Bongo ukihama chama eti njaa inakuuma, kuna mtu haumwi njaa hahahahaahahaaa, we have to respect others decision. Hata mnara wa babeli ulianguka sembuse chadema? 😂😂😂😂😂😂😂
Kusema ukweli Chadema kwasasa haina mwelekeo, hata kama Msigwa ana matatizo ila chadema kishapoteza dira kabisa. Ni swala la muda heche na lisu wataondoka, ila lema mbowe na msigwa hawawezi kuondoka kwasababu ndo safu za mashambulizi ya mbowe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaani msigwa wewe ukajenge nchi wewe. Nchi ipi wewe utajenga? Ulisema ccm hawezi kuleta maendeleo. Afadhali ungestaafu siasa. Njaa Yako hiyo itakupeleka motoni. Kumbe kutoka uchungaji kwenda kwenye siasa ni mpango wa Mungu maana hiyo njaa ingekukuta kanisani ungechinja kondoo wa Mungu kanisani.
Nilikuwa namheshimu sana msigwa ila kuanzia Leo namdharau...anashindwa kujua kwamba wenzake wanamchora...kwa sababu ameasahau kwamba anayekuambia ya wenzake Leo kesho atawaambia wenzake ya kwako...msigwa meza maneno....ishia hapo....ishia hapo msigwa...wenzako wanakuchora......hubiri Sera acha kuhubiri povu lako.....msigwa ishia hapo.....
Kati ya watu wasio stahili kusikilizwa wee unaongoza hufai hata kwa chumvi miaka yote uko chadema je hayo unayoyesa ulikuwa huyaoni leo ndo umefunguliwa macho baada ya kuhama? Haya ni sengwe tu na Tamaa ya madaraka
Mchungaji...Msigwa acha unafiki. Yote haya unaengea kwa sababu ulishindwa Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Nadhani hata CCM usipopata ubunge utaondoka. Acha unafiki ww ni mtumishi wa Mungu.
Kwakweli Hawa wanasiasa ndo wanatufelisha na Tanzania inabaki kuwa km ilivyo miaka yote sababu ya siasa za ubinafsi,na kujijali wenyewe...Huyu jamaa namshangaa sana na simalizi ye mwenye amepewa mamilioni hapo ndo maana anabwawaja tuu..tumuombe mungu tu TZ ipate wanasiasa wa ukweli
Lissu ndo sera ya ccm au ndo kusababisha maisha magumu mbona simuelewi hivi ccm tumemchukuwa kwa lengo lipi, hebu mjibu polepole alichosema ndicho? Anachafuka chama na mwenyekiti wetu, mtoeni haraka😮
Mbona anamuongelea mama. Samia tu,akijaribu kumtofautisha na watangulizi wake? Je amefuata chama ccm au mama Samia ? Na siku mama Samia akiondoka? Halafu mbona ni kama ana ugomvi na Mbowe tu? Ni kama anatuambia chadema siyo mbaya mbowe ndiyo tatizo. Huyu mchungaji ana shida.
Tatizo la chadema ni mbowe kuwa king'ang'anizi ktk ngazi ya mwenyekiti,,,haiwezekani KUKAA ktk nafasi kubwa kama Ile MIAKA yote huku anajinadi eti yeye ni muumini wa haki na demokrasia hapana ,hii sio sawa,Kwa mantiki hiyo Hata tundulisu naamini angekuwa ccm angekuwa mbali sana ktk kuisaidia NCHI ya Tanzania
Huo mradi wa sacoss, Msigwa, si umekufanya uwe Mbunge CDM kwa term 2? Hakika Mch unawakilisha jamii ya wasio na shukrani. Maana nawe umenufaika katika sacoss ya Nkurunzinza, na leo unamtupia mbeleko na kejeli
Chadema wanaitesa CCM.kwalipi Awa.wanao jiita wapinzani Hawa ni mtaji wa ccm.ccm hwaja sumbuliwa na chama chochote labda kafu Tena znz hapa bara hakuna chama.chochote kinacho weza kusumbua.ccm ccm inaumza kichwa zanzibari tu
Shetani nae aliasi anguko lililomkuta ni laana kubwa huyu anajiita mch analaana kubwa sana bora angejiongeza akakaa kimya watoto wetu wana shida makodi na madeni utitili unahoja gani ww umebeba laaana kubwa una
Sijawai kuona jitu jinga nashenzi kama hili jamaa eti mchungaji mchungaji gani mnafki hivi limetanguliza tumbo lake libaba lizima ataibu halina linasalenda kuwasifu ccm ila mfamaji haishikutapatapa majitu kama haya hayafai kabisa ndoyale yanauliwa jeshini msimamo hayana yanaangalia matumbo yaotu ila usiku ataurefuke vipi lakini patakucha tu
Hata nyie pia njaa msigekuwa na njaa mgekaa manyumbani zenu bila kumuona msingwa ana njaa jiulize kila binadamu ni njaa inayomfanya atoke hata matajiri wakina bakheresa walali usiku kucha anahagaika na nn kama sio njaa sema baba mm huwa nasema kila siku ccm mpk kiama Tanzania
Safi sana Mweheshimiwa Msigwa
Msigwa. Nakushangaa sana, Njaa yako Imekufanya udharaulike kwa kujichafua. Where are you going to put your face?
Mwache aseme kwel
Kama kweli Chadema ni Sakos basi mbowe kiboko anaitesa siasa ccm.nguvu yote ya nini
😂😂😂 njaa , tuijenge nchi tukiwa na njaa
Yah kabisa
Wewe usijifananishe na akina heche wewe kwani na wewe unajilinganisha na akina lema nyooooooooo
Imekuuma san tulia apo msigwa aseme ukwel tatizo chadema inampasuko mkubwa san kwa ndani alaf viongoz wa juu hawapo really
Bila Chadema Msigwa ungejulikana wapi. Chadema imekujenga hata ukaonekana, kuwa na shukrani walau kidogo
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, sema yote Msigwa hakuna kumuogopa mtu hata wakuite katili ama njaa hizo ni soga tu. Wacha waendelee kukunja ngumi
Happy chadema ni wanafki hawapo really hasa kwa viongoz wa kubwa kabisa juu kuna mpasuko pale namuamin tundulissu tu
Huyu Jamaa Ana njaa sana
msigwa yuko sahihi chadema ingekuwa na nguvu Sana Kama wangekuwa wanafanya mabadiliko ndan ya chama
Mabadiliko gani haswaa
Mambo mawili ya kuogopa Duniani, Muogope Mungu, jambo la pili Teknologia. Tuwe makini sana.
Muchungaji Msigwa usinyee kambi. Ina maana ukiondoka CCM nao utawasema vibaya. Njaaaa tu ndo inakuumiza. Be professional Msigwa zungumuza sera.
Bongo ukihama chama eti njaa inakuuma, kuna mtu haumwi njaa hahahahaahahaaa, we have to respect others decision. Hata mnara wa babeli ulianguka sembuse chadema? 😂😂😂😂😂😂😂
Hamna lolote zaidi ya njaa,Ingekuwa Ulaya sawa😢😢
Uko sawa sana baba
NJAA 😂
Kwaiyo msigwa na wewe una maana ata ubunge aukufai
Hana jipya msigwa
Umelamba asali bwege
Kola umeweka wapi mungu anakuona utatolea hesabu
Adui wa muafrica nimuafrica mwenyewe
Ovyooooooo,,hata mjinga kabisa anajua tatizo njaaaaaaaaa
Dah kwer njaa noma shida iko kwa ss wananchi wenyew
Ashakuwa chawa wa Ccm daaaah
Wewe ni mjinga
Ulimpinga sana JPM ingawa ulijua kabisa kuwa JPM anafanya kazi kizarendo kabisa, Leo hii tunataka umsafishe JPM yaani utubu wananchi tukuelewe
Chadema ni chama kizuri ndio maana unahangaika kukichafua mda wote.. sidhani kma unaweza ukakizungumzia CHAUMA AU TLP😂
Safi sana msigwa .umenifurahisha.
Siku ccm wakikutema ndio utajua maana unauza utu wako kwa ajili ya njaa
Mchungaji unatumia nguvu kubwa kushawishi watu lkn hatukuelewi
Zaman nilikuwaga na kiherehere na siasa nilipokuja kujuwa siasa ni mchezo mchafu nikamuwa kufanya maisha mengine
Usimwamini mtu
Kwa mtazamo wako
Umekosa Kanda utahangaika sana
Kwahiyo matatizo ya barabara ni jukumu la serikali au chadema
Ya kutoka wapi kwenda wapi
@@ismailhaji-b4s barabara zote zinatekelezwa kwa kodi zetu siyo serikali na hao serikali wanalipwa kodi zetu
Kusema ukweli Chadema kwasasa haina mwelekeo, hata kama Msigwa ana matatizo ila chadema kishapoteza dira kabisa. Ni swala la muda heche na lisu wataondoka, ila lema mbowe na msigwa hawawezi kuondoka kwasababu ndo safu za mashambulizi ya mbowe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Njaa mbaya
Yaani msigwa wewe ukajenge nchi wewe. Nchi ipi wewe utajenga? Ulisema ccm hawezi kuleta maendeleo. Afadhali ungestaafu siasa. Njaa Yako hiyo itakupeleka motoni. Kumbe kutoka uchungaji kwenda kwenye siasa ni mpango wa Mungu maana hiyo njaa ingekukuta kanisani ungechinja kondoo wa Mungu kanisani.
Njaa kali asee,,,,siamini ndiyo yule aliyekuwa anaiponda ccm,,,Mimi ni ccm damu ila Nyerere alishaonya watu wa aina hii,,,,,njaaa njaaa njaaa.
Nilikuwa namheshimu sana msigwa ila kuanzia Leo namdharau...anashindwa kujua kwamba wenzake wanamchora...kwa sababu ameasahau kwamba anayekuambia ya wenzake Leo kesho atawaambia wenzake ya kwako...msigwa meza maneno....ishia hapo....ishia hapo msigwa...wenzako wanakuchora......hubiri Sera acha kuhubiri povu lako.....msigwa ishia hapo.....
Upo sahihi mchungaji
Kati ya watu wasio stahili kusikilizwa wee unaongoza hufai hata kwa chumvi miaka yote uko chadema je hayo unayoyesa ulikuwa huyaoni leo ndo umefunguliwa macho baada ya kuhama? Haya ni sengwe tu na Tamaa ya madaraka
Wew hujui kitu hajasema chadema mbaya amesema uongoz wa chadema ulivyo haufai unafki pale labda tundu antipas lissu
Msigwa unaongea utumbo mtupu, fikiri bila Chadema, leo usingeropoka hivi.
Njaa mbaya sanaaaaa, ww si uliosema ccm hatfikishi popote, mbingu hautaina ,mchungaji mtawanya kondoo
Mchungaji...Msigwa acha unafiki.
Yote haya unaengea kwa sababu ulishindwa Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Nadhani hata CCM usipopata ubunge utaondoka.
Acha unafiki ww ni mtumishi wa Mungu.
Huyu msigwa nikibaka, mjinga
MSIGWA KAPOTE ZA MWELEKEO KIIMANI NA KISIASA. NI MCHUNGAJI KWELI?
Mushes. Felix. Umechoka. Haunarorote. Mouse. Mushes. Hafai
Kumbe doctor w slaa ni mtumishi
Kwakweli Hawa wanasiasa ndo wanatufelisha na Tanzania inabaki kuwa km ilivyo miaka yote sababu ya siasa za ubinafsi,na kujijali wenyewe...Huyu jamaa namshangaa sana na simalizi ye mwenye amepewa mamilioni hapo ndo maana anabwawaja tuu..tumuombe mungu tu TZ ipate wanasiasa wa ukweli
Lissu ndo sera ya ccm au ndo kusababisha maisha magumu mbona simuelewi hivi ccm tumemchukuwa kwa lengo lipi, hebu mjibu polepole alichosema ndicho? Anachafuka chama na mwenyekiti wetu, mtoeni haraka😮
Wewe msigwa achana na majungu leta sera mpya kuijenga ccm
Msingwa Huna sera wewe .chadema ni chama .kwanza wewe ni fara
Sitakuja kuamini tena mwanasiasa yeyote hadi nakufa
Tuijenge Tanzania Mungu mkubwa
Mbona anamuongelea mama. Samia tu,akijaribu kumtofautisha na watangulizi wake? Je amefuata chama ccm au mama Samia ? Na siku mama Samia akiondoka? Halafu mbona ni kama ana ugomvi na Mbowe tu? Ni kama anatuambia chadema siyo mbaya mbowe ndiyo tatizo. Huyu mchungaji ana shida.
Tatizo la chadema ni mbowe kuwa king'ang'anizi ktk ngazi ya mwenyekiti,,,haiwezekani KUKAA ktk nafasi kubwa kama Ile MIAKA yote huku anajinadi eti yeye ni muumini wa haki na demokrasia hapana ,hii sio sawa,Kwa mantiki hiyo Hata tundulisu naamini angekuwa ccm angekuwa mbali sana ktk kuisaidia NCHI ya Tanzania
Huyu n njaaa inamsumbua
Msigwa tubu mbowe amendenda mema yeye ni baba watu yeye hajawa Rais yeye ndiye baba wa chama laana lmekukalia
😅😅😅😅
Kwriiii kbsa
Ulivyokuwa chadema ulikuwa unaisema vibaya ccm, umerudi ccm unaisema vibaya chadema, huna sera nyoko tena nyokoko
unalalamika nini? kama cdm ni dhaifu tumieni mwanya huo kujiimarisha.
Basi sas upo CCM mpande wote helicopter
😂😂😂😂 haki ya Mama tunachukuwa hii Nchi
Yaaanii unafki ni mbayaaaaaa
Hivi waxiri utamuona leo, wee msigwa tufanye uchaguzi kwanza tuone wabunge tutakaowapata.
Msingwa acha unafiki fanya siasa acha majungu kwani uliko hamia chama hakina mwenyekiti?
Wewe sema tamaa za madaraka tu basi
Huo mradi wa sacoss, Msigwa, si umekufanya uwe Mbunge CDM kwa term 2?
Hakika Mch unawakilisha jamii ya wasio na shukrani. Maana nawe umenufaika katika sacoss ya Nkurunzinza, na leo unamtupia mbeleko na kejeli
Huyu sio shoga?
Ovyoooooooooo TUMBO bana😂
Aseme atawafanyia nini Wanachama wenzie aache kuiponda chadema ndiyo imemfanya anaongea hapo
Kama anateseka , bora nae ajiondoe , kwanini ateseke mvutie huko bwana jembe lile
Wasaliti wapo toka kipindi cha manabii
Hawa ndo wanaofanya siasa iwe uwongo ... Too bad anajiita mchungaj,sasa mnaipeleka siasa kene dini.eeh MUNGU niepushie uzee kama huu 🙏🏼
Chadema tumieni vijana kuitoa ccm madarakani
Chadema wanaitesa CCM.kwalipi Awa.wanao jiita wapinzani Hawa ni mtaji wa ccm.ccm hwaja sumbuliwa na chama chochote labda kafu Tena znz hapa bara hakuna chama.chochote kinacho weza kusumbua.ccm ccm inaumza kichwa zanzibari tu
Mpen kanafasi huyo ndio alichofuata huko maana chadema amekosa nafasi. Mpeni akae kimya..ampate Kula
Shetani nae aliasi anguko lililomkuta ni laana kubwa huyu anajiita mch analaana kubwa sana bora angejiongeza akakaa kimya watoto wetu wana shida makodi na madeni utitili unahoja gani ww umebeba laaana kubwa una
jaman hivi kweli ni busara kumsema mwanamke ukiachana nae.?😮
Masikini siasa shida
Wewe povu litakutoka sana,,,kwenda ccm matatizo ya watanzania yameisha??
Mwanasiasa ananunuliwa ana kuwa kama kamalayamalaya hivi
Msigwa umeferi kwenda ccm 😂 mungu anaitaka nchi yake😂 ccm zero
Je,chadema wamefanya nini ilhali ccm ndio iliyo madarakani?Kwanini huwaelezi watu wako maovu ya ccm?Badala yake unabweka tu ukiilau Chadema kwa lipi?
Huyu JAMAA aweza Kua mchawi
Acha unafiki ww mbona ww ulikuwepo ulikuwa unatuaminisha
Wewe njaaaaaaa
Heee msigwa kamaliza mwenzake amuhurumie mbowe ataugua kisukari
Sijawai kuona jitu jinga nashenzi kama hili jamaa eti mchungaji mchungaji gani mnafki hivi limetanguliza tumbo lake libaba lizima ataibu halina linasalenda kuwasifu ccm ila mfamaji haishikutapatapa majitu kama haya hayafai kabisa ndoyale yanauliwa jeshini msimamo hayana yanaangalia matumbo yaotu ila usiku ataurefuke vipi lakini patakucha tu
Mungu hatakujibu
Unamuogopa Lissu
Umepigwa chini kanda una bwabwaja bwabwaja tuuu
Njaa mbaya tutafute pesa tutajikana mno
Hunaa seraaa
Acha uongo miaka yote bukuona mabaya hayo
Unamsema Mbowe maana unajua Mbowe hana muda wa kujibu mboga mboga
Hata nyie pia njaa msigekuwa na njaa mgekaa manyumbani zenu bila kumuona msingwa ana njaa jiulize kila binadamu ni njaa inayomfanya atoke hata matajiri wakina bakheresa walali usiku kucha anahagaika na nn kama sio njaa sema baba mm huwa nasema kila siku ccm mpk kiama Tanzania
We mnafk2 msaka tonge hauna uzalendo wa nchi bali unataka yako twende...
Njaa mbaya sana ila hata wewe huaminiki
Msigwa mogope mungo wewe broo wanekuhonga beigani msaliti mkubwa
Huyu wame mnanii
Mambo ni chadema tu ovyio
Hahahaaaa komaa kamanda
Hahaha kunjangumi
Mchungaji muongo sanna udharirisha hata wachungaji mbona mashehe wapo hivyo nishida