TUNDA MAN - Full Interview na Bongo Project

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Tunda Man au Khalid Ramadhan Tunda katika haya mazungumzo marefu na ya kufurahisha anasimulia juu ya safari yake nzima ya muziki na maisha. Anaelezea kuhusu maisha yake ya shule, ndoto za udaktari, utundu, kucheza mpira n.k. Anasimulia kuhusu ngoma zake za awali ikiwemo Neila, Demu Sio, Msambinungwa, Nipe Report na nyingine nyingi alizofanya na Tip Top Connection kama Bado Tunapanda na nyingine nyingi. Pia ameelezea mahusiano yake na wasanii maarufu wa Bongo akiwemo Profesa Jay, Ali Kiba na Diamond Platnumz. Ni mazungumzo mazuri na yenye visa vya kuchekesha...Usikose!
    #tundaman #bongoproject #bongofleva #tiptopconnection #
    Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
    --------------------
    WEBSITE
    --------------------
    bongoproject.org
    --------------------
    SOCIAL MEDIA
    --------------------
    Instagram: / bongo_project
    Facebook: / bongo-project-10256641...
    --------------------
    CONTACT
    --------------------
    Email: info@bongoproject.org

Комментарии • 14

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Год назад +1

    Nmeangalia yote jamaa uchoki kumsikiliza. Na amefunguka mengi saana hii ni historia nzima ya maisha yake. Hapo hata hasipofanya interview tena hii itabaki ni kumbukumbu kwa vizazi vijavyo. Safi sana tundaman.

    • @bongo_project
      @bongo_project  Год назад

      Shukrani sana mkuu! Tunda alitupa moja ya interviews bora kabisa.

  • @yuscostainless5770
    @yuscostainless5770 Год назад +1

    Dah zote nzuli ulizoweka blessing sana bongo project

  • @jumazahoro3537
    @jumazahoro3537 Год назад +1

    Napenda Sana interview ambayo watu wanaulizwa historia zao

  • @ismailmasanilo7018
    @ismailmasanilo7018 Год назад +1

    Interview kalisana tunda yupo really life🤜

  • @RoseChapesi
    @RoseChapesi 20 дней назад +1

    Mpe I S T kwel huyo teacher TUNDAMAN

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic 2 года назад +1

    Nimefuatilia interview zenumnafanya poa sana, ila sound bado haiko poa inakua na mawingu mawingu sana,tunaomba mjitahidi kurekebisha hilo.ila show ni kali sana.#Naomba tuvutie dully sykes hapa mzee.

    • @bongo_project
      @bongo_project  2 года назад

      Shukrani mkuu. Tunaendelea kufanya marekebisho mbalimbali. Tutalifanyia kazi hilo suala. Dully atafika mezani usijali.

  • @omarmtamilwa562
    @omarmtamilwa562 Год назад

    Hapo mm sitaki watu wa hip hop nimecheka sana

  • @mahmoudmussa8
    @mahmoudmussa8 2 года назад +1

    Neillah 🔥

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Год назад +1

    Demu sio huo wimbo umegusa wengi saana. Anavyosema kuwa ameimba tabia zilizopo ni kweli kabisa... Ni nyimbo ambayo inaishi kabisa.😂