MAMA BONGE AANGUA KILIO AKISIMULIA KUPEWA MIMBA MANZESE, MTOTO KUFA na KUMZIKA MWENYEWE BILA BABA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июн 2023
  • MAMA BONGE AANGUA KILIO AKISIMULIA KUPEWA MIMBA MANZESE, MTOTO KUFA na KUMZIKA MWENYEWE BILA BABA #MPAKA HOME
    kipindi chako pendwa MPAKA HOME ambapo wiki hii tumepiga stori na mfanyabiashara mashuhuri wa Kariakoo @Sinyalikimambo1972 ambaye amefunguka mambo mengi usiyoyajua kuhusu yeye.
    Mjengo wake anaoishi ni balaa, changamoto za utafutaji maisha, unajua yeye ni kada wa chama gani? ....
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 406

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +8

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

    • @janethkessy7146
      @janethkessy7146 Год назад +2

      ninashida na dada sinya kaka tafadhali naomben mawasiliono yake

    • @sikitujuma4866
      @sikitujuma4866 Год назад +1

      Ni keili kabisa uyo sinya ukimuona utasema mkorofi lakini hana hiyana anaroho nzuri na nimtu wa kusaidoa

    • @pastoraile7195
      @pastoraile7195 Год назад

      Kwel sugar sio poa

    • @NicodemusKithi-xe7mg
      @NicodemusKithi-xe7mg 3 месяца назад

      Kweli mama nakukubali

  • @catherinemichael1275
    @catherinemichael1275 Год назад +29

    Mnao msema huyu mama mjiangalie je mfanana nae ki maendele unachonga inao yesha huna kitu Mimi Bado nasema mama nakupa 5 star ❤❤❤

  • @neemamboya99
    @neemamboya99 Год назад +48

    Huyu mama hatafuti Kiki ila Kiki ndo ilimfuata. Yeye anachofanya ni kuitendea haki nafasi alopata. Nmependa mtoto wake hapendi media

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Год назад +15

    Huyu mama ana maumiv machungu sana ana machozi ya karib na ni mwepes wa kutabasam Mungu ambarik sana

  • @sarhiabenson2683
    @sarhiabenson2683 Год назад +7

    Nilichogundua huyu mama nimchangamfu sababu anamoyo mzuro sana🥰🤲Na ana hakili njema kuliko mnavyo waza

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 Год назад +18

    Nakupenda Sana mama yangu nakuombea mungu akuponye uishi miaka Mingi umenitia Sana moyo wakupambana

  • @jackiefredrick586
    @jackiefredrick586 Год назад +29

    Pole dada. Moyo wako umejaa maumivu hadi najiona ndani yako

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 Год назад +8

    Ni kwelii una roho nzuriii, watu wenye roho nzuri wanaliaa na machozi yankaribu!

  • @jacklinmacha2964
    @jacklinmacha2964 Год назад +20

    Jamn huyu dada ni mzury sana ila mnaomponda hamjielew

  • @marymathew6529
    @marymathew6529 Год назад +17

    Story ya mtoto imeniuma sana,pole sana dada jamani.

  • @hosianaeliud243
    @hosianaeliud243 Год назад +25

    Nakupenda dada sinya....ww ni super woman... Mungu akusaidie sukari iishe....

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 Год назад +10

    Mungu Akulinde mabaya yasikupate mtu yyte ataejaribu kutaka kukuharibia mungu amlaani mara 10000000000000000

  • @farahfrooha9715
    @farahfrooha9715 Год назад +11

    Pole dada shukuru mungu machungu sio pekeyako tupo wengi wenye machungu kuliko ya kwako tuwe pole

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Год назад +17

    Pole mama uclie sana naelewa nijinc gan moyo wako unamaumivu makali,lkn unafuraha sura yako nitabasamu muda wote,Mungu akutie nguvu

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Год назад +31

    Huyu mama kila akihojiwa analia ,inaonyesha kina kitu anacho na aliyoyapitia ni magumu na kuna familia nyuma yake ambayo inamtegemea na anawajali ,dahh ila iko siku machozi yake yatafutika,,,naamini

  • @eunicejohn5520
    @eunicejohn5520 Год назад +10

    Huyu mtoto wake nataman asome koment hii plz USIMSUMBUE MAMA YAKO

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Год назад +8

    Ukisikia mwanamke wa shoka ndiyo huyu Mimi nikupe 💐🌹🌹 yako mapema

  • @sammushi1512
    @sammushi1512 Год назад +6

    Nampenda uyu mama anaonekana n mama mwenye huruma sana na anamoyo mzur sana mungu anijalie 😎

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +12

    Najua unamengi moyoni umepitia mengi lakini mpaka hapo ulipo mshukuru Mungu sana kwani wewe ni shujaa sana na jaribu kusahau yaliyopita .Weka ujasiri wako mbele wewe ni Jasiri sana.Shukuru unabint kwani huyo kijana angeweza ata kukupa stress kwa hivyo shukran unabint au tuseme unamtoto hata huyo mmoja

  • @lisavictor4736
    @lisavictor4736 Год назад +4

    Da sinyaa nakupenda Sana. Ulisoma na mama yangu Kiboriloni nimeonyeshwa na kwenu ulipokuwa unakaa na mama yako zamani nakumbuka na ule msiba wa mwanao aisee Kama ulifanya mwenyewe Basi Mimi nakuita Superwoman wasiojua ule msiba ulikuwa umepambwa kwa heshima utasema anaenda kuzikwa ni Mtoto wa raisi.
    God bless you

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Год назад +6

    Huyu mama ni mtu mwenye roho nzuri mno

  • @joycemlay187
    @joycemlay187 Год назад +5

    Mwenyezi Mungu akutunze mama, na akuondolee uchungu moyoni akutie faraja uendelee na mapambano ya kutafuta 🙏🙏

  • @loisendungu5983
    @loisendungu5983 Год назад +7

    Mm ni mkenya lakini huyu mama nampeda yagu yote everything will be fine mama

  • @maryamkassim3188
    @maryamkassim3188 Год назад +2

    Heri kumsikiza huyu mama mara mia moja unajifunza kitu katika maisha haya kwa kweli wanawake tujitume tulale pazuri kwa nyumba zetu pesa yako ya halali ni tamu sana asikwambie mtu ❤❤❤❤❤

  • @beatricelewanga1376
    @beatricelewanga1376 Год назад +5

    Ni vizuri Sana anavyo ongea anapona Moyo wake .Sinyaaa anaongea vizuri

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +9

    Hongera mwanamke mpambanaji chukua maua yako 💐💐🌹🌹

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 Год назад +5

    hongera mama nilikua nakata tamaa lakin naanza kusimama sasa

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 Год назад +3

    Mamashikamoo shikamoo nimekupenda buleeee,,,kwa mwamposa ndiyo kanisa letu hilo 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 Год назад +6

    Mdada wa kibrloni nakupata sana ndugu yangu unapambana kweli kweli nakumbuka miaka hiyo mtoto wako alivyo fariki uliumia sana pole sana mungu atakupigania hatukuwacha

    • @editorfrank7471
      @editorfrank7471 Год назад

      Inauma sana sikuwahg kujua story ila huku mosh watu walisema alimtoa kafara ,bora sinyaa kaongea mwenyewe

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +36

    Sweet usiwe unalia. Unajua ww ni jembe sana. Yaani your super woman. Jipe moyo mkuu bhana usiwe unalia. Ujue Yesu anakupenda sana wewe na atakuponya. Ww upo real sana kipenzi. Ipo sb ya yy kuondoka jipe moyo darling. Usikonde yatapita Sinyaa na utapata
    Achana na wasema ovyo mpz. Hata ungekua kimya wangesema tu. Hiyo ni asili ya wanadamu na wasingekusema ningeshangaa sb hata Yesu alisemwa. Usikondeshwe na maneno ya wapitaji kwn wanakupa nn dada
    Big up kipenzi changu, kazi nzuri

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Год назад +2

      Kulia ni haki yake kama atajihisi kulia. Machozi tumewekewa na Mungu kulia siyo dhambi.

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 Год назад +1

      @@damariszuckschwert9489 sio dhambi kweli lkn naumia anavyolia. Mm natamani kulia alie sirini na Mungu wake akiwa kwa maombi. Kulia ni kutoa sumu najua ila alie kwa Mungu wake tu

    • @floridanyabikwi9304
      @floridanyabikwi9304 Год назад

      Jamani watu wanatoka mbali sana hasa sisi wanawake 😭😭😭😭pole mumy umeniliza na mm

  • @dottohami
    @dottohami Год назад +8

    Kweli nimejifunza kuto mzalau nisie mjua masha Allha mama kaweza sana nimejifunza kupitia yeye nakupenda kwa jili ya Allha ❤️

  • @sharommiriam2674
    @sharommiriam2674 Год назад +7

    Uyu dada kichwa Sema ndo ivo hira mbaya za watu wasyopenda maendeleo yawezie wanapenda ufeli kimaisha

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +9

    Wowow hongera sana dear mama ❣️najifunza mimi

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Год назад +4

    Pole sana mama bonge unanyoongea hizo changamoto uliopitia mama yangu imenikumbusha mbali sana nimejikuta natowa machozi sana

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Год назад +3

    Weka pulizo kwenye tumbo mama bonge linyonye mafuta utakuwa kiportable tena na sukari itaisha. Nakupenda le super woman❤❤❤

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt Год назад +3

    Napenda kufuatilia interview za huyu mama kibonge, hakika Kuna cha kujifunza hapa 👏🙏😀

  • @olivabutoyi434
    @olivabutoyi434 Год назад +5

    Global nawakubali!! Mmetishaaa! Big up dada Sinyaa! Wewe ni Simba jike, hongera sana kwa kuwa mfano mzuri kwa wanawake. Mungu azidi kukubariki na kukuinua. Nimependa myumba yako ilivyo safi, classic na very well organised 🎉❤. Big up sis 👏

  • @malila4582
    @malila4582 Год назад +5

    Mashaallah mama umeweza umeweza umeweza tena

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Год назад +10

    Pole sana mama, Na hongera pia

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 Год назад +4

    Nimelia sana jomoni...huyu mama nimzur mcheshi alafu nimwepes kufurahi

  • @roseurio503
    @roseurio503 Год назад +4

    Hongera Dear kweli mwamke na nusu yaani huna makuu wangekua hawa wakushoboka walai balaaa kweli usiwai dharau mtu hadi nimetani kuongea naye walau anifungue macho ❤

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Год назад +8

    Hongera sana Sinyaa unaishi pazuri 👌🔥💖pole kwa changamoto za maisha

  • @nasrafadhili7408
    @nasrafadhili7408 Год назад +8

    Mm nimegundua huyu mama marafiki ndowamemuangusha

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад +8

    Nilikuwa naangalia kila muda aise alhamdulillah nimeikuta mudaa huu pole sna mama Yangu kipenzi unapambana mno sna sna

  • @Sifa_film_tv72
    @Sifa_film_tv72 Год назад +5

    Love you Sinyaaa,Kweli wanawake Tuna mengi mioyoni tunatamani pa kusemea🙏

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +11

    Hongera sana Mungu akujaalie afya na furaha tele

  • @user-ee3to8eq3g
    @user-ee3to8eq3g Год назад +2

    Namjua sinyaa vizuri hana kiki kaaza maisha zamani Wala haogopi mtu hongera sinyaa wangu

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад +7

    Jamaaan😭😭😭😭huyu mama anitafute Mimi niwe mfanya kazi wake wa ndani tutafarijiana mno nahisi Ana huruma na watu

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 Год назад +12

    Natamani wasanii wakuchukue pamoja na makampuni uwasaidie kufanya matangazo, pia nakupenda mnooooooooo

  • @EricaSimon-zd1wl
    @EricaSimon-zd1wl Год назад +3

    Hii si hadithi ni live Mwanamke huyu anafaa kuigwa na jamii hasa wanawake tusilale jamani tuamke wanawake maisha ni mapambano na siku hizi Dunia imebadilika Sana wanawake ndo watafuta pesa na si vinginevyo

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Год назад +2

    Hongera sana mdogo wangu nimekupenda Bure wewe ni mwanamme shujaa Kwa kweli na ni mkweli sio Muongo unayoyaongea ni ya kweli kabisa

  • @aishachiyarata1362
    @aishachiyarata1362 Год назад +13

    Nimempenda mama haongezi masifuri kwenye Bei zake

  • @zainabukivale9571
    @zainabukivale9571 Год назад +5

    Mama unafanana na Mimi yangu makubwa zaidi dada naangaiga usiku na mchana lakini nimepoteza pesa zaidi ya milioni 70 kes ipo maakamani haishi na uyo Diwani wa temeke namdai mwaka wa Tano Sasa milioni tatu anasema nimpeleke popote hawezi kunilipa nimetembea kwenye maofis bila mafanikio jamanii uwiiiii mungu nisaidie natafuta namba za shelawado

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 Год назад +10

    Ndio maaana mimi nilizaa nje ya nchi na libaba lenyewe mawasiliano sina.inauma umezaa na mtu yupo mtaani halafu halina time na mtoto

    • @allymoshi2053
      @allymoshi2053 Год назад

      Mpka kuzaa s mnapanga wote au unajiamulia mwanamke peke yako

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад +2

    Mama wewe jembe nimekupenda ❤hongera sana nimejifunza mengi Mungu akubariki sana.

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 Год назад +6

    Huyu mama nimpole Sana Bali alipitia machungu Sana

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Год назад +5

    POOLE sana sister Allah atakupa zaidi za Halali

  • @friminershayo5325
    @friminershayo5325 Год назад +13

    Mama mtafute Dr Boaz Mkumbo ,atamaliza ugonjwa wako wa Kisukari na kupunguza uzito.
    Utaishi maisha marefu zaidi.Uzidi kui enjoy zaidi.

    • @ladyr.hamsini2311
      @ladyr.hamsini2311 Год назад

      Dada huyo Dr Boaz anapatikana wapi?uko na namba za mawasiliano?

    • @alsam4881
      @alsam4881 Год назад

      ​@@ladyr.hamsini2311 ingia RUclips andika dr. Boaz mkumbo utapata namba yake kwenye video zake.

    • @magrethmanintveld5477
      @magrethmanintveld5477 Год назад

      ​@@ladyr.hamsini2311 Dk Boaz office yake ipo mkabala na Mwananyamala hos

    • @mirrykirungi5078
      @mirrykirungi5078 Год назад

      Friminer shayo anasaidia presha?

    • @siamnyone8403
      @siamnyone8403 Год назад

      We nawee Kwan alikwambiaa anaumwaaa

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 Год назад +3

    Story yake inaumiza mungu akupe subra mamangu
    Dunia inamambo mengi sana

  • @peterkaale6977
    @peterkaale6977 Год назад +1

    Huyu mama she is so real jaman yani mungu amuepushe tu na hio mikopo afanye vyema kwa biashara zake she is so r

  • @DEEP.WORSHIP
    @DEEP.WORSHIP Год назад +3

    Okoka Dada Yesu anakupenda umtumikie ..

  • @zaramunir8238
    @zaramunir8238 Год назад +6

    Nampenda huyu mama jamani asaidiwe kwakweli amepitia magumu leo nyumba take ime mstiri lakini ana mateso ya ndani ya moyo na kisukari inamtesa maskini naamini mama samia ata liona hili

  • @Felister-br6km
    @Felister-br6km Год назад +4

    Ana moyo wa uchungu aikemee kwa jina la yesu

  • @stelamwakatulile2455
    @stelamwakatulile2455 Год назад +3

    Unapenda kulia unaniangusha bwana wewe jeshi kubwa❤

  • @aishamansoor7374
    @aishamansoor7374 Год назад +4

    Dada mm nakupenda Sana natamani tuonane mm naww nakupenda Sana mungu atakuhifadhi

  • @graceshirima6072
    @graceshirima6072 3 месяца назад

    Pole sana Sinyaa, hakika nimeuona uchungu ulionao moyoni, mwombe Mungu auondoe huo uchungu upone my dear, huo uchungu unakusababishia magonjwa mpendwa, ❤❤

  • @ummyhoza4495
    @ummyhoza4495 Год назад +4

    Dada nakupenda sana sana mungu akufanyie wepesi ktk kazi yako

  • @khadijamwenda1851
    @khadijamwenda1851 Год назад +4

    Jamani huu mwili ni kawaida mh!😢sinya pole sana kwa magumu uliyopitia

  • @user-br1yr5me7i
    @user-br1yr5me7i Год назад +7

    Hakika wewe ni mfano wa kuigwa katika upambanaji wako❤❤❤

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Год назад +5

    Huyu Mama anahitaji msaada wa MUNGU akutane na watu sahihi wakumsaidia kwa AFYA na UCHUMI wake kuimalika zaidi pia anakitu kikubwa chakusaidia Mabinti na Wamama kwakuwapa Mafunzo 🙏🔥❤️💪

    • @annamussa185
      @annamussa185 Год назад

      Haya makanisa ya Sasa akienda ndo watamfirisi watamla pesa mpaka ashangaye

  • @user-zt8vf9nf3u
    @user-zt8vf9nf3u Год назад +21

    Mama sinyaa, Ongera sana na pole mimi nakuomba mpenzi achana na uyo baba, wewe umeangaika kulea mtoto wako mpaka amekuwa na kusoma ongera sana, uyo achana naye.Pia nakuomba towa dukuduku lako la uyo baba msamehe, kumsamehe haimanishi aje nyumbani kwako au kuwa naye pamoja, Mtowe moyoni mwako msamehe ili uje kuona mbingu, kuna mabaya ambayo tunamfanyia MUNGU lakini bado anatusamehe. Pia nimefurahi sana kwa kupenda kwako kusali, ila naomba fanya maombi ya siku tano au tatu Muombe MUNGU akuonyeshe uko unapokwenda kwa mwamposa upo sahihi kweli plz plz plz fanya maombi . Nakupenda

    • @jacklinesangu3294
      @jacklinesangu3294 Год назад

      Hongera sana mama

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 Год назад

      Ww naye hujui hata matumizi ya h na a

    • @chuchudorice8531
      @chuchudorice8531 Год назад

      ​@@sikudhanimohammad7692Bora umeelewa😂😂

    • @CatherineKimoso
      @CatherineKimoso 7 месяцев назад

      Mandiko yanasema akija kutaka msamaha msamehe at *770.huyo baba anatakiwa kumumba msamaha mama na mtoto Ili kumponya dada yetu.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад +7

    Pole sana Dada sinyali, Tunakupenda sana, Allah akutimizie hitaji lako 🙏kiukweli hata mimi namchukia sana Mzazi mwenzangu, yani hapa namuelewa sana Dada sinyaa.

  • @Hedva255
    @Hedva255 Год назад +4

    Mungu abariki wale watu waliompa products za kutengeneza usoo hasa dada junaithar uso umeanza kukaa poaa....

  • @marciawambui1965
    @marciawambui1965 Год назад +2

    😅😅 hongera sana mama,ila huyu ndugu mtangazaji is very funny,

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Год назад +2

    Daaah poleee😢😢😢 uyo mtoto hakuw ridhiki mamy ,wanasema si kila ukipotezacho, Wala ukipatacho ni chako ,vingine acha viondoke tu 😢

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Год назад +6

    Mtangazaji 😂😂😂mbn umeng'ang'ania kipodoz Cha mama

  • @CatherineKimoso
    @CatherineKimoso 7 месяцев назад

    Dada. Yangu sinyaa ni mkweli sana na ni mwema sana ningeomba asikilizwe .❤❤❤sana dada yangu kipenzi. Mungu akutie nguvu .uishi maisha marefu🙏

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +1

    Alhamdullillah, kiukweli nampenda bure. Mwenyezi Mungu akulinde dada.❤❤❤

  • @rebeccakagemro3166
    @rebeccakagemro3166 Год назад +1

    Maisha yako yameniumiza.ila nimetoa shule.hongera sana kipenzi changu.ikikupendeza uniruhusu nikufikie.kuna mengi natamani nijifunze kako.

  • @user-hw1vd8qk1q
    @user-hw1vd8qk1q Год назад +1

    Mama sinya a Kim ambo ni Super women pole Sana na mitihani iliyokupata usichoke kupambana mungu atakusimamia inshaallah.

  • @user-vv4er8ok3u
    @user-vv4er8ok3u Год назад +3

    Mama unayepambana Mungu aendelee kukuinua

  • @aishakondo5434
    @aishakondo5434 Год назад +6

    Mnafata fata sana huyu mama mnataka nini machozi yake yanajambo mnataka kuyajua ili iweje sibasi muacheni

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Год назад +9

    Huyu dada huu mwili inawezekana ni wa stress 😢

    • @moriscollins4494
      @moriscollins4494 Год назад

      Una ufala mwingi nimecheka sana eti mwili wa stress😂😂😂

    • @berthatz
      @berthatz Год назад +1

      @@moriscollins4494nikweli..Stress zinakondesha ama kunenepesha..

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 3 месяца назад

    Kiukwel huyu mama nimfano wakuogwa,,,nimejifunza mengi,, sinta kataa Tamara kwamwe,,Mungu Wa mbinguni akutunze

  • @nishamwenendi-vh4wk
    @nishamwenendi-vh4wk Год назад +6

    Nampenda sana huyu mama ❤❤

  • @rosekasambale2521
    @rosekasambale2521 Год назад +4

    Mama nimekupendaaaa❤❤❤❤

  • @rizikisuleiman2139
    @rizikisuleiman2139 Год назад +3

    Nampenda sana huyu mama ni mpambanaji sana

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Год назад +3

    MashaAllaah MashaAllaah Allaah Akubareek na Akuhefadhi

  • @sheilajuma8963
    @sheilajuma8963 Год назад +2

    mashaallah huyu mama nampenda ni mkweli

  • @augeniamasha4626
    @augeniamasha4626 Год назад

    Pole sana mdogo wangu. Mungu anakupigania no matter what. Keep it up. Jitahidi kuchemusha majani ya maembe unyewe Kama chai au maji. Kila siku.

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 Год назад +21

    Huyu dada ana maumivu sana sema amejaaliwa furaha😪

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Год назад +7

    Nimekupenda na hongera kwa nyumba nzuri

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Год назад +9

    Kwani huyu mboso hamskiagi dada sinya kama anataka redio......

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      Mnunule pia wewe

  • @user-wl7ii1yt5g
    @user-wl7ii1yt5g Год назад +1

    Mungu akuondolee maradhi ya sukari dada uyafurahiye maisha

  • @SophieSpira
    @SophieSpira Год назад +1

    Nimekupenda sana... Kutoka 🇰🇪 Kenya.

  • @janethkessy7146
    @janethkessy7146 Год назад +4

    usilie kipenzi dada nichangamoto tu hizo mungu atakutangulia

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 Год назад +3

    Sinyaa hongera sana nyumba nzuri

  • @user-nz8hl2rh6k
    @user-nz8hl2rh6k Год назад +2

    Wanaume Mungu anawaona,Mungu awalinde mama.

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Год назад +2

    Pole mam nimekupendraaa sana

  • @hadijasharifu1463
    @hadijasharifu1463 Год назад +2

    Jamani pole na hongera sana kwa kupambana na maisha