MAMA BONGE AANGUA KILIO AKISIMULIA KUPEWA MIMBA MANZESE, MTOTO KUFA na KUMZIKA MWENYEWE BILA BABA
HTML-код
- Опубликовано: 6 июн 2023
- MAMA BONGE AANGUA KILIO AKISIMULIA KUPEWA MIMBA MANZESE, MTOTO KUFA na KUMZIKA MWENYEWE BILA BABA #MPAKA HOME
kipindi chako pendwa MPAKA HOME ambapo wiki hii tumepiga stori na mfanyabiashara mashuhuri wa Kariakoo @Sinyalikimambo1972 ambaye amefunguka mambo mengi usiyoyajua kuhusu yeye.
Mjengo wake anaoishi ni balaa, changamoto za utafutaji maisha, unajua yeye ni kada wa chama gani? ....
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
ninashida na dada sinya kaka tafadhali naomben mawasiliono yake
Ni keili kabisa uyo sinya ukimuona utasema mkorofi lakini hana hiyana anaroho nzuri na nimtu wa kusaidoa
Kwel sugar sio poa
Kweli mama nakukubali
Mnao msema huyu mama mjiangalie je mfanana nae ki maendele unachonga inao yesha huna kitu Mimi Bado nasema mama nakupa 5 star ❤❤❤
Huyu mama hatafuti Kiki ila Kiki ndo ilimfuata. Yeye anachofanya ni kuitendea haki nafasi alopata. Nmependa mtoto wake hapendi media
Huyu mama ana maumiv machungu sana ana machozi ya karib na ni mwepes wa kutabasam Mungu ambarik sana
Nilichogundua huyu mama nimchangamfu sababu anamoyo mzuro sana🥰🤲Na ana hakili njema kuliko mnavyo waza
Nakupenda Sana mama yangu nakuombea mungu akuponye uishi miaka Mingi umenitia Sana moyo wakupambana
Pole dada. Moyo wako umejaa maumivu hadi najiona ndani yako
Nalia dah
@@user-yg5tm8kd6f 😭😭😭😭🤝🤝
Ni kwelii una roho nzuriii, watu wenye roho nzuri wanaliaa na machozi yankaribu!
Jamn huyu dada ni mzury sana ila mnaomponda hamjielew
Story ya mtoto imeniuma sana,pole sana dada jamani.
Nakupenda dada sinya....ww ni super woman... Mungu akusaidie sukari iishe....
Amiin
Mungu Akulinde mabaya yasikupate mtu yyte ataejaribu kutaka kukuharibia mungu amlaani mara 10000000000000000
Pole dada shukuru mungu machungu sio pekeyako tupo wengi wenye machungu kuliko ya kwako tuwe pole
Pole mama uclie sana naelewa nijinc gan moyo wako unamaumivu makali,lkn unafuraha sura yako nitabasamu muda wote,Mungu akutie nguvu
Huyu mama kila akihojiwa analia ,inaonyesha kina kitu anacho na aliyoyapitia ni magumu na kuna familia nyuma yake ambayo inamtegemea na anawajali ,dahh ila iko siku machozi yake yatafutika,,,naamini
AKO na hasira saaana same LAKINI usisahau kwamwe
Sijakuelewa
Kapitia mitihani ming maskin😢😢😢mung amhifadhi mama sinyaa
Amiin yarabb 🤲
Huyu mtoto wake nataman asome koment hii plz USIMSUMBUE MAMA YAKO
Ukisikia mwanamke wa shoka ndiyo huyu Mimi nikupe 💐🌹🌹 yako mapema
Nampenda uyu mama anaonekana n mama mwenye huruma sana na anamoyo mzur sana mungu anijalie 😎
Najua unamengi moyoni umepitia mengi lakini mpaka hapo ulipo mshukuru Mungu sana kwani wewe ni shujaa sana na jaribu kusahau yaliyopita .Weka ujasiri wako mbele wewe ni Jasiri sana.Shukuru unabint kwani huyo kijana angeweza ata kukupa stress kwa hivyo shukran unabint au tuseme unamtoto hata huyo mmoja
Da sinyaa nakupenda Sana. Ulisoma na mama yangu Kiboriloni nimeonyeshwa na kwenu ulipokuwa unakaa na mama yako zamani nakumbuka na ule msiba wa mwanao aisee Kama ulifanya mwenyewe Basi Mimi nakuita Superwoman wasiojua ule msiba ulikuwa umepambwa kwa heshima utasema anaenda kuzikwa ni Mtoto wa raisi.
God bless you
Huyu mama ni mtu mwenye roho nzuri mno
Mwenyezi Mungu akutunze mama, na akuondolee uchungu moyoni akutie faraja uendelee na mapambano ya kutafuta 🙏🙏
Mama hongera sana
Mm ni mkenya lakini huyu mama nampeda yagu yote everything will be fine mama
Heri kumsikiza huyu mama mara mia moja unajifunza kitu katika maisha haya kwa kweli wanawake tujitume tulale pazuri kwa nyumba zetu pesa yako ya halali ni tamu sana asikwambie mtu ❤❤❤❤❤
Ni vizuri Sana anavyo ongea anapona Moyo wake .Sinyaaa anaongea vizuri
Hongera mwanamke mpambanaji chukua maua yako 💐💐🌹🌹
hongera mama nilikua nakata tamaa lakin naanza kusimama sasa
Mamashikamoo shikamoo nimekupenda buleeee,,,kwa mwamposa ndiyo kanisa letu hilo 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mdada wa kibrloni nakupata sana ndugu yangu unapambana kweli kweli nakumbuka miaka hiyo mtoto wako alivyo fariki uliumia sana pole sana mungu atakupigania hatukuwacha
Inauma sana sikuwahg kujua story ila huku mosh watu walisema alimtoa kafara ,bora sinyaa kaongea mwenyewe
Sweet usiwe unalia. Unajua ww ni jembe sana. Yaani your super woman. Jipe moyo mkuu bhana usiwe unalia. Ujue Yesu anakupenda sana wewe na atakuponya. Ww upo real sana kipenzi. Ipo sb ya yy kuondoka jipe moyo darling. Usikonde yatapita Sinyaa na utapata
Achana na wasema ovyo mpz. Hata ungekua kimya wangesema tu. Hiyo ni asili ya wanadamu na wasingekusema ningeshangaa sb hata Yesu alisemwa. Usikondeshwe na maneno ya wapitaji kwn wanakupa nn dada
Big up kipenzi changu, kazi nzuri
Kulia ni haki yake kama atajihisi kulia. Machozi tumewekewa na Mungu kulia siyo dhambi.
@@damariszuckschwert9489 sio dhambi kweli lkn naumia anavyolia. Mm natamani kulia alie sirini na Mungu wake akiwa kwa maombi. Kulia ni kutoa sumu najua ila alie kwa Mungu wake tu
Jamani watu wanatoka mbali sana hasa sisi wanawake 😭😭😭😭pole mumy umeniliza na mm
Kweli nimejifunza kuto mzalau nisie mjua masha Allha mama kaweza sana nimejifunza kupitia yeye nakupenda kwa jili ya Allha ❤️
Uyu dada kichwa Sema ndo ivo hira mbaya za watu wasyopenda maendeleo yawezie wanapenda ufeli kimaisha
Wowow hongera sana dear mama ❣️najifunza mimi
Pole sana mama bonge unanyoongea hizo changamoto uliopitia mama yangu imenikumbusha mbali sana nimejikuta natowa machozi sana
Weka pulizo kwenye tumbo mama bonge linyonye mafuta utakuwa kiportable tena na sukari itaisha. Nakupenda le super woman❤❤❤
Napenda kufuatilia interview za huyu mama kibonge, hakika Kuna cha kujifunza hapa 👏🙏😀
Global nawakubali!! Mmetishaaa! Big up dada Sinyaa! Wewe ni Simba jike, hongera sana kwa kuwa mfano mzuri kwa wanawake. Mungu azidi kukubariki na kukuinua. Nimependa myumba yako ilivyo safi, classic na very well organised 🎉❤. Big up sis 👏
Mashaallah mama umeweza umeweza umeweza tena
Pole sana mama, Na hongera pia
Nimelia sana jomoni...huyu mama nimzur mcheshi alafu nimwepes kufurahi
Hongera Dear kweli mwamke na nusu yaani huna makuu wangekua hawa wakushoboka walai balaaa kweli usiwai dharau mtu hadi nimetani kuongea naye walau anifungue macho ❤
Hongera sana Sinyaa unaishi pazuri 👌🔥💖pole kwa changamoto za maisha
Mm nimegundua huyu mama marafiki ndowamemuangusha
Nilikuwa naangalia kila muda aise alhamdulillah nimeikuta mudaa huu pole sna mama Yangu kipenzi unapambana mno sna sna
Love you Sinyaaa,Kweli wanawake Tuna mengi mioyoni tunatamani pa kusemea🙏
Hongera sana Mungu akujaalie afya na furaha tele
Namjua sinyaa vizuri hana kiki kaaza maisha zamani Wala haogopi mtu hongera sinyaa wangu
Jamaaan😭😭😭😭huyu mama anitafute Mimi niwe mfanya kazi wake wa ndani tutafarijiana mno nahisi Ana huruma na watu
Natamani wasanii wakuchukue pamoja na makampuni uwasaidie kufanya matangazo, pia nakupenda mnooooooooo
Humuoni kwenye matangazo kwani?
Hii si hadithi ni live Mwanamke huyu anafaa kuigwa na jamii hasa wanawake tusilale jamani tuamke wanawake maisha ni mapambano na siku hizi Dunia imebadilika Sana wanawake ndo watafuta pesa na si vinginevyo
Hongera sana mdogo wangu nimekupenda Bure wewe ni mwanamme shujaa Kwa kweli na ni mkweli sio Muongo unayoyaongea ni ya kweli kabisa
Nimempenda mama haongezi masifuri kwenye Bei zake
😂😂
😂😂😂kutana na wale kitu unakiona cha ulufu 3 una ambiwa M3😢
@@duhrurhhddhheud8575 😁😁walio pata maisha kwa bahati mbaya
Mama unafanana na Mimi yangu makubwa zaidi dada naangaiga usiku na mchana lakini nimepoteza pesa zaidi ya milioni 70 kes ipo maakamani haishi na uyo Diwani wa temeke namdai mwaka wa Tano Sasa milioni tatu anasema nimpeleke popote hawezi kunilipa nimetembea kwenye maofis bila mafanikio jamanii uwiiiii mungu nisaidie natafuta namba za shelawado
Ndio maaana mimi nilizaa nje ya nchi na libaba lenyewe mawasiliano sina.inauma umezaa na mtu yupo mtaani halafu halina time na mtoto
Mpka kuzaa s mnapanga wote au unajiamulia mwanamke peke yako
Mama wewe jembe nimekupenda ❤hongera sana nimejifunza mengi Mungu akubariki sana.
Huyu mama nimpole Sana Bali alipitia machungu Sana
POOLE sana sister Allah atakupa zaidi za Halali
Mama mtafute Dr Boaz Mkumbo ,atamaliza ugonjwa wako wa Kisukari na kupunguza uzito.
Utaishi maisha marefu zaidi.Uzidi kui enjoy zaidi.
Dada huyo Dr Boaz anapatikana wapi?uko na namba za mawasiliano?
@@ladyr.hamsini2311 ingia RUclips andika dr. Boaz mkumbo utapata namba yake kwenye video zake.
@@ladyr.hamsini2311 Dk Boaz office yake ipo mkabala na Mwananyamala hos
Friminer shayo anasaidia presha?
We nawee Kwan alikwambiaa anaumwaaa
Story yake inaumiza mungu akupe subra mamangu
Dunia inamambo mengi sana
Huyu mama she is so real jaman yani mungu amuepushe tu na hio mikopo afanye vyema kwa biashara zake she is so r
Okoka Dada Yesu anakupenda umtumikie ..
Nampenda huyu mama jamani asaidiwe kwakweli amepitia magumu leo nyumba take ime mstiri lakini ana mateso ya ndani ya moyo na kisukari inamtesa maskini naamini mama samia ata liona hili
Ana moyo wa uchungu aikemee kwa jina la yesu
Unapenda kulia unaniangusha bwana wewe jeshi kubwa❤
Dada mm nakupenda Sana natamani tuonane mm naww nakupenda Sana mungu atakuhifadhi
Pole sana Sinyaa, hakika nimeuona uchungu ulionao moyoni, mwombe Mungu auondoe huo uchungu upone my dear, huo uchungu unakusababishia magonjwa mpendwa, ❤❤
Dada nakupenda sana sana mungu akufanyie wepesi ktk kazi yako
Jamani huu mwili ni kawaida mh!😢sinya pole sana kwa magumu uliyopitia
Hakika wewe ni mfano wa kuigwa katika upambanaji wako❤❤❤
Huyu Mama anahitaji msaada wa MUNGU akutane na watu sahihi wakumsaidia kwa AFYA na UCHUMI wake kuimalika zaidi pia anakitu kikubwa chakusaidia Mabinti na Wamama kwakuwapa Mafunzo 🙏🔥❤️💪
Haya makanisa ya Sasa akienda ndo watamfirisi watamla pesa mpaka ashangaye
Mama sinyaa, Ongera sana na pole mimi nakuomba mpenzi achana na uyo baba, wewe umeangaika kulea mtoto wako mpaka amekuwa na kusoma ongera sana, uyo achana naye.Pia nakuomba towa dukuduku lako la uyo baba msamehe, kumsamehe haimanishi aje nyumbani kwako au kuwa naye pamoja, Mtowe moyoni mwako msamehe ili uje kuona mbingu, kuna mabaya ambayo tunamfanyia MUNGU lakini bado anatusamehe. Pia nimefurahi sana kwa kupenda kwako kusali, ila naomba fanya maombi ya siku tano au tatu Muombe MUNGU akuonyeshe uko unapokwenda kwa mwamposa upo sahihi kweli plz plz plz fanya maombi . Nakupenda
Hongera sana mama
Ww naye hujui hata matumizi ya h na a
@@sikudhanimohammad7692Bora umeelewa😂😂
Mandiko yanasema akija kutaka msamaha msamehe at *770.huyo baba anatakiwa kumumba msamaha mama na mtoto Ili kumponya dada yetu.
Pole sana Dada sinyali, Tunakupenda sana, Allah akutimizie hitaji lako 🙏kiukweli hata mimi namchukia sana Mzazi mwenzangu, yani hapa namuelewa sana Dada sinyaa.
Mungu abariki wale watu waliompa products za kutengeneza usoo hasa dada junaithar uso umeanza kukaa poaa....
😅😅 hongera sana mama,ila huyu ndugu mtangazaji is very funny,
Daaah poleee😢😢😢 uyo mtoto hakuw ridhiki mamy ,wanasema si kila ukipotezacho, Wala ukipatacho ni chako ,vingine acha viondoke tu 😢
Mtangazaji 😂😂😂mbn umeng'ang'ania kipodoz Cha mama
Dada. Yangu sinyaa ni mkweli sana na ni mwema sana ningeomba asikilizwe .❤❤❤sana dada yangu kipenzi. Mungu akutie nguvu .uishi maisha marefu🙏
Alhamdullillah, kiukweli nampenda bure. Mwenyezi Mungu akulinde dada.❤❤❤
Maisha yako yameniumiza.ila nimetoa shule.hongera sana kipenzi changu.ikikupendeza uniruhusu nikufikie.kuna mengi natamani nijifunze kako.
Mama sinya a Kim ambo ni Super women pole Sana na mitihani iliyokupata usichoke kupambana mungu atakusimamia inshaallah.
Mama unayepambana Mungu aendelee kukuinua
Mnafata fata sana huyu mama mnataka nini machozi yake yanajambo mnataka kuyajua ili iweje sibasi muacheni
Huyu dada huu mwili inawezekana ni wa stress 😢
Una ufala mwingi nimecheka sana eti mwili wa stress😂😂😂
@@moriscollins4494nikweli..Stress zinakondesha ama kunenepesha..
Kiukwel huyu mama nimfano wakuogwa,,,nimejifunza mengi,, sinta kataa Tamara kwamwe,,Mungu Wa mbinguni akutunze
Nampenda sana huyu mama ❤❤
Mama nimekupendaaaa❤❤❤❤
Nampenda sana huyu mama ni mpambanaji sana
MashaAllaah MashaAllaah Allaah Akubareek na Akuhefadhi
mashaallah huyu mama nampenda ni mkweli
Pole sana mdogo wangu. Mungu anakupigania no matter what. Keep it up. Jitahidi kuchemusha majani ya maembe unyewe Kama chai au maji. Kila siku.
Huyu dada ana maumivu sana sema amejaaliwa furaha😪
Nimekupenda na hongera kwa nyumba nzuri
Kwani huyu mboso hamskiagi dada sinya kama anataka redio......
Mnunule pia wewe
Mungu akuondolee maradhi ya sukari dada uyafurahiye maisha
Nimekupenda sana... Kutoka 🇰🇪 Kenya.
usilie kipenzi dada nichangamoto tu hizo mungu atakutangulia
Sinyaa hongera sana nyumba nzuri
Wanaume Mungu anawaona,Mungu awalinde mama.
Pole mam nimekupendraaa sana
Jamani pole na hongera sana kwa kupambana na maisha