MPAKA HOME: ANAPOISHI TUNDA MAN NA FAMILIA YAKE, ANA WATOTO WAZURI
HTML-код
- Опубликовано: 31 дек 2019
- MPAKA HOME: ANAPOISHI TUNDA MAN NA FAMILIA YAKE, ANA WATOTO WAZURI
Jionee maisha ya nyumbani kwa msanii wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhani, al maarufu kwa jina la Tunda Man, mkali kutoka lebo ya Tip Top Connection. Global TV Online imefika Mpaka Home kwake na kupiga naye stori akiwa na watoto wake wazuri...
HABARI MPYA DAILY:ruclips.net/user/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:ruclips.net/user/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:ruclips.net/user/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:ruclips.net/user/playlist?li - Развлечения
Tundaman mdogo wangu hongera sana kwa busara katika maongezi yako"" lakini bado nimeisikia hisia yako juu ya maswahibu uliopitia 2011 - 2012. Nimefurahi kumuona Dhulfa kipindi hicho alikuwa na umri wa huyo mdogo wake,Allah akufanyie wepesi uwe na mwisho mwema.
Kaka tunda umenenepa sana kk
Haji Harun v Ohio fswrrhngn
Kylee Luis sepetju
Mashaallah katka wasanii nimewachunguza tundaman hko vzr braza yn namaanisha auna majigambo wala KIBRI mungu akuzidishie kua ivo ivo kaka kwl cio kla MAFANIKIO unafaha kuwaonesha waja hapo umenifunza ktu braza Allah akujalie maisha marefu ww pamoja na family yko yarab🤲
Big up brother nimependa ukarimu wako na busara ktk maongezi Mungu azidi kukupa mafanikio...God bless you and your family🙏🙏🙏
Zulfa umevaa nguo nzuri ya heshima hongera sana mama zulfa
Tunda Tanga hiyo mashaallah umefana na wanao mpka sauti
Mungu azidi kukuinua katika maisha yako nyimbo zenu zinamafundisho manzuri
Sasa na nyie kila mtu mende mbona hamu jiiti panya pia
Kipindi kizuri kinafanya kuwafaham wasanii wet zaid lkn mnachelewesha sana akiruki mr kwa mara gud job grobal tv
Una hekima tena ni mstaarabu tofauti na wasanii wa bongo safii bro Mungu akusaidie uendelee kujali familia yako maana familia ndo mpango mzima
Wifi jitahid usafi wa nje mama,majan yamezunguka nyumba sn,hatar wadudu.hongereni sn
Wamama mnapenda kukosoana,je kwako kuko vzur?.
Kama kunamtu kaonahuyu kaka anabusara ngoga like hapa
Yes kula maisha Msanii mkali
Very kind man, sio kama hawa wengine with too much pride, big up bro
Wewe ni mfano mzuri kwavijana
Hongera sana kakaangu
Mashallah mungu akuzidishie ukarimu uwo uwo
Uko vizuri Tunda man,Respect!!! Kwako,una busara sana.
Thank qqr1t Fri(11[%t+dropF3
Elly ok
Hongera 2nda man umeongea point mwanzo mwisho Allah akuzidishie katk maisha yako na familia yk😍
Hongera ana watoto wazuri
MTOTO MASHALLA MREMBO ALAFU MTIIFU TUNDA MAN BIG UP BROTHER UMEKOMAA AKILI KULIKO MWILI SIKAMA KINA DUDU BAYA YANI HANA MBELE WALA NYUMA 🇰🇪🇨🇿
Tunda,ngoma zako noma nomaa san
Safi nimempenda tunda bure yuko pouwa
Nakupenda xana kaka yangu mpendwaaaa mimi shabiki wakooo
Ila wifi jitahidi usafi tengeneza gardeni jamani una eneo zuri sana ,mwanamke mazingira👌👌
Kazi yangu kusoma comment tu 💃
Mashaa Allah katoto kazuri
😂naona mtangazi syo yule nliyezoea kumsomea comments😊
HIYO CATTON MTOTO WANGU ANAIPENDA DAH NISHIDA
Namekupenda Tunda unajua kujielezea unafaa kuigwa. Allah akuzidishie
hiyo background sound ni Kama filam za kibongo pale Jini anapotokea 😁😂😂
Maa Shaallh
Tunda kam mm shibinki sijapenda mazingila ya home lima lima bac majani ili wadudu wasiwe kalibu na nyumba
Nakubali tunda ngoma zake pambee sana hqzichoko mungu akuongoze 🙏🙏🙏🥰🥰🥰
I really love your music and great personality tunda.mwenyezi akujalie uzima we na your family from kenya
Umeongea point sana
mashaallah tunda man nakupenda bure
Mtoto uyu mwaka mmoja au tuna hajui tu
Nimekupenda buree,una watoto wazuri.Hongera sana
Nakukubali sana brother tunda man umefanana na baba yangu mdogo
DAAAH tundaman kumbe uko peace hivyo bro
Hongera sana global TV kwa kutuonyesha maisha ya wasanii, kwani inatusaidia kufamu maisha halisi ya wasanii wetu
Mashaallah mashaallah mashaallah
Mashallah kaka angu pia kwako pazuri pia pasafi sanaaaa
Batezi
ongera
Safi sana brother kwa maneno mazuri
TUNDA ANAJIELEWA AMEKOMAA AKILI KULIKO MWILI SIKAMA DUDU BAYA 😂😂😂😂😂
Tunda Man mkali wa miaka yote❤❤❤❤
Nyumba nzuri mwanamke angalia usafi wa nje pangilia majan ya nje
Hata wewe umeona kumbe
Nakubali bro tundamani kweli nyimbo zasikuizi akuna kitu nibola nimsikilize Alikiba au Mr...blue au juma necha au jei wa mitulinga wapo wengi mbwana misosi Afande sele spanki
Stewart George kutoka triple À radio mpaka Global Tv hongera kakaa
Nakukubali bro uko njemaa sana hasasauty ik👌👌👌
Nakusoma brooo
Napenda sana nyimbo zako mimi wa Mozambique
Honger
mwenyez mungu akubarik sana sana jaman umenigusa sana pia unabusara ubarkiwe ww na familia yako
Yeah that’s true tunda man 👨
Nicee
God Almighty may He continue to bless the hands of your work and Family my your hard work be a blessing to others and not invain Amen
Kweli brother uko poa unapambana sana Ongera sana kaka
Asante kaka nakubal kazi
Bigup mwanangu uko vizuri tundaman ila mazingira mwanangu fyeka wadudu uwakwepe
Nimewakubari
Nakubali sana yani umeongea kiti chakweli
Nakukubari
Masha Allah kabinti kazur
Nice
Masha llah 🤲🤲 imependeza
Tundaman nimependa nyumba yako uko vizuri
Mambo vp Joleen Masha
Mohamed Ali mambo poa
Namba yangu hiyo Michel whastpp
0772274199
Mohamed Ali code namba Kenya 🇰🇪 ama Tanzania 🇹🇿?
Fresh tu
Tundaman niozeshe zulfah
Hongera ngozi yapo iposafi haina tatuu
Dizaini za aakina Ally kiba hizo
Tunda nakukubali sana nyimbo zako zinaniburudisha
Interview safi namkubali Tunda man✊
Umeongea speech tundaman ubarikiwe inshaallah
Wema Kalamu
Point nyimbo za zamani atlist zilikua na ujumbe
NISAWA NA RUMBA YANI POWA SANA 🇰🇪🇨🇿
much respect from +257
Bora wewe unajua kuwa mkikaa wawili kuna kukerana 💪💪
Nakukubali mwamba unawatt wazur
Hiyo HEADING mna maana gani? Kwani kuna wengine wana watoto wabaya?
Sio vizuri
Hiyo nahisi tafsiri yako.
Pole dada
nazani msela wangu utaangalia hii interview mzamini wa hilo kombe nitakuona kazini hahahaa unipeleke fainali namimi nikaangalie
Nakukubali sanaa kaka
Nyumba nzuri eneo kubwa ila mama afanye usafi angalau majani yakae vizurii kwa mpangilio khaa
Si kazi ya mama ni hau boy
Maashaa Allah
Chanya sana Tunda
😂😂😂😂eti hilo goma litakuwa baya tu..Walah tunda umenifanya nicheke kwa saut.
Nakukubali mwana
Zulfa mrembo sana ongela sana kaka tunda
Una mtoto mzuri
Zurufa yupo vizuri sana
Bora hata saiz mnaenda kwa watu mchana ile ya usiku mgeluja kumwagwa mbongo zenu
Nakubali brow
Mtangazaji Huna Maswali ya msingi yakuwapa hamasa wasanii underground juu kufanikiwa kwao. Kwa mfano tungependa kujua je bdo amepanga au nikwake hapo we umekazana na mpira kombe la ng'ombe. JIPANGE NA MASWALI SAHH KABLA HUJAENDA HOME KWA MLENGWA. CYO UNAKURUPUKA TU KAMA KONDA NA ABIRIA BARABARANI
Real, tusijemvua vyeo uyo mnama
Nenden kwa aslay iSihaka
Tundaman msaidie Ferooz 🙏
Uko vzur mzee
Mshikaji Wang tunda umezingua timu yako imetolewa
Mwanae wajina wangu
Tunda umeongea point
Mtt mkli
Unaongea ukweli bro
Tundaman nakukubali kaka nakuelewa ile mbaya
Wewe mbey mtangazaji unahangaika sana na watu
Dah stara brother khalid mavazi hayo ni mtihani kidogo nadhani unajua
Nendeni kwa king kiba global tv
😂😂😂😂Wanaogop mbwa hawaendi
@@khadijakhadija6212 AAA Khadija ww
Fatima Aseid unakaa wp
@@amournikwelifatmaaseid7715 sas hujui km anafuga mbwa wakali kwake huend kichwa kichwa
Fatma Aseid ninaham nikujue mm
Nimekapenda katt kapole akajasumbua atakidogo kina nyonya toy yake tu pia ongera tunda umeongea point
Kumbe wewe ndo ulimwandikia matonya ngoma ya Vaileti.. Duuuuuuuuuuh
Watoto wazur utawaita shemelaa😀😀😀
Mungu akubariki,
Vizuri bro napenda unavyoongea
Ukiwa mkubwa hinapaswa huwe na busara fresh kaka mkubwa nimeona ukubwa wako yani good sana