ONA ANAPOISHI BLACK PASS 'KIZIWI' - "NIKIMFUMANIA MPENZI WANGU SIACHANI NAYE"...| MPAKA HOME
HTML-код
- Опубликовано: 10 янв 2023
- ONA ANAPOISHI BLACK PASS 'KIZIWI' - ''NIKIMFUMANIA MPENZI WANGU SIACHANI NAYE''... | MPAKA HOME
KWENYE MPAKA HOME ya Globa TV tumetia timu nyumbani anapoishi staa wa comedy Bongo Black Pass ama Kiziwi ambaye amefunguka mengi...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 739 750 910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Black pass she's my old friend 🥰 honestly hapo sio kwake ni kwao kwa mzee silanda . black pass amelelewa na baba ake mzee silanda mama ake alifarik akiwa mdogo she's very really and beautiful 😍
Kumbe anamaisha poa tu
Aaah
Ivi nikiziwi kweli??
@@celinemwabalasse1556 hpn
Niunganishe naye bana
Duuh sister nimekupenda bure una maisha ya kawaida sana😄😄😄😄😅😅😅we ni star mkweli na hauna majingambooo
Mashallah... Kitambo sana😍😍 Mama Tea jaman.... Pass mwongo 😂😂lkn vizur sio kila mtu ajue ukweli wako... Kinondon Moscow... Miss u guys jaman... Mm nilivyo ona hiyo nyumba Nika kumbuka home... Ila umeweza my... Vizur sana 👋👋
Tunaopenda kurudia interview hii tujuane
Hapendi sifa mashallah habibti ❤
Anasema kweli kabisa BLACK PASS big up
Nyie nampenda huyu dadaa adi raha ety usikombeee maharagee hahahaha nampenda sanaaaa
DADA MZURI HUYU,MREMBO NATURAL
🤣🤣sema anavyo ongea nachekaga sema huyu dd mzuri mashallha black beauty arafu hapo siyo kkwake kunaweza kukawa kwa wazazi wake au huyo mama jirani yake hapo kwaiyo akaona aje afanye hapo maojiano
Nimempenda bule mtoto mzuli harafu hana malingo, naitaji siku nikiowa nioe mwamke wa hivi 🥰😘🙏
Mungu skubaliki dadangu du! Yaani sikufikiri kama kwa zama hizi kuna msanii wa kujiachia ki hivi. Najua unadanganya ila saluti kwako
Huyu mdada ni mzuri ajabu jamani yaani nimempenda sana sanaaa
Black pasc wewe ni mrembo sana tena nakupenda sana wewe ni wa tofauti sana
Ukweli haish hapo ila nimependa vile hajapenda kuonyesha maisha yake.
Sio kwake msiri sana nimempenda sana 👌❤
Mimi ni mkenya na nawatch hii video kipindi hichi,,,haya maneno anayo Sema huyu binti ya kua na mahusiano mengi ni kweli kabisa,,watu wasione sifa kutembea na watu wengi,yani both sides wakaona ni sifa,tunajitafutia laana na nuksi tujiheshimuni na kuyashika maandiko both ya biblia na quruani kutengemea mtu ni wandini gani
Elewa neno USIPENDE KUMUONESHA KILA MTU MAISHA YAKO chukua hyo,😂😂😂 ila pass et anajitia hajui bei ya baga 😂😂 nimeipenda hyooo
Etti mchezo Kila siku mia tatu Kwa week buku jero na tupo watu mia Tano na saba😂😂 Ila uyu dada Nyie kwahyo kitongoji kizima wanacheza mchezo au mia Tano anaiona hamsini😂😂😂 she's just doing comedy on interview 😂😂😂🙌
Namupendag uyu dada gis anaongeag😂😂😂😂💪🇴🇲🇧🇮💖
Nimekupenda sana dada yangu mwana simba mwenzangu
Sio kwake hapo' Ila nampendaga sana huyu dada wallahi
Waandishi wana mbinu ety bakuli lako unalo lipenda ni lipi wakati Dada kasema hataki kujulikana maisha yake😂😂😂
Dada muongo huyu hakai hapo,namjua huyu ana maisha poa sana
Kweli aishi hapo alikuwa anakaa Moscow lkn co nyumba hii yenyewe ni mzuri,Ila ss iviI cjui kaamia wapi.
Anamaisha mazuri namjua pia
Nampenda Black pass 😘😘😘😘
Yaani nimemwelewa huyu black pass sana, maana wengi wambeya wanapenda sana kujua maisha ya watu bila msaada.
Huyu hawezi kuishi hapa, bali ni kwamba kaficha hali yake. Lakin pia kafanya hiv kutengeneza pesa kwa watu.
Kabisaa nashangaa wanavyomsema kwenye comment
UNA FURAHISHA BARRAZA
MASHAALLAH ALLAH ATAKUPA MAISHA MAZURI
Ameen
Haki we dada ni mwanamke wa nguvu sanaaa....nimekupenda bureeeee. Huna muda wa kupretend life
Anamakuu kaonesha maisha yauwalisia
Nampenda Sana uyu Dada naweza kumuoa kabisa
Nimeipenda sana iyo kaficha uhalisia wake yukovizuli sana
Kwani ajabu nini akiisha hapo haya ni maisha tu
Nakupenda ulivyo kazi yako nzuri
Ila kama kweli sio kwake basi anajuwa kia Akti hataki majigambo
Kweli kbs
Uyo ni mama yake wanafanana sana, hapo ni nyumbani kwao sio kwake ila kwa wazazi wake
Mashaallah black pass
Nampenda sana huyu dada ilihapa sijui kama hapa kwake mbona mtoto wake anasoma shule nzuri
Nikama amewaficha kwake c hapa
Sio kwake amedanganya
Ni kwake hapo
Sidhani kama ni kweli huyu hapo sio kwake yaani hataki kuwaonyesha waandishi kwake, huyo bibi hapo kamlipa ili aekt kama kwake bhana
Nimekupenda bure Black Pass!
Sana upo good
Yaani uyu kama gigy tuu jamn wanafanana tabia sana
😂😂😂😂😂
❤️
Namkubal kindakindaki uyu dada ❤
Pazuri sana kwake
Sio kwake pale ni kwao yeye amepanga kwake ila ni maeneo hayo
Hapo nipahuyo bibi sema anaishinae vizuri alivo onakuna mahijiano kampanga bibi
Kabsaaa
Kabisa Yan Sema huyu mcheshi sana
Kwel
Nakupenda sana dada yangu kwa kazi yako zuri sana
Km umetulia ukisikiliza utasikia usipende kumuonesha maisha yako watu
Ni kweli kasema zaid ya mara Moja it's mean hapo so kwake
Hahaha 😂 ila ukejua kuicheza hii movie 🎥
Asee dada nime kuelewa uko vizur Sana
mimi kwamtazamo wangu nahisi kama anatuektia tu
Yaani huyu Dada nimempenda bure jamanii amenifurahisha sanaaaaa hii interview ni matata noumaaaaa 😁😂😁😁😁😁😁😂😁 Big up sanaaaaa a black pass ila SEMA tu nakushauri uamie yanga 😁😁😂😂😂😂😂💚💚💚💛💛💛💛💛💛
Sio kwake hapo
Nimekukubali sana ♥️♥️
Black pass kiziwi hapo siokwake amewatia changa la macho mashabiki zake ni msiri sana ni mwanamke mzuri kutoka vijijini wanaogopa sana kurogwa hawezi onesha anpoishi .Nimempenda bure. Big up black pass
Hapo ni kwa huyu bbu na bbi
Hapo ni kwao
@@yasminoluoch169Kwa wazazi walomlea ila hakai hapo
Ila ni pachafu kwa kweli haijalishi ni kwenu kwako bas safisha kod 30 c bora ukapange chanika nyumba nzur
Mmmh muongo hivi kwel kwake hapo au anatuenjoy
Nimempenda bureeee!!
Wambea mmekomeshwa 🤣🤣🤣🤣
Sio kwake
Hahahaha Yaan hayo majibu unaondokaa kama una hasira
Kweli maisha magumu kwenye igizaji
Yeye kasema ni kwake wengine wanakataa basi watuonyeshe kwake
Mmmh sio kwake kwa uyo bibi naona
Hivi n kweli hapa n kwake!? Jmn huko dar kumbe hata huku kwetu tuna mijengo mikali
Kwahiyo dar kote ni maghorofa nimecheka, mpendwa dar kuna mpk nyumba za udongo na majan
Hapa tumepigwa mtu ana kaa mazingira hayo na kucha za namna hivyo 😂😂😂😂
Nakupenda dear❤️ila mbona nawe unapritend maisha kama uhitaji pajulikane kwako usingekubali kuhojiwa au ungeenda ata beach or lounge hapo si kwako 🌝
Nakuoenda sana back pass hupendi kujionyesha
kwa maelezo yko tu pass nimeelewa kwamba hupendi ujulikanike vipi unaish.
Sio kwake hapo😆😆
Si kwake apo ila ndo vizuri binadam sikuiz wana wivu sn afazali waone ivo
Ameuza
Dah Gabi .....nimekumbuka kitaambo enzi zile za mangiri mob
Hapa sio kwake ameamua afanye maigizo
Mmmh dd wajua kuficha🤣🤣🤣
Aki sio kwake
Haaaaaaaa umesoma darasa la ngapi ungali umeiva haaaaaaaa
Saf sana
Nakataa haya sio maisha yake bhan anatupanga tu huy
Amna cha januar ayo ndo maisha yako😂
Hamna hapo sio kwake hakai hapo, huyo no mmama alomlea tu na ndipo alipokulia Kwa hyo Mzee na mmama huyo kajenga na ana nyumba ya kwake nzur sana nahs kafanya hvo kuogpa kulogwa si unajua
Huyo nibongo muvi anaonyesha uharisia watu watokako
Katuzugaaaa huyuu dada🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
siyo kwake
Naomba namba zake huyo mdad
Huyu ni muongo amaelezo yake anasema usionyeshe maisha yako watakurudisha nyuma hivyo anaogopa kurogwa jamani .
Dhuuu, Mbona huyu Dem namkubali ila Anaishi maisha haya 😭😭😭
Hapo kwao sio kwake
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
HAPO KWA UYO MAMA INAWEZEKANA SO KWAKWE
Black pass apo sio kwako ila hii video imenichekesha sana
Yuwala mbio mbio hajameza anakata donge lengine🤣🤣🤣🤣
🤣🤣😛😛umeonaaeee
Sio kwake kabisaaa
weka namba yako sasa
Huyu mdada ana Akili mpka namuonea Wivu
🥰🥰🥰
Hahaha 🤣 Black pass umetupiga na kitu kizito.
🤣🤣🤣🤣macho yako yanaona Kama Mimi eeeh?
Afu uyu mamake walah
uyu sio kwake muongo
Ukiwa mkweli
Kama kweli nimekupenda bure
Nimeamin sie kwake
Yaani nimzuriiii
Sio kwake buana
Aki huyu dada napenda san
Blak bwana hapo ni kwako kweli mbona pachafu sana kama mganga bwana
Hvi nikweliii au ndo comed inaendelea, hvi pas kweeli wewe unaishi hapoo!