BIBI WA MIAKA 60 AMWAGA MACHOZI, MUME WAKE KUCHEPUKA NA MWANAMKE MWINGINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 79

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Год назад +11

    Nakupenda binti kizee nakupenda bi kikongweeee........nani anafahamu hiyo ngoma....

  • @yami_hami
    @yami_hami Год назад +2

    Wewe acha zako baba ako amesema umeoa inamana yeye muongo..mkeo kamkubali kumlea mtoto wewe kwanini unamkataa.BIbi Mwenyezi Mungu akuzidishie imani usimtupe mtoto.

  • @shabaninasolo8545
    @shabaninasolo8545 Год назад +1

    Wemwandishi vp unamwita mkewamwenzio bibi utapigwa 😅😅😂😅😅😅

  • @zuhuramussa3996
    @zuhuramussa3996 Год назад +1

    Huu ni usanii tu😅😅😅

  • @janniferkimani5153
    @janniferkimani5153 Год назад +4

    Huyu kijana ni mnadiki sana .am from 🇰🇪 sisi hatupendi mchezo DNA ipo ifanyike ...huyu mwanume ana kimbilia pesa juu hataki kuchoka.😂😂.chukuwa simu uamgalie message utapata ukweli wa mambo.

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Год назад +2

    Baba yako anasema amkuozesha binty age yako we unakataa, huwezi kuishi kwa wakwe au kwa mwanamke hapo ulipo uko kwa mwanamke kijana kuna maisha baada ya hapo😢😢😢

  • @zunirasalim7660
    @zunirasalim7660 Год назад +3

    Wewe tafuta mtu akuzalie huyo bibi hawezi zaa tena mpumbavu kweli bibi ana wajukuu ashamaliza kuzaa sasa wewe utaishi vp huna mtoto 😂😂😂

  • @ChristianhopegospelchurchMwaki

    Nakupenda mama hongera karibu kenya kwangu

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 Год назад +1

    Uongo mtupu, hiyo story ni ya kutengeneza hakuna ukweli wowote juu jambo hilo, wanatafuta kiki mitandaoni maisha yamewawia magumu uswahilini.

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +1

    Alikuwa Zambia 😂😂🤣 we ungelikuwa kaka yang ningekunyoosha 😂😂

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 Год назад

    Tengeneza bibi kijana awe very you, aende Saloon kasongwe vizuri

  • @user-fn6tb3si7m
    @user-fn6tb3si7m Год назад

    Duhh ama kweli

  • @ramadhaninkenka6286
    @ramadhaninkenka6286 Год назад +2

    Hii dunia rangi rangile huy kijana mwezetu ni msanii sana maisha ndo yanamfanya kuisaliti mpka familia yake kwa tama za pesa hivi dada wa watu akusingzie jamaa anatuzalilisha sana kwa vijana wote

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 Год назад

      Hakuna laana mbaya km kutelekeza damu yako na kutokuwatii wazazi, ni vema kujituma kuwa na maisha yenye kukujengeya kheshima kuwa mwanaume bora na kiongozi ktk family

  • @ashasaidi1599
    @ashasaidi1599 Год назад +2

    Wewe kaka ata babaako inamaana anadanganya kua una mtoto wako mbona analelewa na babaako yule acha ukm ww bibi atamlea uyo kama unavo lelewa wewe apo sasaivi acha ufala bwenge wewe bibi akuachi uyo nyoko ile damu yako kenge wewe kweli umerongwa mbwa ww

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 Год назад +3

    Mbon simuon bibi akitoa machozi

  • @ishyjuma2246
    @ishyjuma2246 Год назад +1

    From kenya,,,,yani hata mtoto pia anafanana na wewe na ndio wakataa

  • @jacklinejuma
    @jacklinejuma Год назад

    Mamae zako uwoni ata aibu tumelingana ujuwe pole mwana Rika mwenzangu

  • @user-kn8bm3kt1j
    @user-kn8bm3kt1j Год назад +1

    Mtot kafann na wew yan kopy ....had komweee 😂😂😂😂😂

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Год назад +2

    Mbona baba yake anasema kama Shine ana mke na mtoto, vipi yeye anakataa

  • @Official83640
    @Official83640 Год назад

    Hii tamthilia sijui mwisho itakuwaje maana kuna sehem nimekuta bibi kafariki 😂😂😂😂

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Год назад +3

    Je hana mpango wa kuzaa? Mbna amesema cjawahi kuishi kwao, hapo kasema kama anamfahamu

  • @yousufyousuf5963
    @yousufyousuf5963 Год назад

    Wabongo acheni tamaa fanyeni kazi munapenda mteremko mutakuwa mashoga nyinyi kila siku tunaona habari tu tz hakuna nchi nyengine

  • @aminatwaa9726
    @aminatwaa9726 Год назад

    Haiwezekan yule dada sio chizi sema wewe unataka hela 2 Hamna mapenzi hapo

  • @janniferkimani5153
    @janniferkimani5153 Год назад +2

    Bro kuna DNA😂.wanaume si wajaja ..

  • @user-kn8bm3kt1j
    @user-kn8bm3kt1j Год назад +1

    Yaan broh unamkana mwanooooo ...duh !!!ata baba ako nae muongo?????

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s Год назад

    Sasa mutazaa watoto 😂au

  • @rosemwanyalo5693
    @rosemwanyalo5693 Год назад

    Hii imeenda hii imeenda kabisa 🤣🤣🤣🤣❤❤❤

  • @ArmanKhan-oj3jx
    @ArmanKhan-oj3jx Год назад

    Dunia inaisha ikiamunguu😅😅

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b Год назад +1

    Mbona hawa watu wanakaa shida mingi,hawakai kuwa wenye mihela,ata bwana arusi ashaanza kuparara

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 Год назад

    Ila inaonekana siyo kweli yule dada Muongo sidhani kama anamtoto

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Год назад

    Babaako pia kathibitisha kuwa umemuachia ujukuu wa kike anaendelea kutoa huduma 😮😮😮😮😮

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Год назад +1

    Kisha rogeka huyo, nani anataka kukaa na bi kizee kama huyo

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Год назад

    Dah wallah mtihan unajitengenezea bom kubwa badae kama Kweli hata mtoto atakuja kumkataa mda akiwa Na uhitaji fimbo ya Mungu inatumika popote penye kosa

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 Год назад +1

    Mzinifu makazi yake ni motoni,Rudi kwa Allah kijana,Allah atujalie mwisho mwema nshallah

  • @user-tv4ij7ol7w
    @user-tv4ij7ol7w Год назад +3

    Wamama bila aibu huzini na vijana wadogo

    • @aminiivone9460
      @aminiivone9460 Год назад

      Nawavijana nao siwao wanapenda wenyewe

    • @aminiivone9460
      @aminiivone9460 Год назад

      Kwani wanawafungaka kusema wawapende ummmmmm

  • @florencewairimu8666
    @florencewairimu8666 Год назад

    DNA ifanywe hapo huyu kaka mzienzi

  • @claudiasauli8253
    @claudiasauli8253 Год назад

    Mnafiki tu kafata Hela .bibi kizee huyu Kwa mapenzi gani sio kwelii😂😂😂😂

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 Год назад

    Hakuna mapenzi apo wewe watafuta hela fala wewe

  • @kajalamaganga1913
    @kajalamaganga1913 Год назад +1

    Majirani w Tabata hotel karbuni 😂😂😂😂

  • @emilyondari4796
    @emilyondari4796 Год назад

    Mm huogopa watu wamevaa Pete Kama hizo za bibi

  • @RachelBriervanity1
    @RachelBriervanity1 Год назад +1

    Hawa wamepagawa na mapepo machafu

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 Год назад

    Eeeh makubwa haya

  • @engmartinkagiri8833
    @engmartinkagiri8833 Год назад

    😂😂😂unamchezo kijana eti mke wako 😂😂😂😂

  • @user-pb8pk3eb2w
    @user-pb8pk3eb2w Год назад

    Kazeeka gafla na mdomon ka Anna mapengo

  • @vickystephano224
    @vickystephano224 Год назад +1

    Ach kumkana mwanao

  • @ashaabdallahsheshe
    @ashaabdallahsheshe Год назад

    Nakosaje kwa mfano 😂😂😂😂😂😂

  • @ValerianNyaboke-uj1vt
    @ValerianNyaboke-uj1vt Год назад +2

    Kijana wacha ujinga tafuta kazi ufanye naona wewe hutaki kuchoka ndo maana unamng'ang'ania bibi,alafu ujue kuna DNA mbwa hii

  • @BrendaMarani-ml1lv
    @BrendaMarani-ml1lv Год назад

    Mimi wakati mwingine Huwa siwaekewi wa Tanzania sijui ni kuchanganyikiwa ama ni nini

  • @janniferkimani5153
    @janniferkimani5153 Год назад +2

    This shosho is so desperate sana badala atafute rika yake ana lala na mtoto wake .

  • @dinakipingo1905
    @dinakipingo1905 Год назад

    Ila Bibi ana sauti nzuri 😅😅😅😅

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Год назад

    Baba mkwewake madebe alimpapesa bintiambae afahamianina madebe akavuluge ule uchumba kwaiyo ni ishutu pendanenitu

  • @selinamenza-ob2vv
    @selinamenza-ob2vv Год назад

    Kujana usida nganye mana ya watu ukaja ukamnyo nga ukahepa na hella

  • @magrethmanintveld5477
    @magrethmanintveld5477 Год назад +2

    Kwa hiyo hata baba yake mzazi amedanya, hata sielewi

  • @zuhuramussa3996
    @zuhuramussa3996 Год назад

    Kijana umefeli sana unaongea huna hata haya

  • @ArmanKhan-oj3jx
    @ArmanKhan-oj3jx Год назад

    Wunapendana n'a bibi wako awa namama yakee😂😂🤔🤔

  • @matlidaemmanueli3785
    @matlidaemmanueli3785 Год назад

    kijana unawatoto wangapi samahani lakini

  • @severinmagwaya6453
    @severinmagwaya6453 Год назад

    Hii ni seasons au Movie?

  • @florencewairimu8666
    @florencewairimu8666 Год назад

    mtoto analewa na mamake

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Год назад

    Bi kikongwe ana nguvu hata ya kusimama na mtoto

  • @zoab2699
    @zoab2699 Год назад

    DNA ipo ya nn yote. Na ww bibiwe muogope allah we mwenyewe unataka kulelewa utaweza kulelea mtoto makubwa hayo madogo yananafu

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 Год назад

    Afadhali yakukaa single

  • @stellamwali1848
    @stellamwali1848 Год назад

    DNA ifanyue araka uyuu kijana pesa tuu

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Год назад

    Iyo inawezekana ishu imetengenezwa kuna filma ya madebe alimpendamke ila babamkwe akumpenda madebe Yule Baba akatengeneza ishu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    Hawa watu Wana uchizi.wasitufanye wajinga