MPAKA HOME: ANAPOISHI JUMA LOKOLE, GHOROFA LA HATARI, Amtaja DIAMOND, HARMONIZE...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 мар 2020
  • MPAKA HOME: ANAPOISHI JUMA LOKOLE, GHOROFA LA HATARI, Amtaja DIAMOND, HARMONIZE...
    HUU ni msimu mpya wa kipindi cha 'MPAKA HOME' ambapo Global TV imemtembelea mdau wa mitandao, Juma Lokole, nyumbani kwake Sinza Kumekucha na kujionea mjengo wa kifahari anaoishi...
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
    ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    Email: globaltvbest@gmail.com
    abbymrisho@gmail.com
    HABARI MPYA DAILY:
    bit.ly/habarimpya
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    GLOBAL RADIO TV:
    bit.ly/255globalradio
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    bit.ly/exclusive_interviews
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltvonline
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 466

  • @rukyiakimolo802
    @rukyiakimolo802 4 года назад +18

    Masha Allah upo vizur sijatengemea kama utakua unaishi nyumba kama hii upo vizur

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 4 года назад +15

    Ongera Juma uko vizuri 🙏 Mungu akujalie

  • @esperancenathali
    @esperancenathali 4 года назад +30

    Yaani mmm wabembe mko wapi? Team bembe tujuwane hapa

  • @dullahjuma6137
    @dullahjuma6137 4 года назад +11

    Bora juma umbea wako umepa kwa kuekea mgongo wengne ata pakulala ana wanaendekeza mdomo ata banda Ana la kuweka ubavu ongera juma👏👍

  • @winfridashango6481
    @winfridashango6481 4 года назад +42

    Tunao soma coments tujuane hapa

  • @rosemkude2149
    @rosemkude2149 4 года назад +2

    Juma ni msafi na anajipenda sana....salute to that!

  • @famitonawanda4831
    @famitonawanda4831 4 года назад +8

    Upo vizuri tu mzee baba mashallaa.

  • @tumutuppa1726
    @tumutuppa1726 4 года назад +6

    Yan mtu akikusema vibaya huwa naumia sana ...nakupenda sana brooo

  • @kamanda007
    @kamanda007 4 года назад +2

    Mtangazaji looks like a good guy and very lay back

  • @kituchetumedia3593
    @kituchetumedia3593 4 года назад +18

    Iko poa sna ila mimi mpaka leo sina uhakika kama huyo jamaa ni mtoto ama la!?

  • @justinmwene3669
    @justinmwene3669 4 года назад +8

    Juma kube uko mu bémbé karibu yumbani kwenu Juma 🤗🤗🤗🤗🤗 nasisi tuko uku drc lubumbashi

  • @aasdfghrehema7204
    @aasdfghrehema7204 4 года назад +4

    Heeeeee lokole yakeeeee pigaaa keleleeeeeeeee wangu kumbe djuma mubembe nafurahi sana kuwona tunacangiya kabila wabembe woteee mikono juwu lokoleè yake nadida nawapenda sana kwa kipindiiii cakicefucefu nawafata sana nikiwa incini oman from burundi byz

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 4 года назад +7

    M'bembe wa kwetu. Musaubene 🔥🔥🔥🔥 olemakalaaa. Wabembe wanajua kutafuta piga kazi bro watakubali tu. 🙏🙏

    • @bosslilyg4390
      @bosslilyg4390 4 года назад

      Yangene 🤣🤣🤣

    • @julessebintu6525
      @julessebintu6525 4 года назад

      wabembe ni wa ovyo sana wanapigwa nawanyamulenge kila siku. wanaoga. wanyamulenge 10 wanakimbiza 100 wabembe. wanajua kuloga tu na ukahaba na uchafu mwingi. kabila muchafu congo

    • @adijaniyonkuru9731
      @adijaniyonkuru9731 4 года назад

      @@julessebintu6525 wacha izombie dada. Shie njobamajimaji original 🔥🔥🔥

    • @julessebintu6525
      @julessebintu6525 4 года назад

      @@adijaniyonkuru9731 hahaha maji maji hovyo sana inabigwa na TWIRWANEHO NA GUMINO WANAJESHI KAMILI.

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 4 года назад

      @@adijaniyonkuru9731 Mambo vp Hadija uko poa?

  • @josephinepeter7393
    @josephinepeter7393 4 года назад +7

    Tokeni huko hizo ni apartment tu amepnga but Sio nyumba nzima yke mfyuuu ajnge yke

  • @mauahussein9833
    @mauahussein9833 4 года назад +3

    Mtangazaji kanenepa mashallah!

  • @nadiakates8320
    @nadiakates8320 4 года назад +1

    Masha Allah

  • @nertamihambo9186
    @nertamihambo9186 4 года назад +19

    Kumbe Juma uko funny hivi. Nilikuwa nakuchukulia vingine kwa kweli

  • @elizalwakatare8070
    @elizalwakatare8070 4 года назад +2

    Juma akiri kubwa 👌💝😂 my KWIOO!!

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 4 года назад +4

    Bora global wamemhamisha masalu duh😊

  • @neemanicholous6767
    @neemanicholous6767 4 года назад +10

    Aliegundua kama Juma alitaka tuone hadi chumbani tupia like hapaa😂😂😂😂😂

  • @evagerald8236
    @evagerald8236 4 года назад +7

    Hongera sana kwio ake juma wangu mimi🤩🤩🤩😍

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 4 года назад

      Kisa amepanga chumba KWENYE ghorofa🤔🤔🤔

    • @evagerald8236
      @evagerald8236 4 года назад +1

      @@kpetres2872 we chumba chako kipo wapi si chini ya laki tano kwa mwenzi analia apo bado umeme maji ajafika gari mafuta matuminzi take binafsi we kuwenza acha roho mbaya mwenye kustahi hongera mpe hongera yake alafu bado anajenga kigamboni wewe umejenga wapi unajenga wapi au umepenga wapi

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 4 года назад

      @@evagerald8236 nyani haoni kundule🤣🤣🤣🤣,,, mmi sio mbeya Kama juma lokole acha povu Eva😀😀😀,,, 🤗🤗

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 4 года назад

      Mmi najua chimbo langu llipo😁😁😁

  • @stelamwakaturire8102
    @stelamwakaturire8102 4 года назад +5

    Toka niaze kukusikiriza leo umeongea vzr

  • @jacklinemugisha4463
    @jacklinemugisha4463 4 года назад

    So much my love 💝💝💝💝 jumalokole

  • @rehemakulaba495
    @rehemakulaba495 4 года назад +2

    Nilijua tuuu wa sanii wabongo wengiwao wao wanapenda kuonyeshe mijengo wa kupanga hawajui kama badaye maisha yanabadilika pesa zikiisha mmmh

  • @mtangarupia7326
    @mtangarupia7326 4 года назад +1

    Mashaallah

  • @abuuchaula6961
    @abuuchaula6961 4 года назад +4

    Imekaa poa sana

  • @vanessajames1567
    @vanessajames1567 3 года назад

    Hongera hata kama umepanga nyumba nzuri inamana gharama ni kubwa hata kwa kupanga umetuzidi wengi

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 4 года назад +4

    I really love ❤️ juma Siwezi tosheka naye Juma nyumba safi kweli kweli miguu meupe misafi sana 😍

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 4 года назад +2

    Love you juma

  • @rahmaali4009
    @rahmaali4009 4 года назад +4

    Kidogo umeongea vizur Leo

  • @wiskrobert7146
    @wiskrobert7146 4 года назад

    Mmmmmmh hongera yake

  • @chizimndalu8537
    @chizimndalu8537 4 года назад +55

    We juma mbona unasugu za mguu,au unajichibua !???aaaaaha jamani nan kaona Hilo?

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 года назад

    M.mungu akuajalie umalize ile ya kwako

  • @ashiraally527
    @ashiraally527 4 года назад +1

    hii kweri mpaka home juma hadi chumbani ya leo kaliiiii

  • @hamisikwinji9861
    @hamisikwinji9861 4 года назад

    Hongera sana juma lokole nakukubali mno

  • @juliennewakana1966
    @juliennewakana1966 4 года назад +1

    juma leo unaogeya vizuri

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 4 года назад +8

    Aliyeona juma anapaka mkologo na anasugu mguuni tujuane😆

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 4 года назад +2

    Yakupanga message from USA today

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 4 года назад +3

    Karibu kigamboni yetu Juma lokole kigamboni ya wajanja kumbe uko na akili sana honger sana umbea wako unafaida

  • @delphinekazembe3979
    @delphinekazembe3979 4 года назад +2

    Wa Congo uwa wanapenda kula sana .😍😍😍

    • @azzamahamdu7039
      @azzamahamdu7039 4 года назад

      Sio kula tu na kuvaa pia.tena wanavaa nguo iko na lebo. Ni watu flan wanapenda high class ya maisha

    • @delphinekazembe3979
      @delphinekazembe3979 4 года назад

      Hahuja kosea apo ukweli 😘😘😘😘 Ila tujuwane nawewe Pia mucongo ???

  • @janepharjamson8237
    @janepharjamson8237 4 года назад +4

    Duuu chawaa we noma kwa umbea

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 года назад +10

    Juma interview nzuri Ilatu Ilatu kigoma sio kwa mungu usimtegemee mwanadamu.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад

      Kwani Kigoma ni kwa shetani

  • @gotchyoback6928
    @gotchyoback6928 4 года назад +7

    Juma nilimuelewa baada ya kumtetea Diamond ambae haukua na mtetezi

  • @husnasaidihasani7172
    @husnasaidihasani7172 4 года назад +2

    Hiyo miguu kwio 😎

  • @mwanaidsaid6607
    @mwanaidsaid6607 4 года назад +4

    Mke wa lokole yuko wp?

  • @jantarkuria9916
    @jantarkuria9916 4 года назад +3

    Now I understand why he is so mouthy... surrounded with women as friends....udaku too

  • @jasminrashid1344
    @jasminrashid1344 4 года назад

    Nimekupenda bure mtangazaji unajua✌

  • @zaituneissa7370
    @zaituneissa7370 3 года назад

    Safi sana

  • @farajangelelo8918
    @farajangelelo8918 4 года назад +8

    Kumbe juma mbebe ? Mimi pia mbebe wa asili ya congo ninaye ishi USAnamefurai sana kusikia ivyo

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 4 года назад +6

    Camera inaumiza macho mnaichezesha si muiweke kwenye stand yake.

  • @noedimaria463
    @noedimaria463 4 года назад +2

    Wa congo tuju wane

  • @michellumeya8333
    @michellumeya8333 4 года назад +1

    juma mtoto wetu wakikongo yani sisi wa kongo tuna jivunia juma sana

    • @newmuscat1698
      @newmuscat1698 4 года назад

      Shoga uyo anajichubua Na kufirwa sanaa

  • @btylove1870
    @btylove1870 4 года назад

    Toa basi manailoni kwenye picha na mataa!! Pia hilo box la TV tupa kuweka juu ya kabati, mabox yanaleta mende!!

  • @rehemamlaponi216
    @rehemamlaponi216 4 года назад +2

    Yaani kusikia kua banca ni mdogo wa juma lokole looo

  • @bethadickson5242
    @bethadickson5242 4 года назад +9

    NA CORONA HII BADO MNATEMBELEA WATU NYUMBANI

  • @nicehonesty3936
    @nicehonesty3936 4 года назад +1

    JUMA nilikuaga sikupendiii ....hata nilikua sjawaah kukuona ....nmeskiza..leo unaongea very nice ....love you JUMA .... nakupenda xana BBY akee .....u r so funny 😍😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 4 года назад +11

    Umej loga mwéńýëwe nan akulogee kisa mchele kaz kusema ya weñzàkò umevuna ulicho panda eeee

  • @sirsebaonline9106
    @sirsebaonline9106 4 года назад +3

    But sometimes mkumbuke mjini hapa

  • @hasanimikeyo8893
    @hasanimikeyo8893 4 года назад +1

    Juma nakukaribisha USA🇱🇷🇱🇷 mi pia mbembe asili ya congo 🇨🇩🇨🇩

  • @fidescharles6392
    @fidescharles6392 4 года назад +4

    aliesikia Labda may be tujuane😂😂

  • @adijaadija8339
    @adijaadija8339 4 года назад +6

    H baba nishoga

  • @husnamtuveta8056
    @husnamtuveta8056 4 года назад

    Juma anajichubua sana jmn uuwiii vidole veusi miguu rangi 2 uuuh htr

  • @vaibata7704
    @vaibata7704 4 года назад +1

    Nakupenda bure juma akee😘

  • @naymakitchen5933
    @naymakitchen5933 4 года назад

    Safiel honger san

  • @flavianakomu7674
    @flavianakomu7674 4 года назад +5

    dada angu anafanya CRDB, mwingine AMEOLEWA, zote hz ni kazi nisaidieni

  • @Rohosaficarefoundation
    @Rohosaficarefoundation 4 года назад +1

    Tuache kudanganyana hakuna mubembe wa hali hiyo kijana we si wa kwetu hatukujuwi

    • @uwimanauwimana7303
      @uwimanauwimana7303 4 года назад

      chris rohosafi kwani kazaliwa congo ? ni mtanzania. 😒 japo baba ni mbembe

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 года назад +3

    📷 camera man mungu anakuona jamn naona uko bize na mguu wa juma lokole

  • @mauahussein9833
    @mauahussein9833 4 года назад +1

    Nimependa kitanda

  • @scholasticalaurent1542
    @scholasticalaurent1542 4 года назад

    Jaman hujamuuliza kuhusu mama watoto wake alipo na sababu za kuachana

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 4 года назад +1

    Juma kaja yangu upo juu pendaga sana!

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 4 года назад +1

    miguu hiyoooo sasa unajua kuendit vya watu

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 года назад +10

    Sema wabongo ukute pesa anazo lipa hapo angekuwa kashajenga

  • @gracekimaro163
    @gracekimaro163 4 года назад +32

    aliyeona sugu za miguu tujuane. uwiiiiiiiii.

  • @charlesmateso6571
    @charlesmateso6571 4 года назад +1

    Ali anakiburi Bwana

  • @saumukaisi7003
    @saumukaisi7003 4 года назад

    J umeongea vizuri saaaaan nimekuelewa sn kumbe kunawakati unawacha umbea unaongea Mambo ya msingi

  • @marckgft9764
    @marckgft9764 4 года назад +4

    Kumbe mama juma mluguru kma my mom bc mamb n mot

  • @nourumouniry7120
    @nourumouniry7120 4 года назад +2

    Juma acha uongo kigoma haturogwi kishamba bana kigoma juuuu dadeki

  • @kalebumkandi6439
    @kalebumkandi6439 4 года назад +2

    Mbona sielewi

  • @wilisonreli9575
    @wilisonreli9575 3 года назад

    Juma lokole uko vizuri

  • @bonifacejuma8248
    @bonifacejuma8248 4 года назад +8

    Jamn Kwan juma ndio mwenye sugu2 ... Mbona hata mtangazaj anasugu mikonon...?? Mambo mengine kaushen jmn dah mnabowa sana wabongo🤔🤔

  • @safarikikaadrien108
    @safarikikaadrien108 4 года назад +7

    Sasa kama anapanga ao kwake,kwani nani anamulipia kodi🤣🤣wabongo bwana

  • @uwitekamimy3431
    @uwitekamimy3431 4 года назад +8

    Ongera sana Juma nakupenda 🤗🔥

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 4 года назад

      Mmmh,,, kisa amepanga chumba KWENYE ghorofa🤔🤔🤔

    • @marckgft9764
      @marckgft9764 4 года назад +1

      @@kpetres2872 itakuwa 😂😂😂😂angejenga ndo ningeon dume

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 4 года назад +1

      @@marckgft9764 watu ndo unaambiwa washampenda kisa nyumba ya watu😂😂😂,,, wadada acha TU😆😆😆

    • @marckgft9764
      @marckgft9764 4 года назад +1

      @@kpetres2872 😂😂😂😂 wadada kwiyoooo

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 4 года назад

      @@kpetres2872 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 4 года назад +2

    😉😉😉kokoye

  • @uwangambechantal956
    @uwangambechantal956 4 года назад +17

    Mbona km migu unajicubua wekka

    • @joharinaz5007
      @joharinaz5007 4 года назад

      Viato wanaume wengi uwa ivo juu yaviato vyakufunika

    • @salamagat4784
      @salamagat4784 4 года назад

      Eti viatu mikono jee

    • @infooxfordonline1107
      @infooxfordonline1107 4 года назад +1

      @@salamagat4784 kwan mikono inavaa viatu😅

    • @elizaanthony9883
      @elizaanthony9883 4 года назад

      yani huyu hakuwi toka utotoni achi masiahala

    • @ibtyhans1163
      @ibtyhans1163 4 года назад

      Anajichubua, Ona mpaka vidole vya mikono

  • @godfreynyansira4273
    @godfreynyansira4273 4 года назад

    Hongera cha umbea, upo vizuri juma kwako pazuri

  • @joycedecostas7610
    @joycedecostas7610 4 года назад

    Duhhh kumbe nimkongo aiseee

  • @mabeekeniya9710
    @mabeekeniya9710 4 года назад

    Umbea unamufanya aishi vizuri juma lokole

  • @user-mx6gn6qz3s
    @user-mx6gn6qz3s 3 месяца назад

    Kumbe alikua anajichubua zamani bora umeacha

  • @halpajordan7117
    @halpajordan7117 4 года назад +1

    Juma unatumia taulo siyo kwa sugu izoooh

  • @merrynancesimoni2728
    @merrynancesimoni2728 4 года назад +1

    Hapo kwenye kurogwa 🙆💯🙌😂😂😂😂😂Pole jamani

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 года назад +5

    Wewe mwenyew chawa dada mwajuma linafiki kubwa

  • @mudybestmusic3889
    @mudybestmusic3889 4 года назад +16

    piga keleleee kwa lokole akeeee

  • @jamesmethuselafredrick6064
    @jamesmethuselafredrick6064 4 года назад +9

    Juma Lokole ana akili sana huyo jamaa anajua kukwepa swali na kumhamisha ndugu mtangazaji bila kujua kuwa katolewa kwenye njia ya swali la msingi alilomuuliza😃😃 jamaa anajibu kwa akili sana,

  • @suzanampanda6242
    @suzanampanda6242 4 года назад +5

    Akijenga lokole mimi nanunua bombadia 🤣🤣🤣

    • @neemakaluwa2089
      @neemakaluwa2089 4 года назад

      @Suzana Mpanda.🤣🤣🤣🤣
      Labda kwel dada.

  • @zedyramy8203
    @zedyramy8203 4 года назад +2

    Mwanaume mbea hy namchukia kama nn sijui😏

  • @happyeugen468
    @happyeugen468 4 года назад +1

    Hapo kapanga master bedroom bhana

  • @dalaligresielisha5229
    @dalaligresielisha5229 4 года назад

    Huyu kaka anajituma sana

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад

    iyo mingu kweli ubeya kweli

  • @tulizachatal7053
    @tulizachatal7053 4 года назад +3

    Kumbe ww mbembe wa kwetu 🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @hassanmapenzi6188
    @hassanmapenzi6188 4 года назад +2

    Juma lokole n nani kwa diamond kwani.....??