ALIKIBA ALINI-BLOCK NA MIMI NIKAM-BLOCK| NAMPENDA ILA NIMEUMIA SANA | KWANINI MIMI TU? - ESHA BUHETI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 янв 2022

Комментарии • 149

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 2 года назад +19

    Mimi nilikuwa mjinga kama Esha nawapenda marafiki kama ndugu 😏😏😏 sasa nikaenda kuishi nchi za watu nimejifunza kupenda ndugu zangu na familia yangu marafiki baadaye.

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 2 года назад +1

      Nchi za watu zinatunyoosha na upole wetu wote unatuisha,, and 😄

    • @shakilakhamis2109
      @shakilakhamis2109 2 года назад +1

      sahihi mnooo

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 года назад +1

      @@shakilakhamis2109 Halafu watu wanamnanga Eshe hawajui ukijitoa kwa mtu kwa moyo wa ♥ Halafu yeye anachukulia poa inauma na kukatisha tamaa

  • @lapozzydone5203
    @lapozzydone5203 2 года назад +3

    ESHA buheti una pozi za kidamwani..(I like it)
    Yani unaonekana mwanamwali na pozi zako Mashallah

  • @jastinimushi5992
    @jastinimushi5992 2 года назад +11

    Acha kihehere bana we tulia upike na kupakua sawa dada

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 2 года назад +18

    🤣🤣 huyu dada htr hebu mpe break Kiba. sitaki mwenziwe basi, angalia maisha yako

    • @omanphone3455
      @omanphone3455 2 года назад

      Masha allah masha allah masha allah

  • @lanafelix8649
    @lanafelix8649 2 года назад +26

    King kiba hataki mazoea👑

  • @leticiamadal2117
    @leticiamadal2117 2 года назад +10

    Uyu nae kila cku allykiba jaman 🤔 wooiii watu watakuchoka kheee Ally Ni staaa hapend shobo

    • @stuartkudeba
      @stuartkudeba 2 года назад

      ruclips.net/video/Fz8eTcx0Wzw/видео.html

  • @hanifamajid6964
    @hanifamajid6964 2 года назад +22

    Dina jaribu kucontrol hiko kipindi,kelele za hao wenzio zimekuwa nyingi sana..japo unajitahidi sana kuwarudisha kwny mstari

  • @mysaramohamed4832
    @mysaramohamed4832 2 года назад +22

    Esher ni kwanin unapenda kumuongelea Kiba hivi hujiulizi toka umeanza kumuongelea kwanin Kiba hakujibu?Unatuchosha mashabiki zako na unatukera cyo siri

    • @sifatrajab7055
      @sifatrajab7055 2 года назад +2

      Me navoona wanapanga na ally bwana ilituaongelewe

    • @fredrickmatiku7783
      @fredrickmatiku7783 2 года назад +1

      Huyu dada moyoni anampenda sana alikiba anatamani angemuoa sema anaogopa na alikiba sio hadhi yake anaona kuwa nae awe mke wake anamchukulia kama dada ake tu mshikaji rafiki mtu wa kawaida hana mahusiano naye hisia kimapenzi Ndio maana esha buheti kila wakati anamtaja alikiba

    • @babyhamisi1437
      @babyhamisi1437 2 года назад +1

      @@fredrickmatiku7783 inaweza kuwa ukweli labdha amekuwa na hisia na kiba, sijamsikia akimtaja mumewe wala kumsifia mumewe

    • @monicamwanjisi693
      @monicamwanjisi693 2 года назад

      Kuwa muwazi unachotaka Kwa kiba

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +15

    Nampenda sana uyu Dada, Allah akulipe kher inshallah 🙏

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 2 года назад +10

    ESHA anaumia sana kuhusu alikiba yaan alimpenda alikiba lakini kiba anadharau sana

    • @haibahassan1244
      @haibahassan1244 2 года назад

      Kwani Lazima jamani 😃🤣😂😂😂ana mkewe ali embu mumuache kaka wawatu

    • @barikiwa22
      @barikiwa22 2 года назад

      Ndio inakuwa hivyo

  • @Quranbond
    @Quranbond 2 года назад +4

    Dina umeongea point kabisa love 💘 without expectation .upo vizuri umeweza kusoma situation kwa haraka

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 2 года назад +23

    Usilazimishe mtu akupende Esha, rafiki hatafutwi anakuja mwenyewe, tena mshukuru mungu hata usipokuwa na marafiki wengi, Ali Kiba achana nae wala usimzungumzie popote dada utaonekana kituko mbele za watu, muombe mwenyezi mungu akupe marafiki wema inawezekana tu, na usiweke kila kitu mitandaoni

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 2 года назад

      @RubbyMusa
      Umesikiliza uhelewe au u-comment?
      #Esha anajua alipokosea na tayari amesema yote, atakayeendelea kumlaumu Ally hapa anachukizake bifsi..

    • @clementsemizigi7150
      @clementsemizigi7150 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣

  • @evodiamathias2542
    @evodiamathias2542 2 года назад +1

    Poleee da esha, nmeumia ulivyosema mama alshakufa baba umjui, unakosa pakutolea ya moyo I uliyonayo poleee sana dadaangu

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад +1

    Ila pole sana 😢 😞 🙏 Esha Allah akupe nguvu

  • @mkudemohammed1301
    @mkudemohammed1301 2 года назад +2

    Basi esh msamehe king wetu kila siku unamzungumzia kiba mashabiki zake tupo ila sas tutakuchoka the only one king hana baya hapendagi shoboooo we zunguka kila siku kweny media tutakuchokaaaa?

  • @yussufamour6567
    @yussufamour6567 2 года назад

    Very funny Dr, kumbuka no one like u unakipaji ubarikiwe 🙏

  • @nathaliashayo3289
    @nathaliashayo3289 2 года назад +1

    Esha pole sana,ila hii dunia,huwezikutafuta kupenda nawatu ukapata amani ila utalipwa maumivu tuu,cha muhimu nikumpenda Mungu zaidi,ili naye akupende sanaaa,,ila upemdo kwa watu usiaçhe kuwapenda ila usitarajie upendo wake,ukijua hilo waweza kujifariji,kwa kuishi kwa furaha,na Mungu atakuwezesha kuyasahau machungu na kashfa upitiazo.Asante mim Natalie

  • @safiyamohamudadan6526
    @safiyamohamudadan6526 2 года назад +6

    wambea hawa yote hayo ni kutaka kumsema Ali kiba

  • @leilaachmed9271
    @leilaachmed9271 2 года назад +33

    Kulalamika kila ukikutana na wandishi wa habari mara hajanialika mara kaniblok mara hanilipi bili za chakula huchoki kumkashifu kwanini usimwongele mume wako na biashara zako wewe sio mstarabu umetumwa

    • @babyhamisi1437
      @babyhamisi1437 2 года назад +2

      Umewaza kama mie ,analalamika hadi anachosha, sijawahi kuskia akimsifia mumewe wala kumuongelea

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад +6

    Huyu nae kila siku alikiba una lako mim kiba kama famili kwani famili mna watu wazima lazima uje kwenye media

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 года назад

    Nakupenda Hesha

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 2 года назад +10

    Eshe umezidi acha hadithi za kiba kutwa kukicha unahadithi juu ya Kiba. Mwenzio ka kaa kimya bila hata kukutaja. Umezidi bi dada tulia dada. Sura ka ndimu

    • @saumusalimuhassan2499
      @saumusalimuhassan2499 2 года назад

      Kaulizwa sasa afanyaje?

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 года назад

      @@saumusalimuhassan2499 Shangaa mtu kaulizwa na kajibu ila wanavopenda ku judge tayari yanawatoka utasema wamekamilika

    • @saumusalimuhassan2499
      @saumusalimuhassan2499 2 года назад

      @@spreadlove5300 Kwanza alisema hataki kuzungumzia hili, kalazimishwa, sasa afanyaje waja 🙌🏽

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 2 года назад +3

    Umekosea kuongea ktk media kuw hujaalikwa ktk harus yake ukapewa orda unasema haji kula kwako yaan naropoka vitu vya private so ulitakiwa unde private sio media ndioman alikublock maan ukiwa una kitu ungemuuliza sio hivyo ww ndio umemosea ba Ally Kiba hapendi unafiki maisha yake

  • @lanafelix8649
    @lanafelix8649 2 года назад +8

    King kiba hataki kina kigagula na hujalikwa shilole

  • @lanafelix8649
    @lanafelix8649 2 года назад +8

    King kiba hana kiki

    • @baghat12lodi67
      @baghat12lodi67 2 года назад +1

      Jamani huyu dada anahistoriya kama yangu naomba namba zake jamani

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад +6

    Acha kumuongelea kiba.zungumzia family yko.au unamtakaaa?kiba wake amina..tatizo da esha ww mropokaji sana kijidomo kidogo afu maneno mengi kama dr kumbuka🤣🤣🤣.afu uko full stress maskn ustar kazi pole weeeh.ila ni mwanamke wa SHOKA.💟👌🙌unapiga kazi.ILA SWEBE🙌🤣🤣🤣ETI HYO SI MBEA

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi7062 2 года назад +18

    Huyu anachoshaaa ingekuwa mimi mbona angejiulizia yy hebu na atulize mdomo kazi yake kusemaa tuuu ajifunze kunyamaza kama MARTHA MWAIPAJA

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 Год назад

    Tende wema nenda zako, Mungu ana kulip Kwa sababu hayo maisha uliyo nayo ni Kwa sababu hayo unakutokea

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 2 года назад +6

    Tatizo lako unamzungumzia mtu hadharani tena kwenye social media tv show thats not right kama muislamu ukihisi mtu kamekukosea onana nae face to face kuliko kumzungumzia mtu hadharani wakati hakuna solution zaidi ya kuwafaidisha na kujenga chuki na unae mzungumzia wakati HAJAKUKOSEA.

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 2 года назад

    Asha usijali ni shaa Allah Allah ataleta kheir wewe bado ni family ya Ali Kiba

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 2 года назад +5

    #Esha anajua alipokosea na tayari amesema yote, atakayeendelea kumlaumu Ally hapa, basi anachukizake binafsi... period

  • @noelasamugabo5135
    @noelasamugabo5135 2 года назад

    Esha mimi nakupenda sana usiwaze kuishi mwenyewe tupo watu tunaokupenda

  • @bettyrugemalila9185
    @bettyrugemalila9185 2 года назад +9

    Mi naona kilichomuudhi Kiba,ni kukimbilia kwenye media tena kwa adui yake kwenda kumcma,ungefikiria kwanza,ulikurupuka.

  • @esthermwae9993
    @esthermwae9993 2 года назад +3

    Huyu dada nampenda Sana Pia.

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 2 года назад +2

    Uyu Esha yuko na tatizo zingine. Kisha anatembeleya jina ya KingKiba. King kisha vuka mpaka jamani.

  • @rosetembe3785
    @rosetembe3785 2 года назад +3

    Ebu mwacheni bas kiba,umeshakula block Nini Sasa,afu kiba akiwajibu mwalalama mwaka

  • @nairaboti3181
    @nairaboti3181 2 года назад

    This is meeee....but sijuti...it comes bak in another way....Mungu hanitupi alhamdulilah

  • @africatoday861
    @africatoday861 2 года назад +2

    Kumbuka kama mkoleza manenoo....mweeeeeeh mtu anaongea anadakwa .....jamani plz plzzzzzz....Kumbuka mxiiiiiuuuu

  • @vivianlucas6389
    @vivianlucas6389 2 года назад +4

    Jmn mbn hajaongea kitu kibaya Dada wa watu

  • @ostakiambilinyi1270
    @ostakiambilinyi1270 2 года назад +1

    Kumbuka mungu anakuona

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 2 года назад +6

    Makubwa unalazimisha upendwe?!

  • @chenterywanda8918
    @chenterywanda8918 2 года назад +1

    Unipendi......sinakaa mbali na wewe akinipenda Mama/ Baba inatosha

  • @chawahirelmymashlalltaabar4949
    @chawahirelmymashlalltaabar4949 2 года назад +11

    Yaani huyu dada unaongea hujibiwi duuh sister mind you business we are 2022 madam

  • @lucycornel5307
    @lucycornel5307 2 года назад +4

    Kumbuka na uyo mwenzake wanamautani too much adi wanaboaa..

  • @Ikkiyoongi
    @Ikkiyoongi 2 года назад +2

    Ww mwenyewe esha umeniblock insta japo sijaku follow🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Matiherbalist
    @Matiherbalist 2 года назад +2

    Kweli anapenda kulalamika kwa kila kitu .

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 2 года назад

    🤣🤣🤣Ila swebe na kumbuka. Siwawezi😂😂

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 2 года назад

    Dada Eshaa hapo umefika.leo mbavu zangu mie huyu kiba achan nae dadaangu ananyodo yulee kama nin

  • @swidatyomar7963
    @swidatyomar7963 2 года назад

    uswebe na kumbuka nyamaza jamn tumsikilize eisha😄😄

  • @pinkyg8861
    @pinkyg8861 2 года назад

    Unatabasam zur dada yangu

  • @l.m.a.7570
    @l.m.a.7570 2 года назад +6

    Iam sure he is not the only one Who s blocked you lakini kwa kuwa ni ali imekuwa issue naona umetumwa nenda psychology wakusadie una matatizo ya mume wako kuzaa na rafiki yako

    • @justinenishimwe9077
      @justinenishimwe9077 2 года назад

      Umeona dear eeeee nishida sana wanadamu

    • @susanejd7775
      @susanejd7775 2 года назад

      Umenena vyema mtu hulalamika kwa ajili ya mumewe lkn yy kila siku lawama za ali kwa kifupi anachosha. Dada mzuri lkn hajielewi masikini

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    Nyele 👌🏽

  • @mishwanwanmish8803
    @mishwanwanmish8803 2 года назад +2

    Uyu nae nyanya rukia

  • @zainababdullsadik1247
    @zainababdullsadik1247 2 года назад +2

    Huwishi kulalamikaa au ashakurambaaa usituxhezee akili

  • @sophiabryson2735
    @sophiabryson2735 2 года назад

    💖

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 2 года назад +2

    Ushatuambia sasa Ali alikula chakula bure 😅😅😅😅😅😅

  • @makambapromise3495
    @makambapromise3495 2 года назад +6

    Kwl anachosha

  • @dullyzungu536
    @dullyzungu536 2 года назад +10

    Wewe usimpende ila sisi twampenda

    • @stuartkudeba
      @stuartkudeba 2 года назад

      ruclips.net/video/Fz8eTcx0Wzw/видео.html

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 2 года назад

    Ila jamani kumbuka anajua kujipendekeza jamani eti alimtaka Dinna pia daaah😂😂😂👐👐

  • @dotogiving9293
    @dotogiving9293 2 года назад +3

    jitu zima unaforce u star

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 2 года назад +3

    Naumeimaliza kopo lote la poda kwajinsi ulivyojosiliba uson🤭

    • @fatumakassim64
      @fatumakassim64 2 года назад

      😀😀😀😀😀😀nilijua nimemuona mimi kumbe adi wew

    • @pillyolsen8377
      @pillyolsen8377 2 года назад

      @@fatumakassim64 kwakweli wanajialibu ngozi zao🤌🏽🤭

  • @Official83640
    @Official83640 2 года назад +3

    Kumbuka nae punguza mdomo utaharibu kipindi mengine sio yakuropoka hovyo

  • @yasinta.murobi
    @yasinta.murobi 2 года назад

    So sad kweki Mungu akikufanya daraja malipo yake ni kuchomwa miba yaani ndo kama mimi

  • @masterkeymuzik
    @masterkeymuzik 2 года назад +2

    Kiba mpende mwenyewe

  • @hellenbanda7089
    @hellenbanda7089 2 года назад +3

    😁😁😁

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 2 года назад +2

    Yaani kipindi kizuri lakini makelele ya kuingiliana yamezidi, too many people talking at the same time

  • @justinenishimwe9077
    @justinenishimwe9077 2 года назад +10

    Afu Esha kafanana NA jike chupa 😁😁😁dada mzuri saaana

    • @stuartkudeba
      @stuartkudeba 2 года назад

      ruclips.net/video/Fz8eTcx0Wzw/видео.html

  • @asha.mwambamwamba1774
    @asha.mwambamwamba1774 2 года назад +2

    MTU mzima ivyooo

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 года назад

    Swebe pole kumbuka anakuchimba jamani😂😂😂😂

  • @cuteniluu6612
    @cuteniluu6612 2 года назад

    Huyu esha wallah najiona mimi ila nataman tungekua marafiki

  • @norahazan796
    @norahazan796 2 года назад

    Hahahaaa et mama nibebe

  • @annalubango9899
    @annalubango9899 2 года назад +1

    to much bd hajaenda clouds

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 2 года назад +3

    Sema seba nae anakela bhna km lichiz kuharibu kipind tu mfyuuu,anajichekesha km mwanamke malaya kaona not😏😏

  • @rehemadaudi742
    @rehemadaudi742 2 года назад

    Hao wakaka wanakera da

  • @neemakilingo8282
    @neemakilingo8282 2 года назад +10

    Mange alishasema Ali ukimdharau yy atakudharau Mara dufu!wewe uliona km unamkomoa kumsema vile kweny media ??Bora ukae kimya kwanza kuliko kila cku uwe unumuongea mtu Hana tym na wewe

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 2 года назад +1

    Dinner unanenepa sana pungua kidogo ubadili na style ya nywele

    • @agathakijalo193
      @agathakijalo193 2 года назад +1

      Mmeanza mwache ajinenepe khaaaa

    • @zaynabmwanjovu8277
      @zaynabmwanjovu8277 2 года назад

      @@agathakijalo193 atapasuka mwenzio wew🤣🤣🤣...dina wacloyds uku simuon kabisa wallah,,hawa wanaongea bila mpangilio

  • @bellaabu5726
    @bellaabu5726 2 года назад +1

    Viumbe wa wili si wa kunyanyaswa... Yatima na mwanamke.

  • @mariasilvana1857
    @mariasilvana1857 2 года назад

    Kwenye kila story kuna upande mbili wa story Kwa hiyo msemaji akiwa mmoja na mwingine hajaongea jua kuna kitu ktk hapo .

  • @irankundasolange4822
    @irankundasolange4822 2 года назад +1

    Kwani analalamika je?waandishi ndo wanamuuliza sasa atakosa kuwajibu?acheni upovu

  • @nurumbonde5341
    @nurumbonde5341 2 года назад

    yaan Kumbuka eti Swebe ntakupiiiga unavyoitamka sasa daaah hahahahahaaaa

  • @khalidhamis5811
    @khalidhamis5811 2 года назад +2

    Watangazaji wetu wa kibongo nahis hawajui namna ya utangazaji kelele nyingi unaongea pumba tu sijui mnataaluma na utangazaji au laaaaa mpak huyo mnayemuoji anaona kelo hebu jilekebisheni bhna

  • @chynabongoo405
    @chynabongoo405 2 года назад

    Kumbe wa 90 ni wadogo heeee maana tunambiwa tumezeeka wengne

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад +3

    Dina na yule agrey shoga ni NDUGU?WANAFANANA

  • @eugenentahomvukiye3539
    @eugenentahomvukiye3539 2 года назад

    Niko Kigali iyi Redio tuko pamojya

  • @jumakauga2592
    @jumakauga2592 2 года назад

    Mi kiukweli da esha point zake kwa Kiba bado hazijanishika nikaelewa, maana sijawahi sikia Kiba wala familia ya Kiba ikimsema vibaya esha, sasa anaposema kwamba hana mazuri yanasemwa mabaya lini alisemwa? Au anaishi kwa maneno ya watu wa insta?

  • @naidasuleyman6005
    @naidasuleyman6005 2 года назад

    Mhhh huyu kumbuka sijui maneno anayatoga wapi.pakti la chumvii lol

  • @saidmadizi9152
    @saidmadizi9152 2 года назад

    Shishi kwa mbali...

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 2 года назад +2

    Ila dr kumbuka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣et Ana shapu km pakti ya chumvi

  • @cynthiam184
    @cynthiam184 2 года назад

    Amefanana na fahyvanny

  • @shaurimfungoni1772
    @shaurimfungoni1772 2 года назад

    Usiuze pombe my lov u

    • @stuartkudeba
      @stuartkudeba 2 года назад

      ruclips.net/video/Fz8eTcx0Wzw/видео.html

  • @darlinmakuti5276
    @darlinmakuti5276 2 года назад

    Nimemuonea huruma jamani

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 2 года назад +4

    Huyo mume nadhani jina tu huna lolote jinga weqe sura kaaa….

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 года назад

    Ivi kwann mm izi redio zingine uwa sizirewi yn azinamvuto km wasafi

  • @josephemmanuel388
    @josephemmanuel388 2 года назад

    Baba levo uyo

  • @hakizimananuriat8898
    @hakizimananuriat8898 2 года назад +1

    Yani nimejua dunia niko mwenyew mwenye matatiz ayo kumb typo wengi Eeh mungu tujaze subr wenye mitiani kam ya daa Eshe

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 2 года назад

    Kumbuka eti waja wazito kama chuma cha jim

  • @malimanyanja562
    @malimanyanja562 2 года назад +2

    Ua siangalii ujinga kama hu

  • @elizabwakila2548
    @elizabwakila2548 2 года назад +1

    Dada mstaarabu huyu! Anaongea kwa utulivu na busara.

  • @user-ef3gw8hq6u
    @user-ef3gw8hq6u 2 года назад

    Ina uma kwakweli lkn pengine nikiki mtafute

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 года назад

    Tangia lini kibakuli akathamini mashabiki zake ukimshanikia kibakuli nisawa nakipptezs muds