HOTUBA NZITO YA MWENYEKITI WA CPCT MBELE YA WAZIRI MKUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Hotuba nzito ya mwenyekiti wa Cpct mbele ya Waziri Mkuu

Комментарии • 28

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 29 дней назад

    Uko vizuri Bishop, nakutakia utumishi mwema , Taifa letu tutalilinda kwa maombi na Dua,

  • @danielcharles7673
    @danielcharles7673 23 дня назад

    Mweshimiwa bila Bwana Yesu asifiwe hiyo haikuenda Sawa ungeanza na Bwana Yesu asifiwe

  • @PeterMsuka
    @PeterMsuka Месяц назад +3

    Mungu awabariki sana

  • @michaelmwedimage5515
    @michaelmwedimage5515 Месяц назад

    Hongera Sana Baba👏👏👏

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад +1

    Mwenyekiti wa baraza changa la CPCT kwa niaba ya Kanisa, tunamshukuru sana Mungu kwa hotuba yako nzuri sana uliyoitoa yenye ujumbe mahususi wa kusisitiza haki,na uchaguzi huru kwa serikali,na wajibu wetu wananchi wote tukaboreshe daftari la wapiga kura tukahakiki na kuhuisha ili tukapige kura wote. Mungu akubariki sana katika utumishi wako. Kujiandikisha ndio alama na wajibu wa mpiga kura yeyote ili akafanye maamuzi badala ya kuacha kupiga kura,alafu uanze kulalamika juu ya kiongozi ambaye hukumchagua! Mungu libariki Kanisa, ibariki Tanzania, Ibariki Afrika.

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Месяц назад +1

    Mkovizuli Sana mungu awatienguvu naumojawenu YESU awepamojananyi achahao wamchanga mafuta vitamba nk

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala Месяц назад +3

    Mungu ni mwema!

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 29 дней назад

    Selikali Haina Dini isipokuwa inatawaliwa na Mungu , selikali ina Mungu haidi Dini ,naiombea selikali Yetu Ya Tanzania Idumu katika amani

  • @user-we1kw4xb9z
    @user-we1kw4xb9z Месяц назад +2

    Amina baba zetu

  • @ThomasNghwani-nw6rx
    @ThomasNghwani-nw6rx Месяц назад +1

    Hotuba njema sana. Mungu awabariki.

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 29 дней назад

    Ameni

  • @evaristkobelo3936
    @evaristkobelo3936 Месяц назад +1

    Amina Baba

  • @sifaelkikoti3141
    @sifaelkikoti3141 Месяц назад +2

    PALIPO NA UMOJA BWANA HUAMURU BARAKA

  • @benedictormagembe6483
    @benedictormagembe6483 Месяц назад

    Great!

  • @kennedysiyame4087
    @kennedysiyame4087 Месяц назад

    Tunakua Chumvi vipi na ulinzi uko wapi kama watu wanatekwa, wanauawa, wanapotezwa halafu viongozi hamkemei. Waziri amekiri kwamba ushindi haupatikani kwenye Sanduku la kura na viongozi hamjakemea hilo. Tunaelekea wapi?. Mbona mnaleta Siasa kwenye Kanisa?. Hii sio sawa.

  • @deniskimario9288
    @deniskimario9288 Месяц назад

    Kulizungumza hili jambo mbele ya viongozi wa kisiasa ni uchawi mwingine.

  • @AlfanIssaya-k8v
    @AlfanIssaya-k8v Месяц назад

    Baba mwambie waziri mkuu Mbona selikali ina kataza mikesha usiku bila kuwasha vyombo

  • @mathewmbukwa9731
    @mathewmbukwa9731 Месяц назад

    Good

  • @victormbaga5772
    @victormbaga5772 Месяц назад

    Nawe umemuogopa huyo wazir na kubwabwanya hakuna uchaguz uliowahi kuwa huru na haki .watu wameuwawa sana .huyo waziri kimoyomoyo anakucheka !

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Месяц назад

    Uchaguzi bila katiba mpya tume huru ya uchaguzi, na CCM kuacha kuwa chama Dola,,, mengine yote ni porojo,utalindaje Taifa ,unahubirije Amani bila kuhubiri haki,,,,

  • @victormbaga5772
    @victormbaga5772 Месяц назад

    Unajipendekeza nini nyakati za uchaguz unasafiri nje ya nchi nini

  • @radhialmasi9383
    @radhialmasi9383 Месяц назад

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Месяц назад

    Mnajaribu kujenga babeli mnaenda kuongea ujinga ujinga mbele ya waziri mkuu ambaye hata si wa iman yenu kama mna mambo yenu kijinga kijinga si mukaongea wenyewe

  • @GervasiMwacha
    @GervasiMwacha Месяц назад

    Maadhimisho ya miaka 85 tangu kuanzishwa kwa kanisa la T.A.G hapa nchini Tanzania yalifanyika mwaka upi??

    • @GraceNicolas-tr8sk
      @GraceNicolas-tr8sk Месяц назад

      Yalifanyika kitaifa hapa dar es salaam trh 14/7 pale uwanja wa taifa

    • @GervasiMwacha
      @GervasiMwacha Месяц назад

      Ahsante kwa jibu zuri mungu wa mbinguni akubari sana mpendwa.

    • @noelstambuli447
      @noelstambuli447 Месяц назад

      Mwaka huu

    • @eliudndadeba6193
      @eliudndadeba6193 Месяц назад

      yanahusiana na nini haya ya TAG mna nini nyinyi