Wewe acha zako baba ako amesema umeoa inamana yeye muongo..mkeo kamkubali kumlea mtoto wewe kwanini unamkataa.BIbi Mwenyezi Mungu akuzidishie imani usimtupe mtoto.
Huyu kijana ni mnadiki sana .am from 🇰🇪 sisi hatupendi mchezo DNA ipo ifanyike ...huyu mwanume ana kimbilia pesa juu hataki kuchoka.😂😂.chukuwa simu uamgalie message utapata ukweli wa mambo.
Baba yako anasema amkuozesha binty age yako we unakataa, huwezi kuishi kwa wakwe au kwa mwanamke hapo ulipo uko kwa mwanamke kijana kuna maisha baada ya hapo😢😢😢
Hii dunia rangi rangile huy kijana mwezetu ni msanii sana maisha ndo yanamfanya kuisaliti mpka familia yake kwa tama za pesa hivi dada wa watu akusingzie jamaa anatuzalilisha sana kwa vijana wote
Hakuna laana mbaya km kutelekeza damu yako na kutokuwatii wazazi, ni vema kujituma kuwa na maisha yenye kukujengeya kheshima kuwa mwanaume bora na kiongozi ktk family
Dah wallah mtihan unajitengenezea bom kubwa badae kama Kweli hata mtoto atakuja kumkataa mda akiwa Na uhitaji fimbo ya Mungu inatumika popote penye kosa
Nakupenda binti kizee nakupenda bi kikongweeee........nani anafahamu hiyo ngoma....
🤣🤣🤣🤣!!!!!!
Wewe acha zako baba ako amesema umeoa inamana yeye muongo..mkeo kamkubali kumlea mtoto wewe kwanini unamkataa.BIbi Mwenyezi Mungu akuzidishie imani usimtupe mtoto.
Wemwandishi vp unamwita mkewamwenzio bibi utapigwa 😅😅😂😅😅😅
Huu ni usanii tu😅😅😅
Huyu kijana ni mnadiki sana .am from 🇰🇪 sisi hatupendi mchezo DNA ipo ifanyike ...huyu mwanume ana kimbilia pesa juu hataki kuchoka.😂😂.chukuwa simu uamgalie message utapata ukweli wa mambo.
Baba yako anasema amkuozesha binty age yako we unakataa, huwezi kuishi kwa wakwe au kwa mwanamke hapo ulipo uko kwa mwanamke kijana kuna maisha baada ya hapo😢😢😢
Uposahihi hanaaibu sasahaponikwake
Wewe tafuta mtu akuzalie huyo bibi hawezi zaa tena mpumbavu kweli bibi ana wajukuu ashamaliza kuzaa sasa wewe utaishi vp huna mtoto 😂😂😂
Nakupenda mama hongera karibu kenya kwangu
Uongo mtupu, hiyo story ni ya kutengeneza hakuna ukweli wowote juu jambo hilo, wanatafuta kiki mitandaoni maisha yamewawia magumu uswahilini.
Alikuwa Zambia 😂😂🤣 we ungelikuwa kaka yang ningekunyoosha 😂😂
Tengeneza bibi kijana awe very you, aende Saloon kasongwe vizuri
Duhh ama kweli
Hii dunia rangi rangile huy kijana mwezetu ni msanii sana maisha ndo yanamfanya kuisaliti mpka familia yake kwa tama za pesa hivi dada wa watu akusingzie jamaa anatuzalilisha sana kwa vijana wote
Hakuna laana mbaya km kutelekeza damu yako na kutokuwatii wazazi, ni vema kujituma kuwa na maisha yenye kukujengeya kheshima kuwa mwanaume bora na kiongozi ktk family
Wewe kaka ata babaako inamaana anadanganya kua una mtoto wako mbona analelewa na babaako yule acha ukm ww bibi atamlea uyo kama unavo lelewa wewe apo sasaivi acha ufala bwenge wewe bibi akuachi uyo nyoko ile damu yako kenge wewe kweli umerongwa mbwa ww
Mbon simuon bibi akitoa machozi
From kenya,,,,yani hata mtoto pia anafanana na wewe na ndio wakataa
Mamae zako uwoni ata aibu tumelingana ujuwe pole mwana Rika mwenzangu
Mtot kafann na wew yan kopy ....had komweee 😂😂😂😂😂
Mbona baba yake anasema kama Shine ana mke na mtoto, vipi yeye anakataa
Hii tamthilia sijui mwisho itakuwaje maana kuna sehem nimekuta bibi kafariki 😂😂😂😂
Je hana mpango wa kuzaa? Mbna amesema cjawahi kuishi kwao, hapo kasema kama anamfahamu
😂😂😂😂
Wabongo acheni tamaa fanyeni kazi munapenda mteremko mutakuwa mashoga nyinyi kila siku tunaona habari tu tz hakuna nchi nyengine
Haiwezekan yule dada sio chizi sema wewe unataka hela 2 Hamna mapenzi hapo
Bro kuna DNA😂.wanaume si wajaja ..
Yaan broh unamkana mwanooooo ...duh !!!ata baba ako nae muongo?????
Sasa mutazaa watoto 😂au
Hii imeenda hii imeenda kabisa 🤣🤣🤣🤣❤❤❤
Dunia inaisha ikiamunguu😅😅
Mbona hawa watu wanakaa shida mingi,hawakai kuwa wenye mihela,ata bwana arusi ashaanza kuparara
Ila inaonekana siyo kweli yule dada Muongo sidhani kama anamtoto
Babaako pia kathibitisha kuwa umemuachia ujukuu wa kike anaendelea kutoa huduma 😮😮😮😮😮
Kisha rogeka huyo, nani anataka kukaa na bi kizee kama huyo
Dah wallah mtihan unajitengenezea bom kubwa badae kama Kweli hata mtoto atakuja kumkataa mda akiwa Na uhitaji fimbo ya Mungu inatumika popote penye kosa
Mzinifu makazi yake ni motoni,Rudi kwa Allah kijana,Allah atujalie mwisho mwema nshallah
Amiin
Mtihani kabisa
Wamama bila aibu huzini na vijana wadogo
Nawavijana nao siwao wanapenda wenyewe
Kwani wanawafungaka kusema wawapende ummmmmm
DNA ifanywe hapo huyu kaka mzienzi
Mnafiki tu kafata Hela .bibi kizee huyu Kwa mapenzi gani sio kwelii😂😂😂😂
Hakuna mapenzi apo wewe watafuta hela fala wewe
Majirani w Tabata hotel karbuni 😂😂😂😂
Mm huogopa watu wamevaa Pete Kama hizo za bibi
Hawa wamepagawa na mapepo machafu
Eeeh makubwa haya
😂😂😂unamchezo kijana eti mke wako 😂😂😂😂
Kazeeka gafla na mdomon ka Anna mapengo
Ach kumkana mwanao
Nakosaje kwa mfano 😂😂😂😂😂😂
Kijana wacha ujinga tafuta kazi ufanye naona wewe hutaki kuchoka ndo maana unamng'ang'ania bibi,alafu ujue kuna DNA mbwa hii
Kabisa
Iye chikala ichi
Mimi wakati mwingine Huwa siwaekewi wa Tanzania sijui ni kuchanganyikiwa ama ni nini
This shosho is so desperate sana badala atafute rika yake ana lala na mtoto wake .
Tulia simba hazeeki maini
Ila Bibi ana sauti nzuri 😅😅😅😅
Baba mkwewake madebe alimpapesa bintiambae afahamianina madebe akavuluge ule uchumba kwaiyo ni ishutu pendanenitu
Kujana usida nganye mana ya watu ukaja ukamnyo nga ukahepa na hella
Kwa hiyo hata baba yake mzazi amedanya, hata sielewi
Waongo hao
@@khadidjasuleiman8006 Waongo Sana
Kijana umefeli sana unaongea huna hata haya
Wunapendana n'a bibi wako awa namama yakee😂😂🤔🤔
kijana unawatoto wangapi samahani lakini
Hii ni seasons au Movie?
Reality show 🤣🤣🤣🤣
mtoto analewa na mamake
Bi kikongwe ana nguvu hata ya kusimama na mtoto
DNA ipo ya nn yote. Na ww bibiwe muogope allah we mwenyewe unataka kulelewa utaweza kulelea mtoto makubwa hayo madogo yananafu
Afadhali yakukaa single
DNA ifanyue araka uyuu kijana pesa tuu
Iyo inawezekana ishu imetengenezwa kuna filma ya madebe alimpendamke ila babamkwe akumpenda madebe Yule Baba akatengeneza ishu
Hawa watu Wana uchizi.wasitufanye wajinga