Uko juu mheshimiwa kishimba .wewe una akili nyingi sana .kumbe ndiyo maana watu walikufanyia kazi walifanikiwa .hela zako zina baraka .una upendo ktk maendeleo .mungu azid kukuongezea
Hivi vile vyuo vikuu vinavyo toa Dr. na PhD za she's sheshima katika medali za siasa havimuoni huyu mzee kishimba!? Binafsi namuona anastahili heshima hiyo kwa madini anayotoa kichwani mwake. Ukweli anafikiri kwa kina sana na michango yake siyo ya kuipuuza aisee
Wewe mbunge kishimba una hekima na busara sanaaaa mungu akuendeleze kuwa mbunge wa kudumu kahama
karibu sana ilemela mh kishimba
Kwàñ hawa mawaziri vigezo gan vinatumika kuwachagua bona wavivu sana wa kufikiri hongera kishimba
Apewe maua yake🎉
Kishimba uko vizuri unauwezo wa kufikiri tutetee bwana mdogo mheshimiwa wetu wa KAHHAMA
NAKUKUBALI SANA MZEE 🇹🇿"
Uko juu mheshimiwa kishimba .wewe una akili nyingi sana .kumbe ndiyo maana watu walikufanyia kazi walifanikiwa .hela zako zina baraka .una upendo ktk maendeleo .mungu azid kukuongezea
Mimi katika bunge hili ua na subili sana kuona Mzee wangu asimame azungumuze kwakweli uwa nafarijika kwa mchango wake Asante sana mheshimiwa
Nakukubali xana mxee
Wangefunga galilaya,, tena wanavua wao
Mhe. Dokta professor Jumanne kishimba (mb)
Hongera mzee Kishimba
Huyu mzee kwann asigombee urais huko ccm,,maana hiki kichwa jaman
Kwangu ni Mbunge Bora
Masheria mengine bana...yanatutesaga tu wajameni
Ungekuwa rais nchi hii ingesonga mbele
😂😂😂 ukimsikiliza kishimba afu umskilize lusinde utaamini wagogo ni vilaza
Wagogo wamefikaje we jamaa utani sio
Fact sana mbunge
Mbunge pekee anayefahamu kwanini yupo bungeni, anaongea namna ya kurahisisha maisha ya mwananchi wa kawaida
Huo ni unyanyasaji wa wananchi mtu amerima mwenyewe alafu unampangis kuuza huo wizi tena mkubwa
Mwamba anaongea wote mue kimyaaaaa
SUPERB CONTRIBUTION
Mzee huyu ni kichwa
Hivi vile vyuo vikuu vinavyo toa Dr. na PhD za she's sheshima katika medali za siasa havimuoni huyu mzee kishimba!? Binafsi namuona anastahili heshima hiyo kwa madini anayotoa kichwani mwake. Ukweli anafikiri kwa kina sana na michango yake siyo ya kuipuuza aisee
Ma ccm ,jifunzeni kwa mzee Kishimba,tangu kuongea amejaa busara na maono,mnatuletea watu kama Lusinde wao wameamua kufanya Uchawa kwa serikali.
Hao hawana kitu uchawa una muda wake watu wanalia tozo mlo mmoja tu nk subirini 2025 pengine muibe kura cha moto mtakiona
nendeni uko wanasiasa nyote wizi tu😢