Duh,! PETER MSIGWA AFICHUA MATESO ANAYOPATA TUNDU LISSU/ mbowe yeye anaruka na ndege tu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 198

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq 2 месяца назад +1

    Safi sana Mweheshimiwa Msigwa

  • @johnmlangi6890
    @johnmlangi6890 2 месяца назад +8

    Msigwa. Nakushangaa sana, Njaa yako Imekufanya udharaulike kwa kujichafua. Where are you going to put your face?

  • @AlphonceAlphonco-sw7hh
    @AlphonceAlphonco-sw7hh 2 месяца назад +5

    Kama kweli Chadema ni Sakos basi mbowe kiboko anaitesa siasa ccm.nguvu yote ya nini

  • @wartv730
    @wartv730 2 месяца назад +2

    😂😂😂 njaa , tuijenge nchi tukiwa na njaa

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 2 месяца назад +6

    Wewe usijifananishe na akina heche wewe kwani na wewe unajilinganisha na akina lema nyooooooooo

    • @samwelandrew3852
      @samwelandrew3852 2 месяца назад

      Imekuuma san tulia apo msigwa aseme ukwel tatizo chadema inampasuko mkubwa san kwa ndani alaf viongoz wa juu hawapo really

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352 2 месяца назад +1

    Bila Chadema Msigwa ungejulikana wapi. Chadema imekujenga hata ukaonekana, kuwa na shukrani walau kidogo

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi 2 месяца назад +3

    Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, sema yote Msigwa hakuna kumuogopa mtu hata wakuite katili ama njaa hizo ni soga tu. Wacha waendelee kukunja ngumi

    • @samwelandrew3852
      @samwelandrew3852 2 месяца назад

      Happy chadema ni wanafki hawapo really hasa kwa viongoz wa kubwa kabisa juu kuna mpasuko pale namuamin tundulissu tu

  • @yailoelieza7904
    @yailoelieza7904 2 месяца назад +2

    Huyu Jamaa Ana njaa sana

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 2 месяца назад +2

    msigwa yuko sahihi chadema ingekuwa na nguvu Sana Kama wangekuwa wanafanya mabadiliko ndan ya chama

  • @boniveturendimbo8880
    @boniveturendimbo8880 2 месяца назад +4

    Mambo mawili ya kuogopa Duniani, Muogope Mungu, jambo la pili Teknologia. Tuwe makini sana.

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 2 месяца назад

      Muchungaji Msigwa usinyee kambi. Ina maana ukiondoka CCM nao utawasema vibaya. Njaaaa tu ndo inakuumiza. Be professional Msigwa zungumuza sera.

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi 2 месяца назад +3

    Bongo ukihama chama eti njaa inakuuma, kuna mtu haumwi njaa hahahahaahahaaa, we have to respect others decision. Hata mnara wa babeli ulianguka sembuse chadema? 😂😂😂😂😂😂😂

    • @willykomba8376
      @willykomba8376 2 месяца назад

      Hamna lolote zaidi ya njaa,Ingekuwa Ulaya sawa😢😢

  • @SijaliJimson
    @SijaliJimson 2 месяца назад +2

    Uko sawa sana baba

  • @aloycemchuo7687
    @aloycemchuo7687 2 месяца назад +4

    NJAA 😂

  • @AvitChaz
    @AvitChaz 2 месяца назад +3

    Kwaiyo msigwa na wewe una maana ata ubunge aukufai

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 2 месяца назад +3

    Hana jipya msigwa

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 2 месяца назад +2

    Umelamba asali bwege

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali 2 месяца назад +3

    Kola umeweka wapi mungu anakuona utatolea hesabu

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 2 месяца назад

    Adui wa muafrica nimuafrica mwenyewe

  • @EliasOwilly
    @EliasOwilly 2 месяца назад

    Ovyooooooo,,hata mjinga kabisa anajua tatizo njaaaaaaaaa

  • @KhamisBoss
    @KhamisBoss 2 месяца назад +1

    Dah kwer njaa noma shida iko kwa ss wananchi wenyew

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 2 месяца назад

    Ashakuwa chawa wa Ccm daaaah

  • @MussaEzekiel-jn8hj
    @MussaEzekiel-jn8hj 2 месяца назад +3

    Wewe ni mjinga

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 2 месяца назад

    Ulimpinga sana JPM ingawa ulijua kabisa kuwa JPM anafanya kazi kizarendo kabisa, Leo hii tunataka umsafishe JPM yaani utubu wananchi tukuelewe

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 2 месяца назад

    Chadema ni chama kizuri ndio maana unahangaika kukichafua mda wote.. sidhani kma unaweza ukakizungumzia CHAUMA AU TLP😂

  • @MaryMwamwezi-xm3iz
    @MaryMwamwezi-xm3iz 2 месяца назад

    Safi sana msigwa .umenifurahisha.

  • @rammykandra2354
    @rammykandra2354 2 месяца назад +1

    Siku ccm wakikutema ndio utajua maana unauza utu wako kwa ajili ya njaa

  • @longinokamuntu8645
    @longinokamuntu8645 2 месяца назад

    Mchungaji unatumia nguvu kubwa kushawishi watu lkn hatukuelewi

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 2 месяца назад +2

    Zaman nilikuwaga na kiherehere na siasa nilipokuja kujuwa siasa ni mchezo mchafu nikamuwa kufanya maisha mengine

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 2 месяца назад +5

    Umekosa Kanda utahangaika sana

  • @ROBERTMGOGOSI
    @ROBERTMGOGOSI 2 месяца назад +3

    Kwahiyo matatizo ya barabara ni jukumu la serikali au chadema

    • @ismailhaji-b4s
      @ismailhaji-b4s 2 месяца назад

      Ya kutoka wapi kwenda wapi

    • @ROBERTMGOGOSI
      @ROBERTMGOGOSI 2 месяца назад

      @@ismailhaji-b4s barabara zote zinatekelezwa kwa kodi zetu siyo serikali na hao serikali wanalipwa kodi zetu

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi 2 месяца назад

    Kusema ukweli Chadema kwasasa haina mwelekeo, hata kama Msigwa ana matatizo ila chadema kishapoteza dira kabisa. Ni swala la muda heche na lisu wataondoka, ila lema mbowe na msigwa hawawezi kuondoka kwasababu ndo safu za mashambulizi ya mbowe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mzeekidevu9688
    @mzeekidevu9688 2 месяца назад +1

    Njaa mbaya

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 Месяц назад

    Yaani msigwa wewe ukajenge nchi wewe. Nchi ipi wewe utajenga? Ulisema ccm hawezi kuleta maendeleo. Afadhali ungestaafu siasa. Njaa Yako hiyo itakupeleka motoni. Kumbe kutoka uchungaji kwenda kwenye siasa ni mpango wa Mungu maana hiyo njaa ingekukuta kanisani ungechinja kondoo wa Mungu kanisani.

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 2 месяца назад

    Njaa kali asee,,,,siamini ndiyo yule aliyekuwa anaiponda ccm,,,Mimi ni ccm damu ila Nyerere alishaonya watu wa aina hii,,,,,njaaa njaaa njaaa.

  • @PsdiTanzania-h1y
    @PsdiTanzania-h1y 2 месяца назад

    Nilikuwa namheshimu sana msigwa ila kuanzia Leo namdharau...anashindwa kujua kwamba wenzake wanamchora...kwa sababu ameasahau kwamba anayekuambia ya wenzake Leo kesho atawaambia wenzake ya kwako...msigwa meza maneno....ishia hapo....ishia hapo msigwa...wenzako wanakuchora......hubiri Sera acha kuhubiri povu lako.....msigwa ishia hapo.....

  • @kasimukayanda2701
    @kasimukayanda2701 2 месяца назад

    Upo sahihi mchungaji

  • @issayalaizer9816
    @issayalaizer9816 2 месяца назад +1

    Kati ya watu wasio stahili kusikilizwa wee unaongoza hufai hata kwa chumvi miaka yote uko chadema je hayo unayoyesa ulikuwa huyaoni leo ndo umefunguliwa macho baada ya kuhama? Haya ni sengwe tu na Tamaa ya madaraka

    • @samwelandrew3852
      @samwelandrew3852 2 месяца назад

      Wew hujui kitu hajasema chadema mbaya amesema uongoz wa chadema ulivyo haufai unafki pale labda tundu antipas lissu

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 месяца назад

    Msigwa unaongea utumbo mtupu, fikiri bila Chadema, leo usingeropoka hivi.

  • @EliasOwilly
    @EliasOwilly 2 месяца назад

    Njaa mbaya sanaaaaa, ww si uliosema ccm hatfikishi popote, mbingu hautaina ,mchungaji mtawanya kondoo

  • @donatusdaniel3722
    @donatusdaniel3722 2 месяца назад

    Mchungaji...Msigwa acha unafiki.
    Yote haya unaengea kwa sababu ulishindwa Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Nadhani hata CCM usipopata ubunge utaondoka.
    Acha unafiki ww ni mtumishi wa Mungu.

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 2 месяца назад

    Huyu msigwa nikibaka, mjinga

  • @lothanathanael2286
    @lothanathanael2286 Месяц назад

    MSIGWA KAPOTE ZA MWELEKEO KIIMANI NA KISIASA. NI MCHUNGAJI KWELI?

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 Месяц назад

    Mushes. Felix. Umechoka. Haunarorote. Mouse. Mushes. Hafai

  • @johnjeremia7489
    @johnjeremia7489 2 месяца назад

    Kumbe doctor w slaa ni mtumishi

  • @STAY_FOCUS10
    @STAY_FOCUS10 2 месяца назад

    Kwakweli Hawa wanasiasa ndo wanatufelisha na Tanzania inabaki kuwa km ilivyo miaka yote sababu ya siasa za ubinafsi,na kujijali wenyewe...Huyu jamaa namshangaa sana na simalizi ye mwenye amepewa mamilioni hapo ndo maana anabwawaja tuu..tumuombe mungu tu TZ ipate wanasiasa wa ukweli

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 2 месяца назад

    Lissu ndo sera ya ccm au ndo kusababisha maisha magumu mbona simuelewi hivi ccm tumemchukuwa kwa lengo lipi, hebu mjibu polepole alichosema ndicho? Anachafuka chama na mwenyekiti wetu, mtoeni haraka😮

  • @charlesmbise2344
    @charlesmbise2344 2 месяца назад

    Wewe msigwa achana na majungu leta sera mpya kuijenga ccm

  • @mahanjisanga3077
    @mahanjisanga3077 2 месяца назад

    Msingwa Huna sera wewe .chadema ni chama .kwanza wewe ni fara

  • @ChristopherK4
    @ChristopherK4 2 месяца назад

    Sitakuja kuamini tena mwanasiasa yeyote hadi nakufa

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 2 месяца назад

    Tuijenge Tanzania Mungu mkubwa

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 2 месяца назад

    Mbona anamuongelea mama. Samia tu,akijaribu kumtofautisha na watangulizi wake? Je amefuata chama ccm au mama Samia ? Na siku mama Samia akiondoka? Halafu mbona ni kama ana ugomvi na Mbowe tu? Ni kama anatuambia chadema siyo mbaya mbowe ndiyo tatizo. Huyu mchungaji ana shida.

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 месяца назад

    Tatizo la chadema ni mbowe kuwa king'ang'anizi ktk ngazi ya mwenyekiti,,,haiwezekani KUKAA ktk nafasi kubwa kama Ile MIAKA yote huku anajinadi eti yeye ni muumini wa haki na demokrasia hapana ,hii sio sawa,Kwa mantiki hiyo Hata tundulisu naamini angekuwa ccm angekuwa mbali sana ktk kuisaidia NCHI ya Tanzania

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 2 месяца назад

    Huyu n njaaa inamsumbua

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 2 месяца назад

    Msigwa tubu mbowe amendenda mema yeye ni baba watu yeye hajawa Rais yeye ndiye baba wa chama laana lmekukalia

  • @JamesMwandoje
    @JamesMwandoje 2 месяца назад

    😅😅😅😅
    Kwriiii kbsa

  • @johnjescajohnjesca
    @johnjescajohnjesca 2 месяца назад

    Ulivyokuwa chadema ulikuwa unaisema vibaya ccm, umerudi ccm unaisema vibaya chadema, huna sera nyoko tena nyokoko

  • @cosmassanga8851
    @cosmassanga8851 2 месяца назад

    unalalamika nini? kama cdm ni dhaifu tumieni mwanya huo kujiimarisha.

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 2 месяца назад

    Basi sas upo CCM mpande wote helicopter

  • @bilid4128
    @bilid4128 2 месяца назад

    😂😂😂😂 haki ya Mama tunachukuwa hii Nchi

  • @PendoMakundi-xv6nh
    @PendoMakundi-xv6nh 2 месяца назад

    Yaaanii unafki ni mbayaaaaaa

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 2 месяца назад +1

    Hivi waxiri utamuona leo, wee msigwa tufanye uchaguzi kwanza tuone wabunge tutakaowapata.

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 2 месяца назад

    Msingwa acha unafiki fanya siasa acha majungu kwani uliko hamia chama hakina mwenyekiti?

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 2 месяца назад

    Wewe sema tamaa za madaraka tu basi

  • @mutalemwabugeza1489
    @mutalemwabugeza1489 2 месяца назад

    Huo mradi wa sacoss, Msigwa, si umekufanya uwe Mbunge CDM kwa term 2?
    Hakika Mch unawakilisha jamii ya wasio na shukrani. Maana nawe umenufaika katika sacoss ya Nkurunzinza, na leo unamtupia mbeleko na kejeli

  • @geey7893
    @geey7893 2 месяца назад

    Huyu sio shoga?

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 2 месяца назад

    Ovyoooooooooo TUMBO bana😂

  • @NeemaKomba-ks4so
    @NeemaKomba-ks4so 2 месяца назад

    Aseme atawafanyia nini Wanachama wenzie aache kuiponda chadema ndiyo imemfanya anaongea hapo

  • @AshuraNyamnyam
    @AshuraNyamnyam 2 месяца назад

    Kama anateseka , bora nae ajiondoe , kwanini ateseke mvutie huko bwana jembe lile

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 2 месяца назад

    Wasaliti wapo toka kipindi cha manabii

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 2 месяца назад

    Hawa ndo wanaofanya siasa iwe uwongo ... Too bad anajiita mchungaj,sasa mnaipeleka siasa kene dini.eeh MUNGU niepushie uzee kama huu 🙏🏼

  • @saxo-mm4me
    @saxo-mm4me 2 месяца назад

    Chadema tumieni vijana kuitoa ccm madarakani

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 2 месяца назад

    Chadema wanaitesa CCM.kwalipi Awa.wanao jiita wapinzani Hawa ni mtaji wa ccm.ccm hwaja sumbuliwa na chama chochote labda kafu Tena znz hapa bara hakuna chama.chochote kinacho weza kusumbua.ccm ccm inaumza kichwa zanzibari tu

  • @obinasimbeye1750
    @obinasimbeye1750 2 месяца назад

    Mpen kanafasi huyo ndio alichofuata huko maana chadema amekosa nafasi. Mpeni akae kimya..ampate Kula

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 2 месяца назад

    Shetani nae aliasi anguko lililomkuta ni laana kubwa huyu anajiita mch analaana kubwa sana bora angejiongeza akakaa kimya watoto wetu wana shida makodi na madeni utitili unahoja gani ww umebeba laaana kubwa una

  • @maigedaud8754
    @maigedaud8754 2 месяца назад

    jaman hivi kweli ni busara kumsema mwanamke ukiachana nae.?😮

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 2 месяца назад

    Masikini siasa shida

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba 2 месяца назад

    Wewe povu litakutoka sana,,,kwenda ccm matatizo ya watanzania yameisha??

  • @clemencekaogo8826
    @clemencekaogo8826 2 месяца назад

    Mwanasiasa ananunuliwa ana kuwa kama kamalayamalaya hivi

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka 2 месяца назад +1

    Msigwa umeferi kwenda ccm 😂 mungu anaitaka nchi yake😂 ccm zero

  • @AllyDaudiNgoyeji
    @AllyDaudiNgoyeji 2 месяца назад +2

    Je,chadema wamefanya nini ilhali ccm ndio iliyo madarakani?Kwanini huwaelezi watu wako maovu ya ccm?Badala yake unabweka tu ukiilau Chadema kwa lipi?

  • @SeifuNassoro-po6rb
    @SeifuNassoro-po6rb 2 месяца назад

    Acha unafiki ww mbona ww ulikuwepo ulikuwa unatuaminisha

  • @ThadeiAndrea
    @ThadeiAndrea 2 месяца назад

    Wewe njaaaaaaa

  • @BritonNdishi-j7g
    @BritonNdishi-j7g 2 месяца назад

    Heee msigwa kamaliza mwenzake amuhurumie mbowe ataugua kisukari

  • @FadhiliRajabu-ft1dw
    @FadhiliRajabu-ft1dw 2 месяца назад

    Sijawai kuona jitu jinga nashenzi kama hili jamaa eti mchungaji mchungaji gani mnafki hivi limetanguliza tumbo lake libaba lizima ataibu halina linasalenda kuwasifu ccm ila mfamaji haishikutapatapa majitu kama haya hayafai kabisa ndoyale yanauliwa jeshini msimamo hayana yanaangalia matumbo yaotu ila usiku ataurefuke vipi lakini patakucha tu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад

    Mungu hatakujibu

  • @ROBERTMGOGOSI
    @ROBERTMGOGOSI 2 месяца назад +3

    Unamuogopa Lissu

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 2 месяца назад

    Umepigwa chini kanda una bwabwaja bwabwaja tuuu

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 2 месяца назад

    Njaa mbaya tutafute pesa tutajikana mno

  • @mandashanguma
    @mandashanguma 2 месяца назад

    Hunaa seraaa

  • @monicamwita7865
    @monicamwita7865 2 месяца назад

    Acha uongo miaka yote bukuona mabaya hayo

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 2 месяца назад

    Unamsema Mbowe maana unajua Mbowe hana muda wa kujibu mboga mboga

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 2 месяца назад

    Hata nyie pia njaa msigekuwa na njaa mgekaa manyumbani zenu bila kumuona msingwa ana njaa jiulize kila binadamu ni njaa inayomfanya atoke hata matajiri wakina bakheresa walali usiku kucha anahagaika na nn kama sio njaa sema baba mm huwa nasema kila siku ccm mpk kiama Tanzania

  • @feysalramadhan8541
    @feysalramadhan8541 2 месяца назад

    We mnafk2 msaka tonge hauna uzalendo wa nchi bali unataka yako twende...

  • @clemencekaogo8826
    @clemencekaogo8826 2 месяца назад

    Njaa mbaya sana ila hata wewe huaminiki

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 2 месяца назад

    Msigwa mogope mungo wewe broo wanekuhonga beigani msaliti mkubwa

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 2 месяца назад

    Huyu wame mnanii

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад

    Mambo ni chadema tu ovyio

  • @isackkivuyo1980
    @isackkivuyo1980 2 месяца назад

    Hahahaaaa komaa kamanda

  • @josephboru5703
    @josephboru5703 2 месяца назад

    Hahaha kunjangumi

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 2 месяца назад

    Mchungaji muongo sanna udharirisha hata wachungaji mbona mashehe wapo hivyo nishida