BIBI WA MIAKA 60 APEWA KICHAMBO KIZITO NA MR PIMBI, KIJANA AMEROGWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 94

  • @emilykuvunakonzi4276
    @emilykuvunakonzi4276 Год назад +1

    Pimbi nakupa yes❤👍👍👍

  • @dhahabukalama2635
    @dhahabukalama2635 Год назад +2

    Waaah 😂😂😂bb amefka kwa mr pimbi .sisi tunahitaji punyenye tupige wakaendelee na maisha yao

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Год назад +4

    Mr Pimbi the lecturer👍👍👍

  • @SaidSaleh-q5r
    @SaidSaleh-q5r Год назад

    Mr pimbi nakupenda bureeeee unaongeaga kweliiiiiii mwaaaaaaa

  • @rukwangarimoses5980
    @rukwangarimoses5980 Год назад +2

    Duh pimbi nakupata vizuri kutoka KIGALI uko sawa kabisa

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Год назад +1

    Milad ayo ypo vzr kw utngzji kulko mengo

  • @reallyman9836
    @reallyman9836 9 месяцев назад

    Kengele sio kengere akhhh

  • @khadijayunus9289
    @khadijayunus9289 Год назад

    Asante sana mista pimbi wewe kweli ni muzee wa fakt

  • @fatma5228
    @fatma5228 Год назад +2

    Wabongo. Wambea. Sana. Munabeba. Mambo. Ya. Watu. Kama. Mizigo

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Год назад

      😂😂😂😂😂😂tena wanahangaika vibaya sana😂

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t Год назад +1

    Wee kweli Pimbi. Kwetu Pimbi ni mwehu. Point muhimu ni kua bb huyo hana uwezo wa kupata mimba. Pia kiafrica ni aibu.

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Год назад

    Mr fact
    Bigapuuu sana aisee

  • @satarasatara6820
    @satarasatara6820 Год назад +2

    Sawa sawa pimbi umesema kweli hujakosea hisiya haizuiliki huna faikuifanaya alona pimbi kaogea mbeti ngonga laik

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 Год назад +2

    Nakukumbali pimbi😁

  • @aminasamir-n1x
    @aminasamir-n1x Год назад

    hapo sawa waache waonane

  • @sixmakota-vy8wc
    @sixmakota-vy8wc Год назад

    Poa sana kaka yangu uko sahihi sana hongera uko mwanaume wa shoka msema ukweli poa sana

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Год назад +1

    Kweli kabisa pimbi umeongea pointi. Nyinyi mnaumia nini

  • @DoriceGeogre
    @DoriceGeogre Год назад

    Kwel kabisa pimb umesema ukwel

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 2 месяца назад

    Mr pimbi uko na hekima za kutosha unasema kweli kabisa

  • @NuruKhamisi-d7l
    @NuruKhamisi-d7l Год назад

    Ss wapembeni hatuumii wala hatupasuki ila huyu Bibi ni fala ana tabia mbaya paka house boy!!!!!!!!!!!!!!😮😮😮😮😮😮

  • @tamausikanye9604
    @tamausikanye9604 Год назад +2

    bibi naye piya anaweza karogwa na uyo kijana pamoja na mama yake kwani ana musipoti kijana wake

  • @mamapeace6730
    @mamapeace6730 Год назад +1

    Safi sana pimbi

  • @Hi-jw1mw
    @Hi-jw1mw Год назад

    Pimbi apo nakupongeza sanaaaa ukweli kabisa umeongea ukweli ongeraa sanaaaa kwa ndoa yakoooooo

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Год назад

    Mr Pimbi Mimi nina kukubali SANA unatumia hekima ktk majibu YAKO

  • @bienfaitmunyabe2206
    @bienfaitmunyabe2206 Год назад +1

    JB amerazimishwa kumuowa tima alafu nawewe naona umelazimishwa kumuowa bibi Yako vraiment l'enfer c'est les autres🇨🇩

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 Год назад +8

    Pimbi ndugu yangu japo umeridhika na maisha inakubidi upunguze uzito kwa sababu huo uzito wako na urefu wako haulingani na uzito mkubwa una madhara nyingi

    • @Madam255
      @Madam255 Год назад

      Sasa mwili ni wake na ameridhika nao wewe kinakuwasha nini

    • @rerisamba
      @rerisamba Год назад

      Nikweli huo mwili una madhara hua ni kula sana

    • @HIJRAOMARIABASI
      @HIJRAOMARIABASI Год назад

      😂

    • @Madam255
      @Madam255 Год назад

      @@rerisamba karidhika nao jaman miungu watu

    • @JoachimOmpesh
      @JoachimOmpesh Год назад +1

      Punguza Kula unene siyo sifa unajiletea maradhi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +1

    Ndugu yangu Pimbi punguza uzito.Kisukari ni hatari😢

    • @LameckSumun-bb1dv
      @LameckSumun-bb1dv Год назад

      Pip mupenzi wetu rameck fromu Zambia mpunguza mwiri mambo anaanza guharibik atakama nikuongea kama vire vyakizaman huwezi pimpin nakuomba ujion

  • @milnertv8079
    @milnertv8079 Год назад

    Pimbi unachokisema sawa lakini ubaya uliopo hawo dini zao ni tafauti kwanza msiwapoteze watu hakuna sheria zinazo ruhusu majusiano hapo japana ndoa

  • @NicksonSanga-ce5gy
    @NicksonSanga-ce5gy Год назад

    Nakubali pimbi

  • @fatuma2692
    @fatuma2692 Год назад

    Waambie broo waelewe

  • @rosemwanyalo5693
    @rosemwanyalo5693 Год назад +1

    Harusi lini bibi?

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад

    Pimbi upo sahihi nakukubali unaongea point

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 Год назад +2

    Mr.Pimbi unajiita mzee wa fact ila kwa hili umechemka,yani kwa uzoefu wako unaona hiyo story ni ya kweli!!!???,ukiwachunguza vizuri hao watu,huoni kuwa hiyo ni story ya kutengeneza?,au na wewe umepewa mgao ili utuaminishe kuwa ni story ya kweli?,aaah,Mr.Pimbi unaharibu Brand yako,achana na habari hizo bro.

    • @zuhuramwanafuno1851
      @zuhuramwanafuno1851 Год назад +1

      😂😂huu mchezo mi nnshaelewa kitambo hasa hivi hawanilii mb zangu uwongo uwo

  • @SakinaMuhsin-nc4zq
    @SakinaMuhsin-nc4zq Год назад

    Hiyo muvi yenu inaiaha lini maana tumewachoka,kila siku mnatafuta watu kuongea sasa nasema muacheni bibi😅😅

  • @asminmakoha6889
    @asminmakoha6889 Год назад

    😂😂 pililinaye namapepe akalishe chini mkundu akwende uko angalie yakwake

  • @ريزتيكينيا
    @ريزتيكينيا Год назад

    Umeongea vzr sana

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 Год назад

    Mr pimbi umenenepa punguza kura ila umeongea ukweli nitamaa yahela tu sisi wanaume tutafute hela tufanya Kazi mtuji wamasikini ninguvu jake yeye mwenyewe.

  • @charlyngoie5458
    @charlyngoie5458 Год назад

    Umeongea ukweli bro

  • @ColetteAyubu
    @ColetteAyubu Год назад

    Kweli kabisa

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses541 Год назад +1

    Pimbi ana akili nyingi sana aisee.

  • @AzizahOmary-xr9js
    @AzizahOmary-xr9js Год назад

    Mr pimbi uko sasa

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903 Год назад +1

    Nimependa maneno yako pimbi

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 Год назад

    Anaweza kua hajarogwa ni tamaa tu .huyu bibi huenda mgonjwa anasambaza

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 Год назад +1

    Nikweli bibi anamiaka 60 kwa kijana wamiaka 27 👍👍👍👍

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 Год назад +1

    Umeongea ukweli Mr pimbi Mzee wafact nakukubali sana hyo mwananke nimjinga sana hajitambui

  • @SuzyJaphet
    @SuzyJaphet Год назад

    Safii sana pimbi big up mfup lakin unaakili sana uje tena ngurumo ❤

  • @jeffcheta
    @jeffcheta Год назад

    Wewe pimbi unampiga kijembe Diamond hapo Kwa kunenepa

  • @mistahkeytvkenya4211
    @mistahkeytvkenya4211 Год назад +1

    Pimbi Yuko sai kabisa

  • @joycemaina2126
    @joycemaina2126 Год назад

    Mimi siwezi but love doesn't love age..wacha wapendane

  • @Godneverfailed
    @Godneverfailed Год назад

    Mr pimbi umesahau Mambo na watoto ,nyanya hawezi kuzaa

  • @spanshermuriithi
    @spanshermuriithi Год назад

    Wacheni bibi aolewe ....mapenzi haiingiliwiii

  • @fundijumakimbaru7622
    @fundijumakimbaru7622 Год назад

    Sikweri siumemuona ata mgagawao

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Год назад

    Uyu nae Kila kitu yupo vingine viache viende

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah5895 Год назад

    Pimbi anasema ndoa yake changa miezi 7 saivi anasema ana watoto wa3 apo aje

  • @milnertv8079
    @milnertv8079 Год назад +1

    Huyo kijana kamuacha mke wake walali huyo kafata pesa msijadili sana

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 Год назад

      Hana mke Wala mtoto ni baba yake kijana kasema mtoto wake Hana mke Wala mtoto

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903 Год назад

    Nimependa uelewA

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 Год назад +2

    Money talk Mr. Pimbi dunia ya Leo money ni uchawi mkubwa

  • @hussenrama6216
    @hussenrama6216 Год назад

    Maneno yako ni mazuri hakika.

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Год назад

    We pimbi nawe ndo ukaita pimbi duh wasema kijana akiwa na miaka 40 hafiki huko nawe mfereji ya mikojo itazubuliwa aishiye oc huko

  • @MohamedramadhaniJumanne
    @MohamedramadhaniJumanne 8 месяцев назад

    Na ile gari yake au walikuwa wanaazima au vp hapo

  • @HAshimHamdani-dg1ws
    @HAshimHamdani-dg1ws Год назад

    Huna baya mr pimbi

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Год назад

    kwni mengo c utfte tarfa za mana ndgu yngu wiki nzma utngza NDoA y bibi n kijna

  • @josephamani
    @josephamani Год назад

    HAKUNA KITU HICHO HAYO SI MADILI YETU WA TANZANIA KIJANA KALOGWA

  • @HabibuabdiAmiri
    @HabibuabdiAmiri Год назад

    Pimbi unapoit sana

  • @twarikmuditwarikmudi7091
    @twarikmuditwarikmudi7091 Год назад

    Nyinyi waandishi mutaorewa mbona kama munataka kuorewa nyinyi waacheni

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 Год назад

    Ndumbaaa😂😂

  • @rukwangarimoses5980
    @rukwangarimoses5980 Год назад +1

    Kuna pointi Kali sana pimbi anaongea lbda Kuna mkataba Fulani pale

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Год назад

    Mtu akipitia mengi anakua sio sahihi

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Год назад

    Pimbi kapime presha c kwa unene huo

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 Год назад

    Umesema uķwelimjukuu wangupimbi ukifikisha kiwango cha kuwa hupati damu ya kill mwezi na hisia zinahama iliobaki ni kujidhalilisha tu

  • @fatuma2692
    @fatuma2692 Год назад

    Ayo mengine muachieni mungu cio yenu

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Год назад

    Milad ayo harudii tarfa mra 2 lkn kwnin mngo unrudia tarfa Hz kla sku

  • @hamidaabdul6004
    @hamidaabdul6004 Год назад

    Watanzania acheni ufala mtarevuka lini what does this matter to you oh for sure mind ur own business

  • @shilashango4040
    @shilashango4040 Год назад

    😂😂😂😂

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa8890 Год назад

    Unaunga mkono uongo

  • @fatuma2692
    @fatuma2692 Год назад

    Nashindwa waungulika kwa nini

  • @InnocentChemistryExperim-dl8mx
    @InnocentChemistryExperim-dl8mx 17 дней назад

    0c

  • @HedgGf0-ih8lz
    @HedgGf0-ih8lz Год назад +1

    Acheni ubea bibi afunge ndoa

  • @kijokasumu
    @kijokasumu Год назад

    choyo tu mwacheni bibi afurahie kitu chake alichochagua

  • @florenceatambo2579
    @florenceatambo2579 Год назад

    Acha watu wapendane bana ,kila siku kwani ni bibi na kijana,,achana nao kabisaaaa booo

  • @MorangaEvode-lw6bi
    @MorangaEvode-lw6bi Год назад

    Sematu Tanzania kunamambo nikama kihama kinaanzia huko huko tz

  • @celestejodi
    @celestejodi 6 месяцев назад

    who in the hell name pimpi is that a name or what?