MCHUNGAJI HANANJA amchana MANARA na DULAH MAKABILA acheni urimbukeni wa mapenzi ,ZAYLISA hana ndoa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 150

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 8 месяцев назад +22

    Mchungaji wala hajui kama anaulizwa maswali ya akina manara 😂😂😂😂

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 8 месяцев назад +20

    Huyu mchungaji anaongea ukweli kabisa na Mungu akubariki mnooooo

  • @nurudinimkumbugo9601
    @nurudinimkumbugo9601 8 месяцев назад +14

    Umenena vyema sana Allah akubariki

  • @hawababy120
    @hawababy120 8 месяцев назад +11

    😂😂😂mchungiji bhana eti unalilia uzinzi😂😂eti wanakicha cha ngono😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MuhammadHassan-xp6dc
      @MuhammadHassan-xp6dc 8 месяцев назад

      yani hapo nimecheka sana huyu mzee ni kiboko alafu wala hatumii nguvu

    • @DanfordSimon
      @DanfordSimon 7 месяцев назад

      😅😅😅😅

  • @Siasia209
    @Siasia209 8 месяцев назад +13

    Hana Utu,hana huruma,hana,mapenzi na fasi ya mungu haipo ktk maisha yke maneno ya hekima kbs

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 8 месяцев назад +7

    WANA KICHAA CHA NGONO NA MALIMBUKENI WA MADEMU😊,,,,TAFTA MWINGINE OA KIHALALI SONGA MBELE,,,

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 8 месяцев назад

      watamjibu huyu ajiandae kwa hawa vichaa wa ngono

  • @leylaruhabaye9017
    @leylaruhabaye9017 8 месяцев назад +4

    Uyu mch. Ana akili nyingi sana apewe mauwa yk hata kwa kumsapot kwa hekma zke. Mm ni muislam lkn namkubali sana

  • @DoboraJohn
    @DoboraJohn 8 месяцев назад +7

    Kweli mchungaji huo ni ushamba wa mapenzi

  • @melosta
    @melosta 8 месяцев назад +7

    Uwa sichok kumsikilza 😂

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 8 месяцев назад +9

    Uko sahihi mzee

  • @JAJAMESSI-r5t
    @JAJAMESSI-r5t 8 месяцев назад +6

    Uyu mchungaji ana akili namqubar sana

  • @FatmaHamisi-b6d
    @FatmaHamisi-b6d 8 месяцев назад +5

    Mchungaji uko byeeeee,,,waaaah

  • @MnangwaOmari1971
    @MnangwaOmari1971 8 месяцев назад +6

    Mwenyezi Mungu akujalie! Ww ni zaidi ya Mlezi

  • @jafariabdillah8585
    @jafariabdillah8585 8 месяцев назад +6

    Nakupenda sana mzee kwa busala zako

  • @wiza2309
    @wiza2309 8 месяцев назад +1

    Yaani mnamvunjia heshima Mch kumuuliza maswali ambayo jibu lake unalo. Mambo ya udaku msimtafute Mchungaji, yapo mambo mengi ya maana ya kumtafuta lkn siyo udaku

  • @MohammedSaid-tf5qc
    @MohammedSaid-tf5qc 8 месяцев назад +4

    Mzee mm nipo Misri huku na soma nakufuatilia sana mchungaji ukosawa sana ktk maneno yako inshallaah nikirudi nitakutafuta nipate hekima zako

    • @mussakhamis-g8c
      @mussakhamis-g8c 8 месяцев назад

      Acha kufatilia makafiri broo

    • @josephbonday8510
      @josephbonday8510 8 месяцев назад

      ​@@mussakhamis-g8cKWANI hapo amekosea nini alichozungumza?.AU NDIO CHUKI TU ULIZONAZO?

  • @enenceiaignatio
    @enenceiaignatio 7 месяцев назад

    Uchungaji unahitaji elimu kubwa kwel unafaa kuwa kioo Cha jamii kwa elimu bora

  • @edsonmlelwa5814
    @edsonmlelwa5814 7 месяцев назад

    Ukweli kabisa umegusa Kila Kona Yani ukweli mtupu ubarikiwe ameni udumu

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 8 месяцев назад +3

    huyu mchungaji alishawahi kuvuta bangi

  • @benjaminshayo32
    @benjaminshayo32 8 месяцев назад +11

    Baba kwanza nikushukuru, ila mimi nipende kuchangia kitu,
    Kwanza ckuiz watu hawawazi kuoana...na huo ni ukuzimu kabisa... Watu wanataka tu kuwa na mahuciano ya kizinaa.....
    Wengine wanataka kuwa na rekodi ya kuwa na mahuciano na mabinti wengi wazuri,
    Wengine wanataka tu kwasababu ya tamaa, tena hasa tamaa....
    Wengine wanaona kuoa ni uzamani, yaani mambo ni mengi...na kwa utafiti wangu mdogo nloufanya nkaja kugundua ustaa ndio unachochea sana uharibufu wa kizazi hiki...mastaa wengi wameharbika kimaadili na wao kwa kujua ama pasipokujua wamesagau kama wao wameinfluence sana kizazi hiki...tukifanikiwa kucontrol mastaa naamini tutaweza kuokoa kizazi hiki sana.

    • @Dullz-yt9gk
      @Dullz-yt9gk 8 месяцев назад

      Yaaan hiyo ni bonge moja la elimu watu wengu awajui hilo

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 7 месяцев назад

    Nimecheka kwa sauti bila ya kukusudia. Umenena wote wanawake

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 8 месяцев назад +2

    eti nyumbu wa mapenzi😃😃😃😃

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 8 месяцев назад +2

    Utafikiri tumetoka mbinguni juzi😂😂😂😂😂

  • @rahmaabdalla7643
    @rahmaabdalla7643 8 месяцев назад

    Chakula cha mbiguni hakina chunvi wala bizari 😂😂😂.

  • @emmanuelshila9885
    @emmanuelshila9885 7 месяцев назад

    kijana mbonyeza kinanda na wabeba spika hata kodi ya nyumba hawana wanatia huruma

  • @IhagaJuma
    @IhagaJuma 8 месяцев назад +3

    Kwr mchungaj huyu namwerew

  • @AfricaYangu
    @AfricaYangu 8 месяцев назад +4

    Uzinzi ni mapokezi ya jehanamu 😂

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy7304 8 месяцев назад +3

    Mtumishi yupo na vitu chanya Sanaa na anawakilisha Kwa njia nzuriii na simple

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 8 месяцев назад +1

    I dont want peace i want problem any time🤣🤣🤣🤣hiii imeeendaaa🙋🙋🙋

  • @hassanmoalimmuse6014
    @hassanmoalimmuse6014 8 месяцев назад +3

    Wampe balozi matangazo mzee anafaa

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 8 месяцев назад +6

    Ktk maisha yangu mwanamke akinikataa naona kanipunguzia mzigo.

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 месяцев назад

      Tatizo.ujui.unaempenda moyoni mwako. Dheyuss motoni

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 8 месяцев назад +3

    Usi lilie uzinzi 😂😂 hilo neno zuri sana

  • @GervasNdegeulaya
    @GervasNdegeulaya 7 месяцев назад

    Reception ya jehanamu😂😂😂😂

  • @EvaDaniel-y2u
    @EvaDaniel-y2u 8 месяцев назад +1

    😂😂😂aise nakupenda bulee mchungaji wetu mungu akubaliki sanaa kwakwel upo vzr sanaa 😂😂😂

  • @MbarakAhmedAbdalla
    @MbarakAhmedAbdalla 8 месяцев назад +1

    Huyu mchungaji namfagilia sana kwa kuwapa watu ukweli 😂😂😂😂😂😂

  • @siwonikewilliam9146
    @siwonikewilliam9146 8 месяцев назад +6

    Kweli kabisa mtumishi haujakosea

  • @TheAlman
    @TheAlman 8 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂 kweri kabisa

  • @ramadhanikashimbiri4851
    @ramadhanikashimbiri4851 8 месяцев назад +1

    Mzee yupo sawa kwa 100% , ukifwatilia ushauri wa huyu baba yetu utaumia kwa muda kidogo ila badae ni furaha tuu❤

  • @joshuaalsel5828
    @joshuaalsel5828 8 месяцев назад

    Nabii mswahili (MADEBE LIDAI) Linamuhusu, hivyo vitu ahana, ....

  • @mousaoswego8257
    @mousaoswego8257 8 месяцев назад +2

    Ameongea vzr na kwa hisia adi imenigusa, vijana wanaumia sana

  • @YasintaMussa-x6s
    @YasintaMussa-x6s 7 месяцев назад

    Baba niombee na mm niolewe

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 8 месяцев назад +1

    Mimi nataka kuonana na mchungaji,nitampata wapi Huyo mchungaji

  • @FunnyWindowTulips-rt8hn
    @FunnyWindowTulips-rt8hn 8 месяцев назад

    Mungu ukulinde daima

  • @Giddy-Official
    @Giddy-Official 8 месяцев назад +2

    Ubarikiwe Mtumishi🙏🙏

  • @ramadhanikiseko2226
    @ramadhanikiseko2226 4 месяца назад

    Achana nayeeeee😅😅😅

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 8 месяцев назад +1

    Hananja nakukubali sana mzee

  • @suleimanmohd2451
    @suleimanmohd2451 8 месяцев назад +1

    Mimi Suleiman ila ninampenda sana huyu jamaa nimkweli sana

  • @zephaniazacharia519
    @zephaniazacharia519 8 месяцев назад +3

    Fact

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 8 месяцев назад +1

    Pastor kuanzia Leo nakuelewa.

  • @salimashambi7047
    @salimashambi7047 8 месяцев назад +1

    Tuna mdemu wa tatu 😂😂😂😂chukua maua yako🎉🎉🎉🌹🌹

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 8 месяцев назад +1

    Barikiwa sana mtumishi

  • @oscarjohn477
    @oscarjohn477 8 месяцев назад +3

    MADEMU WA TATU YAN..
    manara demu wa kwanza
    zaylsa demu wa pili
    dula demu wa tatu 😂😂😂

  • @SarafinaMahigi
    @SarafinaMahigi 7 месяцев назад

    😅😅😅

  • @khamisjuma3841
    @khamisjuma3841 8 месяцев назад

    Mchungaji hananja punguza ukali wa maneno dah, yaani unasema wanaume wanaogombana kwa ajili ya wanawake nao wote ni wanawake uuuuwi umeua hiyo. Imefika hiyo sent.

  • @hudhaimarajab9103
    @hudhaimarajab9103 8 месяцев назад +1

    Kwaiy dula na manara nyumbu 😂

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 8 месяцев назад +1

    Hahahahah jmn et unalilia uzinzi

  • @mohammedsarehe6857
    @mohammedsarehe6857 8 месяцев назад

    Uyu ndo hiribd awe mwamposa namuerewaga sana japo razima ucheke

  • @RashidiHosen
    @RashidiHosen 8 месяцев назад

    Huyu mzee hanaga kupepesa macho anachana live na haogopi lolote😀😀😀

  • @YohanaMwagala-r5z
    @YohanaMwagala-r5z 8 месяцев назад

    Waelimishe mzee wangu maana wamekuwa limbukeni sana hawa vijana

  • @mwanzangafesto7110
    @mwanzangafesto7110 8 месяцев назад

    Ukweli nakuelewa sn mchungaji uwa nakufatilia maelekezo yako yapo vzuli sn mungu azidi kukupa uzma utuelimishe

  • @sallymurembo815
    @sallymurembo815 7 месяцев назад

    Mchungaji wangu umeongea vitu vizuri mno na muhimu sana ❤

  • @SamweliDaudi-q7m
    @SamweliDaudi-q7m 8 месяцев назад +1

    Uko poa Mzee

  • @erickkilasi6182
    @erickkilasi6182 8 месяцев назад

    Sema baadhi ya ma journalist wa hii nchi mna akili ndogo sana, based on questions that u guys are asking

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 8 месяцев назад

    Mchungaj umesem kweli kabisa kwa wenye akili ndio wataelewa

  • @stellamunisi4038
    @stellamunisi4038 8 месяцев назад

    Uishi miaka mingi baba..una busara sana...nakuombea heri na utajiri wa afya na mali pia❤

  • @burhanhusseintv4879
    @burhanhusseintv4879 8 месяцев назад +1

    I'm from England I don't understanding that language but mchungaji kasema ukweli🙏

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt 8 месяцев назад

    Huyu mchungaji wa kweli kutoka moyoni

  • @brigitaassenga5230
    @brigitaassenga5230 8 месяцев назад

    perfect advisor👏👏👏hakika Mungu azid kukup maisha marefu😂😂😂"unalilia usinzi,?"😂😂🤣🤣💯hio imeenda....

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 8 месяцев назад

    Huo ndio ukweli ipo cku na wewe utaachwa kwa sababu usizo cjua

  • @KwizeraMwanaidi
    @KwizeraMwanaidi 8 месяцев назад

    😂😂😂 mchungaji unichekesha mpaka

  • @fatumahossein754
    @fatumahossein754 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 8 месяцев назад

    Uko sahihi mchungaji Mungu akulinde uzidi kutufundisha

  • @RahmaMfaume-x4x
    @RahmaMfaume-x4x 8 месяцев назад

    Unasema kweli mchungaji

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 8 месяцев назад

    Tumeruhusiwa wa 4. Dula acha ufala

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 8 месяцев назад

    Mchungaji Hananja wewe ni jembe kwelikweli

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 8 месяцев назад

    🤣🤣🤣🤣🙌👏👏👏🙏 Raia wanchi mbili

  • @mercymichael476
    @mercymichael476 8 месяцев назад

    Kweli kabisa mchungaji.Mungu akubariki sana.Makanisa mengi yanazuka sio kwa lengo la kuponya roho za hao waumini ila ni kwa ajili ya wamiliki kuwapokonya fedha waumini wao.

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 8 месяцев назад

    huyu mzee ananifurahisha sana yani nacheka tu kama mazuri vile

  • @heritier5119
    @heritier5119 8 месяцев назад

    Dulla si amchukue ex mke wa manara

  • @davidtry4ne
    @davidtry4ne 8 месяцев назад

    😂😂😂😂asee hii kali

  • @ZenaJarufu-g7e
    @ZenaJarufu-g7e 8 месяцев назад

    😂😂kichaa Cha ngono😂😂😂kabisa wote wanawake..

  • @DorahAlbert-e8w
    @DorahAlbert-e8w 8 месяцев назад

    Baba nashkur,Mungu akuinue zaid🙏🙏💪🥰

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga2713 8 месяцев назад

    Barikiwa sana mchungaji mpaka ushangae kwa maneno yako

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 8 месяцев назад

    Asanteee Babaa umetishaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shizohard1882
    @shizohard1882 8 месяцев назад

    Malimbukeni wa mademu

  • @ZenaJarufu-g7e
    @ZenaJarufu-g7e 8 месяцев назад

    😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂

  • @ZenaJarufu-g7e
    @ZenaJarufu-g7e 8 месяцев назад

    😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 8 месяцев назад

    eti kichaa cha ngono🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sewandomkuchu9267
    @sewandomkuchu9267 8 месяцев назад +2

    Eti na mijoho yetu, kama vile tumetoka mbinguni juzi!!!

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce 8 месяцев назад

      Nimecheka sana huu mstari😂😂

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 8 месяцев назад

    huyu mzee ana maneno adimu sana eti mademu matatu

  • @ZenaJarufu-g7e
    @ZenaJarufu-g7e 8 месяцев назад

    😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂

  • @maryam4va538
    @maryam4va538 8 месяцев назад

    Mchungaji big up😊😅

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 8 месяцев назад

    Ni ulimbukeni😂😂😂

  • @kulwasuleiman2798
    @kulwasuleiman2798 8 месяцев назад

    Mademu watatu nimecheka sna aisee.

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 8 месяцев назад

    Mungu akupe maisha malefu Baba❤❤❤❤❤❤

  • @jacklinetimothy1641
    @jacklinetimothy1641 8 месяцев назад

    Ukweli mtupu baba

  • @ShafiMirinda
    @ShafiMirinda 8 месяцев назад

    Nakukubali San mchungaji

  • @hilalmahrazi2287
    @hilalmahrazi2287 8 месяцев назад

    Napenda maoni yako 😂😂😂

  • @Rehema-f8i
    @Rehema-f8i 8 месяцев назад

    Kabsa mchungaji😂😂

  • @JerusaMkuyu-pw1zo
    @JerusaMkuyu-pw1zo 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂