#PRESS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 90

  • @maestrokiss7245
    @maestrokiss7245 3 месяца назад +13

    Nilikuwa naisubiri hii maana niliikosa ya LIVE. Ahsante Media team😊

  • @khadijajuma6271
    @khadijajuma6271 3 месяца назад +16

    😂😂😂😂 haitajiii D mbili hiyo, uwe na fagio pamoja na kidumu 😂😂😂😂 Ali kamwe 🙌🙌🙌🙌🙌 nimechekaa kwa sauti hukuu

  • @ShabanPaschal
    @ShabanPaschal 3 месяца назад +8

    Hivi hawaogopi😱😱😱😱😱

  • @JoshuaEmanuel-h8s
    @JoshuaEmanuel-h8s 3 месяца назад +6

    Karibu mwenye nyuma apo....Duh ali kamwe bhan

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 месяца назад +1

    😂😂😊😂😂 Mambo Ni Mengi Muda ni Mchache Dunia inakwenda kwa Kasi Sana "

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV 3 месяца назад +1

    Sisi tulio nje ya mipaka ya Tanzania, watanzania tulio nje na pia wapenzi wa Yanga wasiokuwa Tz, tuweseje kupata taarija za timu yetu pendwa. Tunataka yanga habari pia. Ebu jamani fanyeni kitu

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 3 месяца назад +7

    Yanga Oyeee

  • @paraxedjoseph5174
    @paraxedjoseph5174 3 месяца назад +4

    Kuna watu wapo kijijini huko nilikuwa nakuomba kiongozi wetu tutafute namna ya kuwafikia

  • @thomasmn2723
    @thomasmn2723 3 месяца назад +5

    Mimi niko Indonesia ni jinsi gani naweza kunjungan?

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 3 месяца назад

      Unamaanisha nn KUNJUNGAN?? Au umekosea😢

    • @FatumaShabani-mp9vt
      @FatumaShabani-mp9vt 3 месяца назад

      ​@@muddymuzungu4357😅😅😂😂😂 kujiunga kakosea

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 3 месяца назад

      @@FatumaShabani-mp9vt fatuma usichekeeee😀😀😀😀😀nisaidieeeee

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 3 месяца назад +3

    Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉

  • @abdallahrashid2899
    @abdallahrashid2899 3 месяца назад +4

    Bado magazeti ya yanga😂

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 месяца назад

      Magazet kwa sasa ni biashara ngum na ndio inaend kutowek yan wangejitahid soon as possile wakafungua radio...wakapata pesa kupitia kutangaza matangazo ya wadhamin mbalmbali na kupitia youtube ktk kuckiliza radio hili ni kubwa zile billion 24 radio inawez kutupa ata billion mbili na kuendelea kwa mwaka na ata wadhamin kwa mf: Crdb, Sport pesa nk akitaka atangazwa pia ktk radio lazima aongez kiasi kwa ajili ya radio na si vinginevyo

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 месяца назад +1

    Moja Ya Chama La Mpira Linakua Kwa Kasi Sana Barani Africa,
    GOD BLESS YOUNG AFRICA FOREVER "

  • @martinabel3896
    @martinabel3896 2 месяца назад

    Eng chonchonde msije mkasahau kusajiri mbadala wa aucho, maana tumekosa kombe la shirikisho sababu aucho hakucheza, pia tumemkosa mamelodi sababu aucho hakucheza

  • @LameckSichimata
    @LameckSichimata 3 месяца назад +2

    Mtatu koma mwaka huu 😂😂😂

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 3 месяца назад +1

    Tuisapoti klabu yetu

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 месяца назад

    Makolo Wanapitia Kipindi Kigumu Sana Hamna Namna inabidi Wahame nae Chama japo ni Ngumu Kumeza, Waje Tu Sisi Tuanawapokea Makolo...

  • @bennyteve3871
    @bennyteve3871 3 месяца назад +2

    Tupo pamoja sanaaaaa yanga damu

  • @ziadaidrisa16
    @ziadaidrisa16 3 месяца назад

    Usajl wa mwaka mmoja. Simba ipo na itabaki kuwa simba. Kulkuwa na Okwi na ndo kafnya makubwa. Aende tuu

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 3 месяца назад +2

    huyu kijana wetu alliy kamwe ana poteza madili ya yanga nazani rais wa yanga ana takiwa alijuwehili hata siku tatu hazijesha aliekuwa muwasisi wayanga manji amefiriki dunia siku ileile alliy kamwe anaigiya mitaani nakufaya sherehe jee masalani jambo hili linge tokea kwa kharibu gsm agefayahivyo sisi tuko huku marekani tumesikitishwa sana yanga ipo chama yupo hakunashida

    • @LimseyMassawe
      @LimseyMassawe 3 месяца назад +3

      Acha ujinga.....kwani hukuona kitambaa Cheusi walivyofunguka mkononi kuonyesha majonzi???!! And by the way manji sio main sponsor sasaivi ila wamemuenzi vizuri tu as a club!! Club activities lazima ziendelee, tusipotembea na huu upepo wa chama mapato yatatokea wapi na wewe upo huko marekani ata card ya uwanachama wa msimu uliyopita..... haujalipa, na msimu huu haujalipa???.....Manji tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi, alale mahali pema peponi🙏

    • @PabloPembe-ne7oy
      @PabloPembe-ne7oy 3 месяца назад

      Ww naww umetokea wapi nanu 😅😅😅😅

    • @ellyelly9069
      @ellyelly9069 3 месяца назад

      Wee nawe ndim uko marekan ya buza

  • @fadybeatsPro
    @fadybeatsPro 3 месяца назад +2

    Akili kubwa🔥

  • @shalalishalali3101
    @shalalishalali3101 3 месяца назад +1

    Na ikubali sana hii club,ni wabunifu hatariiii

  • @MohamediSaidi-g4h
    @MohamediSaidi-g4h 3 месяца назад +1

    Ni kweli kuhusu msiba wa yusufu manji ni msiba mkubwa sana kwetu sisi wanayanga.

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 3 месяца назад

    Mzee kamwe atapata presha kwa mtoto huyu😂😂😂

  • @IsayaTweve
    @IsayaTweve 3 месяца назад +1

    Leo ni Dube tunampokea

  • @salummaulid6252
    @salummaulid6252 3 месяца назад +6

    Ali Shaaban Kamwe, Akili nyingi Sana mtu wangu 🙌🙌🙌

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h 3 месяца назад +1

    Nawapongeza viongozi namna ya utoaji wa habari kutu rahisishia habari❤❤

  • @law93king
    @law93king 3 месяца назад +4

    😅😅

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 3 месяца назад

    Hiyo apps ukiwa USA haifanyi kazi, please fanyia kazi hizo apps zimefanye kazi kimatiafa , kuna mashabiki wengi sana nje ya Tanzania

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt 3 месяца назад

    Ndiyo munaifunguwa saa 3 usiku

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 3 месяца назад

    Makolo ya pale EFM yanatapatapa😅😅😅

  • @fredylucas2484
    @fredylucas2484 3 месяца назад +3

    huyu Njiti ana matusi sana Salehe Jembe aje hapa

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 3 месяца назад +1

    Mbona halotel haikubal

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 3 месяца назад

    sasa kama upo nnje ya nchi?

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 3 месяца назад

    Khaaa karatasi16 na Bado alikuwa anataka kuendelea kupiga dolegumba hii kali

  • @EmmanuelMulenga-bc7bj
    @EmmanuelMulenga-bc7bj 3 месяца назад

    me nipo zambia nafanyaje

  • @jacksonlyimo1491
    @jacksonlyimo1491 3 месяца назад

    Paraaaa pitia na hapa😂😂😂😂 daaaah

  • @upendoomary1921
    @upendoomary1921 3 месяца назад

    Tayari unasubili habari

  • @shaibujuma6618
    @shaibujuma6618 3 месяца назад +1

    Hiii kubwa

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 3 месяца назад +1

    Tuchangie tim

  • @JohnMagessa-nw3qs
    @JohnMagessa-nw3qs 3 месяца назад

    Apo ally kamwe aunabaya na yanga yet niwatakie maandalizi memaý

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 3 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂🎉

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 3 месяца назад

    Allaah Akbar

  • @BarikiMlengu
    @BarikiMlengu 3 месяца назад +1

    Hii app haieleweki kabisa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 месяца назад

    Mwamba huyu hapa

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 3 месяца назад +1

    Mbona inagoma

  • @LilianBitwale
    @LilianBitwale 3 месяца назад +2

    App yenyewe inasumbua kulipia toka juz nahangaika inakataa, mkitumiwa msg watsap hamko online 😢😢

  • @MgetabarakaBukori
    @MgetabarakaBukori 3 месяца назад +1

    Bila D 2 huwez elewaa😅😅

  • @bakarimahenge
    @bakarimahenge 3 месяца назад +1

    Nipo zanzibar jumbi mm nimesha jiunga

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 месяца назад +2

    Ktk kitu kingeizia mapato mno ni redio kupitia matangazo na kupitia youtube na hakuna radio naamin itaishinda yang hebu itumien hii fursa mapema

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 3 месяца назад

      Aloo umeongea kitu sanaa yanı noma hebu mwambieni raisi wa yanha

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 3 месяца назад

      Yanı redio huku youtobe itagonga sana aisee tena wawe wanatuwekea Ngoma za yanga

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 месяца назад

      @@زيتونتنزانيا Ndio ivy na huend ikawa ktk top 3 ya radio zinazofanya vzur kama si ya kwanza...cz tyr fans wapo wakutosha ni wanayanga wenyew plus hao wengin ni atar

    • @rukiamtego
      @rukiamtego 3 месяца назад

      Mbn alishawahi kusema kua wapo kwenye mchakato wa ilo jambo na alisema radio itakua palepale jangwani kikubwa ni watangazaji t kujiaandaa na wanatakiwa kuwa wanyanga tu..... nenda kaisikilize Face to Face ya kishamba TV aliyohojiwa semaji aliyaeleza yote hayo

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 месяца назад

      @@rukiamtego saw nakubalian nawe ila wanalichelewesha mno... Nilitaman kuckia leo baada ya yanga habar nickie kwanza uzinduz wa radio cz hii itaingiza kipato zaid kuliko hii Yanga habar

  • @Sunshine0222
    @Sunshine0222 3 месяца назад +3

    😮

  • @NelsonMatambo-ob5zm
    @NelsonMatambo-ob5zm 3 месяца назад +1

    Yangaaaaa

  • @FrenkEliaKafene
    @FrenkEliaKafene 3 месяца назад +1

    Wananchiiiiiiiiiiiiiii

  • @AliMassude-qk7zl
    @AliMassude-qk7zl 3 месяца назад

    Pongezi kwako meneger wa habari na mawasiliano wa wananchi, young africans.

  • @AliMassude-qk7zl
    @AliMassude-qk7zl 3 месяца назад

    Hongera raisi bora wa wananchi, dar, young africans sc, ing, hersi saidi, nakutakia kili la kheri, yanga oyeeeeeeeeee! Makame salum (kipa mstahafu) pande za kiromba chini nanyamba mtwara tz

  • @GilbertRashid
    @GilbertRashid 3 месяца назад +1

    Pamoja

  • @JofuJafet
    @JofuJafet 3 месяца назад

    Ok

  • @BillyBiliu
    @BillyBiliu 3 месяца назад

    Jee watu wa u s a watalipa vip bro

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema04 3 месяца назад

    Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥

  • @MonahMosafiri
    @MonahMosafiri 3 месяца назад +1

    💛💚💛💚💛💚💛

  • @fadhilisule
    @fadhilisule 3 месяца назад

    eti pitia na apa ila kamwe wewe ni mkeraji haijapata tokea

  • @Ktz-kr1nk
    @Ktz-kr1nk 3 месяца назад +4

    Akili mingi 🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 3 месяца назад +1

    149.04#

  • @BraisonIssack
    @BraisonIssack 3 месяца назад

    Wara mumetisha sana chama langu

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela4889 3 месяца назад +1

    Kadi ya wanachama naipataje na kwa ghalama kiasi gani ?

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 3 месяца назад

      Tshs 29000 mnunulie na mzee Shabani Kamwe 😂

    • @odilomwakamela4889
      @odilomwakamela4889 3 месяца назад

      Ninatakiwa kuwa na kitu gani kingine nje ya hiyo 29??

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 3 месяца назад

      @@odilomwakamela4889 kitambulisho

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 3 месяца назад

      @@odilomwakamela4889 ingia kwenye website ya Yanga utaona kila kitu. Ukitaka kua shabiki ni shs 17000

    • @lydiadaudi4076
      @lydiadaudi4076 3 месяца назад

      We uko Tanzania au nchi gani?
      Kama uko Tanzania nenda CRDB au NMB na hiyo pesa utapata kadi. Au ulipo hakuna tawi la wanayanga? Mbona ukienda viongozi watakusajili

  • @davidobonyo7558
    @davidobonyo7558 3 месяца назад

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe1797 3 месяца назад

    Yanga raha san

  • @TunguIzengo
    @TunguIzengo 3 месяца назад

    Namna iyoo

  • @ignaskalembe4198
    @ignaskalembe4198 3 месяца назад

    Safi kabisaaaaaa

  • @mudyAlly-yv8qg
    @mudyAlly-yv8qg 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤yang chama kubwaaaa

  • @mudyAlly-yv8qg
    @mudyAlly-yv8qg 3 месяца назад

    yang rahaaaaaa❤❤

  • @MchanaLive
    @MchanaLive 3 месяца назад +1

    tumekusoma kaka