FEROOZ - Full Interview na Bongo Project

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Ferooz anakuwa msanii wa pili kwenye mfululizo wa vipindi vya Bongo Project. Katika interview hii ndefu Ferooz anaelezea juu ya maisha yake ya utotoni, shule, malezi na kuanza kuupenda muziki. Anawataja watu mbalimbali waliomuwezesha kufika hapa na pia anasimulia visa na mikasa kwenye maisha yake ya muziki. Kuna vingi hujui kwenye safari ya muziki na maisha ya msanii Ferooz. Angalia na Sikiliza hapa.
    #ferooz #feruzi #bongofleva #daznundaz #bongoproject
    Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
    --------------------
    WEBSITE
    --------------------
    bongoproject.org
    --------------------
    SOCIAL MEDIA
    --------------------
    Instagram: / bongo_project
    Facebook: / bongo-projec. .
    --------------------
    CONTACT
    --------------------
    Email: info@bongoproject.org

Комментарии • 21

  • @RamaWest-dw9rn
    @RamaWest-dw9rn 5 месяцев назад +2

    Ndugu mtangazaj muulize ferooz iv nyimbo gan imemtagaza ferooz naokuomba

    • @bongo_project
      @bongo_project  5 месяцев назад

      Imemtangaza!? Mbona alisema kwenye interview…

  • @kisusudaniel6583
    @kisusudaniel6583 4 месяца назад +2

    Mtangazaji ana-bore hana mtiririko mzuri wa kuuliza maswali alafu unakuwa kama wewe ndio unaelezea story ya msanii kuliko yeye mwenyewe

    • @bongo_project
      @bongo_project  4 месяца назад

      Shukrani kwa feedback. Tunajifunza, tutaimprove

  • @imanimwasakyeni2603
    @imanimwasakyeni2603 2 года назад +1

    dah
    jamaa kwel ana safar ndefu

  • @shadowbrownpopstar
    @shadowbrownpopstar Год назад

    😢msanii anamaanisha nn kuvaa heren

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 4 месяца назад +1

    nakukubali sana mwanangu ferooz

  • @juliabampele2111
    @juliabampele2111 Год назад +1

    Ferooz tunakupenda sana apa Congo rudi kwenye gamme

  • @buanaquendaabdalaabdala8260
    @buanaquendaabdalaabdala8260 5 месяцев назад +1

    Ferooz, Grande Artista ❤❤❤❤ o Lendário 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @kyangwesignermohamed7867
    @kyangwesignermohamed7867 2 года назад +2

    Yani wewe mtangazaji haujui kuhoji unamtilia maneno mdomoni kwakua Stori yake unaijua

  • @jilalamaligisa6298
    @jilalamaligisa6298 Год назад +2

    Sijapenda mtangazaji unavyomlazimisha msanii akubaliane na unachokiamini wewe, mfanye msanii awe huru kujieleza, wakati mwingine kuna vitu hawezi kusema moja kwa moja kwa sababu nzuri tu.

    • @bongo_project
      @bongo_project  Год назад

      Sawa mkubwa! Tutalifanyia kazi.

    • @romamtalambuga7
      @romamtalambuga7 6 месяцев назад

      Alaf pia hakupewa zawadi ya gari na Rais! ​@@bongo_project

  • @jilalamaligisa6298
    @jilalamaligisa6298 Год назад +1

    I'm sorry to say this, kipindi ni kizuri sana hasa kwetu wachache tunaopenda sana muziki wa zamani ila tu mtangazaji hakitendei haki, anahitaji sana kuboresha namna ya kuhoji.

    • @bongo_project
      @bongo_project  Год назад

      Shukrani. Tunapokea maoni. Ni wapi tuboreshe kwenye kuhoji?

  • @elyjahmsesa8582
    @elyjahmsesa8582 11 месяцев назад +1

    Good job

  • @ambroceharouna364
    @ambroceharouna364 2 года назад +1

    appreciate you brooo

  • @ambroceharouna364
    @ambroceharouna364 2 года назад +1

    Kumbe bro msomi kbs

  • @ashabenard2621
    @ashabenard2621 Год назад +1

    Kipindi kipo fresh