HASIRA ZA MZEE SAID CHAMA KWENDA YANGA| ALIKUWA NA MSAADA SIMBA | AWATOLEA MANENO MAZITO VIONGOZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 606

  • @Finestonline
    @Finestonline  3 месяца назад +36

    Anaehitaji namba ya Mzee Said anitafute kupitia 0782100162 nimpatie namba yake

  • @GasperMwaisa-rb1lf
    @GasperMwaisa-rb1lf 3 месяца назад +45

    Ila we chagamba unajuakuoji watu mungu akufikishe mbali🎉🎉🎉🎉🎉 mzee saidi wa atali

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 месяца назад +87

    Jamaniii jamaniii jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi jamaniii 😂😂 CHAGAMBA ANAINJOI NA MZEE SAIDI LIKE 10 😂😂😂

    • @SadatiRajabu
      @SadatiRajabu 3 месяца назад +1

      Umeonaeeee yaani mie mwenyewe nilikuwa namngojea mzee said tu

    • @reinfridlipili5666
      @reinfridlipili5666 3 месяца назад +1

      Nimemtafuta mnooo nimefurahi namsikia😂😂

    • @SadatiRajabu
      @SadatiRajabu 3 месяца назад

      @@reinfridlipili5666 mie tangu asubuhi kila saa nachungulia lakini ola

    • @RamazanSabuni
      @RamazanSabuni 3 месяца назад

      Veep

    • @Shadia544
      @Shadia544 3 месяца назад +1

      @@SadatiRajabu 🤣🤣🤣tunainjoi na mzee saidi

  • @kimarobeatus
    @kimarobeatus 3 месяца назад +43

    Chagamba nisipo msikilizaga mzee said huwa naona bundle langu sija litendea haki kutwa nzima leo nlikua natafuta clipu zake za leo mpaka sasa ndo namwona

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 3 месяца назад +191

    Tulokua tunamsubiri Mzee Saidi tujuane😂

  • @Benedictopaul-l3g
    @Benedictopaul-l3g 3 месяца назад +55

    Mzee anajua sana, mshabiki Bora wa mwaka huyuu🎉

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 месяца назад +45

    we ndo unajua mpira sio wakina masatu kisugu ni kumtukana ety kawaujumu Asante Mzee said jmn acha tungoje Miraji kesho inshallah

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 3 месяца назад +22

    Mzee said weee umepigaje hapoooo😂😂😂❤

  • @simonjoseph-r2w
    @simonjoseph-r2w 3 месяца назад +22

    Mavala tusaidie mzee Said akutane na mhe. Mavunde kwa uvumba na ubani. Naona kabisa jinsi watavyokuwa na furaha kukutana.

  • @AshaKilagula
    @AshaKilagula 3 месяца назад +20

    Yaani nimeweka bando kwa ajili ya mzee said

  • @ezekielsaid9536
    @ezekielsaid9536 3 месяца назад +46

    Usiongee sana mzee Said utawaamusha viongozi wa Simba acha walale

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid6052 3 месяца назад +12

    Mpe heshima yake mzee Saidi kwa mujibu wa kiafrika

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz 3 месяца назад +12

    Toka asubuhi nachungulia huku mpaka saiv nimefanikiwa kukuona kipenz changu mzee said

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 3 месяца назад +9

    Mavunde itabidi akutane na Mzee Side ampe milioni moja kumpoza
    😂😂😂😂😂 mzee Said bhana anakwambia Hersi kachinja kisogoni.
    hawaonei huruma anapiga pale pale
    Kahangaika na chama baada ya miaka saba

    • @karangwakagaba7358
      @karangwakagaba7358 3 месяца назад

      Hahahah, Mama wewe Yumo mule mule 😅😅😅😅

  • @jumamakame3978
    @jumamakame3978 3 месяца назад +11

    😂😂😂😂😂 tunamuona mzee saidi kipenz chetu

  • @nuhu-sanda
    @nuhu-sanda 3 месяца назад +13

    Mzee Saidi Mimi Hua nakuelewa Sana uposawa Sana we Mzee wetu ni mshabiki WA ukweli

  • @TatuMussa-ps2ui
    @TatuMussa-ps2ui 3 месяца назад +38

    Chagamba naomba namba yamzee said nimtumie vocha

    • @moherai9120
      @moherai9120 3 месяца назад

      Tulishaomba hiyo namba ya mzee mpaka tumechoka

    • @JosephineItambu
      @JosephineItambu 3 месяца назад

      @@moherai9120Kwa sababu za kiusalama na faragha ya mtu hawezi tu kutoa namba kirahisi hivyo...kama unamtaka Mzee Said kuna namba ya chagamba kwenye video zilizopita upande wa kulia chini,ukimpata chagamba utaongea nae kuhusu shida yako na Mzee Said na atakusaidia

    • @wisdomcharis7227
      @wisdomcharis7227 3 месяца назад

      Mpigieni chagamba atawapa no, no ya chagamba iko kwenye video za miraji upande wa kulia chini

    • @LilianBitwale
      @LilianBitwale 3 месяца назад

      Mbona hata hapa juu comment Yake ya juu ameipin kaweka no Yake kasema mwenye shida na mzee amcheki yeye ili apewe namba​@@wisdomcharis7227

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 месяца назад

      ​@@moherai9120katoa namba awatumie

  • @allynayomo485
    @allynayomo485 3 месяца назад +17

    Mzee SAIDI lete raha weeer

  • @MeckRain
    @MeckRain 3 месяца назад +13

    Jaman mzeee said nakukubali sana

  • @ibrahmenard
    @ibrahmenard 3 месяца назад +11

    huyu mzee nomaa😂

  • @Danielmayunga
    @Danielmayunga 3 месяца назад +11

    Ila mzee said bhana pole Sana side timu lenu porojo Sana

  • @LazaroPetro-y1s
    @LazaroPetro-y1s 3 месяца назад +11

    Dah yanga hawana huruma et

  • @bethuelnjau4877
    @bethuelnjau4877 3 месяца назад +8

    Mzee anaongea kwa hisia sana daaaah hii mipira itakuja kuua watu na presha

  • @khalfantepani890
    @khalfantepani890 3 месяца назад +12

    mzee uyu yupo Humble sana kiufupi ni mwana Soccer

  • @AsminKhery
    @AsminKhery 3 месяца назад +23

    Dah! We mzee anajua kuongea ukweli. Hongera Sana. Chama karibu Sana yanga.

  • @juliusmachaku
    @juliusmachaku 3 месяца назад +12

    Pamoja sn

  • @crystopherjoenas
    @crystopherjoenas 3 месяца назад +2

    𝙻𝚊𝚣𝚒𝚖𝚊 𝚌𝚊𝚖𝚎𝚛𝚊 𝚖𝚊𝚗 𝚊𝚗𝚊𝚔𝚞𝚏𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚔𝚒𝚌𝚑𝚎𝚔𝚘😂😂

  • @wazirimwandete4429
    @wazirimwandete4429 3 месяца назад +26

    Chagambaa tumemsubiri sana Mzee wetuu

  • @HassaniBakari-qj7ft
    @HassaniBakari-qj7ft 3 месяца назад +7

    Ila huyu Mzee ana point sana mungu amuweke inshaallllah Mzee wetu Mzee saidi

  • @octaviusrutta4553
    @octaviusrutta4553 3 месяца назад +7

    Kila mtu alikuwa anasubilia Mzee Said

  • @HawaJuma-cv7ph
    @HawaJuma-cv7ph 3 месяца назад +12

    mzee side ❤❤

  • @PatrickMakandi
    @PatrickMakandi 3 месяца назад +27

    Mzee saidi mim huwa nakuelewa sana mzee wangu

  • @RichardAmosi-hz3nm
    @RichardAmosi-hz3nm 3 месяца назад +7

    Hiri zee rinahatari kwenye kuongea big up mzee said

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 3 месяца назад +1

    mzee said bhana eti unaenda wapi😂😂

  • @mwabedreamone2897
    @mwabedreamone2897 3 месяца назад

    Hii BURUDANI ya Mzee Said! Tumtumiage hata Buku buku za Vocha TUNAENJOY Sana

  • @Silvetar5gg
    @Silvetar5gg 3 месяца назад +9

    Pole Sana mzee

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +1

    MIMI KWANGU KAWAIDA TU NILICHO SIKITIKA NI KUUKOSA MKUNDU WA MCHOME ALIAHIDI ASIPOENDA KWAO UTOPOLONI MACHOGO FC ATATUPA MKUNDU 😂😂😂😂

  • @kimarobeatus
    @kimarobeatus 3 месяца назад +12

    uyuuu mzee I q mingi sana

  • @JacksonKamanga-xx6ul
    @JacksonKamanga-xx6ul 3 месяца назад +7

    Apa umepigaje nilikuwa nimemumiss sana mzee said namupenda sana naitwa jackson

  • @issaabdi9129
    @issaabdi9129 3 месяца назад +7

    Watu wana rooho mbaya kwa kweli mzee Saidi ALLAH azidi kukupa afya.

  • @Bquality
    @Bquality 3 месяца назад +19

    Sema mzee said anampenda aziz ki

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 3 месяца назад +12

    Jamani habari ya mjini Chama tunaye na tunatamba naye🎉🎉🎉

  • @TheresiaMhagama
    @TheresiaMhagama 3 месяца назад +8

    Toka bwana we

  • @ashurasaid1315
    @ashurasaid1315 3 месяца назад +7

    Nimesubiri sana hatimae😂😂😂 nakupenda sana we babu

  • @shomarinamwandu7930
    @shomarinamwandu7930 3 месяца назад +6

    Mzee said 😂😂😂

  • @EzzyEddy-nv6ti
    @EzzyEddy-nv6ti 3 месяца назад +2

    Huyu Mzee anamachungu na chama kama mm yaan chama ameniuma Sana jaman sema basi.Ubahili wa viongoz wa Simba mmmh umepitiliza ndo maana nilishaur wasiogope kupitisha bakuli Ili kuchangisha pesa za usajil huenda tungembakisha hata chama

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 3 месяца назад +6

    Hii ya Chama inaniuma ila basi tu😢

  • @saumumaulidi8768
    @saumumaulidi8768 3 месяца назад +6

    Chagamba umetuchelewesha😊😊

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 3 месяца назад +14

    Mzee Said kaumia sana
    Pole sana Mzee wangu

  • @nderendere.
    @nderendere. 3 месяца назад +4

    😂😂😂😂😂 chagamba nacheka hata sijamusikiliza mzee said ila moto unawaka nimemusubiri San

  • @GiseracharlesGiseracharles
    @GiseracharlesGiseracharles 3 месяца назад +6

    😂😂😂 shikamoo mzee said

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 3 месяца назад +8

    Mzee said 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 3 месяца назад

    Ndio maana sichoki interview za Mzee Said,mtu kupiga danadana halafu anaipiga juu 😂😂😂😂😂😂

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 3 месяца назад

    Chama mnahitaji awemkubwa kuliko simba ? Wapowachezsji borazaidi yake

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +3

    HAPO MZEE SAIDI UMESEMA TUMCHUKUWE AZIZI KI KAMA TUNAWEZA

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha3143 3 месяца назад

    Na wewe nae Chagamba usiharibu jina la mchezaji wetu. Anaitwa Cloutus Cshoota Chama "Triple C".
    Siyo Clatusi Chota Chama😂😂😂😂😂😂😂

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 3 месяца назад +1

    Makolo wenye akili watamkubali mzee Said lkn wale akina Mzaramo,kichuguu,Pass 1 na yuko shetani mtoto bado wanaamini Chama ni mchezaji wao sababu ya kupenda kwa kijinga.

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 3 месяца назад

    Halafu huyu mzee Said kajiuliza maswali ya msingi sana,na nasaha alizozitoa ni muhimu mno,sijawasikia wachambuzi wakiongea haya "Nini kitatokea SIMBA msimu ujao " (1) Paformence ya SIMBA itakuwaje (2) Kariakoo derby itakuwaje,chama ndani,jezi No 17,dakika ya 88;45 Score bord inasoma Yanga 5 SIMBA 0 " Moto utawaka msimbazi "

  • @husnakawana2068
    @husnakawana2068 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂 chagamba wallah mwambie mzee said ninakupenda sana jamani 😂😂ninampa maua yake 🎉

  • @ashorass4431
    @ashorass4431 3 месяца назад +5

    Saruti kwa mzee wangu

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 3 месяца назад

    Mwacheni tragain, awepo..mangungu awepo ili legue iwe ya kufana zaidi.😅😂😂😂

  • @MdungiMdungi
    @MdungiMdungi 3 месяца назад

    Wananchi leo tumchangie Mzee Said. Amepiga promo kubwa kwa Yanga. Chagamba tuwekee namba ya Mzee Said tumpige miamala ya nguvu akanywe supu. Halafu tufanye mpango wa kumleta Yanga huyu Mzee. Tutafaidika kwelikupitia hii Online TV ya Chagamba!

  • @MabruckLingondo
    @MabruckLingondo 3 месяца назад +6

    Wakwanz😂😂😂leo

  • @HijjaSalumu
    @HijjaSalumu 3 месяца назад +6

    Weeee❤❤

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 3 месяца назад +12

    Mzee Anajuw Xana Kweli Yan Chagamba Kila Bahad Ya Tukiyo Wahi Kwa Mzee Saidii❤🎉🔥🔥🔥

  • @hangoson24
    @hangoson24 3 месяца назад +7

    💛💚💛💚💛

  • @SophiaManeno-hc8hl
    @SophiaManeno-hc8hl 3 месяца назад +4

    Hatimae ugonjw umepon 😂😂 ila mzee said

  • @AllyChezo
    @AllyChezo 2 месяца назад

    Mzee said unaongea,GB 64 analopoka akaimbe singeli,mzee side ongea Hali yako,kusema,

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 3 месяца назад

    Fiat... hersi wetu... ninyi si mmenunua yutong😂😂😂shida iko wapi

  • @gatonindabunguye7237
    @gatonindabunguye7237 3 месяца назад +2

    Usajili wa mwisho ni kumuleta muzee said jangwani full stop

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 3 месяца назад

    Waru wa Bongo Movie wameone huyu jamaa. Ana kipaji cha kuzaliwa!

  • @UwesuAbdu
    @UwesuAbdu 3 месяца назад

    2lieni wana simba timu yenuinajengwa upiya simba nguvu moja😂😂😂

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 3 месяца назад

    Mzee wa kinyamwezi unawapelekea moto mashabiki mbz zinakata tunaongeza Tena 😂😂

  • @bushiringamba6971
    @bushiringamba6971 3 месяца назад

    Una jipya unakwenda mbele unarudi nyuma,wewe Ni yanga hata kwa maongezi yako.mgunda kaingia na watoto Chama njee.na viongozi wa Simba hawasajiri mbadala wa Chama Bali wanaosajiri timu bora.na wewe pia umechukukitu kidogo pamoja na kina Chama,maduka yote tupa kuleee.vaa fulana zako hizo

  • @mwlmsekekabola5661
    @mwlmsekekabola5661 3 месяца назад

    Mzee said mkweli. YANGA HII ITAUMIZA TIMU SANA

  • @TwahiliSelemani-j7f
    @TwahiliSelemani-j7f 3 месяца назад +6

    Uko sawa mzee

  • @JumaRachide-kn2vx
    @JumaRachide-kn2vx 3 месяца назад +5

    🎉🎉🎉🎉🎉 Moçambique

  • @alexshambutu5927
    @alexshambutu5927 3 месяца назад

    Huyu Mzee na miraji wanajua Football siyo yule kisugu na masatu hawa ni pumba tupu!

  • @KisodaMhumba
    @KisodaMhumba 3 месяца назад

    Mzee said njoo yanga aache kuteseka karb jangwan nyuma mwiko

  • @jumannemwakalinga2586
    @jumannemwakalinga2586 2 месяца назад

    Mzee Saidi sijakuelewa unaposema Pan African na Yanga una maana gani kuihusisha Simba?

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 месяца назад

    Wamechinjia kisogoni, mzee said bhana😂😂😂

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 3 месяца назад +15

    Karibu sana Mzee Said Yanga,leo umenifurahisha na Nembo ya Yanga.Karibu sana kwenye tomu ya wananchi upate Raha na Burudani tu.

    • @AlexiaMilao
      @AlexiaMilao 3 месяца назад

      Huyu mzee huwa ananifurahisha sana nikimaikia

  • @JJ-fb9jp
    @JJ-fb9jp 3 месяца назад

    Jamaa muwekee hakimiliki aisee halafu unamuweza kweli kumhoji nasisi wanayanga tunafurahi

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 3 месяца назад

    MZEE SAID TUNAKUPENDEA UKWELI WAKO SIYO MASATU NA WALE VIBWENGO SIMBA BILA CHAMA ILIKUWA HAKUNA MATOKEO MAZURI

  • @halidibakari-o8x
    @halidibakari-o8x 3 месяца назад

    bro tafadhari kapost hii kitu nata uyu mzee anajua sana kapost bro plz asikike

  • @bushiringamba6971
    @bushiringamba6971 3 месяца назад

    Hatutaki mbadala wa chama.tunataka timu Bora ya simba.unawapa sifa saaaana viongozi wako wa nyuma mwiko

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 3 месяца назад

    Wewe mzee said waache viongozi wa fanye mabolesho ya kikosi

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 3 месяца назад

    Umererewa vibaya jifunze kuheshimu wakubwa mbwa wewe

  • @HashimusaidychumeChume
    @HashimusaidychumeChume 3 месяца назад

    Mm nilkuwa miongoni mwao napenda sana kumskilza huyu mzee 4:59

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 3 месяца назад +5

    ILA MZEE SAID WEWE NDIYO SHABIKI WA KWEL WA SIMBA NAKUKUBALI SANAAAA....!

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 3 месяца назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 huyu mzeee yanga itampa pressure

  • @abbasisudi6899
    @abbasisudi6899 3 месяца назад

    Tafta pesa Mzee mchezaji anaitaka pesa na mafanikio simba Sasa hamna pesa yanga mitano tena ila simba badilishen washabik wenu

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 3 месяца назад

    Mzee said uliahid chama akienda yanga nawe unaenda yanga vp ahadi yako ikoje

  • @zainaburamadhani1444
    @zainaburamadhani1444 3 месяца назад

    😂😂😂😂hatimae kapatikana mana nilipatwa na hofu nikajuwa kachukuwa maamuz magumu

  • @AbrahamChengula
    @AbrahamChengula 3 месяца назад

    HIZI NDIO PRESS CHAGAMBA,SIO ZILE ZA MASATU SIJUI,HAOA KWA MZEE SAID ITAMALIZA MB ZETU VYAKUTOSHA NENDA NA KWA MILAJI SASA

  • @HashimusaidychumeChume
    @HashimusaidychumeChume 3 месяца назад

    Mm nilkuwa miongoni mwao napenda sana kumskilza huyu mzee

  • @HashimusaidychumeChume
    @HashimusaidychumeChume 3 месяца назад

    Mm nilkuwa miongoni mwao napenda sana kumskilza huyu mzee

  • @joshualukas2123
    @joshualukas2123 3 месяца назад +9

    Mtu wa maana sana said

  • @DeoMkali
    @DeoMkali 3 месяца назад

    Wachezaji wa m/ kiti na tr agn.hao frd na p jo.mwanasiasa na mpira wp na wp

  • @RamadhanKanjoi
    @RamadhanKanjoi 3 месяца назад

    Mh mavunde tafadhal mtafute mzee saidi umtoe hata lunch kk cos anakupaisha sana