Комментарии •

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 24 дня назад +3

    Gb 64 nkufatilia sana cheus cheus cheupe cheupe unabalaaa

  • @PaulSengo
    @PaulSengo 23 дня назад +2

    ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 24 дня назад +1

    Sema sema kaka. Simba hoyooo Mahindiiiiii❤❤❤❤👍👍👍🎉🎉🎉😁😁😁😁😁😁

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 25 дней назад +13

    Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima

    • @AzizaMayemba-td8po
      @AzizaMayemba-td8po 24 дня назад +1

      Mungu awalinde wachezaji wetu na majin ya majilani Amina

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 24 дня назад

      @@AzizaMayemba-td8po Usajili nguvu moja simbasc ndoo zote tunabeba mwakani

    • @user-id5oc7hm4n
      @user-id5oc7hm4n 24 дня назад

      ​@@AzizaMayemba-td8poAminaaaaa

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 18 дней назад

      Omba Mwenyezi Mungu Vitabu vyote Akufunulie Wenye Uwe na Uzima wa Afya Njema tuyaone Mema yote ya Simbasc

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 24 дня назад +2

    Namuunga mkono mhiindi dua muhimu wasiingize kichwa kichwa wabaya wengi

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 24 дня назад +2

    Duwa kwa wachezaji alafu badilishini wapishi wafuwa jezi.

  • @user-pm2ww1ir8z
    @user-pm2ww1ir8z 24 дня назад +4

    🎉🎉🎉🎉 pokea chapu mauwa yako mwamba 64 GB mwanao hapa kutoka tete mozambique ❤❤

  • @shabanabdalatupa
    @shabanabdalatupa 24 дня назад +2

    We kweli chizi ndo maana ulifeli Azania

    • @festoissa7476
      @festoissa7476 19 дней назад +1

      Ukweli unauma,,, kipi kadanganya apo? Kufeli shule hakuwez kuondoa uhalisia wa hoja

  • @user-or3bg6oj9v
    @user-or3bg6oj9v 24 дня назад +2

    Naomba namba ya sim gb 64

  • @georgeuswege5905
    @georgeuswege5905 25 дней назад +2

    Uzuri hivi vitu vipo na tunavihifazi tutawakumbusha Mandunduka

  • @juliussimion7187
    @juliussimion7187 23 дня назад +1

    Huu ndo mda wa kufurahia ss wana simba ila ligi ikiaanza duuu

  • @barakamwacha8214
    @barakamwacha8214 24 дня назад +1

    Mtayala maneno yenu, mwenyewe naogopa kusifia kwanza.
    Huyu ndo atarudi hapa kulia

  • @muharamiamiri9750
    @muharamiamiri9750 23 дня назад

    Huyo anasema fa nne ni ipi na ipi kama sio uongo

  • @salymgaimale235
    @salymgaimale235 25 дней назад +2

    Jamaa anajua kuongea huyo utafikiri kameza betree,maua yake

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 24 дня назад +2

    😅😅😅 eti Baleke kapewa VITS...😅😅

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 25 дней назад +1

    GB 64 imekuwa msajili wa vizazi na vifo mtaimba mwaka huu.mmekuwa NIDA

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 24 дня назад +1

    Tatizo umri, uwezo wanao?
    Timu bora na nzuri huwa na wachezaji wenye umri tofauti lakini wenye uwezo katika pitch

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 25 дней назад +1

    Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu

  • @user-co5qk5xo8i
    @user-co5qk5xo8i 24 дня назад +1

    Uyu Jamaa anaongea hatari unatakiwa uwe na mwamvuli pembeni lasivyo unatoka umelowa😂😂

  • @user-hm6uz7zc5b
    @user-hm6uz7zc5b 20 дней назад

    Kaka unajua kuongea ❤mungu akulinde

  • @Shahasaid
    @Shahasaid 12 дней назад

    Nimekuelewa ndugu

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg 24 дня назад

    Sahihi kabisa kuwalisha viapo sisi tumechoka kuhujumiwa#🎉🎉🎉

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn4882 25 дней назад +2

    yanga jiandaeni kisakologia

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 24 дня назад

    GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane.
    Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 24 дня назад +1

    Wawalinde tu wachezaji wetu usajili Bora kabisa wawalinde hawatoto wafike mbele

    • @TABIAMBWATE
      @TABIAMBWATE 23 дня назад

      mm Simba lakini yanga atuwawez

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 24 дня назад

    Uko vizuri kaka

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 25 дней назад +1

    Daah 😅 kashakua chawa nayeye skuhz😂😂😂

  • @mahamedabdi1881
    @mahamedabdi1881 24 дня назад +1

    Unamaanisha mume wenu karudi 😂😂😂😂😂😂 baado ujasema

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo 24 дня назад +1

    Wanasimba tubakize maneno isije tokea kama mwaka jana subiri matokeo wenzetu wanaenda kimyakimya na wataonyesha uzee wao

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 17 дней назад

      Hakuna cha kubakusha kama hujiamini kavae jezi ya Utopolo ukafie huko

  • @user-wh3so3px2y
    @user-wh3so3px2y 24 дня назад +1

    Ila hichi kingeleza😂😂😂😂

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 25 дней назад +1

    Wachezaji wa bei nafuu tusubiri. Msianze kufungiana

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 25 дней назад +2

    Kwani Mo hakuwepo?

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 24 дня назад

      Mughonile? Kaa huko huko Tukuyu funga mdomo sio viazi mbatata hv. Huu mpira wa Mjini. Kajiunge kuchukua Ndago.

  • @eliwazadaniel6535
    @eliwazadaniel6535 25 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂nampenda buree❤❤❤❤❤

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga 25 дней назад +2

    Viongozi wa Simba msi sahau kuwafanyia maombi wachezaji

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 24 дня назад

      Wanalifahamu ndiyo maana Jana walikaa kikao na Tajiri

  • @PeterMussa-sm7if
    @PeterMussa-sm7if 21 день назад

    Yanga hata ya msimu Jana ilikuwa inatosha kabsaaa sasa wenzangu na mimi Wana bweka nawachezaji ambao hawaujui hata uwezo wao

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus 24 дня назад

    Injinia soma iyo❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-ck1vr4iu7p
    @user-ck1vr4iu7p 21 день назад

    Ngao yanga 5 vs simba 1 vurugu zamangungu zinaanzia apo

  • @georgekagwebe2461
    @georgekagwebe2461 23 дня назад

    Gb64 nitaenjoy one day ukiwa semaji la mnyama

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 23 дня назад

    Muindi wa simba YUPO SAHIHI kabisa.Duaaa MUHIMU

  • @CostaAntino
    @CostaAntino 4 дня назад

    Ungekuwa mwelewa ungelifukuzwa uwalimu

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 23 дня назад

    Mmeyavagaa kwa Gb 64 kazi mnayooo simbaaaaa nguvu mojaa zipo mashine zimesajiliwa hahaha kulia lia sasa basiii wacha tuenjoy

  • @MussaStanley
    @MussaStanley 12 дней назад

    Tuacheni na cmba yete mbwa nyieee yanga

  • @user-ov6kd3jz6c
    @user-ov6kd3jz6c 25 дней назад +1

    LEO UNAONGEA KESHO UKIGONGWA UNASEMA ,HATUMTAKI MANGUNGO

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelis 25 дней назад +1

    Lakini mzamiru mpambanaji

  • @MgangaShabani
    @MgangaShabani 24 дня назад +1

    Unabaya mwalimu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 25 дней назад +1

    Muda utaongea maneno mengi ya nn

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el 23 дня назад

    Wewe hujui Simba timu mbovu mpaka mashabiki wabovu

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 23 дня назад

    Tim mpya ya vijana watakoma uto

  • @ShaibuShaibu-c3e
    @ShaibuShaibu-c3e 24 дня назад

    Machine yakuongea gb mwamba

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 24 дня назад

    Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 24 дня назад

    useme vizur timu ya watoto simba hiii ni alayance,😁😁😁 ngoja tuone

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 24 дня назад

    Yanga wanasajili wachezaji waliotelekezwa

  • @Mosesndela24
    @Mosesndela24 14 дней назад

    kaka unajua na unaongea Kwa mifano Tena mifano ilonyooka

  • @tosh7671
    @tosh7671 24 дня назад

    ULIONA WAPI WATOTO WANASHINDA KOMBE. MIGOGORO INAANZA RASMI BAADA YA KOMBE LA NGAO.MWEZI UJAO TU.

  • @RevocatusKambimbaya
    @RevocatusKambimbaya 24 дня назад

    GB aminia mwanang

  • @Djshilalatz
    @Djshilalatz 12 дней назад

    Mjomba nimama anachamba😅😅😅😅

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 25 дней назад

    Mambo yote uwanjani bwashe sio maneno vijiweni tusubiri.hamna haya mlichangia poit 6 ubingwa wa wananchi?

  • @salehemsumi615
    @salehemsumi615 25 дней назад +1

    Boss karudi,kwani alienda wapi?😊nyie ndio baadae mnakimbia maneno yenu!!!Azam unahamia lini maana Chama tayari yupo Yanga!

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli 25 дней назад

      Wewe haujitambui,huyu alikuwa anawapoza mashabiki wawe na Hali ya kawida,,huyu ni shabiki wa kweli sana

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 24 дня назад

      Na mimi ndo nashangaa! Hawajui kama wahindi si watu wa soka

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 20 дней назад

      ​@@mohdkhatib223acha ujinga wewe

  • @user-ip6xg6jx3g
    @user-ip6xg6jx3g 24 дня назад +2

    Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.

  • @user-em7xh9cn4y
    @user-em7xh9cn4y 24 дня назад

    Ndiyomanaanaitwa gb 64

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 24 дня назад

    Alie sikia kizungu aseme ndioooo

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 24 дня назад

    Fei ToTo karibu msimbazi rahatu

  • @user-tv5px7mw7k
    @user-tv5px7mw7k 24 дня назад

    Sawa msija pamoja

  • @HamisiAthumani-vz1oi
    @HamisiAthumani-vz1oi 24 дня назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SalumSevingi
    @SalumSevingi 24 дня назад

    Saluti gb 64

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 24 дня назад

    Nimekuerewa mwamba

  • @peterchande957
    @peterchande957 24 дня назад

    Bado hujasema

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 24 дня назад

    GB 64 nakuerewa

  • @AnordKapalamba
    @AnordKapalamba 23 дня назад

    Wivuwako unakusumbua

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ 25 дней назад

    Tusubiri mpigwe chuma tano halafu tuskie kelele za mangungu 😂

    • @RashidiMwiga
      @RashidiMwiga 25 дней назад +1

      @@Papycon22_ maisha hayana formula so ukikalili utaferi

  • @MatulizoMahenge
    @MatulizoMahenge 17 дней назад

    Huna baya

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ 25 дней назад

    Kipindi cha usajili makolo wanaongea sana ila ligi ikifika katikati ni mtafutano 😂

  • @user-em7xh9cn4y
    @user-em7xh9cn4y 24 дня назад

    Pamojasana

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 24 дня назад

    Kweri

  • @Shirimaaloyce
    @Shirimaaloyce 25 дней назад +1

    😂😂😂

  • @ChivaKayange
    @ChivaKayange 24 дня назад

    Huyu jamaa mwamba

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 24 дня назад

    Wambie 😂😂😂😂

  • @user-ru3ct5en2m
    @user-ru3ct5en2m 24 дня назад

    Hahah jipe moyo

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi 25 дней назад

    Kwani saido mlipomsajili hajatokea Yanga?

    • @bone102
      @bone102 25 дней назад +1

      Katokea geita gold

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 24 дня назад

    Kweri 😂😂

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 24 дня назад +1

    SIMBA impe kitengo GB64...Jamaa anajua vibaya sana

  • @uredipeter412
    @uredipeter412 25 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd 24 дня назад +1

    😂😂😂😂leo unamtukana chama?kweli kolo kolo tu,..ngojeni legue ianze mtaanza ohooo viongozi wanakula 10% ohoo wametuletea magalasa

    • @edwarddastani3691
      @edwarddastani3691 24 дня назад

      Tuliza mbulolo mzee muda utaongea 🙌 🙌 🙌 🙌

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z 25 дней назад +1

    Ropokeni tu subirini goli nane mpalanganane tena na this time unaenda segerea kabisaaaa bwege wewe

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne123 25 дней назад +3

    Mzamiru Yassin 😂😂😂 ni 30 bhana

  • @georgeuswege5905
    @georgeuswege5905 25 дней назад

    Ndo maana walikufurumusha kwa vyeti feki, angalia mazee yamekosa kazi ya kufanya yanamsikiliza kolo vyeti feki

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 17 дней назад

      Wewe mwenyewe uamaliza hela ya kununulia kitumbua kwa kununua MB😂😂😂

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 25 дней назад

    Washirikina nyie, wanalogwa na nani? Mpira unachezwa mahari peupee.