MAMBO NI MOTO; MC WA HARUSI YA BIBI WA MIAKA 60 AIBUKA NA MAPYA, NDOA IMEPITA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2023

Комментарии • 64

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 Год назад +6

    Mama yetu kamfanana snura❤❤❤

  • @MoanaMzigua01-ks6oz
    @MoanaMzigua01-ks6oz Год назад +2

    Nimempenda huyu mama anamtazamo chanya sana❣️❣️❣️❣️,nanimrembo saaana

  • @saidaabdalla2854
    @saidaabdalla2854 Год назад +6

    Kwa kweli mapenzi majani huota popote❤❤

  • @reginapiusi6750
    @reginapiusi6750 Год назад +4

    Kwan cha ajabu kipi hapo hatupumui bibi. angekua babu hapo wa miaka 80 na bint wa miaka 20 wala ingekuwa kawaida tu. muwaache khaa!!

  • @user-dg5ub9dr8u
    @user-dg5ub9dr8u Год назад

    mca ww ni msema kweli una haki na cheo chako hakuna cha ajabu kuowana ni sawa watu hawakosi la kusema❤❤❤

  • @aishaaliy8519
    @aishaaliy8519 Год назад +1

    Asante. Mama mwenzangu nimeipenda majabu yake pamoja

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Год назад +1

    Leinat nawe mashalla mzuri kmbe unfaa kuwkwa ndani Mashala

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 Год назад

    Nimejikuta nampenda tuh yaani she, very positive sio Kama Yule mama kungwi mwinginr sio mzima

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +2

    Dini ipi wew dada yule mama simuislam Mtume Muhammad saw alimuowa Bi Khadidja Bi Khadidja alikuwa na myaka 40 sio 60 tafadhali si Kila upuuzi eti Sunna Mnazijuwa Sunna vizuri nyie?💔😔

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Год назад +1

    Mungu kaumba vitu viwili viwili kuolewa kuwachika kupenda kuchukia kufurahi kukasirika mwanaume mwanamke naomba muelewe

  • @shiru449
    @shiru449 Год назад +1

    Twangoja arusi . Huyu tu dio wanasema mtoto sikuna ata wanaume wengine hana watoto hajawai aoa.

  • @danielamurikamala8156
    @danielamurikamala8156 Год назад

    Jmani ndugu zangu watanzanie,mimi nahisi amani mliyopewa na Mungu imeanza kuwalewesha,way muna sapoti mambo ya hovyo but kumbukeni sodoma nagomora ilianza kama ivo mwisho wasiku majibu waliyapata,so watu kama hao wanyimwe sapoti,hivi huyo kjn anapataje watoto kwenye huyo mti usio za matunda?

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Layna ❤

  • @Official_Wilmarwell
    @Official_Wilmarwell Год назад

    Aksante sana mama yangu. Waacheni hawa wapendanao waowane

  • @SalmaAs-wl5bn
    @SalmaAs-wl5bn Год назад +2

    Utanitumia namba yako Mc

  • @user-qs4fb5fo5f
    @user-qs4fb5fo5f Год назад +1

    sawa inaruhusiwa lakini syo miaka 60 kwa 27 bora mm 34

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 Год назад +1

    MFANO wa mtume sio wa kuowa tu ni mengi tufanyeni pia mtume aliowa kwa sababu sio Kama huyu kijana mengine ALLAH AALAM huyu mpaka DINI ameacha sio MFANO wa mtume huu jameni MUNGU ATUPE MWISHO MWEMA JAMENI

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Год назад +1

    Inavoonesha kuwa huyu mwanamke anapenda wanaume wadogo, ndio maana ana saport upuuzi huo

    • @ndennkya9554
      @ndennkya9554 Год назад

      Na anavoyapepesa hayo macho inaonyesha ndo tabiake

  • @dollar105
    @dollar105 Год назад +1

    Io sauti kali🎉🎉🎉

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 Год назад

    ❤❤❤❤

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад

    Safi sana Dadate wangu

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад

    Tunamjuwa vizuri bibi shooo

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад +2

    Found and lost 👌👌

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад

    Somo umetoa mazuri Masha Allah

  • @theresiajames7574
    @theresiajames7574 Год назад

    Huu ni uongo mnataka tu attention ya media yenu.. hii media tu ndo inafuatilia.. 😢😅

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 Год назад

    Wewe unafagilia ili upewe tender ya u MC lkn mwanao wakiume wa kumzaa akijakutokea akakuletea kituko kama hicho utafurahi ? au kwa sababu imetokea kwa mtoto wa mwezio unaona sawa tu ?

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад

    Wao mamalauo la ukweli

  • @mariamrabera6667
    @mariamrabera6667 Год назад

    Twangoja arushi

  • @user-is7oc1gs2l
    @user-is7oc1gs2l 11 месяцев назад

    Huyo madam ameongea ukweli

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Год назад

    Umri haujalishi
    Mbona Nicole Kidman huko America aliolewa na umari wa 24 na.mumewe alikuwa na 70.

  • @emilyondari4796
    @emilyondari4796 Год назад

    Yuko biashara

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +1

    Kwani wamependana juzi jamani

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +1

    Jamani leyna umehonga😂

  • @user-tl7vy6rt3g
    @user-tl7vy6rt3g Год назад +3

    wanaumia roho kwani nini kinachowauma gari bovu huvutwa na gari zima mwache amkunjue ngozi

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +1

    Watu wamependana zamani waachieni wenyewe

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Watu wa dini mashekh lie keni wazi hili inafaa haifai

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Siijambo je kubadili dini hatari

  • @umahmed8273
    @umahmed8273 Год назад

    Sasa wewe kungwi unafunda watu na uko kwenye ndo vipi unachukua mume wa mtu 😮

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад

    Uyu aunty kanifuraisha

  • @florachogo243
    @florachogo243 Год назад

    Walewale

  • @wagyabiraso7029
    @wagyabiraso7029 Год назад

    Huyu dada nae no walewale waliokunywa uji wa mgonjwa na mgonjwa akafa njaa

  • @bensychepngetich5789
    @bensychepngetich5789 Год назад

    Is this story real or cloud chasing?

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Liyna unajifunza hapo?

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Год назад

    🙆🙆 kumbe ni hapa hapa Tanzania? Nilidhani ni Nchi za majirani zetu.

  • @ashasaidi1599
    @ashasaidi1599 Год назад

    Yani bibi kampenda uyu kijana mdogo kwasabu kaona aweza kusimamia mali za biasha najua wacha wampende jamani atamrishisha kamuni zote za biashara zake uyo bibi kaka anaakili bana

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 Год назад

      Kweli anataka kusaidiwa kazi na biashara

  • @mdmohammed9411
    @mdmohammed9411 Год назад +4

    Dini ya islam ina ruhusu lakin bibi sio muislam Kijana ndio mwisalm. Sasa bibi aslim kwetu waislam ina ruhus kabisa

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Год назад

      Naam

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Год назад +2

      Mtume Muhammad saw alimuowa Bi Khadidja alikuwa na myaka 40 sio 60 😢😢😢 mbona Wanataka kutuchafuliya dini Hawa

    • @rahmaarrington9019
      @rahmaarrington9019 Год назад

      Dini ya kiislam haijaruhusu kuowa mkristo ?

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Год назад

      ​@@khadidjasuleiman8006umri haijalishi hta kma ni sabini Bora wamependana lakini ni kma ni mkristo asilimu bc but kwenye umri sio mbaya

    • @Rose-ue2ho
      @Rose-ue2ho Год назад +1

      ​@@rahmaarrington9019Dini ya kiislam kama mume muislam na mke mkiristo inafaa kabisa bila ya kubadilisha dini lakini kama mume mkiristo na mke muislam haifai. Kila kitu kina sababu yake.

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 Год назад

    Mtume muhammad s.a.w alikuwa na miyaka 25 bi khadija ana miyaka 40 wamepishana miaka 15 bd alizaa watoto 6 kwa mtume muhammad s.a.w fatwima zaynabu rukayya ummu kuluthumu abdullah kasimu alikuwa bd mbichi
    Ss huyo bibi miaka 60 ht hedhi imekata atazaa nn? Haya miyaka 60 na kijana miyaka 27 wamekosana miaka 33😂 halafu cha ajabu kwa nn kijan alitadi kwa nn bibi asisilimu km alivyosilimu bi khadija?
    Mwanaume ni kiongozi ss kwa nn kijana aburuzwe alitad yan mpeni nasaha atajuta dini ya kweli ni uwiislam

    • @peacemakersplus37
      @peacemakersplus37 Год назад

      Tofauti ya 15yrs ni mama yake coz mshichana anaweza pata mimba akiwa miaka 13...hakuna tofauti na Huyu kijana...wacheni mama atunzwe vizuri...

    • @GimbiruGimode-bb3sx
      @GimbiruGimode-bb3sx Год назад

      We we mama na wrote waounga ndoa ya huyu bibi nyote mnaitaji ukombozi wa fikra tena sasa hivi

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 11 месяцев назад

      dini zote za ukweri hakuna dini ya uongo SEMA jingine. maana hata dini ya kikristo inaamini dini ya kweri ni ya kikristo. hakuna dini ya uongo