Mo town !!!? ndo mwanzo leo nkuone lkn anza anza yko ni Bomba mashallaaaah....napenda nikusskize tuu mtoto wa watu Allah akupe umri twaweeel (mrefu) na wny mafanikio tellee..aaamyna
Hii nayo imebambaa kinoma nomaaaaaa Kwanza nimeipenda mmekutana wote ma - presenter halafu hamna habar yan Pili mpo more funny yaniii, Shall out kwako Mo Town Sanya (Neddy) na kwake Adam Mchomvu (Joh Makin,Mr Blue (Byser).) Big up kwenu nguvu kazi Your make me happy 2day.
Dah hawa majamaa wameniua kweli..hv kwa nini wabongo kama hatujui kitu hatukubali kushindwa.. dah sasa bi kidude na joh makini wapi na wapi😂😂😂😂. Aendelee kupumzika bibi yetu mkongwe kwenye mziki wa taarab🙌🏽. Nice idea nice show wakuu👏🏼
Adam Mchomvu ni mtu flani tallented sana anaweza kuwa comedian ukiachana na rap na utangazaji. Unaweza ukawa unajijua kabisa huwezi utangazaji but ukawa inspired kujaribu.. Namuelewa sana na humu ndani amegeuka host na kumfuza kijana how to do it. Saafi
wabongo wengi tupo bize,maisha yanatuchanganya ndio maana watu hawafuatilii watu maarufu,ingawa mchofomvu ni bonge la presenta pia ni bonge la rapa, john john yes papa.......sikiliza hiyo utakubali.
U suppose to take him in WCB media cos his talented man no kuremba mic zinamuanya mtoto wa nyumba chuga boy. Mond i appreciate u bro, no jealous, no what, keep moving with the guys who need to developing
Dah brother Mchovuu humu anaonyesha kuwaa yeye Ni Legendary kabisaaa respect Sanaa wasafiii
Noma sana yani mmetisha
Adamu noma umebadil kipindi ghafla 👍👍 Adam mchomvu your talented bro
We raise talented
Wachonga barabara
Mmetisha
Motown Sanya kaongezewa ujanja kwenye fani!bigup wape mashavu wana@mchomvu
Daaaa hiii Kali sana nimeipenda mpka bas
Kuhoji presenter unajikuta unahojiwa ww nakufundishwa mbinu mbadala 😊😊big up Adam baba john
instagram.com/p/CC8up8uDOZh/?igshid=1iahc22mnsjur
Acha kabisa
Apo ndipo unasaidiwa kaz😂😂😂😂
Princess fa dah wee kadada kila page waliopost wassafi umecomment😂
Official fredoo sio kila page ila hiki kipindi tu NAKIPENDA😂😂😂
Mmetisha kinoma noma halafu namkubali sana adam mchomvu big up sana bro
Hongera sanaa Adams Mchomvu heri kujenga daraja kuliko ukuta, nimekubali uwepo wako hapo. Barikiwa sanaa.
Daah noma sana yani WASAFI inazidi kuwa bora siku adi siku noma sana
Mo town !!!? ndo mwanzo leo nkuone lkn anza anza yko ni Bomba mashallaaaah....napenda nikusskize tuu mtoto wa watu Allah akupe umri twaweeel (mrefu) na wny mafanikio tellee..aaamyna
Hii yaleo kalii sana😀😀😀😀Adam fala snaa
Great job.. Bonge moja ya collaboration😘😘😍✌mtangazaj kakutana na legend ✌
Wana mnazingua kinoma noma
Hii nayo imebambaa kinoma nomaaaaaa
Kwanza nimeipenda mmekutana wote ma - presenter halafu hamna habar yan
Pili mpo more funny yaniii,
Shall out kwako Mo Town Sanya (Neddy) na kwake Adam Mchomvu (Joh Makin,Mr Blue (Byser).) Big up kwenu nguvu kazi
Your make me happy 2day.
Hatari sana sina mbavu
hii nimeipenda huu ndio utanzania tuliozoea sio kuwekeana mabifu
Nimekubali MO town Sanya. Kipindi very creative.
Wabongo noma kweli, kila swali lina jibu lake
Mmetisha baba
Really appreciate it Mchomvu 👏👏👏🔥🔥
Jamaa yuko vizuri sana kwenye kipindi cha xxl radio clous fm,pia hata muziki
Daaaah hiki ndicho twakitaka ss nimependa Sana kipindi Sana ety you make me happy
Gud idea... nimemuelewa mchomvu
Hujawai kosea Mo sanya lakin leo umekutana na mwambwa mchomvu japokua yeye ni radio presenter lakin nahic kakuongezea maujuz fulan iv kwenye kupzent💪
Aisee...NmeipendA...xnaaa..Adamu n muhuniiii Nakubaliii 💪💪🎤🎤
Sema nini mmeua sana bonge moja la pindi na big up kwa mr. Blue wetu wa leo
Haaha nimeipenda mzee baba Adam kuapia kwenye pindi lenuu....afsaaaa umetishaa sanya
Huwezi amin nimecheeeka sana aisee mchomvu kawa Mr Brue
Jamaa mpo poa sana adamu more love am salut u man
Dah hawa majamaa wameniua kweli..hv kwa nini wabongo kama hatujui kitu hatukubali kushindwa.. dah sasa bi kidude na joh makini wapi na wapi😂😂😂😂. Aendelee kupumzika bibi yetu mkongwe kwenye mziki wa taarab🙌🏽. Nice idea nice show wakuu👏🏼
Hapo kwa Mr.bluu
Adam Mchomvu ni mtu flani tallented sana anaweza kuwa comedian ukiachana na rap na utangazaji. Unaweza ukawa unajijua kabisa huwezi utangazaji but ukawa inspired kujaribu.. Namuelewa sana na humu ndani amegeuka host na kumfuza kijana how to do it. Saafi
Jmaaa anafundishwa kutangaza Bdo yupo previous level##aise Adam upo juu Sana##maestro of interviews
ata ukiwa unajua ukikutana na wanaojua unaonekana ujui kwaiyo lazima ufundishwe
ata ukiwa unajua ukikutana na wanaojua unaonekana ujui kwaiyo lazima ufundishwe
Dahh hawa jamaa wameendesha kipindi vizuri sana leo, yani kipindi kimechangamka sana
Kizazi Sana 🤙 🤙 🤙 🤙 ma bifu tupa kule #wcb kiboko ya mabisho
Watanzania wajuaji hata kitu akielewi yy anaelewa kwan ukisema Adam simjui kuna kes
Wabongo mungu anatuona tu
😂😂2nashida cc
Haaaaaahaaaaa
Elly Kiswaga zx
Hahahahaha sanya wallai ww mbinguni utakuskiya sauti Love you Brother iyo jeje too weweee bila kukucheku fra akuna ni qatar bt naisi kama Niko Africa
😂😂😂 Hv ni kwel bonge la pind umetsha sanaaa 👊 mwanangu Mo Sanyaa
Iyoo mchomvu
Ukwel hichi kipindi nakikubl sanaaaa Wasaf Tv 👐👐👐
Hiii program inapendeza sana inatufuraisha hadi tunaoangalia
ADAM MCHOMVU NI NOMA SANA NAMKUBALISANA LEGENDARY NIMEIPENDA SANA IYO NOMA SANA.
Wabongo wengi hua Awataki kuonekana hawa mjui Mtu Fulani😄😄😄😄😄
Adam acha ujinga Aki.... I make my day Aki hahahahahahahaha
Dah namkubali sana kwa kuchana
Nimejifunza kitu kupitia hii interview, yan cc wabongo 🙌🙌. Ni lazima ujibu kila swali.
Kizazi sana mchovmu
Katka inteview zote za motown sanya hii ni 🔥🔥 ase mmetisha mbya motown sanya ndo hbr ya town
Wote..Watangazaji apoo..@#mmebadirisga ubunifu.. Nimeipendaaa iyooo👍🏻💥💥💥🤗🤗🤗
safi hii ni freestyle ya ubunifu, big up Mchovu
Nimecheka Sana
Hiii nayo mmeua likes za kenya 🇰🇪
Hii show nimeipenda sana ,,,naisi kama kunakitu kizuri apa
my favorite tv show!!!!!!!!!111
shout out 2 moo town, keep going bro
Kitengee unanifurahishaaa sanaaaa
Kizazi sana hii nimekipenda kipind cha leo 🔥🔥
Hiki nakpenda sana
Jamani eti namzuka hapa
Angejua madudu anayokwenda kuimba sasa🙈😂😂😂😂😂😭🔥
If you love motown sanya say mwah😘😳
Sisi wabongo waongo sana
Hapo PA Una Covid19 amenimalizaa
From Kenya Mombasa
Makini saana adam
Adam ww ndo CR7 wa utangazAji wallahy upo vzr mno
Adam umeua kwenye interview bora uende tu wasafi😆😆😆
Mbona tayal yupo wasaf huyo
Misha yako bado tuko nae xxl sema support ndio kitu ambacho
@@peterscharless6876 maisha yako
Vyote ni Mali ya mtu mmoja
Weee komaa abak clous aende jela tena
sema mnawaoji sana wanyasa
Simba simba wasafi Tv ## Adam mchomvu
Haya bhna
Sema Adam amenogesha sanaaa
Karibu wcb mchomvu
Hahhah Adam mchonvu kubali sana wewe kaka
Bora@#umejiongeza bloo.. Achana na supryz
Hawa watangazaji wanadhambi jmn apo kwa Mr blue huyo baba kaniacha hoii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😋🤣🤣
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
wabongo wengi tupo bize,maisha yanatuchanganya ndio maana watu hawafuatilii watu maarufu,ingawa mchofomvu ni bonge la presenta pia ni bonge la rapa, john john yes papa.......sikiliza hiyo utakubali.
Kama unamkubali Mo town Sanya gusa like apa
Hii kali Sanaa nawakubali
Hapo inaonyesha jinsi gani adam mchomvu alivyo mtanganzaji mkongwe nakumfundisha dogo jinsi yaku present kipindi hicho
We muelea sana kwa kweli
They r just having fun banaaaaa..... Motown sanya is one of the best pia🔥🔥🔥🔥
Adam nimnyama kinoma kanyosha ana mfundisha dogo
@@ritchiexanti9587 the boy is doing well
Jah bless
Dah Mr blue noma San
Haki....
Hv hawa pimbi wanajua kua ss n binadam....nmecheka balaaa.... Mr Blue....
Mzee ametisha et Mr blue
Adam respect xnaa. Umenifnya nimecheka xanaaaaaa
Utakua una mimba
@@dingoomagawa6950 Unawekwa hauogi
Love the show
Noma sanaaa
Ha haaa adam ni kiboko wa presenters tz nzima..
Nakubali adam
Amazing
Nimekubali sana show motown sanya nikija dsm nitakutafuta sana
Adam mchomvu....big presenter big up sana mob lov from +254
Moja SHOW kaliiiii sanaa kwa mwaka Huuu ni hiiii afu Ipo Fun kinyamaaa ..... Adam si mnyamwez bwanaa Hanaga Kokolo yaniii Kipidi kilikua on 🚨🔥🔥🔥🔥🔥🔥
EMBU gonga LIKE kwa hawa wakali MO TOWN SANYA & ADAM MCHOMVU.. .. #show_love
Karibu wasafi baba la baba
Mchomvu we msengeeeeee sana
Kirefu Cha bm mkee🤣🤣🤣🤣
Mmetisha wajombaa minaomba ichikipindi adamu wawe na mchagaa OG watatisha Sana show yaleo imesimama
😀😁😂hayondomaisha hayo jaman ujue achen wamilik wazinhue ilawatangazaji achen hizo maana unaemchukia leo kesho anaweza kuwaboss wako
Dah Adamu we shoga Sana
What a show,I liked the show!!!🙏🙏
🔥🔥🔥
Mond Bin Laden!!!! 🙌🏾
Wewe si Diamond wacha uwongo.
U suppose to take him in WCB media cos his talented man no kuremba mic zinamuanya mtoto wa nyumba chuga boy. Mond i appreciate u bro, no jealous, no what, keep moving with the guys who need to developing
Hii show ni photocopy ya kipindi cha 50cent..nice try though.
Nomaaa xnaa bro
Congratulations Sanya.. Great Job💪
Hapo kweny kugonga beat ni nomaa
Aliyekutn na mr blue anasif San,😂😂
mchaga leo umenichekesha sana ukiwa na adam mchonvi🇰🇪🇰🇪🇰🇪😀😀😀