
anampenda mno
Sio mzee saidi Tanzania nzima km unajua mpira lazima utampenda
Jamani habari ya mjini Chama tunaye na tunatamba naye🎉🎉🎉
Hawataki wajinyonge
Kidonda kimetiwa pilipili uko watu hawaelewi Si tuko tunatamba nae
Toka bwana we
Nimesubiri sana hatimae😂😂😂 nakupenda sana we babu
Mzee said 😂😂😂
Huyu Mzee anamachungu na chama kama mm yaan chama ameniuma Sana jaman sema basi.Ubahili wa viongoz wa Simba mmmh umepitiliza ndo maana nilishaur wasiogope kupitisha bakuli Ili kuchangisha pesa za usajil huenda tungembakisha hata chama
Hii ya Chama inaniuma ila basi tu😢
Chagamba umetuchelewesha😊😊
Mzee Said kaumia sana
Pole sana Mzee wangu
😂😂😂😂😂 chagamba nacheka hata sijamusikiliza mzee said ila moto unawaka nimemusubiri San
😂😂😂 shikamoo mzee said
Mzee said 🎉🎉🎉🎉❤❤
Ndio maana sichoki interview za Mzee Said,mtu kupiga danadana halafu anaipiga juu 😂😂😂😂😂😂
Chama mnahitaji awemkubwa kuliko simba ? Wapowachezsji borazaidi yake
HAPO MZEE SAIDI UMESEMA TUMCHUKUWE AZIZI KI KAMA TUNAWEZA
Na wewe nae Chagamba usiharibu jina la mchezaji wetu. Anaitwa Cloutus Cshoota Chama "Triple C".
Siyo Clatusi Chota Chama😂😂😂😂😂😂😂
Makolo wenye akili watamkubali mzee Said lkn wale akina Mzaramo,kichuguu,Pass 1 na yuko shetani mtoto bado wanaamini Chama ni mchezaji wao sababu ya kupenda kwa kijinga.
Halafu huyu mzee Said kajiuliza maswali ya msingi sana,na nasaha alizozitoa ni muhimu mno,sijawasikia wachambuzi wakiongea haya "Nini kitatokea SIMBA msimu ujao " (1) Paformence ya SIMBA itakuwaje (2) Kariakoo derby itakuwaje,chama ndani,jezi No 17,dakika ya 88;45 Score bord inasoma Yanga 5 SIMBA 0 " Moto utawaka msimbazi "
😂😂😂😂 chagamba wallah mwambie mzee said ninakupenda sana jamani 😂😂ninampa maua yake 🎉
Saruti kwa mzee wangu
Mwacheni tragain, awepo..mangungu awepo ili legue iwe ya kufana zaidi.😅😂😂😂
Wananchi leo tumchangie Mzee Said. Amepiga promo kubwa kwa Yanga. Chagamba tuwekee namba ya Mzee Said tumpige miamala ya nguvu akanywe supu. Halafu tufanye mpango wa kumleta Yanga huyu Mzee. Tutafaidika kwelikupitia hii Online TV ya Chagamba!
Wakwanz😂😂😂leo
Weeee❤❤
Mzee Anajuw Xana Kweli Yan Chagamba Kila Bahad Ya Tukiyo Wahi Kwa Mzee Saidii❤🎉🔥🔥🔥
💛💚💛💚💛
Hatimae ugonjw umepon 😂😂 ila mzee said
Mzee said unaongea,GB 64 analopoka akaimbe singeli,mzee side ongea Hali yako,kusema,
Fiat... hersi wetu... ninyi si mmenunua yutong😂😂😂shida iko wapi
Usajili wa mwisho ni kumuleta muzee said jangwani full stop
Waru wa Bongo Movie wameone huyu jamaa. Ana kipaji cha kuzaliwa!
2lieni wana simba timu yenuinajengwa upiya simba nguvu moja😂😂😂
Mzee wa kinyamwezi unawapelekea moto mashabiki mbz zinakata tunaongeza Tena 😂😂
Una jipya unakwenda mbele unarudi nyuma,wewe Ni yanga hata kwa maongezi yako.mgunda kaingia na watoto Chama njee.na viongozi wa Simba hawasajiri mbadala wa Chama Bali wanaosajiri timu bora.na wewe pia umechukukitu kidogo pamoja na kina Chama,maduka yote tupa kuleee.vaa fulana zako hizo
Mzee said mkweli. YANGA HII ITAUMIZA TIMU SANA
Uko sawa mzee
🎉🎉🎉🎉🎉 Moçambique
Huyu Mzee na miraji wanajua Football siyo yule kisugu na masatu hawa ni pumba tupu!
Mzee said njoo yanga aache kuteseka karb jangwan nyuma mwiko
Mzee Saidi sijakuelewa unaposema Pan African na Yanga una maana gani kuihusisha Simba?
Wamechinjia kisogoni, mzee said bhana😂😂😂
Karibu sana Mzee Said Yanga,leo umenifurahisha na Nembo ya Yanga.Karibu sana kwenye tomu ya wananchi upate Raha na Burudani tu.
Huyu mzee huwa ananifurahisha sana nikimaikia
Jamaa muwekee hakimiliki aisee halafu unamuweza kweli kumhoji nasisi wanayanga tunafurahi
MZEE SAID TUNAKUPENDEA UKWELI WAKO SIYO MASATU NA WALE VIBWENGO SIMBA BILA CHAMA ILIKUWA HAKUNA MATOKEO MAZURI
bro tafadhari kapost hii kitu nata uyu mzee anajua sana kapost bro plz asikike
Hatutaki mbadala wa chama.tunataka timu Bora ya simba.unawapa sifa saaaana viongozi wako wa nyuma mwiko
Wewe mzee said waache viongozi wa fanye mabolesho ya kikosi
Umererewa vibaya jifunze kuheshimu wakubwa mbwa wewe
Mm nilkuwa miongoni mwao napenda sana kumskilza huyu mzee 4:59
ILA MZEE SAID WEWE NDIYO SHABIKI WA KWEL WA SIMBA NAKUKUBALI SANAAAA....!
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 huyu mzeee yanga itampa pressure
Tafta pesa Mzee mchezaji anaitaka pesa na mafanikio simba Sasa hamna pesa yanga mitano tena ila simba badilishen washabik wenu
Mzee said uliahid chama akienda yanga nawe unaenda yanga vp ahadi yako ikoje
😂😂😂😂hatimae kapatikana mana nilipatwa na hofu nikajuwa kachukuwa maamuz magumu
HIZI NDIO PRESS CHAGAMBA,SIO ZILE ZA MASATU SIJUI,HAOA KWA MZEE SAID ITAMALIZA MB ZETU VYAKUTOSHA NENDA NA KWA MILAJI SASA
Mm nilkuwa miongoni mwao napenda sana kumskilza huyu mzee
Mm nilkuwa miongoni mwao napenda sana kumskilza huyu mzee
Mtu wa maana sana said
Wachezaji wa m/ kiti na tr agn.hao frd na p jo.mwanasiasa na mpira wp na wp
Mh mavunde tafadhal mtafute mzee saidi umtoe hata lunch kk cos anakupaisha sana