HEKIMA ZA MBUNGE KISHIMBA ZAMKOSHA TABASAM / AONGEA MAMBO MAGUMU KWA LUGHA NYEPESI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2023

Комментарии • 28

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +5

    Wewe mbunge kishimba una hekima na busara sanaaaa mungu akuendeleze kuwa mbunge wa kudumu kahama

  • @jumasangya8709
    @jumasangya8709 8 месяцев назад +1

    karibu sana ilemela mh kishimba

  • @lameckernest633
    @lameckernest633 Год назад +1

    Kwàñ hawa mawaziri vigezo gan vinatumika kuwachagua bona wavivu sana wa kufikiri hongera kishimba

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry 8 месяцев назад +1

    Apewe maua yake🎉

  • @jumannehassan242
    @jumannehassan242 Год назад +2

    Kishimba uko vizuri unauwezo wa kufikiri tutetee bwana mdogo mheshimiwa wetu wa KAHHAMA

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 Год назад +3

    NAKUKUBALI SANA MZEE 🇹🇿"

  • @benardethamhela4898
    @benardethamhela4898 Год назад +4

    Uko juu mheshimiwa kishimba .wewe una akili nyingi sana .kumbe ndiyo maana watu walikufanyia kazi walifanikiwa .hela zako zina baraka .una upendo ktk maendeleo .mungu azid kukuongezea

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa9887 Год назад +1

    Mimi katika bunge hili ua na subili sana kuona Mzee wangu asimame azungumuze kwakweli uwa nafarijika kwa mchango wake Asante sana mheshimiwa

  • @dr.mhochi8249
    @dr.mhochi8249 Год назад +2

    Nakukubali xana mxee

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 Месяц назад

    Wangefunga galilaya,, tena wanavua wao

  • @ms123ru
    @ms123ru Год назад +2

    Mhe. Dokta professor Jumanne kishimba (mb)

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 Год назад +1

    Hongera mzee Kishimba

  • @jumakatanje955
    @jumakatanje955 Год назад +2

    Huyu mzee kwann asigombee urais huko ccm,,maana hiki kichwa jaman

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Год назад +2

    Kwangu ni Mbunge Bora

  • @jeromewilliam3009
    @jeromewilliam3009 Год назад +1

    Masheria mengine bana...yanatutesaga tu wajameni

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 10 месяцев назад +1

    Ungekuwa rais nchi hii ingesonga mbele

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 Год назад +2

    😂😂😂 ukimsikiliza kishimba afu umskilize lusinde utaamini wagogo ni vilaza

  • @alvinbernad6549
    @alvinbernad6549 Год назад +1

    Fact sana mbunge

  • @mrsmile5425
    @mrsmile5425 Год назад +1

    Mbunge pekee anayefahamu kwanini yupo bungeni, anaongea namna ya kurahisisha maisha ya mwananchi wa kawaida

  • @MarandaIhonde-qe6df
    @MarandaIhonde-qe6df Год назад +1

    Huo ni unyanyasaji wa wananchi mtu amerima mwenyewe alafu unampangis kuuza huo wizi tena mkubwa

  • @selemanisalimu8377
    @selemanisalimu8377 Год назад +1

    Mwamba anaongea wote mue kimyaaaaa

  • @sesanyisesanyi-mh7ug
    @sesanyisesanyi-mh7ug Год назад

    SUPERB CONTRIBUTION

  • @batulimwasisime886
    @batulimwasisime886 Год назад +1

    Mzee huyu ni kichwa

  • @charugamba218
    @charugamba218 Год назад +1

    Hivi vile vyuo vikuu vinavyo toa Dr. na PhD za she's sheshima katika medali za siasa havimuoni huyu mzee kishimba!? Binafsi namuona anastahili heshima hiyo kwa madini anayotoa kichwani mwake. Ukweli anafikiri kwa kina sana na michango yake siyo ya kuipuuza aisee

  • @athanasekiyoja8369
    @athanasekiyoja8369 Год назад +3

    Ma ccm ,jifunzeni kwa mzee Kishimba,tangu kuongea amejaa busara na maono,mnatuletea watu kama Lusinde wao wameamua kufanya Uchawa kwa serikali.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Год назад +1

      Hao hawana kitu uchawa una muda wake watu wanalia tozo mlo mmoja tu nk subirini 2025 pengine muibe kura cha moto mtakiona

  • @Laajo1994
    @Laajo1994 Год назад +1

    nendeni uko wanasiasa nyote wizi tu😢