WAZIRI MKUU AUNGA MKONO WA UJENZI WA MAKAO MAKUU YA CPCT KWA KUCHANGIA KIASI CHA SHS MIL.15

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Achangia Ujenzi wa Makao Makuu ya CPCT kwa kuchangia kiasi cha shs Mil.15 za Tz

Комментарии • 17

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 2 месяца назад

    Khasim majaliwa man of God with higher fear of God. God bless you too. Eimen

  • @joshuabanda7458
    @joshuabanda7458 2 месяца назад

    Upo vizuri sana waziri wetu mungu akupe siku nyingine za kuishi

  • @GraceNicolas-tr8sk
    @GraceNicolas-tr8sk 2 месяца назад +1

    Nimefurahishwa na maneno yako waziri pale uliposema iko siku inaweza ikatokea ukawa mchungaji woooow jamani Mungu akuinue

  • @GraceNicolas-tr8sk
    @GraceNicolas-tr8sk 2 месяца назад

    Ubarikiwe sana waziri mkuu kwa sadaka yako nzuri MUNGU AKUKUMBUKE BABA

  • @GraceNicolas-tr8sk
    @GraceNicolas-tr8sk 2 месяца назад

    Baba yetu waziri mkuu Mungu akutunze sana sana na mke wako na familia yako

  • @AllamyKassy
    @AllamyKassy 2 месяца назад

    Viongozi wetu wa cpct mko vizuri hongereni sana. Dumisheni umoja huo.

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk 2 месяца назад +1

    Huyu Majariwa Nikiongozi Mnyenyekevu sana si kwasababu tu ametoa pesa nimnyenyekevu tu.

  • @MurunguwetoshaDeheaven
    @MurunguwetoshaDeheaven 2 месяца назад

    Baraza halijaongea sakata na hofu iliyopo ya watu kutekwa, watoto hasa Zama hizi kuelekea uchaguzi??

  • @joshuabanda7458
    @joshuabanda7458 2 месяца назад

    Hongereni cpct

  • @magrethkitundu4150
    @magrethkitundu4150 2 месяца назад

    Vizuri sanaa

  • @GervasiMwacha
    @GervasiMwacha 2 месяца назад

    Imetia moyo sana

  • @manfordmkinga4080
    @manfordmkinga4080 2 месяца назад

    12milion TAG

  • @divinemwakapina4059
    @divinemwakapina4059 2 месяца назад

    Waziri mkuu wetu Mungu akubariki sana kwa kutokuwa na roho ya ubaguzi. Wewe ni mwiislam lakn bado ulipoalikwa na wakristo umefika na kuhutupia. Hiyo ndio sifa bora ya kiongozi mwenye ukomavu wa kisiasa na kiroho.

    • @AllamyKassy
      @AllamyKassy 2 месяца назад

      Waziri mkuu, hongera sana kwa hotuba yako nzuri. Na Mungu akubariki katika kazi yako.

  • @lawrencekamete2404
    @lawrencekamete2404 2 месяца назад

    Hii inatia moyo sana, !

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh 2 месяца назад

    Asant

  • @PAULYAKOBOAMA
    @PAULYAKOBOAMA 2 месяца назад

    TKC CHURCH: