Unamuita mwenzako mkaa uchi wakati hujui kati yake.na Mola wake, jee unajuaje kama dakika za mwisho katubu kwa Mola wake?😢😢au wewe ndy bora kuliko wengine?acha kuhukumu kabla hujahukumiwa.
@@ngashsam7586 ndo shida ya dadazetu kuambiwa ukweli hamtaki mtoto wa kiislamu kukaa uchi ni makosa kwa Allah issue kama na ww ni wahivyo dadangu nakushauri mrudie mungu wako leo huyu kesho mimi na ww sasa hata ukimtetea wakati watu wanaposti picha za uchi ni hakuna siri hapo
Kifo ni ndoto ambayo kila binadam ataikamilisha😢Pole sana Salma Allah atupe mwisho mwema inshallah 🤲
Ameen yaa Rabb!🤲
Aamin
Pole sana ndugu Allah awape uvumilivu hii ni hatua ya wote, Allah amlaze mahali pema pepon, inauma tumuachie Allah ameen
Tumrudie mola na tuishi vyema na wazazi wetu
Mungu amempenda zaidi
Innalillah linah wainna linah rajiun 💔😭ALLAH ampe kauli thabit na ampe KITABU chake kwa mkono wa kulia 🤲 KIFO NI FUMBO
Innalillah wainna ilayhi rajiun Allah amjalie kauli thabit Ya Rabbi
Mwenyez ampunguzie na khadhab ya kabur na ampe kauli thabit
inalilah waina ilaha rajiun hakika ss sote tutalejea kwake
Mwenyezi Mungu ampe kauli thabiti Dida sisi watu wakupita 😭😭
innalilah wainnalilahrajn allah ampe mapumziko
Innalillah wa innaillah rajiun.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu ampunguzie adhabu ya kabri
😢😢𝑚𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑎𝑚𝑝𝑢𝑛𝑔𝑢𝑧𝑖𝑒 𝑔𝑎𝑧𝑎𝑏𝑢 𝑧𝑎 𝑘𝑎𝑏𝑢𝑟𝑖
Aaalllah mpepepo yarab
Innalillah wainaillah rajiun Allah ampe makaz mema peponi 😭😭😭
Ibada muhim jmni kifo kipo tusijisahau
Allah ampe kaulii thabit amiin
Pole sana dada
Umlee mtoto wake kama wako
Inna lilahi wainna ilahi rajiun
From 🇧🇮 inalillah wa inalillah rajiun
Tujiandae nahiii safali hakuna atakae bakia kwenye hii dunia
Kifo ni ahadi Kila nafsi itaonja umauti. Mungu ampe kauli thabiti 😭😭 na atupe mwisho mwema kwani hakuna atakaye bakii
Allahumma Ameen 🇬🇧😭
MUNGU AMLAZE PEMA AMEEN
She was your best friend she is no longer your friend jaman Poleni sana
Poleni sana
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Polen sana
Alikuwa anaumwa nin jamnaii😢😢😢 inasikitisha mungu atupe mwisho mwema ishaallah
acha umaraya wako maswali ya kisenge msibani
Rest in peace Dida sorry family 😭😭😭
Mbele yake nyuma yetu kifo nifumbo😭😭
R.i.p 😭😭😭😭
Inna lillahi wainailehy rajiun
Kuna sehem sisi binadamu kwenye hii dunia tunajisahau sana..!!
Wewe kumbuka
Yeye anajikumbukaa😢
Khofu ya mungu mtu alikuwa anakaa uchi khofu ipi hiyo tena😢😢😢
Wew sio mungu au unayofanya yote upo perfect acha kujifny hakimu wa haki
Unamuita mwenzako mkaa uchi wakati hujui kati yake.na Mola wake, jee unajuaje kama dakika za mwisho katubu kwa Mola wake?😢😢au wewe ndy bora kuliko wengine?acha kuhukumu kabla hujahukumiwa.
Mmh siku Yako na wew itafika mwaume punguza mdomoo khaa hujui hatma Yako
Kilaa mtu anadhambi zake , achaa kuhukumu wakati wew unayakooo sirini pyeeeeeeeee🤮
@@ngashsam7586 ndo shida ya dadazetu kuambiwa ukweli hamtaki mtoto wa kiislamu kukaa uchi ni makosa kwa Allah issue kama na ww ni wahivyo dadangu nakushauri mrudie mungu wako leo huyu kesho mimi na ww sasa hata ukimtetea wakati watu wanaposti picha za uchi ni hakuna siri hapo
Tumrudie mola na tuishi vyema na wazazi wetu