MAPYA YA BIBI NA BABU UTACHEKA |KICHEKO ALICHOKITOA BIBI BAADA YA KUMUONA ZAHIR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
    kwa Mfano
    1 - WENYE MARADHI
    2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
    3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
    4 - UBAKAJI
    5 - MATUKIO YA KIKATILI
    6 - AJALI
    7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
    8 - WAZEE NA WATOTO
    ___________________________________________________________________________________
    KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
    Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
    Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
    Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

Комментарии • 257

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy4612 3 года назад +42

    Kama wawapenda bibi na babu weka like hapa kwaajili ya upendo juu yao❤❤❤❤❤

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 3 года назад +17

    Bibi nikimuona nacheka tu kwa kicheko chake MASHAALLAH ❤

  • @memoryngambi3758
    @memoryngambi3758 3 года назад +8

    Bibi na Babu tuliwamis Sana Asante maximum kwatuletea ndugu zetu,tunwapenda Sana,Bibi is always happy.

  • @aishajeanine3552
    @aishajeanine3552 3 года назад +7

    Masha'Allah nawapenda sana babu na bibi nawatakia maisha marefu yenye amani. Shukran kk zahir

  • @upendomapile1234
    @upendomapile1234 3 года назад +10

    Woooow Asante kwa kutuletea Bibi na baba yetu

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +4

    Jaman bb na babu nliwa miss sana nlimis kicheko cha bb mashallahu Mungu Awabarki wazee wetu

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 3 года назад +9

    Jmn niliwamiss sana bibi na babu 😚😚Allah awape Umri mrefu inshaallah 🙏🙏awaondolee maradh ahsante sanaa kwa kutuletea hawa watu🙏🙏

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 3 года назад +7

    Masha Allah, kaka zahiri leo umepata thawabu mara mbili, 1 umeenda kuwatembelea wazee, 2 umewakumbusha kumcha mwenyezi MUNGU, Allah azidi kukupa afya njema,humri mrefu pamoja na rizki za halali

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад

      Amiin

    • @arafahassan5257
      @arafahassan5257 3 года назад +1

      Allah amlipe mara duru na amjaalie umry twawwil na afya njema ammin thumaaamin

  • @zahraalhabsi7931
    @zahraalhabsi7931 3 года назад +3

    Mashallah mashallah mm hii family naipenda Sana,m/mungu awape furahaa daima bibi na babu, Zahir hongera Sanaa bro m/mungu akupe afya njema na akufungulie milango ya kheri na Baraka akulinde na hasda za watu yarab

  • @princebabu6977
    @princebabu6977 3 года назад +6

    Masha Allah Zahir umefanya jambo zuri kumkumbusha kuhusu ibada Allah atakulipa kwa ukumbusho wako

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 3 года назад +1

    MashaAllah nimefurahi kuwaona Zahir na group la maximumtv ahsante

  • @hidayamwinyi974
    @hidayamwinyi974 3 года назад +10

    Bibi masha Allah anafuraha muda wote 😍

  • @iammarriey2861
    @iammarriey2861 3 года назад +1

    Nilikua nime wa miss big up bro zahir much love from Nairobi Kenya

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 3 года назад +3

    Masha Allah. Asie na mtu ana Mungu.🤲🤲🤲.Mungu akufanyie wepesi kaka zahir.

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 3 года назад +1

    Mashaallah mwenyezi mungu
    Awazidishie umri mlefu

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 года назад +7

    Manshallah tumewamiss sana bibi na babu ❤❤

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +6

    Mashaaa Allah jamaniii hii familia Naipenda zahr usiwatupe hao wazee mungu awape afya njema😘😘😘😘😘❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋

  • @didaomar3204
    @didaomar3204 3 года назад +2

    Masha Allah nawapenda hawa bibi na babu masha Allah mungu awaongezee umri mrefu aamin na zahir mungue aongeze kukupa uwezo wa kusaidia watu kama hao aamin yarabby 🙏

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 3 года назад +1

    Babu kaa kusali na umri unao kaombee dua Hao walio kusaidia maesha yenu mungu yawabariki zaidi kupata maesha Mazuri zaidi

  • @rokiroki1825
    @rokiroki1825 3 года назад +3

    MashaaAllah tumewamiss san

  • @aishaibrahim5300
    @aishaibrahim5300 3 года назад +10

    Maashallah mungu akupe maisha marefu zahiri

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 3 года назад +1

      ALLAH awape umri mrefu wazee wetu.Ila Zahir wakumbushe kufanya ibada.Hatujui siku na saa ya kuondoka duniani

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 3 года назад +1

    Masha allah bibi amefurahi mungu awajalie kheri bibi na babu

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 3 года назад

    Mashallhaaa bibi nababu mungu awapemaisha memazaidi

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 3 года назад +1

    Uyu babu 😃😃 mic San hii couple 😘

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +5

    Upawa ndio yenyewe original . vijiko vya mabati vinanyesha sumu especially kwa vitu vyenye limau . Babbu ana wivu kweli 🤣🤣🤣🤣 Mashaallah watoto wa hiari Mungu awabariki , awazidishiye wanachokitoa . Ama kweli Asomtu ana Mungu , huyo ndio Mungu anakuletea risk kupitia kwa mtu hata hukumjua .

  • @fauziaabdullah3733
    @fauziaabdullah3733 3 года назад +13

    babu na bibi MashaAllah wako vizuri zahir na team maximam hongereni

    • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
      @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 3 года назад

      ruclips.net/video/f9aLcliz94w/видео.html

    • @nasliasuleiman6954
      @nasliasuleiman6954 3 года назад

      Swalini wazee Allah kawafanyia msaada mkubwa mumetoka mbali mlikuwa namaisha magumu saivi mmepata furaha yote nirehmazake Allah hamtupimjawake ukimuwabudu usimuabudu riskiatakupa tujitahidini nduguzangu siokuswali ijumaa tu

    • @fauziaabdullah3733
      @fauziaabdullah3733 3 года назад

      @@nasliasuleiman6954 kweli kabisa zahir angewambia wa swali wanunuliwe mswala na nguo za kuswalia

  • @khadijaamryyahaya3894
    @khadijaamryyahaya3894 3 года назад +3

    Waooooo mashaallah jaman niliwamiss sana bibi na babu😘😘

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 3 года назад +1

    Mashaallah bibi na babu wako kizamani wenyewe na upawa

  • @Maryam-yt8lw
    @Maryam-yt8lw 3 года назад

    Mashaallah mungu wape maisha marefu yenye kher na baraka

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 года назад +2

    Mashallah unefanya vizuri sana zahir nilimis sana cheko la bibi nawapenda sana

  • @fatmam1997
    @fatmam1997 3 года назад +1

    Mashaallah yaani zahir leo umefanya kitu muhimu sana kuwakumbusha suala la ibada .. Allah akubarik akulipe kila zuri Amiin

  • @ashaa497
    @ashaa497 3 года назад +6

    Mashaallah bibi na babu nawaombea maisha malefu lnshaallah

  • @khadjahakamali1979
    @khadjahakamali1979 3 года назад +2

    MashaAllah wasia mzuri

  • @zainakuzenza759
    @zainakuzenza759 3 года назад +1

    Alhamdulillah Allah akulipe kheri Zahir na timu yako nilikuwa nimewamiss sana babu na bibi jamani kicheko cha bibi mi hoi bibi Allah akuweke na mumeo

  • @marcellyimo283
    @marcellyimo283 3 года назад +1

    hongera kaka

  • @linakuha2059
    @linakuha2059 3 года назад +7

    Mashallaa

    • @HappynessJose
      @HappynessJose 3 года назад

      Bibi anacheka sana mungu awasandie afya njema

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 3 года назад +1

    Bibi na babu wako happy mashaallah 😘😘😘😘

  • @fatumasalumu2869
    @fatumasalumu2869 3 года назад

    Nawapenda san babu na bibi jmn 💋💋💋

  • @mwanakherialihassan4379
    @mwanakherialihassan4379 3 года назад +1

    Wamo vizurii

  • @witnesschananja8993
    @witnesschananja8993 3 года назад

    Nawapenda mnoo jmniii Babu na bib Mungu awape maishaaa marefu🥰🥰

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 3 года назад +1

    Nimefurahi kuwaona maashallah mungu akuzidishieni yaarabi ameen 🙏🙏🙏🙏🙏Salaah ndio muhimu Kuliko vyote yaarabi

  • @yustakivi6842
    @yustakivi6842 3 года назад +3

    Waoooo Bibi yangu jaman niliwakumbuka Sana Hawa wazee

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 года назад

    Woooooow

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 3 года назад +4

    Jaman huyu anaewatunza hawa wazee Allah amjaalie kila la kher dunian na kesho akhera

  • @mwajomaessa7513
    @mwajomaessa7513 3 года назад +4

    Masha Allah

  • @mwanaidmajani856
    @mwanaidmajani856 3 года назад +1

    Mashallah jaman bibi na babu

  • @sinayitutseomar5721
    @sinayitutseomar5721 3 года назад +1

    Hadi rahaaaa Masha allah

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 года назад

    Mashaaallah bb Hanuni yeye anacheka tuu

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 3 года назад

    Masha allah tulikuwa tumewakumbuka kaka zahiri usiwasahawu awooo

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania6301 3 года назад +1

    Waaaaooooooo babu na bibi jamani

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Год назад

    Mashallah Allah atakulipa Zahiri

  • @alshabje7185
    @alshabje7185 3 года назад +1

    Mashallah mungu awajalie nyote kwa jumla inshaallah

  • @Som-Hanoolaato
    @Som-Hanoolaato Год назад

    Wafunzeni pia Dikrillaah. (SubhanAllah, Alhamdulillah, AllaahuAkbar) na Astakhfirullah, na Sallialaa Nabi (Sallaallahu Aleyhi Wa Salam)
    Asanta kwa bidiiyako kiiaan.

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 3 года назад

    Mashaalah babu na bibi jaman

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe7248 3 года назад

    Mungu awalinde🙏🙏🙏

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs6939 3 года назад +1

    bibi anahitaji mewani ya macho haoni vizuri

  • @mereyamhomesmariamhomes3464
    @mereyamhomesmariamhomes3464 3 года назад +1

    Shukran

  • @ndanukimeu4456
    @ndanukimeu4456 3 года назад +1

    Wow,may they live longer,God has really blessed them🇰🇪

  • @momembe9980
    @momembe9980 3 года назад

    Mungu akubaliki kwa kuwafanya hawa wazee kuwa na furaha mda wote

  • @suzanbulima4786
    @suzanbulima4786 3 года назад +2

    Waoooo niliwamis bb na babu

  • @material_liv4674
    @material_liv4674 3 года назад

    Duh leo ZAHIRI umefanya kitu cha maana sana kwa kuwatembelea akina bibi na babu nimefurahi sana 🥳🥳🤩🤩👏👏👏👏

  • @fariarizaq7528
    @fariarizaq7528 3 года назад

    Mashaallah mashaallah Allah awape maisha marefu bibi na babu zahir good job bro 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @pendopendojoshua7624
    @pendopendojoshua7624 3 года назад

    Nampenda Sana Bibi anacheka kicheko Cha ndani kabisa Cha furaha

  • @bimgenabdulrasool5987
    @bimgenabdulrasool5987 3 года назад

    Mashaallah nimefurahi kuwaona babu na bibi niliwamiss sana

  • @shamzone388
    @shamzone388 3 года назад +2

    Zahir hakuna atakae kulipa ila Allah
    Allah amrehem mama yako na akujalie uzima na afya nateam yako yoote Allahuma Amin

  • @chunaaomar8743
    @chunaaomar8743 3 года назад +4

    Zahiri you are so funny🤣🤣

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 3 года назад

    Bibi na babu wa maximum nawapenda sanaa.

  • @zeynahally3372
    @zeynahally3372 3 года назад

    Zahiri mungu akuongoze inshallh🙏

  • @lovenessgodson1075
    @lovenessgodson1075 3 года назад +1

    Wooow Bibi ake Zahir 😘😘😘kafurahi mno

  • @happykimario2386
    @happykimario2386 3 года назад +3

    Asante sana Zahir kwa kutuletea Bibi na babu kicheko Cha Bibi tu mi hoi 🤣🤣🤣

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 3 года назад +4

    oyoooooooooo niliwamiss jamani bibi babu

  • @naimaislam552
    @naimaislam552 3 года назад

    Nawapenda saaana mashallah

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 3 года назад +8

    Allah awajaalie maisha marefu

  • @severinakigura5828
    @severinakigura5828 3 года назад +1

    Zahri wazee wamependeza Wana afya njema hakika Mungu hatakutupa . fungu lako lipo kwa mwenyezi Mungu. pia nakushauri upunguze uzito mwili mkubwa huo mwanangu.

  • @moo4455
    @moo4455 3 года назад

    waoo zair nimekumis jamani nawapenda bibi na babu

  • @fauziaomary8903
    @fauziaomary8903 3 года назад +1

    Hakika leo kaka zahri umefanya jambo la muhimu kweli kuwakumbusha ibada Allah awazidishie yenye kheir amiin

  • @lindazawadi732
    @lindazawadi732 3 года назад +1

    Bibi na babu ❤️❤️❤️❤️😍😍😍😍😍😍❤️❤️

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +2

    Nasubiria komet ziwe nyng in shaa Allah nitaangalia kesho

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад

    Maashallah bibi na babu

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 3 года назад +1

    Wapii kitambi Fanya mpango umeme uwafike wazee wetu

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 3 года назад +2

    Manshallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @hadjamlkong0851
    @hadjamlkong0851 3 года назад

    Bbi kawa mweupe dah mungu awaepushe na maradhi

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 года назад +1

    Mumgu azidi kuwalinda insha Allah.

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 3 года назад +3

    Allah amjaalie shifaa Karim

  • @halimaahmed1454
    @halimaahmed1454 3 года назад

    Niliwamiss sana bibi na babu kaka Zahir mungu akuzidishie imani

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 3 года назад +1

    Safi brother zahir kuwakumbusha mema

    • @devotaphilip0185
      @devotaphilip0185 3 года назад

      Mashallaa babu na Bibi niliwamis sana wanapendeza ongera sana ka zahiri

  • @hanifaabdallah7372
    @hanifaabdallah7372 3 года назад

    Nafuatilia Sana vipindi vyako Zahir Yani navipenda hatar upo vizuri sana

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 3 года назад +1

    masha Allah bibi na babu bado wapo gado

  • @theempressmadam
    @theempressmadam 3 года назад +2

    Jiko la mkaa ni hatari kwa afya ndani.!👁

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад

    Nimefurahi kuwaona 😍😍😍😍💛🙏🙏🙏💛💛😍💓💓💓💓💓💓💛💛💛💛😍😍😍😍🤩🤩🤗🤩🤩🤩

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +2

    Mashallah bibi na furaha zake.

  • @mwanakherialihassan4379
    @mwanakherialihassan4379 3 года назад

    Bibi kafanyika nzuri maskini jamani mashaallha huwrzi kuamini

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 года назад +1

    Bibi na babu ♥️♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥😍😍

  • @emilykadogo8931
    @emilykadogo8931 3 года назад +1

    Nimewamiss bibi na babu mwenyezi mungu awape umri❤️❤️

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад +1

    maa shaa Allah 😘😘

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 3 года назад

    Vizy kumkabid babu kwa mungu swal muimu sn

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma138 3 года назад

    Ma sha Allah am so happy leo nimeona bibi na babu kakangu Zahir Allah akubariki in sha Allah

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu 3 года назад

    Kinyakirembo.mashallah.alfu mvumilivu kwa matatizo kicheko chake2

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 года назад

    Wooooow i missd u my favourite.asante zahiri.babu salimikeniiii

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 3 года назад +1

    Mashallah mwanamke cheko