Dini ipi wew dada yule mama simuislam Mtume Muhammad saw alimuowa Bi Khadidja Bi Khadidja alikuwa na myaka 40 sio 60 tafadhali si Kila upuuzi eti Sunna Mnazijuwa Sunna vizuri nyie?💔😔
Jmani ndugu zangu watanzanie,mimi nahisi amani mliyopewa na Mungu imeanza kuwalewesha,way muna sapoti mambo ya hovyo but kumbukeni sodoma nagomora ilianza kama ivo mwisho wasiku majibu waliyapata,so watu kama hao wanyimwe sapoti,hivi huyo kjn anapataje watoto kwenye huyo mti usio za matunda?
MFANO wa mtume sio wa kuowa tu ni mengi tufanyeni pia mtume aliowa kwa sababu sio Kama huyu kijana mengine ALLAH AALAM huyu mpaka DINI ameacha sio MFANO wa mtume huu jameni MUNGU ATUPE MWISHO MWEMA JAMENI
Wewe unafagilia ili upewe tender ya u MC lkn mwanao wakiume wa kumzaa akijakutokea akakuletea kituko kama hicho utafurahi ? au kwa sababu imetokea kwa mtoto wa mwezio unaona sawa tu ?
Yani bibi kampenda uyu kijana mdogo kwasabu kaona aweza kusimamia mali za biasha najua wacha wampende jamani atamrishisha kamuni zote za biashara zake uyo bibi kaka anaakili bana
@@rahmaarrington9019Dini ya kiislam kama mume muislam na mke mkiristo inafaa kabisa bila ya kubadilisha dini lakini kama mume mkiristo na mke muislam haifai. Kila kitu kina sababu yake.
Mtume muhammad s.a.w alikuwa na miyaka 25 bi khadija ana miyaka 40 wamepishana miaka 15 bd alizaa watoto 6 kwa mtume muhammad s.a.w fatwima zaynabu rukayya ummu kuluthumu abdullah kasimu alikuwa bd mbichi Ss huyo bibi miaka 60 ht hedhi imekata atazaa nn? Haya miyaka 60 na kijana miyaka 27 wamekosana miaka 33😂 halafu cha ajabu kwa nn kijan alitadi kwa nn bibi asisilimu km alivyosilimu bi khadija? Mwanaume ni kiongozi ss kwa nn kijana aburuzwe alitad yan mpeni nasaha atajuta dini ya kweli ni uwiislam
Mama yetu kamfanana snura❤❤❤
Nimempenda huyu mama anamtazamo chanya sana❣️❣️❣️❣️,nanimrembo saaana
Kwa kweli mapenzi majani huota popote❤❤
Kwan cha ajabu kipi hapo hatupumui bibi. angekua babu hapo wa miaka 80 na bint wa miaka 20 wala ingekuwa kawaida tu. muwaache khaa!!
mca ww ni msema kweli una haki na cheo chako hakuna cha ajabu kuowana ni sawa watu hawakosi la kusema❤❤❤
Asante. Mama mwenzangu nimeipenda majabu yake pamoja
Leinat nawe mashalla mzuri kmbe unfaa kuwkwa ndani Mashala
Nimejikuta nampenda tuh yaani she, very positive sio Kama Yule mama kungwi mwinginr sio mzima
Dini ipi wew dada yule mama simuislam Mtume Muhammad saw alimuowa Bi Khadidja Bi Khadidja alikuwa na myaka 40 sio 60 tafadhali si Kila upuuzi eti Sunna Mnazijuwa Sunna vizuri nyie?💔😔
Mungu kaumba vitu viwili viwili kuolewa kuwachika kupenda kuchukia kufurahi kukasirika mwanaume mwanamke naomba muelewe
Twangoja arusi . Huyu tu dio wanasema mtoto sikuna ata wanaume wengine hana watoto hajawai aoa.
Jmani ndugu zangu watanzanie,mimi nahisi amani mliyopewa na Mungu imeanza kuwalewesha,way muna sapoti mambo ya hovyo but kumbukeni sodoma nagomora ilianza kama ivo mwisho wasiku majibu waliyapata,so watu kama hao wanyimwe sapoti,hivi huyo kjn anapataje watoto kwenye huyo mti usio za matunda?
Layna ❤
Aksante sana mama yangu. Waacheni hawa wapendanao waowane
Utanitumia namba yako Mc
sawa inaruhusiwa lakini syo miaka 60 kwa 27 bora mm 34
MFANO wa mtume sio wa kuowa tu ni mengi tufanyeni pia mtume aliowa kwa sababu sio Kama huyu kijana mengine ALLAH AALAM huyu mpaka DINI ameacha sio MFANO wa mtume huu jameni MUNGU ATUPE MWISHO MWEMA JAMENI
Inavoonesha kuwa huyu mwanamke anapenda wanaume wadogo, ndio maana ana saport upuuzi huo
Na anavoyapepesa hayo macho inaonyesha ndo tabiake
Io sauti kali🎉🎉🎉
❤❤❤❤
Safi sana Dadate wangu
Tunamjuwa vizuri bibi shooo
Found and lost 👌👌
Somo umetoa mazuri Masha Allah
Huu ni uongo mnataka tu attention ya media yenu.. hii media tu ndo inafuatilia.. 😢😅
Wewe unafagilia ili upewe tender ya u MC lkn mwanao wakiume wa kumzaa akijakutokea akakuletea kituko kama hicho utafurahi ? au kwa sababu imetokea kwa mtoto wa mwezio unaona sawa tu ?
Wao mamalauo la ukweli
Twangoja arushi
Huyo madam ameongea ukweli
Umri haujalishi
Mbona Nicole Kidman huko America aliolewa na umari wa 24 na.mumewe alikuwa na 70.
Yuko biashara
Kwani wamependana juzi jamani
Jamani leyna umehonga😂
wanaumia roho kwani nini kinachowauma gari bovu huvutwa na gari zima mwache amkunjue ngozi
😂😂😂
🤣🤣🤣 asant
Watu wamependana zamani waachieni wenyewe
Watu wa dini mashekh lie keni wazi hili inafaa haifai
Siijambo je kubadili dini hatari
Sasa wewe kungwi unafunda watu na uko kwenye ndo vipi unachukua mume wa mtu 😮
Uyu aunty kanifuraisha
Walewale
Huyu dada nae no walewale waliokunywa uji wa mgonjwa na mgonjwa akafa njaa
Is this story real or cloud chasing?
Liyna unajifunza hapo?
🙆🙆 kumbe ni hapa hapa Tanzania? Nilidhani ni Nchi za majirani zetu.
Uyu mama kafanana na Snura sanaaa
Yani bibi kampenda uyu kijana mdogo kwasabu kaona aweza kusimamia mali za biasha najua wacha wampende jamani atamrishisha kamuni zote za biashara zake uyo bibi kaka anaakili bana
Kweli anataka kusaidiwa kazi na biashara
Dini ya islam ina ruhusu lakin bibi sio muislam Kijana ndio mwisalm. Sasa bibi aslim kwetu waislam ina ruhus kabisa
Naam
Mtume Muhammad saw alimuowa Bi Khadidja alikuwa na myaka 40 sio 60 😢😢😢 mbona Wanataka kutuchafuliya dini Hawa
Dini ya kiislam haijaruhusu kuowa mkristo ?
@@khadidjasuleiman8006umri haijalishi hta kma ni sabini Bora wamependana lakini ni kma ni mkristo asilimu bc but kwenye umri sio mbaya
@@rahmaarrington9019Dini ya kiislam kama mume muislam na mke mkiristo inafaa kabisa bila ya kubadilisha dini lakini kama mume mkiristo na mke muislam haifai. Kila kitu kina sababu yake.
Mtume muhammad s.a.w alikuwa na miyaka 25 bi khadija ana miyaka 40 wamepishana miaka 15 bd alizaa watoto 6 kwa mtume muhammad s.a.w fatwima zaynabu rukayya ummu kuluthumu abdullah kasimu alikuwa bd mbichi
Ss huyo bibi miaka 60 ht hedhi imekata atazaa nn? Haya miyaka 60 na kijana miyaka 27 wamekosana miaka 33😂 halafu cha ajabu kwa nn kijan alitadi kwa nn bibi asisilimu km alivyosilimu bi khadija?
Mwanaume ni kiongozi ss kwa nn kijana aburuzwe alitad yan mpeni nasaha atajuta dini ya kweli ni uwiislam
Tofauti ya 15yrs ni mama yake coz mshichana anaweza pata mimba akiwa miaka 13...hakuna tofauti na Huyu kijana...wacheni mama atunzwe vizuri...
We we mama na wrote waounga ndoa ya huyu bibi nyote mnaitaji ukombozi wa fikra tena sasa hivi
dini zote za ukweri hakuna dini ya uongo SEMA jingine. maana hata dini ya kikristo inaamini dini ya kweri ni ya kikristo. hakuna dini ya uongo