MAPYA YA BIBI NA BABU UTACHEKA |KICHEKO ALICHOKITOA BIBI BAADA YA KUMUONA ZAHIR
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Kama wawapenda bibi na babu weka like hapa kwaajili ya upendo juu yao❤❤❤❤❤
Bibi anakicheko kitamu huyu
@@nasliasuleiman6954 umeona eeee 😂😂😂😂
Anakufanya ufurahi hata kama umekasirika
Bibi nikimuona nacheka tu kwa kicheko chake MASHAALLAH ❤
Bibi na Babu tuliwamis Sana Asante maximum kwatuletea ndugu zetu,tunwapenda Sana,Bibi is always happy.
Masha'Allah nawapenda sana babu na bibi nawatakia maisha marefu yenye amani. Shukran kk zahir
Woooow Asante kwa kutuletea Bibi na baba yetu
Jaman bb na babu nliwa miss sana nlimis kicheko cha bb mashallahu Mungu Awabarki wazee wetu
Jmn niliwamiss sana bibi na babu 😚😚Allah awape Umri mrefu inshaallah 🙏🙏awaondolee maradh ahsante sanaa kwa kutuletea hawa watu🙏🙏
Amiin
Amiin yarabal alamin
Tuliwamiss sana
Masha Allah, kaka zahiri leo umepata thawabu mara mbili, 1 umeenda kuwatembelea wazee, 2 umewakumbusha kumcha mwenyezi MUNGU, Allah azidi kukupa afya njema,humri mrefu pamoja na rizki za halali
Amiin
Allah amlipe mara duru na amjaalie umry twawwil na afya njema ammin thumaaamin
Mashallah mashallah mm hii family naipenda Sana,m/mungu awape furahaa daima bibi na babu, Zahir hongera Sanaa bro m/mungu akupe afya njema na akufungulie milango ya kheri na Baraka akulinde na hasda za watu yarab
Mungu akulipe mema Zahir.babu huyo ana wivu sana. Tuendelee kuwalea wazee hawa
Amiin thuma Amiin
Masha Allah Zahir umefanya jambo zuri kumkumbusha kuhusu ibada Allah atakulipa kwa ukumbusho wako
MashaAllah nimefurahi kuwaona Zahir na group la maximumtv ahsante
Bibi masha Allah anafuraha muda wote 😍
ruclips.net/video/f9aLcliz94w/видео.html
Nilikua nime wa miss big up bro zahir much love from Nairobi Kenya
Masha Allah. Asie na mtu ana Mungu.🤲🤲🤲.Mungu akufanyie wepesi kaka zahir.
Mashaallah mwenyezi mungu
Awazidishie umri mlefu
Manshallah tumewamiss sana bibi na babu ❤❤
Mashaaa Allah jamaniii hii familia Naipenda zahr usiwatupe hao wazee mungu awape afya njema😘😘😘😘😘❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋
ruclips.net/video/f9aLcliz94w/видео.html
Masha Allah nawapenda hawa bibi na babu masha Allah mungu awaongezee umri mrefu aamin na zahir mungue aongeze kukupa uwezo wa kusaidia watu kama hao aamin yarabby 🙏
Babu kaa kusali na umri unao kaombee dua Hao walio kusaidia maesha yenu mungu yawabariki zaidi kupata maesha Mazuri zaidi
MashaaAllah tumewamiss san
Maashallah mungu akupe maisha marefu zahiri
ALLAH awape umri mrefu wazee wetu.Ila Zahir wakumbushe kufanya ibada.Hatujui siku na saa ya kuondoka duniani
Masha allah bibi amefurahi mungu awajalie kheri bibi na babu
Mashallhaaa bibi nababu mungu awapemaisha memazaidi
Uyu babu 😃😃 mic San hii couple 😘
Upawa ndio yenyewe original . vijiko vya mabati vinanyesha sumu especially kwa vitu vyenye limau . Babbu ana wivu kweli 🤣🤣🤣🤣 Mashaallah watoto wa hiari Mungu awabariki , awazidishiye wanachokitoa . Ama kweli Asomtu ana Mungu , huyo ndio Mungu anakuletea risk kupitia kwa mtu hata hukumjua .
babu na bibi MashaAllah wako vizuri zahir na team maximam hongereni
ruclips.net/video/f9aLcliz94w/видео.html
Swalini wazee Allah kawafanyia msaada mkubwa mumetoka mbali mlikuwa namaisha magumu saivi mmepata furaha yote nirehmazake Allah hamtupimjawake ukimuwabudu usimuabudu riskiatakupa tujitahidini nduguzangu siokuswali ijumaa tu
@@nasliasuleiman6954 kweli kabisa zahir angewambia wa swali wanunuliwe mswala na nguo za kuswalia
Waooooo mashaallah jaman niliwamiss sana bibi na babu😘😘
Mashaallah bibi na babu wako kizamani wenyewe na upawa
Mashaallah mungu wape maisha marefu yenye kher na baraka
Mashallah unefanya vizuri sana zahir nilimis sana cheko la bibi nawapenda sana
Mashaallah yaani zahir leo umefanya kitu muhimu sana kuwakumbusha suala la ibada .. Allah akubarik akulipe kila zuri Amiin
Mashaallah bibi na babu nawaombea maisha malefu lnshaallah
Aamin yarrabi
MashaAllah wasia mzuri
Alhamdulillah Allah akulipe kheri Zahir na timu yako nilikuwa nimewamiss sana babu na bibi jamani kicheko cha bibi mi hoi bibi Allah akuweke na mumeo
hongera kaka
Mashallaa
Bibi anacheka sana mungu awasandie afya njema
Bibi na babu wako happy mashaallah 😘😘😘😘
Nawapenda san babu na bibi jmn 💋💋💋
Wamo vizurii
Nawapenda mnoo jmniii Babu na bib Mungu awape maishaaa marefu🥰🥰
Nimefurahi kuwaona maashallah mungu akuzidishieni yaarabi ameen 🙏🙏🙏🙏🙏Salaah ndio muhimu Kuliko vyote yaarabi
Waoooo Bibi yangu jaman niliwakumbuka Sana Hawa wazee
Woooooow
Jaman huyu anaewatunza hawa wazee Allah amjaalie kila la kher dunian na kesho akhera
Masha Allah
Mashallah jaman bibi na babu
Hadi rahaaaa Masha allah
Mashaaallah bb Hanuni yeye anacheka tuu
Masha allah tulikuwa tumewakumbuka kaka zahiri usiwasahawu awooo
Waaaaooooooo babu na bibi jamani
Mashallah Allah atakulipa Zahiri
Mashallah mungu awajalie nyote kwa jumla inshaallah
Wafunzeni pia Dikrillaah. (SubhanAllah, Alhamdulillah, AllaahuAkbar) na Astakhfirullah, na Sallialaa Nabi (Sallaallahu Aleyhi Wa Salam)
Asanta kwa bidiiyako kiiaan.
Mashaalah babu na bibi jaman
Mungu awalinde🙏🙏🙏
bibi anahitaji mewani ya macho haoni vizuri
Shukran
Wow,may they live longer,God has really blessed them🇰🇪
Mungu akubaliki kwa kuwafanya hawa wazee kuwa na furaha mda wote
Waoooo niliwamis bb na babu
Duh leo ZAHIRI umefanya kitu cha maana sana kwa kuwatembelea akina bibi na babu nimefurahi sana 🥳🥳🤩🤩👏👏👏👏
Mashaallah mashaallah Allah awape maisha marefu bibi na babu zahir good job bro 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nampenda Sana Bibi anacheka kicheko Cha ndani kabisa Cha furaha
Mashaallah nimefurahi kuwaona babu na bibi niliwamiss sana
Zahir hakuna atakae kulipa ila Allah
Allah amrehem mama yako na akujalie uzima na afya nateam yako yoote Allahuma Amin
Zahiri you are so funny🤣🤣
Bibi na babu wa maximum nawapenda sanaa.
Zahiri mungu akuongoze inshallh🙏
Wooow Bibi ake Zahir 😘😘😘kafurahi mno
Asante sana Zahir kwa kutuletea Bibi na babu kicheko Cha Bibi tu mi hoi 🤣🤣🤣
oyoooooooooo niliwamiss jamani bibi babu
Nawapenda saaana mashallah
Allah awajaalie maisha marefu
Aamin
Ameen
Zahri wazee wamependeza Wana afya njema hakika Mungu hatakutupa . fungu lako lipo kwa mwenyezi Mungu. pia nakushauri upunguze uzito mwili mkubwa huo mwanangu.
waoo zair nimekumis jamani nawapenda bibi na babu
Hakika leo kaka zahri umefanya jambo la muhimu kweli kuwakumbusha ibada Allah awazidishie yenye kheir amiin
Bibi na babu ❤️❤️❤️❤️😍😍😍😍😍😍❤️❤️
Nasubiria komet ziwe nyng in shaa Allah nitaangalia kesho
Maashallah bibi na babu
Wapii kitambi Fanya mpango umeme uwafike wazee wetu
Manshallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Bbi kawa mweupe dah mungu awaepushe na maradhi
Mumgu azidi kuwalinda insha Allah.
Allah amjaalie shifaa Karim
Niliwamiss sana bibi na babu kaka Zahir mungu akuzidishie imani
Safi brother zahir kuwakumbusha mema
Mashallaa babu na Bibi niliwamis sana wanapendeza ongera sana ka zahiri
Nafuatilia Sana vipindi vyako Zahir Yani navipenda hatar upo vizuri sana
masha Allah bibi na babu bado wapo gado
Jiko la mkaa ni hatari kwa afya ndani.!👁
Nimefurahi kuwaona 😍😍😍😍💛🙏🙏🙏💛💛😍💓💓💓💓💓💓💛💛💛💛😍😍😍😍🤩🤩🤗🤩🤩🤩
Mashallah bibi na furaha zake.
Bibi kafanyika nzuri maskini jamani mashaallha huwrzi kuamini
Bibi na babu ♥️♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥😍😍
Nimewamiss bibi na babu mwenyezi mungu awape umri❤️❤️
Waoooooo bibi nababu
Allah wapes awawekeeBabu na bibi
Zahiri yule mtoto wa kigoma anae deleaje
maa shaa Allah 😘😘
Vizy kumkabid babu kwa mungu swal muimu sn
Ma sha Allah am so happy leo nimeona bibi na babu kakangu Zahir Allah akubariki in sha Allah
Kinyakirembo.mashallah.alfu mvumilivu kwa matatizo kicheko chake2
Wooooow i missd u my favourite.asante zahiri.babu salimikeniiii
Mashallah mwanamke cheko