TUNDA MAN - Neila Ilinitambulisha Kwenye Bongo Fleva | Ilibidi Nifanye na Profesa Jay - Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2022
  • Msanii Khalid Ramadhan Tunda anaendelea kutoa visa na mikasa kwenye safari yake ya muziki na maisha. Leo amezungumzia maisha yake ya shule na jinsi alivyokuwa mwanafunzi bora kwenye masomo ya Sayansi na jinsi alivyokuwa mtukutu shule. Ameelezea kutoa ngoma yake ya kwanza kabisa iliyomtambulisha, na pia kusimulia juu ya wale waliofanikisha safari ya muziki mpaka sasa. Kuna vingi vya kufurahisha kwenye mazungumzo haya...fuatilia...
    #tundaman #tiptop #bongofleva #bongoproject
    Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
    --------------------
    WEBSITE
    --------------------
    bongoproject.org
    --------------------
    SOCIAL MEDIA
    --------------------
    Instagram: / bongo_project
    Facebook: / bongo-project-10256641...
    --------------------
    CONTACT
    --------------------
    Email: info@bongoproject.org

Комментарии • 11

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад +2

    Ah, ungekua daktari Ungewapa sana watu SUMU, Bora ulivyokua msanii...!

  • @honorathshirima9552
    @honorathshirima9552 Год назад +4

    Tunamtaka na spack kaka kipindi chako kizuri sana

    • @bongo_project
      @bongo_project  Год назад

      Sawa. Tutamleta. Stay tuned!

    • @bongo_project
      @bongo_project  Год назад

      Tumemleta hapa: ruclips.net/video/quGLd97-ZdM/видео.html

  • @misapinamiswi5751
    @misapinamiswi5751 Год назад +1

    Bro mleteni spack pia big love from kenya

  • @danielgeorge7404
    @danielgeorge7404 Год назад +1

    Mjitahidi muwe vzr kwenye kuuliza maswali yaan kuna vitu nyingi watu wangependa kujua Lkn unapita juu juu tu kwamfano hapo kwenye upande wa mpira ujamuuliza vzr afunguke

    • @bongo_project
      @bongo_project  Год назад +1

      Shukrani mzee. Vya kuzungumza ni vingi mno...Tunajaribu kupata vingi iwezekanavyo ila muda hautoshi kwenda ndani kwenye kila mada. Ni swali lipi la mpira ulipenda azungumzie zaidi?

  • @damianpangani1513
    @damianpangani1513 Год назад +1

    Kipindi kizuri sana aisee! Keep it up

    • @bongo_project
      @bongo_project  Год назад

      Shukrani sana Damian. Endelea kufuatilia...vingi vinakuja

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 Год назад +1

    kipindi kizuri sana