Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Khasim majaliwa man of God with higher fear of God. God bless you too. Eimen
Upo vizuri sana waziri wetu mungu akupe siku nyingine za kuishi
Nimefurahishwa na maneno yako waziri pale uliposema iko siku inaweza ikatokea ukawa mchungaji woooow jamani Mungu akuinue
Ubarikiwe sana waziri mkuu kwa sadaka yako nzuri MUNGU AKUKUMBUKE BABA
Baba yetu waziri mkuu Mungu akutunze sana sana na mke wako na familia yako
Viongozi wetu wa cpct mko vizuri hongereni sana. Dumisheni umoja huo.
Huyu Majariwa Nikiongozi Mnyenyekevu sana si kwasababu tu ametoa pesa nimnyenyekevu tu.
Baraza halijaongea sakata na hofu iliyopo ya watu kutekwa, watoto hasa Zama hizi kuelekea uchaguzi??
Hongereni cpct
Vizuri sanaa
Imetia moyo sana
12milion TAG
Waziri mkuu wetu Mungu akubariki sana kwa kutokuwa na roho ya ubaguzi. Wewe ni mwiislam lakn bado ulipoalikwa na wakristo umefika na kuhutupia. Hiyo ndio sifa bora ya kiongozi mwenye ukomavu wa kisiasa na kiroho.
Waziri mkuu, hongera sana kwa hotuba yako nzuri. Na Mungu akubariki katika kazi yako.
Hii inatia moyo sana, !
Asant
TKC CHURCH:
Khasim majaliwa man of God with higher fear of God. God bless you too. Eimen
Upo vizuri sana waziri wetu mungu akupe siku nyingine za kuishi
Nimefurahishwa na maneno yako waziri pale uliposema iko siku inaweza ikatokea ukawa mchungaji woooow jamani Mungu akuinue
Ubarikiwe sana waziri mkuu kwa sadaka yako nzuri MUNGU AKUKUMBUKE BABA
Baba yetu waziri mkuu Mungu akutunze sana sana na mke wako na familia yako
Viongozi wetu wa cpct mko vizuri hongereni sana. Dumisheni umoja huo.
Huyu Majariwa Nikiongozi Mnyenyekevu sana si kwasababu tu ametoa pesa nimnyenyekevu tu.
Baraza halijaongea sakata na hofu iliyopo ya watu kutekwa, watoto hasa Zama hizi kuelekea uchaguzi??
Hongereni cpct
Vizuri sanaa
Imetia moyo sana
12milion TAG
Waziri mkuu wetu Mungu akubariki sana kwa kutokuwa na roho ya ubaguzi. Wewe ni mwiislam lakn bado ulipoalikwa na wakristo umefika na kuhutupia. Hiyo ndio sifa bora ya kiongozi mwenye ukomavu wa kisiasa na kiroho.
Waziri mkuu, hongera sana kwa hotuba yako nzuri. Na Mungu akubariki katika kazi yako.
Hii inatia moyo sana, !
Asant
TKC CHURCH: