MPAKA HOME: ONA ANAPOISHI MBOTO, MAISHA YAKE HALISI AKIWA NYUMBANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MPAKA HOME: ONA ANAPOISHI MBOTO, MAISHA YAKE HALISI AKIWA NYUMBANI
    Katika kipindi cha #MPAKAHOME wiki hii tumemtembelea muigizaji wa vichekesho Bongo, Haji Salum 'Mboto'...
    #MPAKAHOME
    FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 357

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 лет назад +24

    Safiiii sanaaaa Mboto,But jaribu Mpaka Home Mumebanabana,Vibarazani,babarani.Hongera Mboto.

  • @brightpeople3152
    @brightpeople3152 5 лет назад +356

    Kama unampenda mboto twende

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn8404 5 лет назад +40

    Aliesikia mtangazaji akimwambia huyo mama eti mboto kaniambia wewe ni Kijana wake 😁😀mtangazaji kwa kuchapia uko vizuri

  • @halimahnah355
    @halimahnah355 5 лет назад +58

    Duh leo nimewah kuangalia cjawa wa mwisho,nipen like zang

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 5 лет назад +9

    Mashallaah mboto big up more confident. Merci

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 4 года назад

    Mboto hapo sio kwako bro upendi kuweka maisha yako halis kwa media

  • @dockaridk
    @dockaridk 4 года назад +7

    I love this guy esp aki act kwa wimbo wa zilipendwa

  • @petermsofe2603
    @petermsofe2603 5 лет назад +65

    Umaarufu si kuishi kwenye nyumba kali. Guy ana malengo na msimamo, haendeshwi na tamaa. Heshimu hisia zako bro.

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад +3

    Shukran Sana, Pia Mimi nampenda Kama msanii

  • @matirdamussa6343
    @matirdamussa6343 5 лет назад +11

    nakubali kazi zako sana kaka

  • @glorymtenga8604
    @glorymtenga8604 5 лет назад +2

    uko vizuri kaka hongera sana

  • @esthermugure6883
    @esthermugure6883 4 года назад +1

    My favorite actor much love from Kenya

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 4 года назад

    Hongera snaa Mboto mungu akubariki snaa kwa kazi yko akujalie MAFANIKIO mazur Inshaallah

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 4 года назад +5

    Uyu mjanja sana😂😂😂😂apa sio kwake ataki Kiki uyu Safi xn mboto

  • @mercynanyaro5247
    @mercynanyaro5247 4 года назад

    Uko vizuri mboso

  • @meritinakashaba968
    @meritinakashaba968 5 лет назад +13

    Mboto wewe ni mwanaume wa kweli maana tunasema kuwa Development can't change the reality but the reality is always the truth so nakupongeza unaect muvi lakini hauect maisha

  • @merryn4891
    @merryn4891 5 лет назад +15

    Hongera mboto kwa kujiamini na maisha yako

    • @sophiaomary8627
      @sophiaomary8627 5 лет назад

      Merry N lllmmnmk 🚽🚾🚾🚾🏊🏊🏉🏉🏉🏉🏉🏉🏉🏉🏉🏉🏉🏉🏊🏊🏊🏊🏊🏊🚁🔨👢😉😉😉 🏇🏇🏉🚾💈💈

  • @dazk7861
    @dazk7861 4 года назад

    Salute sana mboto unaishi maisha yako harisia

  • @nisilesanga3602
    @nisilesanga3602 5 лет назад +22

    Kama unamkubali mboso gonga like 😎

  • @wakawaka2989
    @wakawaka2989 4 года назад +5

    Wanaotaka tumuone MZEE MAGALI like kwangu

  • @chiefandrewkidulile3028
    @chiefandrewkidulile3028 5 лет назад +15

    Wale wanachama cha kulike...nipeni likes zangu

  • @winfridmsuha1303
    @winfridmsuha1303 5 лет назад +61

    we matangazaji Ebu Fanya uende na Kwa mrisho mpoto Bwana tunataka kujua kwake avai ata ndala

  • @florambwambombwambo1322
    @florambwambombwambo1322 5 лет назад +7

    Sio lazima aonyeshe kwake kwani mtamsaidia nini acheni kuchunguza maisha ya watu

  • @avituspascharates6484
    @avituspascharates6484 5 лет назад +12

    napenda kazi zako mboto

  • @idabajbeery
    @idabajbeery 4 года назад +1

    Du pole macho mekundu poleeee

  • @halimaomari7589
    @halimaomari7589 5 лет назад +2

    Mboto napenda sana kazi zako

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege3426 4 года назад +7

    Komesha sana wambea kesho wakija tena mpaka home wapeleke darajani, utashindwa nn kwani wewe kwao unakujua

  • @johnsam4942
    @johnsam4942 4 года назад +2

    Mtangazaji kazi nzuri hongera sana🔥🔥

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 4 года назад

    Kabisaa yaani umeongea kweli,mtu aheshmu nafasi yake ndani ya kazi yake, wala sio tamaa au ufaghari,na sikuzote jambo lolote zuri lzma lianzie chini kwanza,hongera

  • @kuruthummohammed1032
    @kuruthummohammed1032 5 лет назад +2

    Nimecheka sana

  • @wangwemseti7592
    @wangwemseti7592 5 лет назад +22

    Hapo ni mtaani kwake sio home kwake watazamaji tulitaka kujua home kwake kama kipindi kinavyo endeshwa

  • @zainabzainab9724
    @zainabzainab9724 4 года назад

    Mashaallah

  • @amosjustine7202
    @amosjustine7202 4 года назад

    Safi sana

  • @Ngepetv
    @Ngepetv 5 лет назад +21

    Nani alie sikia neno mapendi badala ya mapenzi??

  • @noreenmillicient8101
    @noreenmillicient8101 5 лет назад +4

    I hvnt seen a funny player like this one even in normal life 😂😂😂talking funny,,,e.g wat a u eating,,answer;we r agoing to play😂😂😂💓💞💓so funny

  • @dausondau6868
    @dausondau6868 4 года назад

    Mboto namukubali sana

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 5 лет назад +6

    Siojaman kwake siokwakwe kwake pazuri sana

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma4691 5 лет назад +9

    Wa.Tanzania nduguzagu urafiki.aukweli.unauma

  • @eaglecrown3872
    @eaglecrown3872 5 лет назад +59

    Nyie mnaekejeli kwake mlitaka mwana akaishi sinza alafu awe amepanga???.

  • @nelsonandanyi
    @nelsonandanyi 5 лет назад +8

    Good boy... Kamkubali Madebe, huo ndo utu kaka.

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 5 лет назад +30

    🙄kwel ww mboto mchekeshaji 😄😄😄😄😄umeamua kuwakomesha ,,,mpaka hom unakaribishwa kwa watu😊😊😊😊hapo sio kwako kwako napajua vizuri usituongoper🙌🙌🙌

  • @hundamaniamania872
    @hundamaniamania872 5 лет назад +7

    Wanazaliwaga na utaahira kdg

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 лет назад +2

    Chips samaki kula kwangu mashaallah mboto nakupenda bure maisha yko kiaclia vzury sna mtu akupende ulivyo cyo kiusanii

  • @samuelissack9674
    @samuelissack9674 5 лет назад

    Noma

  • @ameknews2315
    @ameknews2315 5 лет назад +27

    Nilicho kigundua this person is vry secret

    • @mamukisu4015
      @mamukisu4015 5 лет назад

      Mboto we mwisho Hugo jamaa wamuingiza hapa wamtoleakule

  • @castormpunga7091
    @castormpunga7091 5 лет назад +24

    No Mimi siko tayali kukujali kwamba hapo ndio home mboto

    • @khamisjuma4691
      @khamisjuma4691 5 лет назад

      Jamani.huyu.yumba.amepaga.a.maniyakwake.Wrong life home Africa

    • @saunakatauyanawausufanyeni9504
      @saunakatauyanawausufanyeni9504 5 лет назад

      Castor Mpunga hii beat Kali aiseeh plz nitajie mboto nimekupenda sana maneno yako saluti kwako

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali1605 5 лет назад +3

    kama umehisi huyu mama ni mpemba kama mm gonga like twende sawa nimefurahi

  • @manchesterunited6076
    @manchesterunited6076 4 года назад

    Big up bro haji salum

  • @nteminkuba1624
    @nteminkuba1624 4 года назад +1

    Kama umesikia very ngumucally gonga like twende sawa

  • @samwelinguwa7168
    @samwelinguwa7168 5 лет назад +1

    WA andaaji wa kipindi hiki cha mpaka home mnakosea kitu kimoja Kama mboto hamjamhoji kuwa amepanga au amejenga mm binafisi sjaelewa hilo au mpaka home inamaana gani????

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto7210 5 лет назад +30

    Iyoo n mpaka mtaaani sio mpka home 😂

  • @agnessraphael2550
    @agnessraphael2550 5 лет назад

    uko vizuri

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 5 лет назад +2

    Mboto ni 💪😂😂😂😂umewakomesha wambeya leo halooooooo hata kwako hawajakujua 😂😂😂😂😘😘😘

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 5 лет назад +5

    Uyo mboto ni msiri sana wala apo sio kwake ; wala hakuna mov alio lipwa elfu 5 ila ana siri kubwa.

  • @sofiakomba3641
    @sofiakomba3641 5 лет назад +12

    kama umesikia Mapendi badala ya Mapenzi GONGA LIKE

  • @herijuma6726
    @herijuma6726 5 лет назад +14

    Gud job broo

  • @erickdavid792
    @erickdavid792 5 лет назад

    atari sana

  • @dativapaschal1290
    @dativapaschal1290 5 лет назад

    nakupendaga sana

  • @ashuramahali6643
    @ashuramahali6643 5 лет назад +5

    Wacha weeee nampenda Sana Mboto ila to anapoishi hafanani napo.safi bro hujafake life ndug upo og

    • @annarosekileo253
      @annarosekileo253 5 лет назад

      Hivi in kweli????????Anaishi hapo.Sielewi

    • @hawambwana3360
      @hawambwana3360 5 лет назад

      Mnajidai utafikiri mna vya maana, ulitaka adanganye.

  • @nasrazubeli8765
    @nasrazubeli8765 4 года назад

    I love him kwa sababu hajisikii yupo siple

  • @athumanhassan9360
    @athumanhassan9360 5 лет назад +10

    Mboto bg up xnaaaaaaaa🙏🙏🙏

  • @dianaluigi4620
    @dianaluigi4620 5 лет назад

    Nampenda sana mbotoooo

  • @gfttyfffg2219
    @gfttyfffg2219 5 лет назад

    safi sana nakupenda bure kama hapo sikwako basi umeweza wambea wamujini chikamo sana wasani

  • @michaelmakenzi908
    @michaelmakenzi908 5 лет назад +10

    Wewe naye mtangazaji mpumbavu nini,mpaka home gani sasahiyo ya kuishia nje na mtaani,kwani hukuona wenziyo wanavyofanya? Kwahiyo anaishi hapo barabarani au!?

  • @sangotelleming7444
    @sangotelleming7444 5 лет назад +7

    Kipnd mpaka home lakn unamaswal ming sasa mahuzui ya kpnd n yap

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 года назад

    Namkubali sana mboto

  • @dazuuhmd819
    @dazuuhmd819 5 лет назад

    Mashaallah mama nimempenda kaongea kweli pia lafudh kama kwetu

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 5 лет назад +1

    Jamaa anamajibu mazuri Sana Kama mtangazaji angekua na akili nzuri angekatisha maswali kipindi kikaisha

  • @ramadhaniathumanimlenge6641
    @ramadhaniathumanimlenge6641 5 лет назад +3

    Kama kweli hapo Ndiyo kwako na hujajenga vizuri na mke hauna huo ni ujinga wa kiwango cha juu

  • @sofiaasukuku8238
    @sofiaasukuku8238 5 лет назад +8

    Vizuri Sana mboto kwakusifiwa ucheshi ,

  • @scollapatric8342
    @scollapatric8342 4 года назад

    Safi sana mboto

  • @safiyashabani8717
    @safiyashabani8717 5 лет назад

    Sana

  • @halwamohammed5882
    @halwamohammed5882 4 года назад

    Umesema kaka

  • @yeyothegreat8277
    @yeyothegreat8277 4 года назад

    Mpk Home manake mpaka chumbani ebu fanyeni ivo tuone maisha yao halisi na vitu wanavomiliki na sio kibalazan

  • @Lumegilemukata
    @Lumegilemukata 4 года назад

    nakubali mboto

  • @halimams2127
    @halimams2127 5 лет назад +7

    Afu we mtangazaji kaza sauti bana nn unajilegeza watakutongoza shauria endelea kujilegeza

  • @user-wn2tj5pt1v
    @user-wn2tj5pt1v 5 лет назад

    Good

  • @mhesitumaini1894
    @mhesitumaini1894 5 лет назад +8

    Jeshi lá mtu mmoja makin sana nataman sana ufanye ngoma nã madebe

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Mi nimecheka kama fala mboto hapo sio kwako

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 года назад

    Mboto love you🤗🤗

  • @neemaedward8077
    @neemaedward8077 5 лет назад +8

    Jamani eti unamuagaje mkeo mkiwa wote mnafanya kazi ya aina moja hahahaha

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 4 года назад

    Big up mtangazaji unajitahidi xana mzee

  • @fatumarashidi5735
    @fatumarashidi5735 5 лет назад

    safi sana mboto achana namapana stini wasionamalengo

  • @ramadhanineneza7317
    @ramadhanineneza7317 5 лет назад +9

    Hapo ndo kwako au vp

  • @mtoromtoro3338
    @mtoromtoro3338 5 лет назад +8

    kwakweli hampo sasahihi tatizo mnapenda mtu ajifaharishe haisha popote bwana usimjaji mtu kwa kumuangalia

  • @aminamalamla4498
    @aminamalamla4498 4 года назад

    Good interview

  • @saumuabdi5954
    @saumuabdi5954 5 лет назад +1

    Nampenda vovote

  • @yeyothegreat8277
    @yeyothegreat8277 4 года назад +1

    Nampenda Mboto kama hajaoa anioe mimi uwi

  • @jullygodwiny4058
    @jullygodwiny4058 5 лет назад +1

    Inamaan hata kupiga plastar ukuta hamna,sio kwel bana hapo kwa jiran siamn

  • @youngtwite7580
    @youngtwite7580 5 лет назад

    masta onyesheni maisha halisi mnayoishi mkifa mnasemwa sana

  • @fatumakulwa7908
    @fatumakulwa7908 4 года назад

    Pambe sana mboto pambana baba

  • @stephanojohn5317
    @stephanojohn5317 5 лет назад +5

    hahahahhahahhaha iyo mbona anafanyaagaa niiiiiii??????

  • @rakiamohammed315
    @rakiamohammed315 5 лет назад

    Love you mboto

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 5 лет назад +2

    Mboto umenenepa jamani

  • @nachunachu7466
    @nachunachu7466 5 лет назад

    yani namkubali sana mboto

  • @ratwifamajid3383
    @ratwifamajid3383 5 лет назад +1

    kweli leo kawakomesha kutembea mpaka miguu iseme yes

  • @Mnyaruge
    @Mnyaruge 5 лет назад +3

    💪💪💪

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 5 лет назад +2

    ss mboto ww ndo unakaa hapo na ustar wako wote huwo jamani mtangazaji hii siyo mpaka om ujaonesha maisha yake ya ndani nje tu

    • @frankmiraco9844
      @frankmiraco9844 5 лет назад +1

      Ww ulitaka akae wapi wakati hamuwasapoti ilivyo

    • @fainnamvungi4364
      @fainnamvungi4364 5 лет назад +1

      unataka ndan kipi kigen ndan ya nyumb hukijui...

    • @agnessjohn8404
      @agnessjohn8404 5 лет назад +1

      Fainna Mvungi Hahahaha watu mnamajibu ya hatari kweli kweli

    • @fainnamvungi4364
      @fainnamvungi4364 5 лет назад +1

      @@agnessjohn8404 mama naona marinjirinji tu

    • @agnessjohn8404
      @agnessjohn8404 5 лет назад

      Fainna Mvungi Hahahaha

  • @mariamumariamu1003
    @mariamumariamu1003 5 лет назад +4

    Nice me nampenda mboto jaman mpaka na umwa

    • @azizaabeid123
      @azizaabeid123 5 лет назад

      Hahahaha polee basi mm mumewangu anafanana na mboto hadi vituko

  • @dinademona7375
    @dinademona7375 5 лет назад +1

    I really like mboto's confidentially hapo kwa umeoa una mtoto 😂😂😂😂😂😂