MPAKA HOME: ANAPOISHI JUMA LOKOLE, GHOROFA LA HATARI, Amtaja DIAMOND, HARMONIZE...
HTML-код
- Опубликовано: 18 мар 2020
- MPAKA HOME: ANAPOISHI JUMA LOKOLE, GHOROFA LA HATARI, Amtaja DIAMOND, HARMONIZE...
HUU ni msimu mpya wa kipindi cha 'MPAKA HOME' ambapo Global TV imemtembelea mdau wa mitandao, Juma Lokole, nyumbani kwake Sinza Kumekucha na kujionea mjengo wa kifahari anaoishi...
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline Развлечения
Masha Allah upo vizur sijatengemea kama utakua unaishi nyumba kama hii upo vizur
Wanao ponda wivu tu
Rukyia Kimolo wanawak bhan
Ongera Juma uko vizuri 🙏 Mungu akujalie
Yaani mmm wabembe mko wapi? Team bembe tujuwane hapa
Tupo hapa.
tupp
Wabémbè Tupo wegi tanzania
@@lutulalihim1585 hahahahaha mchiuma ndugu wa mama mimi mlala
BEMBE2THEWORLD
WE ARE HERE
Bora juma umbea wako umepa kwa kuekea mgongo wengne ata pakulala ana wanaendekeza mdomo ata banda Ana la kuweka ubavu ongera juma👏👍
Tunao soma coments tujuane hapa
😀😀😀😀tunapita
Juma ni msafi na anajipenda sana....salute to that!
Upo vizuri tu mzee baba mashallaa.
Anajichubua.ona miguu ilivyo na sugu.
Yan mtu akikusema vibaya huwa naumia sana ...nakupenda sana brooo
Mtangazaji looks like a good guy and very lay back
Iko poa sna ila mimi mpaka leo sina uhakika kama huyo jamaa ni mtoto ama la!?
Juma kube uko mu bémbé karibu yumbani kwenu Juma 🤗🤗🤗🤗🤗 nasisi tuko uku drc lubumbashi
Heeeeee lokole yakeeeee pigaaa keleleeeeeeeee wangu kumbe djuma mubembe nafurahi sana kuwona tunacangiya kabila wabembe woteee mikono juwu lokoleè yake nadida nawapenda sana kwa kipindiiii cakicefucefu nawafata sana nikiwa incini oman from burundi byz
🤝🤝🤝🤝🤝
M'bembe wa kwetu. Musaubene 🔥🔥🔥🔥 olemakalaaa. Wabembe wanajua kutafuta piga kazi bro watakubali tu. 🙏🙏
Yangene 🤣🤣🤣
wabembe ni wa ovyo sana wanapigwa nawanyamulenge kila siku. wanaoga. wanyamulenge 10 wanakimbiza 100 wabembe. wanajua kuloga tu na ukahaba na uchafu mwingi. kabila muchafu congo
@@julessebintu6525 wacha izombie dada. Shie njobamajimaji original 🔥🔥🔥
@@adijaniyonkuru9731 hahaha maji maji hovyo sana inabigwa na TWIRWANEHO NA GUMINO WANAJESHI KAMILI.
@@adijaniyonkuru9731 Mambo vp Hadija uko poa?
Tokeni huko hizo ni apartment tu amepnga but Sio nyumba nzima yke mfyuuu ajnge yke
Mtangazaji kanenepa mashallah!
Masha Allah
Kumbe Juma uko funny hivi. Nilikuwa nakuchukulia vingine kwa kweli
Mambo vp Nerta
Jama Yuko fresh sana
Juma akiri kubwa 👌💝😂 my KWIOO!!
Bora global wamemhamisha masalu duh😊
Hivi walimpeleka wapi😭
Aliegundua kama Juma alitaka tuone hadi chumbani tupia like hapaa😂😂😂😂😂
😂😂😂kweli
Hongera sana kwio ake juma wangu mimi🤩🤩🤩😍
Kisa amepanga chumba KWENYE ghorofa🤔🤔🤔
@@kpetres2872 we chumba chako kipo wapi si chini ya laki tano kwa mwenzi analia apo bado umeme maji ajafika gari mafuta matuminzi take binafsi we kuwenza acha roho mbaya mwenye kustahi hongera mpe hongera yake alafu bado anajenga kigamboni wewe umejenga wapi unajenga wapi au umepenga wapi
@@evagerald8236 nyani haoni kundule🤣🤣🤣🤣,,, mmi sio mbeya Kama juma lokole acha povu Eva😀😀😀,,, 🤗🤗
Mmi najua chimbo langu llipo😁😁😁
Toka niaze kukusikiriza leo umeongea vzr
So much my love 💝💝💝💝 jumalokole
Nilijua tuuu wa sanii wabongo wengiwao wao wanapenda kuonyeshe mijengo wa kupanga hawajui kama badaye maisha yanabadilika pesa zikiisha mmmh
Kasema jaman anajenga
Mashaallah
Imekaa poa sana
Hongera hata kama umepanga nyumba nzuri inamana gharama ni kubwa hata kwa kupanga umetuzidi wengi
I really love ❤️ juma Siwezi tosheka naye Juma nyumba safi kweli kweli miguu meupe misafi sana 😍
Hadi miguu Mungu anakuona😀😀😀😁
Love you juma
Kidogo umeongea vizur Leo
Mmmmmmh hongera yake
We juma mbona unasugu za mguu,au unajichibua !???aaaaaha jamani nan kaona Hilo?
Mimi
Mm
Ata mm nimeona anapaka mkorogo uyo mayalaya
Ww nawe mmbea
Chizi Mndalu kumbe sio mimi peke yangu niliyo ona hizo sugu zamiguu
M.mungu akuajalie umalize ile ya kwako
hii kweri mpaka home juma hadi chumbani ya leo kaliiiii
Hongera sana juma lokole nakukubali mno
juma leo unaogeya vizuri
Aliyeona juma anapaka mkologo na anasugu mguuni tujuane😆
Kabisa tena sio kidog sug kam zoooteee
Na mm nimeona
Du. Atarii sana 🙄🙄🙄
Yakupanga message from USA today
Umbea unalipa.
Karibu kigamboni yetu Juma lokole kigamboni ya wajanja kumbe uko na akili sana honger sana umbea wako unafaida
Wa Congo uwa wanapenda kula sana .😍😍😍
Sio kula tu na kuvaa pia.tena wanavaa nguo iko na lebo. Ni watu flan wanapenda high class ya maisha
Hahuja kosea apo ukweli 😘😘😘😘 Ila tujuwane nawewe Pia mucongo ???
Duuu chawaa we noma kwa umbea
Juma interview nzuri Ilatu Ilatu kigoma sio kwa mungu usimtegemee mwanadamu.
Kwani Kigoma ni kwa shetani
Juma nilimuelewa baada ya kumtetea Diamond ambae haukua na mtetezi
Hiyo miguu kwio 😎
Mke wa lokole yuko wp?
Now I understand why he is so mouthy... surrounded with women as friends....udaku too
Nimekupenda bure mtangazaji unajua✌
Safi sana
Kumbe juma mbebe ? Mimi pia mbebe wa asili ya congo ninaye ishi USAnamefurai sana kusikia ivyo
mwenzetu
@@SergeVannydj ok
Namimi mbembe ,Niko usa
Camera inaumiza macho mnaichezesha si muiweke kwenye stand yake.
Wa congo tuju wane
juma mtoto wetu wakikongo yani sisi wa kongo tuna jivunia juma sana
Shoga uyo anajichubua Na kufirwa sanaa
Toa basi manailoni kwenye picha na mataa!! Pia hilo box la TV tupa kuweka juu ya kabati, mabox yanaleta mende!!
Yaani kusikia kua banca ni mdogo wa juma lokole looo
NA CORONA HII BADO MNATEMBELEA WATU NYUMBANI
🤣🤣🤣🤣🤣atar wallah
JUMA nilikuaga sikupendiii ....hata nilikua sjawaah kukuona ....nmeskiza..leo unaongea very nice ....love you JUMA .... nakupenda xana BBY akee .....u r so funny 😍😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Umej loga mwéńýëwe nan akulogee kisa mchele kaz kusema ya weñzàkò umevuna ulicho panda eeee
Juma Ana umama Sana
But sometimes mkumbuke mjini hapa
Juma nakukaribisha USA🇱🇷🇱🇷 mi pia mbembe asili ya congo 🇨🇩🇨🇩
aliesikia Labda may be tujuane😂😂
H baba nishoga
Juma anajichubua sana jmn uuwiii vidole veusi miguu rangi 2 uuuh htr
Nakupenda bure juma akee😘
Nichek 0746222258
Safiel honger san
dada angu anafanya CRDB, mwingine AMEOLEWA, zote hz ni kazi nisaidieni
Hapo sasa
Usaidiwe nni ssa kwamfano kuingiziwa ddua au
Tuache kudanganyana hakuna mubembe wa hali hiyo kijana we si wa kwetu hatukujuwi
chris rohosafi kwani kazaliwa congo ? ni mtanzania. 😒 japo baba ni mbembe
📷 camera man mungu anakuona jamn naona uko bize na mguu wa juma lokole
Nimependa kitanda
Jaman hujamuuliza kuhusu mama watoto wake alipo na sababu za kuachana
Juma kaja yangu upo juu pendaga sana!
miguu hiyoooo sasa unajua kuendit vya watu
Sema wabongo ukute pesa anazo lipa hapo angekuwa kashajenga
Umeonaee
Kbsa
Sasa Hana mke
aliyeona sugu za miguu tujuane. uwiiiiiiiii.
Duh hatariiii
Na mimi naona miguu yake kaichubuwa
Ebitoke ukwapi upost miguu ya Jumalokole
🤣🤣🤣🤣
Yani sugu za haja
Ali anakiburi Bwana
Ataki mazoea na mashoga
J umeongea vizuri saaaaan nimekuelewa sn kumbe kunawakati unawacha umbea unaongea Mambo ya msingi
Kumbe mama juma mluguru kma my mom bc mamb n mot
Juma acha uongo kigoma haturogwi kishamba bana kigoma juuuu dadeki
Mbona sielewi
Juma lokole uko vizuri
Jamn Kwan juma ndio mwenye sugu2 ... Mbona hata mtangazaj anasugu mikonon...?? Mambo mengine kaushen jmn dah mnabowa sana wabongo🤔🤔
Juma black mzee
Sasa kama anapanga ao kwake,kwani nani anamulipia kodi🤣🤣wabongo bwana
We hujasikia kwake anajenga bado Kigamboni
Ongera sana Juma nakupenda 🤗🔥
Mmmh,,, kisa amepanga chumba KWENYE ghorofa🤔🤔🤔
@@kpetres2872 itakuwa 😂😂😂😂angejenga ndo ningeon dume
@@marckgft9764 watu ndo unaambiwa washampenda kisa nyumba ya watu😂😂😂,,, wadada acha TU😆😆😆
@@kpetres2872 😂😂😂😂 wadada kwiyoooo
@@kpetres2872 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😉😉😉kokoye
Mbona km migu unajicubua wekka
Viato wanaume wengi uwa ivo juu yaviato vyakufunika
Eti viatu mikono jee
@@salamagat4784 kwan mikono inavaa viatu😅
yani huyu hakuwi toka utotoni achi masiahala
Anajichubua, Ona mpaka vidole vya mikono
Hongera cha umbea, upo vizuri juma kwako pazuri
Duhhh kumbe nimkongo aiseee
Umbea unamufanya aishi vizuri juma lokole
Kumbe alikua anajichubua zamani bora umeacha
Juma unatumia taulo siyo kwa sugu izoooh
Hapo kwenye kurogwa 🙆💯🙌😂😂😂😂😂Pole jamani
Wewe mwenyew chawa dada mwajuma linafiki kubwa
piga keleleee kwa lokole akeeee
Weeweeeee
Weeeeeeeeeeeeeee
Juma Lokole ana akili sana huyo jamaa anajua kukwepa swali na kumhamisha ndugu mtangazaji bila kujua kuwa katolewa kwenye njia ya swali la msingi alilomuuliza😃😃 jamaa anajibu kwa akili sana,
"Watu wa Kigoma Magenius"
Akijenga lokole mimi nanunua bombadia 🤣🤣🤣
@Suzana Mpanda.🤣🤣🤣🤣
Labda kwel dada.
Mwanaume mbea hy namchukia kama nn sijui😏
Hapo kapanga master bedroom bhana
Huyu kaka anajituma sana
iyo mingu kweli ubeya kweli
Kumbe ww mbembe wa kwetu 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Hahahaha ndugu yangu na mimi ni mbembe wabaraka
Mbembe mbondo!!
Juma lokole n nani kwa diamond kwani.....??