UTAPENDA MAHABA YA ESHA BUHETI AKIMPIKIA CHAKULA MUMEWE LIVE UKUMBINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 49

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Месяц назад +4

    Nice couple Ongera sana Esha na Amad mungu awake maisha marefu❤❤❤❤❤♥️♥️♥️🐘🌹🌹🌹😄😄🎁🎁🎁🎁🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🥤🥤🥤🍷🍷🍷🍾🍾🍾🍽️🍽️🍽️🍴🍴🍸🍸🥃🥂🥂🥂🥣

  • @fatumadugulu351
    @fatumadugulu351 27 дней назад +1

    Esha mmoja tyu❤❤🌹

  • @user-zl7mz5kx1u
    @user-zl7mz5kx1u Год назад +4

    Mashaallah mungu akaweke Baraka katika ndoa yenu ❤❤❤

  • @user-bi6uf7mr3y
    @user-bi6uf7mr3y Год назад +4

    Nakupenda sana mtanga mwenzangu❤❤❤

  • @user-co5uv5zn9d
    @user-co5uv5zn9d Год назад +4

    Maasha Allah

  • @olliz1
    @olliz1 Год назад +2

    Dada uko vzr❤

  • @hadijamsati8813
    @hadijamsati8813 Год назад +1

    Nimependa anavyojiachia tu yaan yu huru...💝

  • @syliviasimon8415
    @syliviasimon8415 Месяц назад

    Waoooo nimeipenda sana hiyooo

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Год назад +13

    Watu wa Tanga tujuane hapa

  • @MwanaAlly-ij2ro
    @MwanaAlly-ij2ro Год назад +2

    Nice

  • @manumeni5057
    @manumeni5057 Год назад +1

    Xaxa harusi inakaa kma ya kina monica,na benedict ,mbona msifanye ya kiislamu moja kwa moja direct

  • @hatibuahmadi7237
    @hatibuahmadi7237 Год назад +1

    wallah. wabongo mnakazi sana. asa apo mnanukishana. vitungu namishera yenu iyo duh

  • @reginameitavan4032
    @reginameitavan4032 Год назад +6

    Hajanawa mikono

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Год назад

      🤣eh

    • @fredrickymuxhy668
      @fredrickymuxhy668 Год назад

      @@nancyg8664 huwezi anza kupika bila kunawa mikono Mara kushikana na watu Mara kupokea pesa na huku unapika jamani kulikon?

    • @mishikombowato1457
      @mishikombowato1457 Год назад +4

      ​@@fredrickymuxhy668hapo wala haJagusa chochote Zaid ya kumimina tu na upishi uendelee angekua amekatakata vitu ungekua na sababu ya kusema hanawa mikono

    • @mgenisaid4499
      @mgenisaid4499 Год назад

      Kunawa mikono ni muhimu sana

    • @mishikombowato1457
      @mishikombowato1457 Год назад

      @@mgenisaid4499 kwahiyo esha na kiwango chake chose hajui umuhim wa kunawa mikono wataka kusema au walimwengu bora Wali tembele

  • @lucykebacho3446
    @lucykebacho3446 Год назад +1

    Mswahili shida

  • @GodyMwalong-uj6xz
    @GodyMwalong-uj6xz Год назад

    Jaman mtang huyo

  • @mariamanzazi2696
    @mariamanzazi2696 Год назад

    Mashaallah

  • @user-fc7vm5lk7u
    @user-fc7vm5lk7u Месяц назад

    Mmmh mbona munashughuli kweli Kwani huyo mwanaume kaanza Kula chakula cha huyo Esha Leo tumuambie Tu dada wanaume ni Baba mmoj si ajabu kadem kake kapo hapo kamchepuko kake kanakuchora Tu unavyojihangaisha wanaume hawaridhiki

  • @shalifajuma5914
    @shalifajuma5914 Год назад +1

    Tupo hapa

  • @reginapatrick2942
    @reginapatrick2942 26 дней назад

    Kila harusi ina vionjo vyake muacheni jmn sasa ww sholewa

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 Год назад +3

    Ushamba tu, Waafrika tunapenda pilika.. vyote hivi na wataenda kuachana na serengeti wake

    • @haryanyawu640
      @haryanyawu640 Месяц назад +1

      Mwenyewe mshamba tu vile vile Kuwa mvumilivu na wewe ukifikia hatua yako utafanya ushamba wako 😏

    • @leylamohamed9939
      @leylamohamed9939 Месяц назад

      @@haryanyawu640 Siwezi kujipikilisha na Mashela ukumbini .. hata kidogo

    • @haryanyawu640
      @haryanyawu640 Месяц назад

      @@leylamohamed9939 sasa huyo upishi ndo fani yake jamani kwahiyo mwenzio huyo hata akiumwa muhimu hako kajiko kadogo kanakaa kitandani kwenye kimeza chake anampikia mumewe

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Месяц назад

      ​@@leylamohamed9939ndo utulie sasa

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw Месяц назад +1

      Kila mtu anafanya anachokipenda then tunatofautiana interest ...

  • @TundaEmanuel-ns8kj
    @TundaEmanuel-ns8kj Месяц назад +2

    Huyu ndio kasema shishi anashep km kabat la milango 4 sa sibora shishi hat hips na tako analo sa huy mbona km simba Dume 😂😂😂😂

  • @saudahassan6077
    @saudahassan6077 Месяц назад +1

    Watu wa tanga tuko vizur kila sekshen

  • @ashamohamediyaka
    @ashamohamediyaka Год назад +3

    MashaAllah

  • @SuzanaSangola-ed8lq
    @SuzanaSangola-ed8lq Месяц назад +1

    Niko hapa