FEROOZ - Full Interview na Bongo Project
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Ferooz anakuwa msanii wa pili kwenye mfululizo wa vipindi vya Bongo Project. Katika interview hii ndefu Ferooz anaelezea juu ya maisha yake ya utotoni, shule, malezi na kuanza kuupenda muziki. Anawataja watu mbalimbali waliomuwezesha kufika hapa na pia anasimulia visa na mikasa kwenye maisha yake ya muziki. Kuna vingi hujui kwenye safari ya muziki na maisha ya msanii Ferooz. Angalia na Sikiliza hapa.
#ferooz #feruzi #bongofleva #daznundaz #bongoproject
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
bongoproject.org
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: / bongo_project
Facebook: / bongo-projec. .
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org
Ndugu mtangazaj muulize ferooz iv nyimbo gan imemtagaza ferooz naokuomba
Imemtangaza!? Mbona alisema kwenye interview…
Mtangazaji ana-bore hana mtiririko mzuri wa kuuliza maswali alafu unakuwa kama wewe ndio unaelezea story ya msanii kuliko yeye mwenyewe
Shukrani kwa feedback. Tunajifunza, tutaimprove
dah
jamaa kwel ana safar ndefu
😢msanii anamaanisha nn kuvaa heren
nakukubali sana mwanangu ferooz
Ferooz tunakupenda sana apa Congo rudi kwenye gamme
Ferooz, Grande Artista ❤❤❤❤ o Lendário 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
💯
Yani wewe mtangazaji haujui kuhoji unamtilia maneno mdomoni kwakua Stori yake unaijua
Sijapenda mtangazaji unavyomlazimisha msanii akubaliane na unachokiamini wewe, mfanye msanii awe huru kujieleza, wakati mwingine kuna vitu hawezi kusema moja kwa moja kwa sababu nzuri tu.
Sawa mkubwa! Tutalifanyia kazi.
Alaf pia hakupewa zawadi ya gari na Rais! @@bongo_project
I'm sorry to say this, kipindi ni kizuri sana hasa kwetu wachache tunaopenda sana muziki wa zamani ila tu mtangazaji hakitendei haki, anahitaji sana kuboresha namna ya kuhoji.
Shukrani. Tunapokea maoni. Ni wapi tuboreshe kwenye kuhoji?
Good job
appreciate you brooo
Kumbe bro msomi kbs
Kipindi kipo fresh
Shukrani Asha