Pimbi ndugu yangu japo umeridhika na maisha inakubidi upunguze uzito kwa sababu huo uzito wako na urefu wako haulingani na uzito mkubwa una madhara nyingi
Mr.Pimbi unajiita mzee wa fact ila kwa hili umechemka,yani kwa uzoefu wako unaona hiyo story ni ya kweli!!!???,ukiwachunguza vizuri hao watu,huoni kuwa hiyo ni story ya kutengeneza?,au na wewe umepewa mgao ili utuaminishe kuwa ni story ya kweli?,aaah,Mr.Pimbi unaharibu Brand yako,achana na habari hizo bro.
Mr pimbi umenenepa punguza kura ila umeongea ukweli nitamaa yahela tu sisi wanaume tutafute hela tufanya Kazi mtuji wamasikini ninguvu jake yeye mwenyewe.
Pimbi nakupa yes❤👍👍👍
Waaah 😂😂😂bb amefka kwa mr pimbi .sisi tunahitaji punyenye tupige wakaendelee na maisha yao
Mr Pimbi the lecturer👍👍👍
Mr pimbi nakupenda bureeeee unaongeaga kweliiiiiii mwaaaaaaa
Duh pimbi nakupata vizuri kutoka KIGALI uko sawa kabisa
Milad ayo ypo vzr kw utngzji kulko mengo
Kengele sio kengere akhhh
Asante sana mista pimbi wewe kweli ni muzee wa fakt
Wabongo. Wambea. Sana. Munabeba. Mambo. Ya. Watu. Kama. Mizigo
😂😂😂😂😂😂tena wanahangaika vibaya sana😂
Wee kweli Pimbi. Kwetu Pimbi ni mwehu. Point muhimu ni kua bb huyo hana uwezo wa kupata mimba. Pia kiafrica ni aibu.
Mr fact
Bigapuuu sana aisee
Sawa sawa pimbi umesema kweli hujakosea hisiya haizuiliki huna faikuifanaya alona pimbi kaogea mbeti ngonga laik
Nakukumbali pimbi😁
hapo sawa waache waonane
Poa sana kaka yangu uko sahihi sana hongera uko mwanaume wa shoka msema ukweli poa sana
Kweli kabisa pimbi umeongea pointi. Nyinyi mnaumia nini
Kwel kabisa pimb umesema ukwel
Mr pimbi uko na hekima za kutosha unasema kweli kabisa
Ss wapembeni hatuumii wala hatupasuki ila huyu Bibi ni fala ana tabia mbaya paka house boy!!!!!!!!!!!!!!😮😮😮😮😮😮
bibi naye piya anaweza karogwa na uyo kijana pamoja na mama yake kwani ana musipoti kijana wake
Safi sana pimbi
Pimbi apo nakupongeza sanaaaa ukweli kabisa umeongea ukweli ongeraa sanaaaa kwa ndoa yakoooooo
Mr Pimbi Mimi nina kukubali SANA unatumia hekima ktk majibu YAKO
JB amerazimishwa kumuowa tima alafu nawewe naona umelazimishwa kumuowa bibi Yako vraiment l'enfer c'est les autres🇨🇩
Pimbi ndugu yangu japo umeridhika na maisha inakubidi upunguze uzito kwa sababu huo uzito wako na urefu wako haulingani na uzito mkubwa una madhara nyingi
Sasa mwili ni wake na ameridhika nao wewe kinakuwasha nini
Nikweli huo mwili una madhara hua ni kula sana
😂
@@rerisamba karidhika nao jaman miungu watu
Punguza Kula unene siyo sifa unajiletea maradhi
Ndugu yangu Pimbi punguza uzito.Kisukari ni hatari😢
Pip mupenzi wetu rameck fromu Zambia mpunguza mwiri mambo anaanza guharibik atakama nikuongea kama vire vyakizaman huwezi pimpin nakuomba ujion
Pimbi unachokisema sawa lakini ubaya uliopo hawo dini zao ni tafauti kwanza msiwapoteze watu hakuna sheria zinazo ruhusu majusiano hapo japana ndoa
Nakubali pimbi
Waambie broo waelewe
Harusi lini bibi?
Pimbi upo sahihi nakukubali unaongea point
Mr.Pimbi unajiita mzee wa fact ila kwa hili umechemka,yani kwa uzoefu wako unaona hiyo story ni ya kweli!!!???,ukiwachunguza vizuri hao watu,huoni kuwa hiyo ni story ya kutengeneza?,au na wewe umepewa mgao ili utuaminishe kuwa ni story ya kweli?,aaah,Mr.Pimbi unaharibu Brand yako,achana na habari hizo bro.
😂😂huu mchezo mi nnshaelewa kitambo hasa hivi hawanilii mb zangu uwongo uwo
Hiyo muvi yenu inaiaha lini maana tumewachoka,kila siku mnatafuta watu kuongea sasa nasema muacheni bibi😅😅
😂😂 pililinaye namapepe akalishe chini mkundu akwende uko angalie yakwake
Umeongea vzr sana
Mr pimbi umenenepa punguza kura ila umeongea ukweli nitamaa yahela tu sisi wanaume tutafute hela tufanya Kazi mtuji wamasikini ninguvu jake yeye mwenyewe.
Umeongea ukweli bro
Kweli kabisa
Pimbi ana akili nyingi sana aisee.
Mr pimbi uko sasa
Nimependa maneno yako pimbi
Anaweza kua hajarogwa ni tamaa tu .huyu bibi huenda mgonjwa anasambaza
Nikweli bibi anamiaka 60 kwa kijana wamiaka 27 👍👍👍👍
Umeongea ukweli Mr pimbi Mzee wafact nakukubali sana hyo mwananke nimjinga sana hajitambui
Safii sana pimbi big up mfup lakin unaakili sana uje tena ngurumo ❤
Wewe pimbi unampiga kijembe Diamond hapo Kwa kunenepa
Pimbi Yuko sai kabisa
Mimi siwezi but love doesn't love age..wacha wapendane
Mr pimbi umesahau Mambo na watoto ,nyanya hawezi kuzaa
Wacheni bibi aolewe ....mapenzi haiingiliwiii
Sikweri siumemuona ata mgagawao
Uyu nae Kila kitu yupo vingine viache viende
Pimbi anasema ndoa yake changa miezi 7 saivi anasema ana watoto wa3 apo aje
Huyo kijana kamuacha mke wake walali huyo kafata pesa msijadili sana
Hana mke Wala mtoto ni baba yake kijana kasema mtoto wake Hana mke Wala mtoto
Nimependa uelewA
Money talk Mr. Pimbi dunia ya Leo money ni uchawi mkubwa
Maneno yako ni mazuri hakika.
We pimbi nawe ndo ukaita pimbi duh wasema kijana akiwa na miaka 40 hafiki huko nawe mfereji ya mikojo itazubuliwa aishiye oc huko
Na ile gari yake au walikuwa wanaazima au vp hapo
Huna baya mr pimbi
kwni mengo c utfte tarfa za mana ndgu yngu wiki nzma utngza NDoA y bibi n kijna
HAKUNA KITU HICHO HAYO SI MADILI YETU WA TANZANIA KIJANA KALOGWA
Pimbi unapoit sana
Nyinyi waandishi mutaorewa mbona kama munataka kuorewa nyinyi waacheni
Ndumbaaa😂😂
Kuna pointi Kali sana pimbi anaongea lbda Kuna mkataba Fulani pale
Mtu akipitia mengi anakua sio sahihi
Pimbi kapime presha c kwa unene huo
Umesema uķwelimjukuu wangupimbi ukifikisha kiwango cha kuwa hupati damu ya kill mwezi na hisia zinahama iliobaki ni kujidhalilisha tu
Ayo mengine muachieni mungu cio yenu
Milad ayo harudii tarfa mra 2 lkn kwnin mngo unrudia tarfa Hz kla sku
Watanzania acheni ufala mtarevuka lini what does this matter to you oh for sure mind ur own business
😂😂😂😂
Unaunga mkono uongo
Nashindwa waungulika kwa nini
0c
Acheni ubea bibi afunge ndoa
choyo tu mwacheni bibi afurahie kitu chake alichochagua
Acha watu wapendane bana ,kila siku kwani ni bibi na kijana,,achana nao kabisaaaa booo
Sematu Tanzania kunamambo nikama kihama kinaanzia huko huko tz
B yghug,,,d
V
who in the hell name pimpi is that a name or what?