Wakizurura kwani wewe unateseka nini! Nimeamini kuwa ukiwa na roho mbaya unaumizwa na vitu ambavyo hata havikuhusu wacha wafanye watakavyo wanatumia pesa zao wivuuuu tu
..hawakubali kuambiwa, lkn baadae utawaskia MAKOLO wanalalamika, Ooo Mliemda misri kufanya Nini, hizo pesa si mngesajili wachezaji wa maana...yaani Hawa MAKOLO hawaendelei , wanarudia yaleyale 🤣🤣🤣
Hatari Sana
Mashabiki wa yanga tulieni
Nnachompendea Ahmed akurupuki kujibu maswali ya waandishi tofauti na tule kichwa kikubwa mwili mdogo😂😂
Kama wako
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Na utamzaa mwenye kikubwa kweli kweli MUNGU fundi
Hakulupuki lakin anacho kiongea ndio hakielewek
9:46 Ahmed ally ameonesha chama anamuumiza sanaaa..
Apa Umecheza
Best comedians
🔥🔥🔥
Team inawachezaji mazee kama watumishi wa koroshoo😂😂😂
Wachezaji wazee Kama chama na mkude😂😂
comrade imeanza ongereni
Huyu jamaa Ana manemo mengi utafikiri muuza alkasusu kule goba....😂😂😂😂😂😂
𝐍𝐞𝐞𝐝𝐬 𝐦𝐲 𝐥𝐢𝐤𝐞 𝐚𝐦 𝐭𝐡𝐞 𝐟𝐢𝐫𝐬𝐭 😉
As we Speak with you Right now
Kipande nkatiwe huyu jamaa Mbna kma mchovyo ila bila D2 huelewi 😂😂😂
Ila huyo mzee analishwa matango pori mikono juu tu wakila Chuma utasikia Mangungu Out 🤣🤣🤣
Masikini anajiropokea tu .huyu ndiyo wanamfanya chambo😅😅😅😅😅
😅😅😅😅
Ila onana ni mali bado katuokoa San last season
Uyo jamaa mwenye jez ya Simba Yuko na mzuka aisee
Kwa kuwafarijii tu washabiki wa Simba upo vizuri😅
😂😂 jamani anazarau sana et wachezaji wazee kama wafanyakazi bodi ya korosho😢
Mayele aliwanyoosha Kwa sababu hiyo. Kwahiyo hapo tunategemea nguvu ya ziada Kwa wazee wale yajayo yatajulikana😂
😂
Lama acha papala mbona unawah
Mnaenda kutembea kujifunza jinsi ya kuvumilia kipigo Cha mbwa mwitu shenzi nyie
Nendeni kzurula mkirudi kipigo Cha mabao mwaka huu ni 12
Wakizurura kwani wewe unateseka nini! Nimeamini kuwa ukiwa na roho mbaya unaumizwa na vitu ambavyo hata havikuhusu wacha wafanye watakavyo wanatumia pesa zao wivuuuu tu
..hawakubali kuambiwa, lkn baadae utawaskia MAKOLO wanalalamika, Ooo Mliemda misri kufanya Nini, hizo pesa si mngesajili wachezaji wa maana...yaani Hawa MAKOLO hawaendelei , wanarudia yaleyale 🤣🤣🤣
Mzee wa kuwafariji
kamfariji nani wee huumwi
Sasa ulitaka akufariji wewe au?
Juma ngondae kama alivyosema haji manara😂😂😂😂😂😂