MZEE MASATU:SIMBA HAWAJAWAHI KUKOSEA KUFANYA MAAMUZI |KWA HILI YANGA MTAJUTIA WENYEWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 13

  • @AmiryHamza-gs8pp
    @AmiryHamza-gs8pp 3 месяца назад +2

    Nikweli mzee simba ni kubwa barani Africka chama mda wake umeisha kwa simba ngoja aangalie uko otopolo nyuma mwiko

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 месяца назад +1

    Viongozi wamefanya maamuzi sahihi kumwacha Chama

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 3 месяца назад +1

    Naamin mwanasimba yeyote Leo amefurahi kama anaipenda Simba

  • @eunho9529
    @eunho9529 3 месяца назад

    Katika vitu vyote uongozi wa Simba sc umeufanya ndani ya misimu mitatu iliyopita na kunifurahisha ni KUACHANA NA CHAMA.

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf 2 месяца назад

    Chama ameenda kulipwa fadhila kwa usaliti wake

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 3 месяца назад

    Me wa kwanza kufurah chama kuondka

  • @augustingodwin9758
    @augustingodwin9758 3 месяца назад

    Chama sio Bora sana, kama angekuwa Bora sana na mkataba umemishia Simba kama angekuwa na Nia nae asingekubali atoke, chama ameshachemka litamkuta kama lililomtokea RS Berkane

  • @MasterNicodemus-yw8tq
    @MasterNicodemus-yw8tq 3 месяца назад

    Chama alikuwa mchezaji mzuri lakni kwa sasa simba hii itakuwa bora zaidi ya wakati alipokuwa cama

  • @allymtanga8127
    @allymtanga8127 3 месяца назад

    Makolo bana 😂😂😂

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 3 месяца назад

    KWA KWEL HUYU MZEE hajielewi kabisaaa...!