Mungu akupe funzo zaidi kelvin pamoja na team yako Kwa sababu tangia nianze kuwafuatilia Nina experience ya maisha na Nina Imani Kuna wengi pia wamejifunza nawatakia kazi jema manzotuadalia
kazi nzuri sana, donta tv family hamuja wayi kutuangusha hata siku moja, na njo maana hatuta choka kuwafatiliya sisi kamwe, shabiki wenu nikiwa south africa❤💪
Mungu akuinue kelvin nkupenda sana kaka aki filamu zako nazifatilia sana na zinanipea mafunzo mazito sana zanifariji moyo wangu I love you ❤❤❤ broo natazama nikiwa Kenya mungu azidi kuinua talanta yako ❤❤❤❤❤
Mara nyengine badilisha Jina ya filamu,ilioandika PENZI LA TOTO WA BOSS NA DADA WA KAZI,apo filamu inajielezea kabla tá kuangalia...Weka madjina mafupi fupi.😮❤ Sha kumalizia munatumia muda muingi sehemu moja. Muwe munabadilisha madjina
Hongera kwa kazi nzuri nimepitia filamu zako zote nimejifunza mambo mingi san jinsi yakukaa na watu pia kwa ndoa kelvin mungu akubaliki na akupe kunguvu kazi nzuri watching from saudi
Nakufatilia sana kelvin move zako tamu sana,na zenye mafunzo leo naomba like jaman hata 5 tu 😢😢❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana
Nimeipenda sana iko poa
Zur sana
Daah sijawahi kuangalia aila kwa haya lazima niangalie move zako aiseee kaka angu😂😂❤😊
NICE
Waooo Kelvin Mimi sijah kupata hata like moja naomba jamani
Hunipatatu
Kelvin nakuamini sana kaka yangu wenye wanampenda kelvin like zenu apa❤❤🎉
Love Ness ulikuwepo wapi we mdada tuli ku miss mno karibu tenaq❤🎉
Walioona utege wa loveness gonga like😂😂😂
🙌
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂mgonvi ww
😅😅😅😅
Nmejifunza mengi tangu nianze kuwatch hiki kipindi Kelvin iyo talent uikeep it up bro God bless you so much
Nimewahi leo naomben like zang kazi nzur jaman tuwape mauwa yao🎉🎉
Sawaa
Hongereni sana kaz nzur
Kaz nzuri 🎉
@@rebekakajange8096n
Poa
Kaka nimekukubari sana apo kwenye gari ndani uyo dem alivyo kuwa anakushobokea afu wewe unakausha apo umeua sana kaka 🔥🔥 yaan kiboss 👏👏
Kelvin nakukubali Sana mkovizur mno yaa mpaka ndoa yangu imekua mpya sasa kupitia nyie yaa nafurahiya ndoa yangu 🎉🎉🎉❤❤
🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤
Yanga
Mungu ni mwema ❤
Kweli
Alie sikia tobaaa aweke koment hapa❤❤
Mungu akupe funzo zaidi kelvin pamoja na team yako Kwa sababu tangia nianze kuwafuatilia Nina experience ya maisha na Nina Imani Kuna wengi pia wamejifunza nawatakia kazi jema manzotuadalia
Amina 🙏
P
Kelvin nakupendaga saaaaaaaaaaaaaaaaana❣️❣️
Mapenzi sio pesa Mapenzi ni muunganiko wa hisia baina ya mwanaume na mwanamke asante kaka kervin
🔥🔥🙏
Kama dawa kama kawa mapenzi so pesa kabisaa m2 asidanganye💯💯🇳🇴🇳🇴🙌🙌💜💜
Kelvin huwa unanifurahixha xaan huo mximamo ulionao
Much love from Kenya guys like back Kama mna mkubali kelivin tujuane kwa like Apo chini gonga like 👇😂❤
Asante
❤❤❤
❤❤🎉hil
Kabisa...Kenya Nairobi in the house
❤❤❤❤❤
Sijawahi kucoment but leo naomba mungu akulinde na akusimamie ufanya makubwa zaid ya hayo🥰🙏🙏🙏
Kelvin you use to appear very smart keep it up kaka na pia kazi zenu ni njema
Brother watu wanaulize Mariam ndio mke wako Wanda? Nipe jibu kk
Huyu nasla msimtupe tena n mazuri tena mrembo.akue kwenye series nyingi za dontas pliz
Mawaida mwafaka👌👌👌 next ije kwa mpigo na usicheleweshe tafadhali ♥️
Sawaaa
Love you
Sawaaa
Wah leo nasla alikua amepotea sana
Waooo kitu kipya ico piga kelele kwa Kelvin khan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Piga kelele😂
Woyooooooooooo kwa donta tv from 🇰🇪 nawapnda bure❤❤❤❤❤@@Dontatv255
Eeeeeh
Soooooooo good
@@Dontatv255msiwe mnachelewesha basi kutoa move
oy kaka mnapendeza sana wewe na loveness👌👌👌👍👍👍
😅😅
Oya huyu mwamba kelvin anajua kuigiza
❤❤❤
Amjawai nifail team kelvin ❤❤❤ tamu sana na lenye mafunzo ,,,,shabiki from kenya
Am here with Yu dear
Shukran Kwa kulete nassra nilikua na miss sana nassra nakupenda sana na kelvn nakupenda sana kutoka kenya
Asante sana
nzuri san mnafny vzr xn
mbn alikufa 😂😂
Yani mamb ni moto💫💫 ila ikianz kufik ep ya 5 t munaanz kupunguz mda muach iviv ila chukuw mauw yak kelvin🎉🎉🎉🎉🎉
Sawaa
kazi nzuri sana, donta tv family hamuja wayi kutuangusha hata siku moja, na njo maana hatuta choka kuwafatiliya sisi kamwe, shabiki wenu nikiwa south africa❤💪
Asante sana
Naomba nafasi na Mimi please@@Dontatv255
Mungu hakupi vyote uyu ravnesi mzuri rakini anamatege😂😂😂😂 km umeon nirivyoona mimi naombeni Iike 🎉🎉🎉🎉🎉😂
Uumbajii wa mollah
@@fatumahashimmcheni9610 wandiomn nikasema mungu hakupi vyote
Nimewahi navile nilikuwa naingojea finally ishaa toka❤❤❤❤
Asante ❤
Nimependa ushauri Kelvin kuhusu mapenzi hongera sana much ❤️ from 🇰🇪🥰🥰🥰🥰🥰
Jaman Donta raha sana yaan kitu juu ya kitu ❤❤❤
Kabisaa
Wow😮 kazi nzurii next episode please
Congratulations for you kelvin khan🎉🎉🎉🎉🎉 tumepataaa ujumbeee❤❤❤
Asante
Namkubali sana Kelivin wagapi wanamkubali nione like
Kaka hii movie ni tamu mwanzo hivi huko katikati itakuwaje hongera sana donta tv pia muda mmeongeza kidogo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hi.
Mwanzo muzuri sana, ndo nimeinja movie
Lissa again nakapenda sana haka karembo
Sijawahi kucoment leo nisku yngu y kwnza bt hongera sna kelvin movie zko nzuri tna tamu na zinafundsha vitu vingi sna hsa kwnye ndoa
Nassara naye penzi lake kelvin ua alipati,,kazi njema lakini kelvin kenya tuko imara na twa ngoja mwendelezo kaka
❤❤❤
Mwendelezo uwai,kinakitu umenifunza kaka kuusu mapenzi nabiashala❤❤❤❤❤npo apa nasubili muendelezo
Movie nzuri nawapenda sana ❤❤❤😂
Asante sana
Movie ninzuri ila watupe ep ya2
@@Dontatv255 So nice❤❤🎉🎉
Naombeni like zangu na mie nimewai
Sawaa
I liked the conversation of the two ladies lived together,under one roof.....this world is full of lies...Nd disappointments.😅😅😅
😂😂❤
Kelvin tuna tak part 2 iyi film Niya bien San🥰
Mungu akuinue kelvin nkupenda sana kaka aki filamu zako nazifatilia sana na zinanipea mafunzo mazito sana zanifariji moyo wangu I love you ❤❤❤ broo natazama nikiwa Kenya mungu azidi kuinua talanta yako ❤❤❤❤❤
Asante sana
@@Dontatv255congrats
Wow nilikuwa nimeitegea Kwa hamu na ghamu akiiiiiiiii
Safi sana 🎉🎉🎉 Kelvin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 watching from saudi Arabia
Kazi hubahatishi unaweza congratulations brother
Asante sana
Upendo ❤ toka 🇧🇮.. Hii itakua bonge la Movie.. Big Congrats Brother Kevin Khan.. 👏
Asante sana
Kipaji kikubwa kaka unacho ... pambana 🎉🎉🎉🎉🎉
😢
Hususwan akiwa na loveness inakuwa pambee hongera kelvin
Wallah hii movie nitamu sana na inamafundisho ndaniyake iwapo nimwanzotu ila nimepata utundaniyake", more love guys 🥰🥰
Sawa inakuja part 2
Kelvin nakukubal San. kaka yetu brown umemwach wap jmn mnapendezana sana🎉🎉
Wow mr kelvin nainjoy sana kuona movie zako ❤❤❤❤❤🎉🎉
Big up bro naimn tutaenjoy n tulikua tumemmiss loveness maan hakua ktk series y SIKU 1 KABLA YA NDOA YETU so nafurah kumuona tena
Mtaenjoy sana akikisha aukosi ❤
Dando tv
Hongela Sana kwa kazi nzur sanaa Kelvin pokea mauwa yako 🎉❤❤😂😂
Ooo dada nasra kafik jamon nampenda san dada nikisem kipindi kauwaw hhhh sitomuon ten ❤❤❤❤❤ nawapenda san
Kiukweli mimi nampendaga sana loveness kwenye hii family
Xaw kk iko vizuri good kaz nzur kelvin ukiw na loveness❤❤❤❤
Asante sana
@@Dontatv255 ukiwa na lovness mambo good
mie ombi langu naomba nijue itakuwa inatoka siku gan na muda gan
Mara nyengine badilisha Jina ya filamu,ilioandika PENZI LA TOTO WA BOSS NA DADA WA KAZI,apo filamu inajielezea kabla tá kuangalia...Weka madjina mafupi fupi.😮❤
Sha kumalizia munatumia muda muingi sehemu moja.
Muwe munabadilisha madjina
Sahihi.
Duuh!! Kwa kweli movie Kali sana
Asante sana
Kluvn
@@Dontatv255jamn kak
Upo ap
@@Dontatv255up ap
Jamani nzuri sna kabx tutaifuata kka kelvin ushauri wenu bado tunauhitaji mbalikiwe❤❤
Asante
Yani huwa napenda sana move zako hasa kwenye move ikiwa naloveness❤❤❤❤na kelvin
Asante sana
@@Dontatv255❤❤❤
Daaaaaaaah muwe mnawahi kutoa vipande vingne😊😊😊😊😊🎉🎉🎉
Gonga like hapo kama unamkubali kelvin na donta TV ❤😂😂😢😮
Asante
@@Dontatv255 jamani nataka niigize nanyi mnapatikana wapi jamani
Woow nzury sana ila musicheleweshe kutoa mizigo hiyo jaman
Nakubali donta tv like kwangu
Hizoo
Pongezi kwa kweli mko vizuri.
Asante sana
Wanaume wote wangekuwa serious kama kaka Kelvin
Ingekuwaje 😂
@@Dontatv255Dunia ingeona Mbinguni🤣🤣🤣
Kevin nakupenda 💞 sana na Mungu azidi na kukula hekima maana unajua Ku act Sana
Asante sana
Woooow nasra ndan ya nyumba nimefurah kumuona
❤❤❤
Napenda sana dontas movies. Nawaminia sana from kenya
@@Dontatv255napenda muvi zenu jaman mungu awajalie
Kelvin ni mzuri balaa
😁😁🥰🙏
Kazi nzuri sana kaka
nice to see nasra once again ❤
Nasra nilikuwa nimekumiss sana karbu sana tupo Wana familia ❤❤❤❤❤
Kajaa ❤
Waoooooh nilikuwa nimekumic jaman nasra❤❤❤
Thanks 🥰
@@Dontatv255nampenda sana nasraaa
Nakubal Sana broo Kaz Zako kelvin mungu akubalik na akuzidishie kipaji chako mara dufu🎉🎉🎉🎉🎉
Team dota tv like zenu apa
Zipooo
@@Dontatv255 Aya brother
Kazi nzuri San kak ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nilisubir sana🎉
Imetoka tayari
Kevin,wewe ni kati ya the best actors we have in East africa.hongera sana
💓❤️💓movie nzur big up donta tv
Asante
Team kelvin muw mnawahish jamn tunamiss San Kaz yen ❤❤❤❤
Iko powa Sana ❤️❤️💯
Asante
❤❤❤❤❤❤❤much love to you James endlea kkuza kipaji na kelvin usimuache mtafika mbali insha'Allah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
jamn napenda kelvn akiwa na lavunessi nainjoi kweli❤
Asante 🥰
@@Dontatv255 mtoe mwendelezo jmn tunawaomba mashabikiii
Muvizuri,sana
Nimeyipwnda,sana,kwer,asanteni,sana,kwamuvizuru
Hongera kwa kazi nzuri nimepitia filamu zako zote nimejifunza mambo mingi san jinsi yakukaa na watu pia kwa ndoa kelvin mungu akubaliki na akupe kunguvu kazi nzuri watching from saudi
I mean akupe nguvu
Asante sana
nimekuwa wa kwaza leo naomben like zang
Sawaa 🙌🔥
Jamani nawapenda sana Wana Donta tv ❤❤ Am Ugandan
Nzr saana hii
Asante
Nawapenda sana team kelvin ,kiukweli mmenivutia sana namm kufanya sanaa
Mr kelvin for sure you are such a blessing and teaches us more Mungu akubariki tena Zaidi kaka ❤❤❤
Asante sana 🙏
Kaz nzur sana kevin nmepata mafunzo😊❤
Sijachelewa sana wana donta tv naombeni likes zangu😢😢😢😢
Sawa karibu
kaka kelvin nilishakwambia wewe ni hatari sana unapokuwepo kazini ,hongera sana sana
Akika ni nzuri
Asante sana
Nakubali donta tv,Kelvin big up bro,nipitieni guys to grow pamoja.
Bigp sana Kelvin tunashukuru kwakumleta tena mdada mkarim kwenye kesho yangu et.
Asante pia
penye naona kervin , lovenes , Victoria,kunamvi hio mvois inamafunzo mazuri vyenye huwezi elewa kervin MUNGU akuzidishie kipaji wenye munao amini Donta tv tusapiti kazi zao
Asante sana
@@Dontatv255 kaka mbon ntamani namba yako ntaipataje ya whatspp nipo kenya
Kelvin kazi zako ni og nakukubali xnaa🎉🎉🎉🎉
Asante sana
😢😮😮😮😢
Kaka kevi uko vizuri mungu akujalie ufike mbali🎉
Kelvin Nakupenda sana
Asante sana ❤
@@Dontatv255kelvin unajuwa ndugu unapiga kwenye mshono kk
Movie zenu zinafundisha yaani zina mafunzo ndani yake na yapo katika jamii
Kama wewe team kelvin gonga like hapa❤❤❤🎉🎉🎉
Asante
Kazi nzuri jamani 🎉🎉🎉🎉
Asante sana
Napenda kazi yenu kelvin mna mafunzo mengi mazuri kwetu tukizingatia movie zenu❤❤❤