MPAKA HOME YAZUA KASHESHE ‘BEI MBAYA’ KWA ESHA BUHETI!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 авг 2017
  • SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
    KIPINDI kinachozidi kujizolea umaarufu mkubwa cha Mpaka Home kinachorushwa kila wiki kupitia channel hii namba moja, wiki hii kilikumbana na kasheshe kubwa, baada ya kumvamia msanii mkongwe, Esha Salim Kaombwe Buheti ‘Mtata’, usiku wa manane kwa lengo la kufanya naye mahojiano kama ilivyo ada yake, hivyo kuzua sekeseke la aina yake.
    Katika uvamizi huo, Esha Buheti ambaye ni mjamzito wa kujifungua wakati wowote, aligeuka mbogo na kumpa masharti mengi na magumu mtangazaji wa kipindi hicho. Hebu tazama mwenyewe ujionee kilichojiri.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 517

  • @kijanakasiaka7208
    @kijanakasiaka7208 6 лет назад +5

    Nmejifunza mengi sana kwa Dada hakika ni mama bora yuko vizuri ningependa nimwone inaonekana ako na madini Fulani mungu akupe maisha marefu sana dadaangu nakupenda sana

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 7 лет назад +4

    Masha Allah shukran Esha Masha Allah uko sawa,Hongera sana .Duuuh mtangazaji umepatikana leo.

  • @davidmihambo3051
    @davidmihambo3051 7 лет назад +4

    one of the best program on television big up global tv , na huyo Brighton msimbadilishe muacheni hivyo hivyo na ukatuni wake inapendeza

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 7 лет назад +16

    Mungu akusaidie Sana ujifungue salama

  • @alialesry5131
    @alialesry5131 7 лет назад +26

    Da Asha nimekupenda sana sana Inshaallah mungu Akujalie ujifunguwe salama mtoto mwenye kheir na wewe Ameen Ameen Yaraby😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚😍😍😍😍😍

  • @hashimoscar1920
    @hashimoscar1920 5 лет назад +3

    Wewe mtangazaji huna quality ya hio kazi cha kwanza ukaaji wako na huyo mwanamke hauridhishi umejongea sana na,moving ur hands near her ukiuliza maswali..second maswali yako hayako proffessional na matamshi yako hayako clear unabaruza sana maneno..tatu uvaaji wako na style unapoongea unaeka tama sana mara,unajipangusa uso maro kubetesha shingo..nafkiri you need to be smart look the write types of questions..they way unapeleka mikono kwa hilo tumbo..unafaa upigwe makofi na kutolewa nje na husband wake ..mshamba sana huyu jamaa global tv munajiebisha to have such people..I'm sure kuna watu wanavipaji wa hii kazi but munawapa watu kujuana someone one like huyu jamaa hafai

  • @user-fq6oz3ls3h
    @user-fq6oz3ls3h 6 лет назад +5

    dada Mara yakwanza nimekuona nimekupena sana mungu akupe kher inshallah ujifunhuwe salama inshallah

  • @veneminja8668
    @veneminja8668 7 лет назад +6

    nakupendaga esha buhet mungu akulinde na kijacho wako

  • @mjsaidkeya
    @mjsaidkeya 6 лет назад +8

    Hahaha MashaAllah ana roho safi sana Esha buheti

  • @hildakaaya6924
    @hildakaaya6924 7 лет назад +19

    daaaa yani hana hata hasira. ...hadi raha 😂😂😂😂

  • @ahmedalminshad1211
    @ahmedalminshad1211 7 лет назад +15

    Woow, huyo mtoto yuko swafi sana aki

  • @shamsaismail7707
    @shamsaismail7707 7 лет назад +7

    Mashaallah tabaraQillah kila lakher Dada Esha Buheti....Lovely lady

  • @hibahmbila3537
    @hibahmbila3537 6 лет назад +5

    Ingawa si ipendi hii tabia ya kuwaendea watu majumbani mwao bila kuwajulisha wahusika , lakini nimempenda huyu Mtangazaji ni mtilivu na heshima .

  • @thauratali3656
    @thauratali3656 7 лет назад +10

    Tumekupenda esha

    • @asaali7380
      @asaali7380 6 лет назад

      Nyumba zilizo haribika kisiwani pemba

  • @mundelemuzuri9623
    @mundelemuzuri9623 5 лет назад +4

    kiukweli atamm nakukubali sn dada Mungu atakusaidia na utajifungua salama

  • @annachuma247
    @annachuma247 7 лет назад +13

    Esha ni mzuri kwa kwel

  • @annakwaha9801
    @annakwaha9801 7 лет назад +12

    Jaman mi nampenda huyu dada....yani nataman alijue hilo...

  • @yassirahmed3061
    @yassirahmed3061 6 лет назад +8

    Katika wasanii wasanii wanawake wa bongo eshe ni number one I love you esah buhetiiii

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 7 лет назад +5

    Hongera Sana esha napenda Sana muvi zako

  • @rahapaulina1451
    @rahapaulina1451 7 лет назад +7

    ahahaha nakupenda sana dada esha. mwanao mzuri

  • @fatinasudi8886
    @fatinasudi8886 7 лет назад +7

    😂😂😂 et unantemea mayai.....nampenda sana huyu dada

  • @magrethmkumbo8510
    @magrethmkumbo8510 6 лет назад +17

    yani watanzania mnavimaneno maneno hatari, mnatoa mapovu mpaka mnaboa, me sijaona kosa lolote hapo hesha buheti ajui kulinga pia me nampenda coz anapenda kusema kweli na ukimkosea hajui kuweka kitu moyoni mtasawazisha na maisha yataendelea.

  • @lykamlaki1218
    @lykamlaki1218 5 лет назад +1

    Aisee hongera sana mtangazaji umejitahidi umekuwa mvumilivu

  • @fatmamgunya2857
    @fatmamgunya2857 6 лет назад +8

    Jaman huyu dada wallah nampenda from the bottom of my heart,,,, anafurahisha halaf ni mzuri maa Shaa allah, ila Brighton punguza😂😂

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 7 лет назад +13

    Hongera Sana kwako pazuri Sana.

  • @Bagi873
    @Bagi873 6 лет назад +5

    Nampenda sana uyu dada

  • @neemamoses6110
    @neemamoses6110 5 лет назад +1

    nimekupenda bureeee sana mamiiiii duuuuh u teach meee many things

  • @user-vv5mx1eo2u
    @user-vv5mx1eo2u 6 лет назад +5

    Eisha jaman mdada wa watu mstaarab kabisa na mimba alokunayo lkn bado ni mstahamilivu sana

  • @bauwagase6035
    @bauwagase6035 7 лет назад +10

    Mi mjamzito ctakiwi kuumwa na mammbu duu hahaa nimeipenda nimecheka sana hii interview

  • @halimaomar6070
    @halimaomar6070 7 лет назад +13

    jamani tefuteni mwenye mimba mwengine mufanye interview manake sikwa majibu hayo...ilov u eshaa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mariamkimwaga943
    @mariamkimwaga943 7 лет назад

    🙌🙌 hapo kwenye chispi kuku umenikumbusha mbali mana nilikuwa napenda nilivyokuwa mjamzito ukitaka nikulilie usilete hicho kitu mimba kiboko

  • @halimamlili8803
    @halimamlili8803 7 лет назад +10

    Mtoto mzuri mashaall

  • @khadijahomar9139
    @khadijahomar9139 7 лет назад +21

    nampenda sana huyu dada mashallah

  • @viviandon8525
    @viviandon8525 6 лет назад

    Duuh tam hiyo nimeipenda sana mungu akupe maisha mema nawanao kadada ila sijaamini we kama nimasai kwauzur huo khaa

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 7 лет назад +5

    Ipo siku atang'atwa na mbwa kiukweli ukweli maana kumuendea mtu usiku haileti maana

  • @asmaafamau5139
    @asmaafamau5139 7 лет назад +7

    Mashaallah mngu akujaalie mtoto mwema

  • @briggsanji9176
    @briggsanji9176 7 лет назад +5

    Siyo vizuri kuvamia watu

  • @lilianmavika2757
    @lilianmavika2757 7 лет назад +7

    mtoto mzurii kama mamayake

  • @gloryabdulhassan7100
    @gloryabdulhassan7100 5 лет назад +4

    nimependa Sana haya mahojiano na huyu dada

  • @halimamkoko6060
    @halimamkoko6060 7 лет назад +3

    lov u esha 😍😍😍

  • @billylovebilly9418
    @billylovebilly9418 5 лет назад +5

    Jamani hadirah natamani mtoto wakike namimi

  • @Raheema-pp7st
    @Raheema-pp7st 7 лет назад +5

    hahaaaaaaa ''kwan wew ndio unanipeleka lebaa''huhuuuu

    • @saidiabdul389
      @saidiabdul389 5 лет назад

      unamaneno yahekima sana dada binaadamu anapanga mungu anaamua

  • @Jordan_mexicana_owecity
    @Jordan_mexicana_owecity 2 года назад

    Dada esha yani unaongea vizuri sana uko na furaha sana mungu akulinde dada na mwanao

  • @bigmanyamafilmproduction5890
    @bigmanyamafilmproduction5890 3 года назад +1

    I like it.Maisha uliyoishi ww usijekukubali wanao waishi tujitaidi sana kutafuta na kuwekeza kwa ajili yao.

  • @merychandeka7275
    @merychandeka7275 6 лет назад +8

    Nimekupenda bure Esha

  • @augeniamsoffe6355
    @augeniamsoffe6355 4 года назад +1

    Leo mtangazaji umekipata,kazi ya Leo imekuwa ngumu kwako ila una uvumilivu hongera

  • @ummali7942
    @ummali7942 7 лет назад +26

    siku Atakula Makofi huyu mpka home itakoma hahhaha

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala7332 5 лет назад +3

    Nampenda sana esha

  • @annamasare9291
    @annamasare9291 5 лет назад

    hongera mpz nakupendaga sana Esha wangu

  • @nasraabdallah2063
    @nasraabdallah2063 4 года назад

    maashallah Allah kakujaalia

  • @wardakasoloi6689
    @wardakasoloi6689 7 лет назад +7

    Esha weee hatari ati ulikua mnatoka kwenda kula Ice cream 😂😂😂mwanao atakaaa!!!!....nakutakia kila la kheri ujifungue salama.Inshaa Allah

  • @emmyshaban126
    @emmyshaban126 7 лет назад +11

    hahhaha eti ukiacha viatu nje mbwa atajisevi

  • @allyadam3951
    @allyadam3951 6 лет назад +28

    mtangazi mwenyewe kuongea hajui! ==😂😂😂😂😂

    • @bajjboy259
      @bajjboy259 6 лет назад +1

      officiall triple ongea ww unaejua 😏😏

    • @zuenakhalfan675
      @zuenakhalfan675 6 лет назад

      officiall triple ongea wew unaejua

    • @scolaodeyo8110
      @scolaodeyo8110 5 лет назад

      officiall triple umeona nilichokiona hafai kabsa wala haendani na utangazaji

  • @abdinasirshukri1218
    @abdinasirshukri1218 3 года назад

    Masha Allah

  • @DeeDiyo5
    @DeeDiyo5 7 лет назад +6

    Esha ni moto

  • @habibakhlifa8534
    @habibakhlifa8534 7 лет назад +3

    esha we mzuri nimekupenda sio mjeurii mashaallah

    • @alfanabdul161
      @alfanabdul161 7 лет назад

      Habiba Khlifa kumbe dadake kabula jaman

  • @dodomikleni9299
    @dodomikleni9299 7 лет назад +18

    Kiukweli si uungwana na mnafanya jambo baya.. Na mtu anaweza kukushtaki kabisa.. Unawezaje kwenda kwa mtu bila taarifa . Jifunzeni ustaarabu

    • @kiduutesha7678
      @kiduutesha7678 7 лет назад +1

      red apple kweli kbsaaa

    • @davidmihambo3051
      @davidmihambo3051 7 лет назад +4

      huwa wanawapa taarifa unadhani wanavamia kwel,i ila huwa wanawaambia waigize kuwa wakali ili kunogesha kipindi ila kiukweli wanawapa taarifa.

    • @swaumsadat2371
      @swaumsadat2371 7 лет назад

      Kaswi

    • @rukiakawambwa3432
      @rukiakawambwa3432 7 лет назад

      red apple wanawapa sana taarifa siyo kwamba hawana taarifa wanajua saana

    • @daimavlog
      @daimavlog 7 лет назад

      david mihambo Kabisa, Maana bambo alikuwa hadi ma mic lol!

  • @oyay2821
    @oyay2821 5 лет назад +1

    Mtoto akaribishwa na shampagne, Allah atamsaidia

  • @marykarlo7761
    @marykarlo7761 7 лет назад +4

    Uwe na mic mbili

  • @yshamwilima3301
    @yshamwilima3301 7 лет назад +4

    Inshaallah dada mola akujaze afya ujifungue salama

  • @bainuta3931
    @bainuta3931 7 лет назад +6

    Endeni kwa wemaaaaa sasaaaa

  • @yalesahaule532
    @yalesahaule532 7 лет назад +15

    esha mtt wako mzur sana

  • @jasminkinga7684
    @jasminkinga7684 7 лет назад +2

    Esha nimejifunza jambo toka kwako,stay blessed

  • @janembwilo9730
    @janembwilo9730 6 лет назад

    @esha weee mashallah

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 лет назад +23

    Huyu jamaa yupo vizuri sana afu anafanana na hiki kipindi😂😂

  • @sashababy1321
    @sashababy1321 7 лет назад +12

    Esha kiboko.nimekupenda bule

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 7 лет назад +3

    Jina lako na kazi hii yakuvamia inakufaa najina haya ni watata

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 3 года назад

    Poleni sana waandishi wa habari mna kazi ngumu mmmmmmm🤔

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 7 лет назад +3

    eisha kila la khery utulitee mgeni inshaallah

  • @salomedarema3762
    @salomedarema3762 6 лет назад +4

    Brighton wew umemvurugia mjamzito viatu af hata hujaziarrange tena wewww umbea brighton hahahhaa noum sn

  • @agnesantony7538
    @agnesantony7538 4 года назад

    Nice uyo dada yuko vizuri

  • @tayatanamantinegro1189
    @tayatanamantinegro1189 4 года назад

    Nakupenda bure da Esha 😍

  • @latifahally2819
    @latifahally2819 6 лет назад +5

    hahahahaha jmn lav u sana da Esha

  • @marymah7149
    @marymah7149 7 лет назад +5

    Mama kijacho noma

  • @rosechild5021
    @rosechild5021 7 лет назад +9

    I nearly pee myself laughing 😂 lol 😂

  • @kabaiyukyasnider6797
    @kabaiyukyasnider6797 7 лет назад +12

    Uyu dada nimempenda kuhusu uangalizi wa mtoto

  • @sabinaomari3925
    @sabinaomari3925 7 лет назад +6

    siwai kucheka kama leo

  • @nassibabdulaziz4809
    @nassibabdulaziz4809 6 лет назад +4

    mpaka home nendeni kwa ebitoke

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 лет назад +1

    Kipind kiko powa sana, japo wanakuwa na tabu kuojiwa

  • @dorinjonh8055
    @dorinjonh8055 5 лет назад

    Nakupenda sana dada esha 💞💞💞

  • @fettyzing5777
    @fettyzing5777 5 лет назад +2

    Yani hii kazi ya umbea mm siwez bora nikadek choo

  • @thauratali3656
    @thauratali3656 7 лет назад +7

    😂😂😂😂😂😂jamani esha

  • @VOC733
    @VOC733 6 лет назад +3

    Yani mtangazaji anakera c ulize maswali ss ndugu mtazamaji ya nn apo

  • @idaabeid7587
    @idaabeid7587 7 лет назад +6

    Nimekumic my dia yaan umenichekesha hapo ulipomuuliza mtangazaji eti nimeishia wapi anyway allah akuvushe salama inshaallah

  • @aminaramadhan2033
    @aminaramadhan2033 7 лет назад +3

    nakweli CD amefika patamu umeme unataka kukuta

  • @salmasaidy5643
    @salmasaidy5643 6 лет назад

    Nakupend Xan xixter uko vizur nimekukubali

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 5 лет назад

    Safi dada mungu ndo kila kitu

  • @mangirtkiristofa1337
    @mangirtkiristofa1337 7 лет назад +3

    kabisa mama tumerizika

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 года назад +1

    Ila ayo mambo ya kushtukiza kiukweli sio mazuri

  • @bernardchibwana8241
    @bernardchibwana8241 7 лет назад

    Brighton nakukubali sana! Mzee baba

  • @badboy2577
    @badboy2577 7 лет назад +1

    Eti anyways!😀😀😀😀😀mwndshi wa habari hujui kizungu basi si uongee tu kiswahili

  • @aminamassare888
    @aminamassare888 7 лет назад +7

    jmn Leo nmechekaje huyo jamaaa

  • @cephaszulu5628
    @cephaszulu5628 7 лет назад +3

    Ok

  • @mayasakhamis6838
    @mayasakhamis6838 3 года назад

    esha mie nakupenda wewe una visa atari 😂 mashallah mungu akuekee katoto kako aidumishe family yako

  • @alimaalima6016
    @alimaalima6016 6 лет назад

    Mashallah

  • @kalthumomarali1261
    @kalthumomarali1261 7 лет назад +5

    safi sana Esha napenda watu kama nyinyi hahahhaha japo ameingia but wampa vijembe hehehee warureeee

    • @lajulajuz8557
      @lajulajuz8557 7 лет назад

      kama kweli iko hivi kutafta uhalisia wa hawa ndugu zetu, kazi ipo aiseeee,

  • @salummohamed2116
    @salummohamed2116 6 лет назад

    mashallah

  • @elizabetimhihina4387
    @elizabetimhihina4387 5 лет назад +5

    Hahaha yani Mala umelewane mala mchenjiane

  • @arnoldnicholaus3835
    @arnoldnicholaus3835 6 лет назад +6

    Jamani interview inachekesha hii

  • @jacklinemure2084
    @jacklinemure2084 6 лет назад +8

    katoto kana akil hdi rha