Yaani mnamvunjia heshima Mch kumuuliza maswali ambayo jibu lake unalo. Mambo ya udaku msimtafute Mchungaji, yapo mambo mengi ya maana ya kumtafuta lkn siyo udaku
Baba kwanza nikushukuru, ila mimi nipende kuchangia kitu, Kwanza ckuiz watu hawawazi kuoana...na huo ni ukuzimu kabisa... Watu wanataka tu kuwa na mahuciano ya kizinaa..... Wengine wanataka kuwa na rekodi ya kuwa na mahuciano na mabinti wengi wazuri, Wengine wanataka tu kwasababu ya tamaa, tena hasa tamaa.... Wengine wanaona kuoa ni uzamani, yaani mambo ni mengi...na kwa utafiti wangu mdogo nloufanya nkaja kugundua ustaa ndio unachochea sana uharibufu wa kizazi hiki...mastaa wengi wameharbika kimaadili na wao kwa kujua ama pasipokujua wamesagau kama wao wameinfluence sana kizazi hiki...tukifanikiwa kucontrol mastaa naamini tutaweza kuokoa kizazi hiki sana.
Mchungaji hananja punguza ukali wa maneno dah, yaani unasema wanaume wanaogombana kwa ajili ya wanawake nao wote ni wanawake uuuuwi umeua hiyo. Imefika hiyo sent.
Kweli kabisa mchungaji.Mungu akubariki sana.Makanisa mengi yanazuka sio kwa lengo la kuponya roho za hao waumini ila ni kwa ajili ya wamiliki kuwapokonya fedha waumini wao.
Mchungaji wala hajui kama anaulizwa maswali ya akina manara 😂😂😂😂
Maneno yake ni zaidi ya fedha
Huyu mchungaji anaongea ukweli kabisa na Mungu akubariki mnooooo
Umenena vyema sana Allah akubariki
😂😂😂mchungiji bhana eti unalilia uzinzi😂😂eti wanakicha cha ngono😂😂😂😂😂😂😂😂
yani hapo nimecheka sana huyu mzee ni kiboko alafu wala hatumii nguvu
😅😅😅😅
Hana Utu,hana huruma,hana,mapenzi na fasi ya mungu haipo ktk maisha yke maneno ya hekima kbs
WANA KICHAA CHA NGONO NA MALIMBUKENI WA MADEMU😊,,,,TAFTA MWINGINE OA KIHALALI SONGA MBELE,,,
watamjibu huyu ajiandae kwa hawa vichaa wa ngono
Uyu mch. Ana akili nyingi sana apewe mauwa yk hata kwa kumsapot kwa hekma zke. Mm ni muislam lkn namkubali sana
Kweli mchungaji huo ni ushamba wa mapenzi
Uwa sichok kumsikilza 😂
Uko sahihi mzee
Uyu mchungaji ana akili namqubar sana
Mchungaji uko byeeeee,,,waaaah
Mwenyezi Mungu akujalie! Ww ni zaidi ya Mlezi
Nakupenda sana mzee kwa busala zako
Yaani mnamvunjia heshima Mch kumuuliza maswali ambayo jibu lake unalo. Mambo ya udaku msimtafute Mchungaji, yapo mambo mengi ya maana ya kumtafuta lkn siyo udaku
Mzee mm nipo Misri huku na soma nakufuatilia sana mchungaji ukosawa sana ktk maneno yako inshallaah nikirudi nitakutafuta nipate hekima zako
Acha kufatilia makafiri broo
@@mussakhamis-g8cKWANI hapo amekosea nini alichozungumza?.AU NDIO CHUKI TU ULIZONAZO?
Uchungaji unahitaji elimu kubwa kwel unafaa kuwa kioo Cha jamii kwa elimu bora
Ukweli kabisa umegusa Kila Kona Yani ukweli mtupu ubarikiwe ameni udumu
huyu mchungaji alishawahi kuvuta bangi
😂😂😂kwanini
😂😂😂 anasema.kweli
Baba kwanza nikushukuru, ila mimi nipende kuchangia kitu,
Kwanza ckuiz watu hawawazi kuoana...na huo ni ukuzimu kabisa... Watu wanataka tu kuwa na mahuciano ya kizinaa.....
Wengine wanataka kuwa na rekodi ya kuwa na mahuciano na mabinti wengi wazuri,
Wengine wanataka tu kwasababu ya tamaa, tena hasa tamaa....
Wengine wanaona kuoa ni uzamani, yaani mambo ni mengi...na kwa utafiti wangu mdogo nloufanya nkaja kugundua ustaa ndio unachochea sana uharibufu wa kizazi hiki...mastaa wengi wameharbika kimaadili na wao kwa kujua ama pasipokujua wamesagau kama wao wameinfluence sana kizazi hiki...tukifanikiwa kucontrol mastaa naamini tutaweza kuokoa kizazi hiki sana.
Yaaan hiyo ni bonge moja la elimu watu wengu awajui hilo
Nimecheka kwa sauti bila ya kukusudia. Umenena wote wanawake
eti nyumbu wa mapenzi😃😃😃😃
Utafikiri tumetoka mbinguni juzi😂😂😂😂😂
Chakula cha mbiguni hakina chunvi wala bizari 😂😂😂.
kijana mbonyeza kinanda na wabeba spika hata kodi ya nyumba hawana wanatia huruma
Kwr mchungaj huyu namwerew
Uzinzi ni mapokezi ya jehanamu 😂
Mtumishi yupo na vitu chanya Sanaa na anawakilisha Kwa njia nzuriii na simple
I dont want peace i want problem any time🤣🤣🤣🤣hiii imeeendaaa🙋🙋🙋
Wampe balozi matangazo mzee anafaa
Ktk maisha yangu mwanamke akinikataa naona kanipunguzia mzigo.
Tatizo.ujui.unaempenda moyoni mwako. Dheyuss motoni
Usi lilie uzinzi 😂😂 hilo neno zuri sana
Umeonaee unae unaulilia,moto
Reception ya jehanamu😂😂😂😂
😂😂😂aise nakupenda bulee mchungaji wetu mungu akubaliki sanaa kwakwel upo vzr sanaa 😂😂😂
Huyu mchungaji namfagilia sana kwa kuwapa watu ukweli 😂😂😂😂😂😂
Kweli kabisa mtumishi haujakosea
😂😂😂😂😂😂 kweri kabisa
Mzee yupo sawa kwa 100% , ukifwatilia ushauri wa huyu baba yetu utaumia kwa muda kidogo ila badae ni furaha tuu❤
Nabii mswahili (MADEBE LIDAI) Linamuhusu, hivyo vitu ahana, ....
Ameongea vzr na kwa hisia adi imenigusa, vijana wanaumia sana
Baba niombee na mm niolewe
Mimi nataka kuonana na mchungaji,nitampata wapi Huyo mchungaji
Mungu ukulinde daima
Ubarikiwe Mtumishi🙏🙏
Achana nayeeeee😅😅😅
Hananja nakukubali sana mzee
Mimi Suleiman ila ninampenda sana huyu jamaa nimkweli sana
Fact
Pastor kuanzia Leo nakuelewa.
Tuna mdemu wa tatu 😂😂😂😂chukua maua yako🎉🎉🎉🌹🌹
Barikiwa sana mtumishi
MADEMU WA TATU YAN..
manara demu wa kwanza
zaylsa demu wa pili
dula demu wa tatu 😂😂😂
😅😅😅
Mchungaji hananja punguza ukali wa maneno dah, yaani unasema wanaume wanaogombana kwa ajili ya wanawake nao wote ni wanawake uuuuwi umeua hiyo. Imefika hiyo sent.
Kwaiy dula na manara nyumbu 😂
Hahahahah jmn et unalilia uzinzi
Uyu ndo hiribd awe mwamposa namuerewaga sana japo razima ucheke
Huyu mzee hanaga kupepesa macho anachana live na haogopi lolote😀😀😀
Waelimishe mzee wangu maana wamekuwa limbukeni sana hawa vijana
Ukweli nakuelewa sn mchungaji uwa nakufatilia maelekezo yako yapo vzuli sn mungu azidi kukupa uzma utuelimishe
Mchungaji wangu umeongea vitu vizuri mno na muhimu sana ❤
Uko poa Mzee
Sema baadhi ya ma journalist wa hii nchi mna akili ndogo sana, based on questions that u guys are asking
Mchungaj umesem kweli kabisa kwa wenye akili ndio wataelewa
Uishi miaka mingi baba..una busara sana...nakuombea heri na utajiri wa afya na mali pia❤
I'm from England I don't understanding that language but mchungaji kasema ukweli🙏
😂
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂 Shenzi kabisa
Huyu mchungaji wa kweli kutoka moyoni
perfect advisor👏👏👏hakika Mungu azid kukup maisha marefu😂😂😂"unalilia usinzi,?"😂😂🤣🤣💯hio imeenda....
Huo ndio ukweli ipo cku na wewe utaachwa kwa sababu usizo cjua
😂😂😂 mchungaji unichekesha mpaka
😂😂😂😂😂😂😂
Uko sahihi mchungaji Mungu akulinde uzidi kutufundisha
Unasema kweli mchungaji
Tumeruhusiwa wa 4. Dula acha ufala
Mchungaji Hananja wewe ni jembe kwelikweli
🤣🤣🤣🤣🙌👏👏👏🙏 Raia wanchi mbili
Kweli kabisa mchungaji.Mungu akubariki sana.Makanisa mengi yanazuka sio kwa lengo la kuponya roho za hao waumini ila ni kwa ajili ya wamiliki kuwapokonya fedha waumini wao.
huyu mzee ananifurahisha sana yani nacheka tu kama mazuri vile
Dulla si amchukue ex mke wa manara
😂😂😂😂asee hii kali
😂😂kichaa Cha ngono😂😂😂kabisa wote wanawake..
Baba nashkur,Mungu akuinue zaid🙏🙏💪🥰
Barikiwa sana mchungaji mpaka ushangae kwa maneno yako
Asanteee Babaa umetishaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Malimbukeni wa mademu
😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂
😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂
eti kichaa cha ngono🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti na mijoho yetu, kama vile tumetoka mbinguni juzi!!!
Nimecheka sana huu mstari😂😂
huyu mzee ana maneno adimu sana eti mademu matatu
😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂
Mchungaji big up😊😅
Ni ulimbukeni😂😂😂
Mademu watatu nimecheka sna aisee.
Mungu akupe maisha malefu Baba❤❤❤❤❤❤
Ukweli mtupu baba
Nakukubali San mchungaji
Napenda maoni yako 😂😂😂
Kabsa mchungaji😂😂
😂😂😂😂😂