Cook with Wema Sepetu S01E07 Esha Buheti
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2020
- Jinsi ya kuangalia video hii nzima, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana Play Store na App Store, kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android bonya link hii ili uweze ku download Wema App na kama wewe ni mtumiaji wa iOS Bonyeza link hii shorturl.ae/XTizL
Connect with me;
Instagram - @wemasepetu
Twitter - @wema_sepetu
Click here goo.gl/0pN4kS to Download Wema App on Playstore
Click here apple.co/2PQK3vR to Download Wema App on Appstore
#CookWithWemaSepetu #Wemasepetu #WemaApp #Bestizzo Развлечения
Like kwa wema sepetu kama unampenda😍🔥🔥❤️
Hila mie sifaidiki hata na sijuwi nitaweza aje kupata hichi kipindi chote sababu niko inje ya inchi
@@zulfahhussein505 duuuh 🤭🤦 pia mi Niko njee ya nchi
@@yunglintz4155 yaani katubania kweli
Waalleykum Salaam Warhamathullah wabarakaatuuh,Maa Shaa Allah Sasa Ukivaa hivi Jikoni Unapendezesha hasa.
Esha na mwezi wa Ramadhani na mikope juu khaaa
Kama. Umeona esha kw mbali anafanana n fayvanny akijitanda npe like
Tanga moja haoo 🤩
Kwli vile hasa kipua aisee
Dah na uku weka nusu alafu tm wema mnatakiwa iki kipindi kiwe kinatrend at a kufikia Namba moja
kama umeona mimi ndio wa mwanzo kuiona naomba like yako 😎😎
Wema endelea kuva hivy hivy unapendezaje
Mashallah, nawapenda sana nyie watu 😘😍
Yeeeeeeees my beauty beauty cute lovely sister😍😍😍 I love you with all my heart mwana wa singida wanakupenda sana huku
Wema natamani kukutana ww.
Leo umenikunaaaaa.asante wemaa.naomba nialikie shilole ama aunt ezekiel
Mashaallah 💚💖🧡💛♥️💕💜💗
WemaMashaallah Allah Amekuumbaa my🙏🙏😍😍
mashaallha beautiful wema
Tunaomba utuwekee show yote kwasababu unakuta hatuna ela za kuangalia kule kwenye app yako mama
Yeye atapaje hela sasa
hellen gelwin sa akikuwekea yote huku ye hela ataingizaje? Au unajua anafanya kukufurahisha wewe tu dear?
😃😃😃
Sio poa kuweka nusu Dada weka full CORONA now pesa hatuna
Wema much love usipungue zaidi pls
Mashalla nawapenda wote♥️
Wooooow courage
Jmn wema tuwekee hata zile zilizochoka huko wema app, tuone nzima nawahuku
Hahaa
Ongera wema
Umefunga nywele
Congratulations Wema
Jamaniii mnapendazajeeeee mkivaaa maderaaaaaa so qute mashaallah
Wema anatangaza uzuri mashallah
Hey wema chanua Buheti kuwa kuna packing tin “DEEP” ya kudeliver chakula bila taswishi yoyote 10pcs at 100 ksh sijui TZ ni hela ngapi much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪please fikisha ujumbe
Kafunika kichwa mnalingine tena ma-haters 😏😏,,twiga wa-mine 💖💖
Wema Humaliziii show jmn we need it....
Wema dada mzuri unafunga mwezi mtukufu na kope usoni kweli?
Masha Allah
Iko powa sana
Hi big up wema mmefunga vichwa vyenu sio ile ya Lulu diva
Love you 💯💯✅
Love you wema🥰🥰🥰
Yan we we Dada nakuelewa sana
Wema umependeza
Esha I love u
Mko vizuri
Esha ni fundi sana wa kupika aisee
💕💕💕
❤️😍
Nawapenda
Nice
Wema umekuaje jamani ? Umepungua sana
So nice twiga wetu❤
Kipenzi tizama chaneli yangu labda utaipendelea
Ndio maana tunakupenda wengi mmumy wangu,asante Kwa kuwaskiliza wapenzi wako umefanya Jambo la maana mno kufunika kichwa chako that our sweet heart
Masha mumependeza ulivyovaa mno
Wema mzur ela fanya kurudi kwenye hali uliokua na mwili... Esha umependezaje mwaya
We ma anasaut kama yangu😍
MASHALLAH 😘😘😘
My baby sister @wema sepetu 😘
Wema mzurii jamaniii
😍😍
Wema I love u
Gonga like kama unamkubali tz sweetheart ❤️
Jiko leo litawaka moto
Vizuri
Tuwekee nzima
Love your voice wema so soothing 😍
Iove 202❤
🔥🔥🔥🔥❤❤🥰❣🥰❣
utatakiwa uvae hivo kia siku sio kwa interview ya Buheti tu
Mmmmmh Mbona naskia volume iko low
Mbona umechelewa kuiweka
Asha Buheti umependeza sana halafu nakupenda sana ila mpenzi wangu umenenepa sana una hatari ya kupata kisukari na high blood pressure.
Kazi unayo fanya ya kupika inakufanya ule mara kwa mara hii sio nzuri kwako.
Usinywe vidonge kama wema sepetu kuna nyia salama ya kupungua
Ningekua Tanzania ningekuja kwako nikakufundisha, otherwise nakupenda mno my good sister
Hello
LUVISA Naitwa jacky nifundishe ni jinsi gani ya kupunguza unene
jacky luns
Nipe email yako nikuandikie message jinsi ya kufanya
@@luvisa2472 hello my dear nilikutumia email yangu nisaidie nipungue hili Kono linanenepeana ovyo sana
jacky luns
Sijapata email yako
Tuma au fungua mpya ili watu wabaya wasije wakawa wanakusumbua
Nina good and simple plan ambayo ni rahisi kuifata ili upungue
Tuma email ili nikusaidie
😍😍😍😍😍🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Ukifanya kuweka audiences pia show itakaa poa sana
😚😚😚
Nakupenda ila jitahidi kujitanda vizuri kua unava mutandio ipasavyo
Me ningependa uwe unajifinika hvyo hvyo ukiwa jikoni haipendezi vile ukiwacha nywele wazi
Jamani huo mwili
Would love to know if wema is still single nimpose. Big love from Kenya 🇰🇪
She is single. Am supporting you in Kenya
She is dating dankaz a mwarabu man
Kwann app haifunguki sasa
Mashaallah ❤️❤️❤️
Wema tuekee zilichoka aki nasi tunaangalie uku jamani
eshe mpishi gani na jinguo lote hilo jikoni hata kama umefunga sio
I love you
Love more wema
Wakwanza from south Africa
tuwekee yote dada
Esha alipika vibibi
Mimi hata sioni.kama unjuwa kupik
Our girl... Go baby girl ...
acha umalaya wema si muislamu ww
Yan dad wema umechukiza umeniboa uzur wako umeweka WAP? Jamani
Cook. Amonaiz
Umedamshi
Wema hope r doing fine thanks 4 show plz wema i would like to know product wc u used to burn fat plz help mi am willing to buy it plz ilove darling
Operation gastric bypass
Umapendeza ma'am chef wacha ni download app sasa manaake u are nowadays covering while in kitchen.
Kama unajua namna ya kulipia app ya wema naomba nielekezeni😒nashindwaa
@@viviankakiko8406 nenda instagram utafute mtu mwenye anaitwa @aminauledi atakuelekeza mamy ata namimi njoo kwenye nimepitiya
Huyu dada nampenda kuliko navojipenda😍😍😍😍😍
Niite na mm nije nipike
Ila esha anapika jamani c mchezo natamani cku nikija tz nije kuonja chakula chake
Mpenz wako nan wewee chkonda
Dada mbona huku huweki yote jamani
Pakua wema app kule utaikuta
nkimuona esha Buheti namuona liyuba kwa kwel
Umependeza
Umependeza
Show ilikuwa poa sana
Corona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Saf
My twiga my tiwema 😘😘
Penda nyie watu
Kipenzi tizama chaneli yangu labda utaipendelea
Kwa bidhaa maridadi na uhakika karibu Asma cosmetics,
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,nguvu za kiume,n.k
Dawa zipo, karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284
Ungejiona ulivyokonda Kama mpapai
Yan limekuwa bayaaa
I don't see any cooking here