ONA ANAPOISHI BLACK PASS 'KIZIWI' - "NIKIMFUMANIA MPENZI WANGU SIACHANI NAYE"...| MPAKA HOME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 янв 2023
  • ONA ANAPOISHI BLACK PASS 'KIZIWI' - ''NIKIMFUMANIA MPENZI WANGU SIACHANI NAYE''... | MPAKA HOME
    KWENYE MPAKA HOME ya Globa TV tumetia timu nyumbani anapoishi staa wa comedy Bongo Black Pass ama Kiziwi ambaye amefunguka mengi...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 739 750 910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 262

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +6

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Год назад +36

    Black pass she's my old friend 🥰 honestly hapo sio kwake ni kwao kwa mzee silanda . black pass amelelewa na baba ake mzee silanda mama ake alifarik akiwa mdogo she's very really and beautiful 😍

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Год назад +5

    Duuh sister nimekupenda bure una maisha ya kawaida sana😄😄😄😄😅😅😅we ni star mkweli na hauna majingambooo

  • @munirasaga6494
    @munirasaga6494 Год назад +1

    Mashallah... Kitambo sana😍😍 Mama Tea jaman.... Pass mwongo 😂😂lkn vizur sio kila mtu ajue ukweli wako... Kinondon Moscow... Miss u guys jaman... Mm nilivyo ona hiyo nyumba Nika kumbuka home... Ila umeweza my... Vizur sana 👋👋

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Год назад +6

    Tunaopenda kurudia interview hii tujuane

  • @aishaaliy8519
    @aishaaliy8519 Год назад +3

    Hapendi sifa mashallah habibti ❤

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt Год назад +4

    Anasema kweli kabisa BLACK PASS big up

  • @hyasintapeter204
    @hyasintapeter204 Год назад +3

    Nyie nampenda huyu dadaa adi raha ety usikombeee maharagee hahahaha nampenda sanaaaa

  • @eileenkihula3754
    @eileenkihula3754 Год назад +2

    DADA MZURI HUYU,MREMBO NATURAL

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +3

    🤣🤣sema anavyo ongea nachekaga sema huyu dd mzuri mashallha black beauty arafu hapo siyo kkwake kunaweza kukawa kwa wazazi wake au huyo mama jirani yake hapo kwaiyo akaona aje afanye hapo maojiano

  • @josephheroberthrand6965
    @josephheroberthrand6965 Год назад +4

    Nimempenda bule mtoto mzuli harafu hana malingo, naitaji siku nikiowa nioe mwamke wa hivi 🥰😘🙏

  • @sautiisiyosema
    @sautiisiyosema Год назад +1

    Mungu skubaliki dadangu du! Yaani sikufikiri kama kwa zama hizi kuna msanii wa kujiachia ki hivi. Najua unadanganya ila saluti kwako

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 Год назад +5

    Huyu mdada ni mzuri ajabu jamani yaani nimempenda sana sanaaa

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 Год назад +1

    Black pasc wewe ni mrembo sana tena nakupenda sana wewe ni wa tofauti sana

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Год назад +3

    Ukweli haish hapo ila nimependa vile hajapenda kuonyesha maisha yake.

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Год назад +12

    Sio kwake msiri sana nimempenda sana 👌❤

  • @lillianwanjiku7944
    @lillianwanjiku7944 Год назад +11

    Mimi ni mkenya na nawatch hii video kipindi hichi,,,haya maneno anayo Sema huyu binti ya kua na mahusiano mengi ni kweli kabisa,,watu wasione sifa kutembea na watu wengi,yani both sides wakaona ni sifa,tunajitafutia laana na nuksi tujiheshimuni na kuyashika maandiko both ya biblia na quruani kutengemea mtu ni wandini gani

  • @faidhacute
    @faidhacute 9 месяцев назад +1

    Elewa neno USIPENDE KUMUONESHA KILA MTU MAISHA YAKO chukua hyo,😂😂😂 ila pass et anajitia hajui bei ya baga 😂😂 nimeipenda hyooo

  • @yadarchcutee950
    @yadarchcutee950 Год назад +4

    Etti mchezo Kila siku mia tatu Kwa week buku jero na tupo watu mia Tano na saba😂😂 Ila uyu dada Nyie kwahyo kitongoji kizima wanacheza mchezo au mia Tano anaiona hamsini😂😂😂 she's just doing comedy on interview 😂😂😂🙌

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 Год назад +2

    Namupendag uyu dada gis anaongeag😂😂😂😂💪🇴🇲🇧🇮💖

  • @user-ij2po2jw2f
    @user-ij2po2jw2f Месяц назад

    Nimekupenda sana dada yangu mwana simba mwenzangu

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Год назад +1

    Sio kwake hapo' Ila nampendaga sana huyu dada wallahi

  • @bujepatv7154
    @bujepatv7154 Год назад +3

    Waandishi wana mbinu ety bakuli lako unalo lipenda ni lipi wakati Dada kasema hataki kujulikana maisha yake😂😂😂

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Год назад +10

    Dada muongo huyu hakai hapo,namjua huyu ana maisha poa sana

    • @salimabakari8617
      @salimabakari8617 Год назад +1

      Kweli aishi hapo alikuwa anakaa Moscow lkn co nyumba hii yenyewe ni mzuri,Ila ss iviI cjui kaamia wapi.

    • @ashuraiddy1145
      @ashuraiddy1145 Год назад +1

      Anamaisha mazuri namjua pia

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt Год назад +5

    Nampenda Black pass 😘😘😘😘

  • @fordraymondjohnson2380
    @fordraymondjohnson2380 Год назад +1

    Yaani nimemwelewa huyu black pass sana, maana wengi wambeya wanapenda sana kujua maisha ya watu bila msaada.
    Huyu hawezi kuishi hapa, bali ni kwamba kaficha hali yake. Lakin pia kafanya hiv kutengeneza pesa kwa watu.

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Год назад +1

      Kabisaa nashangaa wanavyomsema kwenye comment

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Год назад +1

    UNA FURAHISHA BARRAZA
    MASHAALLAH ALLAH ATAKUPA MAISHA MAZURI

  • @mercymariki2148
    @mercymariki2148 Год назад +3

    Haki we dada ni mwanamke wa nguvu sanaaa....nimekupenda bureeeee. Huna muda wa kupretend life

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Год назад +1

    Nampenda Sana uyu Dada naweza kumuoa kabisa

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Год назад +4

    Nimeipenda sana iyo kaficha uhalisia wake yukovizuli sana

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt Год назад +7

    Kwani ajabu nini akiisha hapo haya ni maisha tu

  • @jamlaashiri372
    @jamlaashiri372 Год назад +2

    Nakupenda ulivyo kazi yako nzuri

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +7

    Ila kama kweli sio kwake basi anajuwa kia Akti hataki majigambo

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Год назад +5

    Uyo ni mama yake wanafanana sana, hapo ni nyumbani kwao sio kwake ila kwa wazazi wake

  • @ashafujo3506
    @ashafujo3506 Год назад +1

    Mashaallah black pass

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Год назад +7

    Nampenda sana huyu dada ilihapa sijui kama hapa kwake mbona mtoto wake anasoma shule nzuri

    • @teedullah5708
      @teedullah5708 Год назад +1

      Nikama amewaficha kwake c hapa

    • @ashuraiddy1145
      @ashuraiddy1145 Год назад

      Sio kwake amedanganya

    • @Cambarada
      @Cambarada Год назад

      Ni kwake hapo

    • @user-ey5mv1yz3s
      @user-ey5mv1yz3s 7 месяцев назад +1

      Sidhani kama ni kweli huyu hapo sio kwake yaani hataki kuwaonyesha waandishi kwake, huyo bibi hapo kamlipa ili aekt kama kwake bhana

  • @johnmayagila5665
    @johnmayagila5665 Год назад +1

    Nimekupenda bure Black Pass!

  • @user-rq3ke5ni6z
    @user-rq3ke5ni6z 6 месяцев назад

    Sana upo good

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 Год назад +2

    Yaani uyu kama gigy tuu jamn wanafanana tabia sana

    • @faidhacute
      @faidhacute 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

  • @aishamussa9586
    @aishamussa9586 Год назад +1

    ❤️

  • @williamernest8712
    @williamernest8712 Год назад

    Namkubal kindakindaki uyu dada ❤

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +2

    Pazuri sana kwake

    • @ashuraiddy1145
      @ashuraiddy1145 Год назад

      Sio kwake pale ni kwao yeye amepanga kwake ila ni maeneo hayo

  • @adelinaomani9012
    @adelinaomani9012 Год назад +5

    Hapo nipahuyo bibi sema anaishinae vizuri alivo onakuna mahijiano kampanga bibi

  • @fatemajohn3195
    @fatemajohn3195 Год назад +3

    Nakupenda sana dada yangu kwa kazi yako zuri sana

  • @NADUAonlineTV
    @NADUAonlineTV Год назад +3

    Km umetulia ukisikiliza utasikia usipende kumuonesha maisha yako watu

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Год назад

      Ni kweli kasema zaid ya mara Moja it's mean hapo so kwake

  • @nahiriali1405
    @nahiriali1405 Год назад +1

    Hahaha 😂 ila ukejua kuicheza hii movie 🎥

  • @mustorytellermullah2737
    @mustorytellermullah2737 Год назад

    Asee dada nime kuelewa uko vizur Sana

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Год назад +5

    mimi kwamtazamo wangu nahisi kama anatuektia tu

  • @rubenkategere3348
    @rubenkategere3348 Год назад +1

    Yaani huyu Dada nimempenda bure jamanii amenifurahisha sanaaaaa hii interview ni matata noumaaaaa 😁😂😁😁😁😁😁😂😁 Big up sanaaaaa a black pass ila SEMA tu nakushauri uamie yanga 😁😁😂😂😂😂😂💚💚💚💛💛💛💛💛💛

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 Год назад

    Nimekukubali sana ♥️♥️

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Год назад +4

    Black pass kiziwi hapo siokwake amewatia changa la macho mashabiki zake ni msiri sana ni mwanamke mzuri kutoka vijijini wanaogopa sana kurogwa hawezi onesha anpoishi .Nimempenda bure. Big up black pass

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 Год назад +1

    Ila ni pachafu kwa kweli haijalishi ni kwenu kwako bas safisha kod 30 c bora ukapange chanika nyumba nzur

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Год назад

    Mmmh muongo hivi kwel kwake hapo au anatuenjoy

  • @LusiaSanga
    @LusiaSanga 19 дней назад

    Nimempenda bureeee!!

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +3

    Wambea mmekomeshwa 🤣🤣🤣🤣

  • @nailaty
    @nailaty Год назад +1

    Sio kwake

  • @neemakweka
    @neemakweka Год назад

    Hahahaha Yaan hayo majibu unaondokaa kama una hasira

  • @mauaahmadi8389
    @mauaahmadi8389 Год назад +3

    Kweli maisha magumu kwenye igizaji

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 3 месяца назад

    Yeye kasema ni kwake wengine wanakataa basi watuonyeshe kwake

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Год назад +1

    Mmmh sio kwake kwa uyo bibi naona

  • @patrickpazza4764
    @patrickpazza4764 Год назад +2

    Hivi n kweli hapa n kwake!? Jmn huko dar kumbe hata huku kwetu tuna mijengo mikali

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Год назад

      Kwahiyo dar kote ni maghorofa nimecheka, mpendwa dar kuna mpk nyumba za udongo na majan

  • @fabianpaul3250
    @fabianpaul3250 Год назад

    Hapa tumepigwa mtu ana kaa mazingira hayo na kucha za namna hivyo 😂😂😂😂

  • @joycehosea3947
    @joycehosea3947 Год назад

    Nakupenda dear❤️ila mbona nawe unapritend maisha kama uhitaji pajulikane kwako usingekubali kuhojiwa au ungeenda ata beach or lounge hapo si kwako 🌝

  • @user-lg9sx7fk1b
    @user-lg9sx7fk1b Год назад +1

    Nakuoenda sana back pass hupendi kujionyesha

  • @ramadhantahila9131
    @ramadhantahila9131 Год назад +1

    kwa maelezo yko tu pass nimeelewa kwamba hupendi ujulikanike vipi unaish.

  • @tamamoman9454
    @tamamoman9454 Год назад

    Sio kwake hapo😆😆

  • @asdfhdv9230
    @asdfhdv9230 5 месяцев назад

    Si kwake apo ila ndo vizuri binadam sikuiz wana wivu sn afazali waone ivo

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 Год назад

    Ameuza

  • @yuhamrwambo3739
    @yuhamrwambo3739 Год назад +1

    Dah Gabi .....nimekumbuka kitaambo enzi zile za mangiri mob

  • @erickwilbard257
    @erickwilbard257 Год назад +1

    Hapa sio kwake ameamua afanye maigizo

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Год назад

    Mmmh dd wajua kuficha🤣🤣🤣

  • @user-dq9bx1qf9e
    @user-dq9bx1qf9e Год назад

    Aki sio kwake

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Haaaaaaaa umesoma darasa la ngapi ungali umeiva haaaaaaaa

  • @richardkigeso
    @richardkigeso Год назад

    Saf sana

  • @fatmayusufu8573
    @fatmayusufu8573 Год назад +1

    Nakataa haya sio maisha yake bhan anatupanga tu huy

  • @faidhasultan6010
    @faidhasultan6010 Год назад +1

    Amna cha januar ayo ndo maisha yako😂

    • @faidhacute
      @faidhacute 9 месяцев назад

      Hamna hapo sio kwake hakai hapo, huyo no mmama alomlea tu na ndipo alipokulia Kwa hyo Mzee na mmama huyo kajenga na ana nyumba ya kwake nzur sana nahs kafanya hvo kuogpa kulogwa si unajua

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Год назад +1

    Huyo nibongo muvi anaonyesha uharisia watu watokako

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад

    Katuzugaaaa huyuu dada🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @suluoarjun2767
    @suluoarjun2767 Год назад

    Naomba namba zake huyo mdad

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 Год назад

    Huyu ni muongo amaelezo yake anasema usionyeshe maisha yako watakurudisha nyuma hivyo anaogopa kurogwa jamani .

  • @itNeza
    @itNeza Год назад

    Dhuuu, Mbona huyu Dem namkubali ila Anaishi maisha haya 😭😭😭

  • @nanabeautybeautify5837
    @nanabeautybeautify5837 Год назад

    🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад

    HAPO KWA UYO MAMA INAWEZEKANA SO KWAKWE

  • @Youngteo394
    @Youngteo394 Год назад

    Black pass apo sio kwako ila hii video imenichekesha sana

  • @rozina2161
    @rozina2161 Год назад +1

    Yuwala mbio mbio hajameza anakata donge lengine🤣🤣🤣🤣

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Год назад +1

    Sio kwake kabisaaa

  • @bikolivenance8407
    @bikolivenance8407 Год назад

    weka namba yako sasa

  • @didahsalim6521
    @didahsalim6521 Год назад

    Huyu mdada ana Akili mpka namuonea Wivu

  • @officialtriplestz
    @officialtriplestz Год назад

    🥰🥰🥰

  • @laymashabani832
    @laymashabani832 Год назад +3

    Hahaha 🤣 Black pass umetupiga na kitu kizito.

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 Год назад

      🤣🤣🤣🤣macho yako yanaona Kama Mimi eeeh?

  • @preciouswachack7332
    @preciouswachack7332 Год назад

    Afu uyu mamake walah

  • @mamaikram7573
    @mamaikram7573 Год назад +1

    uyu sio kwake muongo

  • @vitaliskiondo1598
    @vitaliskiondo1598 Год назад

    Ukiwa mkweli

  • @salama1113
    @salama1113 Год назад +1

    Kama kweli nimekupenda bure

  • @habibaraphael6583
    @habibaraphael6583 Год назад

    Nimeamin sie kwake

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 Год назад

    Yaani nimzuriiii

  • @florajohn2167
    @florajohn2167 Год назад

    Sio kwake buana

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Год назад

    Aki huyu dada napenda san

  • @muhsinirasuli2473
    @muhsinirasuli2473 Год назад +1

    Blak bwana hapo ni kwako kweli mbona pachafu sana kama mganga bwana

  • @user-ey5mv1yz3s
    @user-ey5mv1yz3s 7 месяцев назад

    Hvi nikweliii au ndo comed inaendelea, hvi pas kweeli wewe unaishi hapoo!