Wacha nikusaidie, inahusiana Kwa namna hii; Kwa upishi, utajua Kula vyakula vinavyofaa, na Kwa kiasi kinachostahiki ili upate nguvu ya kuhubiri injili ya Yesu. Hata wanafunzi wa Yesu walipotoka kuhubiri injili aliwapa mikate na samaki wakala. Jamani tuache unafiki! Kwani wanahubiri injili hawafai Kula ama kupika?
Makubwa! Ndo maana waume zenu wanatekwa nje, 7bu ya kukosa maarifa kama hayo na mengine mnayoyaona kama ni kawaida tu kumbe akitokea mwenye maarifa yake nje anamteka mtu kirahisii...pole wee!!
Christina shusho muelimishe huyo Dada mavazi mazuri. Na pia serikali iingilie kati mavazi ndio yanachochea usagaji na mashoga wote wa dar ndio rafiki zake wakubwa huyo Dada anatakiwa akanywe
Waoooh voice ya Christina so nice❤❤❤
Mlete na Bahat Bukuku kitambo atuache na Zinduna hajarudi mjini 💃💃💃
I love these two ladies so much❤
Joel lwanga jamani kipenzia changu huyo kaka nyimbo zake dah!
Rose Muhando nae kwenye cook with wema sepetu💕kama utaona hii nitafurah
Tupo pamoja
❤❤❤
💯Rose Muhando Muhimu atupikie vya Dodoma
Yes alete Muhando
Na Upendo nkone ❤ with wema sepetu
Wema tajiri wa sauti
Jamani martha mwaipaja pia ningependa kumuona hapo
WEMA UNAISHI wapi jamani nikutembelee
Christina Shusho alibadilika, upishi inahusiana vipi na injili ya Yesu
Wacha nikusaidie, inahusiana Kwa namna hii; Kwa upishi, utajua Kula vyakula vinavyofaa, na Kwa kiasi kinachostahiki ili upate nguvu ya kuhubiri injili ya Yesu. Hata wanafunzi wa Yesu walipotoka kuhubiri injili aliwapa mikate na samaki wakala. Jamani tuache unafiki! Kwani wanahubiri injili hawafai Kula ama kupika?
I love u so much my lovely mam shusho , soon wew ni mbunge wa jimbo flan
Upotovu ni mwingi sana ila tunausifia kwa ujinga wa mioyo na elimu ndogo ya ufalme wa Mungu tulionayo
Christine mtu poa sana
..... sauti......... nyololoooooooo☺️
Hongera sana
We're waiting for Rose Muhando
Nawapenda
Super cool à vous
Chucho I Love u
Utakimbia na dunian sana maana utaki neno la mungu likukomboe ata wewe ujaokoka utawaambia watu wasio jitambua
Kivp
I love how they relate❤❤❤❤❤
Nawapenda sana
Anafanana na Abbychams jmn 😢
Wema wewe nimzuri sana ila mavazi yako hayampendezi mungu badilisha ma vazi kuanzia kichwani hadi kwenye vidole hizo kucha badilika dada
Beautiful soul
Tunaingoja iyoooo wemaaa😍😍
Tunamtaka dada Rose Muhando
Sauti imekuaje eti?
Very nice interview
Nawapenda sana ❤❤❤😂😂
Ishi kama wanawake wa kisabato utapendeza sana
Ichi kipind nakipend ila kinanishinda mana kingereza ni king sana ingefaa mkasema lugha yetu
Sauti yako wema inaniumiza maskio bhaaanaaa
❤❤❤❤
🥰🥰🥰
Barikiwaa my nakupenda
hivi wema hafungi?
Wema unaongea na kinyonge kama unasinzia
🔥🔥🥰🥰🥰🥰🇹🇿❤🇹🇿❤
And you didn't come diamond came😢😢😢
❤
Wanaume waliopata wanawake wanaopika na kuwakaribisha kula washukuru yesu waache dharau
Siyo kupika tu,nakuwafulia boxer zao,na mengine mengi.
Wekeni bx
Mbona awajaja ao uliowataja
Mwanamke waking Africa miaka mitatu bila kupika really even the present cook wow is this the next stage of life 😮
Makubwa! Ndo maana waume zenu wanatekwa nje, 7bu ya kukosa maarifa kama hayo na mengine mnayoyaona kama ni kawaida tu kumbe akitokea mwenye maarifa yake nje anamteka mtu kirahisii...pole wee!!
@@rmaryp6269 ndio shukrani
🤷♀️🤷♀️🤷♀️
Wa kendal attendance tu hata na mapishi
@@bintimkitosi6187 poa
Where can someone look the all Episode
Wema app
@@mercyfuraha684 thanks iko kwa play store?
Yeah
@@ireneimbuhira7759 yeah
Ilo gaun
Ni vile t Waweza kidg et napenda sanaa hili kipindi najua mengi about wasabi about kupika
Wema kipenzi chetu ungejistiri japo kwa heshima ya huu mwezi
Hizo shoots sio za mwezi huu
mwezi una nini na mapishi
Ntaipataa je iyi vidéo yote
i thought Wema is a muslim
Christina shusho muelimishe huyo Dada mavazi mazuri. Na pia serikali iingilie kati mavazi ndio yanachochea usagaji na mashoga wote wa dar ndio rafiki zake wakubwa huyo Dada anatakiwa akanywe
Kipofu awezaje kumwongoza kipofu mwenzake!? Yeye mwenyewe hamwakilishi Kristo kama ipasavyo!
Wewe wema ndio nini kutuvalia nguo hiyo yakuonesha mifupa mwezi huu mtukufu wa ramadhani
Kwani amekuvalia wewe mind your fucking business 😏😏😏😏😏😏
Mifupa tena 😳😆
Acha kuingia utube mwez mtukufu😆😁😂
Kwanini Wema anaongea kama ajuwi kiswahili wakati niluga yake? Kiswahili luga tamu, eti vingereza wakati aishi ulaya
😂😂😂😂😂😂c wanasema eti wakenya hua tunajifanya 😂😂😂😂
Na wewe hata kuandika rudi shule..chaa
@masalakulwa7601 Girl. Just by reading statement gives me a Kenyan accent which lowkey irks 😝
NAELEWA huelewi kiswahili chaki Tanzania 🇹🇿
Yaani mwezi mtukufu bado unajiachia wazi hivyo? Kwanini huwezi kujiheshimu na kuuheshimu mwili wako? Mavazi ya stara yapo mengi tu wema kwanini lakini
What happen to you sister where's your weight my love
❤❤
❤❤❤