MPAKA HOME: ANAPOISHI TUNDA MAN NA FAMILIA YAKE, ANA WATOTO WAZURI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 дек 2019
  • MPAKA HOME: ANAPOISHI TUNDA MAN NA FAMILIA YAKE, ANA WATOTO WAZURI
    Jionee maisha ya nyumbani kwa msanii wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhani, al maarufu kwa jina la Tunda Man, mkali kutoka lebo ya Tip Top Connection. Global TV Online imefika Mpaka Home kwake na kupiga naye stori akiwa na watoto wake wazuri...
    HABARI MPYA DAILY:ruclips.net/user/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:ruclips.net/user/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:ruclips.net/user/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:ruclips.net/user/playlist?li
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 224

  • @hajiharun3587
    @hajiharun3587 4 года назад +34

    Tundaman mdogo wangu hongera sana kwa busara katika maongezi yako"" lakini bado nimeisikia hisia yako juu ya maswahibu uliopitia 2011 - 2012. Nimefurahi kumuona Dhulfa kipindi hicho alikuwa na umri wa huyo mdogo wake,Allah akufanyie wepesi uwe na mwisho mwema.

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 4 года назад +1

    Mashaallah katka wasanii nimewachunguza tundaman hko vzr braza yn namaanisha auna majigambo wala KIBRI mungu akuzidishie kua ivo ivo kaka kwl cio kla MAFANIKIO unafaha kuwaonesha waja hapo umenifunza ktu braza Allah akujalie maisha marefu ww pamoja na family yko yarab🤲

  • @halimabakari5078
    @halimabakari5078 4 года назад +14

    Big up brother nimependa ukarimu wako na busara ktk maongezi Mungu azidi kukupa mafanikio...God bless you and your family🙏🙏🙏

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 года назад +13

    Zulfa umevaa nguo nzuri ya heshima hongera sana mama zulfa

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 года назад +7

    Tunda Tanga hiyo mashaallah umefana na wanao mpka sauti

  • @tinamuta8019
    @tinamuta8019 4 года назад +8

    Mungu azidi kukuinua katika maisha yako nyimbo zenu zinamafundisho manzuri

    • @hishamally4846
      @hishamally4846 4 года назад

      Sasa na nyie kila mtu mende mbona hamu jiiti panya pia

  • @latifahjanja6679
    @latifahjanja6679 4 года назад +7

    Kipindi kizuri kinafanya kuwafaham wasanii wet zaid lkn mnachelewesha sana akiruki mr kwa mara gud job grobal tv

  • @helenamwaipopo967
    @helenamwaipopo967 4 года назад +3

    Una hekima tena ni mstaarabu tofauti na wasanii wa bongo safii bro Mungu akusaidie uendelee kujali familia yako maana familia ndo mpango mzima

  • @mariamkimweri6247
    @mariamkimweri6247 4 года назад +13

    Wifi jitahid usafi wa nje mama,majan yamezunguka nyumba sn,hatar wadudu.hongereni sn

  • @florambwambombwambo1322
    @florambwambombwambo1322 4 года назад +23

    Kama kunamtu kaonahuyu kaka anabusara ngoga like hapa

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 4 года назад +7

    Yes kula maisha Msanii mkali

  • @beverlykadenge2095
    @beverlykadenge2095 4 года назад +4

    Very kind man, sio kama hawa wengine with too much pride, big up bro

  • @mkundemsuya2504
    @mkundemsuya2504 4 года назад +6

    Wewe ni mfano mzuri kwavijana
    Hongera sana kakaangu

  • @aminarashidi4463
    @aminarashidi4463 4 года назад +6

    Mashallah mungu akuzidishie ukarimu uwo uwo

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani9287 4 года назад +7

    Uko vizuri Tunda man,Respect!!! Kwako,una busara sana.

  • @adamkangezi2306
    @adamkangezi2306 4 года назад +7

    Hongera 2nda man umeongea point mwanzo mwisho Allah akuzidishie katk maisha yako na familia yk😍

  • @georgiarugaika3461
    @georgiarugaika3461 4 года назад +9

    Hongera ana watoto wazuri

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 года назад +15

    MTOTO MASHALLA MREMBO ALAFU MTIIFU TUNDA MAN BIG UP BROTHER UMEKOMAA AKILI KULIKO MWILI SIKAMA KINA DUDU BAYA YANI HANA MBELE WALA NYUMA 🇰🇪🇨🇿

  • @policarpmaghara2739
    @policarpmaghara2739 4 года назад +5

    Tunda,ngoma zako noma nomaa san

  • @yudatadeshayo4434
    @yudatadeshayo4434 4 года назад +10

    Safi nimempenda tunda bure yuko pouwa

  • @hadijahamidu4240
    @hadijahamidu4240 4 года назад +4

    Nakupenda xana kaka yangu mpendwaaaa mimi shabiki wakooo

  • @fatumakeche8788
    @fatumakeche8788 4 года назад +1

    Ila wifi jitahidi usafi tengeneza gardeni jamani una eneo zuri sana ,mwanamke mazingira👌👌

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 года назад +15

    Kazi yangu kusoma comment tu 💃

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 года назад +7

    Mashaa Allah katoto kazuri

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 4 года назад +21

    😂naona mtangazi syo yule nliyezoea kumsomea comments😊

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 года назад +12

    HIYO CATTON MTOTO WANGU ANAIPENDA DAH NISHIDA

  • @raheemar7043
    @raheemar7043 4 года назад +9

    Namekupenda Tunda unajua kujielezea unafaa kuigwa. Allah akuzidishie

  • @akbaringena9420
    @akbaringena9420 4 года назад +4

    hiyo background sound ni Kama filam za kibongo pale Jini anapotokea 😁😂😂

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 года назад +5

    Maa Shaallh

  • @fatumaseleman1579
    @fatumaseleman1579 4 года назад +5

    Tunda kam mm shibinki sijapenda mazingila ya home lima lima bac majani ili wadudu wasiwe kalibu na nyumba

  • @aishashomali2716
    @aishashomali2716 Год назад

    Nakubali tunda ngoma zake pambee sana hqzichoko mungu akuongoze 🙏🙏🙏🥰🥰🥰

  • @millicentamwayi4607
    @millicentamwayi4607 4 года назад

    I really love your music and great personality tunda.mwenyezi akujalie uzima we na your family from kenya

  • @rashidyussuf4375
    @rashidyussuf4375 4 года назад +4

    Umeongea point sana

  • @ayushjhay1979
    @ayushjhay1979 4 года назад +7

    mashaallah tunda man nakupenda bure

  • @lilyngowi3483
    @lilyngowi3483 4 года назад +5

    Nimekupenda buree,una watoto wazuri.Hongera sana

  • @lucasjoseph6631
    @lucasjoseph6631 4 года назад +1

    Nakukubali sana brother tunda man umefanana na baba yangu mdogo

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 4 года назад +7

    DAAAH tundaman kumbe uko peace hivyo bro

  • @saidibakari9521
    @saidibakari9521 4 года назад

    Hongera sana global TV kwa kutuonyesha maisha ya wasanii, kwani inatusaidia kufamu maisha halisi ya wasanii wetu

  • @aishaabdi5637
    @aishaabdi5637 4 года назад +2

    Mashaallah mashaallah mashaallah

  • @thabitmrisho346
    @thabitmrisho346 4 года назад +9

    Mashallah kaka angu pia kwako pazuri pia pasafi sanaaaa

  • @princepaya5484
    @princepaya5484 4 года назад +5

    Safi sana brother kwa maneno mazuri

  • @user-mp4lf4ji8k
    @user-mp4lf4ji8k 3 месяца назад

    Tunda Man mkali wa miaka yote❤❤❤❤

  • @aishaomari1881
    @aishaomari1881 4 года назад +8

    Nyumba nzuri mwanamke angalia usafi wa nje pangilia majan ya nje

  • @vitalresgalus8460
    @vitalresgalus8460 4 года назад +1

    Nakubali bro tundamani kweli nyimbo zasikuizi akuna kitu nibola nimsikilize Alikiba au Mr...blue au juma necha au jei wa mitulinga wapo wengi mbwana misosi Afande sele spanki

  • @yassiniabbassi6674
    @yassiniabbassi6674 4 года назад +1

    Stewart George kutoka triple À radio mpaka Global Tv hongera kakaa

  • @swahibamnene5847
    @swahibamnene5847 4 года назад +3

    Nakukubali bro uko njemaa sana hasasauty ik👌👌👌

  • @krtgsmtechnology5732
    @krtgsmtechnology5732 4 года назад +1

    Napenda sana nyimbo zako mimi wa Mozambique

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 года назад +2

    Honger

  • @jumakazumba6662
    @jumakazumba6662 4 года назад +5

    mwenyez mungu akubarik sana sana jaman umenigusa sana pia unabusara ubarkiwe ww na familia yako

  • @omariselemani479
    @omariselemani479 4 года назад +3

    Yeah that’s true tunda man 👨

  • @sarafinasarafina3144
    @sarafinasarafina3144 4 года назад +1

    God Almighty may He continue to bless the hands of your work and Family my your hard work be a blessing to others and not invain Amen

  • @youngrundetz252
    @youngrundetz252 4 года назад

    Asante kaka nakubal kazi

  • @machasofficialsite6221
    @machasofficialsite6221 4 года назад +5

    Bigup mwanangu uko vizuri tundaman ila mazingira mwanangu fyeka wadudu uwakwepe

  • @priscajailos9912
    @priscajailos9912 4 года назад +1

    Nakubali sana yani umeongea kiti chakweli

  • @undersonnjamasi7787
    @undersonnjamasi7787 4 года назад +2

    Nakukubari

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 года назад +7

    Masha Allah kabinti kazur

  • @gladysalbinus7646
    @gladysalbinus7646 4 года назад +2

    Nice

  • @LatifaWilliam-ng8hr
    @LatifaWilliam-ng8hr 9 месяцев назад

    Masha llah 🤲🤲 imependeza

  • @joleenmasha
    @joleenmasha 4 года назад +5

    Tundaman nimependa nyumba yako uko vizuri

  • @kachaladouble8593
    @kachaladouble8593 4 года назад +3

    Fresh tu

  • @mohammedalnabahan.4127
    @mohammedalnabahan.4127 4 года назад +3

    Hongera ngozi yapo iposafi haina tatuu

  • @immaseverin1955
    @immaseverin1955 4 года назад

    Tunda nakukubali sana nyimbo zako zinaniburudisha

  • @antonygithu1617
    @antonygithu1617 4 года назад

    Interview safi namkubali Tunda man✊

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 года назад +5

    Umeongea speech tundaman ubarikiwe inshaallah

  • @askariwabwana
    @askariwabwana 4 года назад +6

    Point nyimbo za zamani atlist zilikua na ujumbe

  • @faustinmusonere7507
    @faustinmusonere7507 4 года назад +2

    much respect from +257

  • @spreadlove2119
    @spreadlove2119 4 года назад +3

    Bora wewe unajua kuwa mkikaa wawili kuna kukerana 💪💪

  • @rayneseleman9292
    @rayneseleman9292 4 года назад +1

    Nakukubali mwamba unawatt wazur

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 4 года назад +7

    Hiyo HEADING mna maana gani? Kwani kuna wengine wana watoto wabaya?
    Sio vizuri

  • @anthonymwandu2615
    @anthonymwandu2615 4 года назад +6

    nazani msela wangu utaangalia hii interview mzamini wa hilo kombe nitakuona kazini hahahaa unipeleke fainali namimi nikaangalie

  • @jairojullio5294
    @jairojullio5294 4 года назад

    Nakukubali sanaa kaka

  • @tusajigwemathias3758
    @tusajigwemathias3758 4 года назад +1

    Nyumba nzuri eneo kubwa ila mama afanye usafi angalau majani yakae vizurii kwa mpangilio khaa

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 4 года назад

    Maashaa Allah

  • @albertnestorylukoo9716
    @albertnestorylukoo9716 4 года назад +1

    Chanya sana Tunda

  • @mcrecho5239
    @mcrecho5239 4 года назад +5

    😂😂😂😂eti hilo goma litakuwa baya tu..Walah tunda umenifanya nicheke kwa saut.

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 3 года назад

    Nakukubali mwana

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 4 года назад +1

    Zulfa mrembo sana ongela sana kaka tunda

  • @aminahamisi8672
    @aminahamisi8672 4 года назад +2

    Una mtoto mzuri

  • @mariamtzd2890
    @mariamtzd2890 4 года назад

    Zurufa yupo vizuri sana

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika4493 4 года назад

    Bora hata saiz mnaenda kwa watu mchana ile ya usiku mgeluja kumwagwa mbongo zenu

  • @hassanisheshe2135
    @hassanisheshe2135 4 года назад

    Nakubali brow

  • @ramadhaniabdulkadry288
    @ramadhaniabdulkadry288 4 года назад +3

    Mtangazaji Huna Maswali ya msingi yakuwapa hamasa wasanii underground juu kufanikiwa kwao. Kwa mfano tungependa kujua je bdo amepanga au nikwake hapo we umekazana na mpira kombe la ng'ombe. JIPANGE NA MASWALI SAHH KABLA HUJAENDA HOME KWA MLENGWA. CYO UNAKURUPUKA TU KAMA KONDA NA ABIRIA BARABARANI

  • @Mojay_furniture
    @Mojay_furniture 4 года назад +10

    Nenden kwa aslay iSihaka

  • @cestlaviecestlavie4073
    @cestlaviecestlavie4073 4 года назад +3

    Tundaman msaidie Ferooz 🙏

  • @saidjagger.5543
    @saidjagger.5543 4 года назад

    Uko vzur mzee

  • @barakmazigo8945
    @barakmazigo8945 4 года назад +2

    Mshikaji Wang tunda umezingua timu yako imetolewa

  • @zulfajamal3166
    @zulfajamal3166 4 года назад +1

    Mwanae wajina wangu

  • @happynicholaus6474
    @happynicholaus6474 4 года назад +5

    Tunda umeongea point

  • @omarimohamedi3559
    @omarimohamedi3559 4 года назад +1

    Mtt mkli

  • @truestarmusic8791
    @truestarmusic8791 4 года назад +4

    Unaongea ukweli bro

  • @halimahmbwana8576
    @halimahmbwana8576 4 года назад

    Tundaman nakukubali kaka nakuelewa ile mbaya

  • @alenpeterlenibarbayduleni1307
    @alenpeterlenibarbayduleni1307 4 года назад +1

    Wewe mbey mtangazaji unahangaika sana na watu

  • @subirakhareed6355
    @subirakhareed6355 4 года назад +2

    Dah stara brother khalid mavazi hayo ni mtihani kidogo nadhani unajua

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 года назад +9

    Nendeni kwa king kiba global tv

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 4 года назад +3

    Nimekapenda katt kapole akajasumbua atakidogo kina nyonya toy yake tu pia ongera tunda umeongea point

  • @zittotv9972
    @zittotv9972 4 года назад +4

    Kumbe wewe ndo ulimwandikia matonya ngoma ya Vaileti.. Duuuuuuuuuuh

  • @swahibamnene5847
    @swahibamnene5847 4 года назад +4

    Watoto wazur utawaita shemelaa😀😀😀

  • @yaseenmohamed2867
    @yaseenmohamed2867 4 года назад +1

    Mungu akubariki,

  • @happyelibarick5625
    @happyelibarick5625 4 года назад +4

    Vizuri bro napenda unavyoongea

  • @allynyoni4587
    @allynyoni4587 4 года назад +5

    Ukiwa mkubwa hinapaswa huwe na busara fresh kaka mkubwa nimeona ukubwa wako yani good sana