Mimi nilikuwa mjinga kama Esha nawapenda marafiki kama ndugu 😏😏😏 sasa nikaenda kuishi nchi za watu nimejifunza kupenda ndugu zangu na familia yangu marafiki baadaye.
Esher ni kwanin unapenda kumuongelea Kiba hivi hujiulizi toka umeanza kumuongelea kwanin Kiba hakujibu?Unatuchosha mashabiki zako na unatukera cyo siri
Huyu dada moyoni anampenda sana alikiba anatamani angemuoa sema anaogopa na alikiba sio hadhi yake anaona kuwa nae awe mke wake anamchukulia kama dada ake tu mshikaji rafiki mtu wa kawaida hana mahusiano naye hisia kimapenzi Ndio maana esha buheti kila wakati anamtaja alikiba
Usilazimishe mtu akupende Esha, rafiki hatafutwi anakuja mwenyewe, tena mshukuru mungu hata usipokuwa na marafiki wengi, Ali Kiba achana nae wala usimzungumzie popote dada utaonekana kituko mbele za watu, muombe mwenyezi mungu akupe marafiki wema inawezekana tu, na usiweke kila kitu mitandaoni
Basi esh msamehe king wetu kila siku unamzungumzia kiba mashabiki zake tupo ila sas tutakuchoka the only one king hana baya hapendagi shoboooo we zunguka kila siku kweny media tutakuchokaaaa?
Esha pole sana,ila hii dunia,huwezikutafuta kupenda nawatu ukapata amani ila utalipwa maumivu tuu,cha muhimu nikumpenda Mungu zaidi,ili naye akupende sanaaa,,ila upemdo kwa watu usiaçhe kuwapenda ila usitarajie upendo wake,ukijua hilo waweza kujifariji,kwa kuishi kwa furaha,na Mungu atakuwezesha kuyasahau machungu na kashfa upitiazo.Asante mim Natalie
Kulalamika kila ukikutana na wandishi wa habari mara hajanialika mara kaniblok mara hanilipi bili za chakula huchoki kumkashifu kwanini usimwongele mume wako na biashara zako wewe sio mstarabu umetumwa
Eshe umezidi acha hadithi za kiba kutwa kukicha unahadithi juu ya Kiba. Mwenzio ka kaa kimya bila hata kukutaja. Umezidi bi dada tulia dada. Sura ka ndimu
Umekosea kuongea ktk media kuw hujaalikwa ktk harus yake ukapewa orda unasema haji kula kwako yaan naropoka vitu vya private so ulitakiwa unde private sio media ndioman alikublock maan ukiwa una kitu ungemuuliza sio hivyo ww ndio umemosea ba Ally Kiba hapendi unafiki maisha yake
Acha kumuongelea kiba.zungumzia family yko.au unamtakaaa?kiba wake amina..tatizo da esha ww mropokaji sana kijidomo kidogo afu maneno mengi kama dr kumbuka🤣🤣🤣.afu uko full stress maskn ustar kazi pole weeeh.ila ni mwanamke wa SHOKA.💟👌🙌unapiga kazi.ILA SWEBE🙌🤣🤣🤣ETI HYO SI MBEA
Tatizo lako unamzungumzia mtu hadharani tena kwenye social media tv show thats not right kama muislamu ukihisi mtu kamekukosea onana nae face to face kuliko kumzungumzia mtu hadharani wakati hakuna solution zaidi ya kuwafaidisha na kujenga chuki na unae mzungumzia wakati HAJAKUKOSEA.
Iam sure he is not the only one Who s blocked you lakini kwa kuwa ni ali imekuwa issue naona umetumwa nenda psychology wakusadie una matatizo ya mume wako kuzaa na rafiki yako
Mange alishasema Ali ukimdharau yy atakudharau Mara dufu!wewe uliona km unamkomoa kumsema vile kweny media ??Bora ukae kimya kwanza kuliko kila cku uwe unumuongea mtu Hana tym na wewe
Watangazaji wetu wa kibongo nahis hawajui namna ya utangazaji kelele nyingi unaongea pumba tu sijui mnataaluma na utangazaji au laaaaa mpak huyo mnayemuoji anaona kelo hebu jilekebisheni bhna
Mi kiukweli da esha point zake kwa Kiba bado hazijanishika nikaelewa, maana sijawahi sikia Kiba wala familia ya Kiba ikimsema vibaya esha, sasa anaposema kwamba hana mazuri yanasemwa mabaya lini alisemwa? Au anaishi kwa maneno ya watu wa insta?
Mimi nilikuwa mjinga kama Esha nawapenda marafiki kama ndugu 😏😏😏 sasa nikaenda kuishi nchi za watu nimejifunza kupenda ndugu zangu na familia yangu marafiki baadaye.
Nchi za watu zinatunyoosha na upole wetu wote unatuisha,, and 😄
sahihi mnooo
@@shakilakhamis2109 Halafu watu wanamnanga Eshe hawajui ukijitoa kwa mtu kwa moyo wa ♥ Halafu yeye anachukulia poa inauma na kukatisha tamaa
ESHA buheti una pozi za kidamwani..(I like it)
Yani unaonekana mwanamwali na pozi zako Mashallah
Acha kihehere bana we tulia upike na kupakua sawa dada
🤣🤣 huyu dada htr hebu mpe break Kiba. sitaki mwenziwe basi, angalia maisha yako
Masha allah masha allah masha allah
King kiba hataki mazoea👑
Mbaya
Han lolot ujinga to
Uyu nae kila cku allykiba jaman 🤔 wooiii watu watakuchoka kheee Ally Ni staaa hapend shobo
ruclips.net/video/Fz8eTcx0Wzw/видео.html
Dina jaribu kucontrol hiko kipindi,kelele za hao wenzio zimekuwa nyingi sana..japo unajitahidi sana kuwarudisha kwny mstari
Esher ni kwanin unapenda kumuongelea Kiba hivi hujiulizi toka umeanza kumuongelea kwanin Kiba hakujibu?Unatuchosha mashabiki zako na unatukera cyo siri
Me navoona wanapanga na ally bwana ilituaongelewe
Huyu dada moyoni anampenda sana alikiba anatamani angemuoa sema anaogopa na alikiba sio hadhi yake anaona kuwa nae awe mke wake anamchukulia kama dada ake tu mshikaji rafiki mtu wa kawaida hana mahusiano naye hisia kimapenzi Ndio maana esha buheti kila wakati anamtaja alikiba
@@fredrickmatiku7783 inaweza kuwa ukweli labdha amekuwa na hisia na kiba, sijamsikia akimtaja mumewe wala kumsifia mumewe
Kuwa muwazi unachotaka Kwa kiba
Nampenda sana uyu Dada, Allah akulipe kher inshallah 🙏
NapenDa. AnavyoOngea 🥰
@@lovenessferdinand3664 Me too 💕
KwangwaGod
ruclips.net/video/Xd6G8b4Y1fI/видео.html
ESHA anaumia sana kuhusu alikiba yaan alimpenda alikiba lakini kiba anadharau sana
Kwani Lazima jamani 😃🤣😂😂😂ana mkewe ali embu mumuache kaka wawatu
Ndio inakuwa hivyo
Dina umeongea point kabisa love 💘 without expectation .upo vizuri umeweza kusoma situation kwa haraka
Usilazimishe mtu akupende Esha, rafiki hatafutwi anakuja mwenyewe, tena mshukuru mungu hata usipokuwa na marafiki wengi, Ali Kiba achana nae wala usimzungumzie popote dada utaonekana kituko mbele za watu, muombe mwenyezi mungu akupe marafiki wema inawezekana tu, na usiweke kila kitu mitandaoni
@RubbyMusa
Umesikiliza uhelewe au u-comment?
#Esha anajua alipokosea na tayari amesema yote, atakayeendelea kumlaumu Ally hapa anachukizake bifsi..
🤣🤣🤣🤣
Poleee da esha, nmeumia ulivyosema mama alshakufa baba umjui, unakosa pakutolea ya moyo I uliyonayo poleee sana dadaangu
Ila pole sana 😢 😞 🙏 Esha Allah akupe nguvu
Basi esh msamehe king wetu kila siku unamzungumzia kiba mashabiki zake tupo ila sas tutakuchoka the only one king hana baya hapendagi shoboooo we zunguka kila siku kweny media tutakuchokaaaa?
Very funny Dr, kumbuka no one like u unakipaji ubarikiwe 🙏
Esha pole sana,ila hii dunia,huwezikutafuta kupenda nawatu ukapata amani ila utalipwa maumivu tuu,cha muhimu nikumpenda Mungu zaidi,ili naye akupende sanaaa,,ila upemdo kwa watu usiaçhe kuwapenda ila usitarajie upendo wake,ukijua hilo waweza kujifariji,kwa kuishi kwa furaha,na Mungu atakuwezesha kuyasahau machungu na kashfa upitiazo.Asante mim Natalie
wambea hawa yote hayo ni kutaka kumsema Ali kiba
Kulalamika kila ukikutana na wandishi wa habari mara hajanialika mara kaniblok mara hanilipi bili za chakula huchoki kumkashifu kwanini usimwongele mume wako na biashara zako wewe sio mstarabu umetumwa
Umewaza kama mie ,analalamika hadi anachosha, sijawahi kuskia akimsifia mumewe wala kumuongelea
Huyu nae kila siku alikiba una lako mim kiba kama famili kwani famili mna watu wazima lazima uje kwenye media
Apo sasa wanapenda kiki za kisenge
Nakupenda Hesha
Eshe umezidi acha hadithi za kiba kutwa kukicha unahadithi juu ya Kiba. Mwenzio ka kaa kimya bila hata kukutaja. Umezidi bi dada tulia dada. Sura ka ndimu
Kaulizwa sasa afanyaje?
@@saumusalimuhassan2499 Shangaa mtu kaulizwa na kajibu ila wanavopenda ku judge tayari yanawatoka utasema wamekamilika
@@spreadlove5300 Kwanza alisema hataki kuzungumzia hili, kalazimishwa, sasa afanyaje waja 🙌🏽
Umekosea kuongea ktk media kuw hujaalikwa ktk harus yake ukapewa orda unasema haji kula kwako yaan naropoka vitu vya private so ulitakiwa unde private sio media ndioman alikublock maan ukiwa una kitu ungemuuliza sio hivyo ww ndio umemosea ba Ally Kiba hapendi unafiki maisha yake
King kiba hataki kina kigagula na hujalikwa shilole
King kiba hana kiki
Jamani huyu dada anahistoriya kama yangu naomba namba zake jamani
Acha kumuongelea kiba.zungumzia family yko.au unamtakaaa?kiba wake amina..tatizo da esha ww mropokaji sana kijidomo kidogo afu maneno mengi kama dr kumbuka🤣🤣🤣.afu uko full stress maskn ustar kazi pole weeeh.ila ni mwanamke wa SHOKA.💟👌🙌unapiga kazi.ILA SWEBE🙌🤣🤣🤣ETI HYO SI MBEA
Huyu anachoshaaa ingekuwa mimi mbona angejiulizia yy hebu na atulize mdomo kazi yake kusemaa tuuu ajifunze kunyamaza kama MARTHA MWAIPAJA
Tende wema nenda zako, Mungu ana kulip Kwa sababu hayo maisha uliyo nayo ni Kwa sababu hayo unakutokea
Tatizo lako unamzungumzia mtu hadharani tena kwenye social media tv show thats not right kama muislamu ukihisi mtu kamekukosea onana nae face to face kuliko kumzungumzia mtu hadharani wakati hakuna solution zaidi ya kuwafaidisha na kujenga chuki na unae mzungumzia wakati HAJAKUKOSEA.
Asha usijali ni shaa Allah Allah ataleta kheir wewe bado ni family ya Ali Kiba
#Esha anajua alipokosea na tayari amesema yote, atakayeendelea kumlaumu Ally hapa, basi anachukizake binafsi... period
Esha mimi nakupenda sana usiwaze kuishi mwenyewe tupo watu tunaokupenda
Mi naona kilichomuudhi Kiba,ni kukimbilia kwenye media tena kwa adui yake kwenda kumcma,ungefikiria kwanza,ulikurupuka.
Huyu dada nampenda Sana Pia.
Uyu Esha yuko na tatizo zingine. Kisha anatembeleya jina ya KingKiba. King kisha vuka mpaka jamani.
Ebu mwacheni bas kiba,umeshakula block Nini Sasa,afu kiba akiwajibu mwalalama mwaka
This is meeee....but sijuti...it comes bak in another way....Mungu hanitupi alhamdulilah
Kumbuka kama mkoleza manenoo....mweeeeeeh mtu anaongea anadakwa .....jamani plz plzzzzzz....Kumbuka mxiiiiiuuuu
Jmn mbn hajaongea kitu kibaya Dada wa watu
Kumbuka mungu anakuona
Makubwa unalazimisha upendwe?!
Unipendi......sinakaa mbali na wewe akinipenda Mama/ Baba inatosha
Yaani huyu dada unaongea hujibiwi duuh sister mind you business we are 2022 madam
Kumbuka na uyo mwenzake wanamautani too much adi wanaboaa..
Ww mwenyewe esha umeniblock insta japo sijaku follow🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli anapenda kulalamika kwa kila kitu .
🤣🤣🤣Ila swebe na kumbuka. Siwawezi😂😂
Dada Eshaa hapo umefika.leo mbavu zangu mie huyu kiba achan nae dadaangu ananyodo yulee kama nin
uswebe na kumbuka nyamaza jamn tumsikilize eisha😄😄
Unatabasam zur dada yangu
Iam sure he is not the only one Who s blocked you lakini kwa kuwa ni ali imekuwa issue naona umetumwa nenda psychology wakusadie una matatizo ya mume wako kuzaa na rafiki yako
Umeona dear eeeee nishida sana wanadamu
Umenena vyema mtu hulalamika kwa ajili ya mumewe lkn yy kila siku lawama za ali kwa kifupi anachosha. Dada mzuri lkn hajielewi masikini
Nyele 👌🏽
Uyu nae nyanya rukia
Huwishi kulalamikaa au ashakurambaaa usituxhezee akili
💖
Ushatuambia sasa Ali alikula chakula bure 😅😅😅😅😅😅
Kwl anachosha
Wewe usimpende ila sisi twampenda
ruclips.net/video/Fz8eTcx0Wzw/видео.html
Ila jamani kumbuka anajua kujipendekeza jamani eti alimtaka Dinna pia daaah😂😂😂👐👐
jitu zima unaforce u star
Naumeimaliza kopo lote la poda kwajinsi ulivyojosiliba uson🤭
😀😀😀😀😀😀nilijua nimemuona mimi kumbe adi wew
@@fatumakassim64 kwakweli wanajialibu ngozi zao🤌🏽🤭
Kumbuka nae punguza mdomo utaharibu kipindi mengine sio yakuropoka hovyo
So sad kweki Mungu akikufanya daraja malipo yake ni kuchomwa miba yaani ndo kama mimi
Sure
Kiba mpende mwenyewe
😁😁😁
Yaani kipindi kizuri lakini makelele ya kuingiliana yamezidi, too many people talking at the same time
Afu Esha kafanana NA jike chupa 😁😁😁dada mzuri saaana
ruclips.net/video/Fz8eTcx0Wzw/видео.html
MTU mzima ivyooo
Swebe pole kumbuka anakuchimba jamani😂😂😂😂
Huyu esha wallah najiona mimi ila nataman tungekua marafiki
Hahahaaa et mama nibebe
to much bd hajaenda clouds
Sema seba nae anakela bhna km lichiz kuharibu kipind tu mfyuuu,anajichekesha km mwanamke malaya kaona not😏😏
Hao wakaka wanakera da
Mange alishasema Ali ukimdharau yy atakudharau Mara dufu!wewe uliona km unamkomoa kumsema vile kweny media ??Bora ukae kimya kwanza kuliko kila cku uwe unumuongea mtu Hana tym na wewe
Dinner unanenepa sana pungua kidogo ubadili na style ya nywele
Mmeanza mwache ajinenepe khaaaa
@@agathakijalo193 atapasuka mwenzio wew🤣🤣🤣...dina wacloyds uku simuon kabisa wallah,,hawa wanaongea bila mpangilio
Viumbe wa wili si wa kunyanyaswa... Yatima na mwanamke.
Kwenye kila story kuna upande mbili wa story Kwa hiyo msemaji akiwa mmoja na mwingine hajaongea jua kuna kitu ktk hapo .
Kwani analalamika je?waandishi ndo wanamuuliza sasa atakosa kuwajibu?acheni upovu
yaan Kumbuka eti Swebe ntakupiiiga unavyoitamka sasa daaah hahahahahaaaa
Watangazaji wetu wa kibongo nahis hawajui namna ya utangazaji kelele nyingi unaongea pumba tu sijui mnataaluma na utangazaji au laaaaa mpak huyo mnayemuoji anaona kelo hebu jilekebisheni bhna
Kumbe wa 90 ni wadogo heeee maana tunambiwa tumezeeka wengne
Dina na yule agrey shoga ni NDUGU?WANAFANANA
Niko Kigali iyi Redio tuko pamojya
Mi kiukweli da esha point zake kwa Kiba bado hazijanishika nikaelewa, maana sijawahi sikia Kiba wala familia ya Kiba ikimsema vibaya esha, sasa anaposema kwamba hana mazuri yanasemwa mabaya lini alisemwa? Au anaishi kwa maneno ya watu wa insta?
Mhhh huyu kumbuka sijui maneno anayatoga wapi.pakti la chumvii lol
Shishi kwa mbali...
Ila dr kumbuka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣et Ana shapu km pakti ya chumvi
Amefanana na fahyvanny
Usiuze pombe my lov u
ruclips.net/video/Fz8eTcx0Wzw/видео.html
Nimemuonea huruma jamani
Huyo mume nadhani jina tu huna lolote jinga weqe sura kaaa….
Ivi kwann mm izi redio zingine uwa sizirewi yn azinamvuto km wasafi
Baba levo uyo
Yani nimejua dunia niko mwenyew mwenye matatiz ayo kumb typo wengi Eeh mungu tujaze subr wenye mitiani kam ya daa Eshe
Amin
Kumbuka eti waja wazito kama chuma cha jim
Ua siangalii ujinga kama hu
Dada mstaarabu huyu! Anaongea kwa utulivu na busara.
Ina uma kwakweli lkn pengine nikiki mtafute
Tangia lini kibakuli akathamini mashabiki zake ukimshanikia kibakuli nisawa nakipptezs muds