hasanaat bhana ngojea nikupe kitu kwa ufupi Katika maisha yako ujue kuwa kuna side mbili know by u and knowing by others apo yy kwajinsi nilivyo muelewa mm ametumia KNOWING BY OTHERS Yan ivyo kwayeye haina effect kwasababu ya business umenisoma adi apo ..?
Nilichogundua Esha masikini Hajui kuongea anaongelea mambo yake ya nyumbani kuliko ya Ofis😱 dereva Naomba tukifika Igunga nishushe Ninunue Juice tafadhari👌
Anafunguka sana mambo binafsi kuliko kupromote biashara yake...nimemsikia zaidi mume kuliko biashara yake mpaka nimehisi kuna chakula kinaitwa 'Mume bufee'
Umetoka kufanyiwa operation kubwa. Tafadhali sana tena sana zingatia ushauri wa dakitari wako. Afya yako ikiwa nzuri ndiyo msingi mkubwa sana wa wewe kufanya shughuli zako. Take care about your health yourself. ❤
Sasa maneno yote yanini? Kuhusu kukupa hela yake usajili? Alafu sijui amekupa kiasi kikubwa!!! Ili watu wamjue anapesa ? Wakati mpira wabongo hauna hela hivyo wachezaji wangepuga makelele ? Alafu team yenyewe basi anayochezea huyu kweli Esha kichwa matope
Mwanamke wa Kiswahili , huyo mwanaume ni zuzu biashara yote jina la mwanamke na mshahara wote mwanamke anapokea, hao wanawake wa Kiswahili ni kama kunguru hawafugiki si tumeona hata wapewe nili uwa ni wasaliti tu
Kake hamadi kapiti pagumu Sana ...ila nikushauri tu .....achana na hao wakwe unaowaita baba na mama .... Utakuja kunishukuru baadae ...hao sio wazazi wako acha ujinga ..wewe ni mtu mzima then acha kua muwazi kwa Kila mtu .. 😢😢😢 natamani nikutane na wewe nikushauri zaidi....
Mtangazaji unaudhi sana, keshakwambia asingependa kutaja kiasi alichopewa na mumewe, ila bado unaendelea kuuliza eti inazidi mil. 10 for what? Mbaya zaidi unaenda mbele unauliza kwa mwezi anapokea sh ngap huyo mme wake. Unatia aibu tasnia yako
Usipotoshe wache.ardhi is a very fantastic investment and it's appreciate.biashara sio mbaya lkn ikifilisika ndio umeisha.kwaio biashara and properties usijivunie kupanga nyumba ilhali Una watoto.faida ya biashara kuilipia rent ndio kufanikiwa.nyinyi wasanii mnapotosha watu sana
Tatizo uwaga awamtembelei akaeleza mambo yake l kwahyo hapo ndo kapata pa kueleza baada y kutangaza biashara anaongea n mengine. Ili watu wajue anapendwa kapata sehemu ya maana hzo ndo tabia zetu z uswahilin mtu akimpata bwana w kumpa vocha z 2000 na alikua ajapata bas akipata hyo vocha aitoki kinywani 🤣🤣🤣
We nae mchawi tu umejuaje kama shishi mchawi? Dah ina watu wengii umeona shishi tu mmhh toa chuki zako at tutamuombea 😏we mwenyew umeahindwa kujiombea mambo yako ya mwingine utaweza puuhh
We ndio mchawi mwenyewe , watu mnamatatizo Gani? Bila kuwafurahia wanawake wenzenu na kuwafunga mkono ,mmejaa wivu wa kijinga na fikra za kimasikini, Kila Mmoja ana riziki yake shishi anapata yake Kwa kile anachokifanya na Esha nae anapata yake , pole wewe maskini mwenye mawazo ya kichawi ,wenzeo Wanamake maisha hapo
Yaani mshukuru sana Mungu kama alikupa akili. Huyo mchezaji ni mpumbavu wanawake wenyewe wa kiswahili hawa, mwanamke wa mjini aliolewa na kuachika, then ni stupidity eti biashara yote ameandika jina lake hela yote umempa hadi mshahara wako ana umanage mwanamke wa kiswahili 😢, kuna Leo na kesho angeandika jina lake kama a share holder kwenye hiyo biashara
@@diyembarak5506 upumbavu mtupu huo nani asiyejua wanawake wa Kiswahili hao eti biashara yote jina lake na unampa mshahara wako , huyo zuzu siku atakuja kulia , si tumeona kwa Haji manara wanawake wa Kiswahili
Pazuri sana but usiongee vitu vyako vya ndani sana
Pazuri sana Masha'Allah
Napenda vitu kama hivi ukipata fulsa itumie kikamilifu.
Wallah ofisi ni nzuri dahhh oesa uko wapi wanawake wenzetu mnaweza
Sijafika hapo lakini aiseechapati hukutakakuzijua sichambuke bwana first klass kwa chapati Ongera sana 🙏🙏🙏🙏👌👌👌👌👌👌👌
Mwenyezi akusimamie na akulinde na kila balaa ktk biashara yako, akujaalie uzidi kufanikiwa ktk miradi yako
Wowow hongera sana mama wawili 😘🙏🏿pazuri sana
MashaAllah
Mashallah lakini Acha kuweka Sana wazi kuepuka husda na hongera kwa kuwapa vijana kazi
ana tangaza biashara
Moja ya ten peks za interprener ni advatice ment chukua iyo ishi nao
@@johanesnixon5473 yap but siyo.kuweka waz everything
hasanaat bhana ngojea nikupe kitu kwa ufupi Katika maisha yako ujue kuwa kuna side mbili know by u and knowing by others apo yy kwajinsi nilivyo muelewa mm ametumia KNOWING BY OTHERS Yan ivyo kwayeye haina effect kwasababu ya business umenisoma adi apo ..?
Wow good place to be,,staff wamependeza sana infact pako poa
Pole esha❤❤❤ALLAH AKUFANYIE WEPESI
Ameweza hongera sana dada
MaashaaAllah ❤❤❤❤❤
hongera mdogo wangu mungu akufanyie wepesi kaka yako abedi hoza mzungu
Mtu anayefanyiwa interview mda wote haonekani!
Upuuzi
Masha Allah mama asha mungu akupe uvumilivu na akuepushie na vijicho vya hasada za binaadamu
Hingefahren sana l proud of you
Congratulations dada Esha
Super woman ❤❤
Sasa hapo unatangaza maisha yako au biashara
Nakupenda sana 🥰🥰🥰
Pole sana na kuumwa pamoja na majukumu ya kila siku.
Mungu akubari sanaa nimependa ❤❤❤
Waouh
Love you sana Esha Buheti
Nilichogundua Esha masikini Hajui kuongea anaongelea mambo yake ya nyumbani kuliko ya Ofis😱 dereva Naomba tukifika Igunga nishushe Ninunue Juice tafadhari👌
Esha I love ya my sister because of Allah
❤
Hongera sana,but angalia na afya yko maana Hadi mwili umenisisimka ulivyo drive Hadi Tanga ndani ya mwez mmoja tokea op
Mume Wangu mume wangu.. duh too much 😢
❤❤❤❤❤❤
Hii tz me s Hami huu uongo tu! mshahara?
Yan navyopenda kula vizuri lazim nikutafut 😋😋🍛🍛
Nice
Gari sio asserts. Nyumba viwanja,
Umejitahidi sana
Anafunguka sana mambo binafsi kuliko kupromote biashara yake...nimemsikia zaidi mume kuliko biashara yake mpaka nimehisi kuna chakula kinaitwa 'Mume bufee'
Husimlaumu sana cozy mtangazaji ndio yuamuliza maswali
😆😆😆😆😆umenichekesha ,
😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri
Yaaani hawa wasaniniii wajinga
😅😅😅😅😅
Hongera sana ila kiwanja pia ni kizur sana kuwekeza
Safi sana
Mwanamke shujaa
Umetoka kufanyiwa operation kubwa. Tafadhali sana tena sana zingatia ushauri wa dakitari wako. Afya yako ikiwa nzuri ndiyo msingi mkubwa sana wa wewe kufanya shughuli zako.
Take care about your health yourself. ❤
Opareshen ya nn dada?
Mashallah da esha lkn angalia afya wko kwanza
Mpambanaji 💪🏿💪🏿
Melezo ya mume wangu yamezidi shoga yanguuuuu
Nafikiri huyu dada sababu mama hana na baba hamjui mume ndio kila kitu
Da esha nakpnda snaa tngu upo uigzaji alfu jina kma la ddangu wa damu esha lkin kwnin usiach kuza pombe ddangu itkuvnjia rizki we ni muslimu dda
Interview ya udakuudaku tu badala kuchukua nafasi kutangaza biashara yako...😂😂
Sasa maneno yote yanini? Kuhusu kukupa hela yake usajili? Alafu sijui amekupa kiasi kikubwa!!! Ili watu wamjue anapesa ? Wakati mpira wabongo hauna hela hivyo wachezaji wangepuga makelele ? Alafu team yenyewe basi anayochezea huyu kweli Esha kichwa matope
Yaani kuna tabia inakita mizizi ya kusema visivyofaa kusemwa
Mwanamke wa Kiswahili , huyo mwanaume ni zuzu biashara yote jina la mwanamke na mshahara wote mwanamke anapokea, hao wanawake wa Kiswahili ni kama kunguru hawafugiki si tumeona hata wapewe nili uwa ni wasaliti tu
@@kabwelasutiviraka4765 Acha wivu we naye mwanamke au?
SASA HILO SWALI GANI HILO LA KIPATO CHA MTU
Umewwzaaa dadaaa alafu una chakula kitam balaaaa
Sindano unaweza kukaa Ata miaka zinauma mm nishafanya oparatio 3 za kizazi sindano uzizoee
Esha naomba kazi na mimi
Kake hamadi kapiti pagumu Sana ...ila nikushauri tu .....achana na hao wakwe unaowaita baba na mama .... Utakuja kunishukuru baadae ...hao sio wazazi wako acha ujinga ..wewe ni mtu mzima then acha kua muwazi kwa Kila mtu .. 😢😢😢 natamani nikutane na wewe nikushauri zaidi....
KIWANJA KIKAZURUMIWA DUUUU
Mi mwenyew hata sitaki kuweka hadharani vitu vyangu mengne Bora niseme na moyo wangu
Yn mnaekeza pesa nyingi sn sehemu ya niaxhara badala ungenunuwa sehemu yk na ukajenga sshemunyabiashara
Nimekusikiliza dada ila epukamambo binafsi kuweka hadharani sio vizuri.mambo yako ya ndani ciolazima ajue kila MTU kuwamuangalifu
Kweny msos esha ni balaa
Kumbe unajua eprienx ya wacheza mpira ok ok
Shule muhimu sana ana mmpromot mumewe baada ya biashara
Sio baada ni badala
Mswahili ni mswahili2 yani.kapata fursa ya kufanya marketing promotion yeye anafanya kazi ya kuongea person issues .shule nimuhimu sana.
Kweli kabisa hayo mambo mengine yatuusu
Wewe una biashara gan
Ww upo kwenye page hii kwajili ya mambo ya watu acha bwebwe
Truee...
💯
Operation in mazoez Fanya zoez
Mtangazaji unaudhi sana, keshakwambia asingependa kutaja kiasi alichopewa na mumewe, ila bado unaendelea kuuliza eti inazidi mil. 10 for what? Mbaya zaidi unaenda mbele unauliza kwa mwezi anapokea sh ngap huyo mme wake. Unatia aibu tasnia yako
Don’t talk yourself private thing s fur people Esha stop it
Just use Swahili English is not for you 🤣 otherwise she's merely advertising her business which is very good.
Ww unaemtaja shoshinsa kusema ataloga kwanza hapo anajiloga mwenyewe maana sio kwa kujietezea,huko mmh mwache shishi kama shishi ni Jasho la mtu mmoja
Halafu hapumziki na ikiwa ana operation na doctor kamwambia apimzike kwanza sasa ikitokea ttz lingine waseme karogwa
Pazur mno
dada pumzika operation ni mbaya usipade matatizo mengine
duuuhhhhhh,,,tutamtafuta baada ya miaka miwili tujue uyo mume wake anaendeleaje
Usipotoshe wache.ardhi is a very fantastic investment and it's appreciate.biashara sio mbaya lkn ikifilisika ndio umeisha.kwaio biashara and properties usijivunie kupanga nyumba ilhali Una watoto.faida ya biashara kuilipia rent ndio kufanikiwa.nyinyi wasanii mnapotosha watu sana
Basi shilole. Apo atakosaa usinhizi na lazima. Alipizrr😂
Mna_pesa_wenzetu_uma_SIKINI_Huu_wenzetu_mna_shika_Mamilion_kila_kukicha
😄😄😄Anajielezea Sana vitu vya ndani kuliko maono ya biashara yake ya chakula duuuuuh 💔🙌
Ukiona hivyo kuna kitu hakiko sawakwa ndoa yake
Yani kiwanja ukadhulumiw?
Hana lolote Huy DD anaringa alikuja kazn kwangu alinikera anamdomo
Ila naona hii biashara haina maisha
Mmmm kwani esha ana mafua mda wote maana anavyovuta iyo pua
Huenda ana pumu hajajijua .ni pumu hiyo...anunue nasal sprayer itamsaidia sana
Zuchu tunajuwa anapumu jee mama yake jee na yeye anapumu
Naomba tu dada esha nkuulize, ivi mnaongeaga na shishi ww?
Kujenga ni mpango mzima .biashara ikiyumba inakuwaje
Ssa mmmmm kuongea kwa afya yako kwa tokea wapi
Dah ukupaswa kusem kama mumeo amekup mpk card yk umiliki mshahar
Kila ambacho shilole anafanya nae anaiga anatembelea nyota ya shilole kwenye mambo ya ubunifu wa biashara
Nitakuja kukula
Kiwanja kinapoteaje NA ni cha kwako😮?
Interviewa nzima anaongelewa mume 😂😂😂😂😂badla kupromote biashar yak
Mdhamin😬😬😬
Esha bhana mbona km unanichochea mimi nina kahelea nataka kuongeza kiwanja sasa unataka kuniambia niwekeze kwenye biashara
Biashara inanafasi yake na kiwanja kinanafasi yeke
Kiwanja pia ni muhimu nacho nunua
Kweli, nakupongeza unajitahid sana, ila unaongea sana
Tatizo uwaga awamtembelei akaeleza mambo yake l kwahyo hapo ndo kapata pa kueleza baada y kutangaza biashara anaongea n mengine. Ili watu wajue anapendwa kapata sehemu ya maana hzo ndo tabia zetu z uswahilin mtu akimpata bwana w kumpa vocha z 2000 na alikua ajapata bas akipata hyo vocha aitoki kinywani 🤣🤣🤣
Shishi alivyo mchawi atamloga mtoto wa watu ila Mungu atamlinda
Huyu anapika kuliko Shishi
@@leokamil6284 ni kweli kabisa ila lile li shishi nilichawi sana tutamuombea hasadi isimpate...
We nae mchawi tu umejuaje kama shishi mchawi? Dah ina watu wengii umeona shishi tu mmhh toa chuki zako at tutamuombea 😏we mwenyew umeahindwa kujiombea mambo yako ya mwingine utaweza puuhh
We ndio mchawi mwenyewe , watu mnamatatizo Gani? Bila kuwafurahia wanawake wenzenu na kuwafunga mkono ,mmejaa wivu wa kijinga na fikra za kimasikini, Kila Mmoja ana riziki yake shishi anapata yake Kwa kile anachokifanya na Esha nae anapata yake , pole wewe maskini mwenye mawazo ya kichawi ,wenzeo Wanamake maisha hapo
@@estermathias8354shangaa na wewe, wivu mwingine bana
Esha unampenda mumeo ili upunguze kumuongelea
She's proud of her husband, be proud too.
Yaani mshukuru sana Mungu kama alikupa akili. Huyo mchezaji ni mpumbavu wanawake wenyewe wa kiswahili hawa, mwanamke wa mjini aliolewa na kuachika, then ni stupidity eti biashara yote ameandika jina lake hela yote umempa hadi mshahara wako ana umanage mwanamke wa kiswahili 😢, kuna Leo na kesho angeandika jina lake kama a share holder kwenye hiyo biashara
Wacha roho ya korosho kama wewe huwezi wapo wanaoweza.
@@diyembarak5506 upumbavu mtupu huo nani asiyejua wanawake wa Kiswahili hao eti biashara yote jina lake na unampa mshahara wako , huyo zuzu siku atakuja kulia , si tumeona kwa Haji manara wanawake wa Kiswahili
Mwaenzenu kanogewa mahaba tamu
hii ndio mijanaume yenye roho za ubinafsi na roho mbaya
achana na mapenzi ya watu. wewe ishi na mwanamke wako unavojua wewe.maisha hayafanani.
Sasa unajisisifia kuhatarisha maisha Yako alaaaa.eti nimedraivu dar mpaka Tanga kidonda kibichi kisa pesa.unacheza na uhai wako we dada.
Mjinga sanaa huyu
Et Kiwanja kikizurumiwa 🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ZERO BRAIN
Kwakweli hapo sijamwelewa
@@rogathengowo1099 Umri wake na alicho ongea apo ni vitu tofauti.Ametuonesha wazi Jinsi gani Akili ake ni kisoda
Mjinga kabisa mzuri bt like 0 brain. Unaongea ndg zake wanakusikia tayari unakaribisha vita
@eshabuheti Plzplz Naomb utoe pombee Tuwe free tujee huko beleiv me..! Utapotez watejaa weeng 🥹
😂😂😂😂 na akitoa natuji
Kwan unaenda kunywa pombe au kula😂
Hebu pta hivi wanywaj tupo wengi...mtukome
I wish ningekueleza kariakoo kwa wanaouza dawa za uvimbe
Mmmm kwani esha ana mafua mda wote maana anavyovuta iyo pua
Tumrtofautiana kuna watu toka utotoni no hivyo. Mimi nina kaka yngu hivyo avuta mafua kila time