ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa
Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima
Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu
GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane. Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani
Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.
Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.
Gb 64 nkufatilia sana cheus cheus cheupe cheupe unabalaaa
ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa
Sema sema kaka. Simba hoyooo Mahindiiiiii❤❤❤❤👍👍👍🎉🎉🎉😁😁😁😁😁😁
Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima
Mungu awalinde wachezaji wetu na majin ya majilani Amina
@@AzizaMayemba-td8po Usajili nguvu moja simbasc ndoo zote tunabeba mwakani
@@AzizaMayemba-td8poAminaaaaa
Omba Mwenyezi Mungu Vitabu vyote Akufunulie Wenye Uwe na Uzima wa Afya Njema tuyaone Mema yote ya Simbasc
Namuunga mkono mhiindi dua muhimu wasiingize kichwa kichwa wabaya wengi
Duwa kwa wachezaji alafu badilishini wapishi wafuwa jezi.
🎉🎉🎉🎉 pokea chapu mauwa yako mwamba 64 GB mwanao hapa kutoka tete mozambique ❤❤
We kweli chizi ndo maana ulifeli Azania
Ukweli unauma,,, kipi kadanganya apo? Kufeli shule hakuwez kuondoa uhalisia wa hoja
Naomba namba ya sim gb 64
Uzuri hivi vitu vipo na tunavihifazi tutawakumbusha Mandunduka
Huu ndo mda wa kufurahia ss wana simba ila ligi ikiaanza duuu
Mtayala maneno yenu, mwenyewe naogopa kusifia kwanza.
Huyu ndo atarudi hapa kulia
Huyo anasema fa nne ni ipi na ipi kama sio uongo
Jamaa anajua kuongea huyo utafikiri kameza betree,maua yake
😅😅😅 eti Baleke kapewa VITS...😅😅
GB 64 imekuwa msajili wa vizazi na vifo mtaimba mwaka huu.mmekuwa NIDA
Tatizo umri, uwezo wanao?
Timu bora na nzuri huwa na wachezaji wenye umri tofauti lakini wenye uwezo katika pitch
Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu
Uyu Jamaa anaongea hatari unatakiwa uwe na mwamvuli pembeni lasivyo unatoka umelowa😂😂
Kaka unajua kuongea ❤mungu akulinde
Nimekuelewa ndugu
Sahihi kabisa kuwalisha viapo sisi tumechoka kuhujumiwa#🎉🎉🎉
yanga jiandaeni kisakologia
GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane.
Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani
Wawalinde tu wachezaji wetu usajili Bora kabisa wawalinde hawatoto wafike mbele
mm Simba lakini yanga atuwawez
Uko vizuri kaka
Daah 😅 kashakua chawa nayeye skuhz😂😂😂
Unamaanisha mume wenu karudi 😂😂😂😂😂😂 baado ujasema
Tulia sindano ikuingieee
Wanasimba tubakize maneno isije tokea kama mwaka jana subiri matokeo wenzetu wanaenda kimyakimya na wataonyesha uzee wao
Hakuna cha kubakusha kama hujiamini kavae jezi ya Utopolo ukafie huko
Ila hichi kingeleza😂😂😂😂
Wachezaji wa bei nafuu tusubiri. Msianze kufungiana
Chiziiiii hiloooo
Kwani Mo hakuwepo?
Mughonile? Kaa huko huko Tukuyu funga mdomo sio viazi mbatata hv. Huu mpira wa Mjini. Kajiunge kuchukua Ndago.
😂😂😂😂😂😂😂nampenda buree❤❤❤❤❤
Viongozi wa Simba msi sahau kuwafanyia maombi wachezaji
Wanalifahamu ndiyo maana Jana walikaa kikao na Tajiri
Yanga hata ya msimu Jana ilikuwa inatosha kabsaaa sasa wenzangu na mimi Wana bweka nawachezaji ambao hawaujui hata uwezo wao
Injinia soma iyo❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ngao yanga 5 vs simba 1 vurugu zamangungu zinaanzia apo
Gb64 nitaenjoy one day ukiwa semaji la mnyama
Muindi wa simba YUPO SAHIHI kabisa.Duaaa MUHIMU
Ungekuwa mwelewa ungelifukuzwa uwalimu
Mmeyavagaa kwa Gb 64 kazi mnayooo simbaaaaa nguvu mojaa zipo mashine zimesajiliwa hahaha kulia lia sasa basiii wacha tuenjoy
Tuacheni na cmba yete mbwa nyieee yanga
LEO UNAONGEA KESHO UKIGONGWA UNASEMA ,HATUMTAKI MANGUNGO
Chiziiiiii
Hii haiondoi ubovu wa Mangungu
Lakini mzamiru mpambanaji
Unabaya mwalimu
Muda utaongea maneno mengi ya nn
Wewe hujui Simba timu mbovu mpaka mashabiki wabovu
Tim mpya ya vijana watakoma uto
Machine yakuongea gb mwamba
Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.
useme vizur timu ya watoto simba hiii ni alayance,😁😁😁 ngoja tuone
Yanga wanasajili wachezaji waliotelekezwa
kaka unajua na unaongea Kwa mifano Tena mifano ilonyooka
ULIONA WAPI WATOTO WANASHINDA KOMBE. MIGOGORO INAANZA RASMI BAADA YA KOMBE LA NGAO.MWEZI UJAO TU.
GB aminia mwanang
Mjomba nimama anachamba😅😅😅😅
Mambo yote uwanjani bwashe sio maneno vijiweni tusubiri.hamna haya mlichangia poit 6 ubingwa wa wananchi?
Boss karudi,kwani alienda wapi?😊nyie ndio baadae mnakimbia maneno yenu!!!Azam unahamia lini maana Chama tayari yupo Yanga!
Wewe haujitambui,huyu alikuwa anawapoza mashabiki wawe na Hali ya kawida,,huyu ni shabiki wa kweli sana
Na mimi ndo nashangaa! Hawajui kama wahindi si watu wa soka
@@mohdkhatib223acha ujinga wewe
Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.
Hahah wewe mmbustani....
Ndiyomanaanaitwa gb 64
Alie sikia kizungu aseme ndioooo
Fei ToTo karibu msimbazi rahatu
Sawa msija pamoja
🎉🎉🎉🎉🎉
Saluti gb 64
Nimekuerewa mwamba
Bado hujasema
GB 64 nakuerewa
Wivuwako unakusumbua
Tusubiri mpigwe chuma tano halafu tuskie kelele za mangungu 😂
@@Papycon22_ maisha hayana formula so ukikalili utaferi
Huna baya
Kipindi cha usajili makolo wanaongea sana ila ligi ikifika katikati ni mtafutano 😂
Usiishi kwa kukariri
Pamojasana
Kweri
😂😂😂
Huyu jamaa mwamba
Wambie 😂😂😂😂
Hahah jipe moyo
Kwani saido mlipomsajili hajatokea Yanga?
Katokea geita gold
Kweri 😂😂
SIMBA impe kitengo GB64...Jamaa anajua vibaya sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂leo unamtukana chama?kweli kolo kolo tu,..ngojeni legue ianze mtaanza ohooo viongozi wanakula 10% ohoo wametuletea magalasa
Tuliza mbulolo mzee muda utaongea 🙌 🙌 🙌 🙌
Ropokeni tu subirini goli nane mpalanganane tena na this time unaenda segerea kabisaaaa bwege wewe
Kubalini ukweli
Mzamiru Yassin 😂😂😂 ni 30 bhana
Kumanina wewe ndo baba yake chizi 😂
Au 35 umefurahi xaxa
Ndo maana walikufurumusha kwa vyeti feki, angalia mazee yamekosa kazi ya kufanya yanamsikiliza kolo vyeti feki
Wewe mwenyewe uamaliza hela ya kununulia kitumbua kwa kununua MB😂😂😂
Washirikina nyie, wanalogwa na nani? Mpira unachezwa mahari peupee.