NILIKUA NA DIDA ICU/SALMA DACOTA AELEZA MWANZZO MWISHO MPAKA DIDA ANAFARIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 52

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 2 часа назад +10

    Kifo ni ndoto ambayo kila binadam ataikamilisha😢Pole sana Salma Allah atupe mwisho mwema inshallah 🤲

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr Час назад

    Pole sana ndugu Allah awape uvumilivu hii ni hatua ya wote, Allah amlaze mahali pema pepon, inauma tumuachie Allah ameen

  • @ShabaniAlly-tm6bn
    @ShabaniAlly-tm6bn 3 часа назад +5

    Tumrudie mola na tuishi vyema na wazazi wetu

  • @JayMongelah
    @JayMongelah 3 часа назад +2

    Mungu amempenda zaidi

  • @mauaebby2257
    @mauaebby2257 2 часа назад

    Innalillah linah wainna linah rajiun 💔😭ALLAH ampe kauli thabit na ampe KITABU chake kwa mkono wa kulia 🤲 KIFO NI FUMBO

  • @vinanimwinyi3163
    @vinanimwinyi3163 2 часа назад +1

    Innalillah wainna ilayhi rajiun Allah amjalie kauli thabit Ya Rabbi

  • @FatmaAhmad-s6f
    @FatmaAhmad-s6f 19 минут назад +1

    Mwenyez ampunguzie na khadhab ya kabur na ampe kauli thabit

  • @HalimaHashim-lc4iv
    @HalimaHashim-lc4iv Час назад +1

    inalilah waina ilaha rajiun hakika ss sote tutalejea kwake

  • @AminaKissawaga
    @AminaKissawaga 6 минут назад

    Mwenyezi Mungu ampe kauli thabiti Dida sisi watu wakupita 😭😭

  • @KIBONGEMAYELETV
    @KIBONGEMAYELETV 3 часа назад +1

    innalilah wainnalilahrajn allah ampe mapumziko

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 2 часа назад +2

    Innalillah wa innaillah rajiun.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @Didaahsaid005
    @Didaahsaid005 Час назад +1

    Mungu ampunguzie adhabu ya kabri

  • @khadijamasoudmikidady1726
    @khadijamasoudmikidady1726 3 часа назад +5

    😢😢𝑚𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑎𝑚𝑝𝑢𝑛𝑔𝑢𝑧𝑖𝑒 𝑔𝑎𝑧𝑎𝑏𝑢 𝑧𝑎 𝑘𝑎𝑏𝑢𝑟𝑖

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 часа назад +1

    Aaalllah mpepepo yarab

  • @Swamyhassan_sy
    @Swamyhassan_sy 2 часа назад

    Innalillah wainaillah rajiun Allah ampe makaz mema peponi 😭😭😭

  • @hudhaimarajab9103
    @hudhaimarajab9103 Час назад +1

    Ibada muhim jmni kifo kipo tusijisahau

  • @MADAMMACKTV
    @MADAMMACKTV 2 часа назад

    Allah ampe kaulii thabit amiin

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 часа назад

    Pole sana dada

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 Час назад +3

    Umlee mtoto wake kama wako

  • @SuleimanMohamed-j8v
    @SuleimanMohamed-j8v 29 минут назад +1

    Inna lilahi wainna ilahi rajiun

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 32 минуты назад

    From 🇧🇮 inalillah wa inalillah rajiun

  • @AkilinyoMussanyo
    @AkilinyoMussanyo Минуту назад

    Tujiandae nahiii safali hakuna atakae bakia kwenye hii dunia

  • @RukiaMashaka
    @RukiaMashaka 48 минут назад

    Kifo ni ahadi Kila nafsi itaonja umauti. Mungu ampe kauli thabiti 😭😭 na atupe mwisho mwema kwani hakuna atakaye bakii

  • @edmondraymond52
    @edmondraymond52 2 часа назад

    MUNGU AMLAZE PEMA AMEEN

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 2 часа назад

    She was your best friend she is no longer your friend jaman Poleni sana

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 3 часа назад

    Poleni sana

  • @D_shee
    @D_shee 21 минуту назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Polen sana

  • @LovelyDeer-en8hb
    @LovelyDeer-en8hb 2 часа назад +4

    Alikuwa anaumwa nin jamnaii😢😢😢 inasikitisha mungu atupe mwisho mwema ishaallah

    • @D_shee
      @D_shee 19 минут назад +1

      acha umaraya wako maswali ya kisenge msibani

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 Минуту назад

    Rest in peace Dida sorry family 😭😭😭

  • @NilhamHamisi
    @NilhamHamisi Час назад

    Mbele yake nyuma yetu kifo nifumbo😭😭

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 36 минут назад

    R.i.p 😭😭😭😭

  • @rukiasaleh8208
    @rukiasaleh8208 2 часа назад

    Inna lillahi wainailehy rajiun

  • @jumamnambangule1957
    @jumamnambangule1957 2 часа назад

    Kuna sehem sisi binadamu kwenye hii dunia tunajisahau sana..!!

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 2 часа назад +1

    Khofu ya mungu mtu alikuwa anakaa uchi khofu ipi hiyo tena😢😢😢

    • @WitnessMaganga
      @WitnessMaganga 2 часа назад +4

      Wew sio mungu au unayofanya yote upo perfect acha kujifny hakimu wa haki

    • @joycendanundanu9218
      @joycendanundanu9218 Час назад +2

      Unamuita mwenzako mkaa uchi wakati hujui kati yake.na Mola wake, jee unajuaje kama dakika za mwisho katubu kwa Mola wake?😢😢au wewe ndy bora kuliko wengine?acha kuhukumu kabla hujahukumiwa.

    • @ngashsam7586
      @ngashsam7586 Час назад

      Mmh siku Yako na wew itafika mwaume punguza mdomoo khaa hujui hatma Yako

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Час назад

      Kilaa mtu anadhambi zake , achaa kuhukumu wakati wew unayakooo sirini pyeeeeeeeee🤮

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e Час назад

      @@ngashsam7586 ndo shida ya dadazetu kuambiwa ukweli hamtaki mtoto wa kiislamu kukaa uchi ni makosa kwa Allah issue kama na ww ni wahivyo dadangu nakushauri mrudie mungu wako leo huyu kesho mimi na ww sasa hata ukimtetea wakati watu wanaposti picha za uchi ni hakuna siri hapo

  • @ShabaniAlly-tm6bn
    @ShabaniAlly-tm6bn 3 часа назад +4

    Tumrudie mola na tuishi vyema na wazazi wetu