CHIMBO JIPYA LA ESHA BUHETI ALILOWEKEZA MAMILIONI YA PESA ZA MUMEWE, ASIMULIA MAGUMU ALIYOPITIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2023

Комментарии • 158

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Год назад +7

    Pazuri sana but usiongee vitu vyako vya ndani sana

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Год назад +4

    Pazuri sana Masha'Allah
    Napenda vitu kama hivi ukipata fulsa itumie kikamilifu.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +1

    Wallah ofisi ni nzuri dahhh oesa uko wapi wanawake wenzetu mnaweza

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Год назад +5

    Sijafika hapo lakini aiseechapati hukutakakuzijua sichambuke bwana first klass kwa chapati Ongera sana 🙏🙏🙏🙏👌👌👌👌👌👌👌

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +10

    Mwenyezi akusimamie na akulinde na kila balaa ktk biashara yako, akujaalie uzidi kufanikiwa ktk miradi yako

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    Wowow hongera sana mama wawili 😘🙏🏿pazuri sana

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад

    MashaAllah

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад +20

    Mashallah lakini Acha kuweka Sana wazi kuepuka husda na hongera kwa kuwapa vijana kazi

    • @sakinaomary7207
      @sakinaomary7207 Год назад +2

      ana tangaza biashara

    • @johanesnixon5473
      @johanesnixon5473 Год назад

      Moja ya ten peks za interprener ni advatice ment chukua iyo ishi nao

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад +1

      @@johanesnixon5473 yap but siyo.kuweka waz everything

    • @johanesnixon5473
      @johanesnixon5473 Год назад

      hasanaat bhana ngojea nikupe kitu kwa ufupi Katika maisha yako ujue kuwa kuna side mbili know by u and knowing by others apo yy kwajinsi nilivyo muelewa mm ametumia KNOWING BY OTHERS Yan ivyo kwayeye haina effect kwasababu ya business umenisoma adi apo ..?

  • @emanuelmbise2348
    @emanuelmbise2348 Год назад +1

    Wow good place to be,,staff wamependeza sana infact pako poa

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад

    Pole esha❤❤❤ALLAH AKUFANYIE WEPESI

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Год назад +3

    Ameweza hongera sana dada

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Год назад +1

    MaashaaAllah ❤❤❤❤❤

  • @abedmzungu9057
    @abedmzungu9057 Год назад

    hongera mdogo wangu mungu akufanyie wepesi kaka yako abedi hoza mzungu

  • @championtop2
    @championtop2 Год назад +6

    Mtu anayefanyiwa interview mda wote haonekani!
    Upuuzi

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Год назад +4

    Masha Allah mama asha mungu akupe uvumilivu na akuepushie na vijicho vya hasada za binaadamu

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Год назад

    Hingefahren sana l proud of you

  • @mariamanzazi2696
    @mariamanzazi2696 Год назад +2

    Congratulations dada Esha

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 Год назад +4

    Super woman ❤❤

  • @beatricefredilick1646
    @beatricefredilick1646 Год назад +2

    Sasa hapo unatangaza maisha yako au biashara

  • @HidayaKarim-wy9yc
    @HidayaKarim-wy9yc Год назад

    Nakupenda sana 🥰🥰🥰

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 Год назад

    Pole sana na kuumwa pamoja na majukumu ya kila siku.

  • @edinamwanasenga1584
    @edinamwanasenga1584 Год назад +4

    Mungu akubari sanaa nimependa ❤❤❤

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Год назад

    Waouh

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Год назад

    Love you sana Esha Buheti

  • @ekkymumba8566
    @ekkymumba8566 Год назад +1

    Nilichogundua Esha masikini Hajui kuongea anaongelea mambo yake ya nyumbani kuliko ya Ofis😱 dereva Naomba tukifika Igunga nishushe Ninunue Juice tafadhari👌

  • @euniceodegea9180
    @euniceodegea9180 Год назад

    Esha I love ya my sister because of Allah

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 Год назад

  • @salamamohamed843
    @salamamohamed843 Год назад

    Hongera sana,but angalia na afya yko maana Hadi mwili umenisisimka ulivyo drive Hadi Tanga ndani ya mwez mmoja tokea op

  • @furahasarakikya3223
    @furahasarakikya3223 Год назад +1

    Mume Wangu mume wangu.. duh too much 😢

  • @tynercolin5060
    @tynercolin5060 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mosesnyamhanga449
    @mosesnyamhanga449 Год назад +2

    Hii tz me s Hami huu uongo tu! mshahara?

  • @marrypius576
    @marrypius576 Год назад

    Yan navyopenda kula vizuri lazim nikutafut 😋😋🍛🍛

  • @fatnashemliwa-jq9ez
    @fatnashemliwa-jq9ez 10 месяцев назад

    Nice

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Год назад

    Gari sio asserts. Nyumba viwanja,

  • @zuhuraRamadhanl-dz7tl
    @zuhuraRamadhanl-dz7tl Год назад

    Umejitahidi sana

  • @mwalitv4555
    @mwalitv4555 Год назад +13

    Anafunguka sana mambo binafsi kuliko kupromote biashara yake...nimemsikia zaidi mume kuliko biashara yake mpaka nimehisi kuna chakula kinaitwa 'Mume bufee'

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd Год назад

    Hongera sana ila kiwanja pia ni kizur sana kuwekeza

  • @farijanibakari9018
    @farijanibakari9018 Год назад

    Safi sana

  • @AlenKinyina
    @AlenKinyina Год назад

    Mwanamke shujaa

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 Год назад +2

    Umetoka kufanyiwa operation kubwa. Tafadhali sana tena sana zingatia ushauri wa dakitari wako. Afya yako ikiwa nzuri ndiyo msingi mkubwa sana wa wewe kufanya shughuli zako.
    Take care about your health yourself. ❤

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Год назад

    Mashallah da esha lkn angalia afya wko kwanza

  • @philipomussa
    @philipomussa Год назад

    Mpambanaji 💪🏿💪🏿

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924 Год назад +3

    Melezo ya mume wangu yamezidi shoga yanguuuuu

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Год назад

      Nafikiri huyu dada sababu mama hana na baba hamjui mume ndio kila kitu

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Год назад

    Da esha nakpnda snaa tngu upo uigzaji alfu jina kma la ddangu wa damu esha lkin kwnin usiach kuza pombe ddangu itkuvnjia rizki we ni muslimu dda

  • @salimmachila5736
    @salimmachila5736 Год назад +4

    Interview ya udakuudaku tu badala kuchukua nafasi kutangaza biashara yako...😂😂

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Год назад +5

    Sasa maneno yote yanini? Kuhusu kukupa hela yake usajili? Alafu sijui amekupa kiasi kikubwa!!! Ili watu wamjue anapesa ? Wakati mpira wabongo hauna hela hivyo wachezaji wangepuga makelele ? Alafu team yenyewe basi anayochezea huyu kweli Esha kichwa matope

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 Год назад +1

      Yaani kuna tabia inakita mizizi ya kusema visivyofaa kusemwa

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

      Mwanamke wa Kiswahili , huyo mwanaume ni zuzu biashara yote jina la mwanamke na mshahara wote mwanamke anapokea, hao wanawake wa Kiswahili ni kama kunguru hawafugiki si tumeona hata wapewe nili uwa ni wasaliti tu

    • @hoseastephen4508
      @hoseastephen4508 Год назад

      @@kabwelasutiviraka4765 Acha wivu we naye mwanamke au?

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Год назад +2

    SASA HILO SWALI GANI HILO LA KIPATO CHA MTU

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 Год назад

    Umewwzaaa dadaaa alafu una chakula kitam balaaaa

  • @user-fo5my5pe3b
    @user-fo5my5pe3b Год назад

    Sindano unaweza kukaa Ata miaka zinauma mm nishafanya oparatio 3 za kizazi sindano uzizoee

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Год назад +1

    Esha naomba kazi na mimi

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 28 дней назад

    Kake hamadi kapiti pagumu Sana ...ila nikushauri tu .....achana na hao wakwe unaowaita baba na mama .... Utakuja kunishukuru baadae ...hao sio wazazi wako acha ujinga ..wewe ni mtu mzima then acha kua muwazi kwa Kila mtu .. 😢😢😢 natamani nikutane na wewe nikushauri zaidi....

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Год назад

    KIWANJA KIKAZURUMIWA DUUUU

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Год назад

    Mi mwenyew hata sitaki kuweka hadharani vitu vyangu mengne Bora niseme na moyo wangu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Год назад

    Yn mnaekeza pesa nyingi sn sehemu ya niaxhara badala ungenunuwa sehemu yk na ukajenga sshemunyabiashara

  • @yahayaally9193
    @yahayaally9193 Год назад

    Nimekusikiliza dada ila epukamambo binafsi kuweka hadharani sio vizuri.mambo yako ya ndani ciolazima ajue kila MTU kuwamuangalifu

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Год назад +1

    Kweny msos esha ni balaa

  • @hassankihimbi9555
    @hassankihimbi9555 Год назад

    Kumbe unajua eprienx ya wacheza mpira ok ok

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 Год назад +1

    Shule muhimu sana ana mmpromot mumewe baada ya biashara

  • @ramadhanichuma7925
    @ramadhanichuma7925 Год назад +40

    Mswahili ni mswahili2 yani.kapata fursa ya kufanya marketing promotion yeye anafanya kazi ya kuongea person issues .shule nimuhimu sana.

  • @beatricefredilick1646
    @beatricefredilick1646 Год назад

    Operation in mazoez Fanya zoez

  • @trueexplorer894
    @trueexplorer894 Год назад

    Mtangazaji unaudhi sana, keshakwambia asingependa kutaja kiasi alichopewa na mumewe, ila bado unaendelea kuuliza eti inazidi mil. 10 for what? Mbaya zaidi unaenda mbele unauliza kwa mwezi anapokea sh ngap huyo mme wake. Unatia aibu tasnia yako

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Год назад +5

    Don’t talk yourself private thing s fur people Esha stop it

    • @alicekisanga8004
      @alicekisanga8004 Год назад

      Just use Swahili English is not for you 🤣 otherwise she's merely advertising her business which is very good.

  • @sinawsinaw6201
    @sinawsinaw6201 Год назад

    Ww unaemtaja shoshinsa kusema ataloga kwanza hapo anajiloga mwenyewe maana sio kwa kujietezea,huko mmh mwache shishi kama shishi ni Jasho la mtu mmoja

    • @nigamo9645
      @nigamo9645 Год назад

      Halafu hapumziki na ikiwa ana operation na doctor kamwambia apimzike kwanza sasa ikitokea ttz lingine waseme karogwa

  • @ahmadimbazi5843
    @ahmadimbazi5843 Год назад +1

    Pazur mno

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 Год назад

    dada pumzika operation ni mbaya usipade matatizo mengine

  • @sixmundandrew381
    @sixmundandrew381 Год назад +5

    duuuhhhhhh,,,tutamtafuta baada ya miaka miwili tujue uyo mume wake anaendeleaje

    • @nunimwaropia3584
      @nunimwaropia3584 Год назад +1

      Usipotoshe wache.ardhi is a very fantastic investment and it's appreciate.biashara sio mbaya lkn ikifilisika ndio umeisha.kwaio biashara and properties usijivunie kupanga nyumba ilhali Una watoto.faida ya biashara kuilipia rent ndio kufanikiwa.nyinyi wasanii mnapotosha watu sana

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi255 Год назад

    Basi shilole. Apo atakosaa usinhizi na lazima. Alipizrr😂

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Год назад

    Mna_pesa_wenzetu_uma_SIKINI_Huu_wenzetu_mna_shika_Mamilion_kila_kukicha

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Год назад +5

    😄😄😄Anajielezea Sana vitu vya ndani kuliko maono ya biashara yake ya chakula duuuuuh 💔🙌

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Год назад +1

      Ukiona hivyo kuna kitu hakiko sawakwa ndoa yake

  • @wishjrtz
    @wishjrtz Год назад

    Yani kiwanja ukadhulumiw?

  • @user-ye7mj4fl7s
    @user-ye7mj4fl7s Год назад

    Hana lolote Huy DD anaringa alikuja kazn kwangu alinikera anamdomo

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад

    Ila naona hii biashara haina maisha

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 Год назад +2

    Mmmm kwani esha ana mafua mda wote maana anavyovuta iyo pua

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Год назад

      Huenda ana pumu hajajijua .ni pumu hiyo...anunue nasal sprayer itamsaidia sana

    • @rahmamct
      @rahmamct Год назад

      Zuchu tunajuwa anapumu jee mama yake jee na yeye anapumu

  • @mishikikoti2948
    @mishikikoti2948 Год назад

    Naomba tu dada esha nkuulize, ivi mnaongeaga na shishi ww?

  • @hameezhami7795
    @hameezhami7795 Год назад

    Kujenga ni mpango mzima .biashara ikiyumba inakuwaje

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 Год назад

    Ssa mmmmm kuongea kwa afya yako kwa tokea wapi

  • @estertiffa-ew5id
    @estertiffa-ew5id Год назад

    Dah ukupaswa kusem kama mumeo amekup mpk card yk umiliki mshahar

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Год назад

    Kila ambacho shilole anafanya nae anaiga anatembelea nyota ya shilole kwenye mambo ya ubunifu wa biashara

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад

    Nitakuja kukula

  • @saeedalyahmadi1738
    @saeedalyahmadi1738 Год назад

    Kiwanja kinapoteaje NA ni cha kwako😮?

  • @shamimuomary831
    @shamimuomary831 Год назад

    Interviewa nzima anaongelewa mume 😂😂😂😂😂badla kupromote biashar yak

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Год назад

    Esha bhana mbona km unanichochea mimi nina kahelea nataka kuongeza kiwanja sasa unataka kuniambia niwekeze kwenye biashara

  • @beatricefredilick1646
    @beatricefredilick1646 Год назад

    Kiwanja pia ni muhimu nacho nunua

  • @maisarahakizimana7074
    @maisarahakizimana7074 Год назад +1

    Kweli, nakupongeza unajitahid sana, ila unaongea sana

  • @ashamaneno9819
    @ashamaneno9819 Год назад

    Tatizo uwaga awamtembelei akaeleza mambo yake l kwahyo hapo ndo kapata pa kueleza baada y kutangaza biashara anaongea n mengine. Ili watu wajue anapendwa kapata sehemu ya maana hzo ndo tabia zetu z uswahilin mtu akimpata bwana w kumpa vocha z 2000 na alikua ajapata bas akipata hyo vocha aitoki kinywani 🤣🤣🤣

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Год назад +7

    Shishi alivyo mchawi atamloga mtoto wa watu ila Mungu atamlinda

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад

      Huyu anapika kuliko Shishi

    • @janethjonas1700
      @janethjonas1700 Год назад +1

      @@leokamil6284 ni kweli kabisa ila lile li shishi nilichawi sana tutamuombea hasadi isimpate...

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Год назад +2

      We nae mchawi tu umejuaje kama shishi mchawi? Dah ina watu wengii umeona shishi tu mmhh toa chuki zako at tutamuombea 😏we mwenyew umeahindwa kujiombea mambo yako ya mwingine utaweza puuhh

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Год назад +1

      We ndio mchawi mwenyewe , watu mnamatatizo Gani? Bila kuwafurahia wanawake wenzenu na kuwafunga mkono ,mmejaa wivu wa kijinga na fikra za kimasikini, Kila Mmoja ana riziki yake shishi anapata yake Kwa kile anachokifanya na Esha nae anapata yake , pole wewe maskini mwenye mawazo ya kichawi ,wenzeo Wanamake maisha hapo

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Год назад +2

      @@estermathias8354shangaa na wewe, wivu mwingine bana

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Год назад +1

    Esha unampenda mumeo ili upunguze kumuongelea

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +2

    Yaani mshukuru sana Mungu kama alikupa akili. Huyo mchezaji ni mpumbavu wanawake wenyewe wa kiswahili hawa, mwanamke wa mjini aliolewa na kuachika, then ni stupidity eti biashara yote ameandika jina lake hela yote umempa hadi mshahara wako ana umanage mwanamke wa kiswahili 😢, kuna Leo na kesho angeandika jina lake kama a share holder kwenye hiyo biashara

    • @diyembarak5506
      @diyembarak5506 Год назад

      Wacha roho ya korosho kama wewe huwezi wapo wanaoweza.

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

      @@diyembarak5506 upumbavu mtupu huo nani asiyejua wanawake wa Kiswahili hao eti biashara yote jina lake na unampa mshahara wako , huyo zuzu siku atakuja kulia , si tumeona kwa Haji manara wanawake wa Kiswahili

    • @diyembarak5506
      @diyembarak5506 Год назад

      Mwaenzenu kanogewa mahaba tamu

    • @nareensaleh4957
      @nareensaleh4957 Год назад

      hii ndio mijanaume yenye roho za ubinafsi na roho mbaya

    • @lytwilliam7050
      @lytwilliam7050 Год назад

      achana na mapenzi ya watu. wewe ishi na mwanamke wako unavojua wewe.maisha hayafanani.

  • @happinessmtalika16
    @happinessmtalika16 Год назад

    Sasa unajisisifia kuhatarisha maisha Yako alaaaa.eti nimedraivu dar mpaka Tanga kidonda kibichi kisa pesa.unacheza na uhai wako we dada.

  • @ruthp8684
    @ruthp8684 Год назад

    Et Kiwanja kikizurumiwa 🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ZERO BRAIN

    • @rogathengowo1099
      @rogathengowo1099 Год назад

      Kwakweli hapo sijamwelewa

    • @ruthp8684
      @ruthp8684 Год назад

      @@rogathengowo1099 Umri wake na alicho ongea apo ni vitu tofauti.Ametuonesha wazi Jinsi gani Akili ake ni kisoda

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Год назад

    Mjinga kabisa mzuri bt like 0 brain. Unaongea ndg zake wanakusikia tayari unakaribisha vita

  • @wardaridhwankassim4774
    @wardaridhwankassim4774 Год назад +2

    @eshabuheti Plzplz Naomb utoe pombee Tuwe free tujee huko beleiv me..! Utapotez watejaa weeng 🥹

  • @edithaandrea4203
    @edithaandrea4203 Год назад

    I wish ningekueleza kariakoo kwa wanaouza dawa za uvimbe

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 Год назад

    Mmmm kwani esha ana mafua mda wote maana anavyovuta iyo pua

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 Год назад

      Tumrtofautiana kuna watu toka utotoni no hivyo. Mimi nina kaka yngu hivyo avuta mafua kila time