Sisi tulio nje ya mipaka ya Tanzania, watanzania tulio nje na pia wapenzi wa Yanga wasiokuwa Tz, tuweseje kupata taarija za timu yetu pendwa. Tunataka yanga habari pia. Ebu jamani fanyeni kitu
Magazet kwa sasa ni biashara ngum na ndio inaend kutowek yan wangejitahid soon as possile wakafungua radio...wakapata pesa kupitia kutangaza matangazo ya wadhamin mbalmbali na kupitia youtube ktk kuckiliza radio hili ni kubwa zile billion 24 radio inawez kutupa ata billion mbili na kuendelea kwa mwaka na ata wadhamin kwa mf: Crdb, Sport pesa nk akitaka atangazwa pia ktk radio lazima aongez kiasi kwa ajili ya radio na si vinginevyo
Eng chonchonde msije mkasahau kusajiri mbadala wa aucho, maana tumekosa kombe la shirikisho sababu aucho hakucheza, pia tumemkosa mamelodi sababu aucho hakucheza
huyu kijana wetu alliy kamwe ana poteza madili ya yanga nazani rais wa yanga ana takiwa alijuwehili hata siku tatu hazijesha aliekuwa muwasisi wayanga manji amefiriki dunia siku ileile alliy kamwe anaigiya mitaani nakufaya sherehe jee masalani jambo hili linge tokea kwa kharibu gsm agefayahivyo sisi tuko huku marekani tumesikitishwa sana yanga ipo chama yupo hakunashida
Acha ujinga.....kwani hukuona kitambaa Cheusi walivyofunguka mkononi kuonyesha majonzi???!! And by the way manji sio main sponsor sasaivi ila wamemuenzi vizuri tu as a club!! Club activities lazima ziendelee, tusipotembea na huu upepo wa chama mapato yatatokea wapi na wewe upo huko marekani ata card ya uwanachama wa msimu uliyopita..... haujalipa, na msimu huu haujalipa???.....Manji tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi, alale mahali pema peponi🙏
@@زيتونتنزانيا Ndio ivy na huend ikawa ktk top 3 ya radio zinazofanya vzur kama si ya kwanza...cz tyr fans wapo wakutosha ni wanayanga wenyew plus hao wengin ni atar
Mbn alishawahi kusema kua wapo kwenye mchakato wa ilo jambo na alisema radio itakua palepale jangwani kikubwa ni watangazaji t kujiaandaa na wanatakiwa kuwa wanyanga tu..... nenda kaisikilize Face to Face ya kishamba TV aliyohojiwa semaji aliyaeleza yote hayo
@@rukiamtego saw nakubalian nawe ila wanalichelewesha mno... Nilitaman kuckia leo baada ya yanga habar nickie kwanza uzinduz wa radio cz hii itaingiza kipato zaid kuliko hii Yanga habar
Hongera raisi bora wa wananchi, dar, young africans sc, ing, hersi saidi, nakutakia kili la kheri, yanga oyeeeeeeeeee! Makame salum (kipa mstahafu) pande za kiromba chini nanyamba mtwara tz
We uko Tanzania au nchi gani? Kama uko Tanzania nenda CRDB au NMB na hiyo pesa utapata kadi. Au ulipo hakuna tawi la wanayanga? Mbona ukienda viongozi watakusajili
Nilikuwa naisubiri hii maana niliikosa ya LIVE. Ahsante Media team😊
😂😂😂😂 haitajiii D mbili hiyo, uwe na fagio pamoja na kidumu 😂😂😂😂 Ali kamwe 🙌🙌🙌🙌🙌 nimechekaa kwa sauti hukuu
Hivi hawaogopi😱😱😱😱😱
Karibu mwenye nyuma apo....Duh ali kamwe bhan
😂😂😊😂😂 Mambo Ni Mengi Muda ni Mchache Dunia inakwenda kwa Kasi Sana "
Sisi tulio nje ya mipaka ya Tanzania, watanzania tulio nje na pia wapenzi wa Yanga wasiokuwa Tz, tuweseje kupata taarija za timu yetu pendwa. Tunataka yanga habari pia. Ebu jamani fanyeni kitu
Yanga Oyeee
Kuna watu wapo kijijini huko nilikuwa nakuomba kiongozi wetu tutafute namna ya kuwafikia
Mimi niko Indonesia ni jinsi gani naweza kunjungan?
Unamaanisha nn KUNJUNGAN?? Au umekosea😢
@@muddymuzungu4357😅😅😂😂😂 kujiunga kakosea
@@FatumaShabani-mp9vt fatuma usichekeeee😀😀😀😀😀nisaidieeeee
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉
Bado magazeti ya yanga😂
Magazet kwa sasa ni biashara ngum na ndio inaend kutowek yan wangejitahid soon as possile wakafungua radio...wakapata pesa kupitia kutangaza matangazo ya wadhamin mbalmbali na kupitia youtube ktk kuckiliza radio hili ni kubwa zile billion 24 radio inawez kutupa ata billion mbili na kuendelea kwa mwaka na ata wadhamin kwa mf: Crdb, Sport pesa nk akitaka atangazwa pia ktk radio lazima aongez kiasi kwa ajili ya radio na si vinginevyo
Moja Ya Chama La Mpira Linakua Kwa Kasi Sana Barani Africa,
GOD BLESS YOUNG AFRICA FOREVER "
Eng chonchonde msije mkasahau kusajiri mbadala wa aucho, maana tumekosa kombe la shirikisho sababu aucho hakucheza, pia tumemkosa mamelodi sababu aucho hakucheza
Mtatu koma mwaka huu 😂😂😂
Tuisapoti klabu yetu
Makolo Wanapitia Kipindi Kigumu Sana Hamna Namna inabidi Wahame nae Chama japo ni Ngumu Kumeza, Waje Tu Sisi Tuanawapokea Makolo...
Tupo pamoja sanaaaaa yanga damu
Usajl wa mwaka mmoja. Simba ipo na itabaki kuwa simba. Kulkuwa na Okwi na ndo kafnya makubwa. Aende tuu
huyu kijana wetu alliy kamwe ana poteza madili ya yanga nazani rais wa yanga ana takiwa alijuwehili hata siku tatu hazijesha aliekuwa muwasisi wayanga manji amefiriki dunia siku ileile alliy kamwe anaigiya mitaani nakufaya sherehe jee masalani jambo hili linge tokea kwa kharibu gsm agefayahivyo sisi tuko huku marekani tumesikitishwa sana yanga ipo chama yupo hakunashida
Acha ujinga.....kwani hukuona kitambaa Cheusi walivyofunguka mkononi kuonyesha majonzi???!! And by the way manji sio main sponsor sasaivi ila wamemuenzi vizuri tu as a club!! Club activities lazima ziendelee, tusipotembea na huu upepo wa chama mapato yatatokea wapi na wewe upo huko marekani ata card ya uwanachama wa msimu uliyopita..... haujalipa, na msimu huu haujalipa???.....Manji tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi, alale mahali pema peponi🙏
Ww naww umetokea wapi nanu 😅😅😅😅
Wee nawe ndim uko marekan ya buza
Akili kubwa🔥
Na ikubali sana hii club,ni wabunifu hatariiii
Ni kweli kuhusu msiba wa yusufu manji ni msiba mkubwa sana kwetu sisi wanayanga.
Mzee kamwe atapata presha kwa mtoto huyu😂😂😂
Leo ni Dube tunampokea
Ali Shaaban Kamwe, Akili nyingi Sana mtu wangu 🙌🙌🙌
Nawapongeza viongozi namna ya utoaji wa habari kutu rahisishia habari❤❤
😅😅
Hiyo apps ukiwa USA haifanyi kazi, please fanyia kazi hizo apps zimefanye kazi kimatiafa , kuna mashabiki wengi sana nje ya Tanzania
Ndiyo munaifunguwa saa 3 usiku
Makolo ya pale EFM yanatapatapa😅😅😅
huyu Njiti ana matusi sana Salehe Jembe aje hapa
😂😂😂
Mbona halotel haikubal
sasa kama upo nnje ya nchi?
Khaaa karatasi16 na Bado alikuwa anataka kuendelea kupiga dolegumba hii kali
me nipo zambia nafanyaje
Paraaaa pitia na hapa😂😂😂😂 daaaah
Tayari unasubili habari
Hiii kubwa
Tuchangie tim
Apo ally kamwe aunabaya na yanga yet niwatakie maandalizi memaý
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂🎉
Allaah Akbar
Hii app haieleweki kabisa
Mwamba huyu hapa
Mbona inagoma
App yenyewe inasumbua kulipia toka juz nahangaika inakataa, mkitumiwa msg watsap hamko online 😢😢
Bila D 2 huwez elewaa😅😅
Nipo zanzibar jumbi mm nimesha jiunga
Ktk kitu kingeizia mapato mno ni redio kupitia matangazo na kupitia youtube na hakuna radio naamin itaishinda yang hebu itumien hii fursa mapema
Aloo umeongea kitu sanaa yanı noma hebu mwambieni raisi wa yanha
Yanı redio huku youtobe itagonga sana aisee tena wawe wanatuwekea Ngoma za yanga
@@زيتونتنزانيا Ndio ivy na huend ikawa ktk top 3 ya radio zinazofanya vzur kama si ya kwanza...cz tyr fans wapo wakutosha ni wanayanga wenyew plus hao wengin ni atar
Mbn alishawahi kusema kua wapo kwenye mchakato wa ilo jambo na alisema radio itakua palepale jangwani kikubwa ni watangazaji t kujiaandaa na wanatakiwa kuwa wanyanga tu..... nenda kaisikilize Face to Face ya kishamba TV aliyohojiwa semaji aliyaeleza yote hayo
@@rukiamtego saw nakubalian nawe ila wanalichelewesha mno... Nilitaman kuckia leo baada ya yanga habar nickie kwanza uzinduz wa radio cz hii itaingiza kipato zaid kuliko hii Yanga habar
😮
Yangaaaaa
Wananchiiiiiiiiiiiiiii
Pongezi kwako meneger wa habari na mawasiliano wa wananchi, young africans.
Hongera raisi bora wa wananchi, dar, young africans sc, ing, hersi saidi, nakutakia kili la kheri, yanga oyeeeeeeeeee! Makame salum (kipa mstahafu) pande za kiromba chini nanyamba mtwara tz
Pamoja
Ok
Jee watu wa u s a watalipa vip bro
Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥
💛💚💛💚💛💚💛
eti pitia na apa ila kamwe wewe ni mkeraji haijapata tokea
Akili mingi 🎉🎉
149.04#
Wara mumetisha sana chama langu
Kadi ya wanachama naipataje na kwa ghalama kiasi gani ?
Tshs 29000 mnunulie na mzee Shabani Kamwe 😂
Ninatakiwa kuwa na kitu gani kingine nje ya hiyo 29??
@@odilomwakamela4889 kitambulisho
@@odilomwakamela4889 ingia kwenye website ya Yanga utaona kila kitu. Ukitaka kua shabiki ni shs 17000
We uko Tanzania au nchi gani?
Kama uko Tanzania nenda CRDB au NMB na hiyo pesa utapata kadi. Au ulipo hakuna tawi la wanayanga? Mbona ukienda viongozi watakusajili
Daima mbele nyuma mwiko
Yanga raha san
Namna iyoo
Safi kabisaaaaaa
❤❤❤❤❤❤yang chama kubwaaaa
yang rahaaaaaa❤❤
tumekusoma kaka