ESHABUHETI AWACHANA WANAOSEMA KAOLEWA NA MTOTO MDOGO/NIKIMUONA NAMUAMKIA/MDOGO KWENU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 янв 2023
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    ESHABUHETI AWACHANA WANAOSEMA KAOLEWA NA MTOTO MDOGO/NIKIMUONA NAMUAMKIA/MDOGO KWENU
    #Bonatv #Exclusive
    #diamondplatinumz #harmonize #nandy #marioo #zuchu #alikiba #rayvanny
    #yangasc #simbasc #ligikuunbc #mayele #alikamwe #ahmedyally #hashimuibwe #wasafitv #live #millardayo #ayotv #entertainment #soundcloud #spotify #podcast #vlog #music #newmusic #1ontrending #eshabuheti #singidabigstars

Комментарии • 155

  • @najuf8021
    @najuf8021 Год назад +37

    Hapo kwa Allah ukimuomba unachotaka anakupa kwa wakat hata sikatai aisee Allah nimwingi wa rehma ALHAMDULILAH

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 10 месяцев назад

      Daaah yaani unakunya chooni unaomba Mungu!!!!

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 10 месяцев назад

      Daaah eti linakunya linaomba Mungu???

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 10 месяцев назад

      Weeee Najuf jiulize linakunya mavi yananukaaaa mfyuuuu daaah!!! Eti hapo hapo linaomba Mungu!!!

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +11

    Mashallah da Esha hongera sana 😘

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Год назад +19

    Masha'allah mungu awadumishe ktk ndoa yenu🤲

  • @esthermkala4217
    @esthermkala4217 Год назад +15

    Dada mdogo wangu age is just a number, congratulations 👏

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Год назад +15

    Usimsifie sana awatabiliki hao

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 Год назад

      Umeonaee wakiachana ndio utaskia nlikua navumilia tu hawa viumbe mwanzo ni wazuri sana

    • @hadijaabdallah8614
      @hadijaabdallah8614 Год назад

      Hao watu si wakupenda 😂😂😂

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад

      afu kwa maelezo yake tu yeye ndio alikua anamshobolea na wakija kuachana mtakuja kuona au kuyasikia🤔🤔

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад +24

    Maskn eshe katendwa hyu...anajibu kwa uwoga ila .ka fall in love.ALLAH AKUSIMAMIE WW NA HALALI WAKO INSHALLAH...MZIKANE.superwoman..🥰🥰🥰

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 Год назад +2

    Ongera Eshe mashallah. Mungu aichunge ndoa yenu

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 Год назад +5

    MashaAllah Allah atujaalie sote

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Год назад +6

    Hongera dada Kwa kuolewa munguawe mumemwema inshaallah

    • @faridaabdallah7424
      @faridaabdallah7424 Год назад

      Amiin 🙏 wajna

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 10 месяцев назад

      ​@@faridaabdallah7424weeeh nyau farida nyau weweee!!! Unatombwa na hilo bayaaaaa!! Eti unaliita baby!!!

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 Год назад +2

    Hongera Dada mungu akudusha kwenye ndoa yako

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +4

    Mashallha hongera dd maa is siyo kwa sifa hizo kwa mumeo mashallha arafu mnafanana wenyewe

  • @mahijjaeidi9144
    @mahijjaeidi9144 Год назад

    ManshaAllah Allah anijalie nmm

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад +1

    Congratulations my love sister esha m/mungu akusimamie dada Mtu

  • @esthermkala4217
    @esthermkala4217 Год назад +2

    Mashallah Mashallah

  • @neyney1907
    @neyney1907 Год назад +5

    nampendaga uyu dada jamani

  • @veronicaalfred
    @veronicaalfred Год назад

    Hongera dada Esha mi huwa napenda sana unavyoigiza♥️♥️♥️

  • @zoozzoz9879
    @zoozzoz9879 Год назад +2

    Hongera

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +1

    Hongera sana ndoa ya kheri

  • @faarahally3888
    @faarahally3888 Год назад

    Mashaa allah dada kweli

  • @saadamoshi1478
    @saadamoshi1478 Год назад

    Kawaida. Hongera sana dada

  • @salhasaid499
    @salhasaid499 Год назад +1

    I love you Dada esha

  • @maryowen7490
    @maryowen7490 Год назад +5

    wakati wa MUNGU ni wakati sahihi

  • @rithaferdinand3738
    @rithaferdinand3738 Год назад +1

    Hapo kwenye udogo mm nimekuelewa sn jamani we mdada una akili mpaka zinamwagika aiseee, hongera sn weshu

  • @idaiaseverino3769
    @idaiaseverino3769 Год назад

    Ongera sana kipenzi

  • @mariasmith4301
    @mariasmith4301 Год назад +1

    Hongera Sana Esha

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 Год назад +1

    Umenigusa sana Esha wangu

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula7616 Год назад +2

    Huuyu dada Nii mzurii mno nilikuana nae kweny boat ya azam

  • @jamilaathumani8903
    @jamilaathumani8903 Год назад

    Niwatakie heri kwenye ndoa yako mama,,kila la heri na mdumu milele amina

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Год назад

    Nimependa kila mtu kashika maick yake hivi ndo Safi na ni usafi pia hongera dada esha mzuri

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Год назад

    Eshe jamani unaonekana umeshikwa haswa 🤣🤣🤣💜

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Год назад +4

    Tatizo watanzania wanajaji sana kuolewa ni mpango wa Mungu ht kuachika ni mwisho wa rizki tu jmn

    • @consolatatemu8613
      @consolatatemu8613 Год назад

      Utaki mwangu wenye mtoto wakat wewe unawatoto

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Год назад +1

      Wkt kamuomba Allah na yy ndie aliempa ujue hayo ni matakwa ya huyo mume pia. Mana yy anazijua nafs zetu sote na anazijua zinataka nn. Huezi kujua inaezekana na huyo m'me alikua akiomba anataka mke mtu mzima aloachika na awe na wtto.

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 Год назад +1

    Kwali kabisa

  • @tatusalum5728
    @tatusalum5728 Год назад

    Mashaallah Allah akulindieni ndoa yenu

  • @zaynamushi7565
    @zaynamushi7565 Год назад

    Allah akulinde mwaya muishi kufa na kuzikan

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Год назад +1

    Ila bhana kamwanaume kadogo dogo kana Raha ya yake kwanza wanajua kupenda Wana mahaba mazito hongera dada enjoy na mume wako wasikuzoee

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 10 месяцев назад

      Ila kamwanaume kadogo anakanyonya mbooo!!!

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Год назад

    Inawezekana may be😄

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    😍

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +1

    Wawahili kuolewa kila siku mpaka jike linezeheka lina miaka 60 bado linataka kuolewa tu

  • @qrrrqtqt9976
    @qrrrqtqt9976 Год назад +3

    MASHAALLAH MOLA AWAJALIE KHERI KWENYE NDOA YENU

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 Год назад

    Beki kilaka from Ndanda,mbeya

  • @nissamwapoladi7345
    @nissamwapoladi7345 Год назад +2

    Af hv vicheza mpira ni Hatareeee.vinajua vinajua vinajua tenaaaa.❤

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 10 месяцев назад

      Nissa daaah ulikazwa hadi ukatoka chupi imejaaaa uharo au???

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Mkaka mzur halafu anaonyesha ana sura ya upole ndio unakuwa na uwoga ukitoka kwenye shida

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 Год назад +9

    Mbinafsi ww , Yan ww una watoto alafu uombe uolewe na mtu hana hata mtoto, wanaume wanajifcha sna uckute ana watoto pia

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 Год назад +2

      Mbinafsi na roho mbaya🤣🤣🤣

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Год назад +1

      Aliemuomba ni Allah na aliempa ni Allah. Hata ukiona hivyo ujue nayy huyo mume ama mbinafs hataki mtto kabsa au pengine nayy ilikua dua yake apate mke mwenye mtto.

  • @nawechi4818
    @nawechi4818 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sahiyaali4466
    @sahiyaali4466 Год назад +1

    Matured enough

  • @faisaloaljabry6400
    @faisaloaljabry6400 Год назад

    Wewe ni mwanamke mwema dumu katika kuficha mambo yako please
    Katika interview yako umefaulu kwa asilimia 97 hiyo tatu niliyokunyima kwa sababu ulitetereka kidogo Kukataa kusema yaliyo kusibu ni uungwana Allah akupe stara zaidi Amiyn

  • @HaniphaBaib-pz1cv
    @HaniphaBaib-pz1cv Год назад

    Unaonge kwaustarabu dada yangu nimekupenda story yako kama yangu

  • @Ann-Strong
    @Ann-Strong Год назад +9

    Napenda Ndoa za ki islamu, nikama mchezo wa hide &seek, unaolewa , unaachika bila vurugu mingi

    • @tatotato506
      @tatotato506 Год назад +1

      Kalibu bac kwenye uislamu

    • @Ann-Strong
      @Ann-Strong Год назад +8

      @@tatotato506 nifunze Yale maombi mnaomba kimya kimya, hii ni ndoto Yangu IPO siku nitakua Muslim

    • @irenekasa7113
      @irenekasa7113 Год назад

      🤣🤣

    • @rahmaarrington9019
      @rahmaarrington9019 Год назад +1

      @@Ann-Strong yani karibu sana kwenye Uislam! Mungu atakuwezesha kwa haraka tu uingie!

    • @lelaiddy6856
      @lelaiddy6856 Год назад

      😅😅😅

  • @lissaseif4744
    @lissaseif4744 Год назад +4

    Alafu mnazingua nyie saut inajiludiia

  • @zeyounhabibty8587
    @zeyounhabibty8587 Год назад +2

    Tunaomba unaehoji usimkate mtu akiongea unakata pale pazurii

  • @shangazizaynyenzi3121
    @shangazizaynyenzi3121 Год назад +1

    Mdogo kadi ya clinic anayo anayoengea?

  • @tausimohd9622
    @tausimohd9622 Год назад

    Tunakuombea dada uishi kwa amani kwenye ndoa yako

  • @habbibtymonah6912
    @habbibtymonah6912 Год назад +21

    Wenzangu wa 8month wanaolewa mm 5yrs bado naangaliwa kama naweza kuwa mke wa mtu au laa🤣🤣🤣🤣

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 Год назад

    Kila kitu I think duuu hich kingereza jaman

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад

      😂😂😂😂😂bora tu mi sikijui najipigia zangu kiswahili tu

  • @athmanrajab2448
    @athmanrajab2448 Год назад +4

    Iweje Utake Mume Hana Mtoto Ila wewe Uko na Watoto 😮😯😮😯

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 Год назад +1

    Ishakuwa fashion kuolewa na vitoto

  • @mussamc641
    @mussamc641 Год назад

    Ina mdaaaa?

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 Год назад

    Unajidanganya dada ametulia tu huyo ngoja mzoeane ndio utamjua ni mtu wa namna gan

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад

      yaan anajimaliza afu kwa maelezo yake tu yeye ndio alikua anamshobolea na wakija kuachana mtakuja kuona au kuyasikia yoote

    • @ubongosahihi
      @ubongosahihi 2 месяца назад

      Kwa sasa tuwaombeeeeee 🙌🏾

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Год назад +5

    Ukiwaona insta wadogo kumbe mashavu yameshawashuka

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад +3

      Mbona ypo kawaida tu na mashavu mazur tu

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 Год назад

      😂😂😂😂

    • @irenekasa7113
      @irenekasa7113 Год назад

      🤣🤣

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 Год назад +2

      Uo uhasidi tu mbona mzuri nahata kama kashuka mashav ndo yake ujue ushamsengeja hapo ushapata dhambi naushampayia thawabu

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Год назад

    Mungu akupe ndoa ya kheri na maelewano! Ila usijiamini saana wanaume mimi si wa amini saana. Mungu akusaidie

  • @zainabuyohana3780
    @zainabuyohana3780 Год назад +1

    Kwani kaachana na baba wawatotowake

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +1

    Waislam wanaishi kwenye mahusiano yani inamaanisha zinaa halafu ndoa mtihani

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 Год назад +1

      Mahusiano yanaweza kuwa bila kuzini mana huyo nimjane lazma kuna vitu waulizane wapange nahasa kama anawatoto wakubwa acha dhana mbaya hasa zakumfikiria zinaaa

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад +1

      tulia Wewe kafiri mkubwa

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Год назад

      @@sifatiiman unamjuwa kafiri wewe sasa wewe ulokuwa muislam ugejianiika

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Год назад

      @@sifatiiman Masikini roho yko sijui nikwambie

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Год назад

      @@sifatiiman wewe mwenywe ukute apo unaishi kwa kudanga mbona umepaniki ukweli umewaigia malaya mtarajiwa

  • @mamaikram7573
    @mamaikram7573 Год назад +5

    mdogo Kwani haipiti

  • @tausimohd9622
    @tausimohd9622 Год назад +1

    Tunakuombea dada uishi kwa amani kwenye ndoa yako