MSIGWA ATANGAZA VITA na MBOWE - LEMA - LISSU - "WAPINZANI WASIPATE KITI HATA KIMOJA - NINA SABABU"..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 539

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @juliasmtundu442
    @juliasmtundu442 Месяц назад +10

    Yuda msalt yupo wapi WA yesu

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes3027 Месяц назад +4

    Kuna waati nikiona viongizi wa dini kama hawa napata mashaka hata kwa mahubiri yao
    Mungu nisaidie nibaki kwenye imani yangu,

  • @user-qn8pb9er6c
    @user-qn8pb9er6c Месяц назад +18

    Nyoka hajawahi kutema maji ni sumu tu. 😂

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Месяц назад +1

      tatizo chama ulichokimbilia umeruka mkojo umekanyanga mavi

  • @maryhando227
    @maryhando227 Месяц назад +11

    Msingwa jamani mwogope Mungu.

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Месяц назад +15

    Unaogopesha watu kuusu kuitwa mchungaji kwani umegeuka laana katika kanisa

    • @chezariboy
      @chezariboy Месяц назад

      Kweli, nilaana kuitwa mchungaji

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Месяц назад +5

    Mungu akulaani wew povu kibao hamna kitu apo nakuaidi nyota yako umesha zima kitambo saana

  • @sautiyawanyonge2511
    @sautiyawanyonge2511 Месяц назад +3

    Msigwa anahitaji msaada sana hayuko sawa kiakili

  • @ephrahimkivuyo4275
    @ephrahimkivuyo4275 Месяц назад +10

    Mna uhakika kuwa uyu ni mchungaji au mchungwaji 😅

  • @user-ql3xm7ix4r
    @user-ql3xm7ix4r Месяц назад +7

    Umeingia kwenye kumi na 8 za lisu

  • @mapendomeela7166
    @mapendomeela7166 Месяц назад +3

    Mungu utusaidie huyu ndie msigwa ninae mjua tena mchungaji yuda msaliti

  • @user-xd1jj8cg2c
    @user-xd1jj8cg2c Месяц назад +20

    Historia inaeleza kuwa ukoo huu ni hatari kwenye usaliti. Kabla wajerumani hawajajua Mkwawa watampataje, kuna mtu ambaye ni ukoo huu wa Msigwa alimsaliti Mkwawa na aliwaelekeza wapite njia ipi ili wampate Mkwawa. Huu ni ukoo hatari sana.

    • @davidchambulila6318
      @davidchambulila6318 Месяц назад

      Msigwa ni mtu wa njombe sio Iringa , wahehe hatuna ukoo unaoitwa msigwa

    • @GaradiGaradi-zq1wf
      @GaradiGaradi-zq1wf Месяц назад +2

      Amekosa kanda ya nyasa

    • @HinohiatHidoCo
      @HinohiatHidoCo Месяц назад

      ​@@davidchambulila6318lakini ndio ana asili ya kusaliti hasa njaa inapopamba moto.

  • @allenmoshi5125
    @allenmoshi5125 Месяц назад +12

    Umemuelewa huyu jamaa kweli chizi 😂😂😂😂

  • @pendobruno111
    @pendobruno111 Месяц назад +2

    Hata Mungu siku moja utamsaliti

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Месяц назад +3

    Njaa mbaya Sana

  • @BlessMwangosi-mz8dw
    @BlessMwangosi-mz8dw Месяц назад +9

    Njaambaya😢😢😢

  • @yesayaambayuu2240
    @yesayaambayuu2240 Месяц назад +2

    Mungu hawapende watu wa kauli mbili.

  • @danielkanso
    @danielkanso Месяц назад +6

    Baada ya kushindwa uwenyekiti kanda za juu kusini mhhh njaa nenda huko

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya Месяц назад +13

    Huna tofauti na mtoto mdogo. Ni aibu Kwa kweli.

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y Месяц назад +7

    Acha kupotosha

  • @FredrickKinyaha
    @FredrickKinyaha Месяц назад +14

    Yuda

  • @anthonylusuva6039
    @anthonylusuva6039 Месяц назад +8

    Njaaa wanakuchangia leo😅😅😅😅

  • @user-cf4cs9qp1k
    @user-cf4cs9qp1k Месяц назад +8

    Yeeee!! Hege ipa msaliti mkubwa!!

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Месяц назад +8

    Kweli siku ya mwisho tutachomwa vibaya saaana 😂😂

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Месяц назад

      Huyu Msigwa anayekula matapishi yake atakuwa kuni aungue kwanza aliitukana sana CCM kuwa wana akili ndogo sasa yeye nadhani atakuwa na akili isiyoonekana kwa macho mpaka utumie darubini

  • @josephk90
    @josephk90 Месяц назад +14

    Msigwa anaongea naona aibu mimi😢

  • @maryhando227
    @maryhando227 Месяц назад +12

    Huyo Mungu amsaidie amrudishie ufahamu.

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 Месяц назад +4

    Unatia huruma wew siochungaji mchungaji gani anae kimbia kondoo pumbavu

  • @waweruwaweru3303
    @waweruwaweru3303 Месяц назад

    Mchungaji wa maslahi ya tumbo. Msaliti wa maendeleo ya wananchi. Tamaa mbaya Msigwa. Ogopa Mungu

  • @PaulLeo-em5dh
    @PaulLeo-em5dh Месяц назад +15

    Ata kama umekuja ccm watu awatakupenda uliwahi kumtukana magufuli mwehu namba moja wew

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Месяц назад +14

    Ameanza kutunzwa kwa kumtukana mbowe kesho atatunzwa kwa kumtukana yesu uyu ni mtumwa wa pesa

  • @user-pk9yr4go8p
    @user-pk9yr4go8p Месяц назад +5

    Njambayasana imezalilishamsigwa

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 Месяц назад +2

    Njaaa mbaya sana

  • @user-rt8lv3jj8l
    @user-rt8lv3jj8l Месяц назад +1

    msigwa mwogope Mungu mchungaji.kuwa na akiba ya maneno

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Месяц назад +2

    Unapomsifia samia hapo unaharibu maana 90% ya watz hawamtaki ila kwakuwa unatafta uongozi endelea kumsifia

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Месяц назад +9

    Kitu nilicho kuja kukigundua hapa kwetu tz. Hakuna upizani niwaganga njaa tu mmh aise. Mwana siasa wa upinzani akikwambia usiku mwema toka njee uangalia niusiku au ni mchana,

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Месяц назад

      Acha uzushi, upinzani ni suala la kimaumbil, likichochewa na ñguvu ya akili ya ufahamu, utambuzi, utashi na uamuzi wa kuchagua kupenda (kutenda) au (kukataa (kupinga). Upunzani ulikuwepo tangu Mungu alivyomuumba binadamu na kumpa uhuru utashi wa maamuzi. Upinzani si suala la CHAMA fulani bali ni hulka ya binadamu!

    • @jaanjaan111
      @jaanjaan111 Месяц назад

      Hata katika imani kenge huingia katika msafara

    • @nicodemashaggite8429
      @nicodemashaggite8429 Месяц назад +1

      Kumbuka maneno ya MAKONDA
      Aliwahi kusema hakuna upinzani Bali Kuna watoa taarifa 😂😂😂😂

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Месяц назад

      Kwani we unamwamini msigwa tu au unayako Kumbuka yuda eskaliote nae alimuasi YESU kristo akaanza kunadi Pesa ..ndicho nnachokiona ni msigwa

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 Месяц назад

      Hapana sio hivyo ni baazi tu ndg yangu sio wote na hata ccm ndo kubovu kabisa ndg yangu

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Месяц назад +1

    Ufai Mzee 😱

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Месяц назад +12

    Wapumbafu ndo wanaweza kukuelewa wewe umepelekwa tumbo lako wewe njaa mbaya juzi tu ulikuwa siginda ulizungumza nini wewe wapuuzi kweli watakueelewa

  • @mathiasombella7516
    @mathiasombella7516 Месяц назад +4

    Ivi izo hela si mngechangia vtuo vya yatima!!

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k Месяц назад +1

    Unatokwa na mapovu,hauna hata haya ulaaniwe msigwa wewe siyo mchungaji, mungu akulaani

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Месяц назад +1

    Arf ata awakushobokei niashara tu kuw ccm pia awakupendi IRA sasa wafanyeje 😊

  • @YeseMoses-l4v
    @YeseMoses-l4v Месяц назад

    Daah Nenge Mbaya sana

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Месяц назад +3

    Wewe ongelea sera za chama cha ccm na si kubwabwaja maneno yasiyo na maana. Hatakisemaje Chadema haifi bora ukafunga domo bro.

  • @ev.augustinehizza6584
    @ev.augustinehizza6584 Месяц назад +3

    Mhe Msigwa unajidanganya huwezi kitu,chadema ni taasisi sio kikundi Cha wahuni kama chama ulichoingia

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Месяц назад +1

    Pesa Ya Hongo Bwana.. Msigwa Usinye Kwenye Pango Kabla Mvua Haijaisha.

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 Месяц назад

    alahu Akbar duniahi inamajabu mungu ivi haogopwikabisa namajitu mikubwa kamahi jaman dahh hunimsiba mkubwa wataifa na Jami kwaujimla

  • @ojmang6505
    @ojmang6505 Месяц назад

    Umefeli vibaya msigwa hata aibu huoni una laana ya mungu ni heri ungekaa kimya kuliko kukejeli chama kilichokupa umaarufu muogope mungu sijutii kuhsma kwako

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 Месяц назад

      Chama kilichompa umaarufu kikigeuka kuwa Mali mtu unaacha unafiki na kukisema ipasavyo ili kujenga vyama imara vya siasa kama CCM ili kuwepo ushindani na nchi ipate maendeleo! Hongera sana Kuna hili na endelea kuelimisha watu ili vyama viendeshwe kitaasisi!

  • @muttae2
    @muttae2 Месяц назад

    Usimuamini mtu katika maisha yako. Suspect everything Trust No Body🎉

  • @muhammedkaku9972
    @muhammedkaku9972 Месяц назад +5

    Lbd kwa asiye jua msigwa pesa ya ccm ameanza kuila tangu kwa marehemu magufuri tena alitaka kuhama kipindi hicho na siyo msigwa tu kuna mtu maalufu anatoka chadema muda siyo mrefu

  • @JosephIbrahimu
    @JosephIbrahimu Месяц назад +8

    Usaliti mbaya we msigwa labda mwendawazim ndo atakuelewa

  • @FurahaJeremiah-kd5ht
    @FurahaJeremiah-kd5ht Месяц назад

    Sio kweli

  • @khamiskulasha
    @khamiskulasha Месяц назад +1

    Maneno ya Msigwa. Niyakijinga sana anatafuta frusa na huruma kutoka kwa Mh Rais Samia. Ampe uku wa Wilaya nk Ninampá pole sana.

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Месяц назад

    Hatari sana..huyu jamaa si alikuwa yeye na chadema damu damu! Njaa mbaya sana!

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Месяц назад +6

    Mwogope sana kigeugeu anae yakataa maneno yake,,

  • @NtoraRollsheet
    @NtoraRollsheet Месяц назад +12

    Msigwa kuwa na Akiba ya maneno, Kumbuka siasa haina Adui wa kusumu wala Rafiki wa kudumu.😂😂😂

  • @HumphreyNyiti
    @HumphreyNyiti Месяц назад

    Jinga sana

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg Месяц назад

    Ww sawa mungu yupo

  • @charlesmbise2344
    @charlesmbise2344 Месяц назад +2

    Huyu msigwa hana msimamo njaa nyingine kwanini anaisema chadema wakati alikuwa huko ,anatakiwa atoe hoja zake za kuijenga CCM siyo kukisema chama alicho toka nitaishangaa CCM kumpa huyu uongozi

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Месяц назад

    Nchi yangu ongelea ugumu wa maisha ya watu chadema hawajawahi kuongoza nchi kwanini miaka ya sitini ya uhuru watoto wanasoma wamekaa chini,bima za afya watu hawazimudu

  • @twahamaulid
    @twahamaulid Месяц назад +1

    CHAMA cha MAPINDUZI huwa kinashinda kwa kukubalika kwake na sio nyinyi WAPINZANI akina MSIGWA na wenzako mnaokuja CCM na kutaka kuyuaminisha kwamba mumekuja kwaajili ya kukiletea ushindi Chama cha MAPINDUZI.
    Nazichukiaga sana Kauli zenu nyinyi WAPINZANI.

  • @meckyphilipo9177
    @meckyphilipo9177 Месяц назад

    Ww ni sawa na mwanamke........,

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 Месяц назад +2

    Wewe msigwa sema ukweli, ungechaguliwa term hii tena kuwa mwenyekiti wa kanda ya nanda za juu ungekwenda kujiunga na CCM? Ni kwasababu ya uchu wa madaraka. Nani aliyewaua hao kama soyo wanachama wa hicho ulichojiunga.

    • @chezariboy
      @chezariboy Месяц назад

      Ukweli asingeenda fisiemu endapo angechaguliwa.. Muongo mkuu.

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 Месяц назад +6

    Jamaa atakufa vibaya huyu
    😢 . Karma itamtafuna tuu
    Usaliri wa yuda ..

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +5

    Kwa kweli Msigwa ni mnafiki mkubwa sana. Kwani ulikuwa huko kama kiongozi. Wewe msigwa wewe ni mchungaji gani anayeshindwa kuwa kama kiongozi mchungaji. Fanya kama mchungaji.

  • @fredyjonaa4053
    @fredyjonaa4053 Месяц назад

    Njaa mbaya sana aisee

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Месяц назад +2

    Bro hubiri sera

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Месяц назад

      Mwache ajibu hoja na mikutano ya CHADEMA inamsema yeye haihubiri sera.

  • @user-hf9kp7ys2h
    @user-hf9kp7ys2h Месяц назад

    Hilo ni jinga sana

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Месяц назад

    Ungestaf siasa umuhubir kristo tu acha. Tamaaa

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl Месяц назад +1

    Msaliti wa watanzania

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z Месяц назад

    Tamaa mbaya msigwa kajidhalilisha

  • @danielymbangwa3742
    @danielymbangwa3742 Месяц назад

    Nakuapriciate Mh MSIGWA wewe ni mtu na nusu nafarijika sana kwa weledi na umakini wako katika uwanja wa siasa hakika wewe ni kioo kwa vijana wa taifa hili katika kujifunza siasa

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle Месяц назад

    Njaa tu

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i Месяц назад

    Duh kweli Kuna watu na wachungaji😂

  • @zakeoleonard440
    @zakeoleonard440 Месяц назад +4

    Tanzania hakuna upinzani wote ni waganga njaa tu

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Месяц назад

    Kweli Mchngaji msomi

  • @mlyamalitv1789
    @mlyamalitv1789 Месяц назад +1

    Mimi huwa siamini watu wa namna hii

  • @emanuelurio-ok8yl
    @emanuelurio-ok8yl Месяц назад

    Sasa Msigwa unatakiwa kuiongoza CCM uwekezaji uende sambamba na kuimarika kwa sailing dhidi ya dola . Mishahara,maisha ireflect uwekezaj

  • @jeremiahmagau8623
    @jeremiahmagau8623 Месяц назад +2

    Integrity unaizungumzia CCM hahaha.

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Месяц назад

    Yuko anapewa pesa kajisahau kasema sisi wapinzani 😂😂

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +5

    Maraya wewe muchungaji wa ccm

  • @rodymtakimwa3205
    @rodymtakimwa3205 Месяц назад

    Mungu huyu

  • @user-em9vh8wr5c
    @user-em9vh8wr5c Месяц назад

    sasa

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k Месяц назад

    Mungu amekulaani huji kufanikiwa

  • @AdamuIbrahimu-e9m
    @AdamuIbrahimu-e9m Месяц назад +1

    Karibu kwetu Chama kubwa CCM. Lakini nakupa pole sana. Umepitia njia ngumu kumeza.

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Месяц назад

      Msigwa katumia haki yake ya kidemokrasi lakini wajinga wengine hawamuelewe nadhani shida ni kuja CCM ndo maana wengi wanamtukana lakini ukweli unabaki palepale Msigwa ni CCM kwa sasa hata mkimtukana Hongera sana Msigwa

  • @user-gn4br6jo8w
    @user-gn4br6jo8w Месяц назад

    Njaaa mbaya sana 😭😭😭😭

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 Месяц назад

    Mmmmh njaaaa njaaa

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Месяц назад

    Tuwe wakweli hapa Chadema imekula kwao jamaa atawasumbua sana 🤣🤣

  • @user-ql3xm7ix4r
    @user-ql3xm7ix4r Месяц назад

    Unanjaa sanaaaa!!!

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Месяц назад

    Izo changamoto urzozikuta ww kama mchungaji urifanyann , daaa njambaya sana🤣🤣

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Месяц назад

    Acha vyama vya siasa viwepo ccm imejisahau sana ulinyamaza bandari zimepewa watu miaka thelathini watanzania wameongezewa mzigo wa watu vitu kupandabei Yuda scarioti.

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Месяц назад

    Kichaa hy

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Месяц назад

    Msigwa 😢😢😢😢

  • @sangajalala2001
    @sangajalala2001 Месяц назад

    Kahaba wew limbukin

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 Месяц назад

    Mmm Mimi napita tu Sina Cha kusema

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Месяц назад +2

    Sasa tunangoja SIKU Moja utasema shetani hoyee kama mchungaji Kwa sasa si unampinga kama mchungaji hatutashangaa kama utamgeukia kwani kama ulikuwa unawapinga ccm Leo wamebadili nini mazuri yakakuvutia kama uko sahihi ungetafuta chama kingene ambayo labda haujui tabia Yao pole

  • @hamadsaid2232
    @hamadsaid2232 Месяц назад

    Watu WA aina hii wapo katika vyama vyote. Mwanadamu ni kiumbe Cha hatari. Kaa uwasome tu. Yote haya ni kwa sababu hatujifunzi
    ipasavyo. Siasa si kivutio Tena ni balaaa la wanaadamu aridhini.

  • @godwinshoo5032
    @godwinshoo5032 Месяц назад

    Tatizo wanachadema wengi ukiondoka kwao ni njaa imesababisha, lakini ukijiunga nao ni ushujaa!!!Acheni siasa za kihuni!!

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Месяц назад

    Kama naweza kufanya Kama msigwa anavyo fanya hata kufirwa Sinto ona aibu , Kama nikiwa na sura mbili Kama msigwa hata kufirwa ni sawa tu,

  • @lelomushikimboka9938
    @lelomushikimboka9938 Месяц назад +2

    mbona kama analialia, nasikitika tu kwamba amekuwa kiongozi wa miaka 20 kumbe na yeye alipewa hakushinda kwa haki.. Kuna shida mahali watanzania kuhusu UADILIFU. Kuna contradictions nyingi sana katika hotuba yake. Tuseme hakutosheka miaka aliyopewa kuwa kiongozi sasa imemuuma kupewa Sugu na hasira za mwenye kukosa kusema hata ambayo hayakuwepo. Akitulia tutamsikiliza na kumwelewa ila kwa sasa ana hasira sana anachoongea kinakosa mantiki. DON'T JUDGE OTHERS WHILE YOU HAVE SOME PERSONAL ISSUES. Tujifunze kuchambua ukweli na kuutenganisha na ushabiki.

  • @sangajalala2001
    @sangajalala2001 Месяц назад

    Mwenyewe nashangaaa aibu hii

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel1643 Месяц назад

    Msigwa, hayo ya Mbowe ndiyo utatuzi wa matatizo ya w/nchi? Kero za wtz ni Mbowe?