Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nikweli mzee simba ni kubwa barani Africka chama mda wake umeisha kwa simba ngoja aangalie uko otopolo nyuma mwiko
😮😮
Viongozi wamefanya maamuzi sahihi kumwacha Chama
Naamin mwanasimba yeyote Leo amefurahi kama anaipenda Simba
Katika vitu vyote uongozi wa Simba sc umeufanya ndani ya misimu mitatu iliyopita na kunifurahisha ni KUACHANA NA CHAMA.
Chama ameenda kulipwa fadhila kwa usaliti wake
Me wa kwanza kufurah chama kuondka
Chama sio Bora sana, kama angekuwa Bora sana na mkataba umemishia Simba kama angekuwa na Nia nae asingekubali atoke, chama ameshachemka litamkuta kama lililomtokea RS Berkane
Chama alikuwa mchezaji mzuri lakni kwa sasa simba hii itakuwa bora zaidi ya wakati alipokuwa cama
Makolo bana 😂😂😂
KWA KWEL HUYU MZEE hajielewi kabisaaa...!
Wewe ndo unakaza fuvu
@@milikimbembela8670 sasa mtaona kitu atakachowaonesha huyo CHAMA....!
Nikweli mzee simba ni kubwa barani Africka chama mda wake umeisha kwa simba ngoja aangalie uko otopolo nyuma mwiko
😮😮
Viongozi wamefanya maamuzi sahihi kumwacha Chama
Naamin mwanasimba yeyote Leo amefurahi kama anaipenda Simba
Katika vitu vyote uongozi wa Simba sc umeufanya ndani ya misimu mitatu iliyopita na kunifurahisha ni KUACHANA NA CHAMA.
Chama ameenda kulipwa fadhila kwa usaliti wake
Me wa kwanza kufurah chama kuondka
Chama sio Bora sana, kama angekuwa Bora sana na mkataba umemishia Simba kama angekuwa na Nia nae asingekubali atoke, chama ameshachemka litamkuta kama lililomtokea RS Berkane
Chama alikuwa mchezaji mzuri lakni kwa sasa simba hii itakuwa bora zaidi ya wakati alipokuwa cama
Makolo bana 😂😂😂
KWA KWEL HUYU MZEE hajielewi kabisaaa...!
Wewe ndo unakaza fuvu
@@milikimbembela8670 sasa mtaona kitu atakachowaonesha huyo CHAMA....!