Cook with Wema Sepetu - S07E01 Christina Shusho

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 83

  • @diva_20162
    @diva_20162 6 месяцев назад +1

    Waoooh voice ya Christina so nice❤❤❤

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад +8

    Mlete na Bahat Bukuku kitambo atuache na Zinduna hajarudi mjini 💃💃💃

  • @sophiakagwiria212
    @sophiakagwiria212 Год назад +5

    I love these two ladies so much❤

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Год назад +6

    Joel lwanga jamani kipenzia changu huyo kaka nyimbo zake dah!

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial Год назад +16

    Rose Muhando nae kwenye cook with wema sepetu💕kama utaona hii nitafurah

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial Год назад +2

    Na Upendo nkone ❤ with wema sepetu

  • @masturaabdul1007
    @masturaabdul1007 Год назад +4

    Wema tajiri wa sauti

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo8228 Год назад +3

    Jamani martha mwaipaja pia ningependa kumuona hapo

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 Год назад +2

    WEMA UNAISHI wapi jamani nikutembelee

  • @carolinegitonyi6962
    @carolinegitonyi6962 Год назад

    Christina Shusho alibadilika, upishi inahusiana vipi na injili ya Yesu

    • @s.i_muli
      @s.i_muli 11 месяцев назад

      Wacha nikusaidie, inahusiana Kwa namna hii; Kwa upishi, utajua Kula vyakula vinavyofaa, na Kwa kiasi kinachostahiki ili upate nguvu ya kuhubiri injili ya Yesu. Hata wanafunzi wa Yesu walipotoka kuhubiri injili aliwapa mikate na samaki wakala. Jamani tuache unafiki! Kwani wanahubiri injili hawafai Kula ama kupika?

  • @Estherbongo
    @Estherbongo Год назад +1

    I love u so much my lovely mam shusho , soon wew ni mbunge wa jimbo flan

  • @LodvolaLameck-jl5vs
    @LodvolaLameck-jl5vs Год назад +7

    Upotovu ni mwingi sana ila tunausifia kwa ujinga wa mioyo na elimu ndogo ya ufalme wa Mungu tulionayo

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Год назад +1

    Christine mtu poa sana

  • @lillianm.munyao7793
    @lillianm.munyao7793 Год назад +1

    ..... sauti......... nyololoooooooo☺️

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Год назад

    Hongera sana

  • @EkaSyumeNamoOnlineTv
    @EkaSyumeNamoOnlineTv Год назад +2

    We're waiting for Rose Muhando

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Год назад

    Nawapenda

  • @austelCIPGLpaul
    @austelCIPGLpaul Год назад

    Super cool à vous

  • @AminaUwase-dy3eg
    @AminaUwase-dy3eg Год назад

    Chucho I Love u

  • @rosepallangyo1352
    @rosepallangyo1352 Год назад

    Utakimbia na dunian sana maana utaki neno la mungu likukomboe ata wewe ujaokoka utawaambia watu wasio jitambua

  • @franciskironji6878
    @franciskironji6878 Год назад +1

    I love how they relate❤❤❤❤❤

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m Год назад

    Nawapenda sana

  • @Bahatimasatu1014
    @Bahatimasatu1014 Год назад +2

    Anafanana na Abbychams jmn 😢

  • @marthawilliam-hj9il
    @marthawilliam-hj9il Год назад +7

    Wema wewe nimzuri sana ila mavazi yako hayampendezi mungu badilisha ma vazi kuanzia kichwani hadi kwenye vidole hizo kucha badilika dada

  • @mamat-cg9fc
    @mamat-cg9fc Год назад

    Beautiful soul

  • @happinessmasimban
    @happinessmasimban Год назад

    Tunaingoja iyoooo wemaaa😍😍

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +2

    Tunamtaka dada Rose Muhando

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Год назад +1

    Sauti imekuaje eti?

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Год назад

    Very nice interview

  • @ireenngumbi4359
    @ireenngumbi4359 Год назад +3

    Nawapenda sana ❤❤❤😂😂

  • @marthawilliam-hj9il
    @marthawilliam-hj9il Год назад +4

    Ishi kama wanawake wa kisabato utapendeza sana

  • @judithsingano1018
    @judithsingano1018 Год назад +1

    Ichi kipind nakipend ila kinanishinda mana kingereza ni king sana ingefaa mkasema lugha yetu

  • @mercypeledawson1622
    @mercypeledawson1622 Год назад +1

    Sauti yako wema inaniumiza maskio bhaaanaaa

  • @claristhoya7753
    @claristhoya7753 Год назад +1

    ❤❤❤❤

  • @sekelajosiah2813
    @sekelajosiah2813 Год назад +2

    🥰🥰🥰

  • @storytime1204
    @storytime1204 Год назад

    hivi wema hafungi?

  • @elizabethwanjiku7831
    @elizabethwanjiku7831 Год назад

    Wema unaongea na kinyonge kama unasinzia

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 Год назад

    🔥🔥🥰🥰🥰🥰🇹🇿❤🇹🇿❤

  • @Whats_trendingke
    @Whats_trendingke Год назад

    And you didn't come diamond came😢😢😢

  • @zuhurayassini2714
    @zuhurayassini2714 Год назад

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Год назад +1

    Wanaume waliopata wanawake wanaopika na kuwakaribisha kula washukuru yesu waache dharau

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 Год назад

      Siyo kupika tu,nakuwafulia boxer zao,na mengine mengi.

  • @iggiejames-dg4ow
    @iggiejames-dg4ow Год назад

    Wekeni bx

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo8476 Год назад

    Mbona awajaja ao uliowataja

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 Год назад

    Mwanamke waking Africa miaka mitatu bila kupika really even the present cook wow is this the next stage of life 😮

    • @rmaryp6269
      @rmaryp6269 Год назад

      Makubwa! Ndo maana waume zenu wanatekwa nje, 7bu ya kukosa maarifa kama hayo na mengine mnayoyaona kama ni kawaida tu kumbe akitokea mwenye maarifa yake nje anamteka mtu kirahisii...pole wee!!

    • @Yusufu940
      @Yusufu940 Год назад

      @@rmaryp6269 ndio shukrani

    • @b.chantal5831
      @b.chantal5831 Год назад

      🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️

    • @bintimkitosi6187
      @bintimkitosi6187 10 месяцев назад

      Wa kendal attendance tu hata na mapishi

    • @Yusufu940
      @Yusufu940 10 месяцев назад

      @@bintimkitosi6187 poa

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 Год назад

    Where can someone look the all Episode

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo8476 Год назад

    Ilo gaun

  • @mariasamson6055
    @mariasamson6055 Год назад

    Ni vile t Waweza kidg et napenda sanaa hili kipindi najua mengi about wasabi about kupika

  • @ukhtyzainab7254
    @ukhtyzainab7254 Год назад +2

    Wema kipenzi chetu ungejistiri japo kwa heshima ya huu mwezi

  • @zenablonde1747
    @zenablonde1747 Год назад

    Ntaipataa je iyi vidéo yote

  • @cookwithlynn8070
    @cookwithlynn8070 Год назад

    i thought Wema is a muslim

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 Год назад

    Christina shusho muelimishe huyo Dada mavazi mazuri. Na pia serikali iingilie kati mavazi ndio yanachochea usagaji na mashoga wote wa dar ndio rafiki zake wakubwa huyo Dada anatakiwa akanywe

    • @rmaryp6269
      @rmaryp6269 Год назад

      Kipofu awezaje kumwongoza kipofu mwenzake!? Yeye mwenyewe hamwakilishi Kristo kama ipasavyo!

  • @fatmaomar8497
    @fatmaomar8497 Год назад +3

    Wewe wema ndio nini kutuvalia nguo hiyo yakuonesha mifupa mwezi huu mtukufu wa ramadhani

    • @joanmwivanda2434
      @joanmwivanda2434 Год назад

      Kwani amekuvalia wewe mind your fucking business 😏😏😏😏😏😏

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Год назад +1

      Mifupa tena 😳😆

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 Год назад +1

      Acha kuingia utube mwez mtukufu😆😁😂

  • @Richesfam
    @Richesfam Год назад +1

    Kwanini Wema anaongea kama ajuwi kiswahili wakati niluga yake? Kiswahili luga tamu, eti vingereza wakati aishi ulaya

    • @christiansifa8091
      @christiansifa8091 Год назад

      😂😂😂😂😂😂c wanasema eti wakenya hua tunajifanya 😂😂😂😂

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Год назад +1

      Na wewe hata kuandika rudi shule..chaa

    • @Richesfam
      @Richesfam Год назад

      @masalakulwa7601 Girl. Just by reading statement gives me a Kenyan accent which lowkey irks 😝
      NAELEWA huelewi kiswahili chaki Tanzania 🇹🇿

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 Год назад

    Yaani mwezi mtukufu bado unajiachia wazi hivyo? Kwanini huwezi kujiheshimu na kuuheshimu mwili wako? Mavazi ya stara yapo mengi tu wema kwanini lakini

  • @LeahKayira-xw5om
    @LeahKayira-xw5om Год назад

    What happen to you sister where's your weight my love

  • @CatherineMilambo-t7d
    @CatherineMilambo-t7d Год назад

    ❤❤

  • @Babyzay178
    @Babyzay178 Год назад

    ❤❤❤